YABAINIKA! ISRAEL ilifyatua kwenda IRAN bomu lake hili la mwendo kasi liitwalo RAMPAGE!

Ойын-сауық

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 255

  • @martinisadru
    @martinisadru2 ай бұрын

    Bwana ally mchambuzi mwenye elimu ya juu sana, Hongera sana mr ally.

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6opАй бұрын

    Taifa teule...🚀

  • @atutweve4160
    @atutweve41602 ай бұрын

    TUOMBEE DUNIA AMANI 🙏🏿🙏🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿

  • @ramiamisanya9873
    @ramiamisanya98732 ай бұрын

    Mpo vizuri sns

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td2 ай бұрын

    Good job from 🇧🇮💐 tunawapenda san

  • @MohamediOmari-nz4vv

    @MohamediOmari-nz4vv

    Ай бұрын

    Mpumbavu unafurahia watu waifa nchi yenyewe ni mashoga tu

  • @shebbylove3140
    @shebbylove31402 ай бұрын

    Shukran kwa habari daily zadunia sir Sky

  • @officialmubytz1076
    @officialmubytz10762 ай бұрын

    Taarifa makini big up sanaaaa

  • @husseinamani
    @husseinamani2 ай бұрын

    Propaganda za magharibi tunazijuwa Iran iko salama kabisa 👊💪

  • @user-wr6uz1rx1o

    @user-wr6uz1rx1o

    2 ай бұрын

    Kweliiiiiiiiiiiiiiii

  • @peterjr8073

    @peterjr8073

    2 ай бұрын

    We uko iran

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    2 ай бұрын

    ​@@peterjr8073KWANI WEWE UPO ISRAEL???

  • @user-rq8zq1mf7u

    @user-rq8zq1mf7u

    2 ай бұрын

    Mnakalia udin TU ss hapo magharibi inahusikaje

  • @pastorzakariatv1786

    @pastorzakariatv1786

    2 ай бұрын

    Mkaid hafaidi mpaka tamkute iran ilipiga Makelele yaliyo ongozana kusema Islaël ikijibu itajibiwa haraka Kiko wapi kombola tu zinatua katikati ya nchi yangekuwa mia

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d2 ай бұрын

    Wew uongoo hao waisraeli waongo sanaa

  • @user-wr6uz1rx1o

    @user-wr6uz1rx1o

    2 ай бұрын

    Kweliiiiiiiiiiiiiiii vle

  • @CharlesNhundu-uz4ks

    @CharlesNhundu-uz4ks

    2 ай бұрын

    Hujielewi

  • @CharlesNhundu-uz4ks

    @CharlesNhundu-uz4ks

    2 ай бұрын

    Unawajua Israel wewe

  • @user-lv4cx1sc5d

    @user-lv4cx1sc5d

    2 ай бұрын

    Vichwaa maji na mashoga wenzako

  • @daudimubamziwanda4135

    @daudimubamziwanda4135

    2 ай бұрын

    ​@@CharlesNhundu-uz4ksww ni shoga tatizo chuki imekujaa

  • @w4058
    @w40582 ай бұрын

    Kama kawaida yao hao nyoka wa kimagharibi waongo wakubwa hao Wazayuni

  • @f.a6043

    @f.a6043

    2 ай бұрын

    Kama wao ni nyoka na ww utakua ni 👹👈🏽🤣 na kama wao ni wazayuni ww utakua kafiri🤣🤣👉🏽🐸🐸

  • @GodenBMDaniel
    @GodenBMDaniel2 ай бұрын

    Ni uwongo wa Israel wameshindwa Vita

  • @modekaijames

    @modekaijames

    2 ай бұрын

    Leta ukweli sasa kama watu Habari ndio kazi yao wewe mchimba chumvi unasema uongo

  • @h.alshidhani8971

    @h.alshidhani8971

    2 ай бұрын

    Waongo wakubwa Hawa mayahudi ​@@modekaijames

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    2 ай бұрын

    Endeleeni kusema uongo ngoja yatokee yale ya Iraq ya Sadam Hussen

  • @ndindaqueen9346

    @ndindaqueen9346

    2 ай бұрын

    Iran can't defeat Israel period American wenyewe wanajua nguvu za israel

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    2 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅😅​@@modekaijames

  • @msafiripascal2757
    @msafiripascal27572 ай бұрын

    Ongera kijana kwakaziyako umejitaidi mungu akufunguliye riskizako

  • @Diagomozen
    @Diagomozen2 ай бұрын

    Usiamini jambo hata moja kutoka CNN, MSNBC, NBC, BBC, NYT, ....etc. Hawo wote Niwaongo.

