Serekali kama mnataka anzisheni Dini yenu,acheni kuingilia Dini yetu - Sheikh Ponda | Kundecha
Жүктеу.....
Пікірлер: 57
@NazalaliHakika18 күн бұрын
Mwenyezi Mungu akulindeni viongozi wetu haki tuipate
@user-es9dz2bc2w7 ай бұрын
Allah Tunakuomba utujalie kufa kwetu tufe mashahidi, utunusuru ,uwahifadhi masheikh wetu pamoja na wanazuoni wetu wakiongozwa na Maalim ponda Issa ponda Allaahumma amiin Inshaallah
@moodyman758812 күн бұрын
Si vizuri kuchezea vitabu vya dini. Serekali iunde katiba yake lkn imani isingiliwe.
@hidayahidaya-vd3ze7 ай бұрын
Samiya akumbuke yy anajiita muislamu asijali siyasa na duniya na cheyo😊
@tripplescholarsforsuccess967711 ай бұрын
Sahihi Shehe wangu, waanzishe dini yao maana tumechoshwa.
@Mtumishi75511 ай бұрын
Dalili ya wakati wa Mwenyezi Mungu katika taifa ni kuinua watu wa dini zote kuikosea waziwazi pasipo woga serikali iliyo madarakani. Shekhe Ponda Allah akubariki na kukuongoza.
@jumahozza-dg6ec8 ай бұрын
Sahihi kabs hapo serikali imevuka mipaka kwakwel dah mungu ainusuru hii dini kwakwel
@MuuYascohy-oc7os8 ай бұрын
Nyie mnaangaika bure tu wenzenu Bakwata washakutana na serikal washachukua chao na ndo mana wapo kimya kbsa na wafundishaji watakuwa wao Bakwata upuuz wataajiriwa na kulipwa mishahara kinachotuumiza waislam ni unafiki hatuna umoja na njaa hivi vitu kila siku tutakuwa watu wa kufarakana tu
@habibaramadhani-xv2ed11 ай бұрын
Alhamndulillah,Serikali ishirikishe Mashehe kuandaa Mtaala wa Dini. Na Walimu wawe Mashehe hata Maimamu kama ilivyokuwa Awali.Serikali iajili Walimu wa Kiislamu .Wakufunzi wa Kiislamu washirikishwe.Alhamndulilaah
@yapukahassan11 ай бұрын
Ahsante sana shekhe wangu
@aishaaisharagp938111 ай бұрын
Mashekhe wetu tunawaaminia hapana msikibali kutupitishia ibilisi katikati ya uislam
@oscarkasalile396611 ай бұрын
Shekhe ponda nakukubali Sana, yani tuwe makini na Hawa viongozi wa mshahara wasioheshim katiba.
@saidsobongo91211 ай бұрын
Sheykh ponda kidume
@fatimajuma890011 ай бұрын
Allah Subhaana akuhifadhini nyiye wasenaji wetu na atuhifadhiye dini yetu na hasada zawo ziwapunduwe wenyewe
@kulthumbashiru86411 ай бұрын
Maashallah shekhe asiogopa mwanadam hakika allah atakusimamia
@rajabsalum9811 ай бұрын
Allah awajalie kheri
@fadhilfathamula422411 ай бұрын
Tupo nyuma yenu mashekhe wetu
@san-africacare763811 ай бұрын
Allah awajalie kheri MashaAllah zetu, Tupo Nyuma Yetu tuamrisheni Tutafata...
@hassansalim-ke9cb11 ай бұрын
Napenda sana msimamo kwakweli nimeelewa Allah atujaze imani natuwe imara
@jumu196411 ай бұрын
Allah awalinde vingozi wetu wa dini
@mbjunior16611 ай бұрын
Allah awabaarik sana!
