MUHAMMAD BACHU NI MFITINISHAJI ANAETAFUTA UMAARUFU SI MSOMI

USIACHE KU SUBSCRIBE KZread CHANNEL YETU ALWIY MUHANNA🔴 KU LIKE, KU SHARE, NA KU COMMENT
ALWY TV UKUMBUSHO KWA WOTE

Пікірлер: 281

  • @shabanimsoma
    @shabanimsomaАй бұрын

    Mungu amjaaalie sheikh Bachu elimu zaid na zaid

  • @habibmayike7463

    @habibmayike7463

    Ай бұрын

    Ww na yy mazuka

  • @madrassatulihyaa-ilislaami2911

    @madrassatulihyaa-ilislaami2911

    Ай бұрын

    Amjaalie elimu kwasababu hana elimu,,..Wallah

  • @saidali9255
    @saidali9255Ай бұрын

    Allah insha Allah amlinde Bachu! Mtaumia bure! Bachu fanya kazi ya Allah!

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880Ай бұрын

    Nlkua nasubiria hoja ila kumbe kuna michambo na mipasho tu, Bachu yy anachokiongea hua analeta dalili🤝

  • @mzulwa2006

    @mzulwa2006

    Ай бұрын

    Hao dalili zao ni wanazuoni wao maana ni Maha's um

  • @ibrangowo6185

    @ibrangowo6185

    Ай бұрын

    HIZO UNAZOITA DALILI NDIO HIZO HIZO MASHEHE WAKE WANAMSAHIHISHA. YAKO MASWALI MENGI ALIULIZWA HADI LEO HAJAWEZA KUYAJIBU. 1 . JE WAISLAMU WANAWEZA KUTEKELEZA IBADA ZAO ZOTE KWA ASILIMIA 100 BILA MSAADA WA SIMU NA TV? HILO NI SWALI LA KWANZA. LABDA UMSAIDIE KUJIBU.

  • @bafaaabuu
    @bafaaabuuАй бұрын

    Kiukweli mm binafsi nashukuru allah nimeijua haki ya kweli ya siku ya arafa kwa kupia mohammedi bachu mashaallah alla azidi kutuongoza na allah ampe umri mrefu azidi kutupa elimu kwa hili na mengine innshaalah nyinyi niwazushi2

  • @kassimsaid4481

    @kassimsaid4481

    Ай бұрын

    Wewe ni mwanafunzi mwenye ufahamu finye ndio maana wayaelewa ya BACHU PEKEE angalia hata ibara yako ulivyoandika haumo kabisa . Kasome zisomeke.

  • @Shuu.A

    @Shuu.A

    Ай бұрын

    Finyu nyie mnaofata mwezi wa kijinga wa serikali

  • @SaidiOmy

    @SaidiOmy

    Ай бұрын

    ​@@Shuu.A Hakuna mwezi wa serikali Mioandamo ya mwezi .. jambo alilotaja Allah KTK Qur ani .. Kisha mwezi ni milki ya Allah HAKUNA mwezi wa Serekali wala wa Mufti acha uongo wako. Huoni kuwa unafanya dhulma.. ?? Kumpa kitu yule ambaye sio chake na kumpokonya ambae ni chake ?? Tafakari kabla huja andika chochote au kukisema . Allah akutoe kwenye UWAHABI.. Na akuongoze kwenye haqqi pmj na sisi ..

  • @user-rb8ir9co9k
    @user-rb8ir9co9kАй бұрын

    Yaa Allah muhifadhi Sheikh wetu Muhammad Bacho na fitna za hawa wasio mpenda

  • @AshrafBunu
    @AshrafBunuАй бұрын

    Allah amuhifadhi sheikh Bachu

  • @hudhaifahsadru-xr2gg

    @hudhaifahsadru-xr2gg

    Ай бұрын

    Aamiyn

  • @ramadhanishabani2712
    @ramadhanishabani2712Ай бұрын

    Wewe endelea kuangalia mwezi wako sisi tunaangalia mwezi wa allah

  • @madrassatulihyaa-ilislaami2911

    @madrassatulihyaa-ilislaami2911

    Ай бұрын

    Kwahyo hii miezo mengine ni ya Shaitwan sio

  • @NuruJuma-zv3yz
    @NuruJuma-zv3yzАй бұрын

    Lukman alimuusia mtotowake, ukikataza mabaya na kuamrisha mema lazima itakukuta taabu, bachu Mungu akuongezee elimu Zaid na zaidi

