Wakosoaji Hawamtendei Haki Paul Kagame? | Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo S04
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.
Пікірлер: 21
Nimependa jinsi mwandishi anavyooji. Very professional.
Hakuna kitu kibaya kama unafiki
Hapo kwenye term limit umenishangaza Jeneral, yani for Kagame it’s fine? Mbona iliposemekana Magufuli anataka kuongeza kelele zilikuwa nyingi sana?
kusitisha mauaji ya watu 1million na Kuua watu milion 6 nchi jiran tena!! kazi kwelikweli
Jenerali anajikanyaga kanyaga navyoona.
My sincere advice to you Mr. Jeneral, for your age what should occupy you for now is Ibada (prayer), Jitahidi kufanya ibada mzee wangu muelekee mola wako, Jitahidi kusimamisha swala tano.
@doktamathew
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
General kwa heshima Mzee please uwe na msimamo wa ukweli na uwe na mkweli wakati wa nyerere alikuwa Nationalist kama kagame na wakati wa Magufuli wewe na baadhi ya watu wa CCM na upinzani mlikuwa mnampinga Magufuli for those who don't like kagame should go to hell I saw it in my eyes 1994 CCM nimeisha kuwa kuwa ya wezi sio CCM tuliyoitumika CCM ya mwalimu ndio maana Magufuli alikuwa anataka kuirudisha kwenye mstali lakini ndani ya CCM na Baadhi ya wapinzani mlimpinga now what?
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌。
Jenerali kwenye suala la rwanda na demokrasia unayumba....
Uyu ni General au ni mambo ya AI?
Mzee ana mapenzi ya binafsi na Kagame. Sio huyu alikuwa akimpinga Magufuli?
@mbwanakiting7180
11 ай бұрын
Kwani kumpinga magufuri ni kosa?
@eldredmbegu4434
11 ай бұрын
@@mbwanakiting7180 sio kosa kumpinga Magufuli. Swala ni hoja anazotumia kumtetea Kagame mbona alimponda Magufuli kwa hoja hizo hizo?
@hajimnubi4581
8 ай бұрын
Siyo magufuli tu kote kwa utawala usiojali demokrasia huwa anakua mkali lkn siyo rwanda na kagame....hii sio fair...amsifu kwa mazuri amkosoe anakofeli
Mnafiki mpe muda tu utamjua🤣🤣🤣 poor old man cant hide his true colour ,so sad
Jamaa ana ukabila na udini sana
@eldredmbegu4434
11 ай бұрын
Ukabila na Udini kivipi?
@hajimnubi4581
8 ай бұрын
Linapokuja suala la rwanda na kagame kuhusu kubana demokrasia hakosoi kama kwa magufuli ilivyokua...awe fair
@benamimulokozi6052
4 ай бұрын
It can't be comparable