Sifa Za Mti Mkuu Kiboko Ya Wachawi / Ondoa Uchawi Nyumbani Kwako Kwa Mti Huu/ Ustaidh Jafar Mchawi
Ойын-сауық
Sifa Za Mti Mkuu Kiboko Ya Wachawi / Ondoa Uchawi Nyumbani Kwako Kwa Mti Huu/ Ustaidh Jafar Mchawi
Mashaa Allah Sheikh Jafar Mchawi akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Sifa Za Mti Mkuu Kiboko Ya Wachawi / Ondoa Uchawi Nyumbani Kwako Kwa Mti Huu/ Ustaidh Jafar Mchawi
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Пікірлер: 32
Shukran sheikh Mola akujaze kheri nyingi na anijaalie nikifika inshaAllah ntakutafuta inshaAllah.
Kama Niko mbali na Tanzania
Na mimi natafuta nusra sheikh dua zenu inshaa Allah
Mungu atie rehma zake tushakunywa , kukoga kazi kwenu wachawi sasa, Mashallah sheikh majibu nayaona
@user-pw2sw1sk1b
2 ай бұрын
Umeupata wap my huo.mti
Mashallah nimewapenda bure Mungu awape maisha marefu
Shukurani sana shekhe
Asante sana kwa Elimu nzuri.
Jambo tunakufyata saana samahani mukuwe naonesha mti zote kuhusu mafasrio kuhusu fahamu tuko goma congo
Bei gani na tunaipata wapi?
❤❤❤❤❤❤
@muniramunira4829
Жыл бұрын
Shukrani sana wa kaka zangu nawapenda sana tena mshikamane mkono kwa mkono hadi peponi wallahi
@muniramunira4829
Жыл бұрын
Unajua kwanini dawa za waganga wengi hazitumik lol nihatari kaka yangu wanazini wagojwa sasa iyo dawa itatumik sangapi?.sala kwanza hakuna ?uongo mwingi.piya wanaomba pesa nyingi.yaani wengi wao ni waog tuu Allah awabadirishe na fasi zao kbsa ni ayibu
Asalam aleikum, W,W,Sheikh nitapataje hii dawa,niko Kenya maeneo ya Kisumu.
Salamoaleco Mimi ninachida nhu mbani visanga avishi namanisha uachaui mti mku uko namnagani
Poa. Sana
wachawi washakuwa wengi shv tutashkur tunateseka sn hawa wanga na shv wadogo vijana wamo kwenye ngoma bei gn uwo mti mkuu
Yani ww unawaharibiaa wa Gangawezako mbwembwe yasanda sasa inakuhunn kutibu niufunuo kilamumoja anapewa tofauti
Asalam alaikum warahmatullah,sheikh naomba namba yako ya sim
Nauliza sheikh,ukiupanda nyumbani kwako ni sawa au itakuwa umewapa nafasi wachawi kuhifadhi vitu vyao kwenye mti huo?
Can anybody tell me the name of that tree in English?
@aminak6727
3 ай бұрын
Did you get the answer?
Nauao mbeya maysha mema
👍👍👍👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍👍👍🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Asalam aleikum naitaka jamani
@fatmaabasi
5 ай бұрын
❤
Kwaiyo kuwauwa huna makosa wachawi
Unapatikana wap shekhe mti?
@DarsaTV.
2 ай бұрын
Namba ziko hapo kwenye video piga
Mm sielewi ni mtii gani huu
@bintbanj3990
10 ай бұрын
mbaazi
Tunaomba number zenu please