KISOMO KIZITO CHA KUONDOSHA UCHAWI, MASHEITWANI, MAJINI WALIOSHINDIKANA MWILINI. SH. OTHMAN MICHAEL
Жүктеу.....
Пікірлер: 530
@AsiaNassoroMpili9 ай бұрын
Yarabi kupitia duwa hii iwe mwanzo na mwisho WA matatizo marazi yote mwanzo WA utosi adi unyayo amiiiiiin 🙏🙏
@NaimaKaka-yo4hb3 ай бұрын
Amin
@user-tf5sh8wm7m10 ай бұрын
Yah rabi nakuomba kwa dua hii nifungulie njia ya maisha yang mi na familia yang ameen
@naimajuma35774 ай бұрын
Ya Allah kupitia kisomo hiki naomba uniepushie nuksi za kuto olewa na uniepushie zinaa unijaalie Barakah katika maisha yangu na furaha uniepushie udwahifu wa mwili wangu
@azizamisembe-zy9bn Жыл бұрын
We mungu kupitia kisomo hiki naomba watoto wangu wapatwe kufunguliwa nyumba ndoa kazi ya me wangu na ofsi yangu ifunguliwe na malazi yote yaonndoke katika nyumba yangu amen
@ashurafundi28732 жыл бұрын
Mashaallah baada ya kusikiliza kisomo hiki mwili wangu mwepesi sana mungu akusimamie wewe na familly yako
@jacobponga15402 жыл бұрын
Masha Allah, Hongera sana Ustadh wetu umenitia utulivu ktk nafsii yangu kipitia usomaji wako wa Qur'an, Smart unaweza Jazakallahu kheri
@user-hz6hm7vn3x Жыл бұрын
Mungu akujalie pepo ya firdausi kwasiku Ya leo nimeona majabu sn sikutegemea km nawez kutapika😭Ahmdulillah ya Allah🙏
@ladyr.r9964
7 ай бұрын
Pia mimi nimetapika nakusikia kisunzi nini maana yake nijuze mwezako
@user-xp9iu9hz1s4 ай бұрын
Ya rabbi kupitia kisomo iki ya allah tujalie shifaa katika familia yetu aamin🙏🙏
@aliidrisahmad57973 жыл бұрын
mashallah mashaallah Shekh Othman Micha kisomokizito watu wengi timepona Masha Allah
@OmAn-cz8kt15 күн бұрын
Allah akupe umri mrefu na wenye mafanikio hehe wetu inshallah
@bazilassey12273 жыл бұрын
Alhamdulillah baada ya kusikiliza hicho kisoma asubuhi. Nilikuwa naumwa masikio koo kama linakatwa na nyembe kifua yaani vurugu halikuwa lakawida nasema tena alhamdulillah naendelea vizuri na ninetuma kwa watu kadri allah alivyoniwezesha na wanashukuru.Yaa allah mhifadhi shehe wetu na shari za mashetwani wa kijini na kibinadam
@khadijaangore4408
3 жыл бұрын
Allah Akbar! ALLAH AKBAR . ALHAMDULILLAH ALLAH ATUPONYE KWA KISOMO HIKI
@abubakarymasoud5919
3 жыл бұрын
Mashaallah
@abubakarymasoud5919
3 жыл бұрын
Allah akuripe Kira kher
@HaroubSaid-sf3qw2 ай бұрын
Mashaallah shukran Allah akulipe insha Allah
@AshaAsha-ng1ug2 жыл бұрын
Mashaalah shehe,,,niliposikoliza dalili zilikuja kifua kuvimba,macho yakanitoka,mihemo,nikapoga ukelele mara l Kisha nikajikaza,nashukuru sana shekhe kwa darsa lako tunapata kufaidika baada yakujifunza meng ktk yotibe zako mbalmbl ,alah akujaalie mwisho mwema ktk Dunia hii
@mename60203 жыл бұрын
MashaAllah shehe Hana hiyana baadhi ya masheh wanasoma nusunusu... Allah akujaalie umri mrefu...
