LISSU: Nchi Inafilisiwa kwa Mikataba Mibovu. Amkumbuka Tena Magufuli
Mkutano wa hadhara wa Tundu Lissu katika kata ya Kabindi wilayani Biharamulo Julai 30, 2023.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.
Пікірлер: 148
Asante Lisu nina uchungu zaidi yako, nitasemea wapi?
Sio rahisi kumwelewa huyu bwana kwani inahitajika akili kubwa sana kuliko kawaida
@kisangageorgethomasi2830
11 ай бұрын
Kabisa
@zawadimbwambo1091
11 ай бұрын
Huyu jamaa ni madini tupu, ndio maana hakufa kwa marisasi meengi, kwakga mungh hamgachi mtu wa haki,
@ipyanapaulo4774
11 ай бұрын
Nikweli kabisa risu yupo sawa sana ila kwa wajinga hawezi kumuelewa kabisa
@alicempuya5238
11 ай бұрын
@@zawadimbwambo1091kweli kabisa
Ila kweli ni lini sisi wenyewe tutasimamia mambo yetu?? Hatuwezi kuishi kutegemea kila kitu kiendeshwe na wageni.
Asante professional Lisu kwa kuwaelimisha watanzania
Jamaa nakubali sanaaa mungu tulindie iki chumaaa kije kitawale hii nnchi
Mi sijui kweli kwanini nchi inaviongozi wa vivu wa kufikiria sisi sio watu wakusaidiwa Kila kitu adi kutengeneza kibiriti
Asante baba kuelewa shida
Tutamkumbuka sana hayati magufuli mungu amlaze mahali pema peponi amina amka magufuli uone nchi inauzwa ulikataa mikataba mibovu sasa nchi imeuzwa kwa waraabu bandari zote na maziwa sijui vizazi vya sasa na vijavyo vitaishi vipi mungu tenda miujiza mkataba ufe
MTANIKUMBUKA KWA MAZURI NA SII KWA MABAYA😅😅😅😅😅😅🏃🏃🏃🏃🏃
Samia wee, ni Lini utapata akili ya kujitambua kuwa maovu unayotenda yatakurudia?
Lisu ww ni mnafiki wa kiwango cha juu sana umekuwa bungeni umelisaidiaje taifa wakat wa magufuli ulisema ujinga ujinga sasa hv unalalamika nn sasa
Akili kubwaaaa
Big up point sana
Mungu akulinde lisu upewe maua yako🌷🌷🌷🌷♥️
Na yeye mbnaa aliponda sana utawala wa magufuli na mama amejitaidi kufanya tofauti yale ya awamu tano huyu huyu teena amekuwa kipaumbele kumpnga mama zuri kwake nilipi mwenyezi mungu ampe nguvu mama asimame imara lengo la huyu jamaa kumharibia mama kisiasa watanzania tusimame imara kuelimishana huyu jamaa mubinafsi afu mnafki yy haoni mema anaona mabaya2
@frankmushi8892
11 ай бұрын
Wewe ni pimbi uwezi muelewa uyu lisu kwakuwa akili yako ni ndogo sana inatosha kula na kunyaaa
@thamani5842
11 ай бұрын
@@frankmushi8892tutamuelewa vipi na haeleweki?
Hawajagawa ila wamepitia kwenye campuni ya Dp world, uo mkataba ni wa mabaaria tulio andaa kama wananchi, mm ni shahidi tuliandaa sisi mabaaria ila mbarawa hakutaka kabisa mabaaria tuingie bandarini.
Unarudia aliyokataza Magufuli wakati mlimtukana
Upo vizuri
Investment iko popote duniani zama hizi. Kitu muhimu ni kuwa makini. CHADEMA si viongozi. Wao wana matatizo na waarabu tu. Hawana matatizo na WACHINA wala wazungu waliojaa fukweni.
