Best Naso ft T Kasha - Ndoto (Official Audio)
Музыка
#BestNaso #Ndoto #TKasha #SlideDigital
(C) Slide Digital
Best Naso Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.bio/qwm8md
Written & Performed by Best Naso
Follow Best Naso on:
profile.php?id=100077055835849
bestnasotz
www.tiktok.com/@bestnaso
open.spotify.com/artist/39MQMKl2Lz3M6DQdfdWkpE
music.apple.com/us/album/yamoyoni-single/1710010692
www.boomplay.com/search/default/Best%20naso
audiomack.com/bestnaso
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 1 287
Mbona mimi sipati like hata tano tuh jaman zinatosha 😢😢😢😘
Kama umeickiliza hii nyimbo zaid ya mara 2 tujuane kwa like.....!!👍
@devothajacob9888
3 жыл бұрын
Zaid ya Mara 3 naludia
@getrudestephano1534
3 жыл бұрын
Yaan kila siku na usikiliza zaid ya Mara 3 kwasiku yaan nimeupenda saana
@anithakayozanakupenda94
3 жыл бұрын
Uko pouwa sana
Best nasso aNajua kuliko .embu like zitililike apo kama unakubali
Naomba like 1000 tu kwaajili best naso
@joycekhamis3064
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html
@zahariyaiddhamiddhamzahari9782
3 жыл бұрын
Nomasana kaka bestinaso 😭😭😭umetukumbusha babaaetuu Dah inaumasana
Nenda Magufuli Kazi umeifanya mwendo umeumaliza nlikuelewa dhumuni lako juu ya nchi yako 'Tuliofurahia kazi ya magu like nyingi kwangu
@oliserashidi
3 жыл бұрын
@Ulimwengu Wa Simulizi hatari Ndugu jamaa alijua namna ya kuiendesha nchi
@oliserashidi
3 жыл бұрын
@@venancemiyeji6804 Apumzike kwa Amani
Pumzka kwa Amani baba yetu kipenzi 😭😭😭😭😭🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@paulm.9791
3 жыл бұрын
🥲🥲🥲🥲🥲🥲🥲😭😭😭😭
@egibatiphocus7837
3 жыл бұрын
Pumzika kwa amani magu
@hadijalukas5959
3 жыл бұрын
@@paulm.9791 😭😭😭😭😭😭 wallah hata mie mimelia sana
@saitawilson7307
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭💔💔💔💔
@joycekhamis3064
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html
Achana na mziki, huyu ndy fundi wa kuimba wanao mkubali weka like hapa kwa team ya mum🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@joycekhamis3064
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html
@aminachambuso4153
3 жыл бұрын
Miss sana magufuri
@dayanapastor2322
3 жыл бұрын
@@aminachambuso4153 hata mimi missed so much my uncle l wish he could be around and see his people the way discourage us
Nasson, Huu wimbo ni zaidi ya Sanaa, Hongera sana rafiki yangu.
Cjui niandike nin broo😢😢 nakuheshimu sana HONGERA BROO
@salumumateusi3095
3 жыл бұрын
Uko vizuli brother kazi zuri kwangu ya mwaka huu
@nicksonshida2375
3 жыл бұрын
Mwamba anajua
@joycekhamis3064
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html
Kama umemkumbuka Baba lazma uirudie hii ngoma ni 💥💥
@temuemanuel4671
3 жыл бұрын
Kama umenisema mimi maana nimeirudia mara 2
@lazarowilliam8299
3 жыл бұрын
Ngoma Kali sana
@lilylizzy4869
3 жыл бұрын
Dah
@highonebalo8289
3 жыл бұрын
❤❤❤
@highonebalo8289
3 жыл бұрын
🤔🙆😔
😂😂😂😂🙏chezea watu wa ziwani wewe Kama unaamini bestnasso ametumia nguvu ya samaki SATO, KAMONGO, MUMI, na SANGARA gonga like ngoma kali kweli kweli
@joycekhamis3064
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html
@zuwenasuleiman4277
3 жыл бұрын
Ziwani ya wapi hii
@ennydefirst
3 жыл бұрын
@@zuwenasuleiman4277 ziwani ya Victoria 😂
@maelezomaelezo9057
3 жыл бұрын
Kwenye mumi 😂😂😂
Aki kifo pumzika jpm .....twakumisi uliko mungu yuko pamoja nawe...