@ashminaog1068
3 жыл бұрын
Amin
@fatumasabiti5612
3 жыл бұрын
Aamiin 🤲🤲🙏
@nelsonboniphas4152
3 жыл бұрын
Shekh wangu Allah akupe nuru dunia na akher nimefaidika sana na dua zako nimepona mkono ulio kuwa ukinisumbua kupitia dua zako Allah akuzidishie imani
@mename6020
3 жыл бұрын
@@nelsonboniphas4152 Ameen Allahuma Ameen
@HakizimanaRiziki-cj3dr
4 ай бұрын
Namii yarbii nijaliye nipone mm nawananguu
@user-si5pw9fe4h25 күн бұрын
Kupitia kisomo hiki mwenyezi mungu nifungulie riziki zangu
@user-zn4jj6lp6t5 ай бұрын
Yarrab kupita dua hii iwe mwanzo n mwisho wa maradhi,machawi yote katika mwili mwangu n iwe dawa n yasinirudie tena inshallah
@mwanaidsaid75122 жыл бұрын
Yarabi kwa kisomo iki kiwe mwisho wa matatizo yangu. Na mwanangu inshallah 😭😭😭
@asiaiddi2539
2 жыл бұрын
Amiiin amiiin
@yusrajuma6714
Жыл бұрын
Amiin
@ashatsheh6614
Жыл бұрын
Yaarabi kwa kisomo hiki naomba unitolee matatizo Mimi na kizazi changu yaliyo miilini mwetu na utukinge na hasad za binadamu wenye husda choyo vijicho tukinge na majini eee molla wangu
@UmmuMaryam-ym1um
Жыл бұрын
Inshallah Amin
@muanassarachide1842
Жыл бұрын
Chehe nataca cuonguela na simo tafadal
@user-jh5px2xl8uАй бұрын
Akiamungu nilicho kiona reo kwenye hii dua mungu nfo anajuà nimejikuta nàjisaga sàga na kuria na kujipiga mahasili ya mtu alopàndsha shetani,, na alafu niko peke yangu na nimejisomea mwenyew na maji nimejitemea mwenyew shehee sina mtu
@madunguonlinetv6 ай бұрын
Mashallah Ewe Mwenyezimungu naomba uniondolee matatizo yote kwenye mwili wangu kupitia kisomo Hilo na yapotee kabisa inshallah
@nadhifaernest-jv8xy4 ай бұрын
yarabil nijaarie afiya yangu irudi kama zama nawatoto wangu na mama yangu mdogo wangu nafamiria yangu yote kwaujumra tuna sumburiwa namarazi yasiyo jurikana tunakuomba kwauwoze wako Allah utuondoshee iimitihani yamaradhi Aamiin yarabil aramin lnshaallah 🙏
@user-js4ye3sb3b4 ай бұрын
Ya rabbi kupitia kisomo iki mungu nifungue kila changamoto niliokuwa nayo
@salmazaidalabrawi37233 жыл бұрын
Shukran sana shekh nimefanya kama ulivo kuwa ukisema alhamdulillah nimejihisi ila ulipokuwa ukisoma nilijiwa na usingizi mzito sana nilijikaza tuu nikamilishe kisomo baada ya kumaluza kisomo kwenye miguu nasikia vichomi vinachomachoma Jazaakallahu elf kheir 🙌
@aliidrisahmad5797
3 жыл бұрын
mashallah mashaallah
@aliidrisahmad5797
3 жыл бұрын
assalmaleyhi warahmatullahi
@MwanjabuHassanHajiАй бұрын
Yarabi nakuomba kupitia duwa hii uniondoshee husda za watu na majini na unifunguwe kwa yote nilofungwa ameen
@user-wo8go6wc3d3 жыл бұрын
Hauna hiyana jaman nikirud tanzania lazma nikitafute angalau nikupe shukran zako
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
marhallah marhallah
@khadijaangore44083 жыл бұрын
Masha Allah, Alhamdulillah nashukuru kwa Allah na kisomo kizuri , insha Allah Allah akulinde sheikh wetu na kila shari wewe na familia yako.
@zaitunibakari6724
3 жыл бұрын
Me
@rehemaswaleh147
3 жыл бұрын
@@zaitunibakari6724 mashallah kisomo dawa
@shabanihakorinoti1920
Жыл бұрын
Cheikh mungu akup kher hap duniani n'a akhera tena akuepush n'a kila shar yeyote kwa watu wako .tena neno lamwisho lako iwe shahadatu inshaallah
@bibitititv93334 ай бұрын
Ewe Mwenyezi Mungu, nakuomba Kwa unyenyekevu mkubwa mbele yako kupitia Dua hii au kisomo hiki naomba niondoshee majini wabaya wote kbsa hasa jini " MAHABA " ambalo limenisumbua Kwa muda mrefu sn sn na amenitesa sana, ridhiki zangu zote zifunguke na niweze kupata hitaji la Moyo wangu, amina
@fatemaale70663 жыл бұрын
Shekhe naomba unisaidie kwa visomo mana niko nje ya nchi niko saudia natoka kenya nimeskia mlipuko wa moto hapo mgongon ambapo uwa naskia uzito naamin hii dua na ln shaa Allah mungu amekubalia ubarikiwe shekhe othman popote ulipo
@najmagoa4727
3 жыл бұрын
Mm pia niko saudia nasumbuliwa na mgongo na kifua ninaimani ikikisomo in shaaAllah nitaisi vzur
@loozyshtarte55013 күн бұрын
Mungu anijalie wepesi majini yatoke mwili
@user-zo9lb1id9v3 ай бұрын
Allah naomba kisomo hiki kiwe chakuniondolea maradhi niliyo nayo kichwa Hadi mwili wangu ameen
@sumayyahally31997 ай бұрын
Alhamdulinllah alhamdulinllah namshukulu Sana Allah nimesikiliza kisomo hiki naamin kwa uwezo wa Allah nimepona maana nimeteseka ss ivi naona Kuna nguvu furan imerudi shukuran yaraabi and shukuran shehe wetu jazzakhanllah
@user-jo5rf4wp7g5 ай бұрын
Allah nifanyie wepesi kupitia dua hii nateseka mm
@omarsultan71953 жыл бұрын
Kuna baadhi ya mashekh wanfichaficha elmu lkn ww shekh mashallah watu wananufaika Mungu akujaliye mwisho mwema inshallh
@khadijaangore4408
3 жыл бұрын
Ameen yaraab alamiin.
