Salama Na NANDY Ep 53 | MNOGESHAJI PART 1
Ойын-сауық
#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Huyu si moja ya marafiki zangu, as in si Mtu ambaye nafahamiana naye sana, ambaye nilishawahi kukaa naye muda mrefu na kupiga story, au kusafiri naye au kuwa studio wakati anafanya mambo yake au namjua mzazi wake au mtu wake wa karibu kwenye familia yake ila nawajua watu ambao wanamfahamu kwa ukaribu na watu hao ndio ambao walinipa mimi mawazo ya kutaka kumfahamu vizuri binti huyu hodari wa ki Tanzania bila ya hata ya wao kujua.
Baadhi ya Dada zangu walifahamiana naye kwenye kipindi cha msiba wa Marehemu Ruge Mutahaba, kipindi hiko kilikua cha masikitiko kwao na kwake pia. Nandy alikua na ukaribu mwingi na Ruge, alishawahi kumtembelea hospitali mara kadhaa na pia alikua na mawasiliano ya moja kwa moja na watu wa karibu wa familia kipindi kile ambacho Ruge alikua hana tena mawasiliano naye moja kwa moja. Siku ambayo Ruge alitangulia mbele za haki, muda si mrefu kabla ya hilo kutokea Nandy ananiambia alizungumza na nesi wa zamu siku hiyo na pia alimuekea simu kwa ukaribu na alimsikia akiwa anapumua. Wapi alikua wakati anapata habari hii iko kwenye maongezi yetu haya, humu pia utaelewa connection ambayo sisi binadamu tunayo na watu ambao tunawapenda na wanao tupenda.
Najua siku hazigandi kama ambavyo Lady Jd alishawahi kuimba na ndio nikawaza, hivi ushawahi kuwaza Nandy amekua kiasi gani toka msiba wa Ruge utokee? Unakumbuka baadhi ya maneno yaliosemwa juu ya career yake baada ya msiba ule? Tunafahamu kwamba alipoteza rafiki, mentor, baba na kama tochi yake. Mimi huwaza haya sana, na hilo la yeye kujidhatiti na kukaza mwendo ndio ambalo lilifanya mimi binafsi niseme you know what, it’s time.
Nandy ni MPAMBANAJI, anaupenda muziki na kama mtu mwengine yeyote mwenye jitihada basi Mungu humfungulia milango ya Kheri. Kaniambia humu kwenye maongezi yetu kwamba safari yake ya kwanza kwenda nchini Nigeria kwenye mashindano ya kuimba alimuambia Mama yake wakati yumo ndani ya ndege, alipomaliza hotuba yake fupi alizima simu na wheels up, to Lagos ambako alihakikisha anapigana mpaka fainali na kumaliza nafasi ya tatu. Si kitu kidogo kwa binti ambaye aliamua kuweka shule pembeni ili atimize ndoto yake, ndoto ambayo hata Mama yake mzazi hakua na taarifa nayo.
Siku zinakwenda, maisha yanasonga na yeye ameendelea kukimbiza ndoto yake na mpaka tunaenda mitamboni, Nandy ni mmoja wa wasanii wa kike wakubwa sana hapa nyumbani na barani Afrika na hata Ulaya na Marekani na ukitizama vizuri utajua kwamba huu ni mwanzo tu wa mazuri ambayo yatatokea katika maisha yake. Mimi na yeye tulizungumzia mahusiano hayo pamoja na kukimbiza ndoto zetu. Tuliongelea Bill Nas na kiwanda cha muziki wa Bongo Flava. Tuliongelea muziki wake na collabo ambazo amewahi kufanya. Hapo hapo nilitaka kujua pia yeye ni mtu wa aina gani na ni vitu gani vinamsukuma kutaka atake zaidi na sehemu ambayo anajiona huko mbeleni In Shaa Allah.
Yangu matumaini kama kawaida ni kwamba utajifunza mawili matatu ambayo yatakusaidia kupambana na mitihani ya maisha kwasababu tu umejifunza kutokana na sehemu wenzetu hupitia kwenye maisha yao.
