Best Naso ft T Kasha - Ndoto (Official Audio)

Музыка

#BestNaso #Ndoto #TKasha #SlideDigital
(C) Slide Digital
Best Naso Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.bio/qwm8md
Written & Performed by Best Naso
Follow Best Naso on:
profile.php?id=100077055835849
bestnasotz
www.tiktok.com/@bestnaso
open.spotify.com/artist/39MQMKl2Lz3M6DQdfdWkpE
music.apple.com/us/album/yamoyoni-single/1710010692
www.boomplay.com/search/default/Best%20naso
audiomack.com/bestnaso
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 1 287

  • @barackamugini290
    @barackamugini2903 жыл бұрын

    Mbona mimi sipati like hata tano tuh jaman zinatosha 😢😢😢😘

  • @georgembilinyi2824
    @georgembilinyi28243 жыл бұрын

    Kama umeickiliza hii nyimbo zaid ya mara 2 tujuane kwa like.....!!👍

  • @devothajacob9888

    @devothajacob9888

    3 жыл бұрын

    Zaid ya Mara 3 naludia

  • @getrudestephano1534

    @getrudestephano1534

    3 жыл бұрын

    Yaan kila siku na usikiliza zaid ya Mara 3 kwasiku yaan nimeupenda saana

  • @anithakayozanakupenda94

    @anithakayozanakupenda94

    3 жыл бұрын

    Uko pouwa sana

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura57633 жыл бұрын

    Best nasso aNajua kuliko .embu like zitililike apo kama unakubali

  • @marcpoloofficial
    @marcpoloofficial3 жыл бұрын

    Naomba like 1000 tu kwaajili best naso

  • @joycekhamis3064

    @joycekhamis3064

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html

  • @zahariyaiddhamiddhamzahari9782

    @zahariyaiddhamiddhamzahari9782

    3 жыл бұрын

    Nomasana kaka bestinaso 😭😭😭umetukumbusha babaaetuu Dah inaumasana

  • @oliserashidi
    @oliserashidi3 жыл бұрын

    Nenda Magufuli Kazi umeifanya mwendo umeumaliza nlikuelewa dhumuni lako juu ya nchi yako 'Tuliofurahia kazi ya magu like nyingi kwangu

  • @oliserashidi

    @oliserashidi

    3 жыл бұрын

    @Ulimwengu Wa Simulizi hatari Ndugu jamaa alijua namna ya kuiendesha nchi

  • @oliserashidi

    @oliserashidi

    3 жыл бұрын

    @@venancemiyeji6804 Apumzike kwa Amani

  • @sikuzanibusanya6423
    @sikuzanibusanya64233 жыл бұрын

    Pumzka kwa Amani baba yetu kipenzi 😭😭😭😭😭🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @paulm.9791

    @paulm.9791

    3 жыл бұрын

    🥲🥲🥲🥲🥲🥲🥲😭😭😭😭

  • @egibatiphocus7837

    @egibatiphocus7837

    3 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani magu

  • @hadijalukas5959

    @hadijalukas5959

    3 жыл бұрын

    @@paulm.9791 😭😭😭😭😭😭 wallah hata mie mimelia sana

  • @saitawilson7307

    @saitawilson7307

    3 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭💔💔💔💔

  • @joycekhamis3064

    @joycekhamis3064

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html

  • @dayanapastor2322
    @dayanapastor23223 жыл бұрын

    Achana na mziki, huyu ndy fundi wa kuimba wanao mkubali weka like hapa kwa team ya mum🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @joycekhamis3064

    @joycekhamis3064

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html

  • @aminachambuso4153

    @aminachambuso4153

    3 жыл бұрын

    Miss sana magufuri

  • @dayanapastor2322

    @dayanapastor2322

    3 жыл бұрын

    @@aminachambuso4153 hata mimi missed so much my uncle l wish he could be around and see his people the way discourage us

  • @deboramichael5857
    @deboramichael58573 жыл бұрын

    Nasson, Huu wimbo ni zaidi ya Sanaa, Hongera sana rafiki yangu.