  • @emmanuelmlowe-ew7gx

    @emmanuelmlowe-ew7gx

    2 ай бұрын

    Mimi hizo Redio siku hizi sizisikulizi ni propaganda

  • @emmanuelmlowe-ew7gx

    @emmanuelmlowe-ew7gx

    2 ай бұрын

    BBC na dochi very ni zawongo

  • @joppagraphix2868

    @joppagraphix2868

    2 ай бұрын

    Na aljazera zote za uongo

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    2 ай бұрын

    @@emmanuelmlowe-ew7gx mmmh tena!

  • @soineeliudi5959
    @soineeliudi59592 ай бұрын

    Umejibu vizur sana pasipo kuegemea upande wowote big up braza

  • @miltonjohn9779

    @miltonjohn9779

    2 ай бұрын

    Sio braza, ni bradha ( brother )

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi41222 ай бұрын

    Bundara sky uu mchambuzi mzuri zaid ya wengne maana taarifa zako ni sahihi ndio sababu naipenda Channel yako aina uongo

  • @Mumewangu

    @Mumewangu

    2 ай бұрын

    Lakin taarifa hii niya uongo

  • @peterjr8073

    @peterjr8073

    2 ай бұрын

    ​@@Mumewanguwe unbishana adi picha za satellite duuuh

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    2 ай бұрын

    @@Mumewangu kwa hio hii ya kichapo Cha Iran peke yake ni ya uwongo 🤣🤣hizo zingine ni za Kweli 😅😅😅 haki yaMungu mnakazi kwelikweli

  • @Joycenangonga

    @Joycenangonga

    2 ай бұрын

    ​@@Mumewangu😂😂😂😂😂 leta huo ukweli na ulete na picha zako za satelite

  • @musasaguti4760
    @musasaguti47602 ай бұрын

    Hili la kujiuzulu kiongozi huyo mbali na kusema ni uzembe uliotokana na kushindwa kufahamu uvamizi wa hamasi lkn pia nadhani linatokana na shambulizi la Irani

  • @chimnyengeUpdate
    @chimnyengeUpdate2 ай бұрын

    Wa kwanza Leo likes zabgu

  • @user-ey8bo5iw9y
    @user-ey8bo5iw9y2 ай бұрын

    Iran Si alisema akishambuliwa ataanzisha vita vip tena

  • @raymrash

    @raymrash

    2 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 amesanda...hata ungekuwa wewe huwezi kuendelea kupigana na mtu ambaye umemrushia mabomu mengi na hayajampata alafu yeye kapiga hayazidi ma5 yamekupata

  • @Mubarak552
    @Mubarak5522 ай бұрын

    Huwa tunapenda channel yenu kwa sbb ya habari zenu za kweli, hii taarifa ni wongo haina ukweli wowote, tuna watu mpaka Isfahan hakuna shambulio lolote limefanyika

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz2 ай бұрын

    Israel hatoboi kamanda wa unasusi kajiuzulu karr hivhvo Israel hatoboi aliseme wiki saa hi miezi 7 hatoboi

  • @user-gv7sd4oi6q
    @user-gv7sd4oi6qАй бұрын

    Vita HAITAISHA HIYO MPAKA MUNGU MWEYEWE NDO ATAISIMAMISHA

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d2 ай бұрын

    Hawamuwezi irani mbwaa haw

  • @DottoKagoro

    @DottoKagoro

    2 ай бұрын

    Mbona umekasirika kaka

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    2 ай бұрын

    Mbona panic na bado 😅😅😅

  • @JoalAlma-ci1hi

    @JoalAlma-ci1hi

    2 ай бұрын

    Kwan palestina ilikuwa ndog

  • @Joycenangonga

    @Joycenangonga

    2 ай бұрын

    Mpeni maneno yake huyo aelewe israel ni nani hapa duniani

  • @paulvimbamvula9508

    @paulvimbamvula9508

    2 ай бұрын

    Israel million 7.....Iran million 88.....Israel small but mighty....