Lisu ubarikiwe sana kamanda wewe ndiyo sauti ya wangonge tuona kuombea afya njema kwako
Wewe lisu unafaa sana kukosoa inchi na viongozi wanaokosea na kuasili kuitii katiba ya nchi lkn usiongoze kipaji cha kiongoza Inchi si cha kwako
Na atambue hkna binadamu yyte anayeweza kufanya mazuri bila mabaya na binadamu hata ungefanya mazuri yte cku ukikosea kidogo2 yte yanafutwa amesahau ypo hapa Tanzania kwa msaada wa mama leo teena mama mubaya watanzania tusimame imara na viongozi kma tindu lisu ambao ni wapotoshaji
@abuumaryam1922
11 ай бұрын
Arud alipokimbilia hatumtak
Tundu lisu shoga huaminiki ni mpotoshaji mkubwa
@othmarluwawilo8308
11 ай бұрын
Kuma mayo
@eliannko
11 ай бұрын
Ata wewe ni shoga
@robertmhikwa8174
11 ай бұрын
mbwa koko wewe
@kisangageorgethomasi2830
11 ай бұрын
We choko ushazoea vya kunyonga acha dawa iingie
@saidmabanga388
11 ай бұрын
Mkundu ww
Wewe tulikukabidhi kwa wageni wa ubeligiji, ukagonga supu ya ngurue huko , ukanenepa sasa unatapika sumu uliyolishwa na wabeligiji, ama kweli shukrani ya mapunda ni mateke
@annasolomon9855
11 ай бұрын
Nyoko wew.. naona unamtamani Sana huyo nguruwe wakupikie
Mama ameshindwa kazi kama ni hivi hatutakubali tupo bega kwa bega na wewe
Wakit wa magu alikuwa mnasema muwaji saiv kafa mnamsifu siasa bwana kitu hatari
@emariusrush3285
11 ай бұрын
simamia suala la bandari,acha nyonyoko
Watanzania tujitathimini tunaendawapi hayaaaa
Alfu anaendelea kuwa kaidi ana kiburi sana hii ndiyo hatari ya kutawaliwa na wageni. Samia ni mgeni kwani ni mzanzibar na Zanzibar ina serikali yake kamili, ina raisi wake ina Katiba yake .kwahiyo Samia siyo mtanganyika hata kidogo si mama yake wala baba yake ila ni mgeni kwahiyo hajali lo lote kuhusu Tanganyika yenu mtajijua wenyewe hata kama mtatawaliwa na warabu ka vile ni mbia mtatawalia na Samia na warabu watawala nini watanganyika.
Hauna mada kila siku mada hiyo hiyotu. Kwani kampeni zimeanzanini subirimi uchaguzi keleletu
@shabanikavula1304
11 ай бұрын
HUYU jamaa alishafilisika kisiasa Ila hajajitambua.imebaki commedy
Inaumiza sana kama juzi mawakili wa Tanzania walipigwa fain na kampuni ya wHindi bilion240 inauma
Magufuri alisema walituachia mashimo na wanainch tukiendelea kuwa masikini
Ww lissu mnafiq Leo unamkumbukakumbuka magufuli!!!! Je unataka nchi uipeleke Ubelgiji nchi ina miko ww udaiwi najua hiyo ni tamaaa uongozi tunajua unadaiwa ubeligiji
Mungu isaidie tanzania
Sawa
Iposiku watayakumbuka haya maneno nikopale nimekaa
Tatizo ni kwamba hawa viongozi wetu wanapita bila kuchagiwa na ndio maana hawana uchungu wao wana Wanachojali ni familia zao tu mungu anwaona
Chuyu mzee hatawahi ridhika
Samia ni kichaa kabisa
Anzeni kuanda vijana wadogo ambao watakuwa na moyo wachama undani timu ya mpira wa miguu netiboli nk
Daah
Huyu ndie aliesema hayati magufuli ni kiongozi mbaya kuwahi kutokea
Wabaya sana hawa CHADEMA. Hawa bado hawana uwezo wa kuendesha serikali. Wabaguzi. Wazanzibari wazanzibari wameuza bandari. Wana fitna sana hawa
@ramadhanchenga4606
2 ай бұрын
We ni mjinga to the maximum
Ndio maana Nyerere hajawahi kuvaa sare za CCM inaoneka zile sare ukivaa na akili inahama
@ronniebertin3563
10 ай бұрын
Mzee niko nje ya bongo nikitua bongo nakupa maua yako
Wewe ulikuwa unamsema magufuli eti leo hii unamsifia kwa kweli huyu mtu ni mnafik sana anatapika kisha anaramba matapishi yake mbowe kila mda yuko mbwii na lisu ni mtoto wa watu leo hii tuwe na rais choko au mlevi tutafika kweli jamani na wengi wanao waunga mkono ni wavuta bangi walevi mashoga wenzao
Waambiehao
Wadanganye wavivu wa kufikiri. We muongo tu.We ulimwita hayati Jpm dikteta uchwara. Tunakumbuka vema kashfa zako. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu. Unatafuta majority. "You've failed alot. "
@williammbuzimai5744
11 ай бұрын
Jenga angalau point, Mbona hueleweki!!!
