MUHAMMAD BACHU NI MFITINISHAJI ANAETAFUTA UMAARUFU SI MSOMI
USIACHE KU SUBSCRIBE KZread CHANNEL YETU ALWIY MUHANNA🔴 KU LIKE, KU SHARE, NA KU COMMENT ALWY TV UKUMBUSHO KWA WOTE
Жүктеу.....
Пікірлер: 281
@shabanimsomaАй бұрын
Mungu amjaaalie sheikh Bachu elimu zaid na zaid
@habibmayike7463
Ай бұрын
Ww na yy mazuka
@madrassatulihyaa-ilislaami2911
Ай бұрын
Amjaalie elimu kwasababu hana elimu,,..Wallah
@saidali9255Ай бұрын
Allah insha Allah amlinde Bachu! Mtaumia bure! Bachu fanya kazi ya Allah!
@abdulmohd6880Ай бұрын
Nlkua nasubiria hoja ila kumbe kuna michambo na mipasho tu, Bachu yy anachokiongea hua analeta dalili🤝
@mzulwa2006
Ай бұрын
Hao dalili zao ni wanazuoni wao maana ni Maha's um
@ibrangowo6185
Ай бұрын
HIZO UNAZOITA DALILI NDIO HIZO HIZO MASHEHE WAKE WANAMSAHIHISHA. YAKO MASWALI MENGI ALIULIZWA HADI LEO HAJAWEZA KUYAJIBU. 1 . JE WAISLAMU WANAWEZA KUTEKELEZA IBADA ZAO ZOTE KWA ASILIMIA 100 BILA MSAADA WA SIMU NA TV? HILO NI SWALI LA KWANZA. LABDA UMSAIDIE KUJIBU.
@bafaaabuuАй бұрын
Kiukweli mm binafsi nashukuru allah nimeijua haki ya kweli ya siku ya arafa kwa kupia mohammedi bachu mashaallah alla azidi kutuongoza na allah ampe umri mrefu azidi kutupa elimu kwa hili na mengine innshaalah nyinyi niwazushi2
@kassimsaid4481
Ай бұрын
Wewe ni mwanafunzi mwenye ufahamu finye ndio maana wayaelewa ya BACHU PEKEE angalia hata ibara yako ulivyoandika haumo kabisa . Kasome zisomeke.
@Shuu.A
Ай бұрын
Finyu nyie mnaofata mwezi wa kijinga wa serikali
@SaidiOmy
Ай бұрын
@@Shuu.A Hakuna mwezi wa serikali Mioandamo ya mwezi .. jambo alilotaja Allah KTK Qur ani .. Kisha mwezi ni milki ya Allah HAKUNA mwezi wa Serekali wala wa Mufti acha uongo wako. Huoni kuwa unafanya dhulma.. ?? Kumpa kitu yule ambaye sio chake na kumpokonya ambae ni chake ?? Tafakari kabla huja andika chochote au kukisema . Allah akutoe kwenye UWAHABI.. Na akuongoze kwenye haqqi pmj na sisi ..
@user-rb8ir9co9kАй бұрын
Yaa Allah muhifadhi Sheikh wetu Muhammad Bacho na fitna za hawa wasio mpenda
@AshrafBunuАй бұрын
Allah amuhifadhi sheikh Bachu
@hudhaifahsadru-xr2gg
Ай бұрын
Aamiyn
@ramadhanishabani2712Ай бұрын
Wewe endelea kuangalia mwezi wako sisi tunaangalia mwezi wa allah
@madrassatulihyaa-ilislaami2911
Ай бұрын
Kwahyo hii miezo mengine ni ya Shaitwan sio
@NuruJuma-zv3yzАй бұрын
Lukman alimuusia mtotowake, ukikataza mabaya na kuamrisha mema lazima itakukuta taabu, bachu Mungu akuongezee elimu Zaid na zaidi
Hawa mashekh wa maulidi wana tabu Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu
@Shuu.A
Ай бұрын
Ameen
@mzulwa2006
Ай бұрын
Kiarabu kingi jibu lapotezwa kwa kuzungusha ukweli.tumeambiwa tufikishe walau aya.
@salehrashid-fx9rqАй бұрын
Allwah amhifadhi sheikh letu Muhammad bachu. Kwakweli anaitendea haki dini yetu ya kiislamu. Hawa mashehe wengine hawana mpango isipokuwa kupoteza muda. Mimi nimemfahamu saana sheikh Muhammad bachu
@user-ox4fv4cf5lАй бұрын
SHEKH BACHU ALLAH AKUZIDISHIE MAANA HAWA MATWARIQA KILA SIKU LAZIMA WAUMIZE VICHWA KUPAMBANA NAE LKN WANAFELI....
