SAKATA LA USHOGA NA HAKI KWA WANAUME LAIBUKA BUNGENI, MBUNGE AMCHARARUA VIKALI WAZIRI

If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.

Пікірлер: 458

  • @aggymonyela3775
    @aggymonyela37752 ай бұрын

    Shida imekuwa kubwa sasa hivi. Maneno mengi ni ya kujikombakomba tu Asante sana Madame JESCA Mungu akutetee.

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy73602 ай бұрын

    Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Barikiwa Barikiwa Barikiwa Barikiwa sana sana sana

  • @jafarimpawa8237
    @jafarimpawa82372 ай бұрын

    Creative arguments, hongera sana mama yangu mama Samia akiona inafaa akupe wizara hii

  • @sanestar6942
    @sanestar69422 ай бұрын

    Hadi nimeskia kusisimka, inaonekana haya sio maneno ya kawaida, yana nguvu ya Mungu ndani yake. Hongera sana Mama Jesca.

  • @JacksonMwalimu-se7fj
    @JacksonMwalimu-se7fj2 ай бұрын

    Asante mamangu, uku kwetu Kenya 🇰🇪 ata mikopo atupewi sisi wanaume, utaskia kenya wimen, wimen rep, ata ukuenda kuomba kazi na mwanamke atapewa yeye, imebaki tu kuolewa na wanawake

  • @claudemofi3193
    @claudemofi31932 ай бұрын

    Asante sana mama yangu kwakulitambua hilo sababu wanaume wananyanyasika sana naawana pakukimbilia na dhani wewe ndo ungelipashwa kuwa kiongozi mku wa nchi ya Tanzania

  • @nyassa2607
    @nyassa26072 ай бұрын

    Hongera sana mbunge, wewe ndo mama wa bunge , Hili jamaume la wapi mbona hata sijalielewa , hovyo kabisa. watoto wakiume wanahalibiwa sana wabunge wakina mama lipigieni kelele sana kuwalinda watoto wote bila kuchagua jinsia

  • @Salviiboy
    @Salviiboy2 ай бұрын

    Uyu mama aliyeongea mungu amtizame na ampetie mema zaidi

  • @binismail2029
    @binismail20292 ай бұрын

    Duuh mama umezungunza point kiasi ya kwsmba Talents kama hawa wanahitajika Sana ktk bunge

  • @ombenezekiel6254
    @ombenezekiel62542 ай бұрын

    MH: Mungu akubariki Sana yalikua maombi yangu sana namshukuru MUNGU amekutumia kusema hilo

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir2 ай бұрын

    Mama Samia huyu Mbunge naomba aongezewe Mshahara tafadahli

  • @EliudKatamba-qu7fg
    @EliudKatamba-qu7fg2 ай бұрын

    Wakipatikana wabunge kumi kama huyu mama haki ya mungu tutafika pazur

  • @CholoFaizaan

    @CholoFaizaan

    2 ай бұрын

    Ufike wapi? Unapotaka kufika hawa wabunge nihatari kuliko hao wanaowaongelea

  • @jeromepantaleo8356
    @jeromepantaleo83562 ай бұрын

    Mbunge ana madini sana,big Up

  • @user-lc8mp2lj3k
    @user-lc8mp2lj3k2 ай бұрын

    Dada yangu umeeleweka vizuri sana. Shida ya mawaziri wengi, hawana hofu ya Mungu ndani yao.Nchi inahitaji toba ya magano ya kuzimu

  • @hafsalucky1088

    @hafsalucky1088

    2 ай бұрын

    You are very right! Inch inahitaji toba, Tuliunganishwa na kuzimu tangu kipindi Cha Uhuru, ndo Mana tunapelekwa km Kondoo😭😭😭 9:57

  • @EligiusRichardGoldenboy
    @EligiusRichardGoldenboy2 ай бұрын

    Unachosema nikweli Mungu kakutumia Vyema

  • @ibrahimjuma9709
    @ibrahimjuma97092 ай бұрын

    Toka nimesikia bunge hii ndiyo mada ya maana kwa Tanzania

  • @salumumchaga9717
    @salumumchaga97172 ай бұрын

    Umegusa kero ya kila mtu lazima kuwe na strong voice ahsante sana mama mungu akulinde kwa kugusa kiini cha maumivu makali kwa wanaume