  • @JamalAmr-nn9pm
    @JamalAmr-nn9pm2 ай бұрын

    Mm naona wachambuzi wetu pia hawana uakika wachokisema sababu wengi wanasubiri habari kutoka magharibi wakiongopa wao wanfuata ivyo ivyo wakisifia wao wapo ivyo kwaiyo tuwe na wachambuzi wenye mpango wa kuwa vyombo ambavyo aiegemei magharibi Wala masharik

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e2 ай бұрын

    Mungu wangu

  • @venancerutta6875
    @venancerutta68752 ай бұрын

    Mwandishi uko vizuri maana unaongea ukweli

  • @user-lo2dj2db1h
    @user-lo2dj2db1h2 ай бұрын

    Napenda sn story zako

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm2 ай бұрын

    Haoo ni mashoga tuu mwenyezi mungu azidi kuwalani hao makafili

  • @user-mh9hj3lx7q
    @user-mh9hj3lx7q2 ай бұрын

    Iran ilipigua vizuri dana na iliumia sana

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    2 ай бұрын

    Sana😅😅

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter49472 ай бұрын

    Hii channel inakua kati ya channel nzuri kutuletea hbr za nje ya nchi wengi huishia njiani

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s2 ай бұрын

    Be blessed Israel

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no2 ай бұрын

    Hakuna lolote lililotokea IRAN iko salama kabisaaa Magharibi si tunawajua?😂😂😂

  • @raydanfrenk

    @raydanfrenk

    2 ай бұрын

    Ww una ushaudi gan akuna madhala yoyot???😅😅😅

  • @MrTop-wj7no

    @MrTop-wj7no

    2 ай бұрын

    @@raydanfrenk wew una ushahidi gani kwamba kuna madhala yoyote Iran?😂😂😂

  • @Mumewangu

    @Mumewangu

    2 ай бұрын

    @@raydanfrenk ndugu hizo ni propaganda za magaribi baada ya Irani kusema wamedunguwa ndege zilizokuwa zinaelekea kushambulia kwa iyo is rail wameona aibu kuzuiliwa shambulio lao

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    2 ай бұрын

    ​@@MrTop-wj7noCNN usibishane nayo ni chombo kikubwa na kinaona Hadi sisimizi , we mchimba chumvi umekazania et uwongo, Israel hairudigi nyuma Wala ikisema inalipa Huwa ni vitendo , halafu kumbuka nchi zingine Huwa zikifanya jambo mbwembwe nyingi mara maandamano , mara kelele kibao 😅😅 mara mabomu mia 3 😅😅 lakini yeye anakutumia hata 3_4 tu lakini madhara yake 😅 umeona Waarabu walivotulia ! Mbomu enyewe unaambiwa yaliingia na kuzima setlite zote walizotegesha 😅😅 .. wao walifikir watapewa taarifa kupitia setelite matokea yake sio.. hawanaga mbwembwe ni vitenda Tena vyenye adabu 😅

  • @Hussein-gx4qu

    @Hussein-gx4qu

    2 ай бұрын

    ​@@raydanfrenkkwani hao Wana ushahid Gani

  • @TheBossOdhis
    @TheBossOdhis2 ай бұрын

    Yes chapa hao kabisa

  • @kassimbayuu5217
    @kassimbayuu52172 ай бұрын

    Droin tatu kwa droin Mia tatu na, aisee hii ni janja ya nyetanyau ili kurefusha sana migogoro ili asubirie uchaguzi wa marekani, poneo la nyetanyau ni uchaguzi wa marekani pindi trumple akipata urais nyetanyau anaweza kusalimika

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyilaАй бұрын

    Kwanini Iran analeta utani na maisha ya watu yy mda huu anasapot Hamas ambayo ni waarifu

  • @SigifridAloyce
    @SigifridAloyce2 ай бұрын

    Hatare

  • @husseinkahanju2506
    @husseinkahanju25062 ай бұрын

    Mbona hizo video hazionyeshi sky hebu post hizo video za mashambulizi ya Israel kwa iran.Iran walipost makombora yao yakienda israel.mbona Israel hawaonyeshi

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv16322 ай бұрын

    Icho kinyimbo cha sns ni kikali sana napenda kujua ni nan alikiimba

  • @jumannejuma7432
    @jumannejuma74322 ай бұрын

    siokweli mnafata vyombo vya magharibi

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw2 ай бұрын

    Hawa wamagharibi tunawajua sana wao wanataka kutupangia sisi nin tusikie watawadanganya hao wasio jitambua lakin sie tuanojitambua hatuwez kuviamini vyombo vya habar vya magharibi maana ni waongo wakubwa sana

