SAKATA LA USHOGA NA HAKI KWA WANAUME LAIBUKA BUNGENI, MBUNGE AMCHARARUA VIKALI WAZIRI
If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.
Пікірлер: 458
Shida imekuwa kubwa sasa hivi. Maneno mengi ni ya kujikombakomba tu Asante sana Madame JESCA Mungu akutetee.
Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Barikiwa Barikiwa Barikiwa Barikiwa sana sana sana
Creative arguments, hongera sana mama yangu mama Samia akiona inafaa akupe wizara hii
Hadi nimeskia kusisimka, inaonekana haya sio maneno ya kawaida, yana nguvu ya Mungu ndani yake. Hongera sana Mama Jesca.
Asante mamangu, uku kwetu Kenya 🇰🇪 ata mikopo atupewi sisi wanaume, utaskia kenya wimen, wimen rep, ata ukuenda kuomba kazi na mwanamke atapewa yeye, imebaki tu kuolewa na wanawake
Asante sana mama yangu kwakulitambua hilo sababu wanaume wananyanyasika sana naawana pakukimbilia na dhani wewe ndo ungelipashwa kuwa kiongozi mku wa nchi ya Tanzania
Hongera sana mbunge, wewe ndo mama wa bunge , Hili jamaume la wapi mbona hata sijalielewa , hovyo kabisa. watoto wakiume wanahalibiwa sana wabunge wakina mama lipigieni kelele sana kuwalinda watoto wote bila kuchagua jinsia
Uyu mama aliyeongea mungu amtizame na ampetie mema zaidi
Duuh mama umezungunza point kiasi ya kwsmba Talents kama hawa wanahitajika Sana ktk bunge
MH: Mungu akubariki Sana yalikua maombi yangu sana namshukuru MUNGU amekutumia kusema hilo
Mama Samia huyu Mbunge naomba aongezewe Mshahara tafadahli
Wakipatikana wabunge kumi kama huyu mama haki ya mungu tutafika pazur
@CholoFaizaan
2 ай бұрын
Ufike wapi? Unapotaka kufika hawa wabunge nihatari kuliko hao wanaowaongelea
Mbunge ana madini sana,big Up
Dada yangu umeeleweka vizuri sana. Shida ya mawaziri wengi, hawana hofu ya Mungu ndani yao.Nchi inahitaji toba ya magano ya kuzimu
@hafsalucky1088
2 ай бұрын
You are very right! Inch inahitaji toba, Tuliunganishwa na kuzimu tangu kipindi Cha Uhuru, ndo Mana tunapelekwa km Kondoo😭😭😭 9:57
Unachosema nikweli Mungu kakutumia Vyema
Toka nimesikia bunge hii ndiyo mada ya maana kwa Tanzania
Umegusa kero ya kila mtu lazima kuwe na strong voice ahsante sana mama mungu akulinde kwa kugusa kiini cha maumivu makali kwa wanaume
mama Mungu akulinde sn na akupe marifa zaid
Ninavyompendaga Jessca Yeye mkishamaliza yeye anakwenda Extra miles!👏👏👏
Hongera sana Madame Mbunge nimekuelewa sana Wewe ni Voice of Voiceless
Safi kbsa mbunge una maono vzr unaonambali sana bora ungekiwa samia
Mh mbunge umeongea point wanaume tulikua tume koswa utetezi bugeni. Ongera sana Mh.
Huyo Mwanaume hajielewi kabisa, Yaan tunasemewa na Mwanamke lenyewe linapiga. HOVYO kabisa
@mafiask575
2 ай бұрын
Huyu akaangaliwe vizuri.. pengine nae ni miongoni wa wanao suppoti ushoga
@misangasaidih8764
2 ай бұрын
Hahaha! Et Daktari. Tatizo la elimu za kuhonga
@MrNuurofficial
2 ай бұрын
Tumia akili apo akiongea mwanaum hawez kusikilizw sana
@israelkisaila8401
2 ай бұрын
@@misangasaidih8764yani kamchana hatari😂😂
Mbunge wetu hoyee🎉🎉, Mungu akupe maoni zaidi.