@user-hp1im5ek4r7 ай бұрын
Huyu mzee kamateni na kutiya ndani miaka 100😮😮😮
@MohamedBlanker-jw9qy11 ай бұрын
Allah awajalie inshallah
@rukiaomar782811 ай бұрын
Jazakallah kheir
@hidayahidaya-vd3ze7 ай бұрын
Wamelewaa wamesahauu Kama wameumbwa
@munic668611 ай бұрын
Jazakallahu khaira
@natafutamatatizo438211 ай бұрын
SHETANI WA CCM HATAWAACHA WAISLAAM NA DINI YENU! SEREKALI NA VIONGOZI WOTE NI CCM ILA KIONGOZI WAO NI SHETANI👀👀😱😱
@brianmunde44159 ай бұрын
Wata pigwa viboko za ALLAH
@marijanimohamed887511 ай бұрын
wana zani hiyo ni bandari tuta fikishana pabaya huko ndio wataujua uislamu nini nimesha waeleza siku zote hata akiwa mtawala anajita muislamu tusikubaliane nayo yalio tokea kwenye bandari ndio hawa hawa wahuni sasa tunakula nao tunasema hawana mazara pia ina wezekana wamewatupia waislmu hili dudu ili kuhamisha mjadala wa bandari
@NasmaAlly-jc6sg11 ай бұрын
Watuachie dini yetu
@twaibumikidadi737711 ай бұрын
Tz Matatizo yote ya dini hususan Ya kiislam n BAKWATA , Chunguzen sana hıı kıtu Leo mashekh wanateswa maabusu huko lkn BAKWATA hata kunyanyua sautı Mtu wnaeekwa mnali na 1- Familia yake 2- mke wake 3- Godoro lake 4- nyumba yake 5- waımin wake Anaenda kuweka maanusu chumba ambachoo hakuna godoro kula kwake n kwa shda muaka 8-9 . Kweli ubünadamu huu?? Mbona hatujasıkua Askof kakaa Maabusu humoo???? Asbunallah Allah waneemail wakiil.
@hasaniabdalah6148
11 ай бұрын
😭😭😭
@swahibually8349
11 ай бұрын
Hivi kwenye Bakwata kuna sehemu/kipengele Gani hasa kinachokua tatizo?
@shamte9musicofficial12611 ай бұрын
Allahu Akbar ,
@user-lm4rw4qr4e11 ай бұрын
Wanaanzaga kwa kutesti mitambo waangalie tutapokeaje? Wakiona mnawaka na mnakinukisha wanaacha.
@marijanimohamed887511 ай бұрын
hawa mnawaunga mkono sana hasa katika hili la bandari sasa hivi wamewarudia lini serekali ika wa treat waislamu vizuri leo mna watetea hawa ni kuwapinga wanajua sisi ndio daraja la mnge aza na hili la bandari kataeeni haya ni makufari mkicheza nao mkasema huyu ni mwezetu na ndio huyo muislamu yuko madarakani tutabaki na waisilamu majina
@hidayahidaya-vd3ze7 ай бұрын
yy atakamatwa na polisi ww utakamatwa na muungu fala
@user-hp1im5ek4r7 ай бұрын
Yaani mmekusanyana ili kutuletea udini ndani ya serikali yetu kisa Palestina mukafie mbali
@RaphaeljMdimi11 ай бұрын
Rest in peace MAGUFULI
@mohamedijuma740611 ай бұрын
Sauti ndogo sana kwenye video
@tatoorashedi178711 ай бұрын
Hiyo dini ya uongo imeanzishwa marekani wanasoma qroan kama sahihi kumbe wanapotosha
@zaneenbeauty11 ай бұрын
Na bado si mnawatetea 😂😂😂😂
@SelemaniDowile-mk1wm11 ай бұрын
Hapa point hasa imeelekezwa Kwa waislamu na sio vyengine wanataka kutuwekea vitu vya ovyo viongozi wajuu chukueni hatua
@alhadajjmohammedsmith9042
11 ай бұрын
Wanajuwa hao wengine hawana Dini ya kweli, hujitungia na Kufuata/Kuamini Miongozo ya hovyohovyo. Hivyo siku Zote Duniani Serikalinza KibinAdam hutunga Sera, Sheria na Hukmu za kuukandamiza/Kuufuta UISLAMU Ktk Uso wa Dunia ! Afu ajabu eti haohao Watendaji wa SERIKALI wanazo Dini (Waislamu/Wakristo) wanadhani Mungu hatawaadhibu eti kwavile wao ni Watendaji/WATUMISHI Wa SERIKALI na Serikali haina Dini !!!