"Kuelimisha ndiyo hasa dhima kuu ya fasihi katika jamii yoyote duniani" . Ahsante Best Nasso kwa kuidhihilishia jamii kuwa wewe ni MKOMBOZI wa jamii na siyo MUANGAMIZAJI . Mola akuzidishie maarifa katika fani yako. Amen!
Nyimbo yoyote ya Magufuli lazima ikubalike .. Sijawahi kusikia nyimbo ya Kikwete !! Like 👍 hapa Kama Kikwete alikuwa hampendi Magufuli !!🇹🇿🇹🇿😭😭
Shikamooooooooooooo best narso, wasaniii wote vilaza, we mshikaji unajuwa mama yangu, nikupe nn narso wewe dah.
Huu ndo mziki wetu tz Ahsante best nasso
Hii ni kubwa ... Kipawa Afrika Media supporting from Nairobi City Kenya. Welcome. Support.
😢😢😢 Kama umepata elimu bure kupitia John magufuri gonga like hapo!?
@alisuleiman303
3 жыл бұрын
Saaana saana
@isayalwilla548
3 жыл бұрын
Waliopata Elimu bule saiv wako darasa la sita
@denicegabriel6616
3 жыл бұрын
@@isayalwilla548 sio mbaya kwa kuwa upo nchi za nje hujui Mambo ya tz
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
@@denicegabriel6616 yuko nje ya nchi hv amempata wapi kuongeanae
@agnesylyelu6395
3 жыл бұрын
Anakubarika kila kona ila Mungu kampenda zaidi
Best nasso ni hatar jaman
Baba yako na mama yako huwaimbii, kenge kweli wewe!!
Kama umemkumbuka Jembe JPM,show love to the song by dropping 👍👍💥
Kama umeirudia nyimbo hii mara kwa mara, Gonga like tuendelee kumuenzi #jpm
Huu wimbo Leo ndio mara ya kwanza kuusikia nimeupenda big up best nasso.
Nyimbo nzuri sana kaka
Huyu ndie BEST NASSOR safii sana
Best naso ana kipaji sana kuliko diamond platinum na aly kiba Hana sapot tuu Big up my brother!!! Aliyenielewa nipeni like
@aliyusufmbitih6853
3 жыл бұрын
Kweli
@georgelusana2346
3 жыл бұрын
Kwa daimond sawa ila sio kwa kiba
@joycekhamis3064
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html
@ashurahamimu9360
3 жыл бұрын
Kwel kabx
@mwanaishamwamapemba4049
2 жыл бұрын
@@georgelusana2346 kabisaa
Nimeipenda sana huu wimbo kama nawe umekugusa moyon gonga like twende sawa
@joycekhamis3064
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html.,
Naso ni mwanamziki sio msanii
Mmmh Jaman Hii Nyimbo Inaumiza Sana Nakijana Wetu Best Nasso Kwel Unajua Kuutengeneza Mzik like kwake
Kama umeielewa kama mm naomba like zako
@dongram9917
3 жыл бұрын
Nimetazama mara mbili mbili hyu ni best naso kweli naye mjua hongera kijana wetu bonge la ngoma
@mrkayg
3 жыл бұрын
Nakubalii kakaaa
@kreamagdfsa1697
3 жыл бұрын
Kiroho safi
@kamwezidigitaltv2020
3 жыл бұрын
Mia mia
@tumsifuwilfred5274
3 жыл бұрын
Nc nimeiskilz mara 4 na bado nairudia nc san
bonge la jimbo #bestnaso kama naww unaikubali hii ngoma gonga like yako
Best nasso thank you for your voice 💕💕
Wimbo mzr sana umenifulahisha lkn pia umenikumbusha kipindi cha baba etu jpm pumzika kwa Amn baba et bado tunakuoenda Sana tunakuombea Sana lalaa salam kipenzi ❤❤❤❤❤
Daaah mungu amlaze pema pepon raisi wetu🙏😭
@joycekhamis3064
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html.
@modinitz8583
3 жыл бұрын
Hi
Best best nasso moto moto motoooooooooo
nakukubal sana bro huwa hukosei kabisa, anae mkubal huyu best naso agonge like
•Wanao-dislike huwa wanamaana gani hata kwa jambo jema. •Kadili siku zinavyozidi kuongezeka tunaongeza kummiss JPM baba yetu alitupenda kwa moyo wake wote Alikuwa tayari kutufia. Alitufia😭💔🙏🏻
@paulebby1552
3 жыл бұрын
Huwa wanadhan wana download 😂😂
Tunaotoa 100% Kwa kipajiii hiki kutoka Tz tuko wapii...like zenu jmn tumpe support good musc of the year...