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7zАй бұрын

    BACHU HAWEZI KUKUACHA KAMWE...ANAJIANDAA ANAKURUDIA

  • @aliissahaji33

    @aliissahaji33

    Ай бұрын

    Ndo nyie mnaoharibu dini

  • @user-nh2wt4yd7w
    @user-nh2wt4yd7wАй бұрын

    Hawa mashekh wa maulidi wana tabu Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu

  • @Shuu.A

    @Shuu.A

    Ай бұрын

    Ameen

  • @mzulwa2006

    @mzulwa2006

    Ай бұрын

    Kiarabu kingi jibu lapotezwa kwa kuzungusha ukweli.tumeambiwa tufikishe walau aya.

  • @salehrashid-fx9rq
    @salehrashid-fx9rqАй бұрын

    Allwah amhifadhi sheikh letu Muhammad bachu. Kwakweli anaitendea haki dini yetu ya kiislamu. Hawa mashehe wengine hawana mpango isipokuwa kupoteza muda. Mimi nimemfahamu saana sheikh Muhammad bachu

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5lАй бұрын

    SHEKH BACHU ALLAH AKUZIDISHIE MAANA HAWA MATWARIQA KILA SIKU LAZIMA WAUMIZE VICHWA KUPAMBANA NAE LKN WANAFELI....

  • @dullahbatuf9223
    @dullahbatuf9223Ай бұрын

    Mashallah bachu ametutoa ktk upotevu kwakweli yye anaongea kwa hoja nyie mwapinga kw ubishi tu

  • @AbuujureyjKhaniy
    @AbuujureyjKhaniyАй бұрын

    Tuko Nyuma ya Msema kweli shekh bachu ukiwa ktk haki nilazima upigwe vita mnoo shekh bachu endelea kutangaza haki aridhie aridhiae achukie achukiae haki mpaka kiamaaaaa ❤

  • @fadhilfathamula4224
    @fadhilfathamula4224Ай бұрын

    Huyu yupo kwa ajili ya masilahi ya Dunia

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7siАй бұрын

    Nyie tulisha wachoka mohamedi bachu ni msomi anatembea na dalili nyie hamna kitu mkishindwa mnakimbilia serikal

  • @sleemhamoud4394

    @sleemhamoud4394

    26 күн бұрын

    Mbona alikimbia mdahalo na akajikojolea ktk kiti na isitoshe hajui kiarabu 😂

  • @pakashume725
    @pakashume725Ай бұрын

    Bachu amekuchapeni sawa sawa! Mnatapatapa sawa sawa

  • @Shuu.A

    @Shuu.A

    Ай бұрын

    Mijitu mizima inamzaa bachu akili haiba wallah

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241Ай бұрын

    Toka apa sufiiiii

  • @user-yv1gj2zn4z
    @user-yv1gj2zn4zАй бұрын

    sheikh maneno yako kweli

  • @ayubahmed9490

    @ayubahmed9490

    Ай бұрын

    hamna ukweli wowote

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871Ай бұрын

    Tumechoka na uzushi wenu. Mohamad Bachu ALLAAH amhifadhi na azidi kuingarisha sunna. Ameen

  • @OmarOmar-zh3rq
    @OmarOmar-zh3rq15 күн бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh Bachu

  • @user-rn1xk1yr5j
    @user-rn1xk1yr5jАй бұрын

    Bachu💪👍

  • @user-nh2wt4yd7w
    @user-nh2wt4yd7wАй бұрын

    Bachu amekushinda ilimu Allah amuhifadhi

  • @user-qm2of7vd3k

    @user-qm2of7vd3k

    Ай бұрын

    Ilimu gani unayo ongea bachu mwenyewe hata I abarahajui kusoma halafuati nimwanachuoni kweli hii niajabu ya dunia

  • @user-qm2of7vd3k

    @user-qm2of7vd3k

    Ай бұрын

    Endeleeni ushabikiwenu

  • @habibmayike7463

    @habibmayike7463

    Ай бұрын

    Ww mtupu kama yeye bachu

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7siАй бұрын

    Watu Kila kukicha wanijua haki wanatoka kwenye ujinga dunia kiganjani

  • @user-rb8ir9co9k
    @user-rb8ir9co9kАй бұрын

    Masheikh acheni unaafiq, ifike kipindi muikubali haqi , mutakwenda kuulizwa mbele ya Allah, naona Muhammad Bacho ni mdogo lkni amewashinda kwa elimu saiv kilichobaki kwenu ni kutapa tapa tu

