WAKILI TV

WAKILI TV

WAKILI TV, ni Television ya mtandaoni (Online TV) inayomilikiwa na Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), kwa lengo la kutumika kama njia ya kutolea elimu, muongozo na tafsri ya sheria kwa wananchi na wadau mbalimbali ili kuwapa uelewa wa sheria katika lugha nyepesi na kuifanya jamii iishi kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ya Tanzania.

Пікірлер

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira659348 минут бұрын

    Ukiweza gombea na urais wa nchi kabisa

  • @emmanuelmziray1073
    @emmanuelmziray1073Сағат бұрын

    I stand with you Wakili Msomi Mwabukusi. (All the way from USA Texas)

  • @fatumasaidimmependezamjeng8994
    @fatumasaidimmependezamjeng89942 сағат бұрын

  • @brightergermanus2163
    @brightergermanus21632 сағат бұрын

    MUNGU AKUBARIKI MH, MWABUKUSI AKUINUWE NA KUKUPA KIBALI CHA KUIONGOZA CHAMA CHA WANASHERIA ILI UZIDI KUWATETEA RAIA WASIO NA HATIA WEWE NI MTETEZI NA SAUTI YA WANYONGE 💪💪💪💪💪💪💪

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa91312 сағат бұрын

    Gombea ubunge kwanza kiongozi

  • @saivellybrutally2994
    @saivellybrutally29943 сағат бұрын

    Mahakama nini

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo3 сағат бұрын

    TLS tunawaamini saaasna

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomhola3 сағат бұрын

    Inakuwaje Mwambukusi hajatajwa?

  • @humphreychristopher8577
    @humphreychristopher85773 сағат бұрын

    WAKILI HANA MTIRIRIKO UNAOELEWEKA

  • @jumakilongo-qz1jb
    @jumakilongo-qz1jb3 сағат бұрын

    Duh hata mama yako pengine alikuwa na taarifa kuwa una mpenzi yamalizeni, pia ujue unaongeza na watz acha kuchanganya lugha.

  • @josephpetro2968
    @josephpetro29683 сағат бұрын

    Mawakiri wote mngekuwa kama mwabukusi nchi hii ingepata katiba mpya

  • @onessytiganga4722
    @onessytiganga47223 сағат бұрын

    Sasa wenyesheria mkipigwa chini sie itakuwaje?

  • @brownmasai774
    @brownmasai7743 сағат бұрын

    Tulishangaa kuona sheria inabakwa katikati ya mtiti wa wanasheria tena na wanasheria wenyewe .

  • @jumakilongo-qz1jb
    @jumakilongo-qz1jb3 сағат бұрын

    Cku hiyo ulifanya maajabu

  • @jumakilongo-qz1jb
    @jumakilongo-qz1jb3 сағат бұрын

    Ulisikia maumivu kwani club hiyo ilifanya maajabu, na mbona kujipeleka kwanini usisamehe na vingapi umekula vyake?

  • @FilbertMsongela-xt9tq
    @FilbertMsongela-xt9tq3 сағат бұрын

    Vema sana mawakili wetu

  • @PhillipMwakibolwa-kp2fd
    @PhillipMwakibolwa-kp2fd3 сағат бұрын

    Mwabukusi Mwakibolwa hoye

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku4 сағат бұрын

    Sasa TLS kwanini mpaka mahakamani? Nyinyi kea nyinyi figisu.

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq4 сағат бұрын

    Hapa tanzania kila sehem kuna ubabaishaji mtu akataliwe kwenye sanduku la kura sio ujanja ujanja

  • @user-jt4lo1og8w
    @user-jt4lo1og8w4 сағат бұрын

    Mawakili wengi wamekuwa machawa ,ndio rais wa mawakili ,asilimia 70 ,utakuta chawa, wa watawala,❤❤❤❤

  • @EvanceMputa
    @EvanceMputa4 сағат бұрын

    Mwwambukusi uwo mdomo mbona umeibinua Sana

  • @umfahad2609
    @umfahad26094 сағат бұрын

    Kumbe ulikwenda mwenyewe kwa kiranga chako…?

