Kimenuka! Wabunge wa Zanzibar Wasusia Bunge, Watishia Kuuvunja Muungano

Kimenuka! Wabunge wa Zanzibar Wasusia Bunge, Watishia Kuuvunja Muungano
Wabunge Wa (Cuf) Wametoka Bungeni Baada Ya Mwenyekiti Anaengoza Kikao Jioni Ya Leo Kuzuia Mijadala Kuhusu Muungano Uamuzi huo Ulitolewa na Mwenyekiti, Musa Hassani zungu, Baada Ya, Waziri wa Sera Na Bunge, Jenista Muhagama, Kuomba Muongozo
Instal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis...naibu SPIKA WA BUNGE
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Пікірлер: 240

  • @mwinyiathuman5786
    @mwinyiathuman57866 жыл бұрын

    Mimi natokea Kenya Mombasa lkn naipenda Sana zanzibar.ipo siku Zanzibar itakuwa inchi yakujitegemea kwa uwezo wa ALLAH INSHALLAH

  • @jumamkuu6542

    @jumamkuu6542

    6 жыл бұрын

    Mwinyi Athuman nenda kwenu

  • @mwinyiathuman5786

    @mwinyiathuman5786

    6 жыл бұрын

    Hate speach

  • @wambaamwambaje1272

    @wambaamwambaje1272

    6 жыл бұрын

    Mwinyi Athuman Amin

  • @musamuyuga8702

    @musamuyuga8702

    6 жыл бұрын

    utasubiri sana kafiri wewe

  • @wilsonkaseha2034

    @wilsonkaseha2034

    6 жыл бұрын

    braza fuata ya nchini kwenu aiseh! ya huku hayakuhusu kabisa, wewe kuwa mtizamaji tu

  • @bakarihamisi5638
    @bakarihamisi56384 жыл бұрын

    Jamani tujitahidini kuitafuta nchi yetu iwe na amani marahiii nilazima tupate Uhuru Zanzibar unguja na Pemba

  • @seifhabib5987
    @seifhabib59874 жыл бұрын

    Uwiiii kazi kweli kweli,hivi si vita vya Panzi hivi ila kuna CORONA jamani,osheni mikono na Mask muhimu Wazanzibar wezangu,mm sina la kusema Naogopa Ammiyy

  • @dubais9018
    @dubais90185 жыл бұрын

    Hata mimi moyo wangu umeumia sana juu ya nchi yetu kunyimwa usawa wa Muungano. Tupo pamoja na nyie wabunge wote mnaoitetea zaznibar

  • @hamadali6379
    @hamadali63795 жыл бұрын

    Allah amin

  • @leilainnocent6532
    @leilainnocent65326 жыл бұрын

    Poleni sana wabunge wa Zanzibar, baadhi ya wabunge hawana uelewa na ndiyo hao wanaoboronga mambo, tutawawajibisha wasituvuruge sisi ni wamoja.

  • @iliyasamanzi5667
    @iliyasamanzi56675 жыл бұрын

    Mungu yupo mungu mmoja dunia mapito akhera ndio makazi

  • @bakarihamisi5638
    @bakarihamisi56384 жыл бұрын

    Jamani wa Zanzibar tunateseka sana tumekosa Uhuru Zanzibar tunanyanyaswa tunabubuziwa sasa tumechokana na serekali ya uzayuni tunataka serekali mpya ya Zanzibar unguja na Pemba ndio mafanikio yakuikombowa nch yetu mahii inshaallah Zanzibar itapata Uhuru juu yahaq yake Allah atujalie tupate maendeleo tumechoshwa na ccm ya uporaji wahaki za wana nchi Zanzibar unguja na Pemba Pemba wametufungia kazi zetu hawataki tuziendeleze wanatukata ushuru hali yakuwa tumejiajiri wenyewe halafu wsnakuja wanatukata ushuru subhanallah Allah tuokowe na janga hili nchini mwetu Pemba Pemba na unguja