  • @issahabdallah9018
    @issahabdallah9018Ай бұрын

    kibri kitawamaliza masufi

  • @masoud744
    @masoud744Ай бұрын

    Hujasema kitu.. humuezi kielimu sheikh Bachu

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550Ай бұрын

    Bacho Kwa Sasa ni mwiba Kwa masufi

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    Ай бұрын

    Ukisoma comments kama hizi ndo utajua mawahabi walivyo majahili

  • @MB-yq3ty

    @MB-yq3ty

    Ай бұрын

    ​@@abiabi9353 Vipi Ughulaati wa kishia umekushinda kuutangaza nini? Naona umehamia kwa Masufi au hauna pa kusimamia?

  • @binmiraji2168

    @binmiraji2168

    Ай бұрын

    Tutamuita Saidi sasa hivi

  • @abughaneem9220
    @abughaneem9220Ай бұрын

    Madudu msichanganye watu someni vitabu acheni kula pilau za maulidi wali ndiyo inawachanganya kabisa mkaacha kusoma

  • @ahmedseif-cu4ex
    @ahmedseif-cu4exАй бұрын

    Kwa lugha gani na nahwu gani ulionayo kujikweza tu kuanzia ww na masufi wenzio hamuna lolote kwenye iyo lugha munataka mupotoshe watu afu muachwe

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1syАй бұрын

    Alhamdulillah,nilikaa sana kwenye ujinga sasahiv inatosha

  • @salumukiyogombe9101

    @salumukiyogombe9101

    Ай бұрын

    Soma Shekhe usiwe msikilizaji! Nasema soma somaaaaa

  • @hamadmasoud490
    @hamadmasoud490Ай бұрын

    Dunia ni duara mkuu. Kumbukeni ayab alyam akimalkum dinnakum

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hbАй бұрын

    BACHU MOLA AMHIFADHI KIJANA YULE ACHA ABAINISHE HAQQI

  • @aminaabdullahi-tp5kn
    @aminaabdullahi-tp5knАй бұрын

    Unapata nguvu vipi yakusme bachu Ni mfitinishaji...kijana anaeleweka Kwa fwasaha ya ilmu anayoitowa ALLAH AMJAALIE FIRDAUS IWE MAKAZI YAKE...

  • @dunivuai9778
    @dunivuai9778Ай бұрын

    Assalaamu alaykum, Sheikh Muhammad Bachu, kaleta fujo gani? Au kuizungumza Haqqi.

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5lАй бұрын

    SHEKH BACHU KAWASHIKA PABAYA KIASI KWAMBA ANAWANYIMA USINGIZI KILA KUKICHA MNAMSHABULIA....

  • @user-nk9jt7qo1j
    @user-nk9jt7qo1jАй бұрын

    Halali inaoneka na batil inaonekana . Sifikirii kama kuna arafa 2 ukiachana nasiku yaarafa. Allah amlinde naampe khery naelimu zaidi siku mpaka siku.

  • @AlhajiIssa-jb9hr

    @AlhajiIssa-jb9hr

    Ай бұрын

    Sheikh yupi umemsikia anasema visimamo vya au siku za Arafa ni mbili?

  • @arrisalastriker9813
    @arrisalastriker9813Ай бұрын

    Haqqi hamuitaki Mungu amhifadhi sheikh Bachu amzidishie elimu yake nyinyi wacheni michezo

  • @user-do8xo2is4e

    @user-do8xo2is4e

    Ай бұрын

    Wajua mana haqqi kwanza wewe?

  • @eng.aliali8187

    @eng.aliali8187

    Ай бұрын

    Sheikh Mohamed kuchu, atafuta kiki 😂

  • @abdallatwaha4884

    @abdallatwaha4884

    Ай бұрын

    Ni vizuri tuwe na uwazi ili tufaidike ama tupate Elimu. Sunnah ya Mtume; kila nchi ifuate mwandamo wa mwezi wao. Wanachuoni wa Saudia wenyewe wanasisitiza tusiwafuate... sasa wale wanaofuata kwasababu ya Ushindani; faida yake ni nini...???

