Mbunge wa jimbo la Konde kisiwani Pemba kupitia chama cha ACT Wazalendo, Khatib Said Haji, amesema kwamba mahabusu wa Uamsho walioko gerezani Tanzania Bara wanazidi kutendewa dhuluma.
Жүктеу.....
Пікірлер: 81
@jakuvuai14283 жыл бұрын
Nlikuja baada ya kusikia taarifa ya kifo chako, Allah akurehemu
@saidrakwe8727 Жыл бұрын
Allah ambarik huyu kiongozi wetu
@aliawam34713 жыл бұрын
Allah atawalipa mashehe wetu kwa dhulma walio fanyiwa
@stonetown5783 жыл бұрын
Allah atawafanyia wepesi In sha Allah dua'a tu kwa wingi
@is-hakabinruweikh38333 жыл бұрын
Inshaallah mbunge ww mungu atakulipa kila la kher
@amosmoses78003 жыл бұрын
HiVi haKunA waBunGe waiSLamu isipoKuWa huYu mZee tu...NaMsiKiTikiA saNa. AnAjiKuTa yupo peKee aKiwaTeTea waBunGe weNgiNe wamEBaKi kimYa waKisuBiLi poSho zAo Za siKu
@abasamwame65833 жыл бұрын
Laana za Allah ziwashukie waliwaseka rumande mashekhe zetu ,walaaniwe wao na familia zao ,awape nuhsi na mikosi wao na vizazi vyao ,awadhalilishe wao na vizazi vyao kila aliehusika
@aliabdalla9297
3 жыл бұрын
Amiin
@mudasina900
3 жыл бұрын
Amiin Yaraby
@daatyabdul652
3 жыл бұрын
Aaaamiiin
@fadhilikawambwa5159
3 жыл бұрын
aminaaaaaaaaaaaaaaa.
@clausemsemwa297
3 жыл бұрын
Hawastahili hayo wanayofanyiwa
@nassrakhalef34373 жыл бұрын
Inna lillah wa inna lillah rajiwn Allah amsamehe madhambi Yake Ampe kauli thabit Amiin yaa Rabby.
@sabraabdilnasir88263 жыл бұрын
Mashaallah mbunge
@ibnismail88313 жыл бұрын
Mm nasema hv haina haja ya kuzid kuwepo kwenye muungano tuzd kumtgemea mung ipo sk atajib vilivo vetu...wallah inauma snaa jaman so mchezo😓😓
@user-oy8go8zs7e3 жыл бұрын
Mungu akulaze pema pepon
@abdulrazaqmwandika84213 жыл бұрын
Duuuh uliyasema haya leo yametimia allah akulipe kher
@mrmdimi94063 жыл бұрын
Allah akurehemu ndg yetu
@safiaothman10983 жыл бұрын
Namwomba Allah awajaalie watoke Rumande, Aamiin.
@yusufujamali4577
3 жыл бұрын
Usisahau huyu mbunge amefariki leo Innalillah wainna ilayhhi raajiun
Huo sio munganoooo huo ni upuzi wa hali ya juuu kabisa
@topaviator
3 жыл бұрын
System
@MohamedOmar-sg8ts3 жыл бұрын
Kweli umesema mbunge InshAllah Allah ataleta kheri yake
@ShamisYussuf7 күн бұрын
Alla amsamehe makosa yake almarhuum OBAMA
@pilichumu93313 жыл бұрын
BC ukiona simbunge wa ccm huyo,uyoo mbunge wa act maana mbunge wa ccm hawez akasema ivyoo
@khadijahaji63413 жыл бұрын
Innallah wainailahi
@faridifriction88053 жыл бұрын
Rest in peace champ, Allah akurehemu amiin🤲🤲
@myunaniniahmad64633 жыл бұрын
Yaa الله mrehemu mjawako huyu, msamee makosa yake tunakuomba mlaze mahali pema.
