Zitto Kabwe Arudi Kigoma, Aongea Mazito: "Nimejiandaa Kuwa Rais wa Tanzania"

ACT WAZALENDO Wanadhimisha miaka 10 toka kuanzishwa chama hicho na kupewa usajili rasmi mnamo Mei 05,2014. Mkutano huu wa hadhara unafanyika katika viwanja vya Mwami Ruyagwa Kigoma.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 56

  • @user-bc2wd1sq3k
    @user-bc2wd1sq3k2 ай бұрын

    King of kigoma

  • @user-ye7dy4xk5h

    @user-ye7dy4xk5h

    2 ай бұрын

    Not only kigoma, whole Tanzania 🇹🇿

  • @amanijampion3045
    @amanijampion30452 ай бұрын

    Hongereni ACT

  • @user-ye7dy4xk5h

    @user-ye7dy4xk5h

    2 ай бұрын

  • @buchumiefremu5830
    @buchumiefremu58302 ай бұрын

    Hongera kaka zinto

  • @user-ye7dy4xk5h

    @user-ye7dy4xk5h

    2 ай бұрын

    ❤❤

  • @AkidaRashid
    @AkidaRashid16 күн бұрын

    Nikweli

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma85012 ай бұрын

    Together front act wazalendo ❤

  • @FrankMahero
    @FrankMaheroАй бұрын

    Kweli mwamba

  • @theophilmakumbuli
    @theophilmakumbuli2 ай бұрын

    Ulipo Toka chadema pengo rako tunaliona

  • @mmassfashion963
    @mmassfashion9632 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @ramadhaniathumani1025
    @ramadhaniathumani10252 ай бұрын

    Labda kama mlengo wa Dola ni kwako upewe pale mambo yakiwa magumu kwetu CCM!lakini hivi hivi ngumu sana!

  • @renatusmutabuzi7233
    @renatusmutabuzi72332 ай бұрын

    Huyo akigombea anatumia pesa ya sisiem ni mzee wa Fulsa labda agombee urais wa kigoma

  • @RamadhanHamis-pz7gq
    @RamadhanHamis-pz7gq2 ай бұрын

    Mwamba huyo

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca76022 ай бұрын

    Kuna watu wanaamua kukurupuka ili mradi kuwafurahisha watu.

  • @helencyprian8745
    @helencyprian87452 ай бұрын

    Yuda

  • @user-ye7dy4xk5h

    @user-ye7dy4xk5h

    2 ай бұрын

    Mbowe mtafuna milungi na mvuta bangi ,pia kin'gan'ga wa cheo cha umwenyekiti kwenye chama cha kikanda cha chadema ndo Yuda

  • @amoslameck2601
    @amoslameck26012 ай бұрын

    Mkutano huu umehudhuriwa na wanawake

  • @user-ye7dy4xk5h

    @user-ye7dy4xk5h

    2 ай бұрын

    Ukiona mkutano wanaume wanaonekana mbele ujue huo ni batili, huu mkutano umekuwa verified bcz wanawake wamakaa mbela woote , Our next president of tz🇹🇿

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur2 ай бұрын

    Huwezi kuchaguliwa kuwa Rais hata wewe unajua Zitto

  • @walterngowi5835
    @walterngowi5835Ай бұрын

    Mpumbavu huyu Yuda🙂🙂

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc2 ай бұрын

    Zito ni msaliti kote kote kasaliti chadema na amesaliti CUF yaani huyu ni fala kweli

  • @adkajisi4536

    @adkajisi4536

    2 ай бұрын

    Aliwahi kuwa cuf pia?

  • @salehesalehe2967

    @salehesalehe2967

    2 ай бұрын

    Alukugonga akakunyima pesa zako

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv19222 ай бұрын

    Hizo zote ni kura za CCM... Katika uchaguzi mkuu ujao...

