Salama Na NANDY Ep 53 | MNOGESHAJI PART 1

Ойын-сауық

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Huyu si moja ya marafiki zangu, as in si Mtu ambaye nafahamiana naye sana, ambaye nilishawahi kukaa naye muda mrefu na kupiga story, au kusafiri naye au kuwa studio wakati anafanya mambo yake au namjua mzazi wake au mtu wake wa karibu kwenye familia yake ila nawajua watu ambao wanamfahamu kwa ukaribu na watu hao ndio ambao walinipa mimi mawazo ya kutaka kumfahamu vizuri binti huyu hodari wa ki Tanzania bila ya hata ya wao kujua.
Baadhi ya Dada zangu walifahamiana naye kwenye kipindi cha msiba wa Marehemu Ruge Mutahaba, kipindi hiko kilikua cha masikitiko kwao na kwake pia. Nandy alikua na ukaribu mwingi na Ruge, alishawahi kumtembelea hospitali mara kadhaa na pia alikua na mawasiliano ya moja kwa moja na watu wa karibu wa familia kipindi kile ambacho Ruge alikua hana tena mawasiliano naye moja kwa moja. Siku ambayo Ruge alitangulia mbele za haki, muda si mrefu kabla ya hilo kutokea Nandy ananiambia alizungumza na nesi wa zamu siku hiyo na pia alimuekea simu kwa ukaribu na alimsikia akiwa anapumua. Wapi alikua wakati anapata habari hii iko kwenye maongezi yetu haya, humu pia utaelewa connection ambayo sisi binadamu tunayo na watu ambao tunawapenda na wanao tupenda.
Najua siku hazigandi kama ambavyo Lady Jd alishawahi kuimba na ndio nikawaza, hivi ushawahi kuwaza Nandy amekua kiasi gani toka msiba wa Ruge utokee? Unakumbuka baadhi ya maneno yaliosemwa juu ya career yake baada ya msiba ule? Tunafahamu kwamba alipoteza rafiki, mentor, baba na kama tochi yake. Mimi huwaza haya sana, na hilo la yeye kujidhatiti na kukaza mwendo ndio ambalo lilifanya mimi binafsi niseme you know what, it’s time.
Nandy ni MPAMBANAJI, anaupenda muziki na kama mtu mwengine yeyote mwenye jitihada basi Mungu humfungulia milango ya Kheri. Kaniambia humu kwenye maongezi yetu kwamba safari yake ya kwanza kwenda nchini Nigeria kwenye mashindano ya kuimba alimuambia Mama yake wakati yumo ndani ya ndege, alipomaliza hotuba yake fupi alizima simu na wheels up, to Lagos ambako alihakikisha anapigana mpaka fainali na kumaliza nafasi ya tatu. Si kitu kidogo kwa binti ambaye aliamua kuweka shule pembeni ili atimize ndoto yake, ndoto ambayo hata Mama yake mzazi hakua na taarifa nayo.
Siku zinakwenda, maisha yanasonga na yeye ameendelea kukimbiza ndoto yake na mpaka tunaenda mitamboni, Nandy ni mmoja wa wasanii wa kike wakubwa sana hapa nyumbani na barani Afrika na hata Ulaya na Marekani na ukitizama vizuri utajua kwamba huu ni mwanzo tu wa mazuri ambayo yatatokea katika maisha yake. Mimi na yeye tulizungumzia mahusiano hayo pamoja na kukimbiza ndoto zetu. Tuliongelea Bill Nas na kiwanda cha muziki wa Bongo Flava. Tuliongelea muziki wake na collabo ambazo amewahi kufanya. Hapo hapo nilitaka kujua pia yeye ni mtu wa aina gani na ni vitu gani vinamsukuma kutaka atake zaidi na sehemu ambayo anajiona huko mbeleni In Shaa Allah.
Yangu matumaini kama kawaida ni kwamba utajifunza mawili matatu ambayo yatakusaidia kupambana na mitihani ya maisha kwasababu tu umejifunza kutokana na sehemu wenzetu hupitia kwenye maisha yao.
Tafadhali Enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 238

