"UMEPATA UBUNGE TU, UKAMUACHA MUMEO, TULIA NIKUPASHE WEWE" - MBUNGE KEISSY
"UMEPATA UBUNGE TU, UKAMUACHA MUMEO, TULIA NIKUPASHE WEWE" - MBUNGE KEISSY
WABUNGE wa jamhuri ya muungano wa Tanzania wameanza kujadili bajeti lkuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2020 / 2021 iliyowasilishwa bungeni jana juni 11, na waziri wa fedha, Dkt Philip Mpango..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 701
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tulia ww nikupashe aliskia agonge like hpa
Ambao tunasikiliza baada ya uchaguzi like nyingi kwangu
@gkplexus2855
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@saidichilyenga2847
3 жыл бұрын
Najaribu kulike mala11 hazikai
@prophetgeorgeanointed1onli706
3 жыл бұрын
Kura mliiiba mkiona Kobe kainama anatunga sheria Usijisifu ujinga
@brunopayu5428
3 жыл бұрын
Kessy aliangukaaa kumbe alikuwa mwongo
@joanbajuta6283
3 жыл бұрын
@@brunopayu5428 n
I love the way tanzanian leaders express themselves . This cannot happen in Kenya my freind , you will be shocked to realize that your coffin has already been bought awaiting your last day . I dare this to happen in Kenya . Congratulations tanzanians people .
Waliokuja baada ya muhuni kupigwa chini tulike apa🤣🤣
@donardmsomi8451
3 жыл бұрын
Hahahaha aliambiwa tukutane kwenye uwanja wa Kupiga kampeni akaanza kumupa vijembe... Duuuhh siasa hii siyo ya mjomba wako.
@onesmocharles5801
3 жыл бұрын
Noma Sana🤣
@gkplexus2855
3 жыл бұрын
😂😂
@dismaschama5858
3 жыл бұрын
Mzeee kumbe uliambiwa mapema,,,, hahhaha nenda kavue samak ziwan sasa
@allykamanga4366
3 жыл бұрын
Amepita nani kweny hilo jimbo
Kessy umeshaoneshwa kazi na Aida oyeeeee
@rebekantiha4131
3 жыл бұрын
Umeon babe alijiharibia mwenyez tatz ni mropokaj mm ni ccm ila huy anaboa saaaan
Kessy punguza mzuka Baba hao ni wanawake misemo mingine IPO kwenye kanga zao watakuharibia siku
@burudanitv874
4 жыл бұрын
Et mzuka 😂😂😂
@faikamohamed3699
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@sifamushi1747
3 жыл бұрын
Washamkomesha...
Wabunge muko na shida sana nyinyi mambo ya kifamilia hayahusu kuzungumzwa humo, hata Leo mukitombana huko majumbani kwenu mutakuja sema bungeni jana tulitombana na mke wangu au na mume wangu wacheni upuuz huo tumewatuma bungeni mukaongelee kero za wananchi sio mipasho, mukomee na huo ujinga wenu,
@jackyluns8224
2 жыл бұрын
Umenifanya nicheke maswala ya kut........
@mahewasamwel398
2 жыл бұрын
Hahahahaha
Pamoja na kejeli zote, huyo mama alimpiga chini Kessy
@andrew29468
2 жыл бұрын
Kweli
@armortempore9251
2 жыл бұрын
@@andrew29468 Malipo hapa HAPA
Kama unatokea Rukwa na unajua kuwa hakuna jimbo lililo nyuma kama Nkasi ,ndo utajuaa kuwa huyu mbunge hafaii kabxaaaa ni mropokajiii tuuu
@liliansamson674
4 жыл бұрын
Le Eagle Propeller acha upotoshashi wewe unadanganya humu kwa kudhania wana Rukwa hatumo humu, mpumbavu mkubwa
@mobisamabera5196
4 жыл бұрын
Mzungu uko vizuri vipi!? Brainwashed Idiot
@masuaugustine7503
4 жыл бұрын
Bunge sasa limekua lamipasho na mbowe kalewa sijui tumewatuma icho wanachokifanya uko
@gregoryntibani6640
4 жыл бұрын
Kessy kafanya kazi. Usipotoshe umma kwa uongo wako. Tunapajua sana Nkasi. Namanyere ya zamani siyo ya leo.
