ZITTO KABWE: "Tulieni Niwapige Nondo, Hamna Pesa Nyinyi"
ZITTO KABWE: "Tulieni Niwapige Nondo, Hamna Pesa Nyinyi"
Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe ameambia serikali kuwa inapanaga kutekeleza miradi mikubwa ili hali haina pesa ya kutekeleza miradi hiyo ambayo ameielezea kuwa ni gharama kubwa.
Tupate taarifa kamili kutoka kwa Catherine Kahabi…..
Akichangia hotuba ya Bajeti ya ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Zitto amesema kuwa licha ya kujigamba kuwa serikali ina uwezo wa kujenga mradi huo lakini ukweli ni kwamba haina pesa ya kufanya miradi hiyo.
Awali akitolea ufafanuzi suala hilo waziri wa Ardhi, nyumba na Maendeleo ya makazi William Lukuvi amesema, suala la ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme wa stiglers linamanufaa makubwa kwa taifa.
iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Пікірлер: 321
OMG! What is on Zitto's mind, he is so bright, #his brain is full of fact.
kweli huyu jamaa nomaa xana anaongea point kama jina lake zito
daaaah 🙌🙌🙌🙌zitto we noma nimekuelewa
Zito kabwe ww nakukubali sana
Wapige nondo. Safi sanaaa
jama zitto mungu akulinde
daaaah kichwa kimoja cha ZITTO kabwe weka vichwa 200 vya wabunge wa fisiem .😂😂😂😂😂😂😂
@cresporhofficiallking1866
4 жыл бұрын
Duuuh @zitto anabalaa ok
@sostentumbu6045
4 жыл бұрын
Duh
Tunakuombea mbunge wetu... We loves u!!!!
Ahsante Zito,Akili kubwa vs akili ndogo! Nafasi walizokalia zinawapwaya na hawataki kuonekana vilaza!Wape shule master!
Pesa wanaiba wanayo 👏👏👏
Asante kk nondo nimeziona!!!
Amen Amen. Mzee Lukuvi nenda kijiji cha buiko uko korogwe tanga kasikilize kilio cha wananchi . asante. Mungu akupe hekima. Amen.
Uko vizur kijan Mungu azid kukzixhia uzma n aman uzd kufany makubwa /gonga like hap kam unamkubl Zitto kw hoja n mambo yake
Yani ingekuwa possible ningewachukua serikali yote ya CCM niwaweke mahali halafu tuwape hawa so called mapinzani for only one year, ndio Watanzania wajue kelele nje ya uwanja ni rahisi
Zito apo big up lakn we mubeya. Sana kah
Bro well grasped
Hongera sana zito kwa hoja yako nzur ikiambatana na mifano hai.
Nmeipenda hoja ya Zito pamoja na aliemfatia amegusa vitu vya kisomi sana
@muhsinmwambule9128
6 жыл бұрын
Shabani Yunusi, Ni vigumu/ngumu sana kujenga na kutetea hoja na yule ambaye anatumia ushahidi tena wenye uthibitisho, halafu wewe ukatumia fikra tu, wakati jambo lenyewe linaenda kihistoria.
one love broo zito
Nani yupo tena hapa baada ya Bunge kumalizika leo tarehe 16/6/2020?
haki nyinyi wabunge mkicmama kama zito tutaona uelekeo wa nchi yetu. Mungu mlinde zito
Ya Allah,,,,tujaalie nchi yetu ,,amani ,upendo na mshikamano ,,,tujaalie uwezo wa kutatua changamoto zetu,,,,,tujaalie umoja,,,,sote ni ndugu
kweli wapinzani wanafanya kazi ya. wananchi
Baba wa kigoma wew nirais wakigoma kwamwendo huu lzima kigoma iwe kisiwa tujitegemee,, mungu akulinde imara
zitto ww ndo maana mm.nakukubaliii👏👏👏👏👏
@ahmadikitwana7027
6 жыл бұрын
Nasra Hussein kwa lipi sasa!! Zile unazoambiwa changanya na zako.