  • @markd2062
    @markd20623 жыл бұрын

    Cjui niandike nin broo😢😢 nakuheshimu sana HONGERA BROO

  • @salumumateusi3095

    @salumumateusi3095

    3 жыл бұрын

    Uko vizuli brother kazi zuri kwangu ya mwaka huu

  • @nicksonshida2375

    @nicksonshida2375

    3 жыл бұрын

    Mwamba anajua

  • @joycekhamis3064

    @joycekhamis3064

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html

  • @lucassamwel368
    @lucassamwel3683 жыл бұрын

    Kama umemkumbuka Baba lazma uirudie hii ngoma ni 💥💥

  • @temuemanuel4671

    @temuemanuel4671

    3 жыл бұрын

    Kama umenisema mimi maana nimeirudia mara 2

  • @lazarowilliam8299

    @lazarowilliam8299

    3 жыл бұрын

    Ngoma Kali sana

  • @lilylizzy4869

    @lilylizzy4869

    3 жыл бұрын

    Dah

  • @highonebalo8289

    @highonebalo8289

    3 жыл бұрын

    ❤❤❤

  • @highonebalo8289

    @highonebalo8289

    3 жыл бұрын

    🤔🙆😔

  • @ennydefirst
    @ennydefirst3 жыл бұрын

    😂😂😂😂🙏chezea watu wa ziwani wewe Kama unaamini bestnasso ametumia nguvu ya samaki SATO, KAMONGO, MUMI, na SANGARA gonga like ngoma kali kweli kweli

  • @joycekhamis3064

    @joycekhamis3064

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html

  • @zuwenasuleiman4277

    @zuwenasuleiman4277

    3 жыл бұрын

    Ziwani ya wapi hii

  • @ennydefirst

    @ennydefirst

    3 жыл бұрын

    @@zuwenasuleiman4277 ziwani ya Victoria 😂

  • @maelezomaelezo9057

    @maelezomaelezo9057

    3 жыл бұрын

    Kwenye mumi 😂😂😂

  • @mohisac6017
    @mohisac60173 жыл бұрын

    Aki kifo pumzika jpm .....twakumisi uliko mungu yuko pamoja nawe...

  • @namandamzuma5478
    @namandamzuma54783 жыл бұрын

    "Kuelimisha ndiyo hasa dhima kuu ya fasihi katika jamii yoyote duniani" . Ahsante Best Nasso kwa kuidhihilishia jamii kuwa wewe ni MKOMBOZI wa jamii na siyo MUANGAMIZAJI . Mola akuzidishie maarifa katika fani yako. Amen!

  • @paulm.9791
    @paulm.97913 жыл бұрын

    Nyimbo yoyote ya Magufuli lazima ikubalike .. Sijawahi kusikia nyimbo ya Kikwete !! Like 👍 hapa Kama Kikwete alikuwa hampendi Magufuli !!🇹🇿🇹🇿😭😭

  • @cristaofficialtv350
    @cristaofficialtv3503 жыл бұрын

    Shikamooooooooooooo best narso, wasaniii wote vilaza, we mshikaji unajuwa mama yangu, nikupe nn narso wewe dah.

  • @yohanaphediaphediantayagar5944
    @yohanaphediaphediantayagar59443 жыл бұрын

    Huu ndo mziki wetu tz Ahsante best nasso

  • @kamtv254kfm
    @kamtv254kfm3 жыл бұрын

    Hii ni kubwa ... Kipawa Afrika Media supporting from Nairobi City Kenya. Welcome. Support.

  • @denicegabriel6616
    @denicegabriel66163 жыл бұрын

    😢😢😢 Kama umepata elimu bure kupitia John magufuri gonga like hapo!?

