MBUNGE ATAKA WATU WAINGIE ZANZIBAR KWA PASSPORT KUTOKEA TANZANIA BARA

Ойын-сауық

MBUNGE ATAKA WATU WAINGIE ZANZIBAR KWA PASSPORT KUTOKEA TANZANIA BARA

Пікірлер: 146

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila30033 ай бұрын

    Na wa Zanzibar waingie na pasport Bara na sisi tunahitaji Bata kulindwa

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    2 ай бұрын

    Ilikuwa hivyo zamani ukiingiya Dar es salaam kwa passport na ukiingia Zanzibar ni kwa passport siyo kitu kigeni.

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    2 ай бұрын

    ​@@awatifalghanim1106watoto wa 2000 hawajui hilo

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    2 ай бұрын

    ​@@awatifalghanim1106watoto wa 2000 hawajui hilo

  • @Team-ie4qz
    @Team-ie4qz3 ай бұрын

    Na wao wanyokuja kwetu wawe na passport

  • @Sarah_gerald

    @Sarah_gerald

    3 ай бұрын

    Kabisa.

  • @Pemba680
    @Pemba6802 ай бұрын

    Mh.hongera sana umeongea point sana

  • @fatimahants1526
    @fatimahants15262 ай бұрын

    Huyu mbunge hayuko sawa kujaa kwa zanzibar kwani wao wazanzibar hawazaani na kupelekeya zanzibar kujaa, kuna sheria mtanzania bara huna rukhusa kununuwa aridhi zanzibar ila wao wazanzbar rukhusa kumilik chochote kile tz bara hii inakuwaje?, sasa wazi kbs bila woga kiongozi anatamka mtanzania bara kuingiya kwa passport zanzibar...hata asiyeona anasikiya.....?

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo2 ай бұрын

    I'm from zanzibar,,,, congratulations my leader,,,,, that true

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    2 ай бұрын

    Very true 100%

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    2 ай бұрын

    Kama ilivyo kuwa zamani ukiingia Dar es salaam kwa passport na Zanzibar hali kadhalika. Siyo kitu cha kukereka.

  • @isayashayo4777

    @isayashayo4777

    2 ай бұрын

    Tutaitwa nchi iliyokuwa ya Muungano maana Tanganyika inatakiwa iwe na Raisi wao Wala hatakiwi kuiendea Zanzibar na Zanzibar inaendelea maana Tangu karume hata Sasa inaongozwa na mzanzibar Tanganyika inayumba kwa kuongozwa na watu tofauti mtanganyika ajali Tanganyika na mzanzibar amjali mzanzibar kwisha tumechoka

  • @kingibandajembe2247
    @kingibandajembe22472 ай бұрын

    Hapo safi pospot kwa watanzina wote wanzanzibar na watu wa bara wabara wasipate kazi zanzibAr na wanzanzibari wasipate bara hapo sawa

  • @AnthonySafari-rv5wf
    @AnthonySafari-rv5wf3 ай бұрын

    Hili libunge ni libaguzi halikupaswa ata kuwepo kwenye bunge la Tanzania ,kwahy yy anataka pasport irudi ili iweje sasa kuna maana gani ya huo muungano mimi naona ata ile hoja ya serkali 3 irudi tu

  • @user-ft4uk5fz8g

    @user-ft4uk5fz8g

    2 ай бұрын

    Alafu nakushangaeni nyinyi skuzote muanisukumizia zanzbar na janga la ushoga japo kua nyani haoni Ku....swali la kujiuliza mnataka watoto Wenu na nyinyi tuwageuze pia .??

  • @geey7893
    @geey78932 ай бұрын

    Hawa ndio wazanzbar Halisi sasa. Nyie mnawaonaga kama watu. Wana roho mbaya hao alafu Hawautaki Muungano, sisi ndio tunajipendekeza kuwapa hata uraisi😢