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko97652 ай бұрын

    Sijawahi kuamini vyombo vya habari za mashoga na simtokaa niziamin yani niamini watu waki za mashoga haita tokea abadan

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw2 ай бұрын

    Wanaona haya kwamba wao walishambuliwa sana na iran lakin wao wakajibu kama wao walivyo mashoga maana shoga hana nguvu ya kupambana na mwanaume rijali

  • @emmanuelmchomvu2676
    @emmanuelmchomvu26762 ай бұрын

    Yaan wanatengeza mavitu mahali pa kutumia hkn ndo shida inaanzia apo😢😢

  • @ishakishak8740
    @ishakishak87402 ай бұрын

    Huyo mchambuzi Ally hakuna kitu hapo

  • @stephenrwaich1078

    @stephenrwaich1078

    2 ай бұрын

    Sasa kama Hana kitu si uende ukachambue wewe?daah wabongo bana!!

  • @papsmicrocreditcompanylimi1443

    @papsmicrocreditcompanylimi1443

    2 ай бұрын

    Uyu mchanbuzi ajaegemea sehemu yeyote. Tofauti na Dj sma uwa anaegemea upande wa warabu. Pia lazima mtambue kuwa Israel na mashia wa Irani ni ndugu wote Makafiri wanatishiana lakini hawatopigana

  • @valeriusfelix7379

    @valeriusfelix7379

    2 ай бұрын

    Hacha Ujinga, wewe unajua nn?@ ishakishak8740

  • @saimonijonas4356

    @saimonijonas4356

    2 ай бұрын

    Shida humu.Wengi ni mashabiki na shabiki kazi yake nikukataa ukweli.Sasa wewe unategemea upewe habari harafu unawasema wanaokupa habari kuwa ni waongo.Ebu tuambie wewe uliyekuwepo kwenye eneo la tukio tueleze nini kilitokea na kombora gani Israeli alilitumia.

  • @josepheriah5977
    @josepheriah59772 ай бұрын

    Apo saw

  • @user-vp7xl3km1h
    @user-vp7xl3km1h2 ай бұрын

    Mindomana huyu jamaa sifatilii taarifa zake anaonekana km nitimu upinde

  • @kakahafaha6148
    @kakahafaha61482 ай бұрын

    Kitu cha kujiuliza " Kwanini siku zote taarifa ambazo ni NEGATIVE huwa zinatoka kwenye vyombo vya habari vya magharibi? Pia kwanini taifa lolote ambalo linafungamana na magharibi hata lishambuliwe vipi vyombo vya habari vya magharibi hutangaza hakuna madhara? Hapa pia kuna changamoto ya vyombo kama hivi ambavyo tunavisikiliza ambavyo pia kazi yake ni kunukuu tu kutoka kwa vyombo vyengine bila ya kuwa na vyanzo vyao kutoka sehemu husika maana kama magharibi inatoa propaganda na wanaonukuu watatoa propaganda pia. Nahisi ingependeza zaidi kama na vyombo vyetu hivi vingalikuwa na wawakilishi baadhi ya sehemu za matukio ili kutuarifu vitu ambavyo vina uhakika.

  • @lucksonsikaona505
    @lucksonsikaona5052 ай бұрын

    Na nyie watanzania niwajinga kabisa ilani ilipigwa vibaya sana

  • @user-ed4px7oz5l

    @user-ed4px7oz5l

    2 ай бұрын

    Si Milano Iran

  • @maldiniinvescoltd701
    @maldiniinvescoltd7012 ай бұрын

    Nyetenyahu ni kama hitler wKati ule aliwatuma jeshi lake kwenda huko chezvirovakia baada yule pandikizi wake leinhard hydrich aliuwawa. Kisasi kwa kila kila mtu mdogo kwa mkubwa ,mama watoto ,majeno zote walke tekezwa na hitler.huko lidice town

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan80932 ай бұрын

    Israel alijaribu mifumo ya ulinz ya lkn alivyoona mifumo ni migumu hakurudia Tena na pia iran anatumia mifumo yake ya ulinz nà sio ya urusi

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm2 ай бұрын

    Leo ndio umeongea maana siku zote nakuona kama unasimama upande mmoja wa irani il leo nimekuona kama husimami upande mmoja