  • @pettiemao1540
    @pettiemao15403 жыл бұрын

    Nandy is so natural kwakwel she is real to herself i love that ❤️

  • @gracertarimo1440
    @gracertarimo14403 жыл бұрын

    I love how salama and Nandy get along nice one ...u look like best friends...I wish to meet salama and hug her

  • @cieremim7357
    @cieremim73572 жыл бұрын

    Kama umetoka kwa millard, unganisha dot yoloooooo💃💃💃

  • @user-gk1zq5cj9n

    @user-gk1zq5cj9n

    7 ай бұрын

    😂😂😂

  • @jacquelineniyo8177
    @jacquelineniyo81773 жыл бұрын

    I’ve been waiting for part one... finally is here. Love you Nandy ❤️🥰

  • @norrykilamo5521
    @norrykilamo55213 жыл бұрын

    All in all she is our African princess. Na hope apeperushe bendera ya taifa worldwide. Anajua perhaps very much as a solo artist

  • @monicaoscar7978
    @monicaoscar79783 жыл бұрын

    Huyu dada anajielewa hana kujikweza , I appreciate your consciousness

  • @mahmoudnassor6964
    @mahmoudnassor69643 жыл бұрын

    I LIKE THE WAY YOU INTERVIEW PEOPLES SALAMA :D

  • @kikie_chyna
    @kikie_chyna2 жыл бұрын

    I just love nandy 😍 you cannot hate her yanii so humble

  • @emilianashayo5978
    @emilianashayo59783 жыл бұрын

    It’s true ur humble Nandy ❤️

  • @evekiondo5828
    @evekiondo58283 жыл бұрын

    Thanks kwa kutuletea huyu mrembo.Nilimsubiri kwa hamuu zotee😋

  • @humayhafyak6184
    @humayhafyak61843 жыл бұрын

    Can you do salama na jacob steven (jb) tafadhal😭

  • @denisnzambimana5397
    @denisnzambimana53973 жыл бұрын

    Ivikweli Nandi hatasaa hii huyo rafikiyako unamjali amekupa wazo nzuri na mafanikio ujue au unamuonesha zarau kwakua sikuhizi unapaa

  • @faithjoseph6641
    @faithjoseph66413 жыл бұрын

    Salama tunaomba utuletee hamisa mobetto jmn

  • @evaristmrope
    @evaristmrope3 жыл бұрын

    So nice interview Salama na Nandy

  • @Liz-2315
    @Liz-23153 жыл бұрын

    Am addicted to this show ❤️❤️❤️❤️

  • @sadanassor4992
    @sadanassor49923 жыл бұрын

    Congrats nandy ❤❤

  • @lisawanjiku1476
    @lisawanjiku14763 жыл бұрын

    My favorite Artist.. Finally let hear more about u

  • @gracemichael9774

    @gracemichael9774

    3 жыл бұрын

    Nice nandy

  • @gracemichael9774

    @gracemichael9774

    3 жыл бұрын

    Nice nandy

  • @aminamohamed7414

    @aminamohamed7414

    3 жыл бұрын

    @@gracemichael9774 somalia

  • @imanimangwala4563
    @imanimangwala45633 жыл бұрын

    Maneno ya mama mazito xna yazingatie daima ili yakufikishe mbali ''umeamua kuchagua mziki najua kuwa hutosoma tena pambana sie hatuna cha kuwaachia''

  • @halimaomarimangi9861
    @halimaomarimangi98613 жыл бұрын

    Salama ameimprove sana interview zake! .....this one is great!

  • @NiraSaire

    @NiraSaire

    2 жыл бұрын

    Salama has never been small, she was definitely born for this

  • @zubedajuma763

    @zubedajuma763

    Жыл бұрын

    @@NiraSaire yeah for real

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Nakukubali sana Nandy, kwanye interview uko right kabisa.

  • @Mariam-z5e
    @Mariam-z5e13 күн бұрын

    Nakuenda nandy mama naya weweee u so good ❤

  • @vailethmdema2513
    @vailethmdema25133 жыл бұрын

    Daah bomba sanaaa 👏👏👏

  • @immatheboytz5626
    @immatheboytz56263 жыл бұрын

    Show love kwenu nyoteee sisters aminia sana

  • @theophilwisdom2308
    @theophilwisdom23083 жыл бұрын

    Salama your so perfect asee

  • @allymkamba1054
    @allymkamba10543 жыл бұрын

    CORONA IPO TUZIDI KUCHUKUA TAHADHARI.