  • @saidal-hind5338

    @saidal-hind5338

    2 ай бұрын

    Wazanzibar sote hatutaki muungano

  • @geey7893

    @geey7893

    2 ай бұрын

    @@saidal-hind5338 SI wenyewe hatuutaki CCM ndo wanatung'ang'aniza

  • @elishuaisaya4176

    @elishuaisaya4176

    2 ай бұрын

    Mkaandamane

  • @MosesPaiyana
    @MosesPaiyana3 ай бұрын

    Huo ubaguzi wenu mtazikwa nao

  • @KichwaKigumu

    @KichwaKigumu

    2 ай бұрын

    Na nyie mtazikwa na umalaya na tamaa zenu

  • @ridhwansalum1386

    @ridhwansalum1386

    2 ай бұрын

    Sio unaguzi soma historia wewe toka awali milikua mnaingia kwa passport hapa

  • @ridhwansalum1386

    @ridhwansalum1386

    2 ай бұрын

    Kwani zanzibar shamba la bibi anu mje tu zanzibar ninchi kamili

  • @abduyussuf8345

    @abduyussuf8345

    2 ай бұрын

    Kwani Kenya mbona unaenda kwa passport?

  • @personpeter2221

    @personpeter2221

    2 ай бұрын

    ​@@ridhwansalum1386🤣🤣nch haina passport nchi hain bendera iliyopo bendera juu ya bendera uliona wap duniin nch haina jeshi nchigan hyo Zanzibar ni sawa na wilaya ya kigamboni hapa🤣🤣

  • @user-kj8bi3jr9y
    @user-kj8bi3jr9y3 ай бұрын

    NDUGU MBUNGE NA SISI TUNAHITAJI MUINGIE BARA NA PASSPORT IMEKAAJE HAPO

  • @user-ft4uk5fz8g

    @user-ft4uk5fz8g

    2 ай бұрын

    Mbona iko fresh Tu tuekeni passport na sis tukija pia hivo hivo

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs3 ай бұрын

    Hao bila shaka wanaozungumziwa ni masai

  • @user-kj8bi3jr9y
    @user-kj8bi3jr9y3 ай бұрын

    KWANI HILO SUALA LINAANZA LINI???? MAANA WAKINA MAKAME NAO TUNAWAONDOE BARA AMA

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    2 ай бұрын

    Suala hamjalifahamu😅zamani ilikuwa huingii Dar es salaam bila ya passport ikiitwa temporary passport kwa ajili watu wengi walikuwa hawasafiri kwenda Nchi za njee na kutumiya passport book kama sasa hivi. Na ilikuwa huingii Zanzibar bila ya passport pia. Lakini sasa imekuwa hata Serikali Immigration hawajuwi watu wanao ingia na kutoka jahazi moja inashusha watu hadi mia moja imekuwa hakuna usalama wa maisha hata yakitokea maradhi basi ni rahisi sana Wananchi kuumiya .

  • @kamanapomo7029
    @kamanapomo70292 ай бұрын

    Hili libunge halina akili kabisaaa

  • @user-wr3jp6tg4p
    @user-wr3jp6tg4p3 ай бұрын

    Irudi Tu muungano wnyewe kama ndio huu toka tuje duniani hatuoni kama n sawa kisiwa kuchanganywa na bara bila kizuizi cha maingiliono yao tuishi Kam muungano wa est African t

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo6 күн бұрын

    Kwa kweli hili ni Jambo muhimu Sana kwani hivi sasa hapa Zanzibar kuna wageni kutoka Congo,Burundi,Rwanda na Kenya wapi hapa na wanaishi kama Rai's na wanafanya biashara bila ya utaratibu na hawa wote wanapitia shamba la Bibi(Tanganyika)na wanakuja Zanzibar kirahisi Tu!

  • @samirazuberi186
    @samirazuberi1862 ай бұрын

    Hapa sasa ndio muwe na akili ya kusema samia Hana nia njema na tanganyika.. Na ile kauli ya hayati nyerere aliosema tumechoka na wazanzibar kwa udini majibu haya hapa

  • @Moresa196
    @Moresa1963 ай бұрын

    😂 Kweli akili ni nywele.

  • @fatimahants1526

    @fatimahants1526

    2 ай бұрын

    Kichwa chake hakina nywele

  • @naturelle1097

    @naturelle1097

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @OscarMushi-dg4vt
    @OscarMushi-dg4vt2 ай бұрын

    Nenda baraza la wawakilishi

  • @victoriambonde8061
    @victoriambonde80613 ай бұрын

    daah kakosa sifa za kuwa mbunge mbaguzi sana uyu sawa aina shida na Bala tunaitaji muingie na paspot na viza sawa mbunge

  • @user-ft4uk5fz8g

    @user-ft4uk5fz8g

    2 ай бұрын

    Sio ubaguzi ni sawa Tu ....nyinyi nakushangaeni Sana katika Jambo la kuisingizia kila wakati znzbar na ushoga..japo kua nyani haoni Ku...sasa munawtaka mungano ili iweje tuwageuze wtato Wenu na nyinyi kua kua ni mashoga ?? nyini ni wanafiki Sana ...pia ni wabaguzi Sana maana kila mbaguzi humuona mwezke ni mbaguzi ...

