MashAllah sheikh Izudin ni mtu wa mana kabisa mwenyezi MUNGU akujalie afya njema na maisha marefu Amiin🤲🤲🤲🤲
@MistersalohSaidАй бұрын
Masha Allah ustadh wangu Allah akujaze kher inn Sha Allah 🤲
@suuahmed71Ай бұрын
In shaa ALLAH na Arafa yetu ni tarehe 9 of Dhulhijja which is on Sunday. MUNGU atufikishe kwa salama atutaqabalie funga zetu. Amin
@ummusalim1991
Ай бұрын
Amiiiin Yaa Rabbbb
@user-vq2du7dv7r
Ай бұрын
AAMIN
@mohagurey2214
Ай бұрын
Hebu jisikiza eti arafa yetu? Kuna kuna arafa gani huku ? Akili umepeleka wapi brother
@abiabi9353
Ай бұрын
@@mohagurey2214wewe wahabi mwehu hata ukielezwa huelewi. Hapa hatuzungumzi arafa mahali.arafa mahali inawahusu mahujaji tu.hapa tynazungumza arafa siku
@mohagurey2214
Ай бұрын
@@abiabi9353 wewe shia unajiingiza story haikuhusu, ama unajipendekeza masufi ndugu zenu
@ismagatarama1285Ай бұрын
Aslm alkum walahamatullah wabarakatuh ya sheikh yahi ayo mabo yahitaji hakili yakuzaliwa sio kwenda shule allah akulipe mema kukutuelewesha
@ibraa1157Ай бұрын
Maneno yalijawa hekma Shukran sheikh Ikiwa n wa kuelewa ataelewa Sio kukimbilia kwenye mitandao na kujifanya yuajua na kumbe ni kina haulai
@waladulikhlaas7870Ай бұрын
Sayyid izzu ddiin huyo kijana tuachie sisi tutamueka sawa tu....wala ww usijipe tabu sheikh wetu...huyo ni mtoto sana kwako
@yussufmwinyi4604Ай бұрын
Maasha'Allah Shekhe wetu, tunakuenzi. Ila tambua huyo kijana hana elimu, usijishushe daraja yake.
@HamadaZubeirTahirАй бұрын
Mohammed Bacho kwa sisi Wazanzibari tunamfahamu vizuri ni kijana ambae hajasoma na wala hakutaka kusoma na wala hataki kusoma.
@suleimanahmadaali5989
Ай бұрын
Sema kwa mimi mzanzibar sio sisi wazanzibar jisemee nafsi yako usiwasemee watu wengine
@habibmayike7463
Ай бұрын
@@suleimanahmadaali5989ww tu na mazuzu wenzako munamkubali bachu
@abiabi9353
Ай бұрын
@@suleimanahmadaali5989majority ya wazanzibar wanajua bachu hamna kitu
@nadyasalim7956
Ай бұрын
hahahahaaa
@salumsimai642
Ай бұрын
Usijitukuze nafsi yako Allah ndie anemjua mbora msidhhfishane nyny kwa nyny mbona Kila mtu amuona mwenziwe hajui na kujiona yy ndo mjuzi hiii ni sifa ya shetani
@abubakaromar6101Ай бұрын
Assalamu Aalykum Waramatullahi Wabarakatu. Alhamdulillah MashaAllaha MashaAllaha Sheikh wetu Izzudin Ahmad Alawy Mwenye Ezi Mungu akuzidishie ufafanuzi uko waziwazi na wakufahamika kirahisi kabisa na kama mtu hajafahamu huyo ana gonjwa la akili yatakiwa akaangaliwe upungufu wa akili. Bachu waitwa na Sheikh Izzudin akufundishe namna ya kusoma Ibara na kutafsiri na uvae kibinda usije ukakojoa kama kule kwenye mjadala na Ustadh Said Omar Ashirazy
@abdallahshariff2983Ай бұрын
Hakika,umeeleza haya maswali kwa upana na uzuri.
@MahmoudMwacharoАй бұрын
Alhamdulillah..shukran jazeelah sheikh
@zulfaabdulrahmanАй бұрын
Allah... Allah... mungu akuweke nlkuwa live jana nlkupata loud n clear...
@ibrahimkhamis-jk8qfАй бұрын
Hawa ndo masheikh wa kutegemewa Sio porojo tu...Allah akuhifadhi
@ashrafkhamis1051Ай бұрын
Kweli hakika sayyid izu din somo la Fiqihi c mchezo la msingi zaidi ni azifahamu kufasiri ibara katika ya somo la fiqihi
@abdulkhalfan8586Ай бұрын
SHEIKH IZUDIN USIPOTEZEE WAKATI WAKO KWA KUMUOMBA BACHU MUFANYE MUNAQASHA UTAJISHUKISHA HADHII YAKO WAACHIYE HIYO KAZI WANAFUNZI WA USTADH SAID WAMPE DOSI NYENGINE
@sleemhamoud4394
Ай бұрын
Bachu hanna kitu kwanza kusoma haku soma yule achanani nae anataka views ktk chanal yake ndio maana kafukuzwa zanzibar yupo kwa mashoga zake tanga na Mombasa kenya
@hamzahamu6011Ай бұрын
Masha Allah Sheikh izzudin alwy ❤
@muktarkassim6647Ай бұрын
Haha Bachu khabari hiyo Munaqasha Izzadeen akutaka muchambuwe kifiqh
@mwanakheri2880
Ай бұрын
Hamuwezi Izuddin hata kidogo
@HamadaZubeirTahirАй бұрын
Mawahabbi walidhani hatunavyo Vitabu vya mashekhe wao na hatuvijuwi kumbe tunavyooo na tunavifahamu zaidi kuliko wao maaana wao hawasomeshwi bali wavisoma wenyewe tuu
@samxx411
Ай бұрын
Msianze fitna kwa jambo dogo waislam, tusigombane wala kutofautiana kwa tofauti ndogo, sote ni wamoja japo mimi na wewe tuna msimamo mmoja
@abdiabdu7179
Ай бұрын
@@samxx411sasa ya nini Bach adanganye
@Ustnaaman001
Ай бұрын
Hahah kwelii
@kahiyemohammed8556Ай бұрын
Hawa masufi watapotesa umma sana izzu diin gopa mwenyezi mungu, diini sio fikra pali nikufuata sheria...
@abubakaromar6101
Ай бұрын
kahiyemohammed8556 mwambie huyo mwalimu wako bichwa koko asojua kusoma Ibara vizuri na kutafsiri kama kweli ya wezekana mwezi uwe wa kimataifa na Swala nayo kwa nini isiwe ya kimataifa na Swala ndio nguzo kubwa ktk Ibada zote tiyeni akili
@abdab8466
Ай бұрын
@@abubakaromar6101wanashanganza Sana hawa,ustadhan anampa refence kila Aina na ