MBUNGE KHATIB AICHANACHANA BAKWATA, AULIZA MASWALI MATATU MAZITO

Maswali mazito aliyouliza Mbunge wa Konde, Khatib Said Haji alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu kwa mwaka wa fedha 2018/2019, mjini Dodoma.

Пікірлер: 200

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf3 жыл бұрын

    Allah azidi kukurehem na kukuweka ktk daraja la waja wema katika pepo ya firdaus INSHA ALLAH.

  • @bilalikambo7202
    @bilalikambo72026 жыл бұрын

    big up Khatib, khasidi kweli mtu mbaya, wa2ache na dini yetu

  • @AbdulAbdul-pr9qe
    @AbdulAbdul-pr9qe3 жыл бұрын

    Allah akulipe pepo maalimu wangu na alifanye kaburi lako kuwa ni viwanja miongoni mwa viwanja vya pepo

  • @istambuliahmedi8203
    @istambuliahmedi82033 жыл бұрын

    اللهم ثبته بالقول الثابت في الحياة الدنيا وفي الآخرة

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima14556 жыл бұрын

    Mh, khatibu big up wape kweli hao ving'ang'anizi.

  • @abuubakalmtangenange4389
    @abuubakalmtangenange43893 жыл бұрын

    Allah akulipe kheri kwa mcmamo wako wadhati kwa kuitetea dini yako na nchi yako ya Zanzibar kwa dhulma mnayofanyiwa

  • @othmanalnabhany3208
    @othmanalnabhany32083 жыл бұрын

    Allahumma ghfirlahu warhamhu waskannahu filjannah ... Mola akupe pepo ya juu kabisa marhum kiongozi wetu maalim khatib umefanya jihadi wallahi hiyo ni miongoni mwa jihadi Umeitetea sana nchi yako na wananchi na umewatetea sana masheikh wetu na ndugu zetu wa uwamsho ni jihad hata kutetea au kuchukia uwovu,, Mola akulipe kheri huko uliko

  • @dullatanga7811
    @dullatanga78116 жыл бұрын

    Yuko sahihi sana mh Khatib

  • @Hassan-vn6nn

    @Hassan-vn6nn

    5 жыл бұрын

    They know what they are doing....they don't want to see Zanzibar and it's people exist... We are rising up and no will stop us...Time is due ...

  • @hamadmasoud3919
    @hamadmasoud39196 жыл бұрын

    Dah kiongozi umetisha........... Big up , five stars to u 👍

  • @mozamansour7912
    @mozamansour79126 жыл бұрын

    Asante sana umeongea point 👏👏

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu65723 жыл бұрын

    Nakupenda bule Mungu akupokee katika jaanat,fidaus

  • @ashamasoud122

    @ashamasoud122

    3 жыл бұрын

    Mungu akuhufadhi ulipo shujaa wetu

  • @anjunurdin2392
    @anjunurdin23923 жыл бұрын

    Hongera khaatibu .umeongea kweli

  • @Rastamuslim
    @Rastamuslim3 жыл бұрын

    Innal llai khatib allah akuepushe moto

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman12186 жыл бұрын

    yan she Khatib unanifrahisha kweli si wanasema kama kuna muungano wa Tanzania Na Zanzibar kwa nn wasiwe pamoja ktk biashara ili tusaidiane wao hawaitaj tuendelee kbs lkn wapo wanatukandamiza.

  • @jumachilundajr4853
    @jumachilundajr48533 жыл бұрын

    Kweli wema hawadumu innallillahi wainnallahi rajiuni

  • @bilaliomary7616

    @bilaliomary7616

    3 жыл бұрын

    nazan uyo mbung ajiherew mung amsamee

  • @user-tc3bg9ln9j
    @user-tc3bg9ln9jАй бұрын

    Swali lako ni zuri sana

  • @istambuliahmedi8203
    @istambuliahmedi82033 жыл бұрын

    اللهم اجعل قبره روضة من رياض الجنه

  • @mohamedishabani717
    @mohamedishabani7176 жыл бұрын

    inatiya sana uchungu kwa kweli sioni faida ya muungano hapo.

