DUA YA KUONDOA UCHAWI MWILINI NA MAJUMBAN

Пікірлер: 66

  • @welcomeorange7357
    @welcomeorange73572 жыл бұрын

    Tabarak Rahman Allah akulinde turekodie salat naria

  • @damarisongachemutindo66
    @damarisongachemutindo66 Жыл бұрын

    Aaamiina be blessed sheikh

  • @kulusumabbas7836
    @kulusumabbas7836 Жыл бұрын

    Sheik mweyezi mungu Skype khila la kheri Arman Amiin

  • @BakariMussa-to2me
    @BakariMussa-to2me20 күн бұрын

    Amina mufti allah akulipe wakati dua yasomwa mwili wote ulikua wasisi mka

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast817911 ай бұрын

    Allah akulipe kheri shekh wetu❤

  • @roseberryhamoud6542
    @roseberryhamoud65423 ай бұрын

    Alhamdulillah. Mwenyezi Mungu akusimamie kwa kusoma dua hii.

  • @hamidajamal6423
    @hamidajamal6423 Жыл бұрын

    Amiin. Allah atutakabalie dua yetu.

  • @zamzammohammed9240
    @zamzammohammed92404 жыл бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh Suleiman na wanao , nimejifunga mengi Sana kwa KZread channel yako. Allah ibarik

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 Жыл бұрын

    Mashallah akupe pepo fadaus pamoja na sisi

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast817911 ай бұрын

    Subhana llah nilivyoanza kuskiliza nikapigwa short na usingz mzito juu

  • @aikaabdala6366

    @aikaabdala6366

    3 ай бұрын

    Siyo wewe tu mm jana kila nikiiweka napata usingizi mzito

  • @azizamisembe-zy9bn
    @azizamisembe-zy9bn Жыл бұрын

    Naitwa aziza amisi naomba kupitia Dua hii nipone Mimi mume wangu watoto

  • @saidamaboko2463
    @saidamaboko24637 ай бұрын

    Amina yarabi shukuran

  • @mwajumanamukubembe2578
    @mwajumanamukubembe25784 жыл бұрын

    Mungu akubali duwa yeetu barakallahahu fiikum

  • @saandiyamusilm399
    @saandiyamusilm399 Жыл бұрын

    Alhamidulilah

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 Жыл бұрын

    Very powerful dua

  • @gaminpalace7120
    @gaminpalace71204 жыл бұрын

    Mashallah sheikh niko na haja ya kitu niombe dua

  • @user-sl1uu8ei3m
    @user-sl1uu8ei3m7 ай бұрын

    Amin amin

  • @ashuramberea3642
    @ashuramberea36422 жыл бұрын

    Shehe nashukuru kwa duaa yako Allah akujaze kheri mimi nilisikia baridi je inamaana gani?

  • @shoqnet
    @shoqnet4 жыл бұрын

    Nimetapika Badayaduwa Naitwamuna Namushukurumungu Nawe Akuzidishiye Kilalaherinamaishamarefu Malipoyako Utalipwana Mungu Ishala

  • @shekhalkhaj7236

    @shekhalkhaj7236

    3 жыл бұрын

    Nakushukuru,, Naitwa SHEIKH umenisaidia USTADHI Ahmad nilikuwa naumwa ktk wiki nimejisikia afadhali kichwa kilikuwa kinaumwa usiku

  • @shekhalkhaj7236

    @shekhalkhaj7236

    3 жыл бұрын

    سلم عليكم ورحمة الله وبركا ته Nakushukuru Alla akulipe LA heri ni ustadhi Ahmad MWAFRIKA na kaa kijijini kigoma nilitaka ktk somo letu la mbazi majirani wangu wote ni wa kristo wamenitumia kubwa wa Subiani nakuomba unipe somo mbazi nikarudisha kobora ili wasizoweye wanasema tumemuweza sheikh hatoki, nachoka maelezo ni mengi

  • @emmychapile4288

    @emmychapile4288

    3 жыл бұрын

    Ishaallah kwa dua shekh lkn tunaomba na dua za usiku na za asubuh wengine waklisto ili tuwe tunasikliza

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Жыл бұрын

    Allah atufanyie wepes sote

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 Жыл бұрын

    Allah akubarik sheikh

  • @haijas1279
    @haijas12794 жыл бұрын

    Manshaallah

  • @BakariMussa-to2me
    @BakariMussa-to2me20 күн бұрын

    Amin shehk nifanye nini ili nimludishe mkewangu kanikimbia kwani bado nampenda nifundishe dua au uladi wakumfanya aludi

  • @africandarling6925
    @africandarling69253 жыл бұрын

    Dua inasomwa kama upepo hivi umetoka kwenye mguu wa kulia mpaka nimeshituka

  • @annamariko8160
    @annamariko81604 жыл бұрын

    Mashaallah sheikh dua iwe makuburati Allahuma Amiin.