  • @alisuleiman303

    @alisuleiman303

    3 жыл бұрын

    Saaana saana

  • @isayalwilla548

    @isayalwilla548

    3 жыл бұрын

    Waliopata Elimu bule saiv wako darasa la sita

  • @denicegabriel6616

    @denicegabriel6616

    3 жыл бұрын

    @@isayalwilla548 sio mbaya kwa kuwa upo nchi za nje hujui Mambo ya tz

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    3 жыл бұрын

    @@denicegabriel6616 yuko nje ya nchi hv amempata wapi kuongeanae

  • @agnesylyelu6395

    @agnesylyelu6395

    3 жыл бұрын

    Anakubarika kila kona ila Mungu kampenda zaidi

  • @rafalivertheprince6743
    @rafalivertheprince67433 жыл бұрын

    Best nasso ni hatar jaman

  • @neemazephania9082
    @neemazephania90823 жыл бұрын

    Baba yako na mama yako huwaimbii, kenge kweli wewe!!

  • @jikonasheriazetv9378
    @jikonasheriazetv93783 жыл бұрын

    Kama umemkumbuka Jembe JPM,show love to the song by dropping 👍👍💥

  • @lucasjr5521
    @lucasjr55213 жыл бұрын

    Kama umeirudia nyimbo hii mara kwa mara, Gonga like tuendelee kumuenzi #jpm

  • @norahnestory420
    @norahnestory4206 ай бұрын

    Huu wimbo Leo ndio mara ya kwanza kuusikia nimeupenda big up best nasso.

  • @ZainaHalifa
    @ZainaHalifa7 ай бұрын

    Nyimbo nzuri sana kaka

  • @kreamagdfsa1697
    @kreamagdfsa16973 жыл бұрын

    Huyu ndie BEST NASSOR safii sana

  • @mussajangwa4878
    @mussajangwa48783 жыл бұрын

    Best naso ana kipaji sana kuliko diamond platinum na aly kiba Hana sapot tuu Big up my brother!!! Aliyenielewa nipeni like

  • @aliyusufmbitih6853

    @aliyusufmbitih6853

    3 жыл бұрын

    Kweli

  • @georgelusana2346

    @georgelusana2346

    3 жыл бұрын

    Kwa daimond sawa ila sio kwa kiba

  • @joycekhamis3064

    @joycekhamis3064

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html

  • @ashurahamimu9360

    @ashurahamimu9360

    3 жыл бұрын

    Kwel kabx

  • @mwanaishamwamapemba4049

    @mwanaishamwamapemba4049

    2 жыл бұрын

    @@georgelusana2346 kabisaa

  • @mgendimussa7224
    @mgendimussa72243 жыл бұрын

    Nimeipenda sana huu wimbo kama nawe umekugusa moyon gonga like twende sawa

  • @joycekhamis3064

    @joycekhamis3064

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html.,

  • @mariamateo2178
    @mariamateo21783 жыл бұрын

    Naso ni mwanamziki sio msanii

  • @amanisalim7939
    @amanisalim79393 жыл бұрын

    Mmmh Jaman Hii Nyimbo Inaumiza Sana Nakijana Wetu Best Nasso Kwel Unajua Kuutengeneza Mzik like kwake

  • @johnngollo
    @johnngollo3 жыл бұрын

    Kama umeielewa kama mm naomba like zako

  • @dongram9917

    @dongram9917

    3 жыл бұрын

    Nimetazama mara mbili mbili hyu ni best naso kweli naye mjua hongera kijana wetu bonge la ngoma

  • @mrkayg

    @mrkayg

    3 жыл бұрын

    Nakubalii kakaaa

  • @kreamagdfsa1697

    @kreamagdfsa1697

    3 жыл бұрын

    Kiroho safi

  • @kamwezidigitaltv2020

    @kamwezidigitaltv2020

    3 жыл бұрын

    Mia mia

  • @tumsifuwilfred5274

    @tumsifuwilfred5274

    3 жыл бұрын

    Nc nimeiskilz mara 4 na bado nairudia nc san

  • @jamalmilanz2854
    @jamalmilanz28543 жыл бұрын

    bonge la jimbo #bestnaso kama naww unaikubali hii ngoma gonga like yako

  • @queen-vc6de
    @queen-vc6de3 жыл бұрын

    Best nasso thank you for your voice 💕💕

  • @rehemarehema1445
    @rehemarehema14453 жыл бұрын

    Wimbo mzr sana umenifulahisha lkn pia umenikumbusha kipindi cha baba etu jpm pumzika kwa Amn baba et bado tunakuoenda Sana tunakuombea Sana lalaa salam kipenzi ❤❤❤❤❤

  • @modinitz8583
    @modinitz85833 жыл бұрын

    Daaah mungu amlaze pema pepon raisi wetu🙏😭

  • @joycekhamis3064

    @joycekhamis3064

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html.