@zulfawaithera5479
3 жыл бұрын
Maa shaa Allah . Ila yote ni kua yy pia sheik wake hakumfichia chochote ...yote Tisa Kumi...mafungamano yake na Allah hayana shaka ndio maana yake
@zulfawaithera5479
3 жыл бұрын
Aaamin Thumma Aaamin
@abubakarymasoud5919
3 жыл бұрын
Mashaallah
@riyamaramzy3968
3 жыл бұрын
Amin
@jannfferАй бұрын
Mungu tawala katika maisha yangu naunilide
@munaabdullahi67963 жыл бұрын
mash allah shukran mungu akuingishe janatul firdows
@user-cw5sk7wd6gАй бұрын
Yarab jalia kisomo hiki kiwe mwisho wa matatizo yangu Na family Inshallah amin
@user-js4ye3sb3b4 ай бұрын
Katika dua ili namuomba mungu ili jini mahaba litoke kwenye mwiri wangu in shallwa
@mwanaidibushuti99292 жыл бұрын
Mashall mashall jazaka yako iko kwa Allah shekhe wangu naimani huu ndio mwanzo wangu mwema
@sinadeRobinso2 ай бұрын
Allah ni linde Mimi na watoto wangu na make wangu Kwa dua ino insha'Allah itowe uchawi na majini yote ya liyo nyumbani kwangu na uchawi insha'Allah ameni
@merythomasminja2982 ай бұрын
Emwenyezi mungu najinganisha naidua ikaniondole vifungo vyote vyamwili na rizikizangu zikafunguke
@user-du2jy2ff4p4 ай бұрын
Mashallaa.....
@patriciarudolph908910 ай бұрын
Ewe mwenyezi Mungu kupitia somo hii niondole yote mabaya amboyo muovi ametuma kwa na wanganu! Niepushe na waouvu wote wa duniani Ameen!
@swaumupaji36233 жыл бұрын
Maa shaa Allaah TabakaAllaah Shukraan jaziilah Sheikh wetu binafsi nimenufaika na hichi kisomo
@khadijaangore4408
3 жыл бұрын
Alhamdulillah
@bossmatuta14922 жыл бұрын
MaashaaAllah ... Nipo 🇰🇪 kenya na Baada ya kusikiliza kisomo hiki mimi ,ndugu yangu na mamangu na Alhamdulillah sihr ikadhihirika. Jazaakallahu kheyr Sheikh Othman and your team for initiating this ruqya and supplication and also taking your time to guide us through WhatsApp on how we will get the the medicinal oil🙏🏿
@hamiduhamis157
2 жыл бұрын
As
@mename6020
2 жыл бұрын
Ameen Allahuma Ameen
@bossmatuta1492
2 жыл бұрын
@@hamiduhamis157 ws
@ghuuihgggu29683 жыл бұрын
Shuqran Sana Allah akujaalie kher katika maisha yako na akujaalie Afya njema inshaallah dua imenisaidia na mpaka hapa mgongo mbavu zaniuma najickia pia mwili mwepesi Ila nataman kuongea nawe japo wasap kwasababu nipo Oman na vocha ya kupiga kawaida inakuwa nigarama nami garama hiyo cna kutokana na hali yangu Ila inshaallah Allah anisaidie kwa hili inshaallah Naitwa Faudhia hamidu
@ZuuhRaniya5 ай бұрын
Yah rabby kisomo iki kiwe mwisho wa matatizo yangu yote yanao usumbua mwili wangu eeh mungu nakuomba nijaalie mja wako
@ashanibigira58982 жыл бұрын
Mashaal Allah akulipe kila laheri APA duniyani n'a kesho ahera akuo gezeye elimu update kumi imilisha Uma
@alishee65712 жыл бұрын
mashallah mashallah mungu akulinde kwa kila jambo lako sheķ Athuman
@user-ne9uw9pp7i5 ай бұрын
Yarabi mola wangu kijaalie kisoma iki iwetiba yamaradhi aya niliyonayo🤲
@bakariwere300 Жыл бұрын
Jazzaka llahu khairan Yaa Sheikh
@saumusanjiama6991 Жыл бұрын
Shukran sana jazaka Allahu kheri Nimeumwanaziwa namguu ghafla
@handhalhandhal46083 жыл бұрын
JazzaqallAh bil khair Sheikh Othman.
@khadijaangore44083 жыл бұрын
Waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah .
@zafafuswalehe29743 жыл бұрын
Mashallah shukran Allah akulipe inshallah
@nooornoor1204 ай бұрын
Ee yarabby kupitia dua hii nikafunguliwe afya ukanitimizie malengo yangu ya allah baba yetu mlezi mahali nilipo fungwa leo naamin kupitia kisomo hiki nimefunguka amiin ya rabby
@user-rt5vq5vc3k4 ай бұрын
Ya rabby kupitia kisomo hichi iwe mwisho wa matatizo yangu na mtoto wangu inshallah
@RehemaRehema15 ай бұрын
Mashallah
@user-gy9cf2le8t9 ай бұрын
Sheikh othman michael allah namuomba akupe umuli mulefu wenye afiya njema na akupe moyo wakuvumilia mambo ya dunia tiba yako imenisaidia sana kwa idhini ya allah na dalasa lako limeniogezea imani dawa unazo tengeneza dawa ya mafuta ile yakupaka nidawa tosha sitaki kusemangi allah ndomujuzi
@aishatarimo67803 жыл бұрын
Jaman nilikuwa naumwa na tumbo nimesikiliza hii dua tumbo limeacha haliniumi...Allah akujaalie kila lenye kher shekh
@fauziamteti73892 жыл бұрын
Inshallah kisomo iki kiwe ufunguo wangu na kuepukana namashetani mungu hakuzidishie Dua za heri
@mariamselemani136611 ай бұрын
N shukran sheh wetu Allâh akulipe Kila laher
@rahmaAbdallah-nw2vt29 күн бұрын
Yarabb kwa kupitia kusoma hiki iwe ndio sababu ya mwisho wa maradhi yangu na mitihani yangu na wanangu biizinillah
@hikimaatimago2236Ай бұрын
Mash Allah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@UstadOmar-rl3ze Жыл бұрын
Sheikh wangu mung akubariki inshaallah
@fatmahabbas71522 жыл бұрын
Mmmmmm bismillah mashallaah yalonikuta siyakusema zaid ya Alhamdulillah 🤲
@bazilassey12273 жыл бұрын
Mashaa allah mashaa allah hakika hiki kisomo kinanifaa mashaka hayaishi
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
assalamaleyhi warahmatullahi
@yusufseifu49672 жыл бұрын
Masha-ALLAAH shukran jazla sheikh
@hassanbatenga89073 ай бұрын
Wa shukulillah❤❤
@nooor11203 жыл бұрын
Shukran jazakallahu kheir sheikh Allah akupe unayoyataka yenye kheri nawewe Hatuna cha kukulipa Allah atakulipa
@aliidrisahmad5797
3 жыл бұрын
rabbi Alhamdulillah
@alimdahouma62262 жыл бұрын
Mashallah barakallah alhamdullahi jazakallah
@ummilkheirmohammed3 жыл бұрын
Mungu akulinde na macho ya uhasidi shekhe wetu hakika nawaidhika kupitia wewe alhamdulillah.naomba InshaAllah hii mada ya باب في كراهة النعمة usitukoseshe
@saidsalum7996
3 жыл бұрын
Nataka filashi ya duwa nitaipata wapi
@ntahondereyeissa661
3 жыл бұрын
Duwa nzuri sana allah akulipe kheri
@sharifaabdullah68252 жыл бұрын
Alhamdulilah mungu akuhifadhi shekh Athuman
@ZuuhRaniya5 ай бұрын
Amin inshallah Allah atatufanyiawepesi wote tunao muomba
@maisaalawy45123 жыл бұрын
Allahuma Ameen jazzakhalahu kher mashaallah.
@amenaallahawazidishieumrin62353 жыл бұрын
Shukran jazaka ALLAH khery Mola akulipe mema dunian na akhera na pepo ya fridous iwe makaazi yako
@allahakujazekheriwowww5694
2 жыл бұрын
Amiin
@hassanishekidele6725 Жыл бұрын
Yaarabi naomba kisomo hiki kikaingie ndani ya tumbo langu na moyo wangu kikatoe uchawi wote uliopo ktk mwili wangu inshaallah
@Hajra-ty5io2 ай бұрын
Ya allah kupitia hii dua naomba kuondoka kwa kila matatizo yaliyopo mwilin mwangu
Ya Allah nakuomba kwa kisomo hiki unifungue vifungo vyote mm n familia yangu uniondoshee jini,mashetwan n kila ubaya kwa uwezo wako
@mariamramadhan42962 жыл бұрын
shukran sana allah akuzidishie taufiq
@user-lz3vk5yb4d2 ай бұрын
Inshallaah🎉🎉
@laylahasshim8273 жыл бұрын
Alhmdullih MashaAllah hii dunia ni kiboko ya yote wallah nilisikiliza saa 9 usiku nilivomaliza nikalala nikaanza kuota nakimbizwaa na kisuu n wanawake wawil moja mkubwaa mwingine mdogo huyo mdogo nilimpigaaa sana yule mkubwaa akaksirikaaa akaanza kunikimbiza yeye nilikimbia mwisho nikachokaa tukashikanaaa lkn hakuwa na nguvu tena ya kunipiga nikachukua ile kisu nikaondokanacho nikaamka nimetia udhu nimeswali alhmdullih
@leilamohamed1298
3 жыл бұрын
Asalam aleikum
@malikisindi3459
3 жыл бұрын
Qq.gk
@MajuvaMajuva
2 ай бұрын
Shukran sana Mungu akulipe kheri naakupe mwisho mwema
@user-ij9yi7bm8m8 ай бұрын
wallah Allah atuondolee haya majini ktk mwili wangu
@ameeranassor16192 жыл бұрын
Hii video siku zote nilikuwa naikwepa sitaki kuitizama,Leo nimepata ujasiri wa kuitizama SubhanahLLAH nimekohoa na kutapika pale aliposema usitapike Mimi nilianza kutapika, nashkuru sana Kwa dua hii nzito
@yusufseifu49672 жыл бұрын
Jazaaka lahu khaira sheikh
@ZuuhRaniya5 ай бұрын
Ewe mwenyezi mungu kupitia duwa hii nifunguliwe Kila kilicho fungwa katika mwili wangu nakama Kuna kibaya chochote katika mwili wangu basi kitoke kiludi kilipo toka uchawi uliopo katika mwili wangu utoke kwauwezo wako mungu wangu
@SaidFupi
17 күн бұрын
Amin Allah afanye wepes
@lacroquetalacroqueta68133 жыл бұрын
اللهم صل على محمد وآل محمد💚🌺💚🌺💚🌺💚صلى الله عليه وآله وسلم🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌻🌻🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌻🌻🌺🌺🌺🌺🌻🌻🌱🌱🌱⚘⚘⚘🌾🌵💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚🌼💮🏵🌹🥀🥀🌺🌺🌷🌷🌷🌿🌿🌱🌱🌱🍀🍀🍀🌻🌻🌼🌼🌼🌷🌷💐💐🌸💮💮🏵🏵🌹🌹🌹🥀🌺🌻🌻🌼🌼🌷⚘🌱🌱🌱🌷🌻🌻🌼🌷🌷🌿🌿☘🍀🍀🌴🌴🌻🌻💐🌻🌻🌼🌼🌸💮🏵🌹🌹🌹🌹🥀🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🥀🥀🌺🌺🌺🥀🌸🌸💮🏵🏵🌹🌹🥀🥀🥀🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺
@ashura.burundixhxhx703 жыл бұрын
Walaykum salam Warahmatullh Wabarakatuh shukran sana sheikh
@azizasalum24082 жыл бұрын
Asalamu alaykum warahmatullah wabarakatu.. mashallah mashallah..shukran sana ..Allah akujalie kher na barka na akupe afya na Siha Amin Amin yaraby.