Tafadhali Enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 238
Nandy is so natural kwakwel she is real to herself i love that ❤️
I love how salama and Nandy get along nice one ...u look like best friends...I wish to meet salama and hug her
Kama umetoka kwa millard, unganisha dot yoloooooo💃💃💃
@user-gk1zq5cj9n
7 ай бұрын
😂😂😂
I’ve been waiting for part one... finally is here. Love you Nandy ❤️🥰
All in all she is our African princess. Na hope apeperushe bendera ya taifa worldwide. Anajua perhaps very much as a solo artist
Huyu dada anajielewa hana kujikweza , I appreciate your consciousness
I LIKE THE WAY YOU INTERVIEW PEOPLES SALAMA :D
I just love nandy 😍 you cannot hate her yanii so humble
It’s true ur humble Nandy ❤️
Thanks kwa kutuletea huyu mrembo.Nilimsubiri kwa hamuu zotee😋
Can you do salama na jacob steven (jb) tafadhal😭
Ivikweli Nandi hatasaa hii huyo rafikiyako unamjali amekupa wazo nzuri na mafanikio ujue au unamuonesha zarau kwakua sikuhizi unapaa
Salama tunaomba utuletee hamisa mobetto jmn
So nice interview Salama na Nandy
Am addicted to this show ❤️❤️❤️❤️
Congrats nandy ❤❤
My favorite Artist.. Finally let hear more about u
@gracemichael9774
3 жыл бұрын
Nice nandy
@gracemichael9774
3 жыл бұрын
Nice nandy
@aminamohamed7414
3 жыл бұрын
@@gracemichael9774 somalia
Maneno ya mama mazito xna yazingatie daima ili yakufikishe mbali ''umeamua kuchagua mziki najua kuwa hutosoma tena pambana sie hatuna cha kuwaachia''
Salama ameimprove sana interview zake! .....this one is great!
@NiraSaire
2 жыл бұрын
Salama has never been small, she was definitely born for this
@zubedajuma763
Жыл бұрын
@@NiraSaire yeah for real
Nakukubali sana Nandy, kwanye interview uko right kabisa.
Nakuenda nandy mama naya weweee u so good ❤
Daah bomba sanaaa 👏👏👏
Show love kwenu nyoteee sisters aminia sana
Salama your so perfect asee
CORONA IPO TUZIDI KUCHUKUA TAHADHARI.
Salama you're my no one star in tz
Naam 😒 Mashallah🥰 Mariam from Burundi 🇧🇮 Tz 🇹🇿 tupendane ❤️❤️❤️❤️❤️🇧🇮🇹🇿😌😌💞
Your songs here i Canada is great in everywhere baby .
Nandy 🥰❤🇨🇭🇹🇿
See hki kiind Kiko bomba sanaaaaa, lkin Salam kumbe mkubwa
Salama uje umualike zuch basi nampenda
Ila nandy mrembo sana
Nice big up salama love uuuuu
My best....my best in the world...I love you and would like to be like you ...#kenya
Kote nimekuelewa ila apo kwenye kufight for the marriage ndo pamefanya wanawake wengo wapate changamoto adi za kutolewa chongo kwa kusema wanapigania ndoa but kwa upande wangu marriage ni kitu cha kuinjoy na sio kuvumilia Habar ya kulinda ndoa ni swala la wote wawil na sio mwanamke
@priscajubilate205
3 жыл бұрын
Wewe ndoa ni kuvumiliana binadam hatujakamilika pia ndoa ni ku enjoy
@brigithadidas5128
3 жыл бұрын
@@priscajubilate205 kuvumiliana na kupigania ni vtu viwil tofauti ndoa sio vita ni jambo la kheri na la furaha
@pascalwissi4805
2 жыл бұрын
Saivi baada y kuolewa unasimamia maneno yako? Ku fight ni muhimu
@brigithadidas5128
2 жыл бұрын
@@pascalwissi4805 mie nimeolewa na mwanaume sio janaume ndo yanayovumiliwa ayo ila mwanaume ana kazi ya kunipenda na kuhakikisha nina furaha muda wote. Shida kwa wanaokutana na mijanaume ambayo inapaswa kupiganiwa ili ndoa idumu.
