LISSU: Nchi Inafilisiwa kwa Mikataba Mibovu. Amkumbuka Tena Magufuli

Mkutano wa hadhara wa Tundu Lissu katika kata ya Kabindi wilayani Biharamulo Julai 30, 2023.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 148

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo830811 ай бұрын

    Asante Lisu nina uchungu zaidi yako, nitasemea wapi?

  • @emmanuelmsabila4875
    @emmanuelmsabila487511 ай бұрын

    Sio rahisi kumwelewa huyu bwana kwani inahitajika akili kubwa sana kuliko kawaida

  • @kisangageorgethomasi2830

    @kisangageorgethomasi2830

    11 ай бұрын

    Kabisa

  • @zawadimbwambo1091

    @zawadimbwambo1091

    11 ай бұрын

    Huyu jamaa ni madini tupu, ndio maana hakufa kwa marisasi meengi, kwakga mungh hamgachi mtu wa haki,

  • @ipyanapaulo4774

    @ipyanapaulo4774

    11 ай бұрын

    Nikweli kabisa risu yupo sawa sana ila kwa wajinga hawezi kumuelewa kabisa

  • @alicempuya5238

    @alicempuya5238

    11 ай бұрын

    ​@@zawadimbwambo1091kweli kabisa

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u11 ай бұрын

    Ila kweli ni lini sisi wenyewe tutasimamia mambo yetu?? Hatuwezi kuishi kutegemea kila kitu kiendeshwe na wageni.

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo830811 ай бұрын

    Asante professional Lisu kwa kuwaelimisha watanzania

  • @frankmushi8892
    @frankmushi889211 ай бұрын

    Jamaa nakubali sanaaa mungu tulindie iki chumaaa kije kitawale hii nnchi

  • @eliannko
    @eliannko11 ай бұрын

    Mi sijui kweli kwanini nchi inaviongozi wa vivu wa kufikiria sisi sio watu wakusaidiwa Kila kitu adi kutengeneza kibiriti

  • @user-gb8zc1yl4h
    @user-gb8zc1yl4h11 ай бұрын

    Asante baba kuelewa shida

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743811 ай бұрын

    Tutamkumbuka sana hayati magufuli mungu amlaze mahali pema peponi amina amka magufuli uone nchi inauzwa ulikataa mikataba mibovu sasa nchi imeuzwa kwa waraabu bandari zote na maziwa sijui vizazi vya sasa na vijavyo vitaishi vipi mungu tenda miujiza mkataba ufe

  • @patrobamalema8631
    @patrobamalema863111 ай бұрын

    MTANIKUMBUKA KWA MAZURI NA SII KWA MABAYA😅😅😅😅😅😅🏃🏃🏃🏃🏃

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo830811 ай бұрын

    Samia wee, ni Lini utapata akili ya kujitambua kuwa maovu unayotenda yatakurudia?

  • @BarakaElnest-ox7pb
    @BarakaElnest-ox7pb11 ай бұрын

    Lisu ww ni mnafiki wa kiwango cha juu sana umekuwa bungeni umelisaidiaje taifa wakat wa magufuli ulisema ujinga ujinga sasa hv unalalamika nn sasa

  • @noelsanga6853
    @noelsanga685311 ай бұрын

    Akili kubwaaaa

  • @kahmardintebe9266
    @kahmardintebe926611 ай бұрын

    Big up point sana

  • @jamesmbale9508
    @jamesmbale950811 ай бұрын

    Mungu akulinde lisu upewe maua yako🌷🌷🌷🌷♥️

  • @user-el6mm4lh4m
    @user-el6mm4lh4m11 ай бұрын

    Na yeye mbnaa aliponda sana utawala wa magufuli na mama amejitaidi kufanya tofauti yale ya awamu tano huyu huyu teena amekuwa kipaumbele kumpnga mama zuri kwake nilipi mwenyezi mungu ampe nguvu mama asimame imara lengo la huyu jamaa kumharibia mama kisiasa watanzania tusimame imara kuelimishana huyu jamaa mubinafsi afu mnafki yy haoni mema anaona mabaya2

  • @frankmushi8892

    @frankmushi8892

    11 ай бұрын

    Wewe ni pimbi uwezi muelewa uyu lisu kwakuwa akili yako ni ndogo sana inatosha kula na kunyaaa

  • @thamani5842

    @thamani5842

    11 ай бұрын

    ​@@frankmushi8892tutamuelewa vipi na haeleweki?