@laylahasshim8273 жыл бұрын
Shekhe Allah akujalie kheri hapa na dunian na kesho nilikuwa nasumbuliwa na tumbo mwaka nikienda hospitali naambiwa gesii hiyoo lkn safari hii Naamini hii dua itaniponeshaaa.
@habibadiombera7505
3 жыл бұрын
Asalam aleikum wrhtl wabarakatahu
@aliidrisahmad5797
3 жыл бұрын
mashallah mashaallah
@maxamedahmedali2961
3 жыл бұрын
Mashallah mashaallah
@maxamedahmedali2961
3 жыл бұрын
Assalam aleykum
@aishaburundi70583 жыл бұрын
Masha Allah tabarakaallah 😍
@HawaRamadhan-yh5hf7 ай бұрын
YARABBY NIONDOLEE MARADHI KWENYE MWILI WANGU🤲❤
@farhannahomary55053 ай бұрын
Amina
@fadhilaswaleh23633 жыл бұрын
Mashaa Allah Allah akulipe her nyingi kwakujitolea kwa ajil umma wake
@patriciaomarigezza64143 жыл бұрын
Manshaallah mmungu akulipe🤲
@user-ug6cj3zq7r8 ай бұрын
Yarrab naomba nisaidie niweze kupona matatizo yangu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼amiin🙏🏼 thumaa amiin
Пікірлер: 530
Yarabi kupitia duwa hii iwe mwanzo na mwisho WA matatizo marazi yote mwanzo WA utosi adi unyayo amiiiiiin 🙏🙏
Amin
Yah rabi nakuomba kwa dua hii nifungulie njia ya maisha yang mi na familia yang ameen
Ya Allah kupitia kisomo hiki naomba uniepushie nuksi za kuto olewa na uniepushie zinaa unijaalie Barakah katika maisha yangu na furaha uniepushie udwahifu wa mwili wangu
We mungu kupitia kisomo hiki naomba watoto wangu wapatwe kufunguliwa nyumba ndoa kazi ya me wangu na ofsi yangu ifunguliwe na malazi yote yaonndoke katika nyumba yangu amen
Mashaallah baada ya kusikiliza kisomo hiki mwili wangu mwepesi sana mungu akusimamie wewe na familly yako
Masha Allah, Hongera sana Ustadh wetu umenitia utulivu ktk nafsii yangu kipitia usomaji wako wa Qur'an, Smart unaweza Jazakallahu kheri
Mungu akujalie pepo ya firdausi kwasiku Ya leo nimeona majabu sn sikutegemea km nawez kutapika😭Ahmdulillah ya Allah🙏
@ladyr.r9964
7 ай бұрын
Pia mimi nimetapika nakusikia kisunzi nini maana yake nijuze mwezako
Ya rabbi kupitia kisomo iki ya allah tujalie shifaa katika familia yetu aamin🙏🙏
mashallah mashaallah Shekh Othman Micha kisomokizito watu wengi timepona Masha Allah
Allah akupe umri mrefu na wenye mafanikio hehe wetu inshallah
Alhamdulillah baada ya kusikiliza hicho kisoma asubuhi. Nilikuwa naumwa masikio koo kama linakatwa na nyembe kifua yaani vurugu halikuwa lakawida nasema tena alhamdulillah naendelea vizuri na ninetuma kwa watu kadri allah alivyoniwezesha na wanashukuru.Yaa allah mhifadhi shehe wetu na shari za mashetwani wa kijini na kibinadam
@khadijaangore4408
3 жыл бұрын
Allah Akbar! ALLAH AKBAR . ALHAMDULILLAH ALLAH ATUPONYE KWA KISOMO HIKI
@abubakarymasoud5919
3 жыл бұрын
Mashaallah
@abubakarymasoud5919
3 жыл бұрын
Allah akuripe Kira kher
Mashaallah shukran Allah akulipe insha Allah
Mashaalah shehe,,,niliposikoliza dalili zilikuja kifua kuvimba,macho yakanitoka,mihemo,nikapoga ukelele mara l Kisha nikajikaza,nashukuru sana shekhe kwa darsa lako tunapata kufaidika baada yakujifunza meng ktk yotibe zako mbalmbl ,alah akujaalie mwisho mwema ktk Dunia hii
MashaAllah shehe Hana hiyana baadhi ya masheh wanasoma nusunusu... Allah akujaalie umri mrefu...