@dullahbatuf9223Ай бұрын
Mashallah bachu ametutoa ktk upotevu kwakweli yye anaongea kwa hoja nyie mwapinga kw ubishi tu
@AbuujureyjKhaniyАй бұрын
Tuko Nyuma ya Msema kweli shekh bachu ukiwa ktk haki nilazima upigwe vita mnoo shekh bachu endelea kutangaza haki aridhie aridhiae achukie achukiae haki mpaka kiamaaaaa ❤
@fadhilfathamula4224Ай бұрын
Huyu yupo kwa ajili ya masilahi ya Dunia
@LovelyBrain-wz7siАй бұрын
Nyie tulisha wachoka mohamedi bachu ni msomi anatembea na dalili nyie hamna kitu mkishindwa mnakimbilia serikal
@sleemhamoud4394
26 күн бұрын
Mbona alikimbia mdahalo na akajikojolea ktk kiti na isitoshe hajui kiarabu 😂
@pakashume725Ай бұрын
Bachu amekuchapeni sawa sawa! Mnatapatapa sawa sawa
@Shuu.A
Ай бұрын
Mijitu mizima inamzaa bachu akili haiba wallah
@pavillioncry5241Ай бұрын
Toka apa sufiiiii
@user-yv1gj2zn4zАй бұрын
sheikh maneno yako kweli
@ayubahmed9490
Ай бұрын
hamna ukweli wowote
@mohamedturanardan8871Ай бұрын
Tumechoka na uzushi wenu. Mohamad Bachu ALLAAH amhifadhi na azidi kuingarisha sunna. Ameen
@OmarOmar-zh3rq15 күн бұрын
Allah akuhifadhi sheikh Bachu
@user-rn1xk1yr5jАй бұрын
Bachu💪👍
@user-nh2wt4yd7wАй бұрын
Bachu amekushinda ilimu Allah amuhifadhi
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Ilimu gani unayo ongea bachu mwenyewe hata I abarahajui kusoma halafuati nimwanachuoni kweli hii niajabu ya dunia
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Endeleeni ushabikiwenu
@habibmayike7463
Ай бұрын
Ww mtupu kama yeye bachu
@LovelyBrain-wz7siАй бұрын
Watu Kila kukicha wanijua haki wanatoka kwenye ujinga dunia kiganjani
@user-rb8ir9co9kАй бұрын
Masheikh acheni unaafiq, ifike kipindi muikubali haqi , mutakwenda kuulizwa mbele ya Allah, naona Muhammad Bacho ni mdogo lkni amewashinda kwa elimu saiv kilichobaki kwenu ni kutapa tapa tu
@issahabdallah9018Ай бұрын
kibri kitawamaliza masufi
@masoud744Ай бұрын
Hujasema kitu.. humuezi kielimu sheikh Bachu
@babatidaawa6550Ай бұрын
Bacho Kwa Sasa ni mwiba Kwa masufi
@abiabi9353
Ай бұрын
Ukisoma comments kama hizi ndo utajua mawahabi walivyo majahili
@MB-yq3ty
Ай бұрын
@@abiabi9353 Vipi Ughulaati wa kishia umekushinda kuutangaza nini? Naona umehamia kwa Masufi au hauna pa kusimamia?
@binmiraji2168
Ай бұрын
Tutamuita Saidi sasa hivi
@abughaneem9220Ай бұрын
Madudu msichanganye watu someni vitabu acheni kula pilau za maulidi wali ndiyo inawachanganya kabisa mkaacha kusoma
@ahmedseif-cu4exАй бұрын
Kwa lugha gani na nahwu gani ulionayo kujikweza tu kuanzia ww na masufi wenzio hamuna lolote kwenye iyo lugha munataka mupotoshe watu afu muachwe
@Hamis-ks1syАй бұрын
Alhamdulillah,nilikaa sana kwenye ujinga sasahiv inatosha
Unapata nguvu vipi yakusme bachu Ni mfitinishaji...kijana anaeleweka Kwa fwasaha ya ilmu anayoitowa ALLAH AMJAALIE FIRDAUS IWE MAKAZI YAKE...
@dunivuai9778Ай бұрын
Assalaamu alaykum, Sheikh Muhammad Bachu, kaleta fujo gani? Au kuizungumza Haqqi.
@user-ox4fv4cf5lАй бұрын
SHEKH BACHU KAWASHIKA PABAYA KIASI KWAMBA ANAWANYIMA USINGIZI KILA KUKICHA MNAMSHABULIA....
@user-nk9jt7qo1jАй бұрын
Halali inaoneka na batil inaonekana . Sifikirii kama kuna arafa 2 ukiachana nasiku yaarafa. Allah amlinde naampe khery naelimu zaidi siku mpaka siku.
@AlhajiIssa-jb9hr
Ай бұрын
Sheikh yupi umemsikia anasema visimamo vya au siku za Arafa ni mbili?
@arrisalastriker9813Ай бұрын
Haqqi hamuitaki Mungu amhifadhi sheikh Bachu amzidishie elimu yake nyinyi wacheni michezo
@user-do8xo2is4e
Ай бұрын
Wajua mana haqqi kwanza wewe?
@eng.aliali8187
Ай бұрын
Sheikh Mohamed kuchu, atafuta kiki 😂
@abdallatwaha4884
Ай бұрын
Ni vizuri tuwe na uwazi ili tufaidike ama tupate Elimu. Sunnah ya Mtume; kila nchi ifuate mwandamo wa mwezi wao. Wanachuoni wa Saudia wenyewe wanasisitiza tusiwafuate... sasa wale wanaofuata kwasababu ya Ushindani; faida yake ni nini...???