  • @mkritowamungu
    @mkritowamungu11 ай бұрын

    Hawajagawa ila wamepitia kwenye campuni ya Dp world, uo mkataba ni wa mabaaria tulio andaa kama wananchi, mm ni shahidi tuliandaa sisi mabaaria ila mbarawa hakutaka kabisa mabaaria tuingie bandarini.

  • @lizyliz5357
    @lizyliz535711 ай бұрын

    Unarudia aliyokataza Magufuli wakati mlimtukana

  • @hamzajumaa3849
    @hamzajumaa384911 ай бұрын

    Upo vizuri

  • @amohammed3390
    @amohammed339011 ай бұрын

    Investment iko popote duniani zama hizi. Kitu muhimu ni kuwa makini. CHADEMA si viongozi. Wao wana matatizo na waarabu tu. Hawana matatizo na WACHINA wala wazungu waliojaa fukweni.

  • @ipyanapaulo4774
    @ipyanapaulo477411 ай бұрын

    Lisu ubarikiwe sana kamanda wewe ndiyo sauti ya wangonge tuona kuombea afya njema kwako

  • @hezekimwakipesile610
    @hezekimwakipesile61011 ай бұрын

    Wewe lisu unafaa sana kukosoa inchi na viongozi wanaokosea na kuasili kuitii katiba ya nchi lkn usiongoze kipaji cha kiongoza Inchi si cha kwako

  • @user-el6mm4lh4m
    @user-el6mm4lh4m11 ай бұрын

    Na atambue hkna binadamu yyte anayeweza kufanya mazuri bila mabaya na binadamu hata ungefanya mazuri yte cku ukikosea kidogo2 yte yanafutwa amesahau ypo hapa Tanzania kwa msaada wa mama leo teena mama mubaya watanzania tusimame imara na viongozi kma tindu lisu ambao ni wapotoshaji

  • @abuumaryam1922

    @abuumaryam1922

    11 ай бұрын

    Arud alipokimbilia hatumtak

  • @henryndosi2002
    @henryndosi200211 ай бұрын

    Tundu lisu shoga huaminiki ni mpotoshaji mkubwa

  • @othmarluwawilo8308

    @othmarluwawilo8308

    11 ай бұрын

    Kuma mayo

  • @eliannko

    @eliannko

    11 ай бұрын

    Ata wewe ni shoga

  • @robertmhikwa8174

    @robertmhikwa8174

    11 ай бұрын

    mbwa koko wewe

  • @kisangageorgethomasi2830

    @kisangageorgethomasi2830

    11 ай бұрын

    We choko ushazoea vya kunyonga acha dawa iingie

  • @saidmabanga388

    @saidmabanga388

    11 ай бұрын

    Mkundu ww

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye597211 ай бұрын

    Wewe tulikukabidhi kwa wageni wa ubeligiji, ukagonga supu ya ngurue huko , ukanenepa sasa unatapika sumu uliyolishwa na wabeligiji, ama kweli shukrani ya mapunda ni mateke

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    11 ай бұрын

    Nyoko wew.. naona unamtamani Sana huyo nguruwe wakupikie

  • @abelbehumble255
    @abelbehumble25511 ай бұрын

    Mama ameshindwa kazi kama ni hivi hatutakubali tupo bega kwa bega na wewe

  • @husnashehe1721
    @husnashehe172111 ай бұрын

    Wakit wa magu alikuwa mnasema muwaji saiv kafa mnamsifu siasa bwana kitu hatari

  • @emariusrush3285

    @emariusrush3285

    11 ай бұрын

    simamia suala la bandari,acha nyonyoko

  • @JohnMngongo-ol6hk
    @JohnMngongo-ol6hk11 ай бұрын

    Watanzania tujitathimini tunaendawapi hayaaaa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro66624 ай бұрын

    Alfu anaendelea kuwa kaidi ana kiburi sana hii ndiyo hatari ya kutawaliwa na wageni. Samia ni mgeni kwani ni mzanzibar na Zanzibar ina serikali yake kamili, ina raisi wake ina Katiba yake .kwahiyo Samia siyo mtanganyika hata kidogo si mama yake wala baba yake ila ni mgeni kwahiyo hajali lo lote kuhusu Tanganyika yenu mtajijua wenyewe hata kama mtatawaliwa na warabu ka vile ni mbia mtatawalia na Samia na warabu watawala nini watanganyika.