@sabrinahassan5467
3 жыл бұрын
good job
@joycekhamis3064
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html
@juxjonly4298
3 жыл бұрын
Tumebakia na kumbukumbu hayati magufur
@manoninoni7553
3 жыл бұрын
Video yake ipo lakini
Napenda sana music ya best nasso mushabiki wakweli
Tawakubalia mziki wenu watanzania Me ni mkenyareee
Bonge la nyimboo🔥🔥🔥👍
Daah nyimbo kali kaka hongera kazi nzuri sanaaa Umetisha zaid ya wote tutazidi Kumuenz baba etu daima na milele
Twende sawa na laki ndo kifo changu asihusishwe mtu yeyote me nilikuwa nina malazi ya mda mlefu #ndoto like comment
Bigup nasso Tumsapot nasso jamani ni fundi
dah hili goma naso umeuwaa🔥🔥🔥🔥💧💧🔥
Ubunifu mzur san. Kama unakubaliana nami gonga like na comments
Daah kweli best naso
Bonge la nyimbo na hongera sana kasha hujaharibu mkuu chuma kimesimama @vivaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hii ndo game tunayoitaka kutoka kwako best nasso👏👏👏
tumemisi mzee wetu tutaendelea kumuenzi kwa hii nyimbo asnte best naso
Naam!! Hakua MTAWALA bali ni KIONGOZI.Na si kiongozi wa KIKUNDI CHA WATU bali ni kiongozi ni wa WALIOWENGI (umma).
Dunia nihivyo nikwelewa je kiwukweli BEST NASO naye amefariki ama nivyamitandao tu.
Kama una kubali iyi ngoma ya best baso ku changia kichekesho pamoja na Baraka magufuli gonga hapa
ufundi na hakili nyingi vimetumika katk kutunga huu wimbo na hata kuuimba na nakukubali sana artist wetu kama ww pia =unamkubali nasso gonga like hpo
Mungu akuweke peponi maana ulikua unamtanguliza mungu Kwanza kwa Kila jambo
Sikuwahi kupenda maraisi Ila makufuli umejua kuniliza endelea kupuzika rais wangu makufuli🙋😢😢mama Samia mungu akuongoze Katika utumishi wako
Hivi mnajua me bdo siamin mpka leo magafuli wangu hayupo Tena nampenda Sana magufuli wangu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@piusjames3841
3 жыл бұрын
Ikipigwa kalatin ndo utaamin
Big up bro. Angalau umepunguza maumivu yangu moyoni Rip John pombe magufuli. Tulikupenda sana
@bentaoloo7491
3 жыл бұрын
daaah ad nmelia jmn 😭😭😭😭 tuna kukumbuka jpm
@conteh2558
3 жыл бұрын
😭😭😭
@saitawilson7307
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@anithasemwano8276
3 жыл бұрын
Wana wa JPM mioyo bado haijaridhika
@highonebalo8289
3 жыл бұрын
Ee Mungu ni wewe tu unaweza kuponya jeraha LA moyo wangu kwa habari ya JPM..🙆🙆😭😭😔
If you love this song gonga like ❤️❤️
Daaah! Kumbe nilikwa ñaota😌😌
Yaani narudia mara tano kusikiliza hii nyimbo mashaallah umeningusa baba jpm upo wapi baba njoo mara moja utuone wanao tunakupenda sana😢😢
Dahh chuma bado upo relini pamoja Sana best naso
Yn sichoki kuisikiliza hii ngoma aisee ,,unaingia sana moyon ,,imenikumbusha siku nipo barabaran nausubiri mwl wa rais kpnz du inauma sana pengo kbwa gili😭😭😭😭😭😭asant kaka naso
Noooma sana ntafrahi sana best naso ukitoa kolabu na diamond platnumz au alikiba au harmonize ili mziki uzidi kuwa juuuu
Uko vizuri nyimbo zako nazipendaga sana Mungu akuongezee uzoefu mzuri ufike mbali broo
@joycekhamis3064
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html.