Samia amepewa jumba la kifalme huko Dubei hana shida ni zetu watanganyika.
Hatuna viongozi tanzania jamani
Ni vigumu kuamini kile ambacho kinaendelea katika CCM yaani viongozi hawana uzalendo wala aibu hata kidogo. Tanganyika kuna msiba wa Bandari zetu kupewa Waarabu wao wanasema ni harusi!
Sema baba
Mikataba ipi mibovu? Hebu tuorodheshe mikataba mibovu mingapi mama ameingia? Muulizeni?
@nestor384
11 ай бұрын
uko timamu kweli, mkataba wa bandari zetu zote
@nestor384
11 ай бұрын
Ni mpumbavu tu aweza afiki kuhusu hii mkataba ya bandari zetu zote
@robertmhikwa8174
11 ай бұрын
akili huna
@amanilucy
11 ай бұрын
Huna akili zero brain wew
Pongezi kiongoz
Ccm wez wote wako km bendela fataupepo kuwanzia viongoz mbaka wanachamawao wanajifanya vinyonga
Muache kumtaja hayati Bwana unaharibu
@williammbuzimai5744
11 ай бұрын
Ndio alietuongezea matatizo
@annasolomon9855
11 ай бұрын
@@williammbuzimai5744 bundi wew
Hakuna hata moja. Hao warabu hawachukui kodi lolote. Hapo wanataka kuhakikisha kuwa vyote vizuri ni vya warabu. Ati widhini Tanganyika kuna potion ya Tanganyika ati ni ya warabu. Je ninyi mnayo sehemu huko uwarabuni? Labda Samia anabadirishana na warabu na sehemu aliyo pewa huko maana ZANZIBAR huwezi kuwachezea kama anavyo chezea Tanganyika.
Ohoo kumbe unawapigia debe wazungu waje kuwekeza badara ya waharabu😮😮😮😮 hii ni njia tu kutafuta kura wewe ndiye utauza kabisa nchi uamie Ubelgiji
Mh uko vzr ukweli uko palepale
Haya mambo siyo yakuwachekea ccm.
Na Tundulisu tumewakabidhi WAGENI.
@abelsonda4486
11 ай бұрын
😆😆😆
Sioni udin ktk mambo ya bandari,ila wapo watu wanaulazim😅sha tuone udin na kn katik mambo y bahar
Na bandar ya kwenu usisema wahalabu arafu wageni ndiooo ni we apo kama mzim gu
Muongo mkubwa huyo mlevi mkubwa huyo hana issue mpuuzi mtupu mkimbizi fatani muongo mkubwa laana tu kwa uongo mtupu
Sijui watanzania mnataka nini tena huyu mwamba hakufa kwa yale marisasi kuna sababu muhim amewekwa kuja kuikomboa Tanzania Mungu amlinde sana Lissu
Tundu lissu HAZINA YETU
Shida mawakala wamo humuhumu tanzania shamba la bibi
Nyinyi si ndio mnaeategemea wazungu. Unasema nini wee
Huyu lissu ni mchochezi
wameshindwa waondoke
Kama hatuna uwezo wa kuendesha wacha tuwaite wakoloni watutawale tena
Hawa...wangeondka tu madarakani Kila kitu hawawezi Sasa wakaa madarakani kutafta nn
2025 rais chadema
Binadamu bwanaaa!!!