  • @festodaud1781
    @festodaud17812 ай бұрын

    mama Mungu akulinde sn na akupe marifa zaid

  • @user-du7jm2wl5b
    @user-du7jm2wl5b2 ай бұрын

    Ninavyompendaga Jessca Yeye mkishamaliza yeye anakwenda Extra miles!👏👏👏

  • @simonmushi7468
    @simonmushi74682 ай бұрын

    Hongera sana Madame Mbunge nimekuelewa sana Wewe ni Voice of Voiceless

  • @simonmartin5358
    @simonmartin53582 ай бұрын

    Safi kbsa mbunge una maono vzr unaonambali sana bora ungekiwa samia

  • @tomsijohni
    @tomsijohni2 ай бұрын

    Mh mbunge umeongea point wanaume tulikua tume koswa utetezi bugeni. Ongera sana Mh.

  • @jamesmboneko2952
    @jamesmboneko29522 ай бұрын

    Huyo Mwanaume hajielewi kabisa, Yaan tunasemewa na Mwanamke lenyewe linapiga. HOVYO kabisa

  • @mafiask575

    @mafiask575

    2 ай бұрын

    Huyu akaangaliwe vizuri.. pengine nae ni miongoni wa wanao suppoti ushoga

  • @misangasaidih8764

    @misangasaidih8764

    2 ай бұрын

    Hahaha! Et Daktari. Tatizo la elimu za kuhonga

  • @MrNuurofficial

    @MrNuurofficial

    2 ай бұрын

    Tumia akili apo akiongea mwanaum hawez kusikilizw sana

  • @israelkisaila8401

    @israelkisaila8401

    2 ай бұрын

    ​@@misangasaidih8764yani kamchana hatari😂😂

  • @technicallytips255
    @technicallytips2552 ай бұрын

    Mbunge wetu hoyee🎉🎉, Mungu akupe maoni zaidi.

  • @sheikhabdillahmassawe5302
    @sheikhabdillahmassawe53022 ай бұрын

    Hongera mama umesema kweli. Na huyu kigwangala ndiyo Mwisho wa kuingia bungeni tena awamu hii

  • @antonigabriel-010yes
    @antonigabriel-010yes2 ай бұрын

    Umeongea hoja ila si kwenye hii serikali inayofuata utaratibu wa Dunia, chukua maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @user-ko5co3bk9f

    @user-ko5co3bk9f

    2 ай бұрын

    Kabisa kaka,, mpango wa dunia ni kuhiaribu siyo kujenga, Wala si uopo was Mungu

  • @AbdallahFahm
    @AbdallahFahm2 ай бұрын

    Mashallah umeupiga mwingi mola akubariki

  • @ezekielbkuyeko5241
    @ezekielbkuyeko52412 ай бұрын

    Daaah safi sana, "WE NEED A STRONG VOICE "

  • @TumainTinabu
    @TumainTinabuАй бұрын

    Great love ❤️ to mamaa mungu akupe maisha marefu sana

  • @Alex.RAlistides
    @Alex.RAlistides2 ай бұрын

    Kilichonifrahisha nikuona mwanamke ndiye anatutetea wanaume .very nice

  • @RynoFiree

    @RynoFiree

    2 ай бұрын

    Kumesha haribika Sana single moms wanazidi kujazana mtaani, ko mwanamke ameliona hilo

  • @livingmunisi5963
    @livingmunisi59632 ай бұрын

    Mungu akulinde madam jeska

  • @petermwembezi5976
    @petermwembezi59762 ай бұрын

    Asante Sana 🙏 Kwa mchango wako mzuri Mh. Mbunge. Mungu akubariki ❤

  • @victorcephas3618
    @victorcephas36182 ай бұрын

    Dunia ya magharibi inahubiri kutetea haki za wanawake na kumpa nguvu mwanamke ili kuwashusha wanaume kifikra na kiuchumi hasa kwa bara la Afrika. Lengo kubwa ni kufanya bara la Africa kukubali ushoga na kupoteza nguvu ya wanaume ambao watasimama kidete dhidi ya bara la Africa.

