Zitto Kabwe Arudi Kigoma, Aongea Mazito: "Nimejiandaa Kuwa Rais wa Tanzania"
ACT WAZALENDO Wanadhimisha miaka 10 toka kuanzishwa chama hicho na kupewa usajili rasmi mnamo Mei 05,2014. Mkutano huu wa hadhara unafanyika katika viwanja vya Mwami Ruyagwa Kigoma.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Пікірлер: 56
King of kigoma
@user-ye7dy4xk5h
2 ай бұрын
Not only kigoma, whole Tanzania 🇹🇿
Hongereni ACT
@user-ye7dy4xk5h
2 ай бұрын
❤
Hongera kaka zinto
@user-ye7dy4xk5h
2 ай бұрын
❤❤
Nikweli
Together front act wazalendo ❤
Kweli mwamba
Ulipo Toka chadema pengo rako tunaliona
😂😂😂😂😂😂
Labda kama mlengo wa Dola ni kwako upewe pale mambo yakiwa magumu kwetu CCM!lakini hivi hivi ngumu sana!
Huyo akigombea anatumia pesa ya sisiem ni mzee wa Fulsa labda agombee urais wa kigoma
Mwamba huyo
Kuna watu wanaamua kukurupuka ili mradi kuwafurahisha watu.
Yuda
@user-ye7dy4xk5h
2 ай бұрын
Mbowe mtafuna milungi na mvuta bangi ,pia kin'gan'ga wa cheo cha umwenyekiti kwenye chama cha kikanda cha chadema ndo Yuda
Mkutano huu umehudhuriwa na wanawake
@user-ye7dy4xk5h
2 ай бұрын
Ukiona mkutano wanaume wanaonekana mbele ujue huo ni batili, huu mkutano umekuwa verified bcz wanawake wamakaa mbela woote , Our next president of tz🇹🇿
Huwezi kuchaguliwa kuwa Rais hata wewe unajua Zitto
Mpumbavu huyu Yuda🙂🙂
Zito ni msaliti kote kote kasaliti chadema na amesaliti CUF yaani huyu ni fala kweli
@adkajisi4536
2 ай бұрын
Aliwahi kuwa cuf pia?
@salehesalehe2967
2 ай бұрын
Alukugonga akakunyima pesa zako
Hizo zote ni kura za CCM... Katika uchaguzi mkuu ujao...
kura yangu unayo baba
XD 6:25
Nilihisi na imetokea kuwa hiyo alama yenye kiganja cha mkono hakiwezi kutolewa kwa sababa waliingia nacho kwa trik ya kuwa kinawakilisha nguzo tano za uisilam na akawa ndio kampen yao. ndio maana hawawezi kuitoa. kadi ya mwanza kabisa ilikuwa na alama ya nyota na mwezi kelele zikawa nyingi ndio wakaleta kiganja kwa kumanisha lengo lilelile.
@HamzaRashid-iq1yf
Ай бұрын
Acha hisia tofauti wewe kila mtu ananembo yke
Ni haki yako kugombea, lakini urais hapana kaka
@user-ye7dy4xk5h
2 ай бұрын
Next president of Tanzania 🇹🇿
Huyu jamaa siasa zake ni kigoma tu
@jumanneenos2481
Ай бұрын
Ana ukabila sana😂😂😂
Iskariote
Zito ACHA uongo!!
@amoslameck2601
2 ай бұрын
Kasaliti sana
Huyu mtu hata Chadema au ccm waweke jiwe na huyu zito basi jiwe litashinda na hana wa kumlaumu kwani kajiuwa kisiasa yeye mwenyewe kwa usaliti wake
@user-ye7dy4xk5h
2 ай бұрын
Siku nikichagua chadema au cuf , namuomba mungu nife apo apo😅. Kura zangu zoote zitakua zinawekwa kwa CCM NA ACT WAZALENDO. Chadema hata imsimamishe Mungu siwezi kuipigia kura ever
Labda rais wa kigoma
Huyu Ni Nani Kwenye Hii Nchi???
@user-ye7dy4xk5h
2 ай бұрын
Our next president
Huyu msaliti awe rais wa nchi gani!
@helencyprian8745
2 ай бұрын
Atatuuza wote kama mwafulan
@salehesalehe2967
2 ай бұрын
Alikulamba akakunya pesa zako acha uvhaga dema aps
@ourearthmatters5206
2 ай бұрын
Zitto atakuwa Raisi. Make msitake
@thelivingwordchannel9027
2 ай бұрын
@@ourearthmatters5206 labda awe rais wa wabembe
@ourearthmatters5206
2 ай бұрын
@@thelivingwordchannel9027 wewe ni mjinga sana. Ko unahisi wanembe sio watu?
Acheni chuki kwani mnataka rais akoje kila mtz mwenye sifa anahaki anagombea urais mbona hamsemi chadema ilialika samia na mbowe kaalikwa ikulu kwahiyo ni msaliti?
@user-ye7dy4xk5h
2 ай бұрын
Izo comment ni za watu wa kaskazini , Sasa iv yule mtafuna mlungi wao Ambe ndo m/kt wa chadema kachunda Hadi uruma aisee,
Mwamba huyo
@user-ye7dy4xk5h
2 ай бұрын
Wa Tanzania 🇹🇿