WAKILI TV, ni Television ya mtandaoni (Online TV) inayomilikiwa na Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), kwa lengo la kutumika kama njia ya kutolea elimu, muongozo na tafsri ya sheria kwa wananchi na wadau mbalimbali ili kuwapa uelewa wa sheria katika lugha nyepesi na kuifanya jamii iishi kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ya Tanzania.
Пікірлер
Ukiweza gombea na urais wa nchi kabisa
I stand with you Wakili Msomi Mwabukusi. (All the way from USA Texas)
❤
MUNGU AKUBARIKI MH, MWABUKUSI AKUINUWE NA KUKUPA KIBALI CHA KUIONGOZA CHAMA CHA WANASHERIA ILI UZIDI KUWATETEA RAIA WASIO NA HATIA WEWE NI MTETEZI NA SAUTI YA WANYONGE 💪💪💪💪💪💪💪
Gombea ubunge kwanza kiongozi
Mahakama nini
TLS tunawaamini saaasna
Inakuwaje Mwambukusi hajatajwa?
WAKILI HANA MTIRIRIKO UNAOELEWEKA
Duh hata mama yako pengine alikuwa na taarifa kuwa una mpenzi yamalizeni, pia ujue unaongeza na watz acha kuchanganya lugha.
Mawakiri wote mngekuwa kama mwabukusi nchi hii ingepata katiba mpya
Sasa wenyesheria mkipigwa chini sie itakuwaje?
Tulishangaa kuona sheria inabakwa katikati ya mtiti wa wanasheria tena na wanasheria wenyewe .
Cku hiyo ulifanya maajabu
Ulisikia maumivu kwani club hiyo ilifanya maajabu, na mbona kujipeleka kwanini usisamehe na vingapi umekula vyake?
Vema sana mawakili wetu
Mwabukusi Mwakibolwa hoye
Sasa TLS kwanini mpaka mahakamani? Nyinyi kea nyinyi figisu.
Hapa tanzania kila sehem kuna ubabaishaji mtu akataliwe kwenye sanduku la kura sio ujanja ujanja
Mawakili wengi wamekuwa machawa ,ndio rais wa mawakili ,asilimia 70 ,utakuta chawa, wa watawala,❤❤❤❤
Mwwambukusi uwo mdomo mbona umeibinua Sana
Kumbe ulikwenda mwenyewe kwa kiranga chako…?
Kwanza nilidhani nae huyu kalawitiwa na muomani. Kumbe tena Bongo..? Halafu ni RC??
Kaka utapita pamoja na figusi za wakola wanaotaka kuingamiza Tanganyika mungu instill.
Hongereni sana mawakili wetu
Gombea Baba mzalendo wa Tanganyika
TLS,ifanywe kuwa independet na AG na DPP,pia muundo wa nidhamu kwa Mawakili utokane na TLS yenyewe kwa maana ya kamati ya nidhamu. Kama TLS haina budgeti ya Bunge kutoka Wizara ya Sheria,mnakuwa chini ya serikali kwa nini. Utawala wa sheria ni taasisi hizi TLS,LHRC,TAWLA,KATIBA ambazo ni watetezi wa wananchi na watch dog kwa Serikali munakuwa huru kwa mujibu wa sheria za Kimataifa. Hivyo basi,kwa maoni yangu na si mwanasheria,na kama mahakama itaona ana haki ya kuwa miongoni kwa wagombea;mpigieni kura za NDIYO nyingi Adv. Mwambukusi. Anaye sacrefice maisha yake kwa ajili ya wengine,huyo ni mzalendo wa kweli na mtetezi wa Taifa na Wananchi wake na TLS yake.
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
pamoja sana.nyinyi tunawaangalia kama msaada wa wana nchi
Unaetukana umetoka wapi wazazi tumembariki
TLS isigeuzwe tawi la ccm
Hongera haki haki gombea gombea bwana yesu akutanguliena mkamsimamie kula vizuri oyeeeeeee mwambukusi taa iwaake
Big hugs
Hapo imekaa Sawa, na hao waliotoa jina lake kwanza tuwaangalie kwa macho zaidi
❤
Safi sana nimependa mawakili mlivyojitokeza kwa wingi. Mungu awabaliki.
Hao ndio tunawahitaji
Toeni hiyo takataka hiyo mwabukusi asipate hata kula Moja maana Hana baraka za kutoka nyumbani kwao mbeya maana anatukana na kudharau watu wa nyumbani kwao
Unachuki binafs
Mbeya ni sehemu ndogo sana ya Tanganyika, Tanganyika inamuelewa mwambukusi. Ikiwa amewatukana atawaomba radhi
Mbona wewe unamuita mtu Takataka.Kweli mtu anaweza kuwa takataka?Umemtusi yeye,wazi wake,jamii inatoishi nae na Mwenyezi Mungu aliyemuumba.
Mnyakyusa gani anaweza kuwatukana watu wa nyumbani kwao, acha chuki bro.
Kamtukana mama yako 😊😊😊
❤❤❤
Mwabukusi Yuko Clearly ❤😂
👊✌️👍.
Safi sana
Ishara nyingine kuwa Tz imeanza kubadilika.Wazee anzeni kupisha kizazi kipya.
GEN Z
Kesi hii iko hatua gani sasa? Haipemdezi kuujulisha umma juu ya tukio halafu kutoendelea kuujulisha maendeleo ya kesi. Kama kuna ukweli au mchongo ijulikana
mweshiwa mwabukusi utashinda kwa kishindo wewe ukovizuri sana
Hawa ndo wanasheria wazawa ani wazalendo acha hayo mengine makuku ya kisasa
Huyu dada ni mwongo kabisa. Kwasababu, sio rahisi kwa jinsi ninavyowafahamu wanachuo haiwezekani hizo fedha awe nazo bila kutumia hata senti tano kama anavyosema. Huyo dada kuna watu wako nyuma ya jambo hilo wasiomtakia mema huyo NAWANDA. Pamoja na kwamba huyo Mh. NAWANDA huwenda aliadhimia kutekeleza uovu huo, huyo dada kuna watu nyuma yake walio take advantage ili kumharibia Mh. NAWANDA. Huyo binti anaonyesha wazi kwamba hajatilia. Kwa wataalamu wa Psychology tunaangalia face appearance, actions, na maneno. Kuna vitu vingi aviko sawa hapo. Na huyo mama mwanasheria, mbona anataka kutuaminisha upande mmoja tu? Mbona anataka kuonyesha tuhuma za NAWANDA akipatikana na makosa, hatuambii kwamba endapo huyo Binti atakuwa mwongo adhadhabu yake ni ipi? Jamani, hili swala liangaliwe kwa umakini sana.
TLS rudisheni imani ya wanainchi kwenu mawakili kwa sababu kama mnadhurumiana kwetu sisi ndiyo sababu tunashindwa pa kukimbilia.mimi nina kesi ikafikia mahali hali yangu mbaya sana nikakimbilia TLS ili kupata msaada nikaunganishwa na sehemu ambayo nashukuru uwakilishi lakini kilichonipeleka kukimbia umasikini huko niliko pelekwa mpaka sasa sijiwezi kipesa kwa sababu ni pesa juu ya pesa hata kupita nilikokimbia.
Kaongo
Mwambukusi Mungu akutangulie
Maombi yangu kwa BWANA, Utashinda na utakuwa. Raisi wa TLS, TANGANYIKA, tumechoka na ufisadi wa SISIEMU