Mbona imekuwa Fupi hivii ila ❤️ Interview
@nurukhalifa9413
3 жыл бұрын
Nashangaa zimekua fupi sanaaa
@saadamfaume2882
3 жыл бұрын
Ina part two
The best interview ever. I love it 💚
The African princess
Show kali
Kati ya interview zakinyamwez sn
I love Nandy...
Nakupenda sana Nandy wangu💓💓💓❤️❤️❤️❤️❤️💞
#salama Na Diamondplatnumz🙏🙏
It’s about time Salama
Jealousy & envy comes from my enemies - 2Pac
Zuchu 😘😘kumbe ni ma friend
Nakupenda xna dada ang pambana mama
Kudadeki Nandy weweeeee nakupenda saana ani sijui nisemaje
Nice
Nandy anacheka vizuri eti😂😂😂😂
Salama Assallam Allykum dadangu pongezi kwa kazi nzuri. Napenda kipindi chako.😀😃😂🙂
@shakllakiwali3583
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
Dah sina hata cha kusema Dada yangu nandy ila nakupenda sana
Fupi sana jaman
Love you Nandera
Can we kiss....nandy utoto hutawai muisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣
I real lov u nandy
Salamaaa💟💯💥💫👌exactly time Nandy akikata nywele hapendez.
mama nandy alimchana ukwel hahahha kwahy nandy alirithi jina la ukoo tuu
Salamaa naomba umletee hamisa mobetto au uwoya pls
Love😙nandy naomba ule na mkono wa kulia 😂
@rehemamusha9335
3 жыл бұрын
N left hand
@ussenemunalaga2558
2 жыл бұрын
Huyu anatumia kushoto sio poa
Haloo haloo hio kwio 😂😂
salaam jabir unasauti nzuri sana yani waooog
Nandi km yeye🕊💌
Dah aisee nlikiuwa naisubir kwa ham sna yn
Nandy nakupenda bureee
🔥🔥🔥💥
Bado namsubiri adamu mchomvu najua hv karibuni
Jamani Nandy na Dada Salama u look good
Hkun km @africanprinces xio kwa kuimb wal interview
I like her
I can give you million dollas for your music baby .
❤️❤️❤️❤️
Love u soumanch dadangu nand
Btifl
Nampendaga sana nandy jamani
Nakupenda sana nandy😍😍😍😍😍
Bado maua sammer salamaa
Nampemda nandy jaman
🇧🇮❤️
Biutiful nandy
I like nandy
Salama tunataka "salama na profesa Jay"
@nasoursaleh1662
3 жыл бұрын
Leo
Tunamsubiri king 👑 kiba
I love you Nandy
Mbona inakuwa hivyo
Amekula bila kunawa mikono 😂
Love u nandy
❣️❣️
Mbn umesahau kama we ni muigizaji?
Haaaaaaaaaaa chief judge alikuboleshea kweli
😚
Kwann mpka ipite sku mbili dada salama 🙄
Nandy umenichekesha hatari eti Chawasu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nandy nimekukubali,una udhubutu kama mimi
Nakupenda sana nandy na ninakukubali sana
🎉❤
AY
🥰🥰😍😍
❤
Tunamtaaakaaa diamond😭😭😭
@nooromar6233
3 жыл бұрын
Diamond aje kusema nini maisha yake ni open book hakuna chakujuwa yote tunaya juwa
@mwanahella9650
3 жыл бұрын
@@nooromar6233 😂😂😂I like OPEN BOOK
@beautyibrahim8428
3 жыл бұрын
@@nooromar6233 😂😂😂😂umesahau kama yule ni mzee wa maajabu ghafla utasikia salama k ni baba ake esma ile familia ni firee
@alexkilumile1689
3 жыл бұрын
Sa mpaka ujilize🙄🙄 wala hatumtak hakuna asiyejua Maisha yake😏😏