Serekali kama mnataka anzisheni Dini yenu,acheni kuingilia Dini yetu - Sheikh Ponda | Kundecha

Пікірлер: 57

  • @NazalaliHakika
    @NazalaliHakika18 күн бұрын

    Mwenyezi Mungu akulindeni viongozi wetu haki tuipate

  • @user-es9dz2bc2w
    @user-es9dz2bc2w7 ай бұрын

    Allah Tunakuomba utujalie kufa kwetu tufe mashahidi, utunusuru ,uwahifadhi masheikh wetu pamoja na wanazuoni wetu wakiongozwa na Maalim ponda Issa ponda Allaahumma amiin Inshaallah

  • @moodyman7588
    @moodyman758812 күн бұрын

    Si vizuri kuchezea vitabu vya dini. Serekali iunde katiba yake lkn imani isingiliwe.

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze7 ай бұрын

    Samiya akumbuke yy anajiita muislamu asijali siyasa na duniya na cheyo😊

  • @tripplescholarsforsuccess9677
    @tripplescholarsforsuccess967711 ай бұрын

    Sahihi Shehe wangu, waanzishe dini yao maana tumechoshwa.

  • @Mtumishi755
    @Mtumishi75511 ай бұрын

    Dalili ya wakati wa Mwenyezi Mungu katika taifa ni kuinua watu wa dini zote kuikosea waziwazi pasipo woga serikali iliyo madarakani. Shekhe Ponda Allah akubariki na kukuongoza.

  • @jumahozza-dg6ec
    @jumahozza-dg6ec8 ай бұрын

    Sahihi kabs hapo serikali imevuka mipaka kwakwel dah mungu ainusuru hii dini kwakwel

  • @MuuYascohy-oc7os
    @MuuYascohy-oc7os8 ай бұрын

    Nyie mnaangaika bure tu wenzenu Bakwata washakutana na serikal washachukua chao na ndo mana wapo kimya kbsa na wafundishaji watakuwa wao Bakwata upuuz wataajiriwa na kulipwa mishahara kinachotuumiza waislam ni unafiki hatuna umoja na njaa hivi vitu kila siku tutakuwa watu wa kufarakana tu

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed11 ай бұрын

    Alhamndulillah,Serikali ishirikishe Mashehe kuandaa Mtaala wa Dini. Na Walimu wawe Mashehe hata Maimamu kama ilivyokuwa Awali.Serikali iajili Walimu wa Kiislamu .Wakufunzi wa Kiislamu washirikishwe.Alhamndulilaah

  • @yapukahassan
    @yapukahassan11 ай бұрын

    Ahsante sana shekhe wangu

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp938111 ай бұрын

    Mashekhe wetu tunawaaminia hapana msikibali kutupitishia ibilisi katikati ya uislam

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile396611 ай бұрын

    Shekhe ponda nakukubali Sana, yani tuwe makini na Hawa viongozi wa mshahara wasioheshim katiba.

  • @saidsobongo912
    @saidsobongo91211 ай бұрын

    Sheykh ponda kidume

  • @fatimajuma8900
    @fatimajuma890011 ай бұрын

    Allah Subhaana akuhifadhini nyiye wasenaji wetu na atuhifadhiye dini yetu na hasada zawo ziwapunduwe wenyewe

  • @kulthumbashiru864
    @kulthumbashiru86411 ай бұрын

    Maashallah shekhe asiogopa mwanadam hakika allah atakusimamia

  • @rajabsalum98
    @rajabsalum9811 ай бұрын

    Allah awajalie kheri

  • @fadhilfathamula4224
    @fadhilfathamula422411 ай бұрын

    Tupo nyuma yenu mashekhe wetu

  • @san-africacare7638
    @san-africacare763811 ай бұрын

    Allah awajalie kheri MashaAllah zetu, Tupo Nyuma Yetu tuamrisheni Tutafata...

  • @hassansalim-ke9cb
    @hassansalim-ke9cb11 ай бұрын

    Napenda sana msimamo kwakweli nimeelewa Allah atujaze imani natuwe imara

  • @jumu1964
    @jumu196411 ай бұрын

    Allah awalinde vingozi wetu wa dini

  • @mbjunior166
    @mbjunior16611 ай бұрын

    Allah awabaarik sana!