@ashminaog1068
3 жыл бұрын
Amin
@fatumasabiti5612
3 жыл бұрын
Aamiin 🤲🤲🙏
@nelsonboniphas4152
3 жыл бұрын
Shekh wangu Allah akupe nuru dunia na akher nimefaidika sana na dua zako nimepona mkono ulio kuwa ukinisumbua kupitia dua zako Allah akuzidishie imani
@mename6020
3 жыл бұрын
@@nelsonboniphas4152 Ameen Allahuma Ameen
@HakizimanaRiziki-cj3dr
4 ай бұрын
Namii yarbii nijaliye nipone mm nawananguu
Kupitia kisomo hiki mwenyezi mungu nifungulie riziki zangu
Yarrab kupita dua hii iwe mwanzo n mwisho wa maradhi,machawi yote katika mwili mwangu n iwe dawa n yasinirudie tena inshallah
Yarabi kwa kisomo iki kiwe mwisho wa matatizo yangu. Na mwanangu inshallah 😭😭😭
@asiaiddi2539
2 жыл бұрын
Amiiin amiiin
@yusrajuma6714
Жыл бұрын
Amiin
@ashatsheh6614
Жыл бұрын
Yaarabi kwa kisomo hiki naomba unitolee matatizo Mimi na kizazi changu yaliyo miilini mwetu na utukinge na hasad za binadamu wenye husda choyo vijicho tukinge na majini eee molla wangu
@UmmuMaryam-ym1um
Жыл бұрын
Inshallah Amin
@muanassarachide1842
Жыл бұрын
Chehe nataca cuonguela na simo tafadal
Akiamungu nilicho kiona reo kwenye hii dua mungu nfo anajuà nimejikuta nàjisaga sàga na kuria na kujipiga mahasili ya mtu alopàndsha shetani,, na alafu niko peke yangu na nimejisomea mwenyew na maji nimejitemea mwenyew shehee sina mtu
Mashallah Ewe Mwenyezimungu naomba uniondolee matatizo yote kwenye mwili wangu kupitia kisomo Hilo na yapotee kabisa inshallah
yarabil nijaarie afiya yangu irudi kama zama nawatoto wangu na mama yangu mdogo wangu nafamiria yangu yote kwaujumra tuna sumburiwa namarazi yasiyo jurikana tunakuomba kwauwoze wako Allah utuondoshee iimitihani yamaradhi Aamiin yarabil aramin lnshaallah 🙏
Ya rabbi kupitia kisomo iki mungu nifungue kila changamoto niliokuwa nayo
Shukran sana shekh nimefanya kama ulivo kuwa ukisema alhamdulillah nimejihisi ila ulipokuwa ukisoma nilijiwa na usingizi mzito sana nilijikaza tuu nikamilishe kisomo baada ya kumaluza kisomo kwenye miguu nasikia vichomi vinachomachoma Jazaakallahu elf kheir 🙌
@aliidrisahmad5797
3 жыл бұрын
mashallah mashaallah
@aliidrisahmad5797
3 жыл бұрын
assalmaleyhi warahmatullahi
Yarabi nakuomba kupitia duwa hii uniondoshee husda za watu na majini na unifunguwe kwa yote nilofungwa ameen
Hauna hiyana jaman nikirud tanzania lazma nikitafute angalau nikupe shukran zako
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
marhallah marhallah
Masha Allah, Alhamdulillah nashukuru kwa Allah na kisomo kizuri , insha Allah Allah akulinde sheikh wetu na kila shari wewe na familia yako.
@zaitunibakari6724
3 жыл бұрын
Me
@rehemaswaleh147
3 жыл бұрын
@@zaitunibakari6724 mashallah kisomo dawa
@shabanihakorinoti1920
Жыл бұрын
Cheikh mungu akup kher hap duniani n'a akhera tena akuepush n'a kila shar yeyote kwa watu wako .tena neno lamwisho lako iwe shahadatu inshaallah
Ewe Mwenyezi Mungu, nakuomba Kwa unyenyekevu mkubwa mbele yako kupitia Dua hii au kisomo hiki naomba niondoshee majini wabaya wote kbsa hasa jini " MAHABA " ambalo limenisumbua Kwa muda mrefu sn sn na amenitesa sana, ridhiki zangu zote zifunguke na niweze kupata hitaji la Moyo wangu, amina
Shekhe naomba unisaidie kwa visomo mana niko nje ya nchi niko saudia natoka kenya nimeskia mlipuko wa moto hapo mgongon ambapo uwa naskia uzito naamin hii dua na ln shaa Allah mungu amekubalia ubarikiwe shekhe othman popote ulipo
@najmagoa4727
3 жыл бұрын
Mm pia niko saudia nasumbuliwa na mgongo na kifua ninaimani ikikisomo in shaaAllah nitaisi vzur
Mungu anijalie wepesi majini yatoke mwili
Allah naomba kisomo hiki kiwe chakuniondolea maradhi niliyo nayo kichwa Hadi mwili wangu ameen
Alhamdulinllah alhamdulinllah namshukulu Sana Allah nimesikiliza kisomo hiki naamin kwa uwezo wa Allah nimepona maana nimeteseka ss ivi naona Kuna nguvu furan imerudi shukuran yaraabi and shukuran shehe wetu jazzakhanllah
Allah nifanyie wepesi kupitia dua hii nateseka mm
Kuna baadhi ya mashekh wanfichaficha elmu lkn ww shekh mashallah watu wananufaika Mungu akujaliye mwisho mwema inshallh
@khadijaangore4408
3 жыл бұрын
Ameen yaraab alamiin.
