Ustadh Khatib Omar

Ustadh Khatib Omar

This is an official channel for Ustadh Khatib Omar, focusing on delivering islamic and general teachings.

FADHILA ZA KUSWALI  JAMAA

FADHILA ZA KUSWALI JAMAA

FAHAM NGUZO ZA HIJJA

FAHAM NGUZO ZA HIJJA

Пікірлер

  • @bonnycharles1239
    @bonnycharles1239Сағат бұрын

    Naomba kuuliza, kama mtu ana mke na watoto wakiwa wote ni wakristo halafu mume aka amuwa kuslim, lkn mke wake hataki kuslim je huyu mtu anatakiwa afanye nn ili awe mkamilifu katika dini maana inasemekana mke wako kama si muislam bado hujakamilika samahani naomba mnisaidie katika hilo.

  • @user-ne7xi3bk3p
    @user-ne7xi3bk3p13 күн бұрын

    Jazakallahu khairah maulana khatwiib

  • @user-ne7xi3bk3p
    @user-ne7xi3bk3p14 күн бұрын

    جزاك الله خيرا

  • @abdallahdataguy
    @abdallahdataguy17 күн бұрын

    Wakristo na mayahudi ndo ahlulkitaab. Wamejaa tele mitaani kwetu sijui kwa nini tunajipa kazi ya kuwatafuta watu wanaojulikana au tunajipa fikra ya kukataa uhalisia. Ahlulkitaab ni mayahudi na wakristo sasa watu tunakataa kwa kutumia akili. Hapo ndo utaona ujinga wa waislamu walio wengi. Ruhusa imetoka kwenye surat Maaidah aya ya 5.

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns264611 күн бұрын

    Ahlulkitabu wenyewe ndiyo hawa wandengereko, wachaga, na wanyakyusa wanaofata maandiko ya yaliyochakachuliwa au vipi?! 😂😂😂 tambua waliokusudiwa sio hawa ni wale wa zamani waliofata taurati na injili ya kweli ambao tayari walishapambanukiwa bishara watakayoifata ya Mtume Muhammad (S) baada ya ujio wake kwao, ahlulkitab hawa wa sasa asili ya mafundisho yao imetoka kwa nani?! Yesu Mussa au Fikra za wazungu waliyoyachakata mafundisho sahihi ya ahlulkitab halisi?!... kaka usiwe mwepesi hivyo... tafakari!!

  • @KulwaMichuzi
    @KulwaMichuzi21 күн бұрын

    Mashaalah

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib26 күн бұрын

    Hujajibu suali Umeongea porojo tuuuuu

  • @MohammadToya
    @MohammadToya28 күн бұрын

    A.a shuqran

  • @user-ne7xi3bk3p
    @user-ne7xi3bk3p28 күн бұрын

    Jazakallahu khairah yaa shekh

  • @user-ne7xi3bk3p
    @user-ne7xi3bk3pАй бұрын

    Jazakallahu khairah yaa shekh

  • @user-ne7xi3bk3p
    @user-ne7xi3bk3pАй бұрын

    Masha Allah jazakallahu khairah

  • @Aymanland
    @AymanlandАй бұрын

    Masheikh kama hawa ndio hupotosha Ummah , maulaa nao ni binadamu hupatia na hukosea kwanza Sheikh Albaniy hajalazimisha Niqab ametia Ulaini kiasi cha kutoifanya ni wajibu huyo muuliza swali huwenda kalitunga au ni kweli lakini kasahau maana Albaniy rahimahu Allah hajalazimisha Niqab pamoja na hilo aliteleza tuangalie QUR'AN na mtume Tutaona Niqabu ni lazima Tuache ujanja ujanja hawa Walinganiaji wengine wanatamani kuona nyuso za wanaweka ndio maana wanasema niqabu sio lazima

  • @rashidnihuka6245
    @rashidnihuka6245Ай бұрын

    Shekhe mmmmh

  • @habibbeiyye
    @habibbeiyyeАй бұрын

    Majibu hayana dalili.....

  • @AliMohamed-bp5ji
    @AliMohamed-bp5ji2 ай бұрын

    Hiyo maik inabugdha haisikiki kwa ufasaha.

  • @AliMohamed-bp5ji
    @AliMohamed-bp5ji2 ай бұрын

    Hiyomaiki inabugdha hatusikii kwa ufasaha

  • @Muislamu
    @Muislamu2 ай бұрын

    Namuuliza huyu shk alipata wapi hio jawabu ...hekma ya swala za siri na jahiri.. Kutufu kando ya alkaba bega likiwa nje ..na kutembea kw haraka ile mizunguko mitatu ya mwanzo..tupe umenukuu wapi kitabu gani ? Mwanachuoni gani ?