  • @user-hp1im5ek4r
    @user-hp1im5ek4r7 ай бұрын

    Huyu mzee kamateni na kutiya ndani miaka 100😮😮😮

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy11 ай бұрын

    Allah awajalie inshallah

  • @rukiaomar7828
    @rukiaomar782811 ай бұрын

    Jazakallah kheir

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze7 ай бұрын

    Wamelewaa wamesahauu Kama wameumbwa

  • @munic6686
    @munic668611 ай бұрын

    Jazakallahu khaira

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo438211 ай бұрын

    SHETANI WA CCM HATAWAACHA WAISLAAM NA DINI YENU! SEREKALI NA VIONGOZI WOTE NI CCM ILA KIONGOZI WAO NI SHETANI👀👀😱😱

  • @brianmunde4415
    @brianmunde44159 ай бұрын

    Wata pigwa viboko za ALLAH

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed887511 ай бұрын

    wana zani hiyo ni bandari tuta fikishana pabaya huko ndio wataujua uislamu nini nimesha waeleza siku zote hata akiwa mtawala anajita muislamu tusikubaliane nayo yalio tokea kwenye bandari ndio hawa hawa wahuni sasa tunakula nao tunasema hawana mazara pia ina wezekana wamewatupia waislmu hili dudu ili kuhamisha mjadala wa bandari

  • @NasmaAlly-jc6sg
    @NasmaAlly-jc6sg11 ай бұрын

    Watuachie dini yetu

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi737711 ай бұрын

    Tz Matatizo yote ya dini hususan Ya kiislam n BAKWATA , Chunguzen sana hıı kıtu Leo mashekh wanateswa maabusu huko lkn BAKWATA hata kunyanyua sautı Mtu wnaeekwa mnali na 1- Familia yake 2- mke wake 3- Godoro lake 4- nyumba yake 5- waımin wake Anaenda kuweka maanusu chumba ambachoo hakuna godoro kula kwake n kwa shda muaka 8-9 . Kweli ubünadamu huu?? Mbona hatujasıkua Askof kakaa Maabusu humoo???? Asbunallah Allah waneemail wakiil.

  • @hasaniabdalah6148

    @hasaniabdalah6148

    11 ай бұрын

    😭😭😭

  • @swahibually8349

    @swahibually8349

    11 ай бұрын

    Hivi kwenye Bakwata kuna sehemu/kipengele Gani hasa kinachokua tatizo?

  • @shamte9musicofficial126
    @shamte9musicofficial12611 ай бұрын

    Allahu Akbar ,

  • @user-lm4rw4qr4e
    @user-lm4rw4qr4e11 ай бұрын

    Wanaanzaga kwa kutesti mitambo waangalie tutapokeaje? Wakiona mnawaka na mnakinukisha wanaacha.

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed887511 ай бұрын

    hawa mnawaunga mkono sana hasa katika hili la bandari sasa hivi wamewarudia lini serekali ika wa treat waislamu vizuri leo mna watetea hawa ni kuwapinga wanajua sisi ndio daraja la mnge aza na hili la bandari kataeeni haya ni makufari mkicheza nao mkasema huyu ni mwezetu na ndio huyo muislamu yuko madarakani tutabaki na waisilamu majina

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze7 ай бұрын

    yy atakamatwa na polisi ww utakamatwa na muungu fala

  • @user-hp1im5ek4r
    @user-hp1im5ek4r7 ай бұрын

    Yaani mmekusanyana ili kutuletea udini ndani ya serikali yetu kisa Palestina mukafie mbali

  • @RaphaeljMdimi
    @RaphaeljMdimi11 ай бұрын

    Rest in peace MAGUFULI

  • @mohamedijuma7406
    @mohamedijuma740611 ай бұрын

    Sauti ndogo sana kwenye video

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi178711 ай бұрын

    Hiyo dini ya uongo imeanzishwa marekani wanasoma qroan kama sahihi kumbe wanapotosha