@khalfanamour71743 жыл бұрын
Allah akupe khatma njema mhe Khatib
@user-mb2ob6kg8z3 жыл бұрын
mbunge msema kweli
@kramsjunior44473 жыл бұрын
R.I.P
@is-hakabinruweikh38333 жыл бұрын
Mashaallah
@iamaly92393 жыл бұрын
Huyu ndio mtetezi wa wanyonge natamani kuuna Act 2025 achukuwe form ya kugombea uraisi
@KhamisHaroub-uj5ci2 ай бұрын
Hakuna marefu yasoncha
@clausemsemwa2973 жыл бұрын
Huyu bwana alikua na HEKMA SANA
@arqamibnarqam.71853 жыл бұрын
Innaalillah wainnaailayhi raajiuun Allah amuhifadhi.Yaa ALLAH tuletee mwingine atakaye tusemea huko bungeni katka haqqi.amiina
@ibrahimsalum47273 жыл бұрын
Mungu ndiya hakimu mkuu free mashekh free zanzibar haki itasimama inshallah
@habibasule2360
3 жыл бұрын
Aaamin
@awatifalghanim1106
3 жыл бұрын
Ahhh Mungu ana mipango yake tulijuwa kama Maalim Seif Sharif Hamadi ataiwacha DUNIANI?? 😪 na alikuwa ameyapanga mengi MAZURI hakupanga MABAYA.. MUNGU AMRAHAMU. Mungu hafundishwi na mengi ya dhulma hapo Zanzibar pio maana Nchi taabu sana KUKAA SAWA HIYO AU TUU MUNGU ASHUSHE RAHMA ZAKE. AMIN
@mtindikoja8837 Жыл бұрын
Chema hakidumu
@jamalmshenga18513 жыл бұрын
AS HAABU L KAHFI, NI MIFANOWEE, MSIJALI JAMANI. WANAWAZIDISHIA UTUKUFU. WANAWAPOKONYA DHAMBI ZAO KWA MIKONO YAO WENYEWE, ALLAH AWAPE SUBRA PAMOJA NA SISI.
@musamusahshafi14963 жыл бұрын
Nakuungamkono kuhusu wanavyofanyiwa dhuluma dhidi ya uamsho
@peterkisanga80893 жыл бұрын
RIP Amina!
@abdullaabdullahmpakanjia23363 жыл бұрын
Walowaweka ndani masheikh ninduguzetu waislamu wazanzibar hvo tusiwalaumu viongozi wakitanganyika
@muhammedabdulla21793 жыл бұрын
Rip Hatibu
@arafatkombo58233 жыл бұрын
Ni kweli ila sio haki hii wanyo fanyiwa maskhe mama samia liangalie hili
@saidabdala49803 жыл бұрын
UNAJUWA hebu tukinukushe wazanzibar. Halafu tuwone.. watajibu tu hawa vifaranga wa MAGUFULI
Hee jamani, serikali muogopeni Allan kesho mtakwenda kuulizwa mtajibu nini? Nyie kuwaeka waja wa mungu ndani bila ya sababu kama wana makosa si muwahukumu basi ijulikanee
@jumakapilima56743 жыл бұрын
RIP
@sabraabdilnasir88263 жыл бұрын
Umeongea mbunge allah akulipe kwa hili tumefurahia kwa kuliongelea machungu ila mungu yupo na sifa yake nimudilifu someni viongozi juzi rumemzika magufuli hatujatarajia kwa hafla tu basi nasi tukonyuma madaraka yasiwalevye na huwo uongozi isiwe nisehemu yakuzulumu wa nyonge hapa sote niwapita njia nawakumbushia
@ibrahimjuma103 жыл бұрын
Wanahc wataishmilele ipo cku dhulma hii wanaoifanya makafir haya itafika cku yao
@ndukulusudikucho_3 жыл бұрын
Alafu Kikwete anafunga Ramadhan yeye ndio aliye amrisha waletwe bara, Waislam Tanzania huteswa na Waislam wenzao, maana wakiwa na vyeo wanaona hawastahili ndio wanaamua kulipa Fadhila
@mwalimumbukuzi72733 жыл бұрын
Huyu mbunge kila uchao ye anatetea uamsho na kuangalia maslahi mapana ya taifa. Ukweli ni mzalendo
@seakodammam22853 жыл бұрын
Sikazi utaskia siku moja hakimu asema hawa hata kama wengekutwa na kosa ilikuwa watakiwa kukaa gezani miaka 10 na sasa washatumikia 8 kwa mujibu ya kifungu No 112 nawaachia huru. Ili wasipate kushtakiwa 😀😀😀
@SA-xj8hc3 жыл бұрын
Mahabusu miaka 8! . UK kwa kosa la Ugaidi ni siku 28 maximum na makosa mengine ni 24 hours maximum. Nguvu kazi mnaisweka mahabusu hivyo?! Siasa za mawazo finyu Tz kweli zitakwisha?