  • @abdulrazakyussef3177
    @abdulrazakyussef31774 жыл бұрын

    Inallah masbriin. Muungano huu uliweza kulindwa na hekma kubwa ya Nyerere, na Karume. Nyerere alisema aliogopa sana kubezwa kuwa ''ameimeza ZNZ'', na pia alishasema ZNZ wanaweza na wako huru wakiamuwa kuvunja mungano, ila akatahadharisha, wakiondoka tu basi yataanza Upemba na UUNguja...Serikali ya mungano iwe na hekma na subra na haki kwa ZNZ. Nilimskia kiongozi mmoja wa juu wa serikali ya mungano akidai atamshughulikia mtu atakaye jaribu kuvunja mungano...ni makossa makubwa...mungano inalindwa na hoja na siyo nguvu...haitawezekana...basi serikali ya mungano ishughulikiye kero za ZNZ na baadhi ya wanasiasa wa upinzani ZNZ waache jazba…. na madai mengi, zingine hazina msingi. Bungeni kuna malumbano mengi...nasikia wabunge wa ZNZ walikuja juu sana waziri mmoja alipodai kuwa ZNZ siyo Nchi...alikosea kidogo...waziri mkuu angesahihisha kwa kusema….ZNZ na Tanganyika ni nchi sawa ndani ya muungano….lakini serikali ya mungano ni nchi ''pekee'' inayowakilisha ZNZ na Tanganyika ktk jumuia za kimataifa….ni jibu tosha kabisa.

  • @kumulwa
    @kumulwa5 жыл бұрын

    Hata mm nakubaliana nawo wauvije

  • @messithedon9502
    @messithedon95026 жыл бұрын

    Mpo xawa Wabunge Wa Zanzibar Mm m2 Wa bara Lkn Mnachofanyia co Kitendo cha Ubinaadamu Ila Ipo Cku Mungu Atakulipeni Ndgu Zanguni Nawapenda Xana Wananchi Wa Zanzibar....!!!

  • @kassimelseudally4825

    @kassimelseudally4825

    5 жыл бұрын

    Nasi pia.

  • @mussachuo250
    @mussachuo2505 жыл бұрын

    Dahhh poleni sana

  • @salmaismail9425
    @salmaismail94256 жыл бұрын

    😭😭😭muungano walio unga hao wzee wt hawakuunga kwa ajil ya mfarakano bali waliung kwa ajil ya umoj km wamefikia hali hio ya kutudhalilish br na unavunjwe t maan cc wananzibar tunao uwez wa kujtegemea bdo na watuwache tuwe na maish ytu waone km hatutosonga mble kimaendeleo na wal htutokufa njaaa sana dah inaumma san kwa walivyofany watanganyika mungu ibariki zanzbar

  • @nassirmohd6850
    @nassirmohd68505 жыл бұрын

    Hakuna kitu ninachokichukia duniani kama huu muungano wa kishenzi ila iko siku in shaa Allah.

  • @hajiameir8688
    @hajiameir86885 ай бұрын

    Wewe Ali salehe unatwanga maji kinuni Ameanza Baba yao Nyerere Kuichukia Zanzibar na Wazanzibari sababu tu ni uisilamu na waisilamu amesema mwenyewe Nyerere laanatullahi

  • @hidayamussa4273
    @hidayamussa42736 жыл бұрын

    Safi sana

  • @saidsaid9463
    @saidsaid94636 жыл бұрын

    Ni vizuri mjadiliane tz bara.tz.visiwani ni sawa hakuna pingamizi

  • @abuudharishahidy3074
    @abuudharishahidy30745 жыл бұрын

    Mwili wangu mpana tafadhali nipatiwe koti jengine hili linabana. Poleni mmeyataka wenyewe

  • @nuranzubail1240
    @nuranzubail12405 жыл бұрын

    Mimi ni mtanganyika lakin nikiangalia kwa upana wake Zanzibar tunaiangamiza hasa kiuchumi . Sema wabunge wa CCM ndo hawajielewi kabisa

  • @tezuratezura8452
    @tezuratezura84525 жыл бұрын

    muungano ufe mana haunatija

  • @abdalahmohamedi1806
    @abdalahmohamedi18066 жыл бұрын

    Upo sahihi kbs mzee nakuunga mkono

  • @ZuenaSharifu
    @ZuenaSharifuАй бұрын

    Mimi huku Uganda nawaombea wazanzibar mupate taifa lenu huru

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa86995 жыл бұрын

    Kwanini mnalazimisha kutuletea SUKARI? Au mnataka.kutuwekea sumu.