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim11062 ай бұрын

    Jamani siyo kitu cha ajabu… tukasema maajabu saba labda ya Dunia yatatokea watu kuingia Dar na Zanzibar kwa passport 😂😂😂walokuwa wana umri wa miaka 50 na kuendelea walikuwa wanajuwa kama huingii Dar es salaam bila ya passport siyo Zanzibar tuu ndio uingie na passport LAAA. Kuna WaTanz 😂😂😂 wanopenda kushinda na siyo washindani na hawajuwi maslahi yao yako wapi na vizazi vyao. Ndio utaona wa Tanzania wengi wanahiyari kujisokomeza ma Ulaya huko kutafuta maendeleo.Kwanza Immigration ya Dar itatia pesa kwa watu wanoshuka Zanzibar na pia Zanz itakuwa hivyo hivyo. baada ya kuingia watu bila ya utaratibu kwa Nchi zote mbili hata Kama kuna Muungano.

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs43302 ай бұрын

    Itakuwa bora zaidi Wazanzibar wabaki hukohuko zanzibar, na wa Tanganyika wabaki bara Kwakweli itapendeza

  • @AyoubSulayman-pv6lr
    @AyoubSulayman-pv6lr3 ай бұрын

    Kakosa hoja bungeni ndo mana anajikanyaga kanyaga

  • @saidal-hind5338

    @saidal-hind5338

    2 ай бұрын

    Hajakosa hoja kupigwe kura wazanzibar wengi hatutakii muungano weee

  • @AyoubSulayman-pv6lr

    @AyoubSulayman-pv6lr

    2 ай бұрын

    @@saidal-hind5338 tatizo Moja la wazenji ubaguzi ni mwingi sana nyie , mnadanganya watu eti mnajua dini , dini Gani inafundisha ubaguzi

  • @saidal-hind5338

    @saidal-hind5338

    2 ай бұрын

    @@AyoubSulayman-pv6lr hapa sio dini hapa tunataka mamlaka kamili kwani muungano lazima njoo upige kura znz kuhusu muungano utapata 99 hawautaki

  • @user-ft4uk5fz8g

    @user-ft4uk5fz8g

    2 ай бұрын

    @@AyoubSulayman-pv6lr tatixo la wabara wengi ni roho mbaya kwa znzbar hawitakii kheri kwa lolote yn hamuezi kuishi bila ya kuisema zenji mm midomo yenu haipoi znzbar zanbar znzbar sasa tafuteni kazi ya kufanya ...musikodi majumba mujenge

  • @user-ft4uk5fz8g

    @user-ft4uk5fz8g

    2 ай бұрын

    @@AyoubSulayman-pv6lr Kwa tarifa yenyu watanganyika wana juwa fika kuwa wakiwachia zanzibar na uhuru wake ndani ya mwaka zanzibar inakuwa dubai na hilo wanalijuwa wasio juwa ni hawa watanganyika wasio jitambuwa lakini wasomi wanajuwa wakiwacha zanzibar maisha ya tabadilika na na muungano ukivunjika tuna weza kuacha kila kitu na musiviendeleze mfano sisi wazanzibar tumekuja tanganyika na nguo zetu sasa hivi tuna majumba mali tulikuja tukawakuta na majumba mme uza majumba ya urisi na hamna mlicho fanya kwa hiyo hata tukiwachia mali hakuna kitakacho endelea kazi yenu ni pombe uzinzi na pombe

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu76422 ай бұрын

    huyo mbunge alitokea kigoma na leo anajiita mzanzibar, bado pemba nao watasema unguja msije pemba kumejaaa mzee tik wapime suti hao..