  • @Mumewangu
    @Mumewangu2 ай бұрын

    Kilichopo hapo ni ushwawishi wa magaribi ili Irani akasirike amshambulie kwa sababu ijulikane Irani anaogopa. Hii ni Taarifa za uongo kwa nin pale alipopiga siku ile ile hakutoa taarifa akanyamaza kimya? Sio kweli taarifa hiyo

  • @user-pd3hs4ze7i
    @user-pd3hs4ze7i2 ай бұрын

    Huyu ndo mchambuz mzur yuko kati sio yule sma wa upade mmoja

  • @sama-_8368

    @sama-_8368

    2 ай бұрын

    Huyo anaaminishwa na vyombo vya wamagharibi Dj smaa yuko vizuri zaidi

  • @hasheemkaz2732
    @hasheemkaz27322 ай бұрын

    cnn, new york times, ni vyombo vya kimagharibi obvious wataripot negative impacts towards their counter parts

  • @Zaikadena
    @Zaikadena2 ай бұрын

    Htr wa tatu Leo like zng

  • @abelamos-sk1tc
    @abelamos-sk1tc29 күн бұрын

    HILO ndilo lenyewe wakomeshwe hao

  • @jimmypeter5667
    @jimmypeter56672 ай бұрын

    Hivi habari kama hii unawezaje kuanza kuwaza ni propaganda? Unajua ukiishi kwa mawazo hasi lazima uwe na shida maishani!

  • @officialcandleboy6923
    @officialcandleboy69232 ай бұрын

    Huyu mchambuzi hana chukuwa habari kwa watu walio chini wamangaribi, ndo shida

  • @ahmednuhu2386
    @ahmednuhu23862 ай бұрын

    sasa kama ndege iliyo beba bomu inakadiriwa kuwa umbali wa 200km na iran wanatumia bavar 373 yenye uwezo wa kudetect flying oject umbali wa 400km imekuaje hiyo ndege haijawa detected? ni S300 bado range ya bomu kurushwa ingekua detected vizuri sasa inaonekana kuna mmoja anaficha ukweli yawezekana israel alishambulia akadunguliwa au hakushambulia kaspread propaganda au iran kashambuliwa anaficha madhara ila kwa kauchunguzi kadogo naona israel kuna ukweli anauficha nasio kawaida yake

  • @Hakunamatata_shop
    @Hakunamatata_shop2 ай бұрын

    mualike @suleiman chanzi broo hutojuta uchambuzi wake

  • @muhitira
    @muhitira2 ай бұрын

    Je uzembe wa Israel kwani wanauona leo hhhhh niwazembe tangu zama izoooo

  • @user-hf7wv4kx9e
    @user-hf7wv4kx9e2 ай бұрын

    Kiukweli izotrifa nizauongo kabida

  • @Eng2460
    @Eng24602 ай бұрын

    hivi kwann rais wa israel haonekan sana

  • @sama-_8368

    @sama-_8368

    2 ай бұрын

    Israel hainaga Rais ina waziri mkuu tu Netanyahu

  • @Eng2460

    @Eng2460

    2 ай бұрын

    @@sama-_8368 yupo anaitwa isaac herzog nadhan atakua ni ceremonial leader tu kama mfalme pale uingereza

  • @user-hf7wv4kx9e
    @user-hf7wv4kx9e2 ай бұрын

    Mukitakata kujuwa kama niuongo karibu maratena

  • @daudimichael7338
    @daudimichael73382 ай бұрын

    Iran ni taifa lenye nguvu kati ya mataifa ya kiarabu yanayoizunguka izunguka Israel. Na ndiyo inafadhiri vikundi vya wanamgambo kwenye nchi nyingine za kiarabu. Ina uwezo mzuri wa kiuchumi unaotokana na visima vya mafuta. Israel ikitaka kufanikiwa, ipige visima vyote vya mafuta, Iran itanyonsha mikono na vikundi inavyovifadhiri vitakosa nguvu kwasababu Iran itashindwa kuvilipa mishahara.

  • @omarymwaluko9765

    @omarymwaluko9765

    2 ай бұрын

    Unamjua muajeni au unafurahisha genge

  • @maximusalnono6425
    @maximusalnono64252 ай бұрын

    Nauliza bila kupata majibu kama hamas wameshikilia mateka bila ya kuwaachia wakati watu wasio na hatia wa gaza wakiendelea kufariki ivi kuna nini hapa hawa mateka wana umuhimu zaidi wakiwa mikononi mwa hamas wakati watu wanaendelea kuuwawa?