@bugabyarugaba8852
6 жыл бұрын
unamkubari? walio mtoroka kwenye chama ndo wanamjua wewe in zuzu hujuwi kilichoko nyuma ya pazia
@nasrahussein8408
6 жыл бұрын
Buga Byarugaba Ww uko na mtindio wa UBONGO ninda mirembe
@nasrahussein8408
6 жыл бұрын
Buga Byarugaba Wewe ni duwaziii Amkaaa
@vicoaron467
6 жыл бұрын
Nasra Hussein zito noma
zitto maaskofu walishaona kitambo wanaojifanya wazalendo ndio wezi Mungu amemuumba
Nasari IMF hawajawahi kuwa marafiki ktk miradi mikubwa ya maendeleo,issue ni nini kifanyike kupata pesa ya huo mradi,ila pia tujitahidi sana na gas litumike vizuri at maximu capacity
Sawa ztto👏👍
vizuri sana waziri wetu Lukuvi huyu Zitto hajui anachofanya
Pesa ipo .... Kusema pesa hakuna huo NI ukiki au ugonjwa wa maisha ..... serikali hii pesa sio kitu chakuuliza.....ipo . Chamsingi acha tuone mradi utasimama au utaanguka . Otherwise tunaenda ktk uchaguzi , wakuanza kuaga viti anzeni kuviaga mapema TU kiroho Safi maana Kama pesa za vikao Kama mlinywea ugimbi basi turudi kwenye udalali wa vyumba mitaani
#Wewe..Zit0..Mungu..Akujalia..Sana..Maisha..Marefu..
Big-up kamanda Zitto piga nondo.
"MNAFANYA SIASA, ILA UKWELI MNAUJUA" Duh #ZITTO ANAJUA KUWAKABA KOO.. #CAG
Daa mungu atusaidie
Afazali kidogo zito mambo yakuadamana, namengine kama hayo umewaachia Mh, Lema , maaskof nawengine WW TUMEONA KUA UNAFANYA UPINZA ULIO KOMAA NA ULIO ENDELEA saf Mh zitto saaaf kabiza ,, tumeona madiwan wa ccm na saiv stigrag .. Saf
@hudhud2022
6 жыл бұрын
Heli Ernest Ndio upinzani unavyokuwa hawa wanajitahidi lile wengine jengine maandamano pia yana umuhimu wake kwa nchi zenye democrasia ya kweli Uingereza juzi waliandamana kupinga Serikali yao wasende vitani Syria hawakuguguswa hata na nzi askari hata silaha hawana ndio kwanza wanawaelekeza watu njia ya kupita kwanini kwetu yazuiliwe
@absyabdallah1873
6 жыл бұрын
Mandamano pembeni, magufuli kashatoa amri huyu akamatwe
@daudijohn9007
6 жыл бұрын
Heli Ernest
@nurumohamedi9972
5 жыл бұрын
Pole kaka keke za chura hazimzuii fisi kunywa maji zito na kelele zake ni bure tuu kamahakuna mabadiliko kwa wasioona shida za watu.
Eti tulieni niwapige nondo! Zitto bhana, wapige nondo baba
@nurumohamedi9972
5 жыл бұрын
Wewe mbulula inaonekana hujakulia kwa wastaarabu kwani matusi ndo dili?.
@alvangidion9366
4 жыл бұрын
Sasahvi vipy , je pesa haipo au mradi haujengwi,, mwambieni zitto aseme Tena,
Etiii hamnaaaa hawanaa helaaaaaa😂😂😂😂... nan kasema ilo amenikosha kwel🙌🙌🙌
@justinajonathan1557
3 жыл бұрын
K
Pamoja sana
Hii kauli ya bwn LUKUVI ni kinyume na ile iliyotolewa kipindi kile walivyotaka kuzalisha umeme kwenye mto malagalasi huko Kigoma Nakumbuka kuna wazir alisema pale kuna VYURA aina yake ambao ni kivutio cha watalii. Hadi Leo kule kwa akina zitto KIGOMA hawana umeme wa kujitosheleza...!!!
Respect
Hata kama watu hawatoi comments angalieni like ziko ngapi hii itatoa majibu
nawakubalii sanaaa aitheeee
I'm optimum.
Mlipinga ujenzi wa bwawa la Nyerere na la leo limejengwa
Watoto wenu wanasoma kwenye hizo shule mnazo zijenga huko kwenye national received?pumbavu kumbe enheeee!!!!
Hahahaaaa.eti wana pesa.maisha yamekuwa mkwamo mkubwa wastaafu hawapewi madai yao.
safi sana kaka angu
Pesa hamna ninyi, mnakopa kimya kimya.... Haahaah tell em Zitto
@josephkobelo5579
6 жыл бұрын
zito kiboko yao
@dovicochristopher5388
6 жыл бұрын
yohana haule Hawa ndo wabunge mzee
@allysanani5967
6 жыл бұрын
yohana haule kwann viongoz kama hawawasipewe nafac katika taifa ili watuletee mandeleo
Hamna....hamna hela!!