  • @exaveryjacob7810
    @exaveryjacob78103 жыл бұрын

    Salama you're my no one star in tz

  • @user-jz5jr7uq2g
    @user-jz5jr7uq2g3 жыл бұрын

    Naam 😒 Mashallah🥰 Mariam from Burundi 🇧🇮 Tz 🇹🇿 tupendane ❤️❤️❤️❤️❤️🇧🇮🇹🇿😌😌💞

  • @josencollin2809
    @josencollin28092 жыл бұрын

    Your songs here i Canada is great in everywhere baby .

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo833 жыл бұрын

    Nandy 🥰❤🇨🇭🇹🇿

  • @rebeccaezekiel8828
    @rebeccaezekiel88283 жыл бұрын

    See hki kiind Kiko bomba sanaaaaa, lkin Salam kumbe mkubwa

  • @mwangazakatimba7726
    @mwangazakatimba77263 жыл бұрын

    Salama uje umualike zuch basi nampenda

  • @sadokigaston3550
    @sadokigaston35503 жыл бұрын

    Ila nandy mrembo sana

  • @nazifanuru5306
    @nazifanuru53063 жыл бұрын

    Nice big up salama love uuuuu

  • @carolinemualuko5192
    @carolinemualuko51923 жыл бұрын

    My best....my best in the world...I love you and would like to be like you ...#kenya

  • @brigithadidas5128
    @brigithadidas51283 жыл бұрын

    Kote nimekuelewa ila apo kwenye kufight for the marriage ndo pamefanya wanawake wengo wapate changamoto adi za kutolewa chongo kwa kusema wanapigania ndoa but kwa upande wangu marriage ni kitu cha kuinjoy na sio kuvumilia Habar ya kulinda ndoa ni swala la wote wawil na sio mwanamke

  • @priscajubilate205

    @priscajubilate205

    3 жыл бұрын

    Wewe ndoa ni kuvumiliana binadam hatujakamilika pia ndoa ni ku enjoy

  • @brigithadidas5128

    @brigithadidas5128

    3 жыл бұрын

    @@priscajubilate205 kuvumiliana na kupigania ni vtu viwil tofauti ndoa sio vita ni jambo la kheri na la furaha

  • @pascalwissi4805

    @pascalwissi4805

    2 жыл бұрын

    Saivi baada y kuolewa unasimamia maneno yako? Ku fight ni muhimu

  • @brigithadidas5128

    @brigithadidas5128

    2 жыл бұрын

    @@pascalwissi4805 mie nimeolewa na mwanaume sio janaume ndo yanayovumiliwa ayo ila mwanaume ana kazi ya kunipenda na kuhakikisha nina furaha muda wote. Shida kwa wanaokutana na mijanaume ambayo inapaswa kupiganiwa ili ndoa idumu.

  • @agathasimon3159
    @agathasimon31593 жыл бұрын

    Mbona imekuwa Fupi hivii ila ❤️ Interview

  • @nurukhalifa9413

    @nurukhalifa9413

    3 жыл бұрын

    Nashangaa zimekua fupi sanaaa

  • @saadamfaume2882

    @saadamfaume2882

    3 жыл бұрын

    Ina part two

  • @jeanyves8934
    @jeanyves89343 жыл бұрын

    The best interview ever. I love it 💚

  • @ramlaamiri5601
    @ramlaamiri56013 жыл бұрын

    The African princess

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile3363 жыл бұрын

    Show kali

  • @dajia4787
    @dajia47873 жыл бұрын

    Kati ya interview zakinyamwez sn

  • @salimahnadiah6893
    @salimahnadiah68933 жыл бұрын

    I love Nandy...