  • @salumhassanallymkurdistan7006

    @salumhassanallymkurdistan7006

    Ай бұрын

    BACHU HANA ELIMU BACHU KABACHUKA ANA MUHEMKO WA ELIMU BACHU KATIKA WENYE ELIMU HAHESABIKI KAMA KWA KUJISIFU NA MAWAHABI KUMSIFU NISAWA NA PUNGUWANI KUMSIFU PUNGUWANI MWENZIWE MAWAHABI NI MAADUWI WA UISLAM NDIYO MANA WANAPENDA MGAWANYIKO BAINA YA WAISLAM

  • @sulekhan7119

    @sulekhan7119

    Ай бұрын

    Hakhi gani yakujifanya wajuwa kira kitu

  • @musaomar4184
    @musaomar4184Ай бұрын

    Allah amhifadhi kijana wetu sheikh Bachu kwanza tuambie kiwango chako cha elimu umesoma university gani ya kiislam

  • @sayyidalishariff6068
    @sayyidalishariff6068Ай бұрын

    Ameen apate elmu zaidi. Lakini awa heshimu mashekhe wengine. Hatu mchikii maana pia yy ni ustadh. WBT

  • @bintomar7025
    @bintomar7025Ай бұрын

    Ahsante sheikh umesema kweli Allah akulipe kheri

  • @MuniraRashid-sx3up
    @MuniraRashid-sx3upАй бұрын

    Allah amuhifadhi sheikh Mohammed na midomo ya washirikina

  • @abutafawa
    @abutafawaАй бұрын

    Allah atamihifadhi akhii Mohammad Bachu kutokana na chuki zenu... Hiyo yote ni kwa sababu ana sambaza sunnah... مُوتُوا۟ بِغَيْظِكُمْ ۗ

  • @abdallamassoud53
    @abdallamassoud53Ай бұрын

    Shekh mashaallah unaeleweka vizur sana

  • @fadhiliharuna3934
    @fadhiliharuna3934Ай бұрын

    Bacho yupo vizuri

  • @bagalucha
    @bagaluchaАй бұрын

    Hata mtume Muhammad Sallallahu Alayh wasalaam,aliitwa mtoto,na kadhalika,Muhammad Bachu kumkuta haya yanayomkuta si ajabu,mara zote kuisimamia haki,maadui hawataki mbali.Allah amughifadhi Muhammad Bachu.Amin

  • @user-do8xo2is4e

    @user-do8xo2is4e

    Ай бұрын

    Tafuta wakumfananisha na mtume wewe si jaahil kama bachu

  • @eng.aliali8187

    @eng.aliali8187

    Ай бұрын

    Mohamed kuchu na sio Bachu😂

  • @bagalucha

    @bagalucha

    Ай бұрын

    @@eng.aliali8187 Hata mtume Muhammad Sallallahu Alayh wasalaam,aliitwa mtoto,na kadhalika,Muhammad Bachu kumkuta haya yanayomkuta si ajabu,mara zote kuisimamia haki,maadui hawataki mbali.Allah amughifadhi Muhammad Bachu.Amin

  • @bagalucha

    @bagalucha

    Ай бұрын

    @@user-do8xo2is4e Hata mtume Muhammad Sallallahu Alayh wasalaam,aliitwa mtoto,na kadhalika,Muhammad Bachu kumkuta haya yanayomkuta si ajabu,mara zote kuisimamia haki,maadui hawataki mbali.Allah amughifadhi Muhammad Bachu.Amin

  • @Allybinamour

    @Allybinamour

    Ай бұрын

    kweli kabisa

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7znАй бұрын

    TUMESHAMKUBALI BACHU HATUINGII FITNA ZENU WATU WAZUSHI TUMESHAMUCHOKA

  • @hudhaifahsadru-xr2gg
    @hudhaifahsadru-xr2ggАй бұрын

    Wew shekh umempasua moyo wake? Itaq llah, alaf ni bora umwambie yeye, kwa nini utuambie sisi?