  • @eddysaid9611
    @eddysaid96113 жыл бұрын

    Hakuna marefu yasiyo na ncha inshaallah allah atawateketeza wote wanayoifanyia ubaya nchi yetu ya zanzibar allah humma aamin

  • @machinjashabani5331
    @machinjashabani53313 жыл бұрын

    ALLAH akuzidishie kila jema huko uliko

  • @hechechacha4032
    @hechechacha40326 жыл бұрын

    Safi kabisa kamanda

  • @khadijahilal3016
    @khadijahilal30163 жыл бұрын

    Mashallah allah akulinde muheshimiwa

  • @mengicacoconut8144
    @mengicacoconut81446 жыл бұрын

    Uko sahihii@khatibu

  • @joshuasamson4174
    @joshuasamson41746 жыл бұрын

    bakwata si ya waisilamu bakwata ni taasisi iliyoundwa na serekali bakwata ibaki Kama bakwata waisilamu wabaki na uisilamu mzuri

  • @hechechacha4032

    @hechechacha4032

    6 жыл бұрын

    Joshua Samson sahihi

  • @destiny4life439

    @destiny4life439

    6 жыл бұрын

    kak unaakili sana muislam wa kweli anaamin allahu na kufany yatakayomsaidia baada ya kufa suo bakwata

  • @abdallahhemed3527
    @abdallahhemed35276 жыл бұрын

    Mungu atakulipa kwa kusema hakhi .uko sawa kabisa

  • @jaafarwibonela7402

    @jaafarwibonela7402

    3 жыл бұрын

    Ndugu yetu leo 20/05/2021 ametangulia mbele ya haki. Mungu ampe makazi mema peponi aammyn

  • @juniordilema1097
    @juniordilema10975 жыл бұрын

    Hakuna haki nje ya qur-ani rudini ktk sheria ya Allah

  • @rajabngai5150
    @rajabngai51503 жыл бұрын

    ALLAH AKUHIFADH NA AKUSAMEHE MADHAMBI YAKO PIA AKUPE KAULU THAABITI

  • @amanichanzi1824
    @amanichanzi18243 жыл бұрын

    Daah!! Aise mashaallah ni ukweli mtupu

  • @madiyaahmad2749
    @madiyaahmad27496 жыл бұрын

    In sha Allah Mungu atawalaani hao laanatullahi inauma kwelu watakufa vinywa wazi wametuganda tu Mungu atawafarikisha wafe huku wakinya hasbiyallahu waniimalwakil Mungu awalani laaana hao

  • @bakarhamad4751
    @bakarhamad47512 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akurehemu na akupe mwangaza kwenye kaburi lako

  • @dinhomdullah2965
    @dinhomdullah29653 жыл бұрын

    mashaallah wewe ndio mbuge wakwanza kuongea pwenty na kuongea ukweli

  • @adamkatet274
    @adamkatet2746 жыл бұрын

    Jamaaa ameongea point Sana

  • @oscarjohn5039
    @oscarjohn50396 жыл бұрын

    nice point

  • @nassirnassor8603
    @nassirnassor86033 жыл бұрын

    Inna lillah wainna ilyh rajiuun Mungu akulaze mahala pema pepon amin

  • @salmasalim6055
    @salmasalim60556 жыл бұрын

    Hongera muheshimiwa Allah akusimamie

  • @kishingokishingo1840
    @kishingokishingo18403 жыл бұрын

    Hii hutuba iliwauma Sana baadhi ya watanyika na ni ukweli mtupu tunamuomba Allah akupe nuru kubwa ktk kabri lako inshaalah

  • @allymusira2153
    @allymusira21533 жыл бұрын

    Allah alitie nuru kaburi lako na akusamehe makosa yako na akupe kauli thabit

  • @zahorsalum663
    @zahorsalum6633 жыл бұрын

    Allah akupe kauli dhabiti.