@salumhassanallymkurdistan7006
Ай бұрын
BACHU HANA ELIMU BACHU KABACHUKA ANA MUHEMKO WA ELIMU BACHU KATIKA WENYE ELIMU HAHESABIKI KAMA KWA KUJISIFU NA MAWAHABI KUMSIFU NISAWA NA PUNGUWANI KUMSIFU PUNGUWANI MWENZIWE MAWAHABI NI MAADUWI WA UISLAM NDIYO MANA WANAPENDA MGAWANYIKO BAINA YA WAISLAM
@sulekhan7119
Ай бұрын
Hakhi gani yakujifanya wajuwa kira kitu
@musaomar4184Ай бұрын
Allah amhifadhi kijana wetu sheikh Bachu kwanza tuambie kiwango chako cha elimu umesoma university gani ya kiislam
@sayyidalishariff6068Ай бұрын
Ameen apate elmu zaidi. Lakini awa heshimu mashekhe wengine. Hatu mchikii maana pia yy ni ustadh. WBT
@bintomar7025Ай бұрын
Ahsante sheikh umesema kweli Allah akulipe kheri
@MuniraRashid-sx3upАй бұрын
Allah amuhifadhi sheikh Mohammed na midomo ya washirikina
@abutafawaАй бұрын
Allah atamihifadhi akhii Mohammad Bachu kutokana na chuki zenu... Hiyo yote ni kwa sababu ana sambaza sunnah... مُوتُوا۟ بِغَيْظِكُمْ ۗ
@abdallamassoud53Ай бұрын
Shekh mashaallah unaeleweka vizur sana
@fadhiliharuna3934Ай бұрын
Bacho yupo vizuri
@bagaluchaАй бұрын
Hata mtume Muhammad Sallallahu Alayh wasalaam,aliitwa mtoto,na kadhalika,Muhammad Bachu kumkuta haya yanayomkuta si ajabu,mara zote kuisimamia haki,maadui hawataki mbali.Allah amughifadhi Muhammad Bachu.Amin
@user-do8xo2is4e
Ай бұрын
Tafuta wakumfananisha na mtume wewe si jaahil kama bachu
@eng.aliali8187
Ай бұрын
Mohamed kuchu na sio Bachu😂
@bagalucha
Ай бұрын
@@eng.aliali8187 Hata mtume Muhammad Sallallahu Alayh wasalaam,aliitwa mtoto,na kadhalika,Muhammad Bachu kumkuta haya yanayomkuta si ajabu,mara zote kuisimamia haki,maadui hawataki mbali.Allah amughifadhi Muhammad Bachu.Amin
@bagalucha
Ай бұрын
@@user-do8xo2is4e Hata mtume Muhammad Sallallahu Alayh wasalaam,aliitwa mtoto,na kadhalika,Muhammad Bachu kumkuta haya yanayomkuta si ajabu,mara zote kuisimamia haki,maadui hawataki mbali.Allah amughifadhi Muhammad Bachu.Amin
@Allybinamour
Ай бұрын
kweli kabisa
@HashimSalim-qj7znАй бұрын
TUMESHAMKUBALI BACHU HATUINGII FITNA ZENU WATU WAZUSHI TUMESHAMUCHOKA
@hudhaifahsadru-xr2ggАй бұрын
Wew shekh umempasua moyo wake? Itaq llah, alaf ni bora umwambie yeye, kwa nini utuambie sisi?
@albayaanmschool8451Ай бұрын
Nikawaida unapoifikisha haqqi utapewa majina ya kukurejesha nyuma ila ujumbe umefika
@LovelyBrain-wz7siАй бұрын
Haki ni haki tu bachu Allha akuhifadhi na fitina zao
@nelson-cd7fr
Ай бұрын
Aamin
@Shuu.A
Ай бұрын
Ameen
@habibmayike7463
Ай бұрын
Haki gani?
@DR.SAIFILLAH.5363Ай бұрын
Mungu hakuumba kiumbe Shetani ila shetani ni sifa ambayo hupewa kiumbe yeyote kwa tabia zake chafu sasa mtu akiwa kazi yake ni kufitinisha waislamu na kuwagawa badala ya kuwaunganisha basi huyo moja kwa moja anaingia kwenye USHETANI ni SHETANI kwa mujibu wa vitendo vyake. Mimi nasema wengi ya wale wajiitao MASALAFI wanasifa za KISHETANI.
@selemankishema5780Ай бұрын
We mpumbavu?
@AllybinamourАй бұрын
sheikh mimi sijakufaham,unasema quran haitaki mijadala na hapo unawalaum watu kwa mijadala na wewe upo kwenye mijadala unayoipinga, au mijadala ni ile ambao haiendani na msimamo wako?
@UB40X1
Ай бұрын
Wapuuzi hawo
@Shuu.A
Ай бұрын
Ndio hapo hajitambui nae huyu yumo tu
@AbuSaeed-pz2kb
Ай бұрын
Makhurafi hawajitambui
@mohammedmasudi-dz6hbАй бұрын
BACHU MOLA AMHIFADHI
@thamani5842Ай бұрын
Jazakallahulkheir sheikh
@user-lr2wd3zs1kАй бұрын
Nawausia sana watu wa Kenya kwa kumkaribisha bachu Muhammad bachu huyo ni mzanzibar na mm ni mzanzibar kwahyo ss tunamjua vzur ss wazanzibar kuliko baadh ya wakenya Muhammad bachu hajawa na elim jaman huyo ss wazanzibar tumenfungia kwasababu hatak kusoma ss huku Zanzibar tumemambia aje asome ametaka
@kasimubangu1875
Ай бұрын
Hujielewi ww
@gundererthemustache5818Ай бұрын
Mashekhe mwatutuia aibu mushakosa KAZI zenu za kufanya KAZI kuzozana tuh
@ChidySuleimanАй бұрын
Nyinyi bakwata na masufi ndio mnaopotosha watu wallah
@abdulmalikali1501Ай бұрын
Hhhhhh katwaliini Vzr Mashekhe Mambo ya Bachu Bachu ebu tulieni acheni kumpa kibri kijana mdogo huyu nae kwanza akatwaliii.kisha Huyu bachu yaani yy siku zote ndio Qaadhwil Qudhwaat yaani yy ndio aona makosa hamna mashkhe wengi 😂😂.wallai ajabu kweli
@mahsenshariff1076Ай бұрын
Mkasome mauliidi Muhammad bachu achanane nae
@YussufWakalaАй бұрын
Kumbe mnaumia mashekh ubwabwa
@hamadmasoud490Ай бұрын
Tuseme.hawawezi jee ww huwezi kufubga sawa na saudia Arabia
@habibmayike7463Ай бұрын
Kusoma muhimu majahili wengi hapa kwa comments just like bachu
@ayubahmed9490
Ай бұрын
ww ndio jahil namba moja
@hassansaul7098Ай бұрын
Uzuri ni kwamba Muhammad Bachu anatumia Hadithi na Ayat, na Kauli za Wanachuoni wanaokubalika ndani ya ISLAM
@user-qe8xp6ii1uАй бұрын
Maneno yako yanajifunga funga mwenyewe. Amekataa Mijadala huku anaileta. Ufam wako mdogo Allah akuongoze.
