"UMEPATA UBUNGE TU, UKAMUACHA MUMEO, TULIA NIKUPASHE WEWE" - MBUNGE KEISSY

"UMEPATA UBUNGE TU, UKAMUACHA MUMEO, TULIA NIKUPASHE WEWE" - MBUNGE KEISSY
WABUNGE wa jamhuri ya muungano wa Tanzania wameanza kujadili bajeti lkuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2020 / 2021 iliyowasilishwa bungeni jana juni 11, na waziri wa fedha, Dkt Philip Mpango..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 701

  • @neemaruben6531
    @neemaruben65313 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tulia ww nikupashe aliskia agonge like hpa

  • @juliusloth4193
    @juliusloth41933 жыл бұрын

    Ambao tunasikiliza baada ya uchaguzi like nyingi kwangu

  • @gkplexus2855

    @gkplexus2855

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @saidichilyenga2847

    @saidichilyenga2847

    3 жыл бұрын

    Najaribu kulike mala11 hazikai

  • @prophetgeorgeanointed1onli706

    @prophetgeorgeanointed1onli706

    3 жыл бұрын

    Kura mliiiba mkiona Kobe kainama anatunga sheria Usijisifu ujinga

  • @brunopayu5428

    @brunopayu5428

    3 жыл бұрын

    Kessy aliangukaaa kumbe alikuwa mwongo

  • @joanbajuta6283

    @joanbajuta6283

    3 жыл бұрын

    @@brunopayu5428 n

  • @halimsadiaabdullahi502
    @halimsadiaabdullahi5022 жыл бұрын

    I love the way tanzanian leaders express themselves . This cannot happen in Kenya my freind , you will be shocked to realize that your coffin has already been bought awaiting your last day . I dare this to happen in Kenya . Congratulations tanzanians people .

  • @onesmocharles5801
    @onesmocharles58013 жыл бұрын

    Waliokuja baada ya muhuni kupigwa chini tulike apa🤣🤣

  • @donardmsomi8451

    @donardmsomi8451

    3 жыл бұрын

    Hahahaha aliambiwa tukutane kwenye uwanja wa Kupiga kampeni akaanza kumupa vijembe... Duuuhh siasa hii siyo ya mjomba wako.

  • @onesmocharles5801

    @onesmocharles5801

    3 жыл бұрын

    Noma Sana🤣

  • @gkplexus2855

    @gkplexus2855

    3 жыл бұрын

    😂😂

  • @dismaschama5858

    @dismaschama5858

    3 жыл бұрын

    Mzeee kumbe uliambiwa mapema,,,, hahhaha nenda kavue samak ziwan sasa

  • @allykamanga4366

    @allykamanga4366

    3 жыл бұрын

    Amepita nani kweny hilo jimbo

  • @zeranchimbi2808
    @zeranchimbi28083 жыл бұрын

    Kessy umeshaoneshwa kazi na Aida oyeeeee

  • @rebekantiha4131

    @rebekantiha4131

    3 жыл бұрын

    Umeon babe alijiharibia mwenyez tatz ni mropokaj mm ni ccm ila huy anaboa saaaan

  • @b.anyondo1640
    @b.anyondo16404 жыл бұрын

    Kessy punguza mzuka Baba hao ni wanawake misemo mingine IPO kwenye kanga zao watakuharibia siku

  • @burudanitv874

    @burudanitv874

    4 жыл бұрын

    Et mzuka 😂😂😂

  • @faikamohamed3699

    @faikamohamed3699

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @sifamushi1747

    @sifamushi1747

    3 жыл бұрын

    Washamkomesha...

  • @saidali7331
    @saidali73314 жыл бұрын

    Wabunge muko na shida sana nyinyi mambo ya kifamilia hayahusu kuzungumzwa humo, hata Leo mukitombana huko majumbani kwenu mutakuja sema bungeni jana tulitombana na mke wangu au na mume wangu wacheni upuuz huo tumewatuma bungeni mukaongelee kero za wananchi sio mipasho, mukomee na huo ujinga wenu,

  • @jackyluns8224

    @jackyluns8224

    2 жыл бұрын

    Umenifanya nicheke maswala ya kut........