@ericksimbeye3256
4 жыл бұрын
Ndugu Jimbo la nkasi linamaendeo Sana hata haliwezi fikia kalambo,,,
Waliokuja hapa baada ya huyu mchizi kupigwa chini tujuane!
@christophertarimo5047
3 жыл бұрын
Ahahahaha amepata balaa🤣
@ephremmtuya3094
3 жыл бұрын
kwa kweli ndiyo maana amepigwa chini
@maryoswad7022
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂duuuu amemuacha mume kwa kupata ubunge
@yusufuheri6524
3 жыл бұрын
@@maryoswad7022 yahni hakika dunia ina kwenda kasi sana
@kambiyusufu7709
2 жыл бұрын
Yani😅😅😅
Natokea Nkasi ameongea ukwl 👌👌👌👌 Barabara ni kama zote
Mh vijiji vyote namanyere vina umeme kweli, mzee acha uongo, ipanda, mkole mwambao wa ziwa pamoja na wampembe, wana namanyere gonga like km unaungana nam, kweli wabunge nkasi tunao tena wako makini na yao duu n hatari sana
Ha ha ha povuuu, ila mzee ameeleza vizuri sana, takwimu anazo.
@peterkatumain2299
3 жыл бұрын
Kweli bro
Duu aisee! Hii haijakaa poa. "Mwanamama kaachana na mumewe baada kupata ubunge"!!!!
@makenebartazary2236
4 жыл бұрын
😂🤣😂🤣😂🤣 ni shidaaa
@ulimwengu5599
4 жыл бұрын
watanzania mnapenda umbeya sana.Yaan upupu wote aliosema Kessy umebeba wa kuachana na mwanaume!.
Kessy ana kipaji, anajua kusuta na hata taarabu tu aweza huyu. Kaa! Ndoa yake nlinakuhusu Nini Babu! Lete sera tu. Unachamba Kuzidi Dr. Kumbuka
@magynzioka1122
3 жыл бұрын
Hahaha tz kila mtu mchambaji😀😀
@fatumachagudadui3138
3 жыл бұрын
Na hiki ndcho kilichomuangusha
Baadhi ya wabunge wa viti maalumu wanakwama sana kuhusu taarifa za kweli. Wanachukua taarifa za vijiweni zisizo za kweli wanakuja nazo bungeni, hawaendi site, matokeo yake kwa kweli ni kukwama sana tu! Wangebadilika ingekuwa vema sana.
Hay mazuri yote puumpaka chini...huyu mzee alikuwa mpuuzi Sana ndani ya bunge...ya kwapi sasa..
Safi kabisa baadhi ya wanawake ndio tabia zao pumbavu kabisaaaa😀
@sadatisabihi3818
2 жыл бұрын
Ahhahahaaha
Hekima ni muhimu sana hasa kwa watu wazima
Rais Magufuli toa onyo kwa watu wanaongoza kubeza wenzao bungeni. Bungeni ni mahali pa kuwafundisha vijana wetu nidhamu za kazi sio ujinga kama wa mzee Kessy. Mwisho watu wa Nkasi tumechoshwa na wabunge wa aina ya Kessy bungeni. Vijana wa Nkasi nafasi hiyo iko wazi. Kessy ni mbunge mdhalilishaji hatakiwi arudi bungeni msimu ujao.