  • @user-cy5zv5fb9l

    @user-cy5zv5fb9l

    2 ай бұрын

    Nimekukubari Sana you are awared person unasema kweli

  • @gabrielkyando2632
    @gabrielkyando26322 ай бұрын

    Your so smart,, apewe ulinziiii huyuu mbungeee

  • @augustinokomba4363
    @augustinokomba43632 ай бұрын

    Yaani wanaume wenyewe hutujitambui kiasi hiki mpaka wanawake wanaamua kututetea. Eti wanaume nao siku hizi wamekua feminists, what a wrong turn!

  • @victorcephas3618
    @victorcephas36182 ай бұрын

    Well said ubarikiwe sana nuru ya Mungu ikuangazie

  • @AbdallahBakar-oc3ue
    @AbdallahBakar-oc3ue2 ай бұрын

    Mama upo vizuri sana

  • @user-vn7dl9mz4f
    @user-vn7dl9mz4f2 ай бұрын

    Thanks mama❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤uishi miaka mia uikomboe taifa kwenye kizazi cha shetani

  • @patrickcharles7294
    @patrickcharles72942 ай бұрын

    Asante sana mungu akutangulie mh hoja imeeleweka

  • @tanzanian8847
    @tanzanian88472 ай бұрын

    Daah.Safiii sana na hongeraa sana Mhe Jesca. Umeuipiga mwingii

  • @ggcrank6264
    @ggcrank62642 ай бұрын

    Wew mwanamke uko smart sana umebarikiwa keep it up

  • @AllyAmri-mz3js
    @AllyAmri-mz3js2 ай бұрын

    Allah akuongoze

  • @Salviiboy
    @Salviiboy2 ай бұрын

    Swala lipo ivi nyakati zimefika za binadamu wasio na mungu kutengeneza njia zakumweneza shetani kwa nguvuuu

  • @user-vq3zu8ne9b
    @user-vq3zu8ne9b2 ай бұрын

    Kwa Mara ya kwanza nimesikia mtu akitoa hoja bungeni hongera Sana 😂😂

  • @meryLeonard-is8ry
    @meryLeonard-is8ry2 ай бұрын

    Bigup mama umesema na asante sana umetusemea uendelee kuongoza ktk jimbo lako

  • @Dr_Asam
    @Dr_Asam2 ай бұрын

    Hii video naomba iwe ni wimbo wa taifa aiseee Mama Jesca yaaan ni 💯💯💯

  • @Fredrickrobson01
    @Fredrickrobson012 ай бұрын

    Wonderful woman❤❤❤ I like it

  • @samwelmwita1915
    @samwelmwita19152 ай бұрын

    Mama umetisha ubarikiwe sana napenda nioe binti yako

  • @JafaryChamungwana
    @JafaryChamungwana2 ай бұрын

    daaaa yan mpk nimejisikia vibaya hongera sana my sister

  • @Polycarp-do8kd
    @Polycarp-do8kd2 ай бұрын

    Mama Mungu akubariki sana , akuzidishe katika mema uyatakayo

  • @user-qv2tg9cz8c
    @user-qv2tg9cz8c2 ай бұрын

    Safi sana Mama hongera umesema vema

  • @MariamHamad-zd5ch
    @MariamHamad-zd5ch2 ай бұрын

    Hongera sana, umeongea ukweli mtupu, hii ndio aina ya viongozi tunaohitaj

  • @amosmachibya1800
    @amosmachibya18002 ай бұрын

    Ahsante sana mama Mungu azidi kukupa maono zaidi

  • @user-mp5yp9rl1r
    @user-mp5yp9rl1r26 күн бұрын

    Ubarikiwe madam

  • @BabuEdie
    @BabuEdie2 ай бұрын

    Haya ni matokeo ya kukubali kila mpango anaokuja nao mzungu na kuacha tamaduni zetu