Zitto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💜💜💜💜💜
Uyo si ndio aliyempemsafirisha mke wake USA kwa ajili ya kujifungua ( tz hakuna hospitali ya maana, hakuna umeme) na hakutoa taarifa ya kutokuudhulia vipindi vya bunge?
zito kichwa chako kina charenge sana yan wanapaswa walau kuku pongeza
ushauri wangu wa Tangazo la hiyo app, mumelezea mtu download hiyo app, Lakin munapaswa kumwelekeza mtu sehemu ya kuingia na kupakua hiyo app, musiji elezee nyie, elezea user, wangapi wanajua google play store????? Onesha jinsi ya kuingia google play store na jinsi ya ku pakua
Sema wachu sema wachu kigoma moja
Really fact.
Kila siku sera ni zilezili, kujenga barabara, vituo vya afya, shule, maji, umeme, hizi sera zitatekelezwa lini? Jiulize ungekuwa unagombea nafasi ya uongozi ulaya au marekani ungeongea sera gani? mana kule hamna hizi sera.
Hawa jamaa sitawaamini hata kidogo, leo wanauliza pesa ziko wapi wanataka waletewe pesa bungeni waambiwe pesa hizi ili wabadilishe maneno!! Waliwahi kusema kuhusu mkataba wa muungano!! Mapovu yaliwatoka kweli kweli kila mtu akajua inawezekana kweli mkataba haupo, Kikwete alivyoupeleka bungeni, wakabadili maneno kwamba sahihi ya Karume imegushiwa sio hati yake!!leo wanasema pesa hakuna wakionyeshwa watabadili maneno ndio zao hizo, tangu siku ile nilipoteza imani nao kwa kila wanachoongea najua wanauza sura tu.
Nakupenda sana zito
nice
Zitto, Zitto! Hydro-power haitumii maji quantitatively. Hydro ni non-consumptive user wa maji. Hydro inachuma energy na kuacaha maji yaendelee. Jengeni argument zenye shule!
@jumajasjas2925
6 жыл бұрын
CL T uo uchunguz umefanya ww kweny uo mrad au unakariri kila ktu hujui athari... ushaambiwa maj yamepungua unadhan ukiondoa izo lita zote kueka kweny bwawa la umeme utaathir shughul ngap za kibinadam.... Suala sio umeme suala n kufanya uchunguz kipind hiki na sio kufanya vtu kwa uchunguz wa enz za mwalim
@chrisselite
6 жыл бұрын
Maji ni limited resource au unlimited? Kwanza jibu hapo. Halafu umeambiwa toka 1974 mpaka leo kuna asilimia 40% zimepotea... Sijui mm sijasikia
@chrisselite
6 жыл бұрын
Halafu kwann mara gas, mara stigler ?
@salummakullah9031
6 жыл бұрын
Wewe ni mhandisi wa wapi? Umekalili si ndio ya kwenye vitabu eeeh??
@hamzaomar9731
4 жыл бұрын
Hhhhhh huyu nae kanichekesh , ukaseme nin ww mbele ya Kabwe , ijue nafas yko mda mwengine hhhhhhhh
Et muda muda,yaan wabunge wa CCM sijui wamelogwa
Dah ingekuwa chaguzi ziko huru huyu jamaa anatufaa sana
zitto ukitulia sehemu moja ni mtu mzuri sana ila wakati mwingine sijuh huwa unawehuka na nn
Zitto hauko objective issue ni mradi ukamilike au kutokuwa na pesa na kama pesa hakuna tufanyaje?
@manonimshindikwa1974
4 жыл бұрын
Umesema Jambo kwel awe specific afu aseme kwa umoja Mana SS wote watanzania habar za kusema wanabomba inamaana anajiexclude
Mazwazwa ndani ya bunge kazi yao taarifa tuu
" Don't Denny facts"
Huku private sector usipofanya tathimini za adhari ya mazingira .....utaishia kulipa faini ...serikali yetu inatakiwa kuwa mfano kwanza
Ila hawa jamaa wanaakir sana naona mungu anamakusudi kuwaweka upinzan
Kama zipo hizo pesa ajira tafadhali tunahitaji.
Zitto siku zote hutaki maendeleo ya Tz. Bahati yetu wenye uchawi wao walikufa nao. Tungepata tabu sana.
Wabunge waache siasa waziri wabanwe nyinyi ccm wabunge tumewachagua muwabane mawaziri sio taarifa mwenyekiti kuvuruga hoja msiangalie matumbo yenu watu wananjaa
Ukweli huyu bwana zitto yuko vzr namkubali sn natamaani kukuona ukiwa president wa tz
Kwenye mambo ya maendeleo ya nchi vyama vingine kwa kutumia viongozi wao.