Watching from Kenya
PUMBAVU KABISA Yaani kapata ubunge akaona MUMEWE HAENDANINAE!!! HUYO NI MSALITI IPO SIKU AIKISHAWISHIWA ANAWEZA KUUZA NCHI HAFAI KUWA HATA MJUMBE WA NYUMBA KUMI
@eventelias3566
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@emmyally5335
4 жыл бұрын
ahhahahahahahahaha niache jafari
@rehemaradhid5716
4 жыл бұрын
Yaani mmm anatisha
@peterbenerd7367
3 жыл бұрын
Tafadhali eshimuni ndoa za watu
@juliusmkopekwa336
3 жыл бұрын
Sasa uko wapi
🔝😇😇 matokeo yake Chiniiii! Daaah siasa noma Sana
Ila Wabunge wengi ni bendera Kufuta upepo leo tumepata Rais mzalendo na wenyewe wanajifanya wazalendo sasa hata hatuwaelewi
Kama mtu kaachana na mumewe hayo ni mambo yao ya ndani yanahusu nini hapo bungeni si mahala pake. Shame on you mr kessy
@burudanitv874
4 жыл бұрын
Ikumbukwe tu mwanaume akiwa na pesa ataka na mkewe hta kma demu uyo hana hela lkn mwanamke akipta laki 3 tu ttzo ndani
@evalineemmanuel8178
3 жыл бұрын
mzee mzima haata aibu jaman uyo sisaw na mwanae mbon watu awanabusar wal heshima mbunge mzima ten mwanaume anamipasho km mwanamke uko bungeni akun nidhamu jmn
My favorite MP ever Ana trend kuliko hata wasanii wa Bongo flavor 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤣🤣🤣
@magynzioka1122
3 жыл бұрын
Uyu die yule wa pilau kuku
Hahahahah Mh Kessy we ni noma ila kwa maelezo yako nimekuelewa sana umetoa takwimu nzuri sana hakika huyu mbunge haelewi chochote kinachofanywa na serikali kwenye jimbo lake.
Mzee, kinywa Machine ya Cherehani😊😊😊
Safi mueshimiwa kesi ao wamama wabunge wakisha pewa ubunge wana ona wana weza kulala namwana ume yoyote mpaka kuwakimbia waumezao wenyewe wakiacha wanaonekana wana onewa
@jorampaulo7008
4 жыл бұрын
Peter John ulitaka waje kwako mwenye kibamia
Acheni ujinga tunataka kujua nnchi yetu inaendelea VP kiuchumi,,,, tuliwachagua muongelee mambo ya ndoa bungeni!!? Ilo nibunge LA matusi,,,, jieleweni
@ambitiousholyspirit395
4 жыл бұрын
Hivi nchi hii hakuna wasomi wa kutuwakirisha!!
@jonathankizindo2817
4 жыл бұрын
Wanaoongea sana ndiyo wanaonekana wazuri hatari wasomi wa wakujenga wana nafasi finyu
Mzee kessy tumia busara ya utu uzima uliofikia...ccm hamtamfikia Aida...huyu ni another level
Hakika bunge lilikuwa lime chemka sana yaani 🔥🔥😀😄😄 sio sasaivi uchawa uchawa tu mara ana upiga mwingi mitano tena 😄
Oyoooo 🤸🏿♀️🤸🏿♀️🤸🏿♀️🤸🏿♀️Bungen Kumenoga 🤣🤣🤣
Mama Samia mchukue uyu dada awe mbunge wa CCM mana Ana confidence ya kutoshaaaa
Ally kessy jeuliyake imeishia wapi hatimae mungu kampigania aida hakika aida amemshinda kwa kishindo pia mungu alikua nakusudio lake kutuondolea mwarabu huyu na kutuletea dadayetu kipenzi aida j kenani
Jamani bungu la Tanzania noma tulia nkupashee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kessy mwisho sana
Jamani huyu mzee kwa umri wake hana cha kupoteza,lolote atakalo ongea yuko sawa tu. Pia nahisi atakuwa kalelewa zaidi upande wa Mama,si kwa mipasho hiyo. Ila wananchi tuwe makini sana kuchagua watu wa kutuwakilisha. Naona umefika wakati tuangalie na umri.
