Salama Na BABU TALE Ep 51 | JUGGLER PART 1
Ойын-сауық
#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 302
Salama ni mtangazaji nguli hakuna wa kupinga look how professional she can handle different situations when interviewing 🥰
Salama mwambiye babu tale amuombe mwenyez Mungu subra dunia hii sote tunapita. Hao watoto watalindwa na Allah. Imagine wangekufa wote mke na mume ingekuwaje? Azidishe kumuombea dua mke wake mambo ya kuowa Mungu atampa ambae anae mfaa na atalea watoto vizuri. Pole saana babu tale jikaze sababu watoto wanakuitaji
Kilanikitazama interview za Babu tale nalia sana😭😭😭😭😭he still in denial 🙏 as much as anakaataa kwamba haitaji cansoler naamini kwamba anahiitaji sana Hatua yakwanza ya kupona ni kukubali kwamba amesha ondoka na harudi tena,ongea Lia inapowezekana ndo safari ya kupona.nakuombea sana kwa Mungu nalia nawewe kama vile nakufaham hugs my dear Hugs🤗I wish to meet u 1day nikuambie yaliyo moyoni
Namuelewa sana...haitakaa iishe haitakua sawa tena kama zamani ila muda unaponya miaka ikipita kibinadamu itapungua utaishi na kumbukumbu za maumivu ila naamini mwenyezi mungu hatakuacha . muda utakupa nafuu miaka itasonga
Mungu akupe subra inshllah sema ukilia unazidi kumumiza so kikubwa kila unapomkumbuka muombe dua mtole sadaka ndio zinazoweza kumsaidia kwa sasa mungu akupe subra na awarehemu wote walio tangulia nasi atupe mwisho mwema inshllah 🙏🏼
Pole sana Allah akutie nguv ila dah nmejfunza jmn mapenz yenu yalkuwa mazur mashallah lkn na bado ulizaa nje loh , pole lkn
kuna kitu cha kujifunza hapa wanawake, tufanye yanayofaa kwa familia zetu tuache pengo kama hili,
@mwarahsemor6301
3 жыл бұрын
Hakika my dear
@blandinamnyinga8318
3 жыл бұрын
Kabisa kila mwanandoa(mume/mke)
@mzizirashid709
3 жыл бұрын
Kabisaaaa Yaan
@videozaaj1069
3 жыл бұрын
Kweli asee majanamke mengine yanawaza kudanga tu mitaani huko..asa utakumbukwa kwa lipi
@sherrysalim50
3 жыл бұрын
@@videozaaj1069 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Allah plz help me wana be a good wife to my husband....real wish him to remember me the same as tale do🥺 May eternal light shine upon her
Abuu SALAMA R.A alimfundisha mkewe UMMU SALAMA ukikupata msiba(MTIHANI) soma dua hii " YAA RABBI NAOMBA UNIJA'ALIE SUBIRA KWA MSIBA NILOUPATA NA UNIPE BORA ZAIDI MBADALA WA KILE NLICHOKIKOSA".
What a pain and sad feelings he had....pole sana uncle Tale may the Almighty God guide you to rise your family especially kids. YES YOU CAN
Kaka Babu Tale mwamini sana Mungu wako, akupe faraja and enable you to know EVERYTHING HAPPENS FOR A REASON. Unayoyapitia Mungu wako Atakushindia Bro. Lea watoto wako kumpa faraja mkeo alikopumzika.
@bennyemmy7784
3 жыл бұрын
pole sana by ney
I can’t fit in your shoes my brother! May God give you strength and console you with the kids.🙏
MashaaAllah. Strong Man, Strong Daddy. I know you will do that InshaaAllah. People always talk no matter what you can do. Be focus
Pole sana tale Mungu azidi kukupa nguvu urehe wanao arafu unasema una watt watatu lakini kuna kija mkubwa kidogo kumzidi tale yule mtt wa nani me nikajua ndo huyo wa nje
Very strong interview, but salama unaroho ngumu zaidi ya dactari wa upasuaji bila ganzi, pole sana tale, pia Hongera Salama, tunajifunza sana kupitia hizi interviews, keep it up!!!!