🙋
Wewe ZZK njaa tu wewe huwezi kuwa sawa na lukuvi wewe kuwadi wa mabeberu
Zitto wewe na Mimi ndio hazina ya nchi hii ya Tanzania
ZITO KWELIIII
Seen
Hahahhaahha serikali bana yaaaan kila kiongozi anajitamba ana hela alafu badae analalamika pesa ya miradi jimboni kwake haikuja kabisa wengine zilikuja kidogooo
Hawana pesa blabla tu yan wabunge wa ccm zero brain tena kusud wanafanya wamfurahishe mwenye chama et tulieni niwapige NONDO Zito JIWE....
@desdelemmanuel227
4 жыл бұрын
Nilijua utamsifia maana una mahaba naye.
@alvangidion9366
4 жыл бұрын
Ila Sasa hivi mradi unajengwa, zitto now vipy,,
fact should speak itself
Hahaa! Kweli hizo nondo. Tena za moto. Likuvi kumbe wewe boga tu. Hamjumbuki bandari ya Bagamoyo nayo iliwashinda?
Tanzania kuna park nyingi sana hainasababu ya kuzuia chanzo cha umeme acheni kutumika
Woyooooo zitooooo
Hawana hela hao siasa tu hizo.
Eti tuwapige NONDO huh... Mhe. Zitto bhna
@nurumohamedi9972
5 жыл бұрын
Huamini au ?.
Serikari Haina hela, lukuvi unatudanganya!;!!!
2020 zito kura yangu unayoo
What happened to Mbowe yesterday at hos home must be s lesson to other multipulating and fake Politicians like Kabwe and Others
kuna haruf ya ufisad apo kweny huu mradi.... maana hawasikii la mdani sala wala saut za kanisa.... wangekomaa na gesi kwanza na sio kutafuta kaul za kweny kampen kwa kitu ambacho hawajakifanyia uchunguz wa kina
ukiishiwa nondo nakuretea zingine chezea Zitto nondo
@happyfiverickaldo4662
5 жыл бұрын
Hatariiiii upinzani sihami Leo wala keshoooo
@jumanyangi4330
5 жыл бұрын
tulia niwapige nondooooooooo nyinyi ccm hovyooooooooooo sana kazi kupiga makofiiiiii fyuuuuuuuuuuu
Jamaani ukweli utabakiya kuwa ukweli
kuna vichwa Tanzania jamani, ni vile tu hatujataka kuvitumia kwa maendeleo ya nchi.
Hata Mimi suelewi mpango wa gas umeishia wapi?? Na unajengwa mwingine .
Zitto umewapatia sana hao maboya
Zitto wale wanao sema elf mbili na ishirin huenda usiwe mbunge washindwe kwa jina la yesu
Kiukwel am real not proud to be a tax payet at this country! Mnatukata hela kwenye mishahara yetu wi no social service supply na mnatumia fedha zetu az u wish! Not fair, ingekuwa nchi zingine watu wange dai hiz hela zao wajue zimetumikaje for plz come and explain to us hw zis money has been used!
Hua najiuliza hivi, zzk, Nasari na wengine ambao pengine sijawaona humu; serikali inaona shida gani kukaa pamoja na hawa and then wafanye majadiriano marefu and then tufikie mwafaka wa haya mambo? Binafsi siamini kama watendaji wa serikali pekee au wana ccm pekee ndio wenye mawazo mazuri kuhusu Tanzania, hi nchi ni yetu sote; nimewasikiliza wote, Lukuvi, Zitto na Nasari; Binafsi nimeona kama Lukuvi alikua anatetea zaidi serikali (jambo ambalo ni sahihi kwa maana ya uwajibikaji wa pamoja) Lakin hakua na facts, facts nimeziona kwa Zitto na Nasari. Kama bomba la gas tunalitumia only for 6% na Zitto anasema twenda hadi 15% na tutapata hicho tunacho kitafuta kwenye mradi mpya, hivi kuna ubaya hapo kweli? Tuchangie mambo kwa muktadha wa Tanzania na sio kwa muktadha wa ccm na upinzani, it is too wrong, hivi vya a ipo siku vitakufa na vitakuja vingine but Tanzania itabaki.
Tatizo letu sisi Watanzania Ni kuleta siasa hata kwenye vitu muhimu
Hahaha, gd life has not come like dream