  • @mahewasamwel398

    @mahewasamwel398

    2 жыл бұрын

    Hahahahaha

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi18783 жыл бұрын

    Pamoja na kejeli zote, huyo mama alimpiga chini Kessy

  • @andrew29468

    @andrew29468

    2 жыл бұрын

    Kweli

  • @armortempore9251

    @armortempore9251

    2 жыл бұрын

    @@andrew29468 Malipo hapa HAPA

  • @leeaglepropeller4549
    @leeaglepropeller45494 жыл бұрын

    Kama unatokea Rukwa na unajua kuwa hakuna jimbo lililo nyuma kama Nkasi ,ndo utajuaa kuwa huyu mbunge hafaii kabxaaaa ni mropokajiii tuuu

  • @liliansamson674

    @liliansamson674

    4 жыл бұрын

    Le Eagle Propeller acha upotoshashi wewe unadanganya humu kwa kudhania wana Rukwa hatumo humu, mpumbavu mkubwa

  • @mobisamabera5196

    @mobisamabera5196

    4 жыл бұрын

    Mzungu uko vizuri vipi!? Brainwashed Idiot

  • @masuaugustine7503

    @masuaugustine7503

    4 жыл бұрын

    Bunge sasa limekua lamipasho na mbowe kalewa sijui tumewatuma icho wanachokifanya uko

  • @gregoryntibani6640

    @gregoryntibani6640

    4 жыл бұрын

    Kessy kafanya kazi. Usipotoshe umma kwa uongo wako. Tunapajua sana Nkasi. Namanyere ya zamani siyo ya leo.

  • @ericksimbeye3256

    @ericksimbeye3256

    4 жыл бұрын

    Ndugu Jimbo la nkasi linamaendeo Sana hata haliwezi fikia kalambo,,,

  • @pauljohn6393
    @pauljohn63933 жыл бұрын

    Waliokuja hapa baada ya huyu mchizi kupigwa chini tujuane!

  • @christophertarimo5047

    @christophertarimo5047

    3 жыл бұрын

    Ahahahaha amepata balaa🤣

  • @ephremmtuya3094

    @ephremmtuya3094

    3 жыл бұрын

    kwa kweli ndiyo maana amepigwa chini

  • @maryoswad7022

    @maryoswad7022

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂duuuu amemuacha mume kwa kupata ubunge

  • @yusufuheri6524

    @yusufuheri6524

    3 жыл бұрын

    @@maryoswad7022 yahni hakika dunia ina kwenda kasi sana

  • @kambiyusufu7709

    @kambiyusufu7709

    2 жыл бұрын

    Yani😅😅😅

  • @dafrodhaelias8944
    @dafrodhaelias89442 жыл бұрын

    Natokea Nkasi ameongea ukwl 👌👌👌👌 Barabara ni kama zote

  • @festogalole7527
    @festogalole75274 жыл бұрын

    Mh vijiji vyote namanyere vina umeme kweli, mzee acha uongo, ipanda, mkole mwambao wa ziwa pamoja na wampembe, wana namanyere gonga like km unaungana nam, kweli wabunge nkasi tunao tena wako makini na yao duu n hatari sana

  • @lawmaina78
    @lawmaina784 жыл бұрын

    Ha ha ha povuuu, ila mzee ameeleza vizuri sana, takwimu anazo.

  • @peterkatumain2299

    @peterkatumain2299

    3 жыл бұрын

    Kweli bro

  • @jimmysameji4746
    @jimmysameji47464 жыл бұрын

    Duu aisee! Hii haijakaa poa. "Mwanamama kaachana na mumewe baada kupata ubunge"!!!!

  • @makenebartazary2236

    @makenebartazary2236

    4 жыл бұрын

    😂🤣😂🤣😂🤣 ni shidaaa

  • @ulimwengu5599

    @ulimwengu5599

    4 жыл бұрын

    watanzania mnapenda umbeya sana.Yaan upupu wote aliosema Kessy umebeba wa kuachana na mwanaume!.