  • @umfahad2609
    @umfahad26094 сағат бұрын

    Kwanza nilidhani nae huyu kalawitiwa na muomani. Kumbe tena Bongo..? Halafu ni RC??

  • @SarahAlphonce-q4e
    @SarahAlphonce-q4e4 сағат бұрын

    Kaka utapita pamoja na figusi za wakola wanaotaka kuingamiza Tanganyika mungu instill.

  • @wilsonletiet7852
    @wilsonletiet78525 сағат бұрын

    Hongereni sana mawakili wetu

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika50175 сағат бұрын

    Gombea Baba mzalendo wa Tanganyika

  • @JuliusBazil
    @JuliusBazil5 сағат бұрын

    TLS,ifanywe kuwa independet na AG na DPP,pia muundo wa nidhamu kwa Mawakili utokane na TLS yenyewe kwa maana ya kamati ya nidhamu. Kama TLS haina budgeti ya Bunge kutoka Wizara ya Sheria,mnakuwa chini ya serikali kwa nini. Utawala wa sheria ni taasisi hizi TLS,LHRC,TAWLA,KATIBA ambazo ni watetezi wa wananchi na watch dog kwa Serikali munakuwa huru kwa mujibu wa sheria za Kimataifa. Hivyo basi,kwa maoni yangu na si mwanasheria,na kama mahakama itaona ana haki ya kuwa miongoni kwa wagombea;mpigieni kura za NDIYO nyingi Adv. Mwambukusi. Anaye sacrefice maisha yake kwa ajili ya wengine,huyo ni mzalendo wa kweli na mtetezi wa Taifa na Wananchi wake na TLS yake.

  • @advocateangelambonde8857
    @advocateangelambonde88575 сағат бұрын

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @PiusMaswili-wq8wc
    @PiusMaswili-wq8wc5 сағат бұрын

    pamoja sana.nyinyi tunawaangalia kama msaada wa wana nchi

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d5 сағат бұрын

    Unaetukana umetoka wapi wazazi tumembariki

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul92035 сағат бұрын

    TLS isigeuzwe tawi la ccm

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d5 сағат бұрын

    Hongera haki haki gombea gombea bwana yesu akutanguliena mkamsimamie kula vizuri oyeeeeeee mwambukusi taa iwaake

  • @paulongodu4270
    @paulongodu42705 сағат бұрын

    Big hugs

  • @paulongodu4270
    @paulongodu42705 сағат бұрын

    Hapo imekaa Sawa, na hao waliotoa jina lake kwanza tuwaangalie kwa macho zaidi

  • @LuciaAgustino-pt5mg
    @LuciaAgustino-pt5mg5 сағат бұрын

  • @anosiata8242
    @anosiata82425 сағат бұрын

    Safi sana nimependa mawakili mlivyojitokeza kwa wingi. Mungu awabaliki.

  • @user-rl6vf9tg8m
    @user-rl6vf9tg8m5 сағат бұрын

    Hao ndio tunawahitaji

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn5 сағат бұрын

    Toeni hiyo takataka hiyo mwabukusi asipate hata kula Moja maana Hana baraka za kutoka nyumbani kwao mbeya maana anatukana na kudharau watu wa nyumbani kwao

  • @rungobakari413
    @rungobakari4135 сағат бұрын

    Unachuki binafs

  • @topfreelancer5151
    @topfreelancer51515 сағат бұрын

    Mbeya ni sehemu ndogo sana ya Tanganyika, Tanganyika inamuelewa mwambukusi. Ikiwa amewatukana atawaomba radhi

  • @farajisureman9925
    @farajisureman99255 сағат бұрын

    Mbona wewe unamuita mtu Takataka.Kweli mtu anaweza kuwa takataka?Umemtusi yeye,wazi wake,jamii inatoishi nae na Mwenyezi Mungu aliyemuumba.