  • @aboudmsonde2890
    @aboudmsonde28906 жыл бұрын

    Mh umeuliza swali zuri kuhusu bakwata oac big up

  • @nainasmash6966
    @nainasmash69666 жыл бұрын

    mh hongera sana wallah umenifurahisha sana

  • @wardajoseph6909
    @wardajoseph69093 жыл бұрын

    Chema hakidumu Tanzania nchi ya ajabu sana mtu akiwa mzuri na msema kweli anafariki

  • @ismailabbas4197

    @ismailabbas4197

    3 ай бұрын

    Hivi huyu kumbe ashafiriki

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada3 жыл бұрын

    innaa lillah wainnaa ilaih rajiuun

  • @shebbybongo567
    @shebbybongo5675 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu azidi kukulinda shekhe, siku zote ukweli utakuweka huru mbele ya Allah

  • @kibelaame5178
    @kibelaame51786 жыл бұрын

    Hongera sana allah atakulipa

  • @swaiseif2989
    @swaiseif29896 жыл бұрын

    Dah ameongea kwauchungu sana nchi yetu inapoelekea sasa nipabaya...

  • @kibelaame5178

    @kibelaame5178

    6 жыл бұрын

    Swai Seif hujambo

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa37143 жыл бұрын

    Allah atakulipa kwayalemema ulioyafanya napia kuombea Allah akusemehe kwayaleuliokosea Akuhifafadhi maharapema peponi amen🙏

  • @mohdabdi4157
    @mohdabdi41575 жыл бұрын

    mh ALLAH akuzidishie uzidi kutetea haki na akufanyie wepesi

  • @kulthumhaji6928
    @kulthumhaji69283 жыл бұрын

    Bora umeliona hili jambo ni kero.

  • @slemansaid7213
    @slemansaid72133 жыл бұрын

    Mh.... kwel jmn

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli26613 жыл бұрын

    Doh nasikia naye kaondoka 😭😭

  • @chagulaniadams3965
    @chagulaniadams39656 жыл бұрын

    BAKWATA ni jukwaa kuu la waganga wa kienyeji Tanzania maana lipo kurudisha nyuma maendeleo ya waislamu.

  • @wardajoseph6909

    @wardajoseph6909

    3 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @harunakony2012
    @harunakony20123 жыл бұрын

    Kwakweli maswali haya sijui Kama watakuwa namajibu mamb meng yaakiislam yanahusishwa sana naserekali serekali na wiislam inahusika vp yani

  • @omarynassor6313
    @omarynassor63133 жыл бұрын

    Inatiashaka

  • @jumakessy7560
    @jumakessy75606 жыл бұрын

    hilo swala la hija serikali imeona ni fursa ya biashara kwahiyo kuachia ni ngumu Na ndio maana wanatumia BAKWATA kama idara ya serikali

  • @istambuliahmedi8203
    @istambuliahmedi82033 жыл бұрын

    اللهم غفر له ورحمه واسكنه فى الجنة

  • @allypharahani2168
    @allypharahani21683 жыл бұрын

    Innalillah wainnailayhi raajiun

  • @mumybhay4984
    @mumybhay49845 жыл бұрын

    kweli kabisa

  • @SumaLTD
    @SumaLTD6 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 keshokutwa utaskiya keshatekwa shauri zake langu jicho

  • @saidaliy1567

    @saidaliy1567

    4 жыл бұрын

    Suma Spain hahahah wacha zako

  • @ismailabbas4197

    @ismailabbas4197

    3 ай бұрын

    Kishafariki tayari,, aisee wanaadam ni viumbe hatari sana

  • @alfaarouqjongo4980
    @alfaarouqjongo49806 жыл бұрын

    JAZAKA LLAHU KHAYRA

  • @AliHussein-lk2gw
    @AliHussein-lk2gw3 жыл бұрын

    R.I..P. 😭

  • @machinjashabani5331
    @machinjashabani53316 жыл бұрын

    Mm naona Bakwata ni chombo cha serikali, c chombo cha waislam

  • @yasinmgen2072
    @yasinmgen20726 жыл бұрын

    good speech

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda61136 жыл бұрын

    Asante Mh umeongea ukweli.

  • @abdalahsuleiman8989

    @abdalahsuleiman8989

    6 жыл бұрын

    Flavian

  • @abdalahsuleiman8989

    @abdalahsuleiman8989

    6 жыл бұрын

    Haifai kitu gani kujiunga oic?

