Jaji Mkuu Awa Mbogo Sakata la Maadili ya Mawakili Akiwapokea Wapya 555

#ijuesheria #admission #advocate

Пікірлер: 6

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b18 күн бұрын

    Muheshimiwa jaji mkuu watumishi wa maadlii huna hatujawahi kusikia mahamani mufanyakazi au wakili ameajibishwa futeni kamati ya maadili hamuna ni kula pesa za uma tu

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7y19 күн бұрын

    easy target nashangaa jaji mkuu anashindwa kuzungumzia tatizo kubwa la maadili ya mahakimu wazembe na wala rushwa mahakamani na yeye ndio bosi wao mpaka wananchi wanazikimbia mahakama na kukimbilia kwy mikutano ya Makonda kutafuta haki na ukiwauliza wanasema hawana imani na mahakama !!!

  • @xaixaiobrigado4846
    @xaixaiobrigado484619 күн бұрын

    Maadili? Yazidi kuendelea kuwa jm baada ya muda unaoruhusiwa na sheria au....!

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b18 күн бұрын

    Mawakili wanaibia raiya selika ukimupa pesa haji mahamani hawatowi lisiti Kwa wateja afd machine hawana machinga ndie alipe mahakimu kesi myaka naenda ludi mahakimu wako majaji mawakili ndio kabisa ni wapolaji wa haki makarane wa mahakama fukuza kabisa watafute kazi nyingine ni lushwa tu

Келесі