@abdulbogoyo12433 жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU AKAMUADHIBU KISAWASAWA KILA YULE AMBAE ALIKUWA NI 7BU YA WATU KUKOSA HAKI ZAO.
@aliabdalla9297
3 жыл бұрын
Amiin
@fugameza60113 жыл бұрын
Tatizo nadhani nyie wabunge ( watu) mnao piga keleleee kwa masheikh wa uwamsho hao walizuiliwa na ccm na tuna piga keleleee waachiwe na nanii sasa wakati wapo njiya rahisi tuwaondowe kwa hiyari kwa nguvu vyenginevyo gitaa kwa mbuzi hachezi jengine ccm wakisema kitu walio wapa jina wapinzani hicho kitu kiyama kitakuja hawafanyi hata kiwe na maslahi trillion %
@topaviator
3 жыл бұрын
Hufahamiki
@mselemhaji19693 жыл бұрын
Mulioiweka juu ni mikafiri mibaguzi kishenzi Sasà watalifikiriaje swala la waislam wakati wao lengo Lao ni kudidimiza uisilamu
@mohdmaalim8452
3 жыл бұрын
Inshaalllah Allah atakulipa kwa kuitumia vizuri nafasi yako na kupaza sauti kutetea wanyonge.
@abdullaabdullahmpakanjia2336
3 жыл бұрын
Kwahyo walowaweka ndani ni makafiri ama ninduguzenu waislamu
@Munyama6753 жыл бұрын
Hao UAMSHO ni wajinga. Wasitolewe na ikiwezekana watoswe kwenye kemikali. Walikuwa wanasambaza chuki sana za kidini. Kikwete alifanya la maana sana
@abdumodest5898
3 жыл бұрын
Laana ikukute ww kabla yao
@khadijahaji6341
3 жыл бұрын
Hasbia llah mungu akuhukumu kwa makosa yako inshallah na ramadhani hii
@eddybrizzy76
3 жыл бұрын
acha ujinga wako ww Hanisi wa Kiume Nakuombea Dua Wazee wako wafikwe na la kufikwa lolote ili na ww uone uchungu wa dunia...
@aliymaulid8941
3 жыл бұрын
M/Mungu akuongoze au akuangamize
@ashajoj4211
3 жыл бұрын
Mungu akuhukumu kwa kauli yko hii
@truthspeaker20623 жыл бұрын
Mshahara wa dhulma ni mauti. Endeleeni ivo ivo madhal sote tutakufa tutakutana uwanjani . Hv kuwaachia wale watu wakarudi kumaliza uhai wao uliobakia na familia zao ndio itafanya tanzania izame ama itakuwa vp. Ipo siri si bure . Ngoja mufe mashetani nyie mnanijuwa mnaokwamisha hii kesi .
@muhammedkhamis1407
3 жыл бұрын
Inauma Sana Inaumiza Sana Inasikitisha Sana Mpaka Leo Miyaka 8 Wanakunya Ujigerezani Allah Atawalipa Hapa Hapa Duniyani Kila Aliye Wazulimu Mashekhe Wetu Hata Kwa Kuchangia Neno Tu Kabla Yakufa Yeye Insha Allah 🤲🤲😭😭
Пікірлер: 81
Nlikuja baada ya kusikia taarifa ya kifo chako, Allah akurehemu
Allah ambarik huyu kiongozi wetu
Allah atawalipa mashehe wetu kwa dhulma walio fanyiwa
Allah atawafanyia wepesi In sha Allah dua'a tu kwa wingi
Inshaallah mbunge ww mungu atakulipa kila la kher
HiVi haKunA waBunGe waiSLamu isipoKuWa huYu mZee tu...NaMsiKiTikiA saNa. AnAjiKuTa yupo peKee aKiwaTeTea waBunGe weNgiNe wamEBaKi kimYa waKisuBiLi poSho zAo Za siKu
Laana za Allah ziwashukie waliwaseka rumande mashekhe zetu ,walaaniwe wao na familia zao ,awape nuhsi na mikosi wao na vizazi vyao ,awadhalilishe wao na vizazi vyao kila aliehusika
@aliabdalla9297
3 жыл бұрын
Amiin
@mudasina900
3 жыл бұрын
Amiin Yaraby
@daatyabdul652
3 жыл бұрын
Aaaamiiin
@fadhilikawambwa5159
3 жыл бұрын
aminaaaaaaaaaaaaaaa.