  • @aronbanda4484
    @aronbanda44846 жыл бұрын

    Hamjitambui wazanzibar muungano huu munaonewa

  • @saidikikoko
    @saidikikoko6 жыл бұрын

    Fanyeni cc tupo nyuma yenu kuwasupport. Yan unajua ninyi wazanzibar kiukwel mko conscious sana ukilinganisha na wabunge watanzania bara, ninyi mnasubutu hata kutetea watu wenu lakini wabunge wa bara wao ni matumbo yao wale wa CCM Vunjeni tu muungano na cc wabara tunasupport uvunje maana mnaendelea kuumia kipuuzi kwa ajili ya upuuzi wa wabara

  • @moziidavchonchi3338

    @moziidavchonchi3338

    6 жыл бұрын

    WEE NAE FANYA UTAFITI HAO WAZANZIBARI WANAUMIA KIVIPI SASA, MBONA WAPEMBA KIBAO TUNAPISHANA NAO MBAGALA HAHAHA WANAFATA NN SASAAA WAENDE KWAO MAV YA BAKAYOKO HAO

  • @fatmahamad2156

    @fatmahamad2156

    5 жыл бұрын

    @@moziidavchonchi3338 ivi unaona wapemba wanahamu sana na kukaa huko,wanakaa huko kwa sababu tu yakutafuta rizki zao,kwani Zanzibar yetu imedumazwa kiuchumi na Tanganyika ,iyo ndo sababu ya kuwaona huko ,is ingekuwa ivyo usingemuona mpemba hata mmoja ww,sasa tuachieni kisiwa chetu,muone km wapemba hawatarudi kwao,ila mnang'ang'ania nini lkn,km mnawapenda wapemba ss hatuna ubakuzi na ss pia tutawapenda lkn kinyume na hapo tutachukia,ni vyema tu mkakiachie kisiwa hiki kidogo

  • @aridiyahya8049

    @aridiyahya8049

    5 жыл бұрын

    Wewe kweli nyumbu. Mbw* koko

  • @moodyman7588
    @moodyman75885 жыл бұрын

    Nyinyi tukitaka kuwapiga changa la macho wafanyeni hivi wakiweka ccm Tanganyika Zanzibar tuweke Cuf o Act apo ndo itapatikanwa haki bila ya hivyo bc watatutukana, kwa wazanzibar tunataka independent no blablabla bom bom Think before you done

  • @musamkala4642
    @musamkala46426 жыл бұрын

    bora

  • @brisketkidari1623
    @brisketkidari16236 жыл бұрын

    wachane tu unawazonga nini waambieni hatuutaki sisi nyinyi tu uko ndo mnauweka hebu lianzisheni muone kama watapata mfuasi huku znz hatuutaki

  • @hassankihonde1275
    @hassankihonde12756 жыл бұрын

    Vumilieni yakheeeeeeee, Mungu yuko pamoja na wenye kusubiriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii√

  • @yasseralhazim2447
    @yasseralhazim24474 жыл бұрын

    Leo wafugaji na wakulima wamekua hawana chakufanya kila kitu kinatoka bara Zanzibar hawana ruhsa ya atakupeleka maji ya drop muungano uwo una faida gani kwa raia viongozi mtakuja kujuta wakati wa kurudi kwa juu ya vyeo mlivyokua navyo

  • @hamedhamiar3201
    @hamedhamiar32015 жыл бұрын

    kila mwenye akili timam analitambua hili kama Zanzibar inabamwa na muungano huu, wew umeona wap upande mmoja ukawa na maamuz kwamwenzake , wananzibar tumetaawaliw coz ya muungano inauma sana kuiyona Tanganyika inasonga mbele wakat Zanzibar inazidi kuteketea sabab ya muungano😴😥

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp4 ай бұрын

    Muungano na uvunjwe wasitukhanithi ssi tunaweza hata kuwaoa na kuwalisha

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan67706 жыл бұрын

    km vipi muungano uvunje wao wabaki na kisiwa chao na sisi tubaki na tanganyika yetu maan haya malalamiko haya ishi

  • @mohamedsalum3112

    @mohamedsalum3112

    5 жыл бұрын

    Shaaban Ramadhan sawaaa lkn naona hamtuwachii mmetugandaa

  • @aridiyahya8049

    @aridiyahya8049

    5 жыл бұрын

    Tumewaganda!!??🤣🤣🤣

  • @gangmore9091
    @gangmore90914 жыл бұрын

    Hatuutaki mungano me family yangu ccm lakini hakuna faida y mungano watoeni mashekhe wetuu

