Sheikh Ponda Afunguka Mazito Mfumo wa Haki Jinai | "Hakuna Ubinadamu, Mtu Anaondolewa Utu"
Жүктеу.....
Пікірлер: 45
@lucaschisamalo2852 Жыл бұрын
Ponda mungu akupe maisha malefu wewe nimtetezi wawanyonge
@tanzanian8847 Жыл бұрын
Shk Ponda Allah akulipe kheriii . Akulipe Janat Firdausi. Ahsante sana sanaa. Naunga mkono hoja yakoo
@universitylink10 ай бұрын
Mashaallah Allah akuongezee hekima na busara sheikh Ponda Issa Ponda
@DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын
Njia ambayo ni rahisi kuleta mabadiliko ni kujichanganya na siasa. Ukijiweka kidini dini utaitwa gaiddi na utakuja kuwa hatalini. Uamuzi wa Sheeikh ponda ni mzuri sana.
@henrymassawe699 Жыл бұрын
Huyu shehe huwa namkubali sanaaa hekima imejaaa halafu akiongeaga hana jazba ila anajua kujenga hoja zake based on facts ama hakika Mungu amajalie maisha marefu aendelee kupigania haki na maisha ya watanzania .
@silasponeka1773 Жыл бұрын
Uko vizuri ponda.MUNGU AKUBARIKI
@plujorilugano9489 Жыл бұрын
Mzee Ponda hakika umeongea kwa uchungu mno, Watanzania sasa tuamue leo katiba mpya ni lzm
Kuna Mambo hata hutamani kuyaskia,yanaumiza,yanakera,lakin tatizo ni mfumo na kutokuwa na uzalendo
@froma3732 Жыл бұрын
Shekh Ponda maneno yako yanaliza
@mariamtemba4221 Жыл бұрын
Kichwa Cha Allah nakutakia Ramadan kalim
@danielmgeni1703 Жыл бұрын
Shehe Umeongea vzr sana nanimekuelewa Tanzania inahitaji Tiba
@zuzadomikano3765 Жыл бұрын
CCM Oyeeeeeeeeee Nyerere ,MAGUFURI,Dr.Hussein Ally Mwinyi,Dr.Ally M Shein ,OYEEEEEEEEEEH
@selemanimasatu2421 Жыл бұрын
Umeongea very point shehe watu wanateswa sana yani ni kama wanyama tu wanavyofanyiwa
@mkanjimamkanjimamkanjima2043 Жыл бұрын
Muuza mkaa kapigwa lisasi na askali na selikari imekaa kimya tu 😭 amakweli ccm imewachoka wenye nchi yao na sasa wameamuwa kuikamata nchi kama wakoroni tu
@MohamedHassan-zc5bl Жыл бұрын
Hakuna sheekh mjanja na mwenye msimamo wa haki kama sheeikh ponda
@sumayasumaya6455 Жыл бұрын
Akili kubwa pekee yake ndio inamwelewa huyu sheikh.,
@mangulimanguli3974 Жыл бұрын
Sana kabisa shekhe Ponda yaani nakukubali sana, yote kwa sababu ya sheria zilizo wekwa na awa ndugu zetu weusi,na police wengi elim hawana,
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
Shekh ponda alipaswa kuwa shekhe mkuu bakatwa
@hajjiomary2383
Жыл бұрын
Awamtaki anawalipua
@harunmanura7900
Жыл бұрын
Kuwa sheikhe mkuu unatakiwa uwe chawa wa mamlaka
@meddy_upette9511
Жыл бұрын
@@harunmanura7900 😂😂😂 sure aisee hayo mambo ndo Ponda hayataki
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
@@hajjiomary2383 ndio maana wanao wekwa makwata hawezi hata kutetea haki za waislamu nchini wala hawana kauli juu ya maaskofi matako wana kauli wakisema wanaskilizwa na serekali
@mubarakmohammed7311Ай бұрын
Mapendekezo ya Sheikh Ponda, nayakubali na nnayaunga mkono. Lakini walioko kwenye mamlaka, wanaitafsiri HAKI ni lile linaloendana na sheria waliyoitunga wao. Hivyo hawaijui HAKI vile inavyopasa ijulikane. Ni muhimu sana kwanza wajue HAKI ni nini.