  • @modinitz8583

    @modinitz8583

    3 жыл бұрын

    Hi

  • @malataogtz2080
    @malataogtz20803 жыл бұрын

    Best best nasso moto moto motoooooooooo

  • @janepherpatrick3615
    @janepherpatrick36153 жыл бұрын

    nakukubal sana bro huwa hukosei kabisa, anae mkubal huyu best naso agonge like

  • @nestor384
    @nestor3843 жыл бұрын

    •Wanao-dislike huwa wanamaana gani hata kwa jambo jema. •Kadili siku zinavyozidi kuongezeka tunaongeza kummiss JPM baba yetu alitupenda kwa moyo wake wote Alikuwa tayari kutufia. Alitufia😭💔🙏🏻

  • @paulebby1552

    @paulebby1552

    3 жыл бұрын

    Huwa wanadhan wana download 😂😂

  • @kingandreemmanuel7908
    @kingandreemmanuel79083 жыл бұрын

    Tunaotoa 100% Kwa kipajiii hiki kutoka Tz tuko wapii...like zenu jmn tumpe support good musc of the year...

  • @sabrinahassan5467

    @sabrinahassan5467

    3 жыл бұрын

    good job

  • @joycekhamis3064

    @joycekhamis3064

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html

  • @juxjonly4298

    @juxjonly4298

    3 жыл бұрын

    Tumebakia na kumbukumbu hayati magufur

  • @manoninoni7553

    @manoninoni7553

    3 жыл бұрын

    Video yake ipo lakini

  • @MutabweBushobozi
    @MutabweBushobozi2 ай бұрын

    Napenda sana music ya best nasso mushabiki wakweli

  • @petermutemi4583
    @petermutemi45833 жыл бұрын

    Tawakubalia mziki wenu watanzania Me ni mkenyareee

  • @beatusshirima2285
    @beatusshirima22853 жыл бұрын

    Bonge la nyimboo🔥🔥🔥👍

  • @cletusraphael2224
    @cletusraphael22243 жыл бұрын

    Daah nyimbo kali kaka hongera kazi nzuri sanaaa Umetisha zaid ya wote tutazidi Kumuenz baba etu daima na milele

  • @bartazaricherango5518
    @bartazaricherango55183 жыл бұрын

    Twende sawa na laki ndo kifo changu asihusishwe mtu yeyote me nilikuwa nina malazi ya mda mlefu #ndoto like comment

  • @mariamateo2178
    @mariamateo21783 жыл бұрын

    Bigup nasso Tumsapot nasso jamani ni fundi

  • @edwardnelson335
    @edwardnelson3353 жыл бұрын

    dah hili goma naso umeuwaa🔥🔥🔥🔥💧💧🔥

  • @masterplantz545
    @masterplantz5453 жыл бұрын

    Ubunifu mzur san. Kama unakubaliana nami gonga like na comments

  • @baresatz2206
    @baresatz22063 жыл бұрын

    Daah kweli best naso

  • @abdimohamed3953
    @abdimohamed39533 жыл бұрын

    Bonge la nyimbo na hongera sana kasha hujaharibu mkuu chuma kimesimama @vivaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @BenyMwelango
    @BenyMwelango3 жыл бұрын

    Hii ndo game tunayoitaka kutoka kwako best nasso👏👏👏

  • @nurumsumari804
    @nurumsumari8043 жыл бұрын

    tumemisi mzee wetu tutaendelea kumuenzi kwa hii nyimbo asnte best naso

  • @mweyoms5548
    @mweyoms55483 жыл бұрын

    Naam!! Hakua MTAWALA bali ni KIONGOZI.Na si kiongozi wa KIKUNDI CHA WATU bali ni kiongozi ni wa WALIOWENGI (umma).