  • @abduljuma7807

    @abduljuma7807

    2 ай бұрын

    Acha ujinga unashindwa na mwanamke anatoa point wanaume mpo mpotu

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz44272 ай бұрын

    Hongera saana mama God bless you with your family and your job ❤❤❤

  • @user-jx2nq7ob6t
    @user-jx2nq7ob6t2 ай бұрын

    Mama yangu kipeenzi mungu akupe umri mrefu fanya kazi mungu atakuripa

  • @abuuirtifaahaamid3310
    @abuuirtifaahaamid33102 ай бұрын

    Well said

  • @ThomasfrancisMvella
    @ThomasfrancisMvella2 ай бұрын

    Big up mbunge....watoto wa kiume wasiachwe nyuma

  • @Anza_tz
    @Anza_tz2 ай бұрын

    Mama kaongea kwa umakini sanaaaa.....Mungu akubariki mnoo

  • @jumaamohamed4203
    @jumaamohamed42032 ай бұрын

    Goood VIVAAAAAAA YOU ARE the WORRIOR

  • @StevenMasunga-fd7xf
    @StevenMasunga-fd7xf2 ай бұрын

    Kuna mijanaume humo yapo yapo tu, mpk kaibuka mama kutetea wanaume big up Sana jesca

  • @nunumrisho6548
    @nunumrisho65482 ай бұрын

    Hongera sana Mh mbunge hongera sana mama

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de2 ай бұрын

    Dah nimempenda san huyu mama kwel tunawamama wanatutetea Bungen jmn Mungu akubarik sana mama.piga kaz

  • @Swamyhassan_sy
    @Swamyhassan_sy2 ай бұрын

    Hongera mama💗💗💗💗

  • @reallyistheanswer6287
    @reallyistheanswer62872 ай бұрын

    Nimekukubali sana maana kama tukiegemea upande mmoja tunazidi kuharibu siyo kutengeneza

  • @user-eh3zy7rr8o
    @user-eh3zy7rr8o2 ай бұрын

    Uyu Mama Ako na Madini mengi mno kichwani. Kigwanala Kayakanyaga

  • @deogratiasnelson7381
    @deogratiasnelson73812 ай бұрын

    Asante mama umenena maana ishakua hatariii

  • @jacksonrabson6439
    @jacksonrabson64392 ай бұрын

    Strong point perfect say

  • @SalamaJuma-mg3ru
    @SalamaJuma-mg3ru2 ай бұрын

    Hongera mama hilo janaume ni shoga

  • @samamfaume8251
    @samamfaume82512 ай бұрын

    Mungu akulinde sana mama congole kwako❤❤❤

  • @user-es6lq1bv1j
    @user-es6lq1bv1j2 ай бұрын

    Asante xn mama hakika ww ndiye mbunge mwenye maono! Kuna wanaume wamekaa humo tu hata hawaon na wao wanapiga makofi tu hawaon kuwa wanaume wametengwa,na wananyanyaswa na wanawake kisa tu mwanamke kapewa haki zote! Hapo usawa wa kijinsia uko wapi?

  • @redgabriel4998
    @redgabriel49982 ай бұрын

    ❤❤❤❤chukua mauwa yako mama na unapotokea nawaomba wananchiwako akurudishe tena bungen

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila84012 ай бұрын

    Mimi nimependa hapo alipocheka na kusema halafu Daktari kwa dharau sana 😂😂😂

  • @user-pd7bw6bd7c
    @user-pd7bw6bd7c2 ай бұрын

    Umeongea vizuri mama mpaka nimeshindwa kula

  • @StadiusJustus-ck8xi
    @StadiusJustus-ck8xi2 ай бұрын

    Uyu mbunge angestahili apewe huo uwadhifa wa icho kitengo barikiwa barikiwa barikiwa barikiwa barikiwa