@husseinnurdin699911 ай бұрын
Mfumo kristo bado ni tatizo nchini, kikubwa zaidi panahitajika mshikamano na umoja zaidi wa hali ya juu kwa waislamu ili kuepukana na matatizo kama hayo.
@user-lg1pc3gy6w11 ай бұрын
Mpaka tufe ata vyeti ni wizi kuwAibia waislamu
@nuruhassan970711 ай бұрын
Makubwa
@florapetro-pn1og11 ай бұрын
Shalom shalom, kwakweli mimi mchungaji nimekuunga mkono, watumishi wa umma wakitaka kupigwa na Mungu ingilie dini za watu,kweli serikali ianzishe dini yake
@omaryally4278
11 ай бұрын
waache watuchokoze wanatujua vzr wakiona tupo kimya wanatuchokoza
@SelemanMakau
11 ай бұрын
@@omaryally4278 minaona watu wkechoka amni,hi ilokuwepo,lkn wajue tu mutatauua kwa kupinga ilo Kama Kama kawida ya selkali hi,lkn wajue kabisa,kule kwa mkapa mtu ataondoka mmja na wataondoka maelf ya watu so atuopi kufia imani na ndo itakuwa mwisho wa mikusanyioo nchi hii, myi twendeni tu,so tushachoka,wantaka kituvuruga lakn uku kwenye jammii tuko pamoka watanzanoa wote,msisauau I'll sisi atutaki kutuingolia kwenye dini kwa sababu,yoooooote kwenye qur-ani Allah alishakamilisha,nandokana alimchukua mtume wake acheni bakgi.
@munic668611 ай бұрын
Propaganda za nchi za magharibi kuuharibu uislam tuwasomeshe sana watoto wetu nyakat zijazo zitakuwa na changamoto zaidi hawa mashekh leo wapo kuna siku hawatakuwepo...
@mbarouksalim156811 ай бұрын
5
@mohamedkiyungi486711 ай бұрын
Kama mambo yako hivyo ni hatari sana muongozo wa uisilamu ni Quran na Sunnah za mtume wetu kubadilisha chochote katika muongozo au kuwabadilishia waisilamu muongozo wa uisilamu hawa jamaa wana andaa fujo mpya maana wanaonekana wamechoshwa na amani hii ya uongo
@swalhawerema5711 ай бұрын
Kama kuna kotuwanaakitafita kwenye dini uetu waseme sio waaze kuzunguka mmbuyu wakati wanaend juuu ...😡😡😡ni nin khaswaa wanakitafuta
Пікірлер: 57
Mwenyezi Mungu akulindeni viongozi wetu haki tuipate
Allah Tunakuomba utujalie kufa kwetu tufe mashahidi, utunusuru ,uwahifadhi masheikh wetu pamoja na wanazuoni wetu wakiongozwa na Maalim ponda Issa ponda Allaahumma amiin Inshaallah
Si vizuri kuchezea vitabu vya dini. Serekali iunde katiba yake lkn imani isingiliwe.
Samiya akumbuke yy anajiita muislamu asijali siyasa na duniya na cheyo😊
Sahihi Shehe wangu, waanzishe dini yao maana tumechoshwa.