Ccm ni wakala wa kuzimi Moto unawasubiria wasipotubu
Hiyo ni kampeni za uchaguzi
😂😂😂😂😂
We muuwaji damu ya magu inakutafuna
Kwahiyo tufanyeje kuhusu mikataba mibovu, kama tukiivunja tunalipa faini?
@bonnymakuke3153
11 ай бұрын
Amesema ni Bora tukivunja mapema tutalipizwa kidogo ila tukichelewa wakasimika mitambo Yao alafu ndo tuje tuvunje fain tutakayo lipishwa itakua kubwa kuliko maelezo si unaona2 ya magufuri ni kweli alivunja kwa Nia njema kwa sababu ilifungwa iviivi na haikua na faida kwetu waliokua wananufaika walikua wao wazungu! Lakini alijikuta ameshachelewa watu wamesha Anza na kuchimba wamejaza mitambo Yao ndo maana Leo inatughalim kwa kulipiswa pesa nyingi na Bado wanachimba kama kawaid 😢😢😢😢
Ulikimbia Nchi wewe porojo tu tembea zako
SAME STORY HAKUNA HOJA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿BLAMING CULTURE YA CHADEMA NOTHING NEW 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿WE NEED NEW CHALLENGE FOR CHADEMA NEWLEDERSHIP 😢😢😢😢😢HAWA VIONGOZI HAWAWEZI KUANGUSHA CCM WAKO KWA MATUMBO YAO NA KULA RUZUKU MIAKA YOTE 😢HECHE AFADHALI ANAONGEA POINT LAKINI HAWA WENGINE NI COMEDY NA WADINI NA WAKABILA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥵🥵
@makobamasawemangu4122
11 ай бұрын
Wew ni lijinga tu Kama majinga mengine sis wenye hakir tunawaelewa sana taira ww
@OmmyJames-xn7ji
11 ай бұрын
@@makobamasawemangu4122 MASAWE NO MORE KUUZA VITU YA WIZI AMBAYO HAIJALIPIWA USHURU 🥵🥵🥵🥵MASAWE ANZA KURUDI MACHAME UKANYWE MBEGE NA KUCHEZA KAMARI 😂😂😂😂😂😂😂😂
@OmmyJames-xn7ji
11 ай бұрын
@@makobamasawemangu4122 LISU ATAPIGIWA KURA NA MASHOGA WA TUKUYU NA KYELA TU 🥵🥵🥵🥵🥵🥵🥵
@benson20301
11 ай бұрын
Wantanzania wamekatiri hoja hoja hajui maana ake huyu msenge.lisu ametoa hoja nyingi afu jitu linasema hoja
Nina uchungu na huu umaskini kwa sababu za kijinga kabisa.kuna haja gani kuendelea kutawaliwa na huyu mama?
Chukua hatua wewe kama mpinzani kuitetea nchi yako
Siulikua ukimtukana mwenyewe fatani mkubwa huna ya kuongea mlevi mkubwa wee nenda kwenu Ubeligiji fatani mkubwa muongo mkubwa
Acha uongo wewe zwazwa na mazwazwa wenzio
@eliannko
11 ай бұрын
Wewe ni chawa
@robertmhikwa8174
11 ай бұрын
mbwa wewe
@vitalisvedastus5191
11 ай бұрын
Sijawahi ona Charles mpumbavu kama wewe
@sarahjames2287
11 ай бұрын
wewe Charles ni fisimaji mla mafisi wenzie paka shume
Akili yako ni kama Tundu tu. Tundu hufanyaje? jibu mwenyewe. KIBOKO chako kimeondoka unatamba kijinga jinga tu.
Magufuli hakuwa na upumbavu wa kuwaruhusu hawa wajinga kujadili mambo ya faida mama cheka na hawa mbwa mwisho wake utauona wewe jambo lenye faida ukiona lina faida fanyia kazi hata magufuli nani alijadili mikataba yake?
@kisangageorgethomasi2830
11 ай бұрын
Acha uchawa ww zwazwa kwani magu akupingwa au ilikua kiziwi na kipofu ushazoea vya kunyonga acha dawa iingie au umetoroka mirembe
@bcozhenry2698
11 ай бұрын
Ulisikia wapi Magufuli anafagilia mikataba ya kijinga kama hii? Magufuli alikuwa na mapungufu yake, lakini kwenye kitu kinaitwa kulinda rasilimali za nchi hakuruhusu upumbavu hata kidogo!
