Naomba kuuliza, kama mtu ana mke na watoto wakiwa wote ni wakristo halafu mume aka amuwa kuslim, lkn mke wake hataki kuslim je huyu mtu anatakiwa afanye nn ili awe mkamilifu katika dini maana inasemekana mke wako kama si muislam bado hujakamilika samahani naomba mnisaidie katika hilo.
@user-ne7xi3bk3p13 күн бұрын
Jazakallahu khairah maulana khatwiib
@user-ne7xi3bk3p14 күн бұрын
جزاك الله خيرا
@abdallahdataguy17 күн бұрын
Wakristo na mayahudi ndo ahlulkitaab. Wamejaa tele mitaani kwetu sijui kwa nini tunajipa kazi ya kuwatafuta watu wanaojulikana au tunajipa fikra ya kukataa uhalisia. Ahlulkitaab ni mayahudi na wakristo sasa watu tunakataa kwa kutumia akili. Hapo ndo utaona ujinga wa waislamu walio wengi. Ruhusa imetoka kwenye surat Maaidah aya ya 5.
@rayisadesigns264611 күн бұрын
Ahlulkitabu wenyewe ndiyo hawa wandengereko, wachaga, na wanyakyusa wanaofata maandiko ya yaliyochakachuliwa au vipi?! 😂😂😂 tambua waliokusudiwa sio hawa ni wale wa zamani waliofata taurati na injili ya kweli ambao tayari walishapambanukiwa bishara watakayoifata ya Mtume Muhammad (S) baada ya ujio wake kwao, ahlulkitab hawa wa sasa asili ya mafundisho yao imetoka kwa nani?! Yesu Mussa au Fikra za wazungu waliyoyachakata mafundisho sahihi ya ahlulkitab halisi?!... kaka usiwe mwepesi hivyo... tafakari!!
@KulwaMichuzi21 күн бұрын
Mashaalah
@Al.habeebAl.habaaib26 күн бұрын
Hujajibu suali Umeongea porojo tuuuuu
@MohammadToya28 күн бұрын
A.a shuqran
@user-ne7xi3bk3p28 күн бұрын
Jazakallahu khairah yaa shekh
@user-ne7xi3bk3pАй бұрын
Jazakallahu khairah yaa shekh
@user-ne7xi3bk3pАй бұрын
Masha Allah jazakallahu khairah
@AymanlandАй бұрын
Masheikh kama hawa ndio hupotosha Ummah , maulaa nao ni binadamu hupatia na hukosea kwanza Sheikh Albaniy hajalazimisha Niqab ametia Ulaini kiasi cha kutoifanya ni wajibu huyo muuliza swali huwenda kalitunga au ni kweli lakini kasahau maana Albaniy rahimahu Allah hajalazimisha Niqab pamoja na hilo aliteleza tuangalie QUR'AN na mtume Tutaona Niqabu ni lazima Tuache ujanja ujanja hawa Walinganiaji wengine wanatamani kuona nyuso za wanaweka ndio maana wanasema niqabu sio lazima
@rashidnihuka6245Ай бұрын
Shekhe mmmmh
@habibbeiyyeАй бұрын
Majibu hayana dalili.....
@AliMohamed-bp5ji2 ай бұрын
Hiyo maik inabugdha haisikiki kwa ufasaha.
@AliMohamed-bp5ji2 ай бұрын
Hiyomaiki inabugdha hatusikii kwa ufasaha
@Muislamu2 ай бұрын
Namuuliza huyu shk alipata wapi hio jawabu ...hekma ya swala za siri na jahiri.. Kutufu kando ya alkaba bega likiwa nje ..na kutembea kw haraka ile mizunguko mitatu ya mwanzo..tupe umenukuu wapi kitabu gani ? Mwanachuoni gani ?
@khalidalsinany8932 ай бұрын
Kuna mudharaba Na kuna murabaha Na Itstithnaa Bai Salam Murabaha bank hununua bidhaa sehemu husika Kwa makubaliano na Kwa mujibu wa mahitaji wa yule mteja, baada ya manunuzi wa Ile bidhaa bank huuza ila bidhaa Kwa yule mteja Kwa kiwango kikubwa na huyu mteja malipo ulipa Kwa awamu Kwa msingi huo bank hupata faida na module hii huitwa murabaha
@asafiasafi72042 ай бұрын
Mashaallah
@idrissamustafabukenya61102 ай бұрын
Sheikh maneno mengi hujabibu swali umepiga story tu. Hajapinga kama hawako.ila swali nihivi wakirisito wanafa kuwawowa?
@salimmapande4668Ай бұрын
Sijui kwanini inakuwa vigumu kwa mtu kukubali kwamba swali limemshinda
@isaachassan43Ай бұрын
Hapa kwetu Kenya wengi ni washirikina hapo vipi?
