Sheikh Ponda Ahoji Namna ya Kero za Muungano Zinavyoshughulikiwa 'Tanganyika Haipo'
#ijuesheria
Amesema hayo Sheikh Ponda kwenye Mkutano wa Kitaifa kutafakari na kujenga uelewa wa pamoja juu ya sheria za Uchaguzi zilizopitishwa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa wa Mwaka 2024 na uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025 ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania tarehe 9 Mei 2024.
Пікірлер: 81
Nakubaliana sana na Sheikh Ponda...Maadili ni Muhimu katika jamii pia uadilifu
Umenena bila uchawa, napenda kiongozi wa dini anaejiamini kana sheikh Ponda ... Namkubali Sana sheikh Ponda.
Hongera sana sh ponda Allah akuhifadhi Kwa busara zako na kueleza ukweli mbele ya viongozi majeuri
@FrankMwakatundu-cu6bd
Ай бұрын
Ni kweli ni majeuri kupindukia ajabu!!!!
@AliAbdullah-oy6yo
Ай бұрын
اللهم آمين يارب
Shekh ponda ni msemakweli ❤ lazima Tanganyika irudi uasilia wake 😢 Zanzibar pia iwe na mamlaka yake ❤ikisha ibakie hichi kijifungu kidogo cha watu wa Tanzania hapo haki ndio itapatika
Ukweli utakuweka huru duniani mpaka kesho akhera,hongera shekh Ponda
Shekhe ponda uko sahihi kwa mazungmzo yko, mungu ukujalie uwe hvyo hvyo
Huyu jamaa ni genias sana,MUUNGANO sio mbaya WABAYA watu
Maadili,Uadilifu Sheikh Ponda nampongeza sana Kwa uelewa wake kuhusiana pia na swala la MUUNGANO...Viongozi wengine wajifunze kwake kama mfano wa kuiga....Yeye ana msimamo usioyumba lakini pia Ni MKWELI,asiyeogopa kusema!
@fakihdarusi4385
Ай бұрын
🎉 KWELI KABISA HUWA MI NA MUELEWA SANA
Allah akulinde shekh ponda
Salute Sheikh Ponda
Sheih hongera .
Naam Sheikh sema kwel
Maashaalla
Short and clear 💪🏽
Nice speech
Mzee ponda Mungu amjarie maisha marefu.
Hata Katiba yetu ni nzuri sana na ni vigumu kupata kama hii shida ni MAADILI na UADILIFU. Matokeo ni KUTOKUTEKELEZWA na KUHESHIMIWA, Hivyo hata tukipata mpya nj bure. Ahsante Sheikh Ponda.
@edsonkahesi8603
Ай бұрын
Siyo kweli, hii katiba tuliyonayo ina matobo ambayo inabidi yazibwe.
@hajihassan5433
Ай бұрын
@@edsonkahesi8603 Katiba yetu ipo kwa Sura na Ibara, hebu lete mfano onesha sura au ibara ipi yenye mapungufu halafu useme iwe vipi. 95% ya wanaoilalamikia Katiba iliyopo hawaoneshi tatizo lipo wapi na marekebisho yake ni yepi na ukiwaangalia vizuri utagundua kuwa shida yao ni ama kutokutekelezwa au kuheshimiwa Katiba mambo ambayo msingi wake ni ukosefu wa uadilifu na uaminifu. Mfano Ibara ya 74 (Tume ya Uchaguzi) iko vizuri sana na naamini hatutopata nzuri zaidi yake LAKINI dhahiri wanaipendelea CCM lakini hilo ni la kwao hawajatakiwa na hiyo ibara kufanya hivyo.
Mungu akuweke na kukuhifadh sheikh wa taifa
@yassinnabwera4273
Ай бұрын
Mijitu ya CCM hayamtaki Sheikh Ponda waliwatuma Polisi wao kumpiga Risasi ili wamue kule Morogoro mjini kutokana na ukweli anaouamini.