Pole sasa , Allah azidi kukupa imani na subra,
Allah akupe nguvu khamis tale tale na ampe hatma njema Shem wetu
Dah the guy alikua na true love na mke wake 🙏Allah atampa ustahimilivu
@atienomaugo8487
3 жыл бұрын
Na bado akazaa nje ety.
@hanifaally4694
3 жыл бұрын
@@atienomaugo8487 kazaa nje?
@nahyialetomia9284
3 жыл бұрын
@@atienomaugo8487, afadhali alipotezea mbele za mke wake, wengine huletewa watoto nyumbani
@kingwilliam1807
3 жыл бұрын
True love Na mtoto wa nje?
@salmaalimusa547
3 жыл бұрын
@@atienomaugo8487 mwanaume nimwanaume tu hata akichepuka lkn kama anampenda mkewe upendo hauwezi kupungua
More love salama 🇧🇮Who lives 🇹🇷
I feel your pain, stay strong brother na songa mbele
Sauti ya tale imefanana kiduchu na JK fanya umuoe flaviana matata basi 😇😍
Pole sana Tale you made me cry bro too 😢😢 pole sana ❤️🙏❤️
Mimi nilianza kumfaham Salaam kipindi cha bogo seatache ninamkubali Sana 🎉chapa kazi ,
Daaah nimeshindwa kuendelea kuangalia tale anavyolia bas na mm huku nalia allhamdulilah, allah akutie nguvu
Pole pole pole Sana. Allah akutie nguvu.
Pole babu tale Allah akupe ustahamilivu ishaallah natamani kumpata mume kama tale anaejuw kupenda na kujali mwanamke wanaume wa hivi ni wachache mnno mpk unakufa anakukumbuka tu analia kwaajili ya mke wake eeh mungu akutie nguvu ni ngum kukivaa kiatu chako babu tale pole sana
Pole sana mungu atakupa subira Inshaa Allah
Who else is here to watch the legendary Babu Tale Love from Saudi Arabia 🇸🇦🤛🤩
@Dallasbarbers05
3 жыл бұрын
Sure
@MarcoPolo-ol2lz
3 жыл бұрын
Muongo upo buza
@ahmedalwy
3 жыл бұрын
@@MarcoPolo-ol2lz I don't know what you mean, but I hope it is not an insult ✌
@safiyatheonlything7848
3 жыл бұрын
@@MarcoPolo-ol2lz kwani saudi kuna nn nimecheka mpaka unamkatili mwezio yupo uku kwa warabu anapambana
Dah pole mpendwa jikaze muombee dua mkeo pole pole sana, Asante Salama always your the best kwa kuuliza maswali.👌🏿❤🇨🇭🇹🇿
Kweli umeongea point sana babu tale watu wanakuja na vineno ooh mwanaume halii ooh fuata dini lkn hawajawahi kufiwa hawajui uchungu wa kufiwa
Pole sana *Babu tale* usilie wewe Muslam Muombee DU'A, na Allah atakuondoshea mitihani inshallah 🙏
Innalillahi wainnailayhi rajiuun Allahumma ighfillahu warhamhu waskanhu fii janna يا كريم 👏 maskini pole sana Babu Tale Allah azidi kukupa subra katika kipindi hiki maskini na Allah aje kukupa mke mwema mwenye twabia zote alizokuwa nazo mkewe ni kweli uliambiwa usiowe lakini kwa mwanaume haiwezekani lazima utaowa tuu Inshaallah kwa hiyo ahadi atakusamehe tuu yaani haiwezi kuishi hivyo
Big boys have big emotions! You are in touch with yourself most people cannot do that! Pole sana...