  • @albertanania3379
    @albertanania33795 жыл бұрын

    Lakini sawa Mimi nimbara lakini muungano auna maana kwasababu zanzabar na tanzania bara ni nchioja lakini ukichukuwa kama been dhaa kama sukari au tivii au friji ama garii ukipeleka tanganyila kama umezipeka Kenya au Uganda wakati ss ninchi moja kwaili wazazibaa twaeaonea

  • @salummohdnyiga9760
    @salummohdnyiga97606 жыл бұрын

    Mimi mwenyewe japo ni mtanganyika siutaki muungano ila nalazimishwa tu natamani sana niishi hapa kwa visa, na ukitaka kujua ubaya wa muungano safiri na TV yako na mengine mengi siwezi kuyaandika yote. Ni bora muungano tuupigie nao kura na si kuburuzana tuuu.

  • @suluman1808

    @suluman1808

    6 жыл бұрын

    kwani vp nyie kama limebana livueni halinama.

  • @omarhassan8451
    @omarhassan84516 жыл бұрын

    Unguja,Pemba,Mombasa mpaka Malawi yote ilikua zanzibar

  • @mussakamando2678

    @mussakamando2678

    5 жыл бұрын

    Huko malawi bahari ilikuwapo?

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender27476 жыл бұрын

    techokaaaaaa jamani, tanganyika yatudhalilisha sanaaa. yatudhulumuuu.

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson22615 жыл бұрын

    Jamanii eeh hemu Tuende katika uhalisia wa kimaisha hii nchi hat akae cuf,chadema,act wazalendo bc mayahudi hawaiwachi huru wametumia kivuli cha Tanzania bara mayahudi ndo wanaosokot Zanzibar sio Tanzania bara

  • @masoudrashid8381
    @masoudrashid83815 жыл бұрын

    Kila kitu kina mwisho wallahi

  • @sgfdhaikuhusu6086
    @sgfdhaikuhusu60864 жыл бұрын

    Nataka tutukanwe mpaka tumwskwe maji ya chini si munahamu ya muungano hata bado maana mwaona vizuri nyinyi kutukanwa km vele ati km tunataka msaada tuseme tupewe yaan ndo hatujiwezi

  • @ddennisskkattulla5942
    @ddennisskkattulla59425 жыл бұрын

    Mpigeni kimya maisha yaendelee

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp4 ай бұрын

    Ss tunaweza kuwaoa na kuwalisha kma wake zetu t ,wasituletee ujinga hapa

  • @praisesamson8298
    @praisesamson82986 жыл бұрын

    Yote haya yanatokea kwenye utawala huu au kuwapo?

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56744 жыл бұрын

    Bado mnaathari za kisultani!!!

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson22615 жыл бұрын

    Yot sababu ya uislamu

  • @ibrahimmasanja7277
    @ibrahimmasanja7277Ай бұрын

    Ondokeni wakojani tumewachoka kila siku nyie mnaonewa ila nyie mnavyowaonea watu Wabara kwenu hamuoni.

  • @josephlukuba5831
    @josephlukuba58315 жыл бұрын

    Jamna jipya nana

  • @shifaa3327
    @shifaa33276 жыл бұрын

    Muungano wa kisiwa cha zanzibar ni mswala kw wanawake kw wanaume ni mskiti na kukifata kitabu cha Allhah Quran hayo yt yanakaa sw wenyewe ela mungu hamumtaki wazanzibar kweli kutaachwa kulalamika kl sk twaonewaaa jmn dunia hii musijetutia mazilanii

  • @amanisuleiman5628
    @amanisuleiman56286 жыл бұрын

    Hakki hiiiiiooooo naiona inarudi kisiwa kime wakwama kooni hakimezeki na mtakitema vijana tupoooo tayari Kwa lolote na tanganyika mna tusoma mzikiwetu salama yenu maalim seif shariff katutuliza lakini akiachia kamba hapatatoshaa

  • @winniefrida1483

    @winniefrida1483

    6 жыл бұрын

    mna mziki gani nyie wakati 1/4 tatu yenu ni mashoga

  • @samiryusuf9492

    @samiryusuf9492

    6 жыл бұрын

    we fala kumbe baba ako na babu yako itakuwa nao mashoga ndio maana wabongo mumeumbwa na roho mbaya na sura zenu mbaya

  • @leonelleo4425

    @leonelleo4425

    6 жыл бұрын

    Winnie Frida HAHA asilimia kubwa yao vidole juu..