  • @khalidalsinany893
    @khalidalsinany8932 ай бұрын

    Kuna mudharaba Na kuna murabaha Na Itstithnaa Bai Salam Murabaha bank hununua bidhaa sehemu husika Kwa makubaliano na Kwa mujibu wa mahitaji wa yule mteja, baada ya manunuzi wa Ile bidhaa bank huuza ila bidhaa Kwa yule mteja Kwa kiwango kikubwa na huyu mteja malipo ulipa Kwa awamu Kwa msingi huo bank hupata faida na module hii huitwa murabaha

  • @asafiasafi7204
    @asafiasafi72042 ай бұрын

    Mashaallah

  • @idrissamustafabukenya6110
    @idrissamustafabukenya61102 ай бұрын

    Sheikh maneno mengi hujabibu swali umepiga story tu. Hajapinga kama hawako.ila swali nihivi wakirisito wanafa kuwawowa?

  • @salimmapande4668
    @salimmapande4668Ай бұрын

    Sijui kwanini inakuwa vigumu kwa mtu kukubali kwamba swali limemshinda

  • @isaachassan43
    @isaachassan43Ай бұрын

    Hapa kwetu Kenya wengi ni washirikina hapo vipi?

  • @idrissamustafabukenya6110
    @idrissamustafabukenya6110Ай бұрын

    @@isaachassan43 niharamu kumuwowa mushirikina ata kama amekufurahisha

  • @m.othman866
    @m.othman866Ай бұрын

    Usihukumu mambo bila kufahamu kwa sheria.​@@idrissamustafabukenya6110

  • @KomoraMohamed
    @KomoraMohamedАй бұрын

    Kwa evo hakuna sio

  • @AshaWanza-yu9bc
    @AshaWanza-yu9bc2 ай бұрын

    MashaAllah ❤

  • @ibrahimjumbe8121
    @ibrahimjumbe81212 ай бұрын

    Mmmmmmmmmh 😢

  • @fathimaalloo9663
    @fathimaalloo96634 ай бұрын

    Mashaallah ❤

  • @KheriSalim-xy6yd
    @KheriSalim-xy6yd4 ай бұрын

    Allah akuhifadhi shekhe wetu mpendwa

  • @feisalal-hassan9748
    @feisalal-hassan97484 ай бұрын

    MaaShaaAllaah { { لَّهُۥۚ وَأَن تَصُومُوا۟ خَیۡرࣱ لَّكُمۡ إِن كُنتُمۡ تَعۡلَمُونَ } [Surah Al-Baqarah: 184] ]

  • @AhmedMohammed-yw8km
    @AhmedMohammed-yw8km4 ай бұрын

    Mashallah Allah awalinde vijana wetu

  • @sarahbaabad5008
    @sarahbaabad50084 ай бұрын

    Mashallah 😊

  • @RashidiMaliki
    @RashidiMaliki5 ай бұрын

    Mashallah

  • @sameermilo4907
    @sameermilo49075 ай бұрын

    Ahsante Maalim khatib , jazaakallah kheir

  • @user-ne7xi3bk3p
    @user-ne7xi3bk3p8 ай бұрын

    Jazaakallahu khairah

  • @user-ne7xi3bk3p
    @user-ne7xi3bk3p8 ай бұрын

    🎉mashallah

  • @user-ne7xi3bk3p
    @user-ne7xi3bk3p8 ай бұрын

    Mashallah

  • @user-ne7xi3bk3p
    @user-ne7xi3bk3p8 ай бұрын

    Masha Allah jazaakallahu khaira بارك الله فيك

  • @user-ne7xi3bk3p
    @user-ne7xi3bk3p8 ай бұрын

    Masha Allah jazakallahu khaira بارك الله فيك

  • @user-ne7xi3bk3p
    @user-ne7xi3bk3p8 ай бұрын

    Masha Allah jazakallahu khaira بارك الله فيك

  • @user-ne7xi3bk3p
    @user-ne7xi3bk3p8 ай бұрын

    Masha Allah jazakallahu khaira بارك الله فيك

  • @abdulrahmanjumasaid8152
    @abdulrahmanjumasaid81529 ай бұрын

    Masha-Allah

  • @Coachmaster76
    @Coachmaster76 Жыл бұрын

    Mashallah al qariuzzamaan

  • @najlaskitchen1572
    @najlaskitchen1572 Жыл бұрын

    Shukran

  • @alwi100mu
    @alwi100mu Жыл бұрын

    👍

  • @sameermilo4907
    @sameermilo4907 Жыл бұрын

    ما شاء الله أحسنت يا شيخنا و أستاذنا خطيب حفظك الله

  • @alwi100mu
    @alwi100mu Жыл бұрын

    👍

  • @alwi100mu
    @alwi100mu Жыл бұрын

    Mashallah👍