@zulfawaithera5479
3 жыл бұрын
Maa shaa Allah . Ila yote ni kua yy pia sheik wake hakumfichia chochote ...yote Tisa Kumi...mafungamano yake na Allah hayana shaka ndio maana yake
@zulfawaithera5479
3 жыл бұрын
Aaamin Thumma Aaamin
@abubakarymasoud5919
3 жыл бұрын
Mashaallah
@riyamaramzy3968
3 жыл бұрын
Amin
Mungu tawala katika maisha yangu naunilide
mash allah shukran mungu akuingishe janatul firdows
Yarab jalia kisomo hiki kiwe mwisho wa matatizo yangu Na family Inshallah amin
Katika dua ili namuomba mungu ili jini mahaba litoke kwenye mwiri wangu in shallwa
Mashall mashall jazaka yako iko kwa Allah shekhe wangu naimani huu ndio mwanzo wangu mwema
Allah ni linde Mimi na watoto wangu na make wangu Kwa dua ino insha'Allah itowe uchawi na majini yote ya liyo nyumbani kwangu na uchawi insha'Allah ameni
Emwenyezi mungu najinganisha naidua ikaniondole vifungo vyote vyamwili na rizikizangu zikafunguke
Mashallaa.....
Ewe mwenyezi Mungu kupitia somo hii niondole yote mabaya amboyo muovi ametuma kwa na wanganu! Niepushe na waouvu wote wa duniani Ameen!
Maa shaa Allaah TabakaAllaah Shukraan jaziilah Sheikh wetu binafsi nimenufaika na hichi kisomo
@khadijaangore4408
3 жыл бұрын
Alhamdulillah
MaashaaAllah ... Nipo 🇰🇪 kenya na Baada ya kusikiliza kisomo hiki mimi ,ndugu yangu na mamangu na Alhamdulillah sihr ikadhihirika. Jazaakallahu kheyr Sheikh Othman and your team for initiating this ruqya and supplication and also taking your time to guide us through WhatsApp on how we will get the the medicinal oil🙏🏿
@hamiduhamis157
2 жыл бұрын
As
@mename6020
2 жыл бұрын
Ameen Allahuma Ameen
@bossmatuta1492
2 жыл бұрын
@@hamiduhamis157 ws
Shuqran Sana Allah akujaalie kher katika maisha yako na akujaalie Afya njema inshaallah dua imenisaidia na mpaka hapa mgongo mbavu zaniuma najickia pia mwili mwepesi Ila nataman kuongea nawe japo wasap kwasababu nipo Oman na vocha ya kupiga kawaida inakuwa nigarama nami garama hiyo cna kutokana na hali yangu Ila inshaallah Allah anisaidie kwa hili inshaallah Naitwa Faudhia hamidu
Yah rabby kisomo iki kiwe mwisho wa matatizo yangu yote yanao usumbua mwili wangu eeh mungu nakuomba nijaalie mja wako
Mashaal Allah akulipe kila laheri APA duniyani n'a kesho ahera akuo gezeye elimu update kumi imilisha Uma
mashallah mashallah mungu akulinde kwa kila jambo lako sheķ Athuman
Yarabi mola wangu kijaalie kisoma iki iwetiba yamaradhi aya niliyonayo🤲
Jazzaka llahu khairan Yaa Sheikh
Shukran sana jazaka Allahu kheri Nimeumwanaziwa namguu ghafla
JazzaqallAh bil khair Sheikh Othman.
Waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah .
Mashallah shukran Allah akulipe inshallah
Ee yarabby kupitia dua hii nikafunguliwe afya ukanitimizie malengo yangu ya allah baba yetu mlezi mahali nilipo fungwa leo naamin kupitia kisomo hiki nimefunguka amiin ya rabby
Ya rabby kupitia kisomo hichi iwe mwisho wa matatizo yangu na mtoto wangu inshallah
Mashallah
Sheikh othman michael allah namuomba akupe umuli mulefu wenye afiya njema na akupe moyo wakuvumilia mambo ya dunia tiba yako imenisaidia sana kwa idhini ya allah na dalasa lako limeniogezea imani dawa unazo tengeneza dawa ya mafuta ile yakupaka nidawa tosha sitaki kusemangi allah ndomujuzi
Jaman nilikuwa naumwa na tumbo nimesikiliza hii dua tumbo limeacha haliniumi...Allah akujaalie kila lenye kher shekh
Inshallah kisomo iki kiwe ufunguo wangu na kuepukana namashetani mungu hakuzidishie Dua za heri
N shukran sheh wetu Allâh akulipe Kila laher
Yarabb kwa kupitia kusoma hiki iwe ndio sababu ya mwisho wa maradhi yangu na mitihani yangu na wanangu biizinillah
Mash Allah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Sheikh wangu mung akubariki inshaallah
Mmmmmm bismillah mashallaah yalonikuta siyakusema zaid ya Alhamdulillah 🤲
Mashaa allah mashaa allah hakika hiki kisomo kinanifaa mashaka hayaishi
@aliidrisahmadhuvavaruu4918
3 жыл бұрын
assalamaleyhi warahmatullahi
Masha-ALLAAH shukran jazla sheikh
Wa shukulillah❤❤
Shukran jazakallahu kheir sheikh Allah akupe unayoyataka yenye kheri nawewe Hatuna cha kukulipa Allah atakulipa
@aliidrisahmad5797
3 жыл бұрын
rabbi Alhamdulillah
Mashallah barakallah alhamdullahi jazakallah
Mungu akulinde na macho ya uhasidi shekhe wetu hakika nawaidhika kupitia wewe alhamdulillah.naomba InshaAllah hii mada ya باب في كراهة النعمة usitukoseshe
@saidsalum7996
3 жыл бұрын
Nataka filashi ya duwa nitaipata wapi
@ntahondereyeissa661
3 жыл бұрын
Duwa nzuri sana allah akulipe kheri
Alhamdulilah mungu akuhifadhi shekh Athuman
Amin inshallah Allah atatufanyiawepesi wote tunao muomba
Allahuma Ameen jazzakhalahu kher mashaallah.