  • @mohamediabdalah7650
    @mohamediabdalah765011 ай бұрын

    Hauna mada kila siku mada hiyo hiyotu. Kwani kampeni zimeanzanini subirimi uchaguzi keleletu

  • @shabanikavula1304

    @shabanikavula1304

    11 ай бұрын

    HUYU jamaa alishafilisika kisiasa Ila hajajitambua.imebaki commedy

  • @benson20301
    @benson2030111 ай бұрын

    Inaumiza sana kama juzi mawakili wa Tanzania walipigwa fain na kampuni ya wHindi bilion240 inauma

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq11 ай бұрын

    Magufuri alisema walituachia mashimo na wanainch tukiendelea kuwa masikini

  • @user-gn8vu3tb4h
    @user-gn8vu3tb4h11 ай бұрын

    Ww lissu mnafiq Leo unamkumbukakumbuka magufuli!!!! Je unataka nchi uipeleke Ubelgiji nchi ina miko ww udaiwi najua hiyo ni tamaaa uongozi tunajua unadaiwa ubeligiji

  • @user-vh2tt3jw7c
    @user-vh2tt3jw7c11 ай бұрын

    Mungu isaidie tanzania

  • @ambakisyemwailongano6078
    @ambakisyemwailongano607811 ай бұрын

    Sawa

  • @josephmatthew2915
    @josephmatthew291511 ай бұрын

    Iposiku watayakumbuka haya maneno nikopale nimekaa

  • @theresiakessy4747
    @theresiakessy474711 ай бұрын

    Tatizo ni kwamba hawa viongozi wetu wanapita bila kuchagiwa na ndio maana hawana uchungu wao wana Wanachojali ni familia zao tu mungu anwaona

  • @loserian22lmllukumay55
    @loserian22lmllukumay5511 ай бұрын

    Chuyu mzee hatawahi ridhika

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do11 ай бұрын

    Samia ni kichaa kabisa

  • @RugemaliraRenatus-rf6yv
    @RugemaliraRenatus-rf6yv10 ай бұрын

    Anzeni kuanda vijana wadogo ambao watakuwa na moyo wachama undani timu ya mpira wa miguu netiboli nk

  • @maryam-ol8nh
    @maryam-ol8nh11 ай бұрын

    Daah

  • @oklahommy9838
    @oklahommy983811 ай бұрын

    Huyu ndie aliesema hayati magufuli ni kiongozi mbaya kuwahi kutokea

  • @amohammed3390
    @amohammed339011 ай бұрын

    Wabaya sana hawa CHADEMA. Hawa bado hawana uwezo wa kuendesha serikali. Wabaguzi. Wazanzibari wazanzibari wameuza bandari. Wana fitna sana hawa

  • @ramadhanchenga4606

    @ramadhanchenga4606

    2 ай бұрын

    We ni mjinga to the maximum

  • @bullekisimikwe3852
    @bullekisimikwe385211 ай бұрын

    Ndio maana Nyerere hajawahi kuvaa sare za CCM inaoneka zile sare ukivaa na akili inahama

  • @ronniebertin3563

    @ronniebertin3563

    10 ай бұрын

    Mzee niko nje ya bongo nikitua bongo nakupa maua yako

  • @bongo39
    @bongo3911 ай бұрын

    Wewe ulikuwa unamsema magufuli eti leo hii unamsifia kwa kweli huyu mtu ni mnafik sana anatapika kisha anaramba matapishi yake mbowe kila mda yuko mbwii na lisu ni mtoto wa watu leo hii tuwe na rais choko au mlevi tutafika kweli jamani na wengi wanao waunga mkono ni wavuta bangi walevi mashoga wenzao

  • @teriiUrasa-ut1mt
    @teriiUrasa-ut1mt11 ай бұрын

    Waambiehao

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa7411 ай бұрын

    Wadanganye wavivu wa kufikiri. We muongo tu.We ulimwita hayati Jpm dikteta uchwara. Tunakumbuka vema kashfa zako. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu. Unatafuta majority. "You've failed alot. "

  • @williammbuzimai5744

    @williammbuzimai5744

    11 ай бұрын

    Jenga angalau point, Mbona hueleweki!!!