You're the hit maker brother... R.I.P to the legend Hon.Magufuli
@joycekhamis3064
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html
Bonge 1 La ngoma. Haujawahi kutokea. Ngoma Qaaaaali Mpaka. 💥💥💥💥💥
@de0luyelelandguzawanaccmcc379
2 жыл бұрын
mmmmm uko vizuri sanaaa
Kiukweli jembe tutakukumbuka kwa mengi na kweli tumemic mikikimikiki,pumzika baba
This show dhat yua so genius in music Big up saana #bestnasso
@edinajulio8421
2 жыл бұрын
Mtetez wetu wa wanyonge pumuzika baba
Kazi mzuri san kijan like z RIP MAGUFULI
@joycekhamis3064
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html
Umenikosha kweli kweli best naso
Daaaa huyu Falla anaimba Sana sijui kwann watu wanamchukulia poa
Wasanii wa wazamani wanajuwa kuimba sana,hongera kaka
@doreensamwely8740
3 жыл бұрын
Na Wana idea nzur San ,lakin awapew kipawa mbele
@farajasamwel7507
3 жыл бұрын
Kabisa Yuko vizur mnoo
Ote mlio elewa kama mm gonga like hapa 👊
@joycekhamis3064
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html.
@josephjuma5336
3 жыл бұрын
Kali. Eee
Vzri Sana broo ngoma Ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌
Kaaa!!!! Noma sana
Ila Nasso unasusuaga kwa kweli....Sauti zito,melodi hatari....Much love all the way from Nairobi
ala!!!!! kumbe ni ndoto jamani.... congrats broh
@joycekhamis3064
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html.
Ohhhhh Magufuli Kipenzi Cha wengi endelea kulala kwa amani baba Nchi uliipigania na wenye macho tuliona
Time will tell us huu wimbo ni funzo
Magufuli aliuawa, na waliomuuwa ni Watanzania wenzake, mimi ni Mkongo ila ukweli ndio uo.. We miss you Magu😭😭😭😭😭
@disaimnozya8118
3 жыл бұрын
Kak unajua big up br
@madetetv6576
3 жыл бұрын
Ya kongo yamekushinda
@nehemia1045
3 жыл бұрын
@@madetetv6576 hujakosea ila sijanena kwa ubaya. Tena narudia kusema Aliuliwa..
Yaani Huyo aloimba sauti ya Mzee Magu duhhhh😭😭 hongera sana. Sauti imeniliza😭😭😭
Mungu wa Mbingu na Nchi wewe watosha. Tanzania amani itunzwe kwa ajili ya vizazi vyetu.R.I.P our President JPM
Mama samia ni mpole sana yn hana amsha amsha yn angeamka tu na kupiga marufuku kunywa pombe na kuvuta sigara
Dah kama umeirudia zaidi ya mala moja hebu nipe like tu usinibanie
Daaa kweli ndugu yangu bado kipaji unacho🇨🇩🇹🇿 I'm Jayson Al baracko Official from Congo
Maskin maskin nalia sana nyimbo hiyooo mungu muwekee mahali pema peponii
Is the best song you are really in mzalendo M, Mungu akubariki kwa kila ukifanyacho Baba JP Magufuli RIP mama Jennet M,Mungu be healed haraka sana kumbuka tu kila mtu atakufa hata mimi mama Samia kazi iendelee M, Mungu akuzidishie hekima, ujasiri , afya na maisha marefu.
Umetisha sana kaka Rais samia akupe zawadi ya huu wimbo Mana unatuweka pamoja na yeye Pia kumuamini zaidi Kweli tumain letu tulihis maisha yetu hayana ramani tena Ila kwa sasa tunampenda ndiyo tumaini letu kwa sasa
Kwa mara ya kwanza nmesikiliza nyimbo zako,ulivyonigusa na huyu Baba yangu kipenzi,nmesubscribe bila kufkiria🙏🙏🙏Good job broo,ufanikiwe zaidi na zaidi
Nakubar Kaka Nasso kaka ang
Asante baba magufuli pia mungu akupmzshe kwa aman 🙏🙏
Wimbo wenye hisia kwelikweli
@MsAggie5
3 жыл бұрын
Huwezi amini nimejijuta machozi yananitoka 😭😭
Blessed kaka yangu bestnaso nakubal kaz nzuri🙏🙏
@joycekhamis3064
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html.
Dah mwangu umetisha
Jaman daah best naso kibaji chako kimetoka kwa mungu Mana co kawaida kwa msani wa Tanzania kua nakipaji iki
Bongo bhana, 😎😎😎 mm nimekuelewa sana broe yan ww nakupa cheo rasmi leo katka nafs yangu
Uko wap Naso nikupe zawadii 💖💖🙏
Goooood best naso
Hii kubwa sana, hongera Best Nasso