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    2 ай бұрын

    Ndio wauliwe hao raia mpaka Hamasi wawaachie mateka 😊

  • @samuelmuthui4699
    @samuelmuthui46992 ай бұрын

    Walitumiwa silaha zaidi ya 300,unajibu na kombora moja😂😂😂😂. Israel wanaogopa Iran.🇮🇷

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    2 ай бұрын

    Sio Moja ni 3.. Sasa hujiulizi unaweza ukabeba mashudu au makapi kwenye gunia limejaa na hayo mashudu ukauza elfu 10 gunia, na huyo aliehufadhi dhahabu kwenye kiboksi hio dhahabu ikauzwa mabilion😅😅.. mfano huu ni kwamba unaweza ukatuma mabomu mia 3 ambayo hayana lolote yakadunguliwa na yeye alituma Matatu yaliharibu na yaliiingia kwa kuzima setlite zote 😅 bila wao kujua.. Israel hainaga mbwembwe kama Waarabu bwakifanya shughuli Yao Huwa ni kimyakimya kisha hawaongei ni vitendo tu.. wew niambie lini muisrael alishafanya kitu kwa kufanya maandamano au kutangaza.. kingine walipopiga ubalozi wa Iran pale Syria hawakusema lolote, walipoulizwa hawakujibu ndio Wala hapa😅 lakini upande wa pili mwarabu akifanyaga kitu mmh hizo mbwembwe Sasa mara mavuvuzela , mara maandamano, alafu kivitenda maskini hawana lolote daaaah hii ni huzuni upande mwingine

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    2 ай бұрын

    Sio Moja ni 3.. Sasa hujiulizi unaweza ukabeba mashudu au makapi kwenye gunia limejaa na hayo mashudu ukauza elfu 10 gunia, na huyo aliehufadhi dhahabu kwenye kiboksi hio dhahabu ikauzwa mabilion😅😅.. mfano huu ni kwamba unaweza ukatuma mabomu mia 3 ambayo hayana lolote yakadunguliwa na yeye alituma Matatu yaliharibu na yaliiingia kwa kuzima setlite zote 😅 bila wao kujua.. Israel hainaga mbwembwe kama Waarabu bwakifanya shughuli Yao Huwa ni kimyakimya kisha hawaongei ni vitendo tu.. wew niambie lini muisrael alishafanya kitu kwa kufanya maandamano au kutangaza.. kingine walipopiga ubalozi wa Iran pale Syria hawakusema lolote, walipoulizwa hawakujibu ndio Wala hapa😅 lakini upande wa pili mwarabu akifanyaga kitu mmh hizo mbwembwe Sasa mara mavuvuzela , mara maandamano, alafu kivitenda maskini hawana lolote daaaah hii ni huzuni upande mwingine

  • @rashidichuri1149
    @rashidichuri11492 ай бұрын

    endeleeni utuongopea

  • @ammielnzala344
    @ammielnzala3442 ай бұрын

    Hakuna taifa la kuipiga Israel kwasababu ni taifa teule la Mungu na neno la Mungu linasema Israel wataokoka tena na watamjua masihi wao waliyemkataa, sasa neno la Mungu halishindwi, na kwenye kitabu cha ufunuo pia yohana aliona manabii wawili katika Israel ilikuwa ni baada ya kipindi cha mataifa kuisha, na kama kawaida injili itarudi kwa wayahudi tena, pia hakuna vita kubwa mpaka Mungu atakapoondoa wateule wake, baada ya hapo ndio kutakuwa na dhiki kuu , rudini kwenye Neno la Mungu tupo mwisho wa mambo yote ndio huu.

  • @mohamedmanga8391

    @mohamedmanga8391

    2 ай бұрын

    Ndugu yangu pole kasome vizuri kitabu, hili taifa kweli liliteulwa, baada ya kujikita kwenye madhambi likalaaniwa baada ya kufika Canani, liliangamia kabisa, na wala hili taifa la leo halitokani na yakobo, hawa wamejawa na watu wenye tabia ziliangamiza Sodom, walitengezewa makao mwaka wa 1948 na walanisi wenzao, wanatenda dhambi nyingi tena sio wakiristo na wanamtukana yesu wakati ulimwengu wote unamtambua, wamebomoa makanisa na kuwauwa wakiristo huko gaza na wanawatemea mate huko Jerusalem, acha kucheza na Jina la mungu.