@fayeezabdallah2217 Жыл бұрын
Shekh wang ndio man katiba mpy muhim
@hajjiomary2383 Жыл бұрын
Ilike that unless ufikili ulimwengu auna mwenyewe .kila ki2 kina mwenyewe
@ramadhanichuma7925 Жыл бұрын
Kwenye hilo swala la wauza mkaa skuiz matukio hayo yapo mengi sana wauza mkaa wanateswa sana
@ebitariho9720 Жыл бұрын
Pia iwepo sheria kwenye katiba ya kumwajibisha serikali, waajiri wake wakidhurumu haki za watu, basi serikali ilipe fidia. Kwa mfano mtu mukiuwa na police, au kufungwa kimakosa. Serikali ilipe fidia mda na mateso.
@jofreymsigwa85 Жыл бұрын
Ni ukweli kabisa haha mambo yapo hata dakika hii Shee ww ni mtu wa MUNGU kweli🙏🙏🙏
@simonmwaliru8590 Жыл бұрын
Mambo haya ni ya kawaida,kama hayajakukuta.
@LadaSaidi11 ай бұрын
The big Gianti men
@denispaulo1295 Жыл бұрын
Mzee kasema vyema
@aliyageorge6794 Жыл бұрын
Jamani, Jamani.
@rashidomar2771 Жыл бұрын
Mimi siku zote hua ninajiuliza,,wanasiasa wanatuaminisha kama wakoloni walikua wabaya,,lakini mbona wao wanaendelea kuzitumia zilezile sheria zilizoasisiwa na wakoloni hapa inakuaje,,
@hajjiomary2383
Жыл бұрын
Maslai brother
@mangulimanguli3974
Жыл бұрын
Izo sheria nyingi mbovu wamezitunga awa ndugu zetu, wakoloni mambo leo, kwa maslai yao
@abujamalaalghammawiy7470 Жыл бұрын
Mpaka nimehisi kulia , hakika waislam tunapitia katika madhila makubwa sanaaa😮💨
@zuzadomikano3765
Жыл бұрын
MAKONDA alitaka Ukimaliza ule wakti kwa Amri ya MAGUFURI ,NA ukteswa ukafichwa ukakimbizwa -Kesiyako imefikiawapi kwasasa???
@kirariwilanya1850 Жыл бұрын
Wazee kama huyu ndio wabebao maana halisi ya Old is Gold
@josephmwita6012 Жыл бұрын
sadness
@saidalhinai1131
Жыл бұрын
Hata wakoloni bawakufanya hivyo hayo maneno mazito kwa mwenye akili
@nassoraliy3871 Жыл бұрын
Nikweli kaka
@saidnassormohammed9589
Жыл бұрын
Ukweli na Watanzania sote tunayajua hayo hatuwezi kupinga tu kwa vitendo na maneno ni bure kwao
Пікірлер: 45
Ponda mungu akupe maisha malefu wewe nimtetezi wawanyonge
Shk Ponda Allah akulipe kheriii . Akulipe Janat Firdausi. Ahsante sana sanaa. Naunga mkono hoja yakoo
Mashaallah Allah akuongezee hekima na busara sheikh Ponda Issa Ponda
Njia ambayo ni rahisi kuleta mabadiliko ni kujichanganya na siasa. Ukijiweka kidini dini utaitwa gaiddi na utakuja kuwa hatalini. Uamuzi wa Sheeikh ponda ni mzuri sana.
Huyu shehe huwa namkubali sanaaa hekima imejaaa halafu akiongeaga hana jazba ila anajua kujenga hoja zake based on facts ama hakika Mungu amajalie maisha marefu aendelee kupigania haki na maisha ya watanzania .
Uko vizuri ponda.MUNGU AKUBARIKI
Mzee Ponda hakika umeongea kwa uchungu mno, Watanzania sasa tuamue leo katiba mpya ni lzm
@zuzadomikano3765
Жыл бұрын
MAGUFULI ALISEMA KATIBA WAWEKE MFUKONI CCM YAWALIPA PESA ASIE TEKELEZA AMRI ZAWANA ccm atulewe kazini ,vipi Ndugu wasema KATIBAbwana plujor ???