@JumaHaji-zz8xkАй бұрын
Ww pia hujui kiarabu wala nahaw
@omarimahela7690Ай бұрын
Kichwa cha habari na maneno ya sheikh tofauti. Tuache uchonganishi kwenye dini
@saiditara7235Ай бұрын
"Na kama mungu alijua kwamba hili litakuja" hilo neno sidhani kama limekaa sawa kwa upande wa kumnasibishia Allah, au kama kuna ushahidi wa kufaa kulitumia naomba kufahamishwa?
@user-nv7jg6xc8lАй бұрын
Bachu lazima awe na wafuasi wengi sababu wengi hawana elimu na ndio Msiba tuliokua nao waislam wengi wa zama zetu hatujui dini
@user-sm7if6ni3oАй бұрын
Me nahisi ungejibu alicho kisema ndo iswaaf ama kumponda haina mantiki yeyote
@kugotwa004Ай бұрын
KHERI SHEIKH NDIO UKWELI UMEONGEA BACHU KAUPOTEZA UMMA WA MUHAMMAD S.A.W
@Biziman-pu4kf
Ай бұрын
Unaweza kutuonesha huyu upotevu wenye amewapoteza
@user-rb8ir9co9k
Ай бұрын
Wapi amewapoteza
@YussufWakalaАй бұрын
Mwendo wa Qur-an na sunna hatutaki dini ya maneno mengi bila aya wal hadith sahihi
@abubakarmuhammadsaid3244Ай бұрын
Ahlul-Bidaa wal-hawaa Masufi ni sumu ndani ya dini
@Biziman-pu4kfАй бұрын
Matusi tu mbona hamvunji hoja zake
@rushu1232Ай бұрын
Hakuna anaemtambua bachu lakini haiwezekani aachiliwe kukosea adabu masheikh waliofanya daawa zaidi yamiaka 50 hao wanaojibu wengi wamepitia kwa ustadh Said.
@ChidySuleimanАй бұрын
Dini inarisishwa dini inafundishwa ww autak haki sis dini. Aturisi tunasoma
@YussufWakalaАй бұрын
Shekh km kilamtu n mji wake arafa zitakuw ngp ittakillah
@amadeomarsaide5023Ай бұрын
Mbona huja eleweka Sheikh? Tulitaraji utaleta hujja ya kuzivunja za bachu hafidhahullah
@rushu1232Ай бұрын
Masheikh wkiwahabi zaidi ya saba wamesema fateni mwezi wakwenu mmoja ndani ya Tz alisema fuateni mufti wenu wacheni comment zakijinga.
@AbuSaeed-pz2kbАй бұрын
Vita baina ya Haqi na Baathil itaendelea mpaka qiyaama isimame Makhurafi tambueni hilo
@user-zf2zg2ps5jАй бұрын
Bachu atafuti umaarufu umaarufu tayali anao ile kuitwa bachu kwisha acha upotoshaji ww ndio unatafuta kupitia yy
@user-lr2wd3zs1kАй бұрын
Hv munatakiwa mujiulize kwanin Muhammad bachu radd zake hawafanyi mashekh wa huku nyumban Zanzibar et kwasababu huku anajuilikana ni mtoto wa saafu saan ni mtoto wa mwaka wa pili kwahyo tunakunasihin nyinyi ambao mumenchua huko Kenya daaaa nataman huu
@masoud744Ай бұрын
Jibu hoja wacheni makelele
@AbasiChigoАй бұрын
Kakosea wapi,,jaman mbona mnalialia sana ,,yeye anasoma vitabu,,
@fadhilfathamula4224Ай бұрын
Humu hakuna shekh ukitaka kujua ilo angalia alivyonyoa ndevu watu kama hawa ndio wafitinishi
@omarabdi3604
Ай бұрын
kwan hizo ndevu ndio elimu😮😮😮
@fadhilfathamula4224
Ай бұрын
@@omarabdi3604 ndio inaonesha hafuati mafundisho ya mtume wetu, yeye yupo kwa ajili ya Dunia tu
@abuushakiraddausiy8666Ай бұрын
Nyie Kenya hapo na Tanzania hamuwezii kujua kwamba arafa wasimam lini!??
@masoudabdallah7041Ай бұрын
Mmmmh unaweza kutaka kumzogoa mtu kumbe we mwwnyewe hamna kitu sio kujibizana mtu katoa hoja jibu hoja kwa hoja dalili kwa dalli
@babuumohd4290Ай бұрын
Mimi ninaswali jee ipo siku Rasoul aliwahi kuletewa habari mwezi umeonekana mahali flani akaukataa kwakua haujaonekana sehemu yake?
@SeifAlly-g9i22 күн бұрын
Sawa
@fadhilalmaawiy7804Ай бұрын
Upumbavu tu kwani hao Mola (S.W) alowapa elimu mnawajua au mnajipa mwenyewe "nani ana elimu" "nani hana " hamuoni mfano wa mja mwema na Nabii Mussa (A.S). Hao Ahl Al dhikr "Those who know" the people of Al dhikr the( book) The followers of the Remembrance mmebainishiwa ni nani na nani ? Wallah Mola angekupeni elimu na hikma msingepiga kwelele. Baada ya kushikamana na haki nakupendana katika njia ya Mola ( A.S) kazi yenu kujibishana na kusemana nani hana elimu nani anayo km hamumjui nani Mjuzi ( Al aleem ) na humpa elimu amtakaye.