@clausemsemwa297
3 жыл бұрын
Hawastahili hayo wanayofanyiwa
Inna lillah wa inna lillah rajiwn Allah amsamehe madhambi Yake Ampe kauli thabit Amiin yaa Rabby.
Mashaallah mbunge
Mm nasema hv haina haja ya kuzid kuwepo kwenye muungano tuzd kumtgemea mung ipo sk atajib vilivo vetu...wallah inauma snaa jaman so mchezo😓😓
Mungu akulaze pema pepon
Duuuh uliyasema haya leo yametimia allah akulipe kher
Allah akurehemu ndg yetu
Namwomba Allah awajaalie watoke Rumande, Aamiin.
@yusufujamali4577
3 жыл бұрын
Usisahau huyu mbunge amefariki leo Innalillah wainna ilayhhi raajiun
Allahummaghfirlahu warhamahu waraudhahu wamaskanahufiljannat
Mungu akupe kauli thabit
Huo sio munganoooo huo ni upuzi wa hali ya juuu kabisa
@topaviator
3 жыл бұрын
System
Kweli umesema mbunge InshAllah Allah ataleta kheri yake
Alla amsamehe makosa yake almarhuum OBAMA
BC ukiona simbunge wa ccm huyo,uyoo mbunge wa act maana mbunge wa ccm hawez akasema ivyoo
Innallah wainailahi
Rest in peace champ, Allah akurehemu amiin🤲🤲
Yaa الله mrehemu mjawako huyu, msamee makosa yake tunakuomba mlaze mahali pema.
Allah akupe khatma njema mhe Khatib
mbunge msema kweli
R.I.P
Mashaallah
Huyu ndio mtetezi wa wanyonge natamani kuuna Act 2025 achukuwe form ya kugombea uraisi
Hakuna marefu yasoncha
Huyu bwana alikua na HEKMA SANA
Innaalillah wainnaailayhi raajiuun Allah amuhifadhi.Yaa ALLAH tuletee mwingine atakaye tusemea huko bungeni katka haqqi.amiina
Mungu ndiya hakimu mkuu free mashekh free zanzibar haki itasimama inshallah
@habibasule2360
3 жыл бұрын
Aaamin
@awatifalghanim1106
3 жыл бұрын
Ahhh Mungu ana mipango yake tulijuwa kama Maalim Seif Sharif Hamadi ataiwacha DUNIANI?? 😪 na alikuwa ameyapanga mengi MAZURI hakupanga MABAYA.. MUNGU AMRAHAMU. Mungu hafundishwi na mengi ya dhulma hapo Zanzibar pio maana Nchi taabu sana KUKAA SAWA HIYO AU TUU MUNGU ASHUSHE RAHMA ZAKE. AMIN
Chema hakidumu
AS HAABU L KAHFI, NI MIFANOWEE, MSIJALI JAMANI. WANAWAZIDISHIA UTUKUFU. WANAWAPOKONYA DHAMBI ZAO KWA MIKONO YAO WENYEWE, ALLAH AWAPE SUBRA PAMOJA NA SISI.
Nakuungamkono kuhusu wanavyofanyiwa dhuluma dhidi ya uamsho
RIP Amina!
