MBUNGE KHATIB AICHANACHANA BAKWATA, AULIZA MASWALI MATATU MAZITO
Maswali mazito aliyouliza Mbunge wa Konde, Khatib Said Haji alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu kwa mwaka wa fedha 2018/2019, mjini Dodoma.
Пікірлер: 200
Allah azidi kukurehem na kukuweka ktk daraja la waja wema katika pepo ya firdaus INSHA ALLAH.
big up Khatib, khasidi kweli mtu mbaya, wa2ache na dini yetu
Allah akulipe pepo maalimu wangu na alifanye kaburi lako kuwa ni viwanja miongoni mwa viwanja vya pepo
اللهم ثبته بالقول الثابت في الحياة الدنيا وفي الآخرة
Mh, khatibu big up wape kweli hao ving'ang'anizi.
Allah akulipe kheri kwa mcmamo wako wadhati kwa kuitetea dini yako na nchi yako ya Zanzibar kwa dhulma mnayofanyiwa
Allahumma ghfirlahu warhamhu waskannahu filjannah ... Mola akupe pepo ya juu kabisa marhum kiongozi wetu maalim khatib umefanya jihadi wallahi hiyo ni miongoni mwa jihadi Umeitetea sana nchi yako na wananchi na umewatetea sana masheikh wetu na ndugu zetu wa uwamsho ni jihad hata kutetea au kuchukia uwovu,, Mola akulipe kheri huko uliko
Yuko sahihi sana mh Khatib
@Hassan-vn6nn
5 жыл бұрын
They know what they are doing....they don't want to see Zanzibar and it's people exist... We are rising up and no will stop us...Time is due ...
Dah kiongozi umetisha........... Big up , five stars to u 👍
Asante sana umeongea point 👏👏
Nakupenda bule Mungu akupokee katika jaanat,fidaus
@ashamasoud122
3 жыл бұрын
Mungu akuhufadhi ulipo shujaa wetu
Hongera khaatibu .umeongea kweli
Innal llai khatib allah akuepushe moto
yan she Khatib unanifrahisha kweli si wanasema kama kuna muungano wa Tanzania Na Zanzibar kwa nn wasiwe pamoja ktk biashara ili tusaidiane wao hawaitaj tuendelee kbs lkn wapo wanatukandamiza.
Kweli wema hawadumu innallillahi wainnallahi rajiuni
@bilaliomary7616
3 жыл бұрын
nazan uyo mbung ajiherew mung amsamee
Swali lako ni zuri sana
اللهم اجعل قبره روضة من رياض الجنه
inatiya sana uchungu kwa kweli sioni faida ya muungano hapo.
Hakuna marefu yasiyo na ncha inshaallah allah atawateketeza wote wanayoifanyia ubaya nchi yetu ya zanzibar allah humma aamin
ALLAH akuzidishie kila jema huko uliko
Safi kabisa kamanda
Mashallah allah akulinde muheshimiwa
Uko sahihii@khatibu
bakwata si ya waisilamu bakwata ni taasisi iliyoundwa na serekali bakwata ibaki Kama bakwata waisilamu wabaki na uisilamu mzuri
@hechechacha4032
6 жыл бұрын
Joshua Samson sahihi
@destiny4life439
6 жыл бұрын
kak unaakili sana muislam wa kweli anaamin allahu na kufany yatakayomsaidia baada ya kufa suo bakwata
Mungu atakulipa kwa kusema hakhi .uko sawa kabisa
@jaafarwibonela7402
3 жыл бұрын
Ndugu yetu leo 20/05/2021 ametangulia mbele ya haki. Mungu ampe makazi mema peponi aammyn
Hakuna haki nje ya qur-ani rudini ktk sheria ya Allah
ALLAH AKUHIFADH NA AKUSAMEHE MADHAMBI YAKO PIA AKUPE KAULU THAABITI
Daah!! Aise mashaallah ni ukweli mtupu
In sha Allah Mungu atawalaani hao laanatullahi inauma kwelu watakufa vinywa wazi wametuganda tu Mungu atawafarikisha wafe huku wakinya hasbiyallahu waniimalwakil Mungu awalani laaana hao
Mwenyezi mungu akurehemu na akupe mwangaza kwenye kaburi lako
mashaallah wewe ndio mbuge wakwanza kuongea pwenty na kuongea ukweli
Jamaaa ameongea point Sana
nice point
Inna lillah wainna ilyh rajiuun Mungu akulaze mahala pema pepon amin
Hongera muheshimiwa Allah akusimamie
Hii hutuba iliwauma Sana baadhi ya watanyika na ni ukweli mtupu tunamuomba Allah akupe nuru kubwa ktk kabri lako inshaalah
Allah alitie nuru kaburi lako na akusamehe makosa yako na akupe kauli thabit
Allah akupe kauli dhabiti.
