#NONDO

#isleblog Profesa Patrick Loch Otieno Lumumba kutoka Kenya kwa mada ya umuhimu wa Muungano na umoja katika bara la Afrika.

Пікірлер: 32

  • @RobertPaul-cg3rl
    @RobertPaul-cg3rl15 күн бұрын

    Congratulations 👏 to you pro.honnorable Patrick Lumumba,,, for the good Job And to show you the good participate in Tanzania by really And in actually we are supporting to be a one things forever and i needs support to you and African in general by my notion states that " MANJALA LIBERATION OF AFRICAN ASSOCIATION LEGACY (LAAL)2024 which have the main purposes; to advocate of human rights and their resources, to emphasize the people of Tanzania and African in general to refusion corruption, to maintain peace, unity, independence, solidarity and responsibilities in case of continue to make our economy improvemen especially poorly living standard people in Tanzania and African in general

  • @user-gp1hi7sw5k
    @user-gp1hi7sw5k4 ай бұрын

    Lumumba nakupenda kuliko watu wote

  • @user-ig2ol6oi9k
    @user-ig2ol6oi9k2 ай бұрын

    Huna mfano kaka Lumumba. Tunazidi kukuombea uzidi kuwaelimisha waafrika kwa ujumla wake. Pogenzi kaka wangu

  • @magangajosephat9919
    @magangajosephat9919 Жыл бұрын

    Prof.unaongea kiswahili fasaha. Hongera sana! Wewe ni mahiri katika matumizi ya Msamiati na misemo ya Kiswahili. Hakika wewe ni Profesa kweli kweli. Mungu akubariki sana katika uelimishaji wako.

  • @georgeantonisempeho1991
    @georgeantonisempeho1991 Жыл бұрын

    Very eloquent presentation from a true Pan-Africanist. It's very touching to listen to this Kenyan, who speaks very grounded Kiswahili Kiswahili fasaha), just he does speak very elaborate English! Amazing 😊. Big up Prof -- I am one of your admirers and I sincerely hope you will have the energy to keep educating the African elite on Pan- Africanism, whenever and wherever you get the slightest of opportunities. May God bless you Sir 😊.

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 Жыл бұрын

    Profesa Lumumba ana hoja na anaongea kiswahili kizuri sana

  • @LushidulaDula-np5md
    @LushidulaDula-np5md8 ай бұрын

    Afirika nzima Hana wakumfikia

  • @patriotkenya
    @patriotkenya Жыл бұрын

    Kiswahili kizuri profesa.umejieleza kwa ufasaha sana.pongezi

  • @daudimlamka1239
    @daudimlamka1239 Жыл бұрын

    Kizazi Cha Prof Lumumber kinapotea ,Sasa kizazi hiki Cha Leo Cha smart4n kinabaki bila maono ,RIP wazarendo mliotangulia ,Ahsante pro Lumumba

  • @danforddavid6023
    @danforddavid6023 Жыл бұрын

    very strong , speech ,

  • @LushidulaDula-np5md
    @LushidulaDula-np5md8 ай бұрын

    Siugombe ulaisi mbona unafaa Sana baba yetu

  • @user-xo3td4uh8r
    @user-xo3td4uh8r9 ай бұрын

    Mjomba nimekuelewa kwa kiinnnaa asante mjomba

  • @chriskimaro942
    @chriskimaro942 Жыл бұрын

    Mwanaujamaa mwenye uchungu na bara letu la Africa

  • @mahammoudhaji
    @mahammoudhaji Жыл бұрын

    Jembe limeongea kiswahili bila ya kutumia neno au sentens ya kiengereza

  • @johnsonprosper4073

    @johnsonprosper4073

    Жыл бұрын

    Najiuliza sisi wa Tz kiswahili sahihi kama hiki tunashindwa nini???

  • @user-co7bs2sm8g
    @user-co7bs2sm8g11 ай бұрын

    I wish to meet you

  • @KenyanDailyGossip
    @KenyanDailyGossip Жыл бұрын

    Tunajivunia prof lumumba kama wakenya

  • @abuuahmadabdul-rahman9025
    @abuuahmadabdul-rahman9025 Жыл бұрын

    Kiswahili sanifu huwezi amini mwanaujamaa Alie na uchungu na bara la Afrika mwenye uzalendo

  • @karisakwicha223
    @karisakwicha223 Жыл бұрын

    Bro unite is the answer

  • @juliussilvestar8988
    @juliussilvestar8988 Жыл бұрын

    Daudi mlamka kizazi kisichopenda kufikiri hakukosea raisi Mkapa un reasoning minds

  • @josephsebe5857
    @josephsebe58576 ай бұрын

    Wewe unganisha Ruto na Laila isije kuwa BIBLIA😂

  • @mwinyimwinyimkadam9948
    @mwinyimwinyimkadam9948 Жыл бұрын

    Karume mwenyewe ulimshinda katangaza hadharani kuuvunja wakamvunja yeye

  • @solomonwanjala7182
    @solomonwanjala7182 Жыл бұрын

    Huyu ni ngwinji na falsafa zake ni za busara mno.

  • @jumamuhd620
    @jumamuhd620 Жыл бұрын

    WAZANZIBAR hawataki MUUNGANO hata kuona

  • @ahmednuhu2386

    @ahmednuhu2386

    Жыл бұрын

    Hakuna hata MTU mmoja wa bara anaetaka muungano kwasabu sisi pia hatutegemei chochote kutoka kwenu

  • @ibrahimkhamis9699

    @ibrahimkhamis9699

    Жыл бұрын

    Sikilizeni hotuba kwanza, Ili muweze kuzitafakari fikra zenu

  • @chriskimaro942

    @chriskimaro942

    Жыл бұрын

    Kama huutaki muungano katuletee ule mchanga uliochangabywa uugawanyishe ule wa zanzibar na wa Tanganyika hapo utaweza kuugawa muungano.

  • @yudahwa-ta-seti6075

    @yudahwa-ta-seti6075

    23 күн бұрын

    Muungamo mpya was Afrika jameni😮

  • @NassorHassan-no1cr
    @NassorHassan-no1cr Жыл бұрын

    Muungano gani huu ?? Zanzibar ipo Tanganyika imejizika ktk kivuli cha muungano

  • @nicodemashaggite8429

    @nicodemashaggite8429

    Жыл бұрын

    Acha ubinafsi hizo ndo siasa za kihuni

Келесі