  • @albayaanmschool8451
    @albayaanmschool8451Ай бұрын

    Nikawaida unapoifikisha haqqi utapewa majina ya kukurejesha nyuma ila ujumbe umefika

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7siАй бұрын

    Haki ni haki tu bachu Allha akuhifadhi na fitina zao

  • @nelson-cd7fr

    @nelson-cd7fr

    Ай бұрын

    Aamin

  • @Shuu.A

    @Shuu.A

    Ай бұрын

    Ameen

  • @habibmayike7463

    @habibmayike7463

    Ай бұрын

    Haki gani?

  • @DR.SAIFILLAH.5363
    @DR.SAIFILLAH.5363Ай бұрын

    Mungu hakuumba kiumbe Shetani ila shetani ni sifa ambayo hupewa kiumbe yeyote kwa tabia zake chafu sasa mtu akiwa kazi yake ni kufitinisha waislamu na kuwagawa badala ya kuwaunganisha basi huyo moja kwa moja anaingia kwenye USHETANI ni SHETANI kwa mujibu wa vitendo vyake. Mimi nasema wengi ya wale wajiitao MASALAFI wanasifa za KISHETANI.

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780Ай бұрын

    We mpumbavu?

  • @Allybinamour
    @AllybinamourАй бұрын

    sheikh mimi sijakufaham,unasema quran haitaki mijadala na hapo unawalaum watu kwa mijadala na wewe upo kwenye mijadala unayoipinga, au mijadala ni ile ambao haiendani na msimamo wako?

  • @UB40X1

    @UB40X1

    Ай бұрын

    Wapuuzi hawo

  • @Shuu.A

    @Shuu.A

    Ай бұрын

    Ndio hapo hajitambui nae huyu yumo tu

  • @AbuSaeed-pz2kb

    @AbuSaeed-pz2kb

    Ай бұрын

    Makhurafi hawajitambui

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hbАй бұрын

    BACHU MOLA AMHIFADHI

  • @thamani5842
    @thamani5842Ай бұрын

    Jazakallahulkheir sheikh

  • @user-lr2wd3zs1k
    @user-lr2wd3zs1kАй бұрын

    Nawausia sana watu wa Kenya kwa kumkaribisha bachu Muhammad bachu huyo ni mzanzibar na mm ni mzanzibar kwahyo ss tunamjua vzur ss wazanzibar kuliko baadh ya wakenya Muhammad bachu hajawa na elim jaman huyo ss wazanzibar tumenfungia kwasababu hatak kusoma ss huku Zanzibar tumemambia aje asome ametaka

  • @kasimubangu1875

    @kasimubangu1875

    Ай бұрын

    Hujielewi ww

  • @gundererthemustache5818
    @gundererthemustache5818Ай бұрын

    Mashekhe mwatutuia aibu mushakosa KAZI zenu za kufanya KAZI kuzozana tuh

  • @ChidySuleiman
    @ChidySuleimanАй бұрын

    Nyinyi bakwata na masufi ndio mnaopotosha watu wallah

  • @abdulmalikali1501
    @abdulmalikali1501Ай бұрын

    Hhhhhh katwaliini Vzr Mashekhe Mambo ya Bachu Bachu ebu tulieni acheni kumpa kibri kijana mdogo huyu nae kwanza akatwaliii.kisha Huyu bachu yaani yy siku zote ndio Qaadhwil Qudhwaat yaani yy ndio aona makosa hamna mashkhe wengi 😂😂.wallai ajabu kweli

  • @mahsenshariff1076
    @mahsenshariff1076Ай бұрын

    Mkasome mauliidi Muhammad bachu achanane nae

  • @YussufWakala
    @YussufWakalaАй бұрын

    Kumbe mnaumia mashekh ubwabwa

  • @hamadmasoud490
    @hamadmasoud490Ай бұрын

    Tuseme.hawawezi jee ww huwezi kufubga sawa na saudia Arabia

  • @habibmayike7463
    @habibmayike7463Ай бұрын

    Kusoma muhimu majahili wengi hapa kwa comments just like bachu

  • @ayubahmed9490

    @ayubahmed9490

    Ай бұрын

    ww ndio jahil namba moja

  • @hassansaul7098
    @hassansaul7098Ай бұрын

    Uzuri ni kwamba Muhammad Bachu anatumia Hadithi na Ayat, na Kauli za Wanachuoni wanaokubalika ndani ya ISLAM

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1uАй бұрын

    Maneno yako yanajifunga funga mwenyewe. Amekataa Mijadala huku anaileta. Ufam wako mdogo Allah akuongoze.