Mh umeuliza swali zuri kuhusu bakwata oac big up
mh hongera sana wallah umenifurahisha sana
Chema hakidumu Tanzania nchi ya ajabu sana mtu akiwa mzuri na msema kweli anafariki
@ismailabbas4197
3 ай бұрын
Hivi huyu kumbe ashafiriki
innaa lillah wainnaa ilaih rajiuun
Mwenyezi mungu azidi kukulinda shekhe, siku zote ukweli utakuweka huru mbele ya Allah
Hongera sana allah atakulipa
Dah ameongea kwauchungu sana nchi yetu inapoelekea sasa nipabaya...
@kibelaame5178
6 жыл бұрын
Swai Seif hujambo
Allah atakulipa kwayalemema ulioyafanya napia kuombea Allah akusemehe kwayaleuliokosea Akuhifafadhi maharapema peponi amen🙏
mh ALLAH akuzidishie uzidi kutetea haki na akufanyie wepesi
Bora umeliona hili jambo ni kero.
Mh.... kwel jmn
Doh nasikia naye kaondoka 😭😭
BAKWATA ni jukwaa kuu la waganga wa kienyeji Tanzania maana lipo kurudisha nyuma maendeleo ya waislamu.
@wardajoseph6909
3 жыл бұрын
Hahahaha
Kwakweli maswali haya sijui Kama watakuwa namajibu mamb meng yaakiislam yanahusishwa sana naserekali serekali na wiislam inahusika vp yani
Inatiashaka
hilo swala la hija serikali imeona ni fursa ya biashara kwahiyo kuachia ni ngumu Na ndio maana wanatumia BAKWATA kama idara ya serikali
اللهم غفر له ورحمه واسكنه فى الجنة
Innalillah wainnailayhi raajiun
kweli kabisa
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 keshokutwa utaskiya keshatekwa shauri zake langu jicho
@saidaliy1567
4 жыл бұрын
Suma Spain hahahah wacha zako
@ismailabbas4197
3 ай бұрын
Kishafariki tayari,, aisee wanaadam ni viumbe hatari sana
JAZAKA LLAHU KHAYRA
R.I..P. 😭
Mm naona Bakwata ni chombo cha serikali, c chombo cha waislam
good speech
Asante Mh umeongea ukweli.
@abdalahsuleiman8989
6 жыл бұрын
Flavian
@abdalahsuleiman8989
6 жыл бұрын
Haifai kitu gani kujiunga oic?
Innalillahi wainnailaihi rajiun .. kesha ifanya kazi keshaondoka Allah kaiyona kazi yake..
mh hatibu wallahi m/mingu akupe umri mrefu sana, kwahili nikopamoja na weyee
mm binafsi siijui bakwata
Inatia uchunqu na inaliza wallah
@daudihamisi5789
3 жыл бұрын
Allah akubaric akusahilishie ulipokosea aijaalie pepo kua makaz yako
tema cheche kaka majeneza tunashare maumivu ndugu zetu kibao wa jwtz wamekufa congo lkn biashara ambayo itainufaisha zanzibar inaekewa kikwazo alafu tunaambiwa znz hatuutaki muugano lohhhhhhh.