@isihakaabdul1134Ай бұрын
Ndio yawezekana ulimwengu mzima kufunga siku ya arafa we mzee mbona makafiri waweza kuwa na may mosi dunia mzima siku moja ushindwe uislam we vipi ??
@truthurts7469Ай бұрын
Kelele tu!😂
@highhigh7476Ай бұрын
عرفناه بتعريفك وأيش انت تبحث ؟ عرف نفسك صاحب الطاقية الكبرى
@muhammadkarama9996Ай бұрын
Hawa masufi wapenda kutweza wenzao lakini wao no watupu hawana lolote ispokuwa milemba mikubwa mikubwa na videvu vilonyolewa
@selemankishema5780Ай бұрын
Sheikh swala la mwandamo hakuna ikhtilafu ila madhehebu na siasa jumlisha ujinga nasikitika sheikh waonesha mpumbavu
@Shuu.A
Ай бұрын
Hapa badi😂😂😂
@muniramohamed972Ай бұрын
Wewe kama huna elimu msikize huyo bachu, akili zenu ziko sawa, bachu ni debe tupu.
@yahyaibrahim4731Ай бұрын
Ukiangalia comments basi bachu ni sheikh wewe kasome kwake
@sefuriyembe7864Ай бұрын
Moh.Bachu hana elimu ya darasani, kwahiyo hajui jiografia. Wakati wa kusimama arafa kule saudia, kule uchina wanaswali magharibi !! Yeye anadhani dunia nzima mchana ni mmoja !! 😅😅
Пікірлер: 281
Mungu amjaaalie sheikh Bachu elimu zaid na zaid
@habibmayike7463
Ай бұрын
Ww na yy mazuka
@madrassatulihyaa-ilislaami2911
Ай бұрын
Amjaalie elimu kwasababu hana elimu,,..Wallah
Allah insha Allah amlinde Bachu! Mtaumia bure! Bachu fanya kazi ya Allah!
Nlkua nasubiria hoja ila kumbe kuna michambo na mipasho tu, Bachu yy anachokiongea hua analeta dalili🤝
@mzulwa2006
Ай бұрын
Hao dalili zao ni wanazuoni wao maana ni Maha's um
@ibrangowo6185
Ай бұрын
HIZO UNAZOITA DALILI NDIO HIZO HIZO MASHEHE WAKE WANAMSAHIHISHA. YAKO MASWALI MENGI ALIULIZWA HADI LEO HAJAWEZA KUYAJIBU. 1 . JE WAISLAMU WANAWEZA KUTEKELEZA IBADA ZAO ZOTE KWA ASILIMIA 100 BILA MSAADA WA SIMU NA TV? HILO NI SWALI LA KWANZA. LABDA UMSAIDIE KUJIBU.
Kiukweli mm binafsi nashukuru allah nimeijua haki ya kweli ya siku ya arafa kwa kupia mohammedi bachu mashaallah alla azidi kutuongoza na allah ampe umri mrefu azidi kutupa elimu kwa hili na mengine innshaalah nyinyi niwazushi2
@kassimsaid4481
Ай бұрын
Wewe ni mwanafunzi mwenye ufahamu finye ndio maana wayaelewa ya BACHU PEKEE angalia hata ibara yako ulivyoandika haumo kabisa . Kasome zisomeke.
@Shuu.A
Ай бұрын
Finyu nyie mnaofata mwezi wa kijinga wa serikali
@SaidiOmy
Ай бұрын
@@Shuu.A Hakuna mwezi wa serikali Mioandamo ya mwezi .. jambo alilotaja Allah KTK Qur ani .. Kisha mwezi ni milki ya Allah HAKUNA mwezi wa Serekali wala wa Mufti acha uongo wako. Huoni kuwa unafanya dhulma.. ?? Kumpa kitu yule ambaye sio chake na kumpokonya ambae ni chake ?? Tafakari kabla huja andika chochote au kukisema . Allah akutoe kwenye UWAHABI.. Na akuongoze kwenye haqqi pmj na sisi ..
Yaa Allah muhifadhi Sheikh wetu Muhammad Bacho na fitna za hawa wasio mpenda
Allah amuhifadhi sheikh Bachu
@hudhaifahsadru-xr2gg
Ай бұрын
Aamiyn
Wewe endelea kuangalia mwezi wako sisi tunaangalia mwezi wa allah
@madrassatulihyaa-ilislaami2911
Ай бұрын
Kwahyo hii miezo mengine ni ya Shaitwan sio
Lukman alimuusia mtotowake, ukikataza mabaya na kuamrisha mema lazima itakukuta taabu, bachu Mungu akuongezee elimu Zaid na zaidi
BACHU HAWEZI KUKUACHA KAMWE...ANAJIANDAA ANAKURUDIA
@aliissahaji33
Ай бұрын
Ndo nyie mnaoharibu dini
Hawa mashekh wa maulidi wana tabu Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu
@Shuu.A
Ай бұрын
Ameen
@mzulwa2006
Ай бұрын
Kiarabu kingi jibu lapotezwa kwa kuzungusha ukweli.tumeambiwa tufikishe walau aya.
Allwah amhifadhi sheikh letu Muhammad bachu. Kwakweli anaitendea haki dini yetu ya kiislamu. Hawa mashehe wengine hawana mpango isipokuwa kupoteza muda. Mimi nimemfahamu saana sheikh Muhammad bachu
SHEKH BACHU ALLAH AKUZIDISHIE MAANA HAWA MATWARIQA KILA SIKU LAZIMA WAUMIZE VICHWA KUPAMBANA NAE LKN WANAFELI....