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro66624 ай бұрын

    Samia amepewa jumba la kifalme huko Dubei hana shida ni zetu watanganyika.

  • @MwanaidiChilumba-f7c
    @MwanaidiChilumba-f7c8 күн бұрын

    Hatuna viongozi tanzania jamani

  • @danielchacha1305
    @danielchacha130511 ай бұрын

    Ni vigumu kuamini kile ambacho kinaendelea katika CCM yaani viongozi hawana uzalendo wala aibu hata kidogo. Tanganyika kuna msiba wa Bandari zetu kupewa Waarabu wao wanasema ni harusi!

  • @alicempuya5238
    @alicempuya523811 ай бұрын

    Sema baba

  • @sallkazi9319
    @sallkazi931911 ай бұрын

    Mikataba ipi mibovu? Hebu tuorodheshe mikataba mibovu mingapi mama ameingia? Muulizeni?

  • @nestor384

    @nestor384

    11 ай бұрын

    uko timamu kweli, mkataba wa bandari zetu zote

  • @nestor384

    @nestor384

    11 ай бұрын

    Ni mpumbavu tu aweza afiki kuhusu hii mkataba ya bandari zetu zote

  • @robertmhikwa8174

    @robertmhikwa8174

    11 ай бұрын

    akili huna

  • @amanilucy

    @amanilucy

    11 ай бұрын

    Huna akili zero brain wew

  • @SamwelMtegandi-tq6hg
    @SamwelMtegandi-tq6hg11 ай бұрын

    Pongezi kiongoz

  • @mussamwimbi5-uu8tq
    @mussamwimbi5-uu8tq11 ай бұрын

    Ccm wez wote wako km bendela fataupepo kuwanzia viongoz mbaka wanachamawao wanajifanya vinyonga

  • @eunicemaganga4350
    @eunicemaganga435011 ай бұрын

    Muache kumtaja hayati Bwana unaharibu

  • @williammbuzimai5744

    @williammbuzimai5744

    11 ай бұрын

    Ndio alietuongezea matatizo

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    11 ай бұрын

    @@williammbuzimai5744 bundi wew

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro66624 ай бұрын

    Hakuna hata moja. Hao warabu hawachukui kodi lolote. Hapo wanataka kuhakikisha kuwa vyote vizuri ni vya warabu. Ati widhini Tanganyika kuna potion ya Tanganyika ati ni ya warabu. Je ninyi mnayo sehemu huko uwarabuni? Labda Samia anabadirishana na warabu na sehemu aliyo pewa huko maana ZANZIBAR huwezi kuwachezea kama anavyo chezea Tanganyika.

  • @ibrahimjuma9709
    @ibrahimjuma970911 ай бұрын

    Ohoo kumbe unawapigia debe wazungu waje kuwekeza badara ya waharabu😮😮😮😮 hii ni njia tu kutafuta kura wewe ndiye utauza kabisa nchi uamie Ubelgiji

  • @anteliusrweyongeza-qb6uu
    @anteliusrweyongeza-qb6uu11 ай бұрын

    Mh uko vzr ukweli uko palepale

  • @julianamasunga3458
    @julianamasunga345811 ай бұрын

    Haya mambo siyo yakuwachekea ccm.

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad633111 ай бұрын

    Na Tundulisu tumewakabidhi WAGENI.