  • @bosireogwera3875
    @bosireogwera38754 жыл бұрын

    Asante kwa maelezo

  • @elizabethmbaruku7079
    @elizabethmbaruku70792 жыл бұрын

    Nimefatilia duwa mchana huu kichwa kizito na mwili umekuwa mwepesi

  • @mariamomari4521
    @mariamomari45213 жыл бұрын

    Alhmdulilallh

  • @mamaziada134
    @mamaziada1343 ай бұрын

    Aminiaa

  • @ashurar2721
    @ashurar27214 жыл бұрын

    AMIIN AMIIN AMIIN😢😢😢😢😢

  • @mwanaishamohamedi3067
    @mwanaishamohamedi30672 жыл бұрын

    Amiiin

  • @ashaysuph7581
    @ashaysuph75813 жыл бұрын

    Amen

  • @latifaally5322
    @latifaally5322 Жыл бұрын

    Amin

  • @maisha6816
    @maisha68163 жыл бұрын

    Mashallah mungu akuzidishie

  • @waddytz5239

    @waddytz5239

    3 жыл бұрын

    Allah Akupe kila hitaj la moyo wako

  • @kizzykinega3362
    @kizzykinega33623 жыл бұрын

    Amin.nimelia na kutetemeka nakuhisi vichomi na mwili mzito.

  • @dullaswahiba843

    @dullaswahiba843

    Жыл бұрын

    Majini hayo yanatembea ndani ya damu

  • @user-is7ot7bq9x

    @user-is7ot7bq9x

    7 ай бұрын

    Ata mm mwili umechange na vitu mdomoni 😭🙏🏻

  • @ashrafyyousuf6821
    @ashrafyyousuf68219 ай бұрын

    Namba yako watap sheikh

  • @user-ib5ym5ii7l
    @user-ib5ym5ii7l9 ай бұрын

    Mimi naota kichwa kimetiwa moto

  • @zoharimohamedi8438
    @zoharimohamedi84384 жыл бұрын

    Naaaam vitu hvooo

  • @fatmamohamed1099
    @fatmamohamed10993 жыл бұрын

    Mashllh

  • @Khadija-qy4lf
    @Khadija-qy4lf6 ай бұрын

    Shekhe naomba namba yko

  • @sabrinahlutha3743
    @sabrinahlutha37433 жыл бұрын

    Kichwa kimeshika moto baada ya duwa

  • @welcomeorange7357
    @welcomeorange73572 жыл бұрын

    Sheikh asante tunaomba salat naria kwa hisani yako

  • @zainabboss5619

    @zainabboss5619

    2 жыл бұрын

    Mimi naomba namba yake naipataje

  • @mariamomari4521
    @mariamomari45213 жыл бұрын

    Kichwa ndio kizito mbele ya kipaji chauso

  • @bakarybeka6976
    @bakarybeka6976 Жыл бұрын

    Shukran

  • @munaabdullahi6796
    @munaabdullahi67963 жыл бұрын

    masha allah shukran allah akuzidishiye amiiin allahuma amiiin

  • @emmanuelrichard5742
    @emmanuelrichard57423 жыл бұрын

    Sharifu sureymana tv

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb71943 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @ashurar2721
    @ashurar27214 жыл бұрын

    Ustadhi mm naota mala kwa mala nipo kwenye Hafra ila nikienda chooni choo kimejaa kisha Kirechoo kikowazi watu wana niona hii nn maana yake mana inaniaumbuwa sana

  • @zamzammohammed9240

    @zamzammohammed9240

    4 жыл бұрын

    Ndoto nzuri dada, pesa hizo Ila fanya bidii upate kwa njia ya halali

  • @waddytz5239
    @waddytz52393 жыл бұрын

    Ameen

  • @hassanwaziri1131
    @hassanwaziri1131 Жыл бұрын

    Samahn dua hii unaisoma Mara Mara ngapi?

  • @jamilaahmed4093
    @jamilaahmed40932 жыл бұрын

    A

  • @kulusumabbas7836
    @kulusumabbas7836 Жыл бұрын

    Kina langu kulsum Abbas kutoka Burundi thehebu la kihindi nimesikiya Dua hii nimekua Kabila nahisi kitu kizito kama mkuri mgongoni apakaribu umalize nimesikia kitu kinatoka mwilini

  • @aishajolie3389
    @aishajolie33893 жыл бұрын

    Jaribu ku itengeneza vizuri insha ALAAH

  • @aminamusa9174
    @aminamusa91749 ай бұрын

    Sheikh mimi mbona nikianza kuskiliza tu napitiwa na usingizi nini shida

  • @aikaabdala6366

    @aikaabdala6366

    3 ай бұрын

    Hata mm

  • @aishajolie3389
    @aishajolie33893 жыл бұрын

    Amin Amin , inakataa kuendeleya yani ime kwama haisomi

  • @zoharimohamedi8438
    @zoharimohamedi84384 жыл бұрын

    Naaaam vitu hviii napenda kujuwa unagroup whatsap