  • @davinaheven4794
    @davinaheven47944 жыл бұрын

    Kessy ana kipaji, anajua kusuta na hata taarabu tu aweza huyu. Kaa! Ndoa yake nlinakuhusu Nini Babu! Lete sera tu. Unachamba Kuzidi Dr. Kumbuka

  • @magynzioka1122

    @magynzioka1122

    3 жыл бұрын

    Hahaha tz kila mtu mchambaji😀😀

  • @fatumachagudadui3138

    @fatumachagudadui3138

    3 жыл бұрын

    Na hiki ndcho kilichomuangusha

  • @relaxationalmoments7029
    @relaxationalmoments70294 жыл бұрын

    Baadhi ya wabunge wa viti maalumu wanakwama sana kuhusu taarifa za kweli. Wanachukua taarifa za vijiweni zisizo za kweli wanakuja nazo bungeni, hawaendi site, matokeo yake kwa kweli ni kukwama sana tu! Wangebadilika ingekuwa vema sana.

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting71803 жыл бұрын

    Hay mazuri yote puumpaka chini...huyu mzee alikuwa mpuuzi Sana ndani ya bunge...ya kwapi sasa..

  • @ibrahimusheshe7856
    @ibrahimusheshe78564 жыл бұрын

    Safi kabisa baadhi ya wanawake ndio tabia zao pumbavu kabisaaaa😀

  • @sadatisabihi3818

    @sadatisabihi3818

    2 жыл бұрын

    Ahhahahaaha

  • @tilitokisoka1944
    @tilitokisoka19444 жыл бұрын

    Hekima ni muhimu sana hasa kwa watu wazima

  • @siwemaadam2
    @siwemaadam24 жыл бұрын

    Rais Magufuli toa onyo kwa watu wanaongoza kubeza wenzao bungeni. Bungeni ni mahali pa kuwafundisha vijana wetu nidhamu za kazi sio ujinga kama wa mzee Kessy. Mwisho watu wa Nkasi tumechoshwa na wabunge wa aina ya Kessy bungeni. Vijana wa Nkasi nafasi hiyo iko wazi. Kessy ni mbunge mdhalilishaji hatakiwi arudi bungeni msimu ujao.

  • @washingtonndeda4051
    @washingtonndeda40513 жыл бұрын

    Watching from Kenya

  • @jafaribori601
    @jafaribori6014 жыл бұрын

    PUMBAVU KABISA Yaani kapata ubunge akaona MUMEWE HAENDANINAE!!! HUYO NI MSALITI IPO SIKU AIKISHAWISHIWA ANAWEZA KUUZA NCHI HAFAI KUWA HATA MJUMBE WA NYUMBA KUMI

  • @eventelias3566

    @eventelias3566

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @emmyally5335

    @emmyally5335

    4 жыл бұрын

    ahhahahahahahahaha niache jafari

  • @rehemaradhid5716

    @rehemaradhid5716

    4 жыл бұрын

    Yaani mmm anatisha

  • @peterbenerd7367

    @peterbenerd7367

    3 жыл бұрын

    Tafadhali eshimuni ndoa za watu

  • @juliusmkopekwa336

    @juliusmkopekwa336

    3 жыл бұрын

    Sasa uko wapi

  • @nataldesantos3054
    @nataldesantos30543 жыл бұрын

    🔝😇😇 matokeo yake Chiniiii! Daaah siasa noma Sana

  • @kigahedavid2178
    @kigahedavid21784 жыл бұрын

    Ila Wabunge wengi ni bendera Kufuta upepo leo tumepata Rais mzalendo na wenyewe wanajifanya wazalendo sasa hata hatuwaelewi

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi79164 жыл бұрын

    Kama mtu kaachana na mumewe hayo ni mambo yao ya ndani yanahusu nini hapo bungeni si mahala pake. Shame on you mr kessy

  • @burudanitv874

    @burudanitv874

    4 жыл бұрын

    Ikumbukwe tu mwanaume akiwa na pesa ataka na mkewe hta kma demu uyo hana hela lkn mwanamke akipta laki 3 tu ttzo ndani

  • @evalineemmanuel8178

    @evalineemmanuel8178

    3 жыл бұрын

    mzee mzima haata aibu jaman uyo sisaw na mwanae mbon watu awanabusar wal heshima mbunge mzima ten mwanaume anamipasho km mwanamke uko bungeni akun nidhamu jmn

  • @gabrielgodwin7465
    @gabrielgodwin74654 жыл бұрын

    My favorite MP ever Ana trend kuliko hata wasanii wa Bongo flavor 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤣🤣🤣

  • @magynzioka1122

    @magynzioka1122

    3 жыл бұрын

    Uyu die yule wa pilau kuku

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu69374 жыл бұрын

    Hahahahah Mh Kessy we ni noma ila kwa maelezo yako nimekuelewa sana umetoa takwimu nzuri sana hakika huyu mbunge haelewi chochote kinachofanywa na serikali kwenye jimbo lake.