  • @kajanksimon7432
    @kajanksimon74322 ай бұрын

    kura yangu unayo baba

  • @BinRashid-px4ub
    @BinRashid-px4ubАй бұрын

    XD 6:25

  • @amoslameck2601
    @amoslameck26012 ай бұрын

    Nilihisi na imetokea kuwa hiyo alama yenye kiganja cha mkono hakiwezi kutolewa kwa sababa waliingia nacho kwa trik ya kuwa kinawakilisha nguzo tano za uisilam na akawa ndio kampen yao. ndio maana hawawezi kuitoa. kadi ya mwanza kabisa ilikuwa na alama ya nyota na mwezi kelele zikawa nyingi ndio wakaleta kiganja kwa kumanisha lengo lilelile.

  • @HamzaRashid-iq1yf

    @HamzaRashid-iq1yf

    Ай бұрын

    Acha hisia tofauti wewe kila mtu ananembo yke

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella2052 ай бұрын

    Ni haki yako kugombea, lakini urais hapana kaka

  • @user-ye7dy4xk5h

    @user-ye7dy4xk5h

    2 ай бұрын

    Next president of Tanzania 🇹🇿

  • @afredyohana356
    @afredyohana3562 ай бұрын

    Huyu jamaa siasa zake ni kigoma tu

  • @jumanneenos2481

    @jumanneenos2481

    Ай бұрын

    Ana ukabila sana😂😂😂

  • @petermugurubi7837
    @petermugurubi78372 ай бұрын

    Iskariote

  • @ramadhaniathumani1025
    @ramadhaniathumani10252 ай бұрын

    Zito ACHA uongo!!

  • @amoslameck2601

    @amoslameck2601

    2 ай бұрын

    Kasaliti sana

  • @ivanrobert3071
    @ivanrobert30712 ай бұрын

    Huyu mtu hata Chadema au ccm waweke jiwe na huyu zito basi jiwe litashinda na hana wa kumlaumu kwani kajiuwa kisiasa yeye mwenyewe kwa usaliti wake

  • @user-ye7dy4xk5h

    @user-ye7dy4xk5h

    2 ай бұрын

    Siku nikichagua chadema au cuf , namuomba mungu nife apo apo😅. Kura zangu zoote zitakua zinawekwa kwa CCM NA ACT WAZALENDO. Chadema hata imsimamishe Mungu siwezi kuipigia kura ever

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima62102 ай бұрын

    Labda rais wa kigoma

  • @usafiaps318
    @usafiaps3182 ай бұрын

    Huyu Ni Nani Kwenye Hii Nchi???

  • @user-ye7dy4xk5h

    @user-ye7dy4xk5h

    2 ай бұрын

    Our next president

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel90272 ай бұрын

    Huyu msaliti awe rais wa nchi gani!

  • @helencyprian8745

    @helencyprian8745

    2 ай бұрын

    Atatuuza wote kama mwafulan

  • @salehesalehe2967

    @salehesalehe2967

    2 ай бұрын

    Alikulamba akakunya pesa zako acha uvhaga dema aps

  • @ourearthmatters5206

    @ourearthmatters5206

    2 ай бұрын

    Zitto atakuwa Raisi. Make msitake

  • @thelivingwordchannel9027

    @thelivingwordchannel9027

    2 ай бұрын

    @@ourearthmatters5206 labda awe rais wa wabembe

  • @ourearthmatters5206

    @ourearthmatters5206

    2 ай бұрын

    @@thelivingwordchannel9027 wewe ni mjinga sana. Ko unahisi wanembe sio watu?

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa2 ай бұрын

    Acheni chuki kwani mnataka rais akoje kila mtz mwenye sifa anahaki anagombea urais mbona hamsemi chadema ilialika samia na mbowe kaalikwa ikulu kwahiyo ni msaliti?

  • @user-ye7dy4xk5h

    @user-ye7dy4xk5h

    2 ай бұрын

    Izo comment ni za watu wa kaskazini , Sasa iv yule mtafuna mlungi wao Ambe ndo m/kt wa chadema kachunda Hadi uruma aisee,

  • @RamadhanHamis-pz7gq
    @RamadhanHamis-pz7gq2 ай бұрын

    Mwamba huyo

  • @user-ye7dy4xk5h

    @user-ye7dy4xk5h

    2 ай бұрын

    Wa Tanzania 🇹🇿

Келесі