Pole sana babu tale mwenyezi mungu aendelee kukutia nguvu kufiwa sio mchezo aisee
this had me cry for real, he is a very strong man, to be honest, and thanks to u Salama, for this interview i think when u go through stuff the more we talk about it the more we feel better, but ameongea one weak point hapo , the truth is he can't do it alone .no body can.. him saying he doesn't need a counselor, i think he needs one now than ever. atafute specialist was grief aongee nae he will be okay. my prayers to him and his kids, my God help them to pull through this difficult difficult time. Amen.
@deocassim3297
3 жыл бұрын
S😢😭
Babu tale mungu akujaze subra uweze kuwalea watoto wetu walah na huko alipo mkeo mungu amjaze pepo njema kwakweli ila aliyokuambia mkeo usiyaache hakika alikupenda mno ila allah amependa zaid tumuombee dua njema na sisi tulobaki allah atujaalie mwisho mwema na tuwaombeeni dua walotangulia mbele ya hakki tuwaombeen mno waislam allah awasamehe waloyafanya kwa kusudi au kwa bahati mbaya
Babutale mungu akusimamie kwenye kila jambo lako inshallha
Pole sana.we know what you're going through. Allah atakupa subra.entervew imeniliza hii
Wanasaikolojia wanasema, Namna nzuri ya mtu kupona ni kupitia kinacho muumiza mpaka yafike mwisho! Kaza Buti Hamisi, you will get through this Strong, May JESUS HEAL YOUR HEART AND SAVE YOU.
Pole boss Tale mwenyez mungu azid kukupa nguvu.
Umetisha sana 🤛🏽🤛🏽🤛🏽🤛🏽🤛🏽🤛🏽
Ee Mungu mpe ustahimilivu jaman....😢😢
Huyu wamuaache alie, aongelee kuhusu mke wake na apost picha za mke wake anavyotaka. Hivyo ndivyo anavyoheal . Kila mtu anaheal tofauti
@imaculatermathias3438
3 жыл бұрын
Kabisa..
BABU TALE hauta kuwa na maisha marefu hapa DUNIANI, ukiwa mnamkumbuka marehemu mkeo Mara kwa Mara, huta chukua hata miaka miwili na wewe Utamfuata. Kazi ya MOLA Haina makosa.
Pole sana taletale da😭😭😭 muombe kina kicha bro take heart
Daah pole sana brother Tatizo wanawake wa sasa mwezi mchanga utamuoa nan. Waleo bora wajana Wanahesabu za kula na kupiga atazidi kukuletea mastress mwisho wayote akufelishe kaza Bro kua nasubra Allah atakupa Mbadala sio hawa wahuni ,wezi wa karne hii
Polee sana brother hamis taletale Salam your a good counselor
pole sana tale,,,kweli wew mwanaume unakumbuka fadhila za mkeo
Salama tunamtaka JB now Jacob Steven
Bro is so STRONG 💪 thus y amefika hapo ulipo
Unatongozwa km mwana mwari 🤣 pole sana bro Mungu atakuponya
he'll never get over his wife's death and the worst part is coming as the kids grows up no matter who or which kind of a woman comes into his life.