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day1094 жыл бұрын

    Mzee, kinywa Machine ya Cherehani😊😊😊

  • @peterjohn1969
    @peterjohn19694 жыл бұрын

    Safi mueshimiwa kesi ao wamama wabunge wakisha pewa ubunge wana ona wana weza kulala namwana ume yoyote mpaka kuwakimbia waumezao wenyewe wakiacha wanaonekana wana onewa

  • @jorampaulo7008

    @jorampaulo7008

    4 жыл бұрын

    Peter John ulitaka waje kwako mwenye kibamia

  • @emmymmota9967
    @emmymmota99674 жыл бұрын

    Acheni ujinga tunataka kujua nnchi yetu inaendelea VP kiuchumi,,,, tuliwachagua muongelee mambo ya ndoa bungeni!!? Ilo nibunge LA matusi,,,, jieleweni

  • @ambitiousholyspirit395

    @ambitiousholyspirit395

    4 жыл бұрын

    Hivi nchi hii hakuna wasomi wa kutuwakirisha!!

  • @jonathankizindo2817

    @jonathankizindo2817

    4 жыл бұрын

    Wanaoongea sana ndiyo wanaonekana wazuri hatari wasomi wa wakujenga wana nafasi finyu

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah31402 жыл бұрын

    Mzee kessy tumia busara ya utu uzima uliofikia...ccm hamtamfikia Aida...huyu ni another level

  • @Mwigaa95
    @Mwigaa952 ай бұрын

    Hakika bunge lilikuwa lime chemka sana yaani 🔥🔥😀😄😄 sio sasaivi uchawa uchawa tu mara ana upiga mwingi mitano tena 😄

  • @rukiamohammed5031
    @rukiamohammed50314 жыл бұрын

    Oyoooo 🤸🏿‍♀️🤸🏿‍♀️🤸🏿‍♀️🤸🏿‍♀️Bungen Kumenoga 🤣🤣🤣

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage24622 ай бұрын

    Mama Samia mchukue uyu dada awe mbunge wa CCM mana Ana confidence ya kutoshaaaa

  • @makutwioberd9542
    @makutwioberd95423 жыл бұрын

    Ally kessy jeuliyake imeishia wapi hatimae mungu kampigania aida hakika aida amemshinda kwa kishindo pia mungu alikua nakusudio lake kutuondolea mwarabu huyu na kutuletea dadayetu kipenzi aida j kenani

  • @aminaissa9709
    @aminaissa97093 жыл бұрын

    Jamani bungu la Tanzania noma tulia nkupashee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kessy mwisho sana

  • @georgefesto8455
    @georgefesto84554 жыл бұрын

    Jamani huyu mzee kwa umri wake hana cha kupoteza,lolote atakalo ongea yuko sawa tu. Pia nahisi atakuwa kalelewa zaidi upande wa Mama,si kwa mipasho hiyo. Ila wananchi tuwe makini sana kuchagua watu wa kutuwakilisha. Naona umefika wakati tuangalie na umri.

  • @saidismailhamad3229

    @saidismailhamad3229

    3 жыл бұрын

    Ukweli unaumaeeee mkipata ubungetu mnaachanana waumezenu wanawakee vitimbi kuliko shettan mlaaniwa wakipata haooo

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador9544 жыл бұрын

    Wafuasi wa mlevi oyeeee Tujuane apa👍👍👍

  • @letshikuku39

    @letshikuku39

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂mwaka huu Mbowe atakoma au atazidi😂😂😂😂 si kwa mipasho hii

  • @kibwanamohammed5836

    @kibwanamohammed5836

    4 жыл бұрын

    wakati wenu utafika za vichwa vibovu utafika atuwezi watu wasitalabu wakipata?nchi itatulia ngoja amalize mkabila mwezenu