Yaani kaongea kweli shegh kuhusu uhuru wa Zanzibar
Ukweli huu wote bado hauna matunda maana inategemea uadirifu wa watoa maamuzi. Uadirifu unakosa nafasi kwa sababu watoa maamuzi fikra zao kubwa ni vyeo, heshima na maslahi ambapo kwa hayo hupinga kila ukweli na haki ikiwa tu vitashusha utukufu wao. Hii yote ni kukosa uadirifu. Sheikh Ponda nakukubali sana kwa nyanja hii ya ukweli kuhusu mstakabari wa ustawi wetu wa kweli. Ukiona kiongozi anazungumzia dini, basi ujue bado anaitumia dini kulinda maslahi yake. Ukweli kiongozi wa kweli hukubali ukweli na haki bila kujali faida au hasara. Uadirifu kamwe hauji kwa PHD, bali kwa uchaji Mungu wa kweli katika kule kuambatana na Mungu asemavyo kwenye vitabu. Leo wanawake ni watawala juu ya wanaume, hakuna Biblia au Kurani inayoamuru hivyo. Mavazi ya uchi mitaani na sasa hata maofisini, Biblia haisemi hivyo wala Kurani isipokuwa mungu wazungu ndiye anaetuambia hayo. Na wazungu zamani hawakuwa hivyo, sasa wamepotoka vya kutosha na ndio maana wanahamasisha ushoga duniani kiasi kwamba wako tayari kunyima misaada wasiokubali. Haki batili za wanawake na watoto ni miungu wazungu. Mambolea angamizi, pombe, vipodozi, chanjo, madawa, na vyakula vya kisasa kinyume na asili ni matakwa ya wazungu ili kukengeusha ufahamu wetu. Wazungu wanakumbatiwa kwa sababu kuna matakwa ya nafsi yanayopingana na yale aagizayo Mungu. Na vibaya zaidi hata hao hao viongozi wa dini wakiingizwa kwenye serikali yaani bunge au uwaziri, bado watakuwa ni wale wenye kumsifia rais au serikali huku wakikosoa kiuhafifu kwa unafiki kiasi kwamba sheria za dini zinazopingana na watawala kamwe hazitawekwa wazi. Labda tu viongozi hao wa dini wasiteuliwe na wana siasa na ambao watasema ukweli kwa kulingana na nukuu za kwenye vitabu vya dini. Leo ni rahisi sana kupuuza miongozo ya Mungu kuliko kupuuza miongozo ya wazungu. Miongozo ya Biblia na Kurani imeachwa na waumini wa dini hizo baada ya kusikia miongozo ya wazungu. Basi hao watazidi kutuongoza kukiuka zaidi maagizo mengine ya Mungu maana ndio miungu yetu ya kutumainia. Leo tunashuhudia kutimizwa kwa ukengeufu wa siku za mwisho, giza kuu kufunika kabila za watu duniani. Ila jambo la hakika, kupotoka kwetu haya kutazidi kuambatana na majanga duniani yanayoitwa kwa kisingizio cha uongo kuwa eti ni mabadiliko ya tabia ya nchi wakati ukweli ni mabadiliko ya tabia za wanadamu wa leo kuasi sheria za Mungu ndipo dunia inatiwa laana kwa majanga - Isaya 24:1-20. Yesu alikuja ili kwa kumfuata yeye tuwe na uzima kisha tuwe nao tele. Adui kazi yake ni kutuiba kwa njia ya kutudanganya ili atuharibu na kutuchinja - Yoh 10:10
Sheikh PONDA Uko vizuri mno Unafaa mno kuwa mlezi
Asante shekh ponda
Allah akubarik 💯 uwo ndio ukweli
watu wanakosowa lkn wahusika wametia pamba masikioni kwa tamaa zao .
Wame uwa watu wengi sana ao ccm Imefika mwisho wao. Wanatu danganya huku tunajua Ama hawa hawana Aibu wala adabu.
Sheikh umejitahidi sana kuongea kwa hekima, unajua nazishangaaga sana mahakama za Tanzania na serikali ya ccm kusema watu wanahukumiwa kwa kukosa maadili kwa kukiuka sheria fulani wakati wao ndo vinara wakukiuka katiba wakiwa wa kwanza, maana siasa za chama chao ni kufuta historia ya Tanganyika isijulikane ilipata uhuru lini wanabaki kubwabwaja eti uhuru wa Tanzania bara mpaka siku moja rais akawakumbusha msisahau iliyopata uhuru ilikuwa Tanganyika ila bado wanajitia upofu, ukiwa ccm hata kama una elimu kubwa kiasi gani ni lazima uwe mpotoshaji ndo utaonekana mtu wa maana..
Mimi nasema ni mpenda Mungu. Nakiwa na hofu ya Mungu lazima uwe msema kweli. Lakini unafiki unafiki kweli ni kitu cha ajabu. Kwa nini kuwe na Zanzibar ina Inchi yao, raisi, na vitu vyao lakini kufuta Tanganyika. Sasa Tanganyika iliungana na Tanganyika Tanzania? Yaani wanapenda kusema yale yanayo wapendeza. CCM wanapenda sana uongo ili agenda yao izidi kuwa kuwadanganya watu. Asante sana kiongozi Ponda. CCM wanapenda sana unafiki mkubwa wanainchi tukilalamika tunaambiwa sisi siyo wazalendo. Siyo kuuwa watu tu bali wizi wa kura na kulazima mtu anatakiwa na viongozi wa CCM lazima ati waingize hata kwa goal la mkono na ndiyo hao wanatuambia watanganyika tuwashughulikie watu kwa sababu wametoa hoja. Hata ukienda Inchi nyingine hapa kwetu ulaghai mpaka unafundishwa watoto na wanainchi mpaka ulaghi umekuwa ukweli. Ripoti ya CAG haishughulikii lakini wakisimama bungeni waziri anatulaghai ati hakuna wizi.