  • @mohamedmanga8391

    @mohamedmanga8391

    2 ай бұрын

    Tena ukumbuke ni marekani wanapigana na kuwatengezea silaha kama huna habari jua leo kwamba 1948 marekani na mataifa ya magharibi, walitengeneza hili taifa ili waweze kudhibiti mataifa ya kiarabu kwa urahisi baada ya kugundua nguvu zao za mafuta, sasa kwa nini mungu awaache wateswe ulaya karne zote mpaka wazungu wawatumie kudhibiti waarabu.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын

    NDIMANA BENJAMIN ATAKI MAONGEZI MEZANI KUWACHANA NA VITA VIKIHISHA NA NYATANYAU KAISHA MADALAKANI😂😂😂

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai11312 ай бұрын

    Hakuna ukweli Iran haifichi kitu lkn vyombo vya magharibu ni propaganda tu

  • @ndindaqueen9346
    @ndindaqueen93462 ай бұрын

    Nyinyi muslims why do you hate Israel mnajua Israeli ina deal na watu wa haina gani ??

  • @hameedm8361
    @hameedm83612 ай бұрын

    Kwa taarifa iran jeshi lake ni no.15 dunian isreal 17

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    2 ай бұрын

    Haijalishi muisrael haji peke yake NATO iko nyuma yake Iran yuko mwenyewe kama atasaidiwa itakuwa underground. Waarabu hawapendani kumuka Sadamu Hosen

  • @hameedm8361

    @hameedm8361

    2 ай бұрын

    @@MsAggie5 wewe ni mshamba tu huna ujuawalo...washirika wa wa iran ni Russia,china na north korea, pili iran sio waarabu ni persians lugha yao ni Farsi kwa hio ww hujui chochote kinacho endelea duniani baki na bongo yako huko

  • @zebedemirambi3067
    @zebedemirambi30672 ай бұрын

    UKIHITAJI KUPIGANA NA TAIFA LA MUNGU ISRAEL🇮🇱 UJUWE UNAPIGANA NA MUNGU PEKEYAKE! IRAN UTASHINDWA TU UTAKE WALA USITAKE! KIVIPI UNAJIITA UNAULINZI WAHATARI NA BOMB ZINAKUFIKIA🤣 IKIWA UNANGUVU WE IRAN UNGESHIMAMISHA HIZO BOMB ZISIFIKE ENEO LAKO😂

  • @user-mf7hl7jh6s
    @user-mf7hl7jh6s2 ай бұрын

    Sasa isreal ilitowa wapi satellite ya Iran mbona Iran inasatelite yayo yenyew

  • @sekrommbaga6234
    @sekrommbaga62342 ай бұрын

    hakuna wanamgambo iraki wanaopinga serekali huo ni uongo

  • @juliannjunwa7857
    @juliannjunwa78572 ай бұрын

    Iran angalia, hurumia watu wako.usichezee watu hawa.

  • @FeruziIsa-nc5vo
    @FeruziIsa-nc5vo2 ай бұрын

    UONGO HUO IZRAEL KAPIGWA. USIDANGA NYIKE NA WATU WA MAGHARIBI.

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw2 ай бұрын

    Wapumbavu hao wamagharibi hakuna madhala yoyote waongo wametunga hizo picha za mchongo

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche2 ай бұрын

    Manghalib na israel wote ni waongo

  • @bestpointsexplorer
    @bestpointsexplorer2 ай бұрын

    🤔🤔🤔🤔🤔🤔

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah4392 ай бұрын

    Waache walane

  • @salimamani6672
    @salimamani66722 ай бұрын

    Wapumbabu sana acheni uongo wapumbavu kabsa

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    2 ай бұрын

    Sisi tunaangalia majina tu ya wali wanaokanusha hizi taarifa, utakuta anaitwa Mohamed, salimu, Alli.. so ukiona hivo utakuwa umekata jibu kamili😅😅😅 .. kichapo Irani kimetembea lakini kuitetea kwa kuwa.....😅