  • @seifmassoud2686
    @seifmassoud26864 жыл бұрын

    Yani wabunge ndani ya bunge baada ya kuzungumzia mambo ya nchi itaenda mbele vipi wanapigana vijembe tena Wanaume wanashindana na wanawake na kujipigia kampeni Shida kwa kweli

  • @jejufima4887
    @jejufima48874 жыл бұрын

    Kessy kapaniki.. huu mchezo nomaa Sana eti mkakutane kwa mbowe

  • @reubenmuganyizi4712

    @reubenmuganyizi4712

    4 жыл бұрын

    Kiukweli, mbunge Kama huyu hafai, Mimi ni mwana ccm, lakini huwa sishabikii huyu Mzee, huwaanatukana tu.hana hoja, Eee jamani yaaani naomba Mungu asirudi bungeni hana staha kwanza amezeeka, akacheze na majikumu

  • @jimmysameji4746

    @jimmysameji4746

    4 жыл бұрын

    Mzee wa mjini huyo.Kaniacha mbavu sina

  • @hamisimussa2228

    @hamisimussa2228

    4 жыл бұрын

    @@reubenmuganyizi4712 wewe sio mwana ccm

  • @janekikoti2179

    @janekikoti2179

    4 жыл бұрын

    @@reubenmuganyizi4712 Wewe ni chadomo tu usiseme ni ccm acha uongo

  • @reubenmuganyizi4712

    @reubenmuganyizi4712

    4 жыл бұрын

    Una maanisha kila mwana ccm, ana shabikia ujinga?au matusi?wote hatuko hivyo Kama wewe" jifunzeni kukua usiwe na fikramgando, kwa kila kitu. ,hivi kwa huyo Mzee kesy "Kama kijana unajifunza nini kwake, cha kujenga Taifa letu. Uwe ccm au chama kingine tumejifunza nini?

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane23644 жыл бұрын

    Kapata ubunge tu kaona mume sio kitu tena c wamana funuana hovyo hovyo wenyewe kwa wenyewe

  • @musamusa6374

    @musamusa6374

    4 жыл бұрын

    huyu mama ni jirani yangu ajamuacha mumeo bana

  • @rehemaradhid5716

    @rehemaradhid5716

    4 жыл бұрын

    😃😃napita watamaliza wenyewe wamesema tutakutana

  • @pleonardkashatila4555

    @pleonardkashatila4555

    3 жыл бұрын

    Na wamemalizana kamwamngusha kessy

  • @mkemia_magege5816
    @mkemia_magege58162 жыл бұрын

    Spika Ndungai alijimuacha Kessy azungumze yote🤣😂😂🤣🤣 duh! Kessy akaona hisiwe kesi ngoja amnyooshe huyu Dada.🤣🤣😊 Uzalendo ulimshinda akaona haitoshi na lile la Mume wake akampa.😂😂🤣🤣😁😄😅🥰

  • @mussabulugu6319
    @mussabulugu63194 жыл бұрын

    Huyo mama kapata ubunge tu kamuacha mme .sasa akipata urais atachinja watoto wake

  • @josephjila957
    @josephjila9574 жыл бұрын

    Kazi kweli kweli

  • @salmanyambwe2861
    @salmanyambwe28614 жыл бұрын

    Hongera

  • @judyngowi391
    @judyngowi3914 жыл бұрын

    Huko nkasi mmekosa watu ? Mnamlete Huyu mwehu bungeni

  • @amnemasiku3515

    @amnemasiku3515

    4 жыл бұрын

    Kwakweli wabunge hatuna tanzania.wanaume mmepewa makoromeo.lakini kama hamna.

  • @honsammyjuma528
    @honsammyjuma5282 жыл бұрын

    Powerful

  • @dullahmobileshop8624
    @dullahmobileshop86244 жыл бұрын

    Nomaa

  • @shebbybongo567
    @shebbybongo5673 жыл бұрын

    Maneno hayo ndio yamekuponza, imekula kwako

  • @fatumachagudadui3138
    @fatumachagudadui31383 жыл бұрын

    Huyu mzeee alipaswa ashindwe kabisa haiwezekani umtukane MTU mambo yake ya private mbungeni hata kama ameachana na Mume inakuhusu nn upuuz tu

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn83253 жыл бұрын

    Jamani Bunge mbona mnakuwa hivyo mnashushuana sana. Heshimuni ba atakidogo.