  • @JumaHaji-zz8xk
    @JumaHaji-zz8xkАй бұрын

    Ww pia hujui kiarabu wala nahaw

  • @omarimahela7690
    @omarimahela7690Ай бұрын

    Kichwa cha habari na maneno ya sheikh tofauti. Tuache uchonganishi kwenye dini

  • @saiditara7235
    @saiditara7235Ай бұрын

    "Na kama mungu alijua kwamba hili litakuja" hilo neno sidhani kama limekaa sawa kwa upande wa kumnasibishia Allah, au kama kuna ushahidi wa kufaa kulitumia naomba kufahamishwa?

  • @user-nv7jg6xc8l
    @user-nv7jg6xc8lАй бұрын

    Bachu lazima awe na wafuasi wengi sababu wengi hawana elimu na ndio Msiba tuliokua nao waislam wengi wa zama zetu hatujui dini

  • @user-sm7if6ni3o
    @user-sm7if6ni3oАй бұрын

    Me nahisi ungejibu alicho kisema ndo iswaaf ama kumponda haina mantiki yeyote

  • @kugotwa004
    @kugotwa004Ай бұрын

    KHERI SHEIKH NDIO UKWELI UMEONGEA BACHU KAUPOTEZA UMMA WA MUHAMMAD S.A.W

  • @Biziman-pu4kf

    @Biziman-pu4kf

    Ай бұрын

    Unaweza kutuonesha huyu upotevu wenye amewapoteza

  • @user-rb8ir9co9k

    @user-rb8ir9co9k

    Ай бұрын

    Wapi amewapoteza

  • @YussufWakala
    @YussufWakalaАй бұрын

    Mwendo wa Qur-an na sunna hatutaki dini ya maneno mengi bila aya wal hadith sahihi

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244Ай бұрын

    Ahlul-Bidaa wal-hawaa Masufi ni sumu ndani ya dini

  • @Biziman-pu4kf
    @Biziman-pu4kfАй бұрын

    Matusi tu mbona hamvunji hoja zake

  • @rushu1232
    @rushu1232Ай бұрын

    Hakuna anaemtambua bachu lakini haiwezekani aachiliwe kukosea adabu masheikh waliofanya daawa zaidi yamiaka 50 hao wanaojibu wengi wamepitia kwa ustadh Said.

  • @ChidySuleiman
    @ChidySuleimanАй бұрын

    Dini inarisishwa dini inafundishwa ww autak haki sis dini. Aturisi tunasoma

  • @YussufWakala
    @YussufWakalaАй бұрын

    Shekh km kilamtu n mji wake arafa zitakuw ngp ittakillah

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023Ай бұрын

    Mbona huja eleweka Sheikh? Tulitaraji utaleta hujja ya kuzivunja za bachu hafidhahullah

  • @rushu1232
    @rushu1232Ай бұрын

    Masheikh wkiwahabi zaidi ya saba wamesema fateni mwezi wakwenu mmoja ndani ya Tz alisema fuateni mufti wenu wacheni comment zakijinga.

  • @AbuSaeed-pz2kb
    @AbuSaeed-pz2kbАй бұрын

    Vita baina ya Haqi na Baathil itaendelea mpaka qiyaama isimame Makhurafi tambueni hilo

  • @user-zf2zg2ps5j
    @user-zf2zg2ps5jАй бұрын

    Bachu atafuti umaarufu umaarufu tayali anao ile kuitwa bachu kwisha acha upotoshaji ww ndio unatafuta kupitia yy

  • @user-lr2wd3zs1k
    @user-lr2wd3zs1kАй бұрын

    Hv munatakiwa mujiulize kwanin Muhammad bachu radd zake hawafanyi mashekh wa huku nyumban Zanzibar et kwasababu huku anajuilikana ni mtoto wa saafu saan ni mtoto wa mwaka wa pili kwahyo tunakunasihin nyinyi ambao mumenchua huko Kenya daaaa nataman huu

  • @masoud744
    @masoud744Ай бұрын

    Jibu hoja wacheni makelele

  • @AbasiChigo
    @AbasiChigoАй бұрын

    Kakosea wapi,,jaman mbona mnalialia sana ,,yeye anasoma vitabu,,

  • @fadhilfathamula4224
    @fadhilfathamula4224Ай бұрын

    Humu hakuna shekh ukitaka kujua ilo angalia alivyonyoa ndevu watu kama hawa ndio wafitinishi

  • @omarabdi3604

    @omarabdi3604

    Ай бұрын

    kwan hizo ndevu ndio elimu😮😮😮

  • @fadhilfathamula4224

    @fadhilfathamula4224

    Ай бұрын

    @@omarabdi3604 ndio inaonesha hafuati mafundisho ya mtume wetu, yeye yupo kwa ajili ya Dunia tu

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy8666Ай бұрын

    Nyie Kenya hapo na Tanzania hamuwezii kujua kwamba arafa wasimam lini!??