  • @abelsonda4486

    @abelsonda4486

    11 ай бұрын

    😆😆😆

  • @charleslyimo144
    @charleslyimo14411 ай бұрын

    Sioni udin ktk mambo ya bandari,ila wapo watu wanaulazim😅sha tuone udin na kn katik mambo y bahar

  • @hamisimbena326
    @hamisimbena32611 ай бұрын

    Na bandar ya kwenu usisema wahalabu arafu wageni ndiooo ni we apo kama mzim gu

  • @joojombi2341
    @joojombi234111 ай бұрын

    Muongo mkubwa huyo mlevi mkubwa huyo hana issue mpuuzi mtupu mkimbizi fatani muongo mkubwa laana tu kwa uongo mtupu

  • @abelbehumble255
    @abelbehumble25511 ай бұрын

    Sijui watanzania mnataka nini tena huyu mwamba hakufa kwa yale marisasi kuna sababu muhim amewekwa kuja kuikomboa Tanzania Mungu amlinde sana Lissu

  • @onesmoakwilini7197
    @onesmoakwilini719711 ай бұрын

    Tundu lissu HAZINA YETU

  • @kahmardintebe9266
    @kahmardintebe926611 ай бұрын

    Shida mawakala wamo humuhumu tanzania shamba la bibi

  • @amohammed3390
    @amohammed339011 ай бұрын

    Nyinyi si ndio mnaeategemea wazungu. Unasema nini wee

  • @kudramzee5769
    @kudramzee576911 ай бұрын

    Huyu lissu ni mchochezi

  • @Clement-px8eg
    @Clement-px8eg11 ай бұрын

    wameshindwa waondoke

  • @salehali976
    @salehali97611 ай бұрын

    Kama hatuna uwezo wa kuendesha wacha tuwaite wakoloni watutawale tena

  • @BennyChatanda
    @BennyChatanda11 ай бұрын

    Hawa...wangeondka tu madarakani Kila kitu hawawezi Sasa wakaa madarakani kutafta nn

  • @hamzajumaa3849
    @hamzajumaa384911 ай бұрын

    2025 rais chadema

  • @shantungamaumba7159
    @shantungamaumba715911 ай бұрын

    Binadamu bwanaaa!!!

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba11 ай бұрын

    Ccm ni wakala wa kuzimi Moto unawasubiria wasipotubu

  • @ssam3385
    @ssam338511 ай бұрын

    Hiyo ni kampeni za uchaguzi

  • @lovechadali3923
    @lovechadali392311 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @ssam3385
    @ssam338511 ай бұрын

    We muuwaji damu ya magu inakutafuna

  • @daudimichael7338
    @daudimichael733811 ай бұрын

    Kwahiyo tufanyeje kuhusu mikataba mibovu, kama tukiivunja tunalipa faini?

  • @bonnymakuke3153

    @bonnymakuke3153

    11 ай бұрын

    Amesema ni Bora tukivunja mapema tutalipizwa kidogo ila tukichelewa wakasimika mitambo Yao alafu ndo tuje tuvunje fain tutakayo lipishwa itakua kubwa kuliko maelezo si unaona2 ya magufuri ni kweli alivunja kwa Nia njema kwa sababu ilifungwa iviivi na haikua na faida kwetu waliokua wananufaika walikua wao wazungu! Lakini alijikuta ameshachelewa watu wamesha Anza na kuchimba wamejaza mitambo Yao ndo maana Leo inatughalim kwa kulipiswa pesa nyingi na Bado wanachimba kama kawaid 😢😢😢😢

  • @abuumaryam1922
    @abuumaryam192211 ай бұрын

    Ulikimbia Nchi wewe porojo tu tembea zako

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji11 ай бұрын

    SAME STORY HAKUNA HOJA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿BLAMING CULTURE YA CHADEMA NOTHING NEW 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿WE NEED NEW CHALLENGE FOR CHADEMA NEWLEDERSHIP 😢😢😢😢😢HAWA VIONGOZI HAWAWEZI KUANGUSHA CCM WAKO KWA MATUMBO YAO NA KULA RUZUKU MIAKA YOTE 😢HECHE AFADHALI ANAONGEA POINT LAKINI HAWA WENGINE NI COMEDY NA WADINI NA WAKABILA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥵🥵

  • @makobamasawemangu4122

    @makobamasawemangu4122

    11 ай бұрын

    Wew ni lijinga tu Kama majinga mengine sis wenye hakir tunawaelewa sana taira ww

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    11 ай бұрын

    @@makobamasawemangu4122 MASAWE NO MORE KUUZA VITU YA WIZI AMBAYO HAIJALIPIWA USHURU 🥵🥵🥵🥵MASAWE ANZA KURUDI MACHAME UKANYWE MBEGE NA KUCHEZA KAMARI 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    11 ай бұрын