  • @jkaclamutide6913
    @jkaclamutide69133 жыл бұрын

    Dunia nihivyo nikwelewa je kiwukweli BEST NASO naye amefariki ama nivyamitandao tu.

  • @deogratiasdimaestro099
    @deogratiasdimaestro0993 жыл бұрын

    Kama una kubali iyi ngoma ya best baso ku changia kichekesho pamoja na Baraka magufuli gonga hapa

  • @yohanatz4752
    @yohanatz47523 жыл бұрын

    ufundi na hakili nyingi vimetumika katk kutunga huu wimbo na hata kuuimba na nakukubali sana artist wetu kama ww pia =unamkubali nasso gonga like hpo

  • @azizasaidi6362
    @azizasaidi63623 жыл бұрын

    Mungu akuweke peponi maana ulikua unamtanguliza mungu Kwanza kwa Kila jambo

  • @aishasilaji5759
    @aishasilaji57593 жыл бұрын

    Sikuwahi kupenda maraisi Ila makufuli umejua kuniliza endelea kupuzika rais wangu makufuli🙋😢😢mama Samia mungu akuongoze Katika utumishi wako

  • @reginaphilimon782
    @reginaphilimon7823 жыл бұрын

    Hivi mnajua me bdo siamin mpka leo magafuli wangu hayupo Tena nampenda Sana magufuli wangu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @piusjames3841

    @piusjames3841

    3 жыл бұрын

    Ikipigwa kalatin ndo utaamin

  • @anitakenya9041
    @anitakenya90413 жыл бұрын

    Big up bro. Angalau umepunguza maumivu yangu moyoni Rip John pombe magufuli. Tulikupenda sana

  • @bentaoloo7491

    @bentaoloo7491

    3 жыл бұрын

    daaah ad nmelia jmn 😭😭😭😭 tuna kukumbuka jpm

  • @conteh2558

    @conteh2558

    3 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @saitawilson7307

    @saitawilson7307

    3 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭

  • @anithasemwano8276

    @anithasemwano8276

    3 жыл бұрын

    Wana wa JPM mioyo bado haijaridhika

  • @highonebalo8289

    @highonebalo8289

    3 жыл бұрын

    Ee Mungu ni wewe tu unaweza kuponya jeraha LA moyo wangu kwa habari ya JPM..🙆🙆😭😭😔

  • @Familyfil
    @Familyfil3 жыл бұрын

    If you love this song gonga like ❤️❤️

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia56743 жыл бұрын

    Daaah! Kumbe nilikwa ñaota😌😌

  • @nasrahassanmasesa3745
    @nasrahassanmasesa37453 жыл бұрын

    Yaani narudia mara tano kusikiliza hii nyimbo mashaallah umeningusa baba jpm upo wapi baba njoo mara moja utuone wanao tunakupenda sana😢😢

  • @BabaDmD
    @BabaDmD3 жыл бұрын

    Dahh chuma bado upo relini pamoja Sana best naso

  • @pendocoster4170
    @pendocoster41703 жыл бұрын

    Yn sichoki kuisikiliza hii ngoma aisee ,,unaingia sana moyon ,,imenikumbusha siku nipo barabaran nausubiri mwl wa rais kpnz du inauma sana pengo kbwa gili😭😭😭😭😭😭asant kaka naso

  • @lucasleiva2872
    @lucasleiva28723 жыл бұрын

    Noooma sana ntafrahi sana best naso ukitoa kolabu na diamond platnumz au alikiba au harmonize ili mziki uzidi kuwa juuuu

  • @sarahmanyama1686
    @sarahmanyama16863 жыл бұрын

    Uko vizuri nyimbo zako nazipendaga sana Mungu akuongezee uzoefu mzuri ufike mbali broo

  • @joycekhamis3064

    @joycekhamis3064

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html.