Kuna Mambo hata hutamani kuyaskia,yanaumiza,yanakera,lakin tatizo ni mfumo na kutokuwa na uzalendo
Shekh Ponda maneno yako yanaliza
Kichwa Cha Allah nakutakia Ramadan kalim
Shehe Umeongea vzr sana nanimekuelewa Tanzania inahitaji Tiba
CCM Oyeeeeeeeeee Nyerere ,MAGUFURI,Dr.Hussein Ally Mwinyi,Dr.Ally M Shein ,OYEEEEEEEEEEH
Umeongea very point shehe watu wanateswa sana yani ni kama wanyama tu wanavyofanyiwa
Muuza mkaa kapigwa lisasi na askali na selikari imekaa kimya tu 😭 amakweli ccm imewachoka wenye nchi yao na sasa wameamuwa kuikamata nchi kama wakoroni tu
Hakuna sheekh mjanja na mwenye msimamo wa haki kama sheeikh ponda
Akili kubwa pekee yake ndio inamwelewa huyu sheikh.,
Sana kabisa shekhe Ponda yaani nakukubali sana, yote kwa sababu ya sheria zilizo wekwa na awa ndugu zetu weusi,na police wengi elim hawana,
Shekh ponda alipaswa kuwa shekhe mkuu bakatwa
@hajjiomary2383
Жыл бұрын
Awamtaki anawalipua
@harunmanura7900
Жыл бұрын
Kuwa sheikhe mkuu unatakiwa uwe chawa wa mamlaka
@meddy_upette9511
Жыл бұрын
@@harunmanura7900 😂😂😂 sure aisee hayo mambo ndo Ponda hayataki
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
@@hajjiomary2383 ndio maana wanao wekwa makwata hawezi hata kutetea haki za waislamu nchini wala hawana kauli juu ya maaskofi matako wana kauli wakisema wanaskilizwa na serekali
Mapendekezo ya Sheikh Ponda, nayakubali na nnayaunga mkono. Lakini walioko kwenye mamlaka, wanaitafsiri HAKI ni lile linaloendana na sheria waliyoitunga wao. Hivyo hawaijui HAKI vile inavyopasa ijulikane. Ni muhimu sana kwanza wajue HAKI ni nini.
Shekh wang ndio man katiba mpy muhim
Ilike that unless ufikili ulimwengu auna mwenyewe .kila ki2 kina mwenyewe
Kwenye hilo swala la wauza mkaa skuiz matukio hayo yapo mengi sana wauza mkaa wanateswa sana
Pia iwepo sheria kwenye katiba ya kumwajibisha serikali, waajiri wake wakidhurumu haki za watu, basi serikali ilipe fidia. Kwa mfano mtu mukiuwa na police, au kufungwa kimakosa. Serikali ilipe fidia mda na mateso.
Ni ukweli kabisa haha mambo yapo hata dakika hii Shee ww ni mtu wa MUNGU kweli🙏🙏🙏
Mambo haya ni ya kawaida,kama hayajakukuta.
The big Gianti men
Mzee kasema vyema
Jamani, Jamani.
Mimi siku zote hua ninajiuliza,,wanasiasa wanatuaminisha kama wakoloni walikua wabaya,,lakini mbona wao wanaendelea kuzitumia zilezile sheria zilizoasisiwa na wakoloni hapa inakuaje,,
@hajjiomary2383
Жыл бұрын
Maslai brother
@mangulimanguli3974
Жыл бұрын
Izo sheria nyingi mbovu wamezitunga awa ndugu zetu, wakoloni mambo leo, kwa maslai yao
Mpaka nimehisi kulia , hakika waislam tunapitia katika madhila makubwa sanaaa😮💨
@zuzadomikano3765
Жыл бұрын
MAKONDA alitaka Ukimaliza ule wakti kwa Amri ya MAGUFURI ,NA ukteswa ukafichwa ukakimbizwa -Kesiyako imefikiawapi kwasasa???
Wazee kama huyu ndio wabebao maana halisi ya Old is Gold
sadness
@saidalhinai1131
Жыл бұрын
Hata wakoloni bawakufanya hivyo hayo maneno mazito kwa mwenye akili
Nikweli kaka
@saidnassormohammed9589
Жыл бұрын
Ukweli na Watanzania sote tunayajua hayo hatuwezi kupinga tu kwa vitendo na maneno ni bure kwao
@saidnassormohammed9589
Жыл бұрын
Mama atayamaliza haya Allah ampe nguvu