@victorygadiel5084
6 жыл бұрын
rashid suleiman Mh Khatibu hao ni waongo wafanyao magendo ni watu wao na kama wanabisha wamuulize mkuu wa mkoa Tanga au mkuu wa wilaya ya Pangani wanauza mafuta ya kula ni wanzanzibari ? toka wawatafunishe pweza wabichi kama siwatanzania kwakweli wanzanzibar wameacha shughuli zote ziusiazo bara wachilia mbali magendo , hivi nikwanini mnawaonea sana Wazanzibar hasa wewe mzee Aly Kessy mimi ningekua na uwezo nikutafuta ili unijibu maswali yangu ila pindi mwakani
@omalliddy212
6 жыл бұрын
rashid suleiman ... ....
Allah aalam.
اللهم غفرله ورحمه واكرم منزله ووسع مدخله وغسله بالماء وثلج والبرد.....nililia nilipo sikia amefariki maana ok ilikuwa taarifa ngumu mno kwangu na kwa familia yangu na tulimfaham kupitia clip yake ya ramadhani ya 2021 akizungumza kuhusu hukumu ya masheikh
Rais niwenu kwassa Zanzibar itakuwa tuuh
Tatizo kuwa choyo kimewatawala na dhulma lkn iko siku yote yatakwisha hayo generation itakayokuja itakuwa si ya mapunguwani au mahasidi au mibichwa vifuu wasomi ndio watakaokuwa wengi ln sha Allah mambo yatabadilika
Duh huyu mmbunge kaongea pwent sana yaani sina neno hapo umemaliza,waruhusu bidhaa ziingie huku tununue maflat kwa bei poa banaaaaaa
Nakuunga mkono sema baba sema maana bakwata wanajiona wao ndio viongoziwetu
umesema kweri mh
BAKWATA si chombo cha waislam kama wanabisha serikali ipigwe kura ya maoni kuhusu BAKWATA hii ilianzishwa na mkatoliki hakiwezi kuwa chombo cha kiislam
@sharkbinaally3381
5 жыл бұрын
Mimi muungano siupendi hata kuusikiya ungekufa hasa uwo muungano
Hasidi ana husda mbaya.
Mungu anawaonaa
Kwakweli swala la muungano kizungumkuti. Sijui kwann wanabanwa wa zenj.
Ukweli kabisa mheshimiwa
Safii sana
Naaam Wambie uwo serikali aina dini
Mheshimiwa Khatibu kwa hili nakunga mkono kwa nn mtu wa bara akiwa Zanzibar hata kununua Tv kuja nayo bara ni isue sukari hata kg moja ni shida kwa hili lazima liwekwe sawa tuwe huru kununua chochote ndani ya muunganano hiyo ndo utakua muungano wa kweli
Allah amrehem
Sisi waislam a2itaki bakwata lkn serikal inaing'ang'ania bakwata 2 kwann?
Mashehe wrote wabakwat ninawanafiki wote
Bakwata vibaraka waserekali ni mashehe wanafiki wapendaela
Muungano mukiuvunja basi tuachieni misambawanda tafadhali watanganyika...✍
@saidaliy1567
4 жыл бұрын
Nadir Al Busayyid hahahahha
Safi sana
Tunahitaji wabunge wanaojielewa Kama huyu.
Faidayanyama yangamia maalim Yusuf
MUHESHIMIWA KHATIB UMEZUNGUMZA HAKI
Hajatokea Wala hatatokea mbunge zaidiyake
shida Udini wewe haujuii Wewe daima unaonekana haupendi Muungano, ila Leo umeubariki bila kujuwa, Tanzania moja Milele Hakuna tena cha Zanzibar wala Tanganyika sote Nchi moja Tanzania,
@gavanaimrani6777
3 жыл бұрын
BABA MUNA HASAD NA ROHO MBAYA HAMTUTAKIII MEMA NYIE MBONA NYIE WAKOROFI SANA NYIE MNAROHO MBAYA SIJAPATA KUONA SISI WAZANZIBARI HATUONI FAIDA YA MUUNGANO
Kweli
Kweli umeongea ukweli
Oooo
zanzibar amkemei madawa ya kulevya sisi kwetu bara tunapiga malufuku madawa ya kulevya
😭😭😭r.i.p
Good
@maimunasarige6767
6 жыл бұрын
bora umeongelea wamekua mtihani safi sana.