  • @liliansamson674
    @liliansamson6744 жыл бұрын

    Waambie mzee Kessy kazi yao kubwa kulala na Mbowe hadi wanaachwa na waume zao, shame on them

  • @mjombamjomba1887

    @mjombamjomba1887

    4 жыл бұрын

    Duh Mtihani huu

  • @dedanmwasongwe1675

    @dedanmwasongwe1675

    4 жыл бұрын

    Ww ulilala na babako mpk katoa bi

  • @ratifasalumu4021

    @ratifasalumu4021

    4 жыл бұрын

    Umezeeka rud karime ww

  • @jorampaulo7008

    @jorampaulo7008

    4 жыл бұрын

    lilian samson kama wewe unaamini kuwa wanafanywa na mbowe wote hawa basi bado wewe

  • @winfridakavishe6473

    @winfridakavishe6473

    4 жыл бұрын

    Uliwashikia mguu kwan

  • @tumainimapesa6870
    @tumainimapesa68704 жыл бұрын

    Binge limekosa muelekeo waheshimiwa hawajitambui inasikitisha sana

  • @simonzelote5998
    @simonzelote59982 жыл бұрын

    Hata hivyo mwanamke Ni kiumbe chenye uwezo wa kubadilika haraka Sana akipata nafasi kubwa anaweza hata akakutoa uhai wako ndo maana tunaambiwa tuishi nao kwa akili

  • @elizabethmhinga4730
    @elizabethmhinga47302 жыл бұрын

    Ukweli wako umekuponza Baba, pambana kivingine Mungu yupo

  • @walawioutreach4055
    @walawioutreach40554 жыл бұрын

    kwa umri nilio nao nimesikiliza mabunge mengi hili la sas linatia aibu na fedheha na kumkufuru mungu matusi ni dhambi,spika endelea kuwa mkali bunge lako halina maadili,wapiga kura wenzangu tuwe makini uchaguzi unakuja ,hakuna kosa baya kama kukosea kuchagua mwakilishi wako,MUNGU AWASAMEHE.

  • @zaharasaid7765
    @zaharasaid77654 жыл бұрын

    Jaman waheshimiwa wakat mnajadili hayo msisahau wananchi wa mkalamo tunateketea kwa uchelewaji wa madokta kufika sehemu yao ya kaz

  • @youngloyclassic3173

    @youngloyclassic3173

    4 жыл бұрын

    Eti wao wanasutana Tz yetu hii ila tutafika tu

  • @barakamanga5502
    @barakamanga55022 жыл бұрын

    Naomba niongee kuhusu serikali za mitaa, kule Mimi nilifuatilia mwanzo mwisho, ccm milivuruga uchakuzi, mkashinda isivuo takiwa, hapo siwasifii, maana taangu kujiAnfikisha liona kituo Hadi kituo, na baadhi ya maeneo wanao andikisha walikuwa Wana sema sikufahanu na mtu anae kataliwa ni mtu amezaliwa maeneo hayo wanamuona ,anasoma chekevhea,shule yasingi ,sekondali, na kilasiku tunao vijana kwenda kujiAnfikisha wanaambiwa hatukujui wewe SI mkazi waeneo hili, Sasa ,form za wapinzani mulileta mizengwe, hapana ,na mtumikia Mungu ktk hili mbunge umejigambo ziro,

  • @tangaoldtv1067
    @tangaoldtv10674 жыл бұрын

    Mzee zima povu sasa ya nyumbani kwake yanakuhusu nini ongea haoja ilio pigwa ukiona hivyo nikweli kama sio kweli asinge toka povu hivyo

  • @farajinkindwa3888
    @farajinkindwa38883 жыл бұрын

    hongera

  • @idrissatuppa3997
    @idrissatuppa39973 жыл бұрын

    Mzee umepigwa chini nenda ukalime.🤣🤣🤣🤣

  • @ambitiousholyspirit395

    @ambitiousholyspirit395

    3 жыл бұрын

    Akalime

  • @berthandollo3227

    @berthandollo3227

    3 жыл бұрын

    Lopo lopo tu

  • @omaryntagala3740

    @omaryntagala3740

    3 жыл бұрын

    Yeah

  • @twitysaalim2608
    @twitysaalim26083 жыл бұрын

    Kaulewe ww sasa kimekuuma masikini njaa tupu pole sana mwarabu mfupi jmb bunge km lako kubari tu umetolewa kalehe vijukuhu tu sasa