  • @williampeter834
    @williampeter8343 жыл бұрын

    You're the hit maker brother... R.I.P to the legend Hon.Magufuli

  • @joycekhamis3064

    @joycekhamis3064

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html

  • @josephjuma5336
    @josephjuma53363 жыл бұрын

    Bonge 1 La ngoma. Haujawahi kutokea. Ngoma Qaaaaali Mpaka. 💥💥💥💥💥

  • @de0luyelelandguzawanaccmcc379

    @de0luyelelandguzawanaccmcc379

    2 жыл бұрын

    mmmmm uko vizuri sanaaa

  • @fettyfadi
    @fettyfadi3 жыл бұрын

    Kiukweli jembe tutakukumbuka kwa mengi na kweli tumemic mikikimikiki,pumzika baba

  • @dottosebastianophilipo2693
    @dottosebastianophilipo26933 жыл бұрын

    This show dhat yua so genius in music Big up saana #bestnasso

  • @edinajulio8421

    @edinajulio8421

    2 жыл бұрын

    Mtetez wetu wa wanyonge pumuzika baba

  • @thabitiajibu4404
    @thabitiajibu44043 жыл бұрын

    Kazi mzuri san kijan like z RIP MAGUFULI

  • @joycekhamis3064

    @joycekhamis3064

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html

  • @ezapesambili2130
    @ezapesambili21303 жыл бұрын

    Umenikosha kweli kweli best naso

  • @kawambwakawambwa1850
    @kawambwakawambwa18503 жыл бұрын

    Daaaa huyu Falla anaimba Sana sijui kwann watu wanamchukulia poa

  • @asukulumceleca2104
    @asukulumceleca21043 жыл бұрын

    Wasanii wa wazamani wanajuwa kuimba sana,hongera kaka

  • @doreensamwely8740

    @doreensamwely8740

    3 жыл бұрын

    Na Wana idea nzur San ,lakin awapew kipawa mbele

  • @farajasamwel7507

    @farajasamwel7507

    3 жыл бұрын

    Kabisa Yuko vizur mnoo

  • @rehemayuda6822
    @rehemayuda68223 жыл бұрын

    Ote mlio elewa kama mm gonga like hapa 👊

  • @joycekhamis3064

    @joycekhamis3064

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html.

  • @josephjuma5336

    @josephjuma5336

    3 жыл бұрын

    Kali. Eee

  • @joshuayohana9975
    @joshuayohana99752 жыл бұрын

    Vzri Sana broo ngoma Ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌

  • @boniphacemajaliwa2248
    @boniphacemajaliwa22483 жыл бұрын

    Kaaa!!!! Noma sana

  • @luvboywcbnyamz534
    @luvboywcbnyamz5343 жыл бұрын

    Ila Nasso unasusuaga kwa kweli....Sauti zito,melodi hatari....Much love all the way from Nairobi

  • @RAYJAY-xy1jp
    @RAYJAY-xy1jp3 жыл бұрын

    ala!!!!! kumbe ni ndoto jamani.... congrats broh

  • @joycekhamis3064

    @joycekhamis3064

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html.

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota35893 жыл бұрын

    Ohhhhh Magufuli Kipenzi Cha wengi endelea kulala kwa amani baba Nchi uliipigania na wenye macho tuliona

  • @martinsalum1739
    @martinsalum17393 жыл бұрын

    Time will tell us huu wimbo ni funzo

  • @nehemia1045
    @nehemia10453 жыл бұрын

    Magufuli aliuawa, na waliomuuwa ni Watanzania wenzake, mimi ni Mkongo ila ukweli ndio uo.. We miss you Magu😭😭😭😭😭

  • @disaimnozya8118

    @disaimnozya8118

    3 жыл бұрын

    Kak unajua big up br

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    3 жыл бұрын

    Ya kongo yamekushinda

  • @nehemia1045

    @nehemia1045

    3 жыл бұрын

    @@madetetv6576 hujakosea ila sijanena kwa ubaya. Tena narudia kusema Aliuliwa..