Hongera mama umesema kweli. Na huyu kigwangala ndiyo Mwisho wa kuingia bungeni tena awamu hii
Umeongea hoja ila si kwenye hii serikali inayofuata utaratibu wa Dunia, chukua maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@user-ko5co3bk9f
2 ай бұрын
Kabisa kaka,, mpango wa dunia ni kuhiaribu siyo kujenga, Wala si uopo was Mungu
Mashallah umeupiga mwingi mola akubariki
Daaah safi sana, "WE NEED A STRONG VOICE "
Great love ❤️ to mamaa mungu akupe maisha marefu sana
Kilichonifrahisha nikuona mwanamke ndiye anatutetea wanaume .very nice
@RynoFiree
2 ай бұрын
Kumesha haribika Sana single moms wanazidi kujazana mtaani, ko mwanamke ameliona hilo
Mungu akulinde madam jeska
Asante Sana 🙏 Kwa mchango wako mzuri Mh. Mbunge. Mungu akubariki ❤
Dunia ya magharibi inahubiri kutetea haki za wanawake na kumpa nguvu mwanamke ili kuwashusha wanaume kifikra na kiuchumi hasa kwa bara la Afrika. Lengo kubwa ni kufanya bara la Africa kukubali ushoga na kupoteza nguvu ya wanaume ambao watasimama kidete dhidi ya bara la Africa.
@user-cy5zv5fb9l
2 ай бұрын
Nimekukubari Sana you are awared person unasema kweli
Your so smart,, apewe ulinziiii huyuu mbungeee
Yaani wanaume wenyewe hutujitambui kiasi hiki mpaka wanawake wanaamua kututetea. Eti wanaume nao siku hizi wamekua feminists, what a wrong turn!
Well said ubarikiwe sana nuru ya Mungu ikuangazie
Mama upo vizuri sana
Thanks mama❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤uishi miaka mia uikomboe taifa kwenye kizazi cha shetani
Asante sana mungu akutangulie mh hoja imeeleweka
Daah.Safiii sana na hongeraa sana Mhe Jesca. Umeuipiga mwingii
Wew mwanamke uko smart sana umebarikiwa keep it up
Allah akuongoze
Swala lipo ivi nyakati zimefika za binadamu wasio na mungu kutengeneza njia zakumweneza shetani kwa nguvuuu
Kwa Mara ya kwanza nimesikia mtu akitoa hoja bungeni hongera Sana 😂😂
Bigup mama umesema na asante sana umetusemea uendelee kuongoza ktk jimbo lako
Hii video naomba iwe ni wimbo wa taifa aiseee Mama Jesca yaaan ni 💯💯💯
Wonderful woman❤❤❤ I like it
Mama umetisha ubarikiwe sana napenda nioe binti yako
daaaa yan mpk nimejisikia vibaya hongera sana my sister
Mama Mungu akubariki sana , akuzidishe katika mema uyatakayo
Safi sana Mama hongera umesema vema
Hongera sana, umeongea ukweli mtupu, hii ndio aina ya viongozi tunaohitaj
Ahsante sana mama Mungu azidi kukupa maono zaidi
Ubarikiwe madam
Haya ni matokeo ya kukubali kila mpango anaokuja nao mzungu na kuacha tamaduni zetu
@abduljuma7807
2 ай бұрын
Acha ujinga unashindwa na mwanamke anatoa point wanaume mpo mpotu
Hongera saana mama God bless you with your family and your job ❤❤❤
Mama yangu kipeenzi mungu akupe umri mrefu fanya kazi mungu atakuripa
Well said
Big up mbunge....watoto wa kiume wasiachwe nyuma
Mama kaongea kwa umakini sanaaaa.....Mungu akubariki mnoo
Goood VIVAAAAAAA YOU ARE the WORRIOR
Kuna mijanaume humo yapo yapo tu, mpk kaibuka mama kutetea wanaume big up Sana jesca
Hongera sana Mh mbunge hongera sana mama
Dah nimempenda san huyu mama kwel tunawamama wanatutetea Bungen jmn Mungu akubarik sana mama.piga kaz
Hongera mama💗💗💗💗
Nimekukubali sana maana kama tukiegemea upande mmoja tunazidi kuharibu siyo kutengeneza
Uyu Mama Ako na Madini mengi mno kichwani. Kigwanala Kayakanyaga
Asante mama umenena maana ishakua hatariii
Strong point perfect say
Hongera mama hilo janaume ni shoga
Mungu akulinde sana mama congole kwako❤❤❤
Asante xn mama hakika ww ndiye mbunge mwenye maono! Kuna wanaume wamekaa humo tu hata hawaon na wao wanapiga makofi tu hawaon kuwa wanaume wametengwa,na wananyanyaswa na wanawake kisa tu mwanamke kapewa haki zote! Hapo usawa wa kijinsia uko wapi?