Walowaweka ndani masheikh ninduguzetu waislamu wazanzibar hvo tusiwalaumu viongozi wakitanganyika
Rip Hatibu
Ni kweli ila sio haki hii wanyo fanyiwa maskhe mama samia liangalie hili
UNAJUWA hebu tukinukushe wazanzibar. Halafu tuwone.. watajibu tu hawa vifaranga wa MAGUFULI
Noma sana serekali inalaaana hio isioKwisha
Allahuma ghufirlahu waarhamahu waaskinahu filjannat
@mwanakhamiskhamis3115
3 жыл бұрын
Amin Amin Amin
Rest in peace our brother
Allah ampe kauli thabiti
Good
Hee jamani, serikali muogopeni Allan kesho mtakwenda kuulizwa mtajibu nini? Nyie kuwaeka waja wa mungu ndani bila ya sababu kama wana makosa si muwahukumu basi ijulikanee
RIP
Umeongea mbunge allah akulipe kwa hili tumefurahia kwa kuliongelea machungu ila mungu yupo na sifa yake nimudilifu someni viongozi juzi rumemzika magufuli hatujatarajia kwa hafla tu basi nasi tukonyuma madaraka yasiwalevye na huwo uongozi isiwe nisehemu yakuzulumu wa nyonge hapa sote niwapita njia nawakumbushia
Wanahc wataishmilele ipo cku dhulma hii wanaoifanya makafir haya itafika cku yao
Alafu Kikwete anafunga Ramadhan yeye ndio aliye amrisha waletwe bara, Waislam Tanzania huteswa na Waislam wenzao, maana wakiwa na vyeo wanaona hawastahili ndio wanaamua kulipa Fadhila
Huyu mbunge kila uchao ye anatetea uamsho na kuangalia maslahi mapana ya taifa. Ukweli ni mzalendo
Sikazi utaskia siku moja hakimu asema hawa hata kama wengekutwa na kosa ilikuwa watakiwa kukaa gezani miaka 10 na sasa washatumikia 8 kwa mujibu ya kifungu No 112 nawaachia huru. Ili wasipate kushtakiwa 😀😀😀
Mahabusu miaka 8! . UK kwa kosa la Ugaidi ni siku 28 maximum na makosa mengine ni 24 hours maximum. Nguvu kazi mnaisweka mahabusu hivyo?! Siasa za mawazo finyu Tz kweli zitakwisha?
MWENYEZI MUNGU AKAMUADHIBU KISAWASAWA KILA YULE AMBAE ALIKUWA NI 7BU YA WATU KUKOSA HAKI ZAO.
@aliabdalla9297
3 жыл бұрын
Amiin
Tatizo nadhani nyie wabunge ( watu) mnao piga keleleee kwa masheikh wa uwamsho hao walizuiliwa na ccm na tuna piga keleleee waachiwe na nanii sasa wakati wapo njiya rahisi tuwaondowe kwa hiyari kwa nguvu vyenginevyo gitaa kwa mbuzi hachezi jengine ccm wakisema kitu walio wapa jina wapinzani hicho kitu kiyama kitakuja hawafanyi hata kiwe na maslahi trillion %
@topaviator
3 жыл бұрын
Hufahamiki
Mulioiweka juu ni mikafiri mibaguzi kishenzi Sasà watalifikiriaje swala la waislam wakati wao lengo Lao ni kudidimiza uisilamu
@mohdmaalim8452
3 жыл бұрын
Inshaalllah Allah atakulipa kwa kuitumia vizuri nafasi yako na kupaza sauti kutetea wanyonge.
@abdullaabdullahmpakanjia2336
3 жыл бұрын
Kwahyo walowaweka ndani ni makafiri ama ninduguzenu waislamu
Hao UAMSHO ni wajinga. Wasitolewe na ikiwezekana watoswe kwenye kemikali. Walikuwa wanasambaza chuki sana za kidini. Kikwete alifanya la maana sana
@abdumodest5898
3 жыл бұрын
Laana ikukute ww kabla yao
@khadijahaji6341
3 жыл бұрын
Hasbia llah mungu akuhukumu kwa makosa yako inshallah na ramadhani hii
@eddybrizzy76
3 жыл бұрын
acha ujinga wako ww Hanisi wa Kiume Nakuombea Dua Wazee wako wafikwe na la kufikwa lolote ili na ww uone uchungu wa dunia...
@aliymaulid8941
3 жыл бұрын
M/Mungu akuongoze au akuangamize
@ashajoj4211
3 жыл бұрын
Mungu akuhukumu kwa kauli yko hii
Mshahara wa dhulma ni mauti. Endeleeni ivo ivo madhal sote tutakufa tutakutana uwanjani . Hv kuwaachia wale watu wakarudi kumaliza uhai wao uliobakia na familia zao ndio itafanya tanzania izame ama itakuwa vp. Ipo siri si bure . Ngoja mufe mashetani nyie mnanijuwa mnaokwamisha hii kesi .
@muhammedkhamis1407
3 жыл бұрын
Inauma Sana Inaumiza Sana Inasikitisha Sana Mpaka Leo Miyaka 8 Wanakunya Ujigerezani Allah Atawalipa Hapa Hapa Duniyani Kila Aliye Wazulimu Mashekhe Wetu Hata Kwa Kuchangia Neno Tu Kabla Yakufa Yeye Insha Allah 🤲🤲😭😭