Mashallah bachu ametutoa ktk upotevu kwakweli yye anaongea kwa hoja nyie mwapinga kw ubishi tu
Tuko Nyuma ya Msema kweli shekh bachu ukiwa ktk haki nilazima upigwe vita mnoo shekh bachu endelea kutangaza haki aridhie aridhiae achukie achukiae haki mpaka kiamaaaaa ❤
Huyu yupo kwa ajili ya masilahi ya Dunia
Nyie tulisha wachoka mohamedi bachu ni msomi anatembea na dalili nyie hamna kitu mkishindwa mnakimbilia serikal
@sleemhamoud4394
26 күн бұрын
Mbona alikimbia mdahalo na akajikojolea ktk kiti na isitoshe hajui kiarabu 😂
Bachu amekuchapeni sawa sawa! Mnatapatapa sawa sawa
@Shuu.A
Ай бұрын
Mijitu mizima inamzaa bachu akili haiba wallah
Toka apa sufiiiii
sheikh maneno yako kweli
@ayubahmed9490
Ай бұрын
hamna ukweli wowote
Tumechoka na uzushi wenu. Mohamad Bachu ALLAAH amhifadhi na azidi kuingarisha sunna. Ameen
Allah akuhifadhi sheikh Bachu
Bachu💪👍
Bachu amekushinda ilimu Allah amuhifadhi
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Ilimu gani unayo ongea bachu mwenyewe hata I abarahajui kusoma halafuati nimwanachuoni kweli hii niajabu ya dunia
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Endeleeni ushabikiwenu
@habibmayike7463
Ай бұрын
Ww mtupu kama yeye bachu
Watu Kila kukicha wanijua haki wanatoka kwenye ujinga dunia kiganjani
Masheikh acheni unaafiq, ifike kipindi muikubali haqi , mutakwenda kuulizwa mbele ya Allah, naona Muhammad Bacho ni mdogo lkni amewashinda kwa elimu saiv kilichobaki kwenu ni kutapa tapa tu
kibri kitawamaliza masufi
Hujasema kitu.. humuezi kielimu sheikh Bachu
Bacho Kwa Sasa ni mwiba Kwa masufi
@abiabi9353
Ай бұрын
Ukisoma comments kama hizi ndo utajua mawahabi walivyo majahili
@MB-yq3ty
Ай бұрын
@@abiabi9353 Vipi Ughulaati wa kishia umekushinda kuutangaza nini? Naona umehamia kwa Masufi au hauna pa kusimamia?
@binmiraji2168
Ай бұрын
Tutamuita Saidi sasa hivi
Madudu msichanganye watu someni vitabu acheni kula pilau za maulidi wali ndiyo inawachanganya kabisa mkaacha kusoma
Kwa lugha gani na nahwu gani ulionayo kujikweza tu kuanzia ww na masufi wenzio hamuna lolote kwenye iyo lugha munataka mupotoshe watu afu muachwe
Alhamdulillah,nilikaa sana kwenye ujinga sasahiv inatosha
@salumukiyogombe9101
Ай бұрын
Soma Shekhe usiwe msikilizaji! Nasema soma somaaaaa
Dunia ni duara mkuu. Kumbukeni ayab alyam akimalkum dinnakum
BACHU MOLA AMHIFADHI KIJANA YULE ACHA ABAINISHE HAQQI
Unapata nguvu vipi yakusme bachu Ni mfitinishaji...kijana anaeleweka Kwa fwasaha ya ilmu anayoitowa ALLAH AMJAALIE FIRDAUS IWE MAKAZI YAKE...
Assalaamu alaykum, Sheikh Muhammad Bachu, kaleta fujo gani? Au kuizungumza Haqqi.
SHEKH BACHU KAWASHIKA PABAYA KIASI KWAMBA ANAWANYIMA USINGIZI KILA KUKICHA MNAMSHABULIA....
Halali inaoneka na batil inaonekana . Sifikirii kama kuna arafa 2 ukiachana nasiku yaarafa. Allah amlinde naampe khery naelimu zaidi siku mpaka siku.
@AlhajiIssa-jb9hr
Ай бұрын
Sheikh yupi umemsikia anasema visimamo vya au siku za Arafa ni mbili?
Haqqi hamuitaki Mungu amhifadhi sheikh Bachu amzidishie elimu yake nyinyi wacheni michezo
@user-do8xo2is4e
Ай бұрын
Wajua mana haqqi kwanza wewe?
@eng.aliali8187
Ай бұрын
Sheikh Mohamed kuchu, atafuta kiki 😂
@abdallatwaha4884
Ай бұрын
Ni vizuri tuwe na uwazi ili tufaidike ama tupate Elimu. Sunnah ya Mtume; kila nchi ifuate mwandamo wa mwezi wao. Wanachuoni wa Saudia wenyewe wanasisitiza tusiwafuate... sasa wale wanaofuata kwasababu ya Ushindani; faida yake ni nini...???
