INAJUZU KUOA MKRISTO?

MASWALI NA MAJIBU KILA SIKU YA MWISHO WA MWEZI NA USTADH KHATIB OMARY, ULIZA SWALI LAKO KUPITIA 0765 586 868 SHEIKH ATAKUJIBU BIIDHILLAH INSHAALLAH
#mawaidha #darsa #masjidkitumbini #khutbah #quran #koran #islam #2023
KARIBU DARASANI KILA SIKU YA IJUMATATU MPAKA AL KHAMIS BAADA YA SWALA YA ADHUHURI MASJID AL JUMAA, KITUMBINI

Пікірлер: 13

  • @bonnycharles1239
    @bonnycharles1239Күн бұрын

    Naomba kuuliza, kama mtu ana mke na watoto wakiwa wote ni wakristo halafu mume aka amuwa kuslim, lkn mke wake hataki kuslim je huyu mtu anatakiwa afanye nn ili awe mkamilifu katika dini maana inasemekana mke wako kama si muislam bado hujakamilika samahani naomba mnisaidie katika hilo.

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib28 күн бұрын

    Hujajibu suali Umeongea porojo tuuuuu

  • @ibrahimjumbe8121
    @ibrahimjumbe81213 ай бұрын

    Mmmmmmmmmh 😢

  • @idrissamustafabukenya6110
    @idrissamustafabukenya61102 ай бұрын

    Sheikh maneno mengi hujabibu swali umepiga story tu. Hajapinga kama hawako.ila swali nihivi wakirisito wanafa kuwawowa?

  • @salimmapande4668

    @salimmapande4668

    2 ай бұрын

    Sijui kwanini inakuwa vigumu kwa mtu kukubali kwamba swali limemshinda

  • @isaachassan43

    @isaachassan43

    Ай бұрын

    Hapa kwetu Kenya wengi ni washirikina hapo vipi?

  • @idrissamustafabukenya6110

    @idrissamustafabukenya6110

    Ай бұрын

    @@isaachassan43 niharamu kumuwowa mushirikina ata kama amekufurahisha

  • @m.othman866

    @m.othman866

    Ай бұрын

    Usihukumu mambo bila kufahamu kwa sheria.​@@idrissamustafabukenya6110

  • @KomoraMohamed

    @KomoraMohamed

    Ай бұрын

    Kwa evo hakuna sio

  • @abdallahdataguy
    @abdallahdataguy18 күн бұрын

    Wakristo na mayahudi ndo ahlulkitaab. Wamejaa tele mitaani kwetu sijui kwa nini tunajipa kazi ya kuwatafuta watu wanaojulikana au tunajipa fikra ya kukataa uhalisia. Ahlulkitaab ni mayahudi na wakristo sasa watu tunakataa kwa kutumia akili. Hapo ndo utaona ujinga wa waislamu walio wengi. Ruhusa imetoka kwenye surat Maaidah aya ya 5.

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    12 күн бұрын

    Ahlulkitabu wenyewe ndiyo hawa wandengereko, wachaga, na wanyakyusa wanaofata maandiko ya yaliyochakachuliwa au vipi?! 😂😂😂 tambua waliokusudiwa sio hawa ni wale wa zamani waliofata taurati na injili ya kweli ambao tayari walishapambanukiwa bishara watakayoifata ya Mtume Muhammad (S) baada ya ujio wake kwao, ahlulkitab hawa wa sasa asili ya mafundisho yao imetoka kwa nani?! Yesu Mussa au Fikra za wazungu waliyoyachakata mafundisho sahihi ya ahlulkitab halisi?!... kaka usiwe mwepesi hivyo... tafakari!!

Келесі