  • @obbandaadieri4702
    @obbandaadieri47023 жыл бұрын

    Pls can Kenyans learn from Tanzania , responsible people ever, a working Parliament ,

  • @mkenyamzalendo4130

    @mkenyamzalendo4130

    2 жыл бұрын

    Responsible aje kuwadararisha wanawake kijianzia ndio tusome. Mbona kaingisha maisha ya kinyumbani ya huyo mbunge mwanamke?

  • @katemachanda7035

    @katemachanda7035

    2 жыл бұрын

    @@mkenyamzalendo4130 Zaidi ya uzalilishaji je hukusikia takwimu ya kazi alizozifanya!?? Ndio mwenzio anakisema hapo, huyo Mzee kazushiwa jambo akapanick lkn maelezo yake mengine yamebeba ni jinsi gani alivyo responsible.

  • @ramadhanahmad1183
    @ramadhanahmad11834 жыл бұрын

    Mambo hayo siri zinafichuka. Lkn mmeyataka wenyewe. Mnaongpa bosi kavamiwa kumbe kaenda geto lengo kuichafua serikali. Mmechokoza nyuki ngojeni ziwatafune. pumba nyie.

  • @mariamuseifu3065
    @mariamuseifu30654 жыл бұрын

    Mmmh yangu macho

  • @paulmayala9798
    @paulmayala97984 жыл бұрын

    Kessyyyyyyyyyyyyyyyyyyy!

  • @mohamedfogo8820
    @mohamedfogo88204 жыл бұрын

    Kessy noma

  • @mashashijumanne4791
    @mashashijumanne47914 жыл бұрын

    Uko vizur Mzee Kessy!

  • @karimabdul3928
    @karimabdul39284 жыл бұрын

    Mambo ya mtu binafsi sio ajenda za Bunge jamani wacheni kupotezea taifa muda.tanzania unahitajika kupaaa juuu afrika na dunia. sasa Kwa mijadala ya Nani kawachwa na Nani tunarudi nyuma

  • @blacknature3691
    @blacknature36914 жыл бұрын

    Huyu pumbavu kweli kama kaacha mume wewe inakuhusu nini wala sio siasa hiyo mzee mshenzi kwanza huna uasili ya tz tafuta kwenu wapi

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin9414 жыл бұрын

    Huyu mzee si mpendi hata kumuona ya ovyo sana huyu sidhani kama mwaka huu atapita

  • @zengomichael8238
    @zengomichael82383 жыл бұрын

    Duh! Ugali jamani uache tu😂😂😂

  • @jenifamligo5199
    @jenifamligo51993 жыл бұрын

    Ni fire

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56744 жыл бұрын

    Kessy ni mwehu!!!!

  • @evamlay8997
    @evamlay89974 жыл бұрын

    Hivi wana sema buge tukufu bunge tukufu unaweza kuongea upumbavu kama huo mahali patakatifu ukafanye ni sehemu ya kumdhalilisha mtu kweli mungu anakuona wewe nimzee amba huna hata hekima

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa59314 жыл бұрын

    Mzeee yupo powaa sana

  • @joramyosia612
    @joramyosia6122 жыл бұрын

    Aaaah mateso ni makubwa sana kwawatu wahali ya chini Mheshimiwa kesi hiyo mipasho haitusaidi tunaomba ukweli mafuta hayakupanda bei? Ifute kauli

  • @polloz77
    @polloz774 жыл бұрын

    DJ Mbowe hanawala mzigo wote hawa wabunge wakike kina mdee na wenzake mpaka wanawacha waume zao Cheza DJ Mbowe

  • @ashamnyambu4056
    @ashamnyambu40564 жыл бұрын

    Babangu Kessy unachamba hatar,unamzidi Mwarabu wa Kizaramo aisee😂😂😂😂

  • @jerkybithe1337
    @jerkybithe13373 жыл бұрын

    Bibie kapswa proper😀😃😄😁😆😅

  • @judyngowi391
    @judyngowi3914 жыл бұрын

    Mbona watu wazima lakini adabu hakuna? Na spika wao anatetea haya, yaani watu wammnatafuta sifa, wanajua wakitukana watapewa uwaziri,