Shukran jazaka ALLAH khery Mola akulipe mema dunian na akhera na pepo ya fridous iwe makaazi yako
@allahakujazekheriwowww5694
2 жыл бұрын
Amiin
Yaarabi naomba kisomo hiki kikaingie ndani ya tumbo langu na moyo wangu kikatoe uchawi wote uliopo ktk mwili wangu inshaallah
Ya allah kupitia hii dua naomba kuondoka kwa kila matatizo yaliyopo mwilin mwangu
Shukuran M /Mungu akubarki kwawema wako shehe wetu akulipe frdaus Amina
شكرا يا شيخ جزاك الله خيرا
Mashaallah
Ya Allah nakuomba kwa kisomo hiki unifungue vifungo vyote mm n familia yangu uniondoshee jini,mashetwan n kila ubaya kwa uwezo wako
shukran sana allah akuzidishie taufiq
Inshallaah🎉🎉
Alhmdullih MashaAllah hii dunia ni kiboko ya yote wallah nilisikiliza saa 9 usiku nilivomaliza nikalala nikaanza kuota nakimbizwaa na kisuu n wanawake wawil moja mkubwaa mwingine mdogo huyo mdogo nilimpigaaa sana yule mkubwaa akaksirikaaa akaanza kunikimbiza yeye nilikimbia mwisho nikachokaa tukashikanaaa lkn hakuwa na nguvu tena ya kunipiga nikachukua ile kisu nikaondokanacho nikaamka nimetia udhu nimeswali alhmdullih
@leilamohamed1298
3 жыл бұрын
Asalam aleikum
@malikisindi3459
3 жыл бұрын
Qq.gk
@MajuvaMajuva
2 ай бұрын
Shukran sana Mungu akulipe kheri naakupe mwisho mwema
wallah Allah atuondolee haya majini ktk mwili wangu
Hii video siku zote nilikuwa naikwepa sitaki kuitizama,Leo nimepata ujasiri wa kuitizama SubhanahLLAH nimekohoa na kutapika pale aliposema usitapike Mimi nilianza kutapika, nashkuru sana Kwa dua hii nzito
Jazaaka lahu khaira sheikh
Ewe mwenyezi mungu kupitia duwa hii nifunguliwe Kila kilicho fungwa katika mwili wangu nakama Kuna kibaya chochote katika mwili wangu basi kitoke kiludi kilipo toka uchawi uliopo katika mwili wangu utoke kwauwezo wako mungu wangu
@SaidFupi
17 күн бұрын
Amin Allah afanye wepes
اللهم صل على محمد وآل محمد💚🌺💚🌺💚🌺💚صلى الله عليه وآله وسلم🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌻🌻🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌻🌻🌺🌺🌺🌺🌻🌻🌱🌱🌱⚘⚘⚘🌾🌵💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚🌼💮🏵🌹🥀🥀🌺🌺🌷🌷🌷🌿🌿🌱🌱🌱🍀🍀🍀🌻🌻🌼🌼🌼🌷🌷💐💐🌸💮💮🏵🏵🌹🌹🌹🥀🌺🌻🌻🌼🌼🌷⚘🌱🌱🌱🌷🌻🌻🌼🌷🌷🌿🌿☘🍀🍀🌴🌴🌻🌻💐🌻🌻🌼🌼🌸💮🏵🌹🌹🌹🌹🥀🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🥀🥀🌺🌺🌺🥀🌸🌸💮🏵🏵🌹🌹🥀🥀🥀🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺
Walaykum salam Warahmatullh Wabarakatuh shukran sana sheikh
Asalamu alaykum warahmatullah wabarakatu.. mashallah mashallah..shukran sana ..Allah akujalie kher na barka na akupe afya na Siha Amin Amin yaraby.
Shekhe Allah akujalie kheri hapa na dunian na kesho nilikuwa nasumbuliwa na tumbo mwaka nikienda hospitali naambiwa gesii hiyoo lkn safari hii Naamini hii dua itaniponeshaaa.
@habibadiombera7505
3 жыл бұрын
Asalam aleikum wrhtl wabarakatahu
@aliidrisahmad5797
3 жыл бұрын
mashallah mashaallah
@maxamedahmedali2961
3 жыл бұрын
Mashallah mashaallah
@maxamedahmedali2961
3 жыл бұрын
Assalam aleykum
Masha Allah tabarakaallah 😍
YARABBY NIONDOLEE MARADHI KWENYE MWILI WANGU🤲❤
Amina
Mashaa Allah Allah akulipe her nyingi kwakujitolea kwa ajil umma wake
Manshaallah mmungu akulipe🤲
Yarrab naomba nisaidie niweze kupona matatizo yangu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼amiin🙏🏼 thumaa amiin
Mashaallah Allah akulipe
Shehe.mungu.akupe.umuli.mlefu.kisomo.kimeningia.sana