  • @Worldunite
    @Worldunite2 ай бұрын

    Kwanza akamatwe huyo na afunguliwe mashitaka kabisa,maana anawapinga akina mwalimu nyerere na karume

  • @AlanWilliam-oq5qz
    @AlanWilliam-oq5qz2 ай бұрын

    KELELE ZOOOOTE IZO SIJASIKIA AKIOMBA UVUNJWE Mara nyingi wanataka serikari tatu

  • @BilalHusseyMohdkhamis
    @BilalHusseyMohdkhamis2 ай бұрын

    ❤❤

  • @mahmoudukusso4488
    @mahmoudukusso44882 ай бұрын

    Siku zote aliyeshiba lazima AJAMBE endelea KUJAMBA mheshimiwa

  • @barikiringo6311
    @barikiringo63112 ай бұрын

    Mbona nimeona kama anabwabwaja maneno, kweli ni mzanzibar au katoka oman? , kiswahili chake xkiamini. Tanzania Tanzania ni ya watanzania wote. Sipendi kusikia Tanzania bara, wala Tanzania visiwan. Kwan tukishiriki mkate mmoja kwa furaha kuna nini? ... no passport, no problem 😊😊#Mungu ibariki Tanzania. Nini kiwanja hapa Arusha, nataka nimpe ndugu yangu kutoka pemba na nimuozeshe kwa binti yangu . Hapo vipi???. Upendo, ushirikiano, amani na utulivu ni zaid ya yote. #mamasamiahuyooo. TANO ZINGINE ZINAMUHUSU. jana nilipita Mount Meru hospi hospital kazi inaendelea. Kazi nzuri. Nakupigia Tanzania 🇹🇿 ♥️ ❤️ 💖 🎉🎉😅😊

  • @barikiringo6311

    @barikiringo6311

    2 ай бұрын

    Love my country will die for it!!! Napenda nchi yangu nitakufa kwaajili yake. Nafurahi kuishi kwenye ardhi ya mababu zetu. Ahsante karume , Ahsante Nyerere. Love our ancestors ❤️ 😊😊😊😊

  • @ibrahimame9805

    @ibrahimame9805

    2 ай бұрын

    Ss htuna shida ya muungano. Kaunganeni na wanya mparahuko

  • @elisantenyange8751
    @elisantenyange87512 ай бұрын

    Kwanza yeye atanza kwa kupotezea ubunge wake

  • @Worldunite
    @Worldunite2 ай бұрын

    Wazanzibari wanajiona "miungu watu"

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    2 ай бұрын

    Utaratibu huo ulikuwapo tokea zamani huingii Dar es salaam bila ya passport na Zanzibar hali kadhalika. Siyo maajabu saba ya Dunia. Wacha kuwasema watu wa Zanzibar kwa ajili hiyo 😂😂😂 Dunia ni mitihani tulokuwa nayo kwenye family zetu yanatushinda kunatafuta makubwa ya Ulimwengu tusiyo yaweza.

  • @abdulrahmanrajab4369
    @abdulrahmanrajab43692 ай бұрын

    hatwataki asaaaah wasije machogo

  • @KichwaKigumu
    @KichwaKigumu2 ай бұрын

    Nyie wa Tanganyika akili zenu mbovu lakini mkae mkatambua kwamba maharage hayawi kunde hata upike chungu ki1 wa Tanganyika mtasalia kuawa wa Tanganyika na wa Zanzibar tutakua wa Zanzibar tu daimaa

  • @user-to6cg8uf3f

    @user-to6cg8uf3f

    2 ай бұрын

    Kisiwa hakina mwenyewe Wazanzibar wenye uarabu ndan Yake wamekuja sababu ya utumwa na ukoloni na Wazanzibar wootee wenye wenye ngozi nyeus asili ni bara kama huamin fuatilia utajua na kuhusu ajira mfano kwenye sector ya hotel na utalii nyie wenyewe mnazingua haswa kwasababu ya tamaduni na dini ya kiislam imekuwa ngum watu wa Zanzibar kuchangamkia hizo fursa maana wanaona haziendani na Imani Yao ndio maana wengi wanatoka bara na mataifa mengine sasa hapo unaona nani mwenye changamoto?Lakini pia suala la elimu ni Wazanzibar wachache bado hawatilii maanani elimu dunia hivyo kupelekea kukosa hizo fursa vijana wengi wanazingua nachekaga mno unakuta jitu zima utasikia Maa Maa linaombaomba au utakuta mwamba nipatie mia tano ila kiukwel muda mwingine wenyewe ndio changamoto wajitafakari kuliko kuanza kusambaza kauli na mitazamo ya kibaguzi wakati sisi ni wamoja kuna vitu vimekwishakutokea bara lakini naona ngum kutokea Zanzibar marais wawili mpk sasa wameshashika dola ila nawaza hivi inaweza kutokea mtu wa bara kuwa hata mbunge Zanzibar?