  • @masoudabdallah7041
    @masoudabdallah7041Ай бұрын

    Mmmmh unaweza kutaka kumzogoa mtu kumbe we mwwnyewe hamna kitu sio kujibizana mtu katoa hoja jibu hoja kwa hoja dalili kwa dalli

  • @babuumohd4290
    @babuumohd4290Ай бұрын

    Mimi ninaswali jee ipo siku Rasoul aliwahi kuletewa habari mwezi umeonekana mahali flani akaukataa kwakua haujaonekana sehemu yake?

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i22 күн бұрын

    Sawa

  • @fadhilalmaawiy7804
    @fadhilalmaawiy7804Ай бұрын

    Upumbavu tu kwani hao Mola (S.W) alowapa elimu mnawajua au mnajipa mwenyewe "nani ana elimu" "nani hana " hamuoni mfano wa mja mwema na Nabii Mussa (A.S). Hao Ahl Al dhikr "Those who know" the people of Al dhikr the( book) The followers of the Remembrance mmebainishiwa ni nani na nani ? Wallah Mola angekupeni elimu na hikma msingepiga kwelele. Baada ya kushikamana na haki nakupendana katika njia ya Mola ( A.S) kazi yenu kujibishana na kusemana nani hana elimu nani anayo km hamumjui nani Mjuzi ( Al aleem ) na humpa elimu amtakaye.

  • @isihakaabdul1134
    @isihakaabdul1134Ай бұрын

    Ndio yawezekana ulimwengu mzima kufunga siku ya arafa we mzee mbona makafiri waweza kuwa na may mosi dunia mzima siku moja ushindwe uislam we vipi ??

  • @truthurts7469
    @truthurts7469Ай бұрын

    Kelele tu!😂

  • @highhigh7476
    @highhigh7476Ай бұрын

    عرفناه بتعريفك وأيش انت تبحث ؟ عرف نفسك صاحب الطاقية الكبرى

  • @muhammadkarama9996
    @muhammadkarama9996Ай бұрын

    Hawa masufi wapenda kutweza wenzao lakini wao no watupu hawana lolote ispokuwa milemba mikubwa mikubwa na videvu vilonyolewa

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780Ай бұрын

    Sheikh swala la mwandamo hakuna ikhtilafu ila madhehebu na siasa jumlisha ujinga nasikitika sheikh waonesha mpumbavu

  • @Shuu.A

    @Shuu.A

    Ай бұрын

    Hapa badi😂😂😂

  • @muniramohamed972
    @muniramohamed972Ай бұрын

    Wewe kama huna elimu msikize huyo bachu, akili zenu ziko sawa, bachu ni debe tupu.

  • @yahyaibrahim4731
    @yahyaibrahim4731Ай бұрын

    Ukiangalia comments basi bachu ni sheikh wewe kasome kwake

  • @sefuriyembe7864
    @sefuriyembe7864Ай бұрын

    Moh.Bachu hana elimu ya darasani, kwahiyo hajui jiografia. Wakati wa kusimama arafa kule saudia, kule uchina wanaswali magharibi !! Yeye anadhani dunia nzima mchana ni mmoja !! 😅😅

  • @kasimubangu1875

    @kasimubangu1875

    Ай бұрын

    Nawewe je unajua nini

  • @bakariismail3274
    @bakariismail3274Ай бұрын

    Mtume الحج عرفة { 4:57 ٱلۡحَجُّ أَشۡهُرࣱ مَّعۡلُومَـٰتࣱۚ mungu [Surah Al-Baqarah: 197] Tumfuata nani!? Shehe nenda ukasema upya

  • @vicentpantaleo5837
    @vicentpantaleo5837Ай бұрын

    Bachu amewashika pabaya sana

Келесі