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza5 сағат бұрын

    Mnyakyusa gani anaweza kuwatukana watu wa nyumbani kwao, acha chuki bro.

  • @ABBASIKANDULU-kl8zc
    @ABBASIKANDULU-kl8zc5 сағат бұрын

    Kamtukana mama yako 😊😊😊

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther59085 сағат бұрын

    ❤❤❤

  • @abdallahalwardi588
    @abdallahalwardi5885 сағат бұрын

    Mwabukusi Yuko Clearly ❤😂

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything6 сағат бұрын

    👊✌️👍.

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo58276 сағат бұрын

    Safi sana

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya16936 сағат бұрын

    Ishara nyingine kuwa Tz imeanza kubadilika.Wazee anzeni kupisha kizazi kipya.

  • @AlphaxardMRusweka-jr1wi
    @AlphaxardMRusweka-jr1wi4 сағат бұрын

    GEN Z

  • @rowlandmrosso9465
    @rowlandmrosso94656 сағат бұрын

    Kesi hii iko hatua gani sasa? Haipemdezi kuujulisha umma juu ya tukio halafu kutoendelea kuujulisha maendeleo ya kesi. Kama kuna ukweli au mchongo ijulikana

  • @mashakalukinda2350
    @mashakalukinda23506 сағат бұрын

    mweshiwa mwabukusi utashinda kwa kishindo wewe ukovizuri sana

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga63906 сағат бұрын

    Hawa ndo wanasheria wazawa ani wazalendo acha hayo mengine makuku ya kisasa

  • @mwakasagule
    @mwakasagule6 сағат бұрын

    Huyu dada ni mwongo kabisa. Kwasababu, sio rahisi kwa jinsi ninavyowafahamu wanachuo haiwezekani hizo fedha awe nazo bila kutumia hata senti tano kama anavyosema. Huyo dada kuna watu wako nyuma ya jambo hilo wasiomtakia mema huyo NAWANDA. Pamoja na kwamba huyo Mh. NAWANDA huwenda aliadhimia kutekeleza uovu huo, huyo dada kuna watu nyuma yake walio take advantage ili kumharibia Mh. NAWANDA. Huyo binti anaonyesha wazi kwamba hajatilia. Kwa wataalamu wa Psychology tunaangalia face appearance, actions, na maneno. Kuna vitu vingi aviko sawa hapo. Na huyo mama mwanasheria, mbona anataka kutuaminisha upande mmoja tu? Mbona anataka kuonyesha tuhuma za NAWANDA akipatikana na makosa, hatuambii kwamba endapo huyo Binti atakuwa mwongo adhadhabu yake ni ipi? Jamani, hili swala liangaliwe kwa umakini sana.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro66628 сағат бұрын

    TLS rudisheni imani ya wanainchi kwenu mawakili kwa sababu kama mnadhurumiana kwetu sisi ndiyo sababu tunashindwa pa kukimbilia.mimi nina kesi ikafikia mahali hali yangu mbaya sana nikakimbilia TLS ili kupata msaada nikaunganishwa na sehemu ambayo nashukuru uwakilishi lakini kilichonipeleka kukimbia umasikini huko niliko pelekwa mpaka sasa sijiwezi kipesa kwa sababu ni pesa juu ya pesa hata kupita nilikokimbia.

  • @KijaMaige
    @KijaMaige9 сағат бұрын

    Kaongo

  • @anosiata8242
    @anosiata82429 сағат бұрын

    Mwambukusi Mungu akutangulie

  • @salmajafari6838
    @salmajafari683810 сағат бұрын

    Maombi yangu kwa BWANA, Utashinda na utakuwa. Raisi wa TLS, TANGANYIKA, tumechoka na ufisadi wa SISIEMU