Juma Kaseja Katika Shajara ya Babbie Kabae | Aeleza Ndoto Yake Ilivyotimia (Part 1)

Golikipa mkongwe aliechezea klabu mbalimbali na timu ya Taifa Juma K Juma katika Shajara ya Babbie Kabae
#ShajaraCloudsTV

Пікірлер: 8

  • @goddamwakimi5889
    @goddamwakimi58894 ай бұрын

    Nakukubari sana Jumakaseje, nishawahi kujiita juma kaseja

  • @user-nu3oz2ub9s
    @user-nu3oz2ub9s6 ай бұрын

    Huyu gwiji wa soka la Tanzania juma kaseja ndiye aliyenifanya kupenda mpira wa Tanzania, mpaka leo naipenda mno simba, chanzo ni huyu gwiji, kiukweli nampenda mno.

  • @abeid713
    @abeid7136 ай бұрын

    Juma K juma🎉🎉🎉🎉

  • @makamekombo8278
    @makamekombo82786 ай бұрын

    Good

  • @mohamedmkape698
    @mohamedmkape6986 ай бұрын

    NILIIPENDA SIMBA KISA HUYU JAMAA 2001/2002

  • @Official83640
    @Official836406 ай бұрын

    Yaani mmeeeka mataa yenu ya kizamani hd mnamfanya aonekane na mirangi usoni😢

  • @ivankakooza1765
    @ivankakooza17656 ай бұрын

    Tivoli cup, gothia cup nakumbuka sana 2000 than hata serukuma unamkumbuka

  • @godfreykahabi1964

    @godfreykahabi1964

    6 ай бұрын

    Mzee mzima ww dr kahabi nilikuwa kigoma Niko Namibia kikazi

Келесі