MAGUFULI ALIVYOMFUATA ZUCHU JUKWAANI KWENYE KAMPENI ZANZIBAR NA KUCHEZA NAYE

Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana
Play Store (Android): bit.ly/3kYnnsr
App Store (iOS): apple.co/31Yxjta
Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii;
Twitter: TBCOnlinetz
Instagram: tbc_online
Facebook: tbconetanzania/

Пікірлер: 91

  • @kacheali4777
    @kacheali47773 жыл бұрын

    Mmh nalia kila nkikumbuka matendo yako mazur kwa watu wte ...kenya yetu sijui nani atakuiga lala salama Baba Mlez wawa nyonge

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24993 жыл бұрын

    Daima tutakukumbuka Baba yetu 😭😭😭😭

  • @freddykippa
    @freddykippa3 жыл бұрын

    Ila Huyu Baba😭😭

  • @worldwidemedia570
    @worldwidemedia5703 жыл бұрын

    Kama umeona zuchu alivyosukumwa na bodoguard gonga like

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc3 жыл бұрын

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!

  • @faustermatiko6960

    @faustermatiko6960

    2 жыл бұрын

  • @mosesndyeki3368

    @mosesndyeki3368

    7 ай бұрын

    wellcome TANZANIA we lost big thing in our nation,and we dont know when we will get another leader like magufuri,R.I.P MAGUFURI.

  • @xkingx8041
    @xkingx80413 жыл бұрын

    Hakuna kama wewe babaangu!! Magufuli wangu mie jamani and 😭😭😭😭😭😭😭😭 umetuacha baba yetu jembe. Tunashukuru Mungu kwa yote

  • @olivagurtu7993
    @olivagurtu79933 жыл бұрын

    Yan sitosahau matokeo ya uchaguzi tulicheza huu wimbo kwa furaha Leo haupo baba km ndoto😥😥

  • @carolineundisa8509
    @carolineundisa85093 жыл бұрын

    Continue resting in peace magufuli

  • @Wakio231
    @Wakio2313 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭💔🇰🇪, daima tutakuenzi

  • @halimagoodgoodsimbahalimag2940
    @halimagoodgoodsimbahalimag29403 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani magufuli baba 😓😓🙏

  • @lamecktv4269
    @lamecktv42693 жыл бұрын

    Japo Mh:Magufuli hayupo lkn.... Stomsahau na wala stoacha kumsifia....Sjawah kuona Shujaa wa namna hii....Simba Dume....Jiwe kwel kwel.... Moja ya sifa kubwa ya Kiongoz anaekusudia kufanya mabadiliko n kutoogopa KUFA....Magufuli alikuw haogopi Kufa.

  • @laetitiazawadi1047
    @laetitiazawadi10472 жыл бұрын

    I love Tanzania

  • @leylahbillah4876
    @leylahbillah48763 жыл бұрын

    Daah machozi hayakauki kila nikiangalia videos zake😭😭😭😭😭😭

  • @clementhiddi1486

    @clementhiddi1486

    3 жыл бұрын

    Vigumu sana , pole haya majonzi hayaishi. RIP JPM

  • @omariamiri5556
    @omariamiri55563 жыл бұрын

    Daaah hv ni kwel.... Maisha ni mafupi sana haswaaa kwa vipenz vya watu.... Na wale wenye manufaa sehemu... R. I. P magufuli haupo lakn vp vinavyosababisha tuendelee kuishi na ww kiroho

  • @sophiezakaria
    @sophiezakaria3 жыл бұрын

    Kifo hakina huruma 😭😭😭😭

  • @rashidfatma2137
    @rashidfatma213722 күн бұрын

    Amma Kweli Zuhura Hodari, Mgu akulinde, Masha'Allah❤👍

  • @carolinaadolf6955
    @carolinaadolf69553 жыл бұрын

    Nalia mm jmn magufuli 😭😭😭

  • @winniekephas5459
    @winniekephas54593 жыл бұрын

    Udongo unameza,wazuri tu 😭😭😭😭😭

  • @zilpahcharlotte3856
    @zilpahcharlotte38562 жыл бұрын

    I really miss you Magufuli

  • @alfredmbiti439
    @alfredmbiti4392 жыл бұрын

    As a Christian i believe in resurrection ,Lord Jesus just as you did during those days just do it again for our late and beloved President Magu we need him back

  • @sarahmuhammed6872

    @sarahmuhammed6872

    5 ай бұрын

    Ok.wait ur load Jesus to bring him back crazy who told u or where have u seen .in.holy books dat ur load Jesus wil.bring the dead ones again????