  • @nasonchisota6241
    @nasonchisota62412 ай бұрын

    Safi sana ameongea vizuri sana... Hongera kwake ila Kigwangala ni takataka🚮

  • @hilalmohd8941
    @hilalmohd89412 ай бұрын

    natamani kusoma comments ila mama kaongea vizuri sana🎉🎉

  • @imanbwanaa
    @imanbwanaa2 ай бұрын

    I love you mama unapenda taifa pia unahofu ya mungu may God bless u❤❤❤❤

  • @halfaniabdallah6265
    @halfaniabdallah62652 ай бұрын

    Hongera sana mama. Mungu alishampa mwanaume uongozi mwanadamu hawezi kubadilisha ndiyo maana matatizo yamekuwa mengi siku hizi kwa kuwa mwanaadamu anataka kwenda kinyume na sheria za mungu

  • @gabrielkyando2632

    @gabrielkyando2632

    2 ай бұрын

    Kabisa broo

  • @fredymponji1423
    @fredymponji14232 ай бұрын

    The problem ni kukataa hekima ya Mungu na sheria zake kwa kudhani hekima ya mwanadamu itazidi ya Muumba. Now it has bounced off.

  • @user-qp5vi9yt6m

    @user-qp5vi9yt6m

    2 ай бұрын

    Big up

  • @JumaHeri-hn2bw
    @JumaHeri-hn2bw2 ай бұрын

    Wizara hii ingekufaa sana mama akuonebasi

  • @user-zp5oo9gf1r
    @user-zp5oo9gf1r2 ай бұрын

    Ubarikiwee

  • @StanslausZakaria
    @StanslausZakaria2 ай бұрын

    Ubarikiwe Mama ubarikiwe sanaaaaa

  • @nursalammedia3317
    @nursalammedia33172 ай бұрын

    Mashaallah mashaallah umenena shida masikio hayasikii

  • @wilsondomisian5899
    @wilsondomisian58992 ай бұрын

    Nimekupenda zaid

  • @geraldmanyogoto1358
    @geraldmanyogoto13582 ай бұрын

    Hongera sana. Si tuu unafaa kuwa waziri wa wizara hiyo, nadhani hata ubenge unatakiwa uchukulie kwenye jimbo la huyo mwanaume asiyejiua shida ilivyo!

  • @iddykalisto8194
    @iddykalisto8194Ай бұрын

    Wako radhi kumuangusha mwanaume mmoja aliyebeba wanawake wawili ili kumuinua mwanamke mmoja

  • @NelsonShirima-nm5im
    @NelsonShirima-nm5im2 ай бұрын

    Umeongea point mbunge watt walelew na pande mbili lakin watoto wa kiume wakiachwa kulelewa na wanawake tu ni rahis sana baadae kushindwa kujisimamia peke yao, inahitajika strong voice ili wawe hodar zaid

  • @VeredianaKalembi-gs4vs
    @VeredianaKalembi-gs4vs2 ай бұрын

    Mama. Ubarikiwe sana

  • @AlexGwambie-xr2hm
    @AlexGwambie-xr2hm2 ай бұрын

    Mungu akubariki Sana uishi myaka Mingi

  • @sebastianmusyebi-yv1hm
    @sebastianmusyebi-yv1hm2 ай бұрын

    Kumbuken huyu jesca ni Dr siyo mchezo

  • @evancemichael5489
    @evancemichael54892 ай бұрын

    Aliwahi kuongea Ndungai, kuwa mtoto wa kiume amesahaulika

  • @bahatiandrew5047
    @bahatiandrew50472 ай бұрын

    Mbunge wa wapi huyu,, bonge la malkia🙌🙌🙌

  • @user-mi8kj1bl6s
    @user-mi8kj1bl6s2 ай бұрын

    Hongera Sana mbunge MUNGU akulinde

  • @atupelejohnmwakangale3226
    @atupelejohnmwakangale32262 ай бұрын

    HONGERA SANA MAMA KWA UTETEZI WAKO,HII INCHI IMEKUWA YA MCHEZO TU NA KURUKA RUKA TU

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya96482 ай бұрын

    Congratulations..🌹🌹🌹

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama44072 ай бұрын

    Safi mama na ni wadhaifu Sana wanaume

  • @vitalisantony239
    @vitalisantony2392 ай бұрын

    Mungu akubariki sana mama kweli umeongea jambo la msingi sana

  • @moorzaheernyika8001
    @moorzaheernyika80012 ай бұрын

    Asante mama unajua xn

Келесі