  • @masoudsaid5488
    @masoudsaid54883 жыл бұрын

    Innalillahi wainnailaihi rajiun .. kesha ifanya kazi keshaondoka Allah kaiyona kazi yake..

  • @abdukherykhamis73
    @abdukherykhamis735 жыл бұрын

    mh hatibu wallahi m/mingu akupe umri mrefu sana, kwahili nikopamoja na weyee

  • @ibrahimmagambi61
    @ibrahimmagambi616 жыл бұрын

    mm binafsi siijui bakwata

  • @allyhasani8447
    @allyhasani84476 жыл бұрын

    Inatia uchunqu na inaliza wallah

  • @daudihamisi5789

    @daudihamisi5789

    3 жыл бұрын

    Allah akubaric akusahilishie ulipokosea aijaalie pepo kua makaz yako

  • @rashidsuleiman2663
    @rashidsuleiman26636 жыл бұрын

    tema cheche kaka majeneza tunashare maumivu ndugu zetu kibao wa jwtz wamekufa congo lkn biashara ambayo itainufaisha zanzibar inaekewa kikwazo alafu tunaambiwa znz hatuutaki muugano lohhhhhhh.

  • @victorygadiel5084

    @victorygadiel5084

    6 жыл бұрын

    rashid suleiman Mh Khatibu hao ni waongo wafanyao magendo ni watu wao na kama wanabisha wamuulize mkuu wa mkoa Tanga au mkuu wa wilaya ya Pangani wanauza mafuta ya kula ni wanzanzibari ? toka wawatafunishe pweza wabichi kama siwatanzania kwakweli wanzanzibar wameacha shughuli zote ziusiazo bara wachilia mbali magendo , hivi nikwanini mnawaonea sana Wazanzibar hasa wewe mzee Aly Kessy mimi ningekua na uwezo nikutafuta ili unijibu maswali yangu ila pindi mwakani

  • @omalliddy212

    @omalliddy212

    6 жыл бұрын

    rashid suleiman ... ....

  • @issahalfan1827
    @issahalfan18273 жыл бұрын

    Allah aalam.

  • @tztanzania2262
    @tztanzania22623 жыл бұрын

    اللهم غفرله ورحمه واكرم منزله ووسع مدخله وغسله بالماء وثلج والبرد.....nililia nilipo sikia amefariki maana ok ilikuwa taarifa ngumu mno kwangu na kwa familia yangu na tulimfaham kupitia clip yake ya ramadhani ya 2021 akizungumza kuhusu hukumu ya masheikh

  • @sudidoto9759
    @sudidoto97593 жыл бұрын

    Rais niwenu kwassa Zanzibar itakuwa tuuh

  • @madiyaahmad2749
    @madiyaahmad27496 жыл бұрын

    Tatizo kuwa choyo kimewatawala na dhulma lkn iko siku yote yatakwisha hayo generation itakayokuja itakuwa si ya mapunguwani au mahasidi au mibichwa vifuu wasomi ndio watakaokuwa wengi ln sha Allah mambo yatabadilika

  • @chachamadini9372
    @chachamadini93726 жыл бұрын

    Duh huyu mmbunge kaongea pwent sana yaani sina neno hapo umemaliza,waruhusu bidhaa ziingie huku tununue maflat kwa bei poa banaaaaaa

  • @musamusahshafi1496
    @musamusahshafi14963 жыл бұрын

    Nakuunga mkono sema baba sema maana bakwata wanajiona wao ndio viongoziwetu

  • @husenially8649
    @husenially86496 жыл бұрын

    umesema kweri mh

  • @hamisidd2805
    @hamisidd28056 жыл бұрын

    BAKWATA si chombo cha waislam kama wanabisha serikali ipigwe kura ya maoni kuhusu BAKWATA hii ilianzishwa na mkatoliki hakiwezi kuwa chombo cha kiislam

  • @sharkbinaally3381

    @sharkbinaally3381

    5 жыл бұрын

    Mimi muungano siupendi hata kuusikiya ungekufa hasa uwo muungano

  • @jjnjau
    @jjnjau6 жыл бұрын

    Hasidi ana husda mbaya.