Dalili ya wakati wa Mwenyezi Mungu katika taifa ni kuinua watu wa dini zote kuikosea waziwazi pasipo woga serikali iliyo madarakani. Shekhe Ponda Allah akubariki na kukuongoza.
Sahihi kabs hapo serikali imevuka mipaka kwakwel dah mungu ainusuru hii dini kwakwel
Nyie mnaangaika bure tu wenzenu Bakwata washakutana na serikal washachukua chao na ndo mana wapo kimya kbsa na wafundishaji watakuwa wao Bakwata upuuz wataajiriwa na kulipwa mishahara kinachotuumiza waislam ni unafiki hatuna umoja na njaa hivi vitu kila siku tutakuwa watu wa kufarakana tu
Alhamndulillah,Serikali ishirikishe Mashehe kuandaa Mtaala wa Dini. Na Walimu wawe Mashehe hata Maimamu kama ilivyokuwa Awali.Serikali iajili Walimu wa Kiislamu .Wakufunzi wa Kiislamu washirikishwe.Alhamndulilaah
Ahsante sana shekhe wangu
Mashekhe wetu tunawaaminia hapana msikibali kutupitishia ibilisi katikati ya uislam
Shekhe ponda nakukubali Sana, yani tuwe makini na Hawa viongozi wa mshahara wasioheshim katiba.
Sheykh ponda kidume
Allah Subhaana akuhifadhini nyiye wasenaji wetu na atuhifadhiye dini yetu na hasada zawo ziwapunduwe wenyewe
Maashallah shekhe asiogopa mwanadam hakika allah atakusimamia
Allah awajalie kheri
Tupo nyuma yenu mashekhe wetu
Allah awajalie kheri MashaAllah zetu, Tupo Nyuma Yetu tuamrisheni Tutafata...
Napenda sana msimamo kwakweli nimeelewa Allah atujaze imani natuwe imara
Allah awalinde vingozi wetu wa dini
Allah awabaarik sana!
Huyu mzee kamateni na kutiya ndani miaka 100😮😮😮
Allah awajalie inshallah
Jazakallah kheir
Wamelewaa wamesahauu Kama wameumbwa
Jazakallahu khaira
SHETANI WA CCM HATAWAACHA WAISLAAM NA DINI YENU! SEREKALI NA VIONGOZI WOTE NI CCM ILA KIONGOZI WAO NI SHETANI👀👀😱😱
Wata pigwa viboko za ALLAH
wana zani hiyo ni bandari tuta fikishana pabaya huko ndio wataujua uislamu nini nimesha waeleza siku zote hata akiwa mtawala anajita muislamu tusikubaliane nayo yalio tokea kwenye bandari ndio hawa hawa wahuni sasa tunakula nao tunasema hawana mazara pia ina wezekana wamewatupia waislmu hili dudu ili kuhamisha mjadala wa bandari
Watuachie dini yetu
Tz Matatizo yote ya dini hususan Ya kiislam n BAKWATA , Chunguzen sana hıı kıtu Leo mashekh wanateswa maabusu huko lkn BAKWATA hata kunyanyua sautı Mtu wnaeekwa mnali na 1- Familia yake 2- mke wake 3- Godoro lake 4- nyumba yake 5- waımin wake Anaenda kuweka maanusu chumba ambachoo hakuna godoro kula kwake n kwa shda muaka 8-9 . Kweli ubünadamu huu?? Mbona hatujasıkua Askof kakaa Maabusu humoo???? Asbunallah Allah waneemail wakiil.
@hasaniabdalah6148
11 ай бұрын
😭😭😭
@swahibually8349
11 ай бұрын
Hivi kwenye Bakwata kuna sehemu/kipengele Gani hasa kinachokua tatizo?