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed8 ай бұрын

    Inshallah

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih99342 жыл бұрын

    I'm TANZANIA NAUSIKILIZA HUO WIMBO MACHOZI 😭😭YANANITOKA MOYO HUO UNAUMA KUMBUKUMBU HAISAHAULIKI 🇹🇿KAZI YA MOLA HAINA MAKOSA NASI TUO NYUMA YAKO😭😭😭

  • @josephatjoshua167
    @josephatjoshua1673 жыл бұрын

    RIP MWAMBA

  • @hugorkamanga527
    @hugorkamanga5272 жыл бұрын

    Paix son âme président magufur

  • @priscacharlescharles9014
    @priscacharlescharles90143 жыл бұрын

    Acha tu ibaki story 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @missstellah6981
    @missstellah69812 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭we miss him 🥺

  • @magdalenajohn6564
    @magdalenajohn65643 жыл бұрын

    Mhhh Mungu wewe ni mzuri

  • @khanbaba8125
    @khanbaba81253 жыл бұрын

    Nguzo imara imelala 😢🙏

  • @user-ob6kl7jk6l
    @user-ob6kl7jk6l5 ай бұрын

    💔❤️😢😟😟

  • @georgebenard3923
    @georgebenard39232 жыл бұрын

    Tunakukumbuka baba yetu,

  • @SaraphinaKakweche
    @SaraphinaKakweche3 ай бұрын

    Mungu alitupa ww kama zawad lakin ulizima gafla kama mshumaa😭pumzka baba

  • @beatricemgalla7175
    @beatricemgalla71753 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 Жыл бұрын

    Apo kipindi hicho Dr bashiru sijui alikua ana jikuta Nani vile 🤔😄😄

  • @braysonmrema2990
    @braysonmrema29903 жыл бұрын

    Amen mama

  • @zanpalmboutiquehotel2681
    @zanpalmboutiquehotel26812 жыл бұрын

    Kwenye kampeni zake JPM iligeuka kuwa sikuku kubwa san RIP

  • @kingferguson2665
    @kingferguson26653 жыл бұрын

    Mai zumo

  • @benedictolubengo4324
    @benedictolubengo43242 жыл бұрын

    Rest in peace😭😭Magufuli

  • @juniormgema2524
    @juniormgema25243 жыл бұрын

    Jamani mungu ana makusudi yake kwakwelii

  • @idrissamohamed1100
    @idrissamohamed11005 ай бұрын

    Kila kitu na muda wake tumshukuru Mungu

  • @peragiaisdor6315
    @peragiaisdor63153 жыл бұрын

    Pumzma kwaamani baba😰😰

  • @jonathanselei2371
    @jonathanselei23713 жыл бұрын

    Utakumbwukwa milele Magufuli

  • @hamedaabdultaleb5341
    @hamedaabdultaleb53412 жыл бұрын

    Imebaki storry wallah hakuna km maguful rest in peace

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u4 ай бұрын

    Ila jamani Tanzania hatuwezi kusahau hili pigo

  • @mariamsilla484
    @mariamsilla4842 жыл бұрын

    Imetisha mungu akupe nguvu

  • @trytizankhoma2871
    @trytizankhoma28712 жыл бұрын

    Visionary president..rest in peace

  • @praxidesnamukuru2314
    @praxidesnamukuru23143 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    3 жыл бұрын

    Mungu amrehemu kwa mema aliyo yafanya alikuwa mchangamfu sana.

  • @esthergilbert407
    @esthergilbert4072 жыл бұрын

    Nakumisi babayngu mungu akuhifadhiiii

  • @naimamohammed3243
    @naimamohammed32432 жыл бұрын

    Allah amuhifadhi ndani ya jannatul firdhaus yaa rabb

  • @angelmacha8278
    @angelmacha82783 жыл бұрын

    Sio kweli kama kweli umeondoka baba

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena12243 жыл бұрын

    Hakuna kama mangu sijaona bado

  • @ferdinandmaisiba2899
    @ferdinandmaisiba28993 жыл бұрын

    But why did it have to happen....dead😭😭

  • @user-he3me7co9y
    @user-he3me7co9y9 ай бұрын

    Tunaoangalia 2023 tujuane

  • @razackkambi8318
    @razackkambi83183 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭🇹🇿