  • @moziidavchonchi3338

    @moziidavchonchi3338

    6 жыл бұрын

    MNASHINDIA UROJO UTAMSUMBUA NANI WW PUNGA??? ME NATUSUA FURUSHI LA DONA NIGUSE NIKUTIE KISU CHA MACHO MIXER MADOCHI YA MBAVU MAV WEE AFU MISHOGA MING INATOKA ZENJI NA MZIKI WENU WA TAARABU NA MIDUARA SIJUI VIDAKUDAKU ANI UPUUZI MTUPU

  • @aridiyahya8049

    @aridiyahya8049

    5 жыл бұрын

    Wazanzibar wanapenda kudharau bara lakini wakidharauliwa basi waja juu. Nami ningependa tuvunje muungano ndo mtajuwa umuhimu wa bara kwenu. Hiyo mnayodanganywa eti itakuwa Singapore ya Africa.🤣🤣 . Mara nyingi mnapewa kipaumbele lakini haitoshi nadhani mnataka kuitawala bara.

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki56676 жыл бұрын

    Jamani tudumishe umoja.

  • @khadijahassan3504
    @khadijahassan35046 жыл бұрын

    sawasaw

  • @seifhabib5987
    @seifhabib59874 жыл бұрын

    Yahya sinongo karibu Zanzibar tuje kukunywisha Kakhwa na khaluwa.

  • @onlinetv9189
    @onlinetv91896 жыл бұрын

    Bora wajitenge

  • @omarhassan8451
    @omarhassan84516 жыл бұрын

    Mkiona joto livueni Koti👋

  • @salehlofy4251
    @salehlofy42516 жыл бұрын

    Tatizo wazanzbar n watu wa Amani SAANA halafu hawana JESHI lakn kiukweli ZANZIBAR HASA HAWAUTAKI MUUNGANO, TANGANYIKA WANATEGEMEA JESHI KUWANYONYA NA KUWAZULUMU NA KUWATISHA ZANZIBAR

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper57656 жыл бұрын

    Hahaaaaaa njaa mbaya sanaa

  • @umadiali5793
    @umadiali57935 жыл бұрын

    Kweli kabisa huu ni muungano sio kutuonea wazanzibar tukawa hatuna haki!!

  • @rashidibrahimshemlugu7845
    @rashidibrahimshemlugu78456 жыл бұрын

    funguka babaaaaa wataelewatu

  • @suleimanjngondo6760
    @suleimanjngondo67605 жыл бұрын

    wazanzibar iyo ni laana ya masheikh wenu mulio waweka ndani bila kuwasomea mashitaka

  • @sautisamsu2981
    @sautisamsu29815 жыл бұрын

    tupo pamoja kweli ss wazanbar hatuna maana wanatuonea kwann

  • @yasseralhazim2447
    @yasseralhazim24474 жыл бұрын

    Mtoto akililia wembe mpe huooo! Cmnaupenda mnapokua uwanja wa amani mnasema tuuduumishe muungano sasa iyo ndio faida yake.

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija66726 жыл бұрын

    HATUTAKI ZANZIBAR NI NCHI SISI TUNAMAAMUZI YETU. HATUTAWABEMBELEZA TENA SISI TUMESIKIA NA TUKOPAMOJA WAKITAKA WASITAKE SISI NI NCHI . MUNGU KAZIGAWANYA KWA MATAKWA YAKE . WANACCM MLIJUWE HILO ZANZIBAR KWANZA.

  • @saverynada180

    @saverynada180

    6 жыл бұрын

    kama ni nchi si mjiuzie sukari yenu???

  • @moziidavchonchi3338

    @moziidavchonchi3338

    6 жыл бұрын

    HAFU WEE NAE UNAONGEA UTUMBO KUBWA JINGA WEKA HOJA YA KUSEMA MUUNGANO UVUNJIKE NA HOJA KUBWA KUWEPO KWA VITA AMA UCHUMI KUYUMBA SASA ULIONA WAPI KUTOUZIKA KWA SUKARI MUUNGANO UKAFA HAHAHA TATIZO LA BAADHI YA WAZANZIBAR WENGI HAWAKUJIKOMBOA KIHELIMU MPO KIDINI DINI TUU

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97734 жыл бұрын

    Waambie wanatulea dharau na jeuri hatutaki muungano wizi na hatuna lolote tunalolipata wanafiki .

