Sheikh Ponda Afunguka Mazito Mfumo wa Haki Jinai | "Hakuna Ubinadamu, Mtu Anaondolewa Utu"

Пікірлер: 45

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Жыл бұрын

    Ponda mungu akupe maisha malefu wewe nimtetezi wawanyonge

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 Жыл бұрын

    Shk Ponda Allah akulipe kheriii . Akulipe Janat Firdausi. Ahsante sana sanaa. Naunga mkono hoja yakoo

  • @universitylink
    @universitylink10 ай бұрын

    Mashaallah Allah akuongezee hekima na busara sheikh Ponda Issa Ponda

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын

    Njia ambayo ni rahisi kuleta mabadiliko ni kujichanganya na siasa. Ukijiweka kidini dini utaitwa gaiddi na utakuja kuwa hatalini. Uamuzi wa Sheeikh ponda ni mzuri sana.

  • @henrymassawe699
    @henrymassawe699 Жыл бұрын

    Huyu shehe huwa namkubali sanaaa hekima imejaaa halafu akiongeaga hana jazba ila anajua kujenga hoja zake based on facts ama hakika Mungu amajalie maisha marefu aendelee kupigania haki na maisha ya watanzania .

  • @silasponeka1773
    @silasponeka1773 Жыл бұрын

    Uko vizuri ponda.MUNGU AKUBARIKI

  • @plujorilugano9489
    @plujorilugano9489 Жыл бұрын

    Mzee Ponda hakika umeongea kwa uchungu mno, Watanzania sasa tuamue leo katiba mpya ni lzm

  • @zuzadomikano3765

    @zuzadomikano3765

    Жыл бұрын

    MAGUFULI ALISEMA KATIBA WAWEKE MFUKONI CCM YAWALIPA PESA ASIE TEKELEZA AMRI ZAWANA ccm atulewe kazini ,vipi Ndugu wasema KATIBAbwana plujor ???

  • @officialtaslima5409
    @officialtaslima5409 Жыл бұрын

    Kuna Mambo hata hutamani kuyaskia,yanaumiza,yanakera,lakin tatizo ni mfumo na kutokuwa na uzalendo

  • @froma3732
    @froma3732 Жыл бұрын

    Shekh Ponda maneno yako yanaliza

  • @mariamtemba4221
    @mariamtemba4221 Жыл бұрын

    Kichwa Cha Allah nakutakia Ramadan kalim

  • @danielmgeni1703
    @danielmgeni1703 Жыл бұрын

    Shehe Umeongea vzr sana nanimekuelewa Tanzania inahitaji Tiba

  • @zuzadomikano3765
    @zuzadomikano3765 Жыл бұрын

    CCM Oyeeeeeeeeee Nyerere ,MAGUFURI,Dr.Hussein Ally Mwinyi,Dr.Ally M Shein ,OYEEEEEEEEEEH

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Жыл бұрын

    Umeongea very point shehe watu wanateswa sana yani ni kama wanyama tu wanavyofanyiwa

  • @mkanjimamkanjimamkanjima2043
    @mkanjimamkanjimamkanjima2043 Жыл бұрын

    Muuza mkaa kapigwa lisasi na askali na selikari imekaa kimya tu 😭 amakweli ccm imewachoka wenye nchi yao na sasa wameamuwa kuikamata nchi kama wakoroni tu

  • @MohamedHassan-zc5bl
    @MohamedHassan-zc5bl Жыл бұрын

    Hakuna sheekh mjanja na mwenye msimamo wa haki kama sheeikh ponda

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya6455 Жыл бұрын

    Akili kubwa pekee yake ndio inamwelewa huyu sheikh.,

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Жыл бұрын

    Sana kabisa shekhe Ponda yaani nakukubali sana, yote kwa sababu ya sheria zilizo wekwa na awa ndugu zetu weusi,na police wengi elim hawana,

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын

    Shekh ponda alipaswa kuwa shekhe mkuu bakatwa

  • @hajjiomary2383

    @hajjiomary2383

    Жыл бұрын

    Awamtaki anawalipua

  • @harunmanura7900

    @harunmanura7900

    Жыл бұрын

    Kuwa sheikhe mkuu unatakiwa uwe chawa wa mamlaka

  • @meddy_upette9511

    @meddy_upette9511

    Жыл бұрын

    @@harunmanura7900 😂😂😂 sure aisee hayo mambo ndo Ponda hayataki

  • @alzawahirabdallah2299

    @alzawahirabdallah2299

    Жыл бұрын

    @@hajjiomary2383 ndio maana wanao wekwa makwata hawezi hata kutetea haki za waislamu nchini wala hawana kauli juu ya maaskofi matako wana kauli wakisema wanaskilizwa na serekali

