Wakosoaji Hawamtendei Haki Paul Kagame? | Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo S04

Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 21

  • @leandrymmassy9916
    @leandrymmassy99167 ай бұрын

    Nimependa jinsi mwandishi anavyooji. Very professional.

  • @mgallahson3650
    @mgallahson36507 ай бұрын

    Hakuna kitu kibaya kama unafiki

  • @user-tf8yl9un5r
    @user-tf8yl9un5r11 ай бұрын

    Hapo kwenye term limit umenishangaza Jeneral, yani for Kagame it’s fine? Mbona iliposemekana Magufuli anataka kuongeza kelele zilikuwa nyingi sana?

  • @AfricabeyondtheLimits
    @AfricabeyondtheLimits6 ай бұрын

    kusitisha mauaji ya watu 1million na Kuua watu milion 6 nchi jiran tena!! kazi kwelikweli

  • @eldredmbegu4434
    @eldredmbegu443411 ай бұрын

    Jenerali anajikanyaga kanyaga navyoona.

  • @user-tf8yl9un5r
    @user-tf8yl9un5r11 ай бұрын

    My sincere advice to you Mr. Jeneral, for your age what should occupy you for now is Ibada (prayer), Jitahidi kufanya ibada mzee wangu muelekee mola wako, Jitahidi kusimamisha swala tano.

  • @doktamathew

    @doktamathew

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @papaj6795
    @papaj679511 ай бұрын

    General kwa heshima Mzee please uwe na msimamo wa ukweli na uwe na mkweli wakati wa nyerere alikuwa Nationalist kama kagame na wakati wa Magufuli wewe na baadhi ya watu wa CCM na upinzani mlikuwa mnampinga Magufuli for those who don't like kagame should go to hell I saw it in my eyes 1994 CCM nimeisha kuwa kuwa ya wezi sio CCM tuliyoitumika CCM ya mwalimu ndio maana Magufuli alikuwa anataka kuirudisha kwenye mstali lakini ndani ya CCM na Baadhi ya wapinzani mlimpinga now what?

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything11 ай бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌。

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi45818 ай бұрын

    Jenerali kwenye suala la rwanda na demokrasia unayumba....

  • @user-be4oo1bz9f
    @user-be4oo1bz9f5 ай бұрын

    Uyu ni General au ni mambo ya AI?

  • @emmykundy4273
    @emmykundy427311 ай бұрын

    Mzee ana mapenzi ya binafsi na Kagame. Sio huyu alikuwa akimpinga Magufuli?

  • @mbwanakiting7180

    @mbwanakiting7180

    11 ай бұрын

    Kwani kumpinga magufuri ni kosa?

  • @eldredmbegu4434

    @eldredmbegu4434

    11 ай бұрын

    ​@@mbwanakiting7180 sio kosa kumpinga Magufuli. Swala ni hoja anazotumia kumtetea Kagame mbona alimponda Magufuli kwa hoja hizo hizo?

  • @hajimnubi4581

    @hajimnubi4581

    8 ай бұрын

    Siyo magufuli tu kote kwa utawala usiojali demokrasia huwa anakua mkali lkn siyo rwanda na kagame....hii sio fair...amsifu kwa mazuri amkosoe anakofeli

  • @afropatriot7769
    @afropatriot776911 ай бұрын

    Mnafiki mpe muda tu utamjua🤣🤣🤣 poor old man cant hide his true colour ,so sad

  • @njemamehuna9821
    @njemamehuna982111 ай бұрын

    Jamaa ana ukabila na udini sana

  • @eldredmbegu4434

    @eldredmbegu4434

    11 ай бұрын

    Ukabila na Udini kivipi?

  • @hajimnubi4581

    @hajimnubi4581

    8 ай бұрын

    Linapokuja suala la rwanda na kagame kuhusu kubana demokrasia hakosoi kama kwa magufuli ilivyokua...awe fair

  • @benamimulokozi6052

    @benamimulokozi6052

    4 ай бұрын

    It can't be comparable

Келесі