  • @annamatonange5632
    @annamatonange56323 жыл бұрын

    Nakupenda sana Nandy wangu💓💓💓❤️❤️❤️❤️❤️💞

  • @crazydeejay_manyi8520
    @crazydeejay_manyi85203 жыл бұрын

    #salama Na Diamondplatnumz🙏🙏

  • @RaQuishA03
    @RaQuishA033 жыл бұрын

    It’s about time Salama

  • @iviejustified8109
    @iviejustified81093 жыл бұрын

    Jealousy & envy comes from my enemies - 2Pac

  • @bestscene5730
    @bestscene57303 жыл бұрын

    Zuchu 😘😘kumbe ni ma friend

  • @omaryadam1442
    @omaryadam14423 жыл бұрын

    Nakupenda xna dada ang pambana mama

  • @francesmpangwa8801
    @francesmpangwa88012 жыл бұрын

    Kudadeki Nandy weweeeee nakupenda saana ani sijui nisemaje

  • @anitakamene5073
    @anitakamene50733 жыл бұрын

    Nice

  • @shijasalyungu9589
    @shijasalyungu95893 жыл бұрын

    Nandy anacheka vizuri eti😂😂😂😂

  • @mohamedabdirahmanomar9211
    @mohamedabdirahmanomar92113 жыл бұрын

    Salama Assallam Allykum dadangu pongezi kwa kazi nzuri. Napenda kipindi chako.😀😃😂🙂

  • @shakllakiwali3583

    @shakllakiwali3583

    Жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @neemaindalesio4663
    @neemaindalesio46632 жыл бұрын

    Dah sina hata cha kusema Dada yangu nandy ila nakupenda sana

  • @happyswai8299
    @happyswai82993 жыл бұрын

    Fupi sana jaman

  • @Herieth-ou4lk
    @Herieth-ou4lk3 жыл бұрын

    Love you Nandera

  • @saidahj2543
    @saidahj25433 жыл бұрын

    Can we kiss....nandy utoto hutawai muisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @bahatirngulika4493
    @bahatirngulika44933 жыл бұрын

    I real lov u nandy

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu70393 жыл бұрын

    Salamaaa💟💯💥💫👌exactly time Nandy akikata nywele hapendez.

  • @witnessmoshi8667
    @witnessmoshi86673 жыл бұрын

    mama nandy alimchana ukwel hahahha kwahy nandy alirithi jina la ukoo tuu

  • @khuzeimazubeir531
    @khuzeimazubeir5313 жыл бұрын

    Salamaa naomba umletee hamisa mobetto au uwoya pls

  • @salmamussa5374
    @salmamussa53743 жыл бұрын

    Love😙nandy naomba ule na mkono wa kulia 😂

  • @rehemamusha9335

    @rehemamusha9335

    3 жыл бұрын

    N left hand

  • @ussenemunalaga2558

    @ussenemunalaga2558

    2 жыл бұрын

    Huyu anatumia kushoto sio poa

  • @tumakassim6286
    @tumakassim62863 жыл бұрын

    Haloo haloo hio kwio 😂😂

  • @zunnamuhammad1970
    @zunnamuhammad19703 жыл бұрын

    salaam jabir unasauti nzuri sana yani waooog

  • @a.856
    @a.8563 жыл бұрын

    Nandi km yeye🕊💌

  • @ramlaamiri5601
    @ramlaamiri56013 жыл бұрын

    Dah aisee nlikiuwa naisubir kwa ham sna yn

  • @cecychua7478
    @cecychua74783 жыл бұрын

    Nandy nakupenda bureee

  • @juliusngowi952
    @juliusngowi9523 жыл бұрын

    🔥🔥🔥💥

  • @mrfashion1687
    @mrfashion16873 жыл бұрын

    Bado namsubiri adamu mchomvu najua hv karibuni

  • @lilianamon2289
    @lilianamon2289 Жыл бұрын

    Jamani Nandy na Dada Salama u look good

  • @l0ycemp0chele72
    @l0ycemp0chele723 жыл бұрын

    Hkun km @africanprinces xio kwa kuimb wal interview

  • @catherinemsemwa5611
    @catherinemsemwa56113 жыл бұрын

    I like her

  • @josencollin2809
    @josencollin28092 жыл бұрын

    I can give you million dollas for your music baby .