  • @ibrahimame9805
    @ibrahimame98052 ай бұрын

    Wazanzibar hatuutaki muungano.hatuna shida nao. Kaunganeni na kenya huko.

  • @AlanWilliam-oq5qz

    @AlanWilliam-oq5qz

    2 ай бұрын

    Poa usiwazee we samaki

  • @LalakwaLekinanga-cj5ke
    @LalakwaLekinanga-cj5ke2 ай бұрын

    Kwani wao wamekataswa kufanya kazi na wageni. au ndoo ubaguzi?

  • @rajabmusa5452
    @rajabmusa54523 ай бұрын

    Huyumbunge..kakosea..zanzibar..mtuwabara..haruhusiwikumiliki..ardhi..sasa .hiomiti..naminazi..wanakatanani..pia..hata..iweje..watuwabara .hawawezikuzidiwa.zanzibar...wenyewe..mwazaaana..mika..40..ijayo..kisiwakitapungua..hicho..mtaanza..kujabara Tena

  • @user-xe1im9tt1z
    @user-xe1im9tt1z2 ай бұрын

    Kubwa kweli alafu halijielewi

  • @jamesrespicius60
    @jamesrespicius602 ай бұрын

    Nadhani hajui maana ya muungano

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho43423 ай бұрын

    Tubaki na Tanganyika yetu na wao wabaki na Zanzibar yao,waZanzibar wote waliopo bara waanze kufungasha au wakubali utaratibu wa kuishi kama wageni

  • @mpajibinaisa7238

    @mpajibinaisa7238

    3 ай бұрын

    Yaani niwabinafc mno sijui kuna sababu gani ya kuungana basi waanze kuwa na nchi ya kwao na sisi tujitegemee uku

  • @abdulhamis9825

    @abdulhamis9825

    3 ай бұрын

    Tatzo Limeanzia Mbali Sana Sema Kwa Makele Yao Na Sasa Hv Nchi Inaongozwa Na Mtu Wa Kwao Wafanye Tu Wajitoe Waende Kwao Tubaki Na Kwetu Nina Iman Hatuwez Kuzidiwa Na Watu Ambao Idadi Yao Haifka Ata Mkoa Wa Dar-Es-Salaam

  • @user-ft4uk5fz8g

    @user-ft4uk5fz8g

    2 ай бұрын

    Ntakujibu baadae

  • @KichwaKigumu

    @KichwaKigumu

    2 ай бұрын

    Nyie wa Tanganyika akili zenu mbovu lakini mkae mkatambua kwamba maharage hayawi kunde hata upike chungu ki1 wa Tanganyika mtasalia kuawa wa Tanganyika na wa Zanzibar tutakua wa Zanzibar tu daimaa

  • @abdulhamis9825

    @abdulhamis9825

    2 ай бұрын

    @@KichwaKigumu Ukiwa Unaandika Jarbu Kufanya Na Tathimin Ya Unachozungumza Hv Kwel Sisi Hatuna Akil Na Ndio Mnalalamika Kila Siku Kuwa Tunawakandamiza Na Kimfumo Nyinyi Ni Watumwa Wetu Na Uko Ni Koloni Letu Sasa Niambie Nani Mwenye Akil Nyie Au Sisi

  • @user-ol6on9tt7k
    @user-ol6on9tt7k2 ай бұрын

    Iv mtu kama huyo anawezaje kua kiongoz maana Hana akili

  • @user-ft4uk5fz8g

    @user-ft4uk5fz8g

    2 ай бұрын

    Kwa tarifa yenyu watanganyika wana juwa fika kuwa wakiwachia zanzibar na uhuru wake ndani ya mwaka zanzibar inakuwa dubai na hilo wanalijuwa wasio juwa ni hawa watanganyika wasio jitambuwa lakini wasomi wanajuwa wakiwacha zanzibar maisha ya tabadilika na na muungano ukivunjika tuna weza kuacha kila kitu na musiviendeleze mfano sisi wazanzibar tumekuja tanganyika na nguo zetu sasa hivi tuna majumba mali tulikuja tukawakuta na majumba mme uza majumba ya urisi na hamna mlicho fanya kwa hiyo hata tukiwachia mali hakuna kitakacho endelea kazi yenu ni pombe uzinzi na pombe

  • @AshrafAhmed-uf7zj
    @AshrafAhmed-uf7zj2 ай бұрын

    Kwani wabara zanzibar inawauma nn😂

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    2 ай бұрын

    Ndo hapo umesema. Si kitu kigeni Zanzibar wakiingia Dar es salaam kwa passport khasa ilikuwa hivyo zamani.