@saidismailhamad3229
3 жыл бұрын
Ukweli unaumaeeee mkipata ubungetu mnaachanana waumezenu wanawakee vitimbi kuliko shettan mlaaniwa wakipata haooo
Wafuasi wa mlevi oyeeee Tujuane apa👍👍👍
@letshikuku39
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂mwaka huu Mbowe atakoma au atazidi😂😂😂😂 si kwa mipasho hii
@kibwanamohammed5836
4 жыл бұрын
wakati wenu utafika za vichwa vibovu utafika atuwezi watu wasitalabu wakipata?nchi itatulia ngoja amalize mkabila mwezenu
Yani wabunge ndani ya bunge baada ya kuzungumzia mambo ya nchi itaenda mbele vipi wanapigana vijembe tena Wanaume wanashindana na wanawake na kujipigia kampeni Shida kwa kweli
Kessy kapaniki.. huu mchezo nomaa Sana eti mkakutane kwa mbowe
@reubenmuganyizi4712
4 жыл бұрын
Kiukweli, mbunge Kama huyu hafai, Mimi ni mwana ccm, lakini huwa sishabikii huyu Mzee, huwaanatukana tu.hana hoja, Eee jamani yaaani naomba Mungu asirudi bungeni hana staha kwanza amezeeka, akacheze na majikumu
@jimmysameji4746
4 жыл бұрын
Mzee wa mjini huyo.Kaniacha mbavu sina
@hamisimussa2228
4 жыл бұрын
@@reubenmuganyizi4712 wewe sio mwana ccm
@janekikoti2179
4 жыл бұрын
@@reubenmuganyizi4712 Wewe ni chadomo tu usiseme ni ccm acha uongo
@reubenmuganyizi4712
4 жыл бұрын
Una maanisha kila mwana ccm, ana shabikia ujinga?au matusi?wote hatuko hivyo Kama wewe" jifunzeni kukua usiwe na fikramgando, kwa kila kitu. ,hivi kwa huyo Mzee kesy "Kama kijana unajifunza nini kwake, cha kujenga Taifa letu. Uwe ccm au chama kingine tumejifunza nini?
Kapata ubunge tu kaona mume sio kitu tena c wamana funuana hovyo hovyo wenyewe kwa wenyewe
@musamusa6374
4 жыл бұрын
huyu mama ni jirani yangu ajamuacha mumeo bana
@rehemaradhid5716
4 жыл бұрын
😃😃napita watamaliza wenyewe wamesema tutakutana
@pleonardkashatila4555
3 жыл бұрын
Na wamemalizana kamwamngusha kessy
Spika Ndungai alijimuacha Kessy azungumze yote🤣😂😂🤣🤣 duh! Kessy akaona hisiwe kesi ngoja amnyooshe huyu Dada.🤣🤣😊 Uzalendo ulimshinda akaona haitoshi na lile la Mume wake akampa.😂😂🤣🤣😁😄😅🥰
Huyo mama kapata ubunge tu kamuacha mme .sasa akipata urais atachinja watoto wake
Kazi kweli kweli
Hongera
Huko nkasi mmekosa watu ? Mnamlete Huyu mwehu bungeni
@amnemasiku3515
4 жыл бұрын
Kwakweli wabunge hatuna tanzania.wanaume mmepewa makoromeo.lakini kama hamna.
Powerful
Nomaa
Maneno hayo ndio yamekuponza, imekula kwako
Huyu mzeee alipaswa ashindwe kabisa haiwezekani umtukane MTU mambo yake ya private mbungeni hata kama ameachana na Mume inakuhusu nn upuuz tu
Jamani Bunge mbona mnakuwa hivyo mnashushuana sana. Heshimuni ba atakidogo.