Allahu Akbar ,
Wanaanzaga kwa kutesti mitambo waangalie tutapokeaje? Wakiona mnawaka na mnakinukisha wanaacha.
hawa mnawaunga mkono sana hasa katika hili la bandari sasa hivi wamewarudia lini serekali ika wa treat waislamu vizuri leo mna watetea hawa ni kuwapinga wanajua sisi ndio daraja la mnge aza na hili la bandari kataeeni haya ni makufari mkicheza nao mkasema huyu ni mwezetu na ndio huyo muislamu yuko madarakani tutabaki na waisilamu majina
yy atakamatwa na polisi ww utakamatwa na muungu fala
Yaani mmekusanyana ili kutuletea udini ndani ya serikali yetu kisa Palestina mukafie mbali
Rest in peace MAGUFULI
Sauti ndogo sana kwenye video
Hiyo dini ya uongo imeanzishwa marekani wanasoma qroan kama sahihi kumbe wanapotosha
Na bado si mnawatetea 😂😂😂😂
Hapa point hasa imeelekezwa Kwa waislamu na sio vyengine wanataka kutuwekea vitu vya ovyo viongozi wajuu chukueni hatua
@alhadajjmohammedsmith9042
11 ай бұрын
Wanajuwa hao wengine hawana Dini ya kweli, hujitungia na Kufuata/Kuamini Miongozo ya hovyohovyo. Hivyo siku Zote Duniani Serikalinza KibinAdam hutunga Sera, Sheria na Hukmu za kuukandamiza/Kuufuta UISLAMU Ktk Uso wa Dunia ! Afu ajabu eti haohao Watendaji wa SERIKALI wanazo Dini (Waislamu/Wakristo) wanadhani Mungu hatawaadhibu eti kwavile wao ni Watendaji/WATUMISHI Wa SERIKALI na Serikali haina Dini !!!
Mfumo kristo bado ni tatizo nchini, kikubwa zaidi panahitajika mshikamano na umoja zaidi wa hali ya juu kwa waislamu ili kuepukana na matatizo kama hayo.
Mpaka tufe ata vyeti ni wizi kuwAibia waislamu
Makubwa
Shalom shalom, kwakweli mimi mchungaji nimekuunga mkono, watumishi wa umma wakitaka kupigwa na Mungu ingilie dini za watu,kweli serikali ianzishe dini yake
@omaryally4278
11 ай бұрын
waache watuchokoze wanatujua vzr wakiona tupo kimya wanatuchokoza
@SelemanMakau
11 ай бұрын
@@omaryally4278 minaona watu wkechoka amni,hi ilokuwepo,lkn wajue tu mutatauua kwa kupinga ilo Kama Kama kawida ya selkali hi,lkn wajue kabisa,kule kwa mkapa mtu ataondoka mmja na wataondoka maelf ya watu so atuopi kufia imani na ndo itakuwa mwisho wa mikusanyioo nchi hii, myi twendeni tu,so tushachoka,wantaka kituvuruga lakn uku kwenye jammii tuko pamoka watanzanoa wote,msisauau I'll sisi atutaki kutuingolia kwenye dini kwa sababu,yoooooote kwenye qur-ani Allah alishakamilisha,nandokana alimchukua mtume wake acheni bakgi.
Propaganda za nchi za magharibi kuuharibu uislam tuwasomeshe sana watoto wetu nyakat zijazo zitakuwa na changamoto zaidi hawa mashekh leo wapo kuna siku hawatakuwepo...
5
Kama mambo yako hivyo ni hatari sana muongozo wa uisilamu ni Quran na Sunnah za mtume wetu kubadilisha chochote katika muongozo au kuwabadilishia waisilamu muongozo wa uisilamu hawa jamaa wana andaa fujo mpya maana wanaonekana wamechoshwa na amani hii ya uongo
Kama kuna kotuwanaakitafita kwenye dini uetu waseme sio waaze kuzunguka mmbuyu wakati wanaend juuu ...😡😡😡ni nin khaswaa wanakitafuta
@kalamuMedia
11 ай бұрын
Wanazunguka mbuyu wakati wanaendaa..!!! 😂😂