@salumhassanallymkurdistan7006
Ай бұрын
BACHU HANA ELIMU BACHU KABACHUKA ANA MUHEMKO WA ELIMU BACHU KATIKA WENYE ELIMU HAHESABIKI KAMA KWA KUJISIFU NA MAWAHABI KUMSIFU NISAWA NA PUNGUWANI KUMSIFU PUNGUWANI MWENZIWE MAWAHABI NI MAADUWI WA UISLAM NDIYO MANA WANAPENDA MGAWANYIKO BAINA YA WAISLAM
@sulekhan7119
Ай бұрын
Hakhi gani yakujifanya wajuwa kira kitu
Allah amhifadhi kijana wetu sheikh Bachu kwanza tuambie kiwango chako cha elimu umesoma university gani ya kiislam
Ameen apate elmu zaidi. Lakini awa heshimu mashekhe wengine. Hatu mchikii maana pia yy ni ustadh. WBT
Ahsante sheikh umesema kweli Allah akulipe kheri
Allah amuhifadhi sheikh Mohammed na midomo ya washirikina
Allah atamihifadhi akhii Mohammad Bachu kutokana na chuki zenu... Hiyo yote ni kwa sababu ana sambaza sunnah... مُوتُوا۟ بِغَيْظِكُمْ ۗ
Shekh mashaallah unaeleweka vizur sana
Bacho yupo vizuri
Hata mtume Muhammad Sallallahu Alayh wasalaam,aliitwa mtoto,na kadhalika,Muhammad Bachu kumkuta haya yanayomkuta si ajabu,mara zote kuisimamia haki,maadui hawataki mbali.Allah amughifadhi Muhammad Bachu.Amin
@user-do8xo2is4e
Ай бұрын
Tafuta wakumfananisha na mtume wewe si jaahil kama bachu
@eng.aliali8187
Ай бұрын
Mohamed kuchu na sio Bachu😂
@bagalucha
Ай бұрын
@@eng.aliali8187 Hata mtume Muhammad Sallallahu Alayh wasalaam,aliitwa mtoto,na kadhalika,Muhammad Bachu kumkuta haya yanayomkuta si ajabu,mara zote kuisimamia haki,maadui hawataki mbali.Allah amughifadhi Muhammad Bachu.Amin
@bagalucha
Ай бұрын
@@user-do8xo2is4e Hata mtume Muhammad Sallallahu Alayh wasalaam,aliitwa mtoto,na kadhalika,Muhammad Bachu kumkuta haya yanayomkuta si ajabu,mara zote kuisimamia haki,maadui hawataki mbali.Allah amughifadhi Muhammad Bachu.Amin
@Allybinamour
Ай бұрын
kweli kabisa
TUMESHAMKUBALI BACHU HATUINGII FITNA ZENU WATU WAZUSHI TUMESHAMUCHOKA
Wew shekh umempasua moyo wake? Itaq llah, alaf ni bora umwambie yeye, kwa nini utuambie sisi?
Nikawaida unapoifikisha haqqi utapewa majina ya kukurejesha nyuma ila ujumbe umefika
Haki ni haki tu bachu Allha akuhifadhi na fitina zao
@nelson-cd7fr
Ай бұрын
Aamin
@Shuu.A
Ай бұрын
Ameen
@habibmayike7463
Ай бұрын
Haki gani?
Mungu hakuumba kiumbe Shetani ila shetani ni sifa ambayo hupewa kiumbe yeyote kwa tabia zake chafu sasa mtu akiwa kazi yake ni kufitinisha waislamu na kuwagawa badala ya kuwaunganisha basi huyo moja kwa moja anaingia kwenye USHETANI ni SHETANI kwa mujibu wa vitendo vyake. Mimi nasema wengi ya wale wajiitao MASALAFI wanasifa za KISHETANI.
We mpumbavu?
sheikh mimi sijakufaham,unasema quran haitaki mijadala na hapo unawalaum watu kwa mijadala na wewe upo kwenye mijadala unayoipinga, au mijadala ni ile ambao haiendani na msimamo wako?
@UB40X1
Ай бұрын
Wapuuzi hawo
@Shuu.A
Ай бұрын
Ndio hapo hajitambui nae huyu yumo tu
@AbuSaeed-pz2kb
Ай бұрын
Makhurafi hawajitambui
BACHU MOLA AMHIFADHI
Jazakallahulkheir sheikh
Nawausia sana watu wa Kenya kwa kumkaribisha bachu Muhammad bachu huyo ni mzanzibar na mm ni mzanzibar kwahyo ss tunamjua vzur ss wazanzibar kuliko baadh ya wakenya Muhammad bachu hajawa na elim jaman huyo ss wazanzibar tumenfungia kwasababu hatak kusoma ss huku Zanzibar tumemambia aje asome ametaka
@kasimubangu1875
Ай бұрын
Hujielewi ww
Mashekhe mwatutuia aibu mushakosa KAZI zenu za kufanya KAZI kuzozana tuh
Nyinyi bakwata na masufi ndio mnaopotosha watu wallah
Hhhhhh katwaliini Vzr Mashekhe Mambo ya Bachu Bachu ebu tulieni acheni kumpa kibri kijana mdogo huyu nae kwanza akatwaliii.kisha Huyu bachu yaani yy siku zote ndio Qaadhwil Qudhwaat yaani yy ndio aona makosa hamna mashkhe wengi 😂😂.wallai ajabu kweli
Mkasome mauliidi Muhammad bachu achanane nae
Kumbe mnaumia mashekh ubwabwa
Tuseme.hawawezi jee ww huwezi kufubga sawa na saudia Arabia
Kusoma muhimu majahili wengi hapa kwa comments just like bachu
@ayubahmed9490
Ай бұрын
ww ndio jahil namba moja
Uzuri ni kwamba Muhammad Bachu anatumia Hadithi na Ayat, na Kauli za Wanachuoni wanaokubalika ndani ya ISLAM
Maneno yako yanajifunga funga mwenyewe. Amekataa Mijadala huku anaileta. Ufam wako mdogo Allah akuongoze.