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila30033 ай бұрын

    Mbaguzi oakijaa si waje bara nako ni kwao tu anafikiri hata akiweka pasport hawatajaa always wanadanganywa Kwamba wananyonywa kwa uhalisia si kweli

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis98253 ай бұрын

    Hawa Ndio Watu Wa ZANZIBAR ata Uwafanyie Wema Gani Bado Watajitokeza Tu Kwa UBAGUZ wao

  • @user-ft4uk5fz8g

    @user-ft4uk5fz8g

    2 ай бұрын

    Kwa wema gani mlioufanya

  • @abdulhamis9825

    @abdulhamis9825

    2 ай бұрын

    @@user-ft4uk5fz8g Mpka Leo Kuna Mchele Kutoka Mbeya Unauzwa Kwenu Kama Sio Ilo Mtakula Mapembe Mpka Kufa Kwenu

  • @salmaomar9251

    @salmaomar9251

    2 ай бұрын

    Kama nyiye vile

  • @abdulhamis9825

    @abdulhamis9825

    2 ай бұрын

    @@salmaomar9251 Kwahyo Mnaiga Ujinga

  • @Worldunite
    @Worldunite2 ай бұрын

    Wewe unayejua geography, unajua ukubwa wa kisiwa chenu cha znz?? Mna mashamba au mabustani nyie ndo wa kutuambia sie wabara bila znz tutakufa na njaa wakati chakula kinatoka huiku bara ndo mnanenepa huko, limeni mabustani ya viungo na maua mle mshibe km mnaweza. Idadi ya wspemba na wazenji walioko bara linganisha na wabara walioko huko ndo utajua wapemba na wazenji mko wengi zaidi huku bara, kajitathmini na ufanye utafiti ndo uje uropoke humu

  • @ibrahimame9805

    @ibrahimame9805

    2 ай бұрын

    Kwani mnatugaia mbwa nyie

  • @Worldunite

    @Worldunite

    2 ай бұрын

    @@ibrahimame9805 ushawahi kuona mbwa aliyechoka kuogelea baharini hadi akaishiwa nguvu? Ndo watu wa aina yako wewe, ulikimbia mapinduzi za zanzibar ulifika hapa pwani ya bara kwa jahazi,tena kwa kujificha ndani ya pipa, sie wabara tuliwapokea kwa wema sana, mbona wewe tu peke yako unatuita sie mbwa???..ina maana hawa wazenji wenzio unawaona hawana akili?? Wewe peke yako ndo una akili ya kutuita mbwa?? Namkumbuka na kumpongeza sana hayati KARUME kwa kuwachangsnya mbegu ili muwe wamoja maana ubaguzi ulizidi sana huko Sasa nani mbwa sie au wewe??

  • @clevazanzibar131
    @clevazanzibar1313 ай бұрын

    Kudadadeki itakua poa sana laana zote zitaondoka

  • @abdulhamis9825

    @abdulhamis9825

    3 ай бұрын

    Kama Mmelaaniwa Mmelaaniwa Tu Ata Kama Sisi Hatutokuwepo Uko Alaf Pia Kaeni Mkijua Hakuna Mwenye Kwao Hapo Nyote Wageni Sema Hamtaki Asil Zenu Mnajifanya Nyie Wwarabu Kwa Kutawaliwa Nao

  • @user-ft4uk5fz8g

    @user-ft4uk5fz8g

    2 ай бұрын

    ​@@abdulhamis9825Kwan we apo ndio asili yako

  • @abrahammollel3558
    @abrahammollel35583 ай бұрын

    Hizi mtu kwenda Anapotaka Mb hauna hoja zaidi ya ubanguzi Zanzibar tutaenda bla passport