Huyu Sheikh ni great think
Kwa hili ponda uko sawa
Hawa ni viongoz wa din wasiokua wanafiki heko sheikh Ponda Issa Ponda
Big brain
Safi shehe
Niko upande wako shehe 😊
Kabudi, mbonna humkanushi shekh ponda, umeufyata eee!!
@hajihassan5433
Ай бұрын
Kwenye kongamano hakuna kukanushiana hoja bora itajionesha yenyewe.
@thelalas9204
Ай бұрын
mkanushe wewe nchi pia inakuhusu
Kukukumbusha tu inatakiwa iwepo Tanganyika na Zanzibar..
waaambie Mzee ponds ccm siwaadilofu hata kidogo
Ponda upo sahihi
Katiyaviongozi wadini sio chawa ni hiyu
Shehe ni Muadilifu,hataki uchawa wala sio mnafiki
Shekher ponda ninakukubali sana hua unaongea poiti sana ktk mambo ya msingi yanayohusu nchi yetu
👊👍✌️.
Kichwa akiri nyingi hicho
Huyu ndio sheikh wangu ninaemkubali ktk misimamo hakika haogopi mtu wala hayumbi mara zote ni chuma...... Ushauri wangu kwako sheikh wangu kipenzi hawa watu walishataka kukuuwa, hivyo punguza ukaribu naoo yawezekana unavutwa ujisahau watakumaliza haoo hawapendi unavyowakosoa kila mara
Sheikh ponda we ni kichwa nimeamini
Uhuru wa Zanzibar hata hiyo Historia ina inaelezwa wazi kuwa kulikuwa na uhuru wa bandia hakuna shida kama kuna wengine wakiona ndio sahihi sawa.
@hassanmakame
Ай бұрын
Inawezekana upo sawa...muhimu ni kuelewa alichosema Sheikh...kwamba ukosefu wa maadili na uadilifu umezaa watawala waongo wasiosema ukweli...ukweli hapo ni hiyo historia kufichwa...imefichwa kwa maslahi ya nani...? Akaendelea kutoa mifano mingine ya majizi huko serikalini ambayo hayachukuliwi hatua, yote ni kwa sababu ya kukosekana uadilifu.
@hajihassan5433
Ай бұрын
@@hassanmakame Kama tatizo limeshaonekana tunalitatua je. Kwa sababu kama umma hauna uadilifu na uwaminifu sio viongozi tu inawezekana mimi na wewe na yule ni majizi zaidi tumekosa tu nafasi.
Kumbe Tanzania 🇹🇿 inawakimbizi, Wako Somalia 🇸🇴 😮😮
Kwani shekh pond umesomea wapi mbona unaakili nyingi sana
PONDA WAPO DE WAPONDEKE MAPONDWA HAYOOO VICHWA MCHUNWA!
Unamfanya mtoto wa kitanzania aonekane mpumbavu mjinga akiwa mbele ya vijana wenzake duniani eti znz ilimpingua mwarabu kumbe uongo hata mimi na miaka yangu mingi najua hivyo kumbe serikali harari ndo ilipinduliwa
Munawapigia mbuzi gitaa , na bahati mbaya hao mbuzi wapo kwenye shamba la mihogo 😂😂😂😂😂😂😂😂
Ubalikiwe mzee wa busala ukiona mtu anabeza busala ya huyu mzee au bas
Baba wewe ni hazina
Huyu naye ni mpuhuzi wa akili
@georgekimasaofficial1629
2 ай бұрын
Kakosea nini hapo mpaka unamtukana huyu Mzee nawakati anaongea ukweli au kimekuuma nini yeye kuongea hivi?
@Ernestlaiza
Ай бұрын
Wewe ndo mpuhuzi namba moja
@hajihassan5433
Ай бұрын
@@georgekimasaofficial1629Ndio shida ya social media, tumechanganyika mno ki level. Kwenye Kongamano lolote mawazo ya kila mtu yaheshimiwe.
@thelalas9204
Ай бұрын
usitukane mawazo ya mtu,toa mchango bora kuliko wake, nina imani ungepewa kipaza sauti usingeyasema hayo unachukua advantage ya media kujificha huko.usiwe maskini wa kufikiri jenga hoja.Na wala usiupe nafasi ulimwengu ukujue kuwa wewe ni fyatu kiasi gani
@HafidhKhamis-ph8qg
Ай бұрын
Mpuuzi ni wewe nyagau
Allah akubarik 💯 uwo ndio ukweli
Zanzibar nyie ni watumwa wetu kaeni mtulie Kama mnataka haki yenu nivyema nchi mzima mngeandamana kwa fujo
Allah akubarik 💯 uwo ndio ukweli
Allah akubarik 💯 uwo ndio ukweli
Allah akubarik 💯 uwo ndio ukweli