  • @hibaalfarsi7756
    @hibaalfarsi77563 жыл бұрын

    tutakukumbuka mileleeeee tunatamn ungekuepo hd leo😭😭😭

  • @thuwaybamachea396
    @thuwaybamachea3962 жыл бұрын

    Hatuto msahau maisha

  • @jamilakelota6588
    @jamilakelota65882 жыл бұрын

    Am so sad upumzike kwa amani baba yetu Magufuri

  • @pascalmutentu1809
    @pascalmutentu18092 жыл бұрын

    Ok

  • @esausilwamba6925
    @esausilwamba69252 жыл бұрын

    He was a president for people, rest in peace

  • @hellenholela5541
    @hellenholela55412 жыл бұрын

    Jamani ndyo maisha ya mwanadam yalivyo mhhh

  • @sakinafredy3653
    @sakinafredy36532 жыл бұрын

    Legend JPM...😢🙌

  • @zakiarashed144
    @zakiarashed1443 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @nicksonjackson6186
    @nicksonjackson61862 жыл бұрын

    Hakika tutakukumbuka kwa mema tu

  • @surujajwie4768
    @surujajwie47683 жыл бұрын

    💃💃💃💃💔💔😭💛💛💛🙏

  • @tumpekainkyango1763

    @tumpekainkyango1763

    3 жыл бұрын

    Tumesha kumbuka jembe baba

  • @atanasmkondya5952
    @atanasmkondya59522 жыл бұрын

    Dhaaa

  • @kennychristian6882
    @kennychristian68823 жыл бұрын

    Dady nimemiss

  • @etsnamazi3503
    @etsnamazi35032 жыл бұрын

    RIP Mzee

  • @eliasluhinda9621
    @eliasluhinda96213 жыл бұрын

    Kaz nzul xana big ap zuchu

  • @cordulaignas3568
    @cordulaignas35683 жыл бұрын

    😭😭😭😭

  • @adamadammtihani8962

    @adamadammtihani8962

    2 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @visualmedia4183
    @visualmedia41833 жыл бұрын

    Hhhshahahaaaaaa

  • @Jaycollection
    @Jaycollection3 жыл бұрын

    tutampata wp tena rais kama huyu

  • @hadijamagufuli2661

    @hadijamagufuli2661

    3 жыл бұрын

    Alikuwa mcheshi anakaa nakila mtu da yani wakati mwingine bado siamini 😭😭😭

  • @nas197
    @nas197 Жыл бұрын

    Who was the lady singing apart from Zuchu! Whoever she was ,she so talented and I guess she wrote the song for Zuchu

  • @wardauthman3710

    @wardauthman3710

    10 ай бұрын

    Its her mother khadija kopa

  • @juliusmushi6428
    @juliusmushi64283 жыл бұрын

    Nimempenda jamaa aliyemsukuma zuchu wakati Rais anaondoka yaani ni very professional sanaa wachache tunaojua hii tactics

  • @paulmaziku240

    @paulmaziku240

    3 жыл бұрын

    Ni kama jamaa anawahi kutekeleza majukumu yake... Kutetea kibarua chake kisiote nyasi

  • @elizabethemmanuels5898

    @elizabethemmanuels5898

    3 жыл бұрын

    🙄🤣🤣🤣🤣

  • @smolletmwakamele4275
    @smolletmwakamele42753 жыл бұрын

    Ila siziani kamainawe tikookea tetaaaaa kwamweee

  • @Dotto-hp3qf
    @Dotto-hp3qf6 ай бұрын

    Ukisikia baba wa TAIFA..basi zingatia baba wa TAIFA ni nani na na ni kwa kazi zao za kizalendo KATIKATI nchi yetu.

  • @isayamlimbila1522
    @isayamlimbila15222 жыл бұрын

    Cc

  • @georgebenard3923
    @georgebenard39232 жыл бұрын

    Ulionyesha njia iliosahihi na sisi tutafata nyayo zako

  • @magrethmussa7655
    @magrethmussa76552 жыл бұрын

    Udongo umemeza viongozi walioweza

  • @amanikudeli5297
    @amanikudeli52973 жыл бұрын

    R i p

  • @georgebenard3923
    @georgebenard39232 жыл бұрын

    Waliobaki sasaivi ni kina lema kazi yaokuu kusema uongoz wako hawa sera

Келесі