  • @ashooraashoora5415
    @ashooraashoora54156 жыл бұрын

    Mungu anawaonaa

  • @tumahamza8972
    @tumahamza89726 жыл бұрын

    Kwakweli swala la muungano kizungumkuti. Sijui kwann wanabanwa wa zenj.

  • @likandapahasani3139
    @likandapahasani31396 жыл бұрын

    Ukweli kabisa mheshimiwa

  • @ulfarashid9876
    @ulfarashid98765 жыл бұрын

    Safii sana

  • @abdillaahirichardkasisi8691
    @abdillaahirichardkasisi86916 жыл бұрын

    Naaam Wambie uwo serikali aina dini

  • @achiliadinan430
    @achiliadinan4303 жыл бұрын

    Mheshimiwa Khatibu kwa hili nakunga mkono kwa nn mtu wa bara akiwa Zanzibar hata kununua Tv kuja nayo bara ni isue sukari hata kg moja ni shida kwa hili lazima liwekwe sawa tuwe huru kununua chochote ndani ya muunganano hiyo ndo utakua muungano wa kweli

  • @mrishojumaamrisho3212
    @mrishojumaamrisho32123 жыл бұрын

    Allah amrehem

  • @narlonabuu4665
    @narlonabuu46656 жыл бұрын

    Sisi waislam a2itaki bakwata lkn serikal inaing'ang'ania bakwata 2 kwann?

  • @elenestjackson129
    @elenestjackson1296 жыл бұрын

    Mashehe wrote wabakwat ninawanafiki wote

  • @twilindeissa4505
    @twilindeissa45055 жыл бұрын

    Bakwata vibaraka waserekali ni mashehe wanafiki wapendaela

  • @arbaab9337
    @arbaab93375 жыл бұрын

    Muungano mukiuvunja basi tuachieni misambawanda tafadhali watanganyika...✍

  • @saidaliy1567

    @saidaliy1567

    4 жыл бұрын

    Nadir Al Busayyid hahahahha

  • @aliymkuutv4367
    @aliymkuutv43676 жыл бұрын

    Safi sana

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.71854 жыл бұрын

    Tunahitaji wabunge wanaojielewa Kama huyu.

  • @changchuma9256
    @changchuma92564 жыл бұрын

    Faidayanyama yangamia maalim Yusuf

  • @jumamomba9502
    @jumamomba95026 жыл бұрын

    MUHESHIMIWA KHATIB UMEZUNGUMZA HAKI

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja8837 Жыл бұрын

    Hajatokea Wala hatatokea mbunge zaidiyake

  • @pettermasika9120
    @pettermasika91206 жыл бұрын

    shida Udini wewe haujuii Wewe daima unaonekana haupendi Muungano, ila Leo umeubariki bila kujuwa, Tanzania moja Milele Hakuna tena cha Zanzibar wala Tanganyika sote Nchi moja Tanzania,

  • @gavanaimrani6777

    @gavanaimrani6777

    3 жыл бұрын

    BABA MUNA HASAD NA ROHO MBAYA HAMTUTAKIII MEMA NYIE MBONA NYIE WAKOROFI SANA NYIE MNAROHO MBAYA SIJAPATA KUONA SISI WAZANZIBARI HATUONI FAIDA YA MUUNGANO

  • @kadhyazaid7000
    @kadhyazaid70006 жыл бұрын

    Kweli

  • @dizodi_vituko
    @dizodi_vituko6 жыл бұрын

    Kweli umeongea ukweli

  • @chene6184
    @chene61846 жыл бұрын

    Oooo

  • @rayanalhabsi8029
    @rayanalhabsi80296 жыл бұрын

    zanzibar amkemei madawa ya kulevya sisi kwetu bara tunapiga malufuku madawa ya kulevya

  • @husseinmwalim6406
    @husseinmwalim64063 жыл бұрын

    😭😭😭r.i.p

  • @allymsuya6655
    @allymsuya66556 жыл бұрын

    Good

  • @maimunasarige6767

    @maimunasarige6767

    6 жыл бұрын

    bora umeongelea wamekua mtihani safi sana.

Келесі