Ww pia hujui kiarabu wala nahaw
Kichwa cha habari na maneno ya sheikh tofauti. Tuache uchonganishi kwenye dini
"Na kama mungu alijua kwamba hili litakuja" hilo neno sidhani kama limekaa sawa kwa upande wa kumnasibishia Allah, au kama kuna ushahidi wa kufaa kulitumia naomba kufahamishwa?
Bachu lazima awe na wafuasi wengi sababu wengi hawana elimu na ndio Msiba tuliokua nao waislam wengi wa zama zetu hatujui dini
Me nahisi ungejibu alicho kisema ndo iswaaf ama kumponda haina mantiki yeyote
KHERI SHEIKH NDIO UKWELI UMEONGEA BACHU KAUPOTEZA UMMA WA MUHAMMAD S.A.W
@Biziman-pu4kf
Ай бұрын
Unaweza kutuonesha huyu upotevu wenye amewapoteza
@user-rb8ir9co9k
Ай бұрын
Wapi amewapoteza
Mwendo wa Qur-an na sunna hatutaki dini ya maneno mengi bila aya wal hadith sahihi
Ahlul-Bidaa wal-hawaa Masufi ni sumu ndani ya dini
Matusi tu mbona hamvunji hoja zake
Hakuna anaemtambua bachu lakini haiwezekani aachiliwe kukosea adabu masheikh waliofanya daawa zaidi yamiaka 50 hao wanaojibu wengi wamepitia kwa ustadh Said.
Dini inarisishwa dini inafundishwa ww autak haki sis dini. Aturisi tunasoma
Shekh km kilamtu n mji wake arafa zitakuw ngp ittakillah
Mbona huja eleweka Sheikh? Tulitaraji utaleta hujja ya kuzivunja za bachu hafidhahullah
Masheikh wkiwahabi zaidi ya saba wamesema fateni mwezi wakwenu mmoja ndani ya Tz alisema fuateni mufti wenu wacheni comment zakijinga.
Vita baina ya Haqi na Baathil itaendelea mpaka qiyaama isimame Makhurafi tambueni hilo
Bachu atafuti umaarufu umaarufu tayali anao ile kuitwa bachu kwisha acha upotoshaji ww ndio unatafuta kupitia yy
Hv munatakiwa mujiulize kwanin Muhammad bachu radd zake hawafanyi mashekh wa huku nyumban Zanzibar et kwasababu huku anajuilikana ni mtoto wa saafu saan ni mtoto wa mwaka wa pili kwahyo tunakunasihin nyinyi ambao mumenchua huko Kenya daaaa nataman huu
Jibu hoja wacheni makelele
Kakosea wapi,,jaman mbona mnalialia sana ,,yeye anasoma vitabu,,
Humu hakuna shekh ukitaka kujua ilo angalia alivyonyoa ndevu watu kama hawa ndio wafitinishi
@omarabdi3604
Ай бұрын
kwan hizo ndevu ndio elimu😮😮😮
@fadhilfathamula4224
Ай бұрын
@@omarabdi3604 ndio inaonesha hafuati mafundisho ya mtume wetu, yeye yupo kwa ajili ya Dunia tu
Nyie Kenya hapo na Tanzania hamuwezii kujua kwamba arafa wasimam lini!??
Mmmmh unaweza kutaka kumzogoa mtu kumbe we mwwnyewe hamna kitu sio kujibizana mtu katoa hoja jibu hoja kwa hoja dalili kwa dalli
Mimi ninaswali jee ipo siku Rasoul aliwahi kuletewa habari mwezi umeonekana mahali flani akaukataa kwakua haujaonekana sehemu yake?
Sawa
Upumbavu tu kwani hao Mola (S.W) alowapa elimu mnawajua au mnajipa mwenyewe "nani ana elimu" "nani hana " hamuoni mfano wa mja mwema na Nabii Mussa (A.S). Hao Ahl Al dhikr "Those who know" the people of Al dhikr the( book) The followers of the Remembrance mmebainishiwa ni nani na nani ? Wallah Mola angekupeni elimu na hikma msingepiga kwelele. Baada ya kushikamana na haki nakupendana katika njia ya Mola ( A.S) kazi yenu kujibishana na kusemana nani hana elimu nani anayo km hamumjui nani Mjuzi ( Al aleem ) na humpa elimu amtakaye.
Ndio yawezekana ulimwengu mzima kufunga siku ya arafa we mzee mbona makafiri waweza kuwa na may mosi dunia mzima siku moja ushindwe uislam we vipi ??
Kelele tu!😂
عرفناه بتعريفك وأيش انت تبحث ؟ عرف نفسك صاحب الطاقية الكبرى
Hawa masufi wapenda kutweza wenzao lakini wao no watupu hawana lolote ispokuwa milemba mikubwa mikubwa na videvu vilonyolewa
Sheikh swala la mwandamo hakuna ikhtilafu ila madhehebu na siasa jumlisha ujinga nasikitika sheikh waonesha mpumbavu
@Shuu.A
Ай бұрын
Hapa badi😂😂😂
Wewe kama huna elimu msikize huyo bachu, akili zenu ziko sawa, bachu ni debe tupu.
Ukiangalia comments basi bachu ni sheikh wewe kasome kwake
Moh.Bachu hana elimu ya darasani, kwahiyo hajui jiografia. Wakati wa kusimama arafa kule saudia, kule uchina wanaswali magharibi !! Yeye anadhani dunia nzima mchana ni mmoja !! 😅😅
@kasimubangu1875
Ай бұрын
Nawewe je unajua nini
Mtume الحج عرفة { 4:57 ٱلۡحَجُّ أَشۡهُرࣱ مَّعۡلُومَـٰتࣱۚ mungu [Surah Al-Baqarah: 197] Tumfuata nani!? Shehe nenda ukasema upya
Bachu amewashika pabaya sana