❤❤❤❤chukua mauwa yako mama na unapotokea nawaomba wananchiwako akurudishe tena bungen
Mimi nimependa hapo alipocheka na kusema halafu Daktari kwa dharau sana 😂😂😂
Umeongea vizuri mama mpaka nimeshindwa kula
Uyu mbunge angestahili apewe huo uwadhifa wa icho kitengo barikiwa barikiwa barikiwa barikiwa barikiwa
Safi sana ameongea vizuri sana... Hongera kwake ila Kigwangala ni takataka🚮
natamani kusoma comments ila mama kaongea vizuri sana🎉🎉
I love you mama unapenda taifa pia unahofu ya mungu may God bless u❤❤❤❤
Hongera sana mama. Mungu alishampa mwanaume uongozi mwanadamu hawezi kubadilisha ndiyo maana matatizo yamekuwa mengi siku hizi kwa kuwa mwanaadamu anataka kwenda kinyume na sheria za mungu
@gabrielkyando2632
2 ай бұрын
Kabisa broo
The problem ni kukataa hekima ya Mungu na sheria zake kwa kudhani hekima ya mwanadamu itazidi ya Muumba. Now it has bounced off.
@user-qp5vi9yt6m
2 ай бұрын
Big up
Wizara hii ingekufaa sana mama akuonebasi
Ubarikiwee
Ubarikiwe Mama ubarikiwe sanaaaaa
Mashaallah mashaallah umenena shida masikio hayasikii
Nimekupenda zaid
Hongera sana. Si tuu unafaa kuwa waziri wa wizara hiyo, nadhani hata ubenge unatakiwa uchukulie kwenye jimbo la huyo mwanaume asiyejiua shida ilivyo!
Wako radhi kumuangusha mwanaume mmoja aliyebeba wanawake wawili ili kumuinua mwanamke mmoja
Umeongea point mbunge watt walelew na pande mbili lakin watoto wa kiume wakiachwa kulelewa na wanawake tu ni rahis sana baadae kushindwa kujisimamia peke yao, inahitajika strong voice ili wawe hodar zaid
Mama. Ubarikiwe sana
Mungu akubariki Sana uishi myaka Mingi
Kumbuken huyu jesca ni Dr siyo mchezo
Aliwahi kuongea Ndungai, kuwa mtoto wa kiume amesahaulika
Mbunge wa wapi huyu,, bonge la malkia🙌🙌🙌
Hongera Sana mbunge MUNGU akulinde
HONGERA SANA MAMA KWA UTETEZI WAKO,HII INCHI IMEKUWA YA MCHEZO TU NA KURUKA RUKA TU
Congratulations..🌹🌹🌹
Safi mama na ni wadhaifu Sana wanaume
Mungu akubariki sana mama kweli umeongea jambo la msingi sana
Asante mama unajua xn