Yaani huyu jamaa ninavyomchukia siku hizi! Ni muongo ni hatari
@augustinecassian1242
11 ай бұрын
Mikataba mibovu ndo imetufanya hadi leo tanzania inazidi kuwa masikini
@BennyChatanda
11 ай бұрын
Mpuuzi. Kma wapuuzi wengne
haoni mazuri ya mama kwke anaona mabaya2 huyu sio mwanasiasa ni mchochezi na pia anachochea udini ushauri wangu mama afanye lile analoliona linafaa kila mtawala anakarama yke na hkna mwanadamu atakayeweza kufanya mazuri2
Haka kalisu ni kashenzi eeh?! Hakawezi kujieleza bila kuwatamka wafu? Man yoko!
Bandar apana mama katukosea
@emmanuelmsabila4875
11 ай бұрын
Sio rahisi kuelewa nini anasema huyu bwana inahitajika akili kubwa
@shabanikavula1304
11 ай бұрын
HUYU NI hatari kwa uongo anasoma mkataba Kisha anaandaa uongo.ujinga NI mzigo
@shabanikavula1304
11 ай бұрын
TULISHAKUCHOKA BHANA HUSOMI VZR NA KUULEWA NA KUULEZEA KWA MAZURI UNACHOJUA WEWE NI KULITUMBUKIZA TAIFA KNY MATUSI WEWE NDIO MUANZILISHI
@shabanikavula1304
11 ай бұрын
Anawadanganya HUYU bwana siku HIO anayoshawishi mwambieni akae MSTARI wa MBELE yeye na familia yake uone km atakaa!!!
Tundu yuko sahihi kabisa. Kuwa tunashitakiwa majuu. Ila, Ni bora tulipe fidia bali wawekezaji wasio na faida kwetu waondoke.
Kama hujardhika Nendeni mahakamani au kaonane na Mama umwambie. Si unakumbuka alikuja kukupa pole ulipopigwa risasi? Au nenda kamwone mume wake umwambie huyo ni Mwanamke tu
@abbyadams8691
11 ай бұрын
Chawa kazini,
@rehema971
11 ай бұрын
CCM hapo meshika baya majuto baadae nchi imeisha
Huyu ni kiongozi mnafiki yeye kila jambo kupinga amesahau wema wa mama kpndi amepata matatizo leo awamu ya tano anaona ni bora kpndi cha utawala wa awamu ya tano huyuhuyu alisema magufuli gaidi leo teena mwema watanzania wajinga watamsikiliza hotuba zake
Magufuri alikuwa mwamba wala hata kuja tokea tena maneno yake ya mwisho mtanikumbuka sikumoja
Faini hizo nani alisababisha tukalipishwa? Mbona humtaji? Nani amekiuka mikataba kijingakijinga ? Mtaje
@lucaspaulo5371
11 ай бұрын
Kwani hujui ni serikali ya ccm akiwepo wakiwepo marais kumtoa Magufuli tu maana Magufuli alikuwa mpangua mikataba ya hovyo na kwa taarifa yenu Magufuli wazungu aliwaweza na wakawezeka, ila alipokufa kwa sababu maizi yapo ndo marafiki na waizi wa kizungu wamegeuka upande wa pili washirikiane kuishtaki serikali kwa ajili ya Magufuli kisha watu wapige hela, wananchi mpaka mtii bila shuruti kuhamia Burundi si mnakataaga au hamkusikia mwigulu alivyowaambia.
@kisangageorgethomasi2830
11 ай бұрын
Uspotumia akili akili itakutumikisha
Bongo jalala unafiki ndo mwingi wanasifiana kwa mgongo wa chupa
Mlevi mkubwa fatani mkubwa kabimwe akili mkimbizi mmja
Mpumbavu mkubwa raia wa Ubeligiji mlevi mkubwa muongo mkubwa
Mnafiki wewe bandari haijauzwa nimkataba