  • @mubarakmohammed7311
    @mubarakmohammed7311Ай бұрын

    Mapendekezo ya Sheikh Ponda, nayakubali na nnayaunga mkono. Lakini walioko kwenye mamlaka, wanaitafsiri HAKI ni lile linaloendana na sheria waliyoitunga wao. Hivyo hawaijui HAKI vile inavyopasa ijulikane. Ni muhimu sana kwanza wajue HAKI ni nini.

  • @fayeezabdallah2217
    @fayeezabdallah2217 Жыл бұрын

    Shekh wang ndio man katiba mpy muhim

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Жыл бұрын

    Ilike that unless ufikili ulimwengu auna mwenyewe .kila ki2 kina mwenyewe

  • @ramadhanichuma7925
    @ramadhanichuma7925 Жыл бұрын

    Kwenye hilo swala la wauza mkaa skuiz matukio hayo yapo mengi sana wauza mkaa wanateswa sana

  • @ebitariho9720
    @ebitariho9720 Жыл бұрын

    Pia iwepo sheria kwenye katiba ya kumwajibisha serikali, waajiri wake wakidhurumu haki za watu, basi serikali ilipe fidia. Kwa mfano mtu mukiuwa na police, au kufungwa kimakosa. Serikali ilipe fidia mda na mateso.

  • @jofreymsigwa85
    @jofreymsigwa85 Жыл бұрын

    Ni ukweli kabisa haha mambo yapo hata dakika hii Shee ww ni mtu wa MUNGU kweli🙏🙏🙏

  • @simonmwaliru8590
    @simonmwaliru8590 Жыл бұрын

    Mambo haya ni ya kawaida,kama hayajakukuta.

  • @LadaSaidi
    @LadaSaidi11 ай бұрын

    The big Gianti men

  • @denispaulo1295
    @denispaulo1295 Жыл бұрын

    Mzee kasema vyema

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 Жыл бұрын

    Jamani, Jamani.

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 Жыл бұрын

    Mimi siku zote hua ninajiuliza,,wanasiasa wanatuaminisha kama wakoloni walikua wabaya,,lakini mbona wao wanaendelea kuzitumia zilezile sheria zilizoasisiwa na wakoloni hapa inakuaje,,

  • @hajjiomary2383

    @hajjiomary2383

    Жыл бұрын

    Maslai brother

  • @mangulimanguli3974

    @mangulimanguli3974

    Жыл бұрын

    Izo sheria nyingi mbovu wamezitunga awa ndugu zetu, wakoloni mambo leo, kwa maslai yao

  • @abujamalaalghammawiy7470
    @abujamalaalghammawiy7470 Жыл бұрын

    Mpaka nimehisi kulia , hakika waislam tunapitia katika madhila makubwa sanaaa😮‍💨

  • @zuzadomikano3765

    @zuzadomikano3765

    Жыл бұрын

    MAKONDA alitaka Ukimaliza ule wakti kwa Amri ya MAGUFURI ,NA ukteswa ukafichwa ukakimbizwa -Kesiyako imefikiawapi kwasasa???

  • @kirariwilanya1850
    @kirariwilanya1850 Жыл бұрын

    Wazee kama huyu ndio wabebao maana halisi ya Old is Gold

  • @josephmwita6012
    @josephmwita6012 Жыл бұрын

    sadness

  • @saidalhinai1131

    @saidalhinai1131

    Жыл бұрын

    Hata wakoloni bawakufanya hivyo hayo maneno mazito kwa mwenye akili

  • @nassoraliy3871
    @nassoraliy3871 Жыл бұрын

    Nikweli kaka

  • @saidnassormohammed9589

    @saidnassormohammed9589

    Жыл бұрын

    Ukweli na Watanzania sote tunayajua hayo hatuwezi kupinga tu kwa vitendo na maneno ni bure kwao

  • @saidnassormohammed9589

    @saidnassormohammed9589

    Жыл бұрын

    Mama atayamaliza haya Allah ampe nguvu

Келесі