inallahu wamaswabirina fanya subra
He is for real guys niliisubiria hio Bismillah wakati anaanza kula and he said it, nakukubali mzee
Nazd kupata somo la mapenz kupitia kupitia babu tale.. maneno yake ya kwanza kwny interview na kashamtaja mke wake🥺🥺🥺
Uwiiii mwenzenu tale ameniliza jamani, Pole baba T
Pole sana naamini Mungu atakupa furaha soon
Pole Sana babu tale inauma Sana Mimi mwenyewe nimefiwa na mume wangu hiki kiatu kigumu Sana akuna mtu anaeweza kuvaa kiatu hiki mke anauma mume anauma Sana Mimi mwenyewe mpaka Sasa sipati usingizi kwa mawazo pole tale
@hanifaally4694
3 жыл бұрын
Pole dada ALLAH akupe subrah In'shaallah 🙏
@barkembarak9270
3 жыл бұрын
Pole Mungu atakupa subra inshallah
@rahmaabdisamed5811
3 жыл бұрын
Sote tumefiwa na waume chamuhimu ni kumuomba mungu atujaalie subra na imani lakini huko alikofika mjane mwenzetu ni kufuruuu Allah ampe iman kulia sio dawa harudi chamuhimu ni kumuombea dua allah amruhum
@jasmineedamu6089
3 жыл бұрын
Pole dada mungu akupe subra inshaallah 🙏🙏
@anitakamene5073
3 жыл бұрын
Pole sana dear
wish salama gave him a hug ooooohhh!!😭😭😭😭😭😭😭😭
@gideonmaneno8681
3 жыл бұрын
Maumivu yapo and its painfully Ila lia mara moja tuu
Brother Hamisi Allah halazimishi mtu awowe Kama hataki. Almuhimu mtu azifanye zina Sirahisi mtu kuondokewa. May Allah give you strength
@maulidmohamedi2481
3 жыл бұрын
fanya interview na masoud kipanya salama
Babu tale kweli una maumivu ila mwachie Mungu ukiwaza saana itakuletea shida ki afya
Allah akupe nguvu😍
Nimeshindwa maliza hii interview
Jaribu kuacha yapite na uendele namaisha mengine tizama usije kumkufuru muumba wako,atakupa nguvu Zaidi
@swalehm722
3 жыл бұрын
"Kulu nafsi dhaikatuh mauti." Au Wakristu wanasema "Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe." Nakubaliana na wewe ndugu yangu. Tale tale tafadhali usimuongelee tena mkeo, IMETOSHA. Nadhani hata siku utakapoongea bungeni kwa mara ya kwanza utaanza kumuongelea na kuangua kilio. Tunafahamu ulikuwa na unaendelea kumpenda. Haya Mario ameimba"INATOSHA." Tunatakiwa tuwaombee dua waliotangulia mbele za haki, sio kuendelea kumlaumu Mola. Tutoe sadaka na hata kwenda Mekhah kwa niaba yao. In sha Allah, tupo pamoja nawe. Wape pole wanao, Amiin. Ana Lilayhi waina illahi raajiun.
@asmahassan7570
3 жыл бұрын
Aisha umeshawah kufiwa na mtu wako wakarib kama hujawah unaweza kuongea hivyo tulopitia ayo maumiv hatuwez sahau nilifiwa na mdog wang mwaka jn mwez wa 7 lkn had ssa inanitesa stak kukubal bado acha tuu maumivu haya 😭😭😭👏
@swalehm722
3 жыл бұрын
@@asmahassan7570 inna Lilayhi waina illahi raajiun. You are missing the point here, sisi wote/some tumewahi kufiwa na watu tuwapendao, lakini tusing'ang'anie kulia na kusikitika kwa sababu tunamkufuru Mungu, kila unapomkumbuka endelea kumuombea ili Mola ampunguzie adhabu za kaburi na amuweke peponi. Toa sadaka kwa niaba yake, kisha mshukuru Mola kwa kuruhusu kuwa naye kipindi chote alichokuwa duniani. Pole kwa kufiwa. Tusiwasahau waliotangulia mbele za haki, tufanye ibada kwa niaba yao. Wabillahi twaufiq .
@asmahassan7570
3 жыл бұрын
@@swalehm722 ameen ameen my asante kwa ukumbusho yaani kuna watu wakiondoka na walikua msaada kwako unaona walobak hawawez ziba ile nafas lkn nashukr kwa yote hata mmi safar nimoja icho kitu hakiepukiki
@asmahassan7570
3 жыл бұрын
@@swalehm722 pole naww dear km uliwah pitia hayo
Pole boss Mungu akufariji
Babu take anaitaji counselling....sabubu still yupo kwenye stress Sana .....Mungu amsaidie jmn
The STORY is interested and so sad kwa Tale, salama umekuwa so kindly kwa Tale
Pole xana wajina wang,hakika unaumia sana mm naelewa,lkn kumbka maneno ya allah,unapofikwa na msiba tuseme wote ni wa mwenyezimungu nakwake ndy marejeo,hata mm nilisha wapoteza wazaz wangu walio nizaa
The real meaning of 💕 Love!