    @@makobamasawemangu4122 LISU ATAPIGIWA KURA NA MASHOGA WA TUKUYU NA KYELA TU 🥵🥵🥵🥵🥵🥵🥵

  • @benson20301

    @benson20301

    11 ай бұрын

    Wantanzania wamekatiri hoja hoja hajui maana ake huyu msenge.lisu ametoa hoja nyingi afu jitu linasema hoja

  • @rebeccamsami4580
    @rebeccamsami458011 ай бұрын

    Nina uchungu na huu umaskini kwa sababu za kijinga kabisa.kuna haja gani kuendelea kutawaliwa na huyu mama?

  • @user-rk5el9kj6b
    @user-rk5el9kj6b11 ай бұрын

    Chukua hatua wewe kama mpinzani kuitetea nchi yako

  • @joojombi2341
    @joojombi234111 ай бұрын

    Siulikua ukimtukana mwenyewe fatani mkubwa huna ya kuongea mlevi mkubwa wee nenda kwenu Ubeligiji fatani mkubwa muongo mkubwa

  • @charlesmwankupili8177
    @charlesmwankupili817711 ай бұрын

    Acha uongo wewe zwazwa na mazwazwa wenzio

  • @eliannko

    @eliannko

    11 ай бұрын

    Wewe ni chawa

  • @robertmhikwa8174

    @robertmhikwa8174

    11 ай бұрын

    mbwa wewe

  • @vitalisvedastus5191

    @vitalisvedastus5191

    11 ай бұрын

    Sijawahi ona Charles mpumbavu kama wewe

  • @sarahjames2287

    @sarahjames2287

    11 ай бұрын

    wewe Charles ni fisimaji mla mafisi wenzie paka shume

  • @user-rk3iz1sb2m
    @user-rk3iz1sb2m11 ай бұрын

    Akili yako ni kama Tundu tu. Tundu hufanyaje? jibu mwenyewe. KIBOKO chako kimeondoka unatamba kijinga jinga tu.

  • @selemankishema5780
    @selemankishema578011 ай бұрын

    Magufuli hakuwa na upumbavu wa kuwaruhusu hawa wajinga kujadili mambo ya faida mama cheka na hawa mbwa mwisho wake utauona wewe jambo lenye faida ukiona lina faida fanyia kazi hata magufuli nani alijadili mikataba yake?

  • @kisangageorgethomasi2830

    @kisangageorgethomasi2830

    11 ай бұрын

    Acha uchawa ww zwazwa kwani magu akupingwa au ilikua kiziwi na kipofu ushazoea vya kunyonga acha dawa iingie au umetoroka mirembe

  • @bcozhenry2698

    @bcozhenry2698

    11 ай бұрын

    Ulisikia wapi Magufuli anafagilia mikataba ya kijinga kama hii? Magufuli alikuwa na mapungufu yake, lakini kwenye kitu kinaitwa kulinda rasilimali za nchi hakuruhusu upumbavu hata kidogo!

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye597211 ай бұрын

    Yaani huyu jamaa ninavyomchukia siku hizi! Ni muongo ni hatari

  • @augustinecassian1242

    @augustinecassian1242

    11 ай бұрын

    Mikataba mibovu ndo imetufanya hadi leo tanzania inazidi kuwa masikini

  • @BennyChatanda

    @BennyChatanda

    11 ай бұрын

    Mpuuzi. Kma wapuuzi wengne

  • @user-el6mm4lh4m
    @user-el6mm4lh4m11 ай бұрын

    haoni mazuri ya mama kwke anaona mabaya2 huyu sio mwanasiasa ni mchochezi na pia anachochea udini ushauri wangu mama afanye lile analoliona linafaa kila mtawala anakarama yke na hkna mwanadamu atakayeweza kufanya mazuri2

  • @marrymenas
    @marrymenas11 ай бұрын

    Haka kalisu ni kashenzi eeh?! Hakawezi kujieleza bila kuwatamka wafu? Man yoko!