  • @abdulrahmanrajab4369

    @abdulrahmanrajab4369

    2 ай бұрын

    hatutak makafiri kwetuuuh

  • @abdulrahmanrajab4369

    @abdulrahmanrajab4369

    2 ай бұрын

    nyie wenyew wabaguzi mnajibagua wenyew kujiita tanganyika hamtak nyie watanganyika tuuuuh vichog km tivii za zaman

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed51573 ай бұрын

    Yaaan watanganyika nyie munashiida sana Akilin mwenu mukimuoana Mtu anasema ukweli tu kuhusu Zanibar nyie munaaanza anaubaguzi acheni choyo hicho na Roho zenu mbaya

  • @yohanamnema4496

    @yohanamnema4496

    3 ай бұрын

    Siku zote kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo unamatumiz mabaya ya akili wewe unaona huyo mbunge Kuna Cha maana kaongea

  • @omarmohammed5157

    @omarmohammed5157

    3 ай бұрын

    @@yohanamnema4496 Hata chizi mwenye matatizo ya akili hujiona ana akili sana nakuwatowa akili wenye akili unadhan wewe icho alicho kisema kuhusu Zanzibar sio Sahihi???

  • @juma3473

    @juma3473

    3 ай бұрын

    Ungekuja kuina alosema ungekubali saivi watu wengi na kisiwa hakitakiwi ivyo saivi miti hamna mingi TU Sasa hatari kwa kisiwa sehemu ni ndogo

  • @omarmohammed5157

    @omarmohammed5157

    3 ай бұрын

    @@juma3473 huyo hawezi kikubali kwasabab ni mtanganyika mwenye aroho mbaya na chuki hawezi kuona haki ataona shary tu ndio Haki

  • @catherinempatallha4979

    @catherinempatallha4979

    3 ай бұрын

    Nyie wenyewe mnazaliana ucku na mchana kisiwa kitakosa kujaa

  • @user-wr3jp6tg4p
    @user-wr3jp6tg4p3 ай бұрын

    Ubaguzi n nyny watanganyika

  • @abdulhamis9825

    @abdulhamis9825

    3 ай бұрын

    Wapi Ulimsikia Mtanganyika Anazungumza Kuhus Zanzibar..? Kwanza Kwa Taarfa Yako Sisi Asilimia85 Hatujui Aswa Khs Nyie Lkn Nyinyi Kila Asilimia100 Mnazungumza Khs Sisi

  • @user-ft4uk5fz8g

    @user-ft4uk5fz8g

    2 ай бұрын

    Sisemi kitu lkn nkiibiewa na MTU nimjuae lazma niwatahdharishe na wenzangu kua MTU Huyu ni mwizi ili wapate kumjua

  • @abdulnaseermrisho4342

    @abdulnaseermrisho4342

    2 ай бұрын

    "Usijenge nao urafiki,wengi ni wanafiki wana roho mbaya na wana hila,bila kusahau shirki na ushoga vile vile wanapenda maisha ya raha ila ni wavivu kufanya kazi,ndio maana hotel kwao nyingi ila asilimia 70 wameajiriwa wageni na sio wao" na mimi huwa nawaambia waTanganyika wenzangu kila nikiona wanavuka maji kwenda kwa hao ndugu lawama

  • @abdulhamis9825

    @abdulhamis9825

    2 ай бұрын

    @@abdulnaseermrisho4342 Sahihi Kabsa Na Mambo Mengi Yanashndwa Kwenda Kwa Tabia Zao Za Kupenda Kitonga Watu Wakienda Kuchukua Fursa Wanaumia

  • @user-ft4uk5fz8g

    @user-ft4uk5fz8g

    2 ай бұрын

    @@abdulnaseermrisho4342 ata kuja hujawhi kuja alafu unatoa data za uongo ... Lete ushahidi kwa unayo sema kua sis kuna mashoga wengi huku kuliko uko .kuhusu ushirikina pia kuhusu unafiki pia lete ushahidi ...ati hutupendi kufanya kazi wazanzibr ndio watu wliotika kwao na nguo ya kuvalia Tu wakaja uko na saiv wana utajirri wanakutumeni nyinyi kariakoo ...na huku zenji simuoni mbara tajiri ...wote maskini tu kama ww tu ..hao munaowaita wavivi ndio wanakutumeni ....wanakulipeni sasa watu wavivu wamepata wapi. Pesa za kukutumeni nyinyi ??