Kila alipangalo mungu hua mshukulu mungu kwa kila jambo.
Atleast am among the first few people to see
@josephk90
3 жыл бұрын
So what have you earned?
Pole sana kaka:
Babangu kipenzi alipitia hiki unapitia tale.Mama alihaga tukiwa wadogo sana,lakini Mungu akawezesha baba kutulea.I can only advise you uwe na bond na time ya watoto wako.Wakikukosa watayumba.Kwako,hao watoto ni faraja kubwa sana.We pray for you and you shall overcome.Release her,and let her rest in eternal peace watching over you.Nakukubali sana @Salama @YahStoneTown
Spice kwl umeongea TALE
Very sympathetic story from Tale. May Almighty give u a huge comfort ur such a loving man.
Show umetawaliwa na machozi salama badilisha maswali babu tale anaumiza kufiwa kwake ula yeye sio wa mwanzo
NIMESHINDWA KUFIKA MWISHO Nalia sana 😢 so sad 😞... 😞 😥 😢
@emmamatemu8225
3 жыл бұрын
Mbuta nanga Mbureee Jina lako bhana😃😃
@yunusrnb5227
3 жыл бұрын
😂😂😂
@jacobnorbertchenga9465
3 жыл бұрын
Huna Bando wewe😅😅😅😅
@mwarahsemor6301
3 жыл бұрын
Mungu wangu kama umeniona ndugu yangu me nimeshindwa 😭😭
@saumubai593
3 жыл бұрын
Pole
Obama said "YES WE CAN, but i can say that YES YOU CAN"
This happen when someone Marry his or her best friend,Mungu akusaidie Tale Tale.
Pole snaa KHAMIS lkn Muumin haombolezi msiba unatakiwa uwe na subrah jambo lolote lile ni mtihaan kwako na mitihaani huja kukupima iman yako MCHEE ALLAH KUWA NA SUBRAH kweli
Give him a hug salama , ❤️🙏❤️
Tale tale nenda katafute mashekhe watakusaidia na nasaha utapata faraja ya moyo kwa hwezo wa Allah Kuna shekhe Michael hyo shekhe hta kusaidia
@khdigahk4246
3 жыл бұрын
Nami naamin atamsaidia ostaz othuman Michelle kaasilika maskini kiseikolojia uyu Allah ampe wepesi
Salama ameramba guti la maana😂😍😍
Sidhani wasia unaopingana amri ya Mw'mungu unasihi, kuowa ni amri ya Mw'mungu. Asije atatekeleza wasia wa kutokuowa , na akaja kumuasi Mw'mungu kwa zinaa. Itakua hata marehemu hauja mtendea haki.
Mungu akutie nguvu tale
Mungu hajaaangiza hivyo mungu ameagiza Mapambano kwenye Maisha Usirudi nyuma Pambana 🙏🙏
umemupenda muke wako sana mungu akupe mwengine tu
Pole Babu Tale, hiyo ni nzito sana
Love you Tale!
Niliisubili sana hii salama
Alokupa nema ndoalomuondoa hakusitahiki alipopata ndorizikiyake usikufuru wewetale unaboabana kafamtume
Super sad. Mungu azidi kumfariji 🙏
Allah akusimamie baba angu
I miss you G wangu 😭😭💔 rest in peace
May Allah will heal you fast inshallah
Nimeangalia kidogo nimeshindwa nitaangalia tena wakati mwingine
Got goosebumps on this
Dah! Pole Sana Sana Hamisi
Duuuh so painful bt shekh inakubidi ukabali tuu bila hvo na we utafuata mapema sana, wanaume tunakuwa wadhaifu sana tunapoondekewa na mke na ukiangalia wengi wetu waliokutana na changamoto hii hawafiki miaka mitano na wao hufuata, Shekh jitahidi kusahau na ushauri wangu jitahidi uoe umpate hata wa kukufariji
Pole sana sisiote ndonjia akunakitakacho Baki yamekukuta yalio nikuta pole kaka