Waambie mzee Kessy kazi yao kubwa kulala na Mbowe hadi wanaachwa na waume zao, shame on them
@mjombamjomba1887
4 жыл бұрын
Duh Mtihani huu
@dedanmwasongwe1675
4 жыл бұрын
Ww ulilala na babako mpk katoa bi
@ratifasalumu4021
4 жыл бұрын
Umezeeka rud karime ww
@jorampaulo7008
4 жыл бұрын
lilian samson kama wewe unaamini kuwa wanafanywa na mbowe wote hawa basi bado wewe
@winfridakavishe6473
4 жыл бұрын
Uliwashikia mguu kwan
Binge limekosa muelekeo waheshimiwa hawajitambui inasikitisha sana
Hata hivyo mwanamke Ni kiumbe chenye uwezo wa kubadilika haraka Sana akipata nafasi kubwa anaweza hata akakutoa uhai wako ndo maana tunaambiwa tuishi nao kwa akili
Ukweli wako umekuponza Baba, pambana kivingine Mungu yupo
kwa umri nilio nao nimesikiliza mabunge mengi hili la sas linatia aibu na fedheha na kumkufuru mungu matusi ni dhambi,spika endelea kuwa mkali bunge lako halina maadili,wapiga kura wenzangu tuwe makini uchaguzi unakuja ,hakuna kosa baya kama kukosea kuchagua mwakilishi wako,MUNGU AWASAMEHE.
Jaman waheshimiwa wakat mnajadili hayo msisahau wananchi wa mkalamo tunateketea kwa uchelewaji wa madokta kufika sehemu yao ya kaz
@youngloyclassic3173
4 жыл бұрын
Eti wao wanasutana Tz yetu hii ila tutafika tu
Naomba niongee kuhusu serikali za mitaa, kule Mimi nilifuatilia mwanzo mwisho, ccm milivuruga uchakuzi, mkashinda isivuo takiwa, hapo siwasifii, maana taangu kujiAnfikisha liona kituo Hadi kituo, na baadhi ya maeneo wanao andikisha walikuwa Wana sema sikufahanu na mtu anae kataliwa ni mtu amezaliwa maeneo hayo wanamuona ,anasoma chekevhea,shule yasingi ,sekondali, na kilasiku tunao vijana kwenda kujiAnfikisha wanaambiwa hatukujui wewe SI mkazi waeneo hili, Sasa ,form za wapinzani mulileta mizengwe, hapana ,na mtumikia Mungu ktk hili mbunge umejigambo ziro,
Mzee zima povu sasa ya nyumbani kwake yanakuhusu nini ongea haoja ilio pigwa ukiona hivyo nikweli kama sio kweli asinge toka povu hivyo
hongera
Mzee umepigwa chini nenda ukalime.🤣🤣🤣🤣
@ambitiousholyspirit395
3 жыл бұрын
Akalime
@berthandollo3227
3 жыл бұрын
Lopo lopo tu
@omaryntagala3740
3 жыл бұрын
Yeah
Kaulewe ww sasa kimekuuma masikini njaa tupu pole sana mwarabu mfupi jmb bunge km lako kubari tu umetolewa kalehe vijukuhu tu sasa
Pls can Kenyans learn from Tanzania , responsible people ever, a working Parliament ,
@mkenyamzalendo4130
2 жыл бұрын
Responsible aje kuwadararisha wanawake kijianzia ndio tusome. Mbona kaingisha maisha ya kinyumbani ya huyo mbunge mwanamke?
@katemachanda7035
2 жыл бұрын
@@mkenyamzalendo4130 Zaidi ya uzalilishaji je hukusikia takwimu ya kazi alizozifanya!?? Ndio mwenzio anakisema hapo, huyo Mzee kazushiwa jambo akapanick lkn maelezo yake mengine yamebeba ni jinsi gani alivyo responsible.
Mambo hayo siri zinafichuka. Lkn mmeyataka wenyewe. Mnaongpa bosi kavamiwa kumbe kaenda geto lengo kuichafua serikali. Mmechokoza nyuki ngojeni ziwatafune. pumba nyie.
Mmmh yangu macho
Kessyyyyyyyyyyyyyyyyyyy!