  • @salimamani6672

    @salimamani6672

    2 ай бұрын

    @@annasolomon9855 Sasa wewe kwa akili yako Israel inaweza wapi pigana na mihiaran unaijua au unaisikia

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    2 ай бұрын

    @@salimamani6672 ni walewale tunawaelewa, 🤣🤣🤣

  • @Kagineemmanuel
    @Kagineemmanuel2 ай бұрын

    🇮🇱 Israel wako vizuli sana na inavo one kana Iran wana ogopa mbona wanaficha mazara ya kipigo

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    2 ай бұрын

    Saaaana tu Tena Israel Haina hata mbwembwe za maandamano kama wao na hawakutuma mabomu mia 3 kidogo tu muharo 😅😅😅 na wamenyamaza 😅😅😅

  • @suhadsalim5528
    @suhadsalim55282 ай бұрын

    Izo za kutenezwa ili kusafisha izrail

  • @mombasa0076
    @mombasa00762 ай бұрын

    ACHENI PROPAGANDA HIZO. ISRAELI HAKUMPIGA IRAN NA KAMA ATAPIGA ATAJUTA.... HIZO TAARIFA NI PROPAGANDA ZA ISRAELI.

  • @KassimSalumu-fk6yk

    @KassimSalumu-fk6yk

    2 ай бұрын

    Israel inataka kusema waongo, marekani na uingereza je

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d2 ай бұрын

    Wewe ni muongo mchambuz wachongo

  • @husseinc

    @husseinc

    2 ай бұрын

    hakuna mchambuzi hapo anaokotaokota propaganda za west. hakuna kombora lililopiga iran

  • @wtnyambizi9876
    @wtnyambizi98762 ай бұрын

    sma yuko bias hata sitaki kumsikiliza

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani89712 ай бұрын

    Wote Israeli na wahindi waongo wakubwa

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    2 ай бұрын

    CNN ni ya china Haina uongo 😅😅😅

  • @justusngonyani165
    @justusngonyani1652 ай бұрын

    Iran hana UWEZO,kunguru tu.

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz2 ай бұрын

    Madhara yap mbona hamsemi

  • @EmmyRowland-ir5gh
    @EmmyRowland-ir5gh2 ай бұрын

    Israel Alitumiwa bomu dogo tu ka testing compared to Iran's more than 300 ballistic missiles 99% failed 🤣

  • @johannesssamsonambogo4125
    @johannesssamsonambogo41252 ай бұрын

    IRAN HAWEZI VITA ATA MTUME MUHAMMAD AFUFUKE AJIUNGE NAO, ATAPIGWA NA YEYE.

  • @Hussein-gx4qu

    @Hussein-gx4qu

    2 ай бұрын

    Sasa hapo kati ya irani na Israeli nani kapigwa ? we limeingia kombora Moja israeli yaliingia makombora 7 hao mashoga wako waishukulu marekani

  • @johannesssamsonambogo4125

    @johannesssamsonambogo4125

    2 ай бұрын

    @@Hussein-gx4qu Iran hawezi kaka

  • @tommorara8031
    @tommorara80312 ай бұрын

    walianza wacha wajikaze

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    2 ай бұрын

    😅😅

  • @DullyHalima-cp1hu
    @DullyHalima-cp1hu2 ай бұрын

    Ni s_400 sio s_300

  • @user-wi6ru6of3z
    @user-wi6ru6of3z2 ай бұрын

    Mimi nasoma teharani wafrica mnadanganywa sanaa

  • @DeogratiusBanzi

    @DeogratiusBanzi

    2 ай бұрын

    Mimi nipo bongo ila najua kuwa israel ajashambulia ila amefanya kama movie ili aonekane yupo imara kivita.

  • @masweto
    @masweto2 ай бұрын

    irani hana kitu nyangau huyo

  • @hajiramadhanihaji355
    @hajiramadhanihaji3552 ай бұрын

    Waongo nyie

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz71582 ай бұрын

    Km amerusha kombora c apelekewe kombora mnasubiri nn ss

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    2 ай бұрын

    Weee utapata tabu 😅

  • @SimbaHaji-jm7md
    @SimbaHaji-jm7md2 ай бұрын

    Uongo

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff84892 ай бұрын

    Uwongooo we mkristo tunajuwa 😂😂😂

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    2 ай бұрын

    CNN sio wakristo ni china , china Haina ukristo 😅😅😅😅 pole 😅😅

Келесі