  • @jamilahassan6432
    @jamilahassan64323 жыл бұрын

    ❤️❤️❤️❤️

  • @neemazacharia1644
    @neemazacharia16442 жыл бұрын

    Love u soumanch dadangu nand

  • @nurdin7423
    @nurdin74233 жыл бұрын

    Btifl

  • @joharindaro3075
    @joharindaro30753 жыл бұрын

    Nampendaga sana nandy jamani

  • @elizabethchacha8241
    @elizabethchacha8241 Жыл бұрын

    Nakupenda sana nandy😍😍😍😍😍

  • @franciscanzalalila1114
    @franciscanzalalila11143 жыл бұрын

    Bado maua sammer salamaa

  • @zainabjames7769
    @zainabjames77693 жыл бұрын

    Nampemda nandy jaman

  • @owlbig
    @owlbig3 жыл бұрын

    🇧🇮❤️

  • @hawaally7974
    @hawaally79743 жыл бұрын

    Biutiful nandy

  • @godgiftfrancis321
    @godgiftfrancis3213 жыл бұрын

    I like nandy

  • @rubenmkilima4681
    @rubenmkilima46813 жыл бұрын

    Salama tunataka "salama na profesa Jay"

  • @nasoursaleh1662

    @nasoursaleh1662

    3 жыл бұрын

    Leo

  • @malickabbas8271
    @malickabbas82713 жыл бұрын

    Tunamsubiri king 👑 kiba

  • @ainnekeyshersospeter9398
    @ainnekeyshersospeter93983 жыл бұрын

    I love you Nandy

  • @salmakisokola245
    @salmakisokola2453 жыл бұрын

    Mbona inakuwa hivyo

  • @teddyinbloom
    @teddyinbloom3 жыл бұрын

    Amekula bila kunawa mikono 😂

  • @shalimwile9278
    @shalimwile92782 жыл бұрын

    Love u nandy

  • @memoryserijo9649
    @memoryserijo96492 жыл бұрын

    ❣️❣️

  • @agnessherman2926
    @agnessherman29263 жыл бұрын

    Mbn umesahau kama we ni muigizaji?

  • @shijasalyungu9589
    @shijasalyungu95893 жыл бұрын

    Haaaaaaaaaaa chief judge alikuboleshea kweli

  • @hamyrhai9957
    @hamyrhai99573 жыл бұрын

    😚

  • @balegadaffi4472
    @balegadaffi44723 жыл бұрын

    Kwann mpka ipite sku mbili dada salama 🙄

  • @annamatonange5632
    @annamatonange56323 жыл бұрын

    Nandy umenichekesha hatari eti Chawasu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @judithjulius5993
    @judithjulius59932 жыл бұрын

    Nandy nimekukubali,una udhubutu kama mimi

  • @pillyolsen8377
    @pillyolsen83773 жыл бұрын

    Nakupenda sana nandy na ninakukubali sana

  • @user-nk9bo3fs2y
    @user-nk9bo3fs2y7 ай бұрын

    🎉❤

  • @nalliekessy4902
    @nalliekessy49023 жыл бұрын

    AY

  • @hellenpaul9671
    @hellenpaul96712 жыл бұрын

    🥰🥰😍😍

  • @user-rm5rp4dw2m
    @user-rm5rp4dw2m2 ай бұрын

  • @tumaahmed4430
    @tumaahmed44303 жыл бұрын

    Tunamtaaakaaa diamond😭😭😭

  • @nooromar6233

    @nooromar6233

    3 жыл бұрын

    Diamond aje kusema nini maisha yake ni open book hakuna chakujuwa yote tunaya juwa

  • @mwanahella9650

    @mwanahella9650

    3 жыл бұрын

    @@nooromar6233 😂😂😂I like OPEN BOOK

  • @beautyibrahim8428

    @beautyibrahim8428

    3 жыл бұрын

    @@nooromar6233 😂😂😂😂umesahau kama yule ni mzee wa maajabu ghafla utasikia salama k ni baba ake esma ile familia ni firee

  • @alexkilumile1689

    @alexkilumile1689

    3 жыл бұрын

    Sa mpaka ujilize🙄🙄 wala hatumtak hakuna asiyejua Maisha yake😏😏

Келесі