  • @zaneenbeauty
    @zaneenbeauty11 ай бұрын

    Na bado si mnawatetea 😂😂😂😂

  • @SelemaniDowile-mk1wm
    @SelemaniDowile-mk1wm11 ай бұрын

    Hapa point hasa imeelekezwa Kwa waislamu na sio vyengine wanataka kutuwekea vitu vya ovyo viongozi wajuu chukueni hatua

  • @alhadajjmohammedsmith9042

    @alhadajjmohammedsmith9042

    11 ай бұрын

    Wanajuwa hao wengine hawana Dini ya kweli, hujitungia na Kufuata/Kuamini Miongozo ya hovyohovyo. Hivyo siku Zote Duniani Serikalinza KibinAdam hutunga Sera, Sheria na Hukmu za kuukandamiza/Kuufuta UISLAMU Ktk Uso wa Dunia ! Afu ajabu eti haohao Watendaji wa SERIKALI wanazo Dini (Waislamu/Wakristo) wanadhani Mungu hatawaadhibu eti kwavile wao ni Watendaji/WATUMISHI Wa SERIKALI na Serikali haina Dini !!!

  • @husseinnurdin6999
    @husseinnurdin699911 ай бұрын

    Mfumo kristo bado ni tatizo nchini, kikubwa zaidi panahitajika mshikamano na umoja zaidi wa hali ya juu kwa waislamu ili kuepukana na matatizo kama hayo.

  • @user-lg1pc3gy6w
    @user-lg1pc3gy6w11 ай бұрын

    Mpaka tufe ata vyeti ni wizi kuwAibia waislamu

  • @nuruhassan9707
    @nuruhassan970711 ай бұрын

    Makubwa

  • @florapetro-pn1og
    @florapetro-pn1og11 ай бұрын

    Shalom shalom, kwakweli mimi mchungaji nimekuunga mkono, watumishi wa umma wakitaka kupigwa na Mungu ingilie dini za watu,kweli serikali ianzishe dini yake

  • @omaryally4278

    @omaryally4278

    11 ай бұрын

    waache watuchokoze wanatujua vzr wakiona tupo kimya wanatuchokoza

  • @SelemanMakau

    @SelemanMakau

    11 ай бұрын

    @@omaryally4278 minaona watu wkechoka amni,hi ilokuwepo,lkn wajue tu mutatauua kwa kupinga ilo Kama Kama kawida ya selkali hi,lkn wajue kabisa,kule kwa mkapa mtu ataondoka mmja na wataondoka maelf ya watu so atuopi kufia imani na ndo itakuwa mwisho wa mikusanyioo nchi hii, myi twendeni tu,so tushachoka,wantaka kituvuruga lakn uku kwenye jammii tuko pamoka watanzanoa wote,msisauau I'll sisi atutaki kutuingolia kwenye dini kwa sababu,yoooooote kwenye qur-ani Allah alishakamilisha,nandokana alimchukua mtume wake acheni bakgi.

  • @munic6686
    @munic668611 ай бұрын

    Propaganda za nchi za magharibi kuuharibu uislam tuwasomeshe sana watoto wetu nyakat zijazo zitakuwa na changamoto zaidi hawa mashekh leo wapo kuna siku hawatakuwepo...

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim156811 ай бұрын

    5

  • @mohamedkiyungi4867
    @mohamedkiyungi486711 ай бұрын

    Kama mambo yako hivyo ni hatari sana muongozo wa uisilamu ni Quran na Sunnah za mtume wetu kubadilisha chochote katika muongozo au kuwabadilishia waisilamu muongozo wa uisilamu hawa jamaa wana andaa fujo mpya maana wanaonekana wamechoshwa na amani hii ya uongo

  • @swalhawerema57
    @swalhawerema5711 ай бұрын

    Kama kuna kotuwanaakitafita kwenye dini uetu waseme sio waaze kuzunguka mmbuyu wakati wanaend juuu ...😡😡😡ni nin khaswaa wanakitafuta

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    11 ай бұрын

    Wanazunguka mbuyu wakati wanaendaa..!!! 😂😂

Келесі