  • @salummuhija4435
    @salummuhija44356 жыл бұрын

    Tatizo wabunge wa Zanzibar siku zote mnahisi mnaonewa tu kwanini nyie lakini!!

  • @michakazojet1146

    @michakazojet1146

    5 жыл бұрын

    kwani wwe huoni mifano ya kile kinachoendelea?

  • @pantaleokulaya5308
    @pantaleokulaya53086 жыл бұрын

    wabunge wa ccm bila kuamua nyie wengine hamna ubavu

  • @hajikhatib8840
    @hajikhatib88406 жыл бұрын

    vichogo mbona mnaingangania Zanzibar!!!! wachiwe wapumue mmeshawazulum Sana Sana Hadi kuwauwa Kwa kudai haki Yao ..!!! wabunge komaeni hivyo hivyo ...Hata msirubuniwe wacha tuu Zanzibar iwe zanzibar.ya nini mateso ya wasiokupendeleeni mena......((fact))

  • @moziidavchonchi3338

    @moziidavchonchi3338

    6 жыл бұрын

    HAKI GANI HAWAJIELEWI BADO

  • @hajikhatib8840

    @hajikhatib8840

    6 жыл бұрын

    +Mursa DavChonchi wao na wewe nani hajielewi

  • @fatmahamad2156

    @fatmahamad2156

    5 жыл бұрын

    @@moziidavchonchi3338 hujielewi ww

  • @bonyenyekahawamoshi9775
    @bonyenyekahawamoshi97756 жыл бұрын

    Nyie no cuf

  • @tonedeusmuganyizi5265
    @tonedeusmuganyizi52656 жыл бұрын

    Huyu hana hoja. Zanzibar inayo sera ya kuingiza sukari bila kodi. Tanzania bara hatuwezi kuruhusu sukari hiyo kuingizwa hapa bila kodi na kuharibu ushindani. Kaeni na sukari yenu - na wala siyo sukari tu na bidhaa nyingine.

  • @omarjumanne4471

    @omarjumanne4471

    6 жыл бұрын

    Tonedeus Muganyizi huo ndo ukweri wataalamu was uchumi hawsikilizwi Zanzibar ushauri wa kitaalamu hawataki sasa mnayaona Mimi kiwanda cha viatu nimewashauri hawataki sasa mambo hayo tumieni makuluge kujenga viwanda Zanzibar bars watakwama kuzuia bizaa zetu

  • @omarjumanne4471
    @omarjumanne44716 жыл бұрын

    Bi Rukia umecheza ngoma huijui ujue kuwa Zanzibar zama hizo liikuwa na kiongozi mwinyi mkuu muungano hautovunjwa na wabunge ambao wanajaziba zao binafisi au za vyama vyao

  • @azizikitete7229

    @azizikitete7229

    5 жыл бұрын

    Pumbavu sana wee jamaa

  • @hamadshein935
    @hamadshein9356 жыл бұрын

    ZANZIBAR IKIJITENGA.ITAKUWA KAMA DUBAI YA AFRIKA.UAE ITAJENGA MAGHOROFA UKIWA JUU UNAONA TAA ZA MBEZI.ZENJI WERAWERA

  • @allymsuya6655
    @allymsuya66556 жыл бұрын

    Tatizo ni unafiki was wabunge was CCM upande was Znzb

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah56266 жыл бұрын

    Mmmh mm naona huyu jini hajafa ila wafufuliwe walotuachia jini huyu

  • @MohdRashid-cu9qb
    @MohdRashid-cu9qb5 жыл бұрын

    Hivi hawa wabunge wa ccm kutoka Zanzibar hawalioni hili au ndio wameridhika

  • @iddibama6819
    @iddibama68195 жыл бұрын

    speak up

  • @suleymanalawi9613
    @suleymanalawi96135 жыл бұрын

    mbunge wa zanzibar kupitia ccm hawez kuitetea zanzibar hata siku 1

  • @user-pf9cd6zj1g
    @user-pf9cd6zj1g4 жыл бұрын

    Hamna lolote hamna mumuzi yoyote ccm oyee

  • @minaziparasu8748
    @minaziparasu87486 жыл бұрын

    Ikopoa znz kwanza .fanyenikweli musisumbuliwe navilaza vya Ali kesi namsukumaa

  • @ipmalu9947
    @ipmalu99476 жыл бұрын

    ndo Kwanza mjue leo kama Zanzibar inanewa na watanganyika

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57726 жыл бұрын

    Vunjaa sisi sio watanzania bara .