  • @thulythatmustf3535
    @thulythatmustf35353 жыл бұрын

    Yaani Huyo aloimba sauti ya Mzee Magu duhhhh😭😭 hongera sana. Sauti imeniliza😭😭😭

  • @faustinanyamtengera7034
    @faustinanyamtengera70343 жыл бұрын

    Mungu wa Mbingu na Nchi wewe watosha. Tanzania amani itunzwe kwa ajili ya vizazi vyetu.R.I.P our President JPM

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus6663 жыл бұрын

    Mama samia ni mpole sana yn hana amsha amsha yn angeamka tu na kupiga marufuku kunywa pombe na kuvuta sigara

  • @maulidsaid9448
    @maulidsaid94483 жыл бұрын

    Dah kama umeirudia zaidi ya mala moja hebu nipe like tu usinibanie

  • @JaysonalbarackoOfficial
    @JaysonalbarackoOfficial3 жыл бұрын

    Daaa kweli ndugu yangu bado kipaji unacho🇨🇩🇹🇿 I'm Jayson Al baracko Official from Congo

  • @medi222alrajhi9
    @medi222alrajhi93 жыл бұрын

    Maskin maskin nalia sana nyimbo hiyooo mungu muwekee mahali pema peponii

  • @awadamu
    @awadamu3 жыл бұрын

    Is the best song you are really in mzalendo M, Mungu akubariki kwa kila ukifanyacho Baba JP Magufuli RIP mama Jennet M,Mungu be healed haraka sana kumbuka tu kila mtu atakufa hata mimi mama Samia kazi iendelee M, Mungu akuzidishie hekima, ujasiri , afya na maisha marefu.

  • @princekulwa7099
    @princekulwa70993 жыл бұрын

    Umetisha sana kaka Rais samia akupe zawadi ya huu wimbo Mana unatuweka pamoja na yeye Pia kumuamini zaidi Kweli tumain letu tulihis maisha yetu hayana ramani tena Ila kwa sasa tunampenda ndiyo tumaini letu kwa sasa

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry29193 жыл бұрын

    Kwa mara ya kwanza nmesikiliza nyimbo zako,ulivyonigusa na huyu Baba yangu kipenzi,nmesubscribe bila kufkiria🙏🙏🙏Good job broo,ufanikiwe zaidi na zaidi

  • @officialchizer
    @officialchizer3 жыл бұрын

    Nakubar Kaka Nasso kaka ang

  • @nyamingoxamwita2812
    @nyamingoxamwita28123 жыл бұрын

    Asante baba magufuli pia mungu akupmzshe kwa aman 🙏🙏

  • @Alabama-double-m
    @Alabama-double-m3 жыл бұрын

    Wimbo wenye hisia kwelikweli

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    3 жыл бұрын

    Huwezi amini nimejijuta machozi yananitoka 😭😭

  • @officialsteeve2384
    @officialsteeve23843 жыл бұрын

    Blessed kaka yangu bestnaso nakubal kaz nzuri🙏🙏

  • @joycekhamis3064

    @joycekhamis3064

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/kYppp7iOmNqXkrw.html.

  • @johnmungathia6029
    @johnmungathia60292 жыл бұрын

    Dah mwangu umetisha

  • @alexaiddan979
    @alexaiddan9793 жыл бұрын

    Jaman daah best naso kibaji chako kimetoka kwa mungu Mana co kawaida kwa msani wa Tanzania kua nakipaji iki

  • @hgltv5336
    @hgltv53363 жыл бұрын

    Bongo bhana, 😎😎😎 mm nimekuelewa sana broe yan ww nakupa cheo rasmi leo katka nafs yangu

  • @yustinapeteryustinapeter6853
    @yustinapeteryustinapeter68533 жыл бұрын

    Uko wap Naso nikupe zawadii 💖💖🙏

  • @azizasaidi6362
    @azizasaidi63623 жыл бұрын

    Goooood best naso

  • @erickgulayi2089
    @erickgulayi20893 жыл бұрын

    Hii kubwa sana, hongera Best Nasso