  • @OscarMushi-dg4vt
    @OscarMushi-dg4vt2 ай бұрын

    Mjinga sana bara umekuja kuchukuwa nn

  • @user-nk3dp9cv9c
    @user-nk3dp9cv9c3 ай бұрын

    Namuunga mkono asilimia yte, sababu Zanzibar saiv mauwaj ya hovyo yamezid, majambaz yakila aina ,hii pia itasaidia kuzuia ujambaz, hata kama pia nawao Tanganyika wataeka yao n jambo Zur

  • @mpajibinaisa7238

    @mpajibinaisa7238

    3 ай бұрын

    Sikia kenge hii mkiambiwa nyie ni wabaguzi mnakataa kwaiyo unaushahid kwamba ujambazi wote unafanywa na watu wa Tanganyika?

  • @user-nk3dp9cv9c

    @user-nk3dp9cv9c

    3 ай бұрын

    @@mpajibinaisa7238 Jiheshimu, mm ckujui walahaunijui, hivi kitu Kama hiki ndio umekujajuu Kama unapigwa miti kwa nyumaa! Shenzz ,Kila mtu n mawazo yke, ubaguz upo wapi kwani c n kitu chakawaid, Kama ni Wote n Watanzania kwanini kule munakuita Zanzibar hamuiti Tanzania km c ubaguz nini hiki? Mbwa wewe ,hafu kenge alie kuzaa c mm pumbavu wahovoo, kilamtu n mawazo yake acha kubweka?🤫🤫

  • @abdulhamis9825

    @abdulhamis9825

    3 ай бұрын

    Kwel Chuki Hazina Sababu Leo Sisi Majambaz Hv Mnajua Kuwa Sisi Hatutak Ata Kusikia Muungano Na Nyinyi Sema Tu Hao Ndgu Zenu Ndio Wanatung'ang'ania Tuwe Na Nyie Embu Fanyeni Kumwambia Mama Wa Kizimkaz Atuachie IKULU yetu Alaf Muone Kama Tutawahitaj Tena Tutawatimua Kama Wezi Mmevamia Miji Yetu Mingi Tu Sisi Uko Kuna Wamasai Tu Na Wafanya Biashara NdogoNdogo Ambao Hawana Ata Vibanda Lkn Nyinyi Mmejenga Na Kufanya Biashara Kwetu Lkn Tupo Kimya Tu

  • @user-ft4uk5fz8g

    @user-ft4uk5fz8g

    2 ай бұрын

    ​@@mpajibinaisa7238ndio majambazi wahuku wengi ni wa bara

  • @juma3473
    @juma34733 ай бұрын

    Kweli kabisa watu wengi kupita maelezo kisiwa kimevamiwa vibaya

  • @abdulhamis9825

    @abdulhamis9825

    3 ай бұрын

    Ww Upo Kisiwa Gani Na Una Takwimu Ambazo Zinasema Kuwa Kumevamiwa Au Unadandia Treni Kwa Mbele..?

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila30033 ай бұрын

    Wageni ni wa bara au

  • @ibrahimame9805

    @ibrahimame9805

    2 ай бұрын

    Unafkiria ni nani km cio minyamwezi.

  • @Worldunite
    @Worldunite2 ай бұрын

    Kwanza wana nini cha maana hao wazanzibari hadi wanatubagua sie ambao tunawalisha na kuwalinda??

  • @salmaomar9251

    @salmaomar9251

    2 ай бұрын

    Munatulisha kaziyenu wabara kutunyoya Mali zetu

  • @user-ft4uk5fz8g

    @user-ft4uk5fz8g

    2 ай бұрын

    We umemlisha Nani apo ulipo Kodi inakushinda ...

  • @user-ft4uk5fz8g

    @user-ft4uk5fz8g

    2 ай бұрын

    Lip Kodi Kwanza wala huna uwezo huo wa kutulisha wala kutulinda

  • @KhamisHaji-pw4jo

    @KhamisHaji-pw4jo

    2 ай бұрын

    Ww sehemu yoyote yakisiwa ni utajiri na ndo maana wabongo mnamiminika kila cku,,,,, Tanganyika bila ya Zanzibar mtakufa njaaaa,,,,,lsome geography vizuri,,,,lgnorency guy

  • @Worldunite

    @Worldunite

    2 ай бұрын

    Wakati mlipokimbia mapinduzi mlikuja hapa pekupeku tukawapa hifadhi na pahala pa kuishi

Келесі