Kessy noma
Uko vizur Mzee Kessy!
Mambo ya mtu binafsi sio ajenda za Bunge jamani wacheni kupotezea taifa muda.tanzania unahitajika kupaaa juuu afrika na dunia. sasa Kwa mijadala ya Nani kawachwa na Nani tunarudi nyuma
Huyu pumbavu kweli kama kaacha mume wewe inakuhusu nini wala sio siasa hiyo mzee mshenzi kwanza huna uasili ya tz tafuta kwenu wapi
Huyu mzee si mpendi hata kumuona ya ovyo sana huyu sidhani kama mwaka huu atapita
Duh! Ugali jamani uache tu😂😂😂
Ni fire
Kessy ni mwehu!!!!
Hivi wana sema buge tukufu bunge tukufu unaweza kuongea upumbavu kama huo mahali patakatifu ukafanye ni sehemu ya kumdhalilisha mtu kweli mungu anakuona wewe nimzee amba huna hata hekima
Mzeee yupo powaa sana
Aaaah mateso ni makubwa sana kwawatu wahali ya chini Mheshimiwa kesi hiyo mipasho haitusaidi tunaomba ukweli mafuta hayakupanda bei? Ifute kauli
DJ Mbowe hanawala mzigo wote hawa wabunge wakike kina mdee na wenzake mpaka wanawacha waume zao Cheza DJ Mbowe
Babangu Kessy unachamba hatar,unamzidi Mwarabu wa Kizaramo aisee😂😂😂😂
Bibie kapswa proper😀😃😄😁😆😅
Mbona watu wazima lakini adabu hakuna? Na spika wao anatetea haya, yaani watu wammnatafuta sifa, wanajua wakitukana watapewa uwaziri,
@lemjikayugwa9992
3 жыл бұрын
Mwanaume.anabishananamwanamke
Ndugai anakenyua meno kwa maneno machafu anayotemwa bungeni
Hawa wabunge Ni kudhalilishana tu, yaani personal issues zinatawala zaidi kuliko maslahi ya nchi.
Mungu msamehe huyu mzee
@mahewasamwel398
2 жыл бұрын
Akusamee wew
Hapo hekima liko wapi kwa wakuu naona kama mambo ya uswahilini wanawake wanaposutana hii inashangaza sana!! tunaelekea wapi?wa tz ee mungu tusaidie
Am finished 😂😂😂😂hivi bunge letu la Kenya likoje.... Naomba tu niwe raia wa kitanzania mumenifurahisha
@caesarfranc
3 жыл бұрын
Let's switch places
@violetmageto7134
3 жыл бұрын
@@caesarfranc sure
Noma sana kapata nafasi akaona akale bata na masela
Jamani nakupenda bure mweshimiwa kesi
Kessy umeona faida ya kuwa mtu wa majungu Bungeni, bado Lusinde na Msukuma.
Hatarii
Nyinyi wabunge munatatua au muna sumbulia au hizo pesa ni za kwenu au ni za wananchi
Kwahili lakumuacha mume msg send kwa mwanawake wote wenye tabia hiyo, wewe mzee iv kamuacha kwa kutendwa inje na waume wengne Au talaka kabsaaaa
Mm nimefurah tu apo Mzee akisema tulia nikupashe😀😀😀😀 wewe hujui chochote.
daah yaani alivyopata ubunge tu akamucha mume wake
Tukutane kuleee nimeipenda ntu chaliiiii🤣🤣🤣
Tulia nikupashe hujui chochote😂😂
Jamani
Ubunge wangu Kenya tunataka mbunge Kama wewe...
Ninyi wanawake mungu anawaona
Magufuli ndio rais bora Duniani, CCM ndio chama kikubwa duniani,
@wanjemulina3423
4 жыл бұрын
Good for you
@jamesswai6583
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@hassansalum5362
4 жыл бұрын
Wewe toka Magufuli awe Rais kitu gani alichofanya ambacho wewe umefaidika ktk maisha yako