@idrissamustafabukenya6110Ай бұрын
@@isaachassan43 niharamu kumuwowa mushirikina ata kama amekufurahisha
@m.othman866Ай бұрын
Usihukumu mambo bila kufahamu kwa sheria.@@idrissamustafabukenya6110
Пікірлер
Naomba kuuliza, kama mtu ana mke na watoto wakiwa wote ni wakristo halafu mume aka amuwa kuslim, lkn mke wake hataki kuslim je huyu mtu anatakiwa afanye nn ili awe mkamilifu katika dini maana inasemekana mke wako kama si muislam bado hujakamilika samahani naomba mnisaidie katika hilo.
Jazakallahu khairah maulana khatwiib
جزاك الله خيرا
Wakristo na mayahudi ndo ahlulkitaab. Wamejaa tele mitaani kwetu sijui kwa nini tunajipa kazi ya kuwatafuta watu wanaojulikana au tunajipa fikra ya kukataa uhalisia. Ahlulkitaab ni mayahudi na wakristo sasa watu tunakataa kwa kutumia akili. Hapo ndo utaona ujinga wa waislamu walio wengi. Ruhusa imetoka kwenye surat Maaidah aya ya 5.
Ahlulkitabu wenyewe ndiyo hawa wandengereko, wachaga, na wanyakyusa wanaofata maandiko ya yaliyochakachuliwa au vipi?! 😂😂😂 tambua waliokusudiwa sio hawa ni wale wa zamani waliofata taurati na injili ya kweli ambao tayari walishapambanukiwa bishara watakayoifata ya Mtume Muhammad (S) baada ya ujio wake kwao, ahlulkitab hawa wa sasa asili ya mafundisho yao imetoka kwa nani?! Yesu Mussa au Fikra za wazungu waliyoyachakata mafundisho sahihi ya ahlulkitab halisi?!... kaka usiwe mwepesi hivyo... tafakari!!
Mashaalah
Hujajibu suali Umeongea porojo tuuuuu
A.a shuqran
Jazakallahu khairah yaa shekh
Jazakallahu khairah yaa shekh
Masha Allah jazakallahu khairah
Masheikh kama hawa ndio hupotosha Ummah , maulaa nao ni binadamu hupatia na hukosea kwanza Sheikh Albaniy hajalazimisha Niqab ametia Ulaini kiasi cha kutoifanya ni wajibu huyo muuliza swali huwenda kalitunga au ni kweli lakini kasahau maana Albaniy rahimahu Allah hajalazimisha Niqab pamoja na hilo aliteleza tuangalie QUR'AN na mtume Tutaona Niqabu ni lazima Tuache ujanja ujanja hawa Walinganiaji wengine wanatamani kuona nyuso za wanaweka ndio maana wanasema niqabu sio lazima
Shekhe mmmmh
Majibu hayana dalili.....
Hiyo maik inabugdha haisikiki kwa ufasaha.
Hiyomaiki inabugdha hatusikii kwa ufasaha
Namuuliza huyu shk alipata wapi hio jawabu ...hekma ya swala za siri na jahiri.. Kutufu kando ya alkaba bega likiwa nje ..na kutembea kw haraka ile mizunguko mitatu ya mwanzo..tupe umenukuu wapi kitabu gani ? Mwanachuoni gani ?
Kuna mudharaba Na kuna murabaha Na Itstithnaa Bai Salam Murabaha bank hununua bidhaa sehemu husika Kwa makubaliano na Kwa mujibu wa mahitaji wa yule mteja, baada ya manunuzi wa Ile bidhaa bank huuza ila bidhaa Kwa yule mteja Kwa kiwango kikubwa na huyu mteja malipo ulipa Kwa awamu Kwa msingi huo bank hupata faida na module hii huitwa murabaha
Mashaallah
Sheikh maneno mengi hujabibu swali umepiga story tu. Hajapinga kama hawako.ila swali nihivi wakirisito wanafa kuwawowa?
Sijui kwanini inakuwa vigumu kwa mtu kukubali kwamba swali limemshinda
Hapa kwetu Kenya wengi ni washirikina hapo vipi?
@@isaachassan43 niharamu kumuwowa mushirikina ata kama amekufurahisha
Usihukumu mambo bila kufahamu kwa sheria.@@idrissamustafabukenya6110
Kwa evo hakuna sio
MashaAllah ❤
Mmmmmmmmmh 😢
Mashaallah ❤
Allah akuhifadhi shekhe wetu mpendwa
MaaShaaAllaah { { لَّهُۥۚ وَأَن تَصُومُوا۟ خَیۡرࣱ لَّكُمۡ إِن كُنتُمۡ تَعۡلَمُونَ } [Surah Al-Baqarah: 184] ]
Mashallah Allah awalinde vijana wetu
Mashallah 😊
Mashallah
Ahsante Maalim khatib , jazaakallah kheir
Jazaakallahu khairah
🎉mashallah
Mashallah
Masha Allah jazaakallahu khaira بارك الله فيك
Masha Allah jazakallahu khaira بارك الله فيك
Masha Allah jazakallahu khaira بارك الله فيك
Masha Allah jazakallahu khaira بارك الله فيك
Masha-Allah
Mashallah al qariuzzamaan
Shukran
👍
ما شاء الله أحسنت يا شيخنا و أستاذنا خطيب حفظك الله
👍
Mashallah👍