  • @Ba63828
    @Ba638286 жыл бұрын

    WATOTO WA MAMA MMOJA MWAGOMBANA BURE HAKUNA TIJA

  • @mwanalelee6
    @mwanalelee66 жыл бұрын

    hahahaaaaaa Na bado maalim seif aliposema mulimuona mjinga sasa endeleeni mbele kwa mbele iyooooo

  • @youngbreezy6615
    @youngbreezy66156 жыл бұрын

    Awo majamaa sijui wabunge muungano wameukuta apa hamna kuvunjika hawana lolote mxiee zanzibar bora ifanywe mkoa tu kam mikoa mengne maan rais wa uku zanzibar hmna kitu

  • @godfreybigeyo9105
    @godfreybigeyo91056 жыл бұрын

    kiongozi wao ni nani hawa,

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Wahuni hawa!!!

  • @omarkhatib4968
    @omarkhatib49686 жыл бұрын

    Haya yooote yanatokana na yule bwege sheni na mabunju ya ccm

  • @fikiriniabdallah4331
    @fikiriniabdallah43316 жыл бұрын

    sisi wanatulazimisha kuwemo katika muungano wanatuona hatuna akili tuwaonesha kama sisi ni wazanzibari sisi ni wa mwanzo kuliko Tanganyika ila wanajifanya wanjua kuongea sana acha tuone mbele

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima14556 жыл бұрын

    Kwanini watanganyika wang'ng'ania huumunganooo

  • @mundhirhamad6595
    @mundhirhamad65956 жыл бұрын

    wamezoe hao chukueni hatua

  • @bonyenyekahawamoshi9775
    @bonyenyekahawamoshi97756 жыл бұрын

    Hiyo anaonekana anagubu anaona anaenda kufa anataka kufa nawengi mjinga sana

  • @upendorobert7298

    @upendorobert7298

    6 жыл бұрын

    Hamed Ally kwani ww utaishi milele?

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis72456 жыл бұрын

    Mmhhh. kwani simulijiunga wenyewe eti siye tumapinduyya hatutaki muarabuuu bora tujiunge kelele zanini ngojeni uko mwisho mufanywe kama Palestina

  • @charlesanselimo6658
    @charlesanselimo66585 жыл бұрын

    Kiti Cha spika Ni dhaifu

  • @bugdadiajm8270
    @bugdadiajm82706 жыл бұрын

    Waacheni waende

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing17806 жыл бұрын

    mnaliona leo hilo

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57726 жыл бұрын

    Ile hiyo mibunge ya CCM wote ni wabara .nadhani watakubali .

  • @shaabanhaji2014
    @shaabanhaji20145 жыл бұрын

    Tushawazoea awoo wakipewa shilingi tu wanakaa kimnyaaaa.... Haawana loloteee

  • @issahajiday4398
    @issahajiday43986 жыл бұрын

    Tuwache upumbavu tuamkeni na liwalo liwe ,hatufi njaa wala hatutegemei nyinyi tutaishi tu kwa uwezo wa allah, nn muungano ,free Zanzibar.

  • @joetchatv1453
    @joetchatv14536 жыл бұрын

    Muungano hauvunjiki

  • @shifaa3327
    @shifaa33276 жыл бұрын

    Jamanii musijetutia mazilaniii tukakosa jitafutiaa mia kw watt wt mn nyie mpigao kelele hp majukumu yn hamuvijii ahh

  • @elenestjackson129
    @elenestjackson1296 жыл бұрын

    Hii michogo mbona inatun,gan,ganiya kuwe na mungano sisi wazanzibari hatutaki muungano machogo

  • @moziidavchonchi3338

    @moziidavchonchi3338

    6 жыл бұрын

    CHOGO NANI ME DUNYA MBONA MIMI MTANZANIA KABILA MTUSI ASILI YANGU RWANDA NI RAIYA WA TANZANIA HUSUSANI BARA AFU NASKIA HUKO KUNA MASHOGA WENGI BILA SHAKA HATA WEWE PIA

  • @musamuyuga8702
    @musamuyuga87026 жыл бұрын

    nani anashida na nyinyi

Келесі