  • @lemjikayugwa9992

    @lemjikayugwa9992

    3 жыл бұрын

    Mwanaume.anabishananamwanamke

  • @dedanmwasongwe1675
    @dedanmwasongwe16754 жыл бұрын

    Ndugai anakenyua meno kwa maneno machafu anayotemwa bungeni

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella2054 жыл бұрын

    Hawa wabunge Ni kudhalilishana tu, yaani personal issues zinatawala zaidi kuliko maslahi ya nchi.

  • @phabianbiseko7173
    @phabianbiseko71732 жыл бұрын

    Mungu msamehe huyu mzee

  • @mahewasamwel398

    @mahewasamwel398

    2 жыл бұрын

    Akusamee wew

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx76772 жыл бұрын

    Hapo hekima liko wapi kwa wakuu naona kama mambo ya uswahilini wanawake wanaposutana hii inashangaza sana!! tunaelekea wapi?wa tz ee mungu tusaidie

  • @violetmageto7134
    @violetmageto71343 жыл бұрын

    Am finished 😂😂😂😂hivi bunge letu la Kenya likoje.... Naomba tu niwe raia wa kitanzania mumenifurahisha

  • @caesarfranc

    @caesarfranc

    3 жыл бұрын

    Let's switch places

  • @violetmageto7134

    @violetmageto7134

    3 жыл бұрын

    @@caesarfranc sure

  • @johnbosconagalau1586
    @johnbosconagalau15863 жыл бұрын

    Noma sana kapata nafasi akaona akale bata na masela

  • @ruhumakhadija8772
    @ruhumakhadija87723 жыл бұрын

    Jamani nakupenda bure mweshimiwa kesi

  • @evansmlalo4049
    @evansmlalo40493 жыл бұрын

    Kessy umeona faida ya kuwa mtu wa majungu Bungeni, bado Lusinde na Msukuma.

  • @tochajohnny4247
    @tochajohnny42473 жыл бұрын

    Hatarii

  • @azmiabdallaazmi5931
    @azmiabdallaazmi59313 жыл бұрын

    Nyinyi wabunge munatatua au muna sumbulia au hizo pesa ni za kwenu au ni za wananchi

  • @hangoomary7073
    @hangoomary70732 жыл бұрын

    Kwahili lakumuacha mume msg send kwa mwanawake wote wenye tabia hiyo, wewe mzee iv kamuacha kwa kutendwa inje na waume wengne Au talaka kabsaaaa

  • @paulomarisanga1945
    @paulomarisanga19453 жыл бұрын

    Mm nimefurah tu apo Mzee akisema tulia nikupashe😀😀😀😀 wewe hujui chochote.

  • @Allystor
    @Allystor4 жыл бұрын

    daah yaani alivyopata ubunge tu akamucha mume wake

  • @mwandisimfukwe1661
    @mwandisimfukwe16613 жыл бұрын

    Tukutane kuleee nimeipenda ntu chaliiiii🤣🤣🤣

  • @EvelyneChacha9
    @EvelyneChacha93 жыл бұрын

    Tulia nikupashe hujui chochote😂😂

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel73 жыл бұрын

    Jamani

  • @petermakaumutuku9150
    @petermakaumutuku91503 жыл бұрын

    Ubunge wangu Kenya tunataka mbunge Kama wewe...

  • @salamasaire4439
    @salamasaire44393 жыл бұрын

    Ninyi wanawake mungu anawaona

  • @tanzaniteinzanzibar6655
    @tanzaniteinzanzibar66554 жыл бұрын

    Magufuli ndio rais bora Duniani, CCM ndio chama kikubwa duniani,

  • @wanjemulina3423

    @wanjemulina3423

    4 жыл бұрын

    Good for you

  • @jamesswai6583

    @jamesswai6583

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @hassansalum5362

    @hassansalum5362

    4 жыл бұрын

    Wewe toka Magufuli awe Rais kitu gani alichofanya ambacho wewe umefaidika ktk maisha yako

Келесі