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg30711 ай бұрын

    Bandar apana mama katukosea

  • @emmanuelmsabila4875

    @emmanuelmsabila4875

    11 ай бұрын

    Sio rahisi kuelewa nini anasema huyu bwana inahitajika akili kubwa

  • @shabanikavula1304

    @shabanikavula1304

    11 ай бұрын

    HUYU NI hatari kwa uongo anasoma mkataba Kisha anaandaa uongo.ujinga NI mzigo

  • @shabanikavula1304

    @shabanikavula1304

    11 ай бұрын

    TULISHAKUCHOKA BHANA HUSOMI VZR NA KUULEWA NA KUULEZEA KWA MAZURI UNACHOJUA WEWE NI KULITUMBUKIZA TAIFA KNY MATUSI WEWE NDIO MUANZILISHI

  • @shabanikavula1304

    @shabanikavula1304

    11 ай бұрын

    Anawadanganya HUYU bwana siku HIO anayoshawishi mwambieni akae MSTARI wa MBELE yeye na familia yake uone km atakaa!!!

  • @tanzaniakwanza1699
    @tanzaniakwanza169911 ай бұрын

    Tundu yuko sahihi kabisa. Kuwa tunashitakiwa majuu. Ila, Ni bora tulipe fidia bali wawekezaji wasio na faida kwetu waondoke.

  • @healingsschool4630
    @healingsschool463011 ай бұрын

    Kama hujardhika Nendeni mahakamani au kaonane na Mama umwambie. Si unakumbuka alikuja kukupa pole ulipopigwa risasi? Au nenda kamwone mume wake umwambie huyo ni Mwanamke tu

  • @abbyadams8691

    @abbyadams8691

    11 ай бұрын

    Chawa kazini,

  • @rehema971

    @rehema971

    11 ай бұрын

    CCM hapo meshika baya majuto baadae nchi imeisha

  • @user-el6mm4lh4m
    @user-el6mm4lh4m11 ай бұрын

    Huyu ni kiongozi mnafiki yeye kila jambo kupinga amesahau wema wa mama kpndi amepata matatizo leo awamu ya tano anaona ni bora kpndi cha utawala wa awamu ya tano huyuhuyu alisema magufuli gaidi leo teena mwema watanzania wajinga watamsikiliza hotuba zake

  • @Albert-bi3le
    @Albert-bi3le11 ай бұрын

    Magufuri alikuwa mwamba wala hata kuja tokea tena maneno yake ya mwisho mtanikumbuka sikumoja

  • @sallkazi9319
    @sallkazi931911 ай бұрын

    Faini hizo nani alisababisha tukalipishwa? Mbona humtaji? Nani amekiuka mikataba kijingakijinga ? Mtaje

  • @lucaspaulo5371

    @lucaspaulo5371

    11 ай бұрын

    Kwani hujui ni serikali ya ccm akiwepo wakiwepo marais kumtoa Magufuli tu maana Magufuli alikuwa mpangua mikataba ya hovyo na kwa taarifa yenu Magufuli wazungu aliwaweza na wakawezeka, ila alipokufa kwa sababu maizi yapo ndo marafiki na waizi wa kizungu wamegeuka upande wa pili washirikiane kuishtaki serikali kwa ajili ya Magufuli kisha watu wapige hela, wananchi mpaka mtii bila shuruti kuhamia Burundi si mnakataaga au hamkusikia mwigulu alivyowaambia.

  • @kisangageorgethomasi2830

    @kisangageorgethomasi2830

    11 ай бұрын

    Uspotumia akili akili itakutumikisha

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa384211 ай бұрын

    Bongo jalala unafiki ndo mwingi wanasifiana kwa mgongo wa chupa

  • @joojombi2341
    @joojombi234111 ай бұрын

    Mlevi mkubwa fatani mkubwa kabimwe akili mkimbizi mmja

  • @joojombi2341
    @joojombi234111 ай бұрын

    Mpumbavu mkubwa raia wa Ubeligiji mlevi mkubwa muongo mkubwa

  • @chinxflaaw4908
    @chinxflaaw490811 ай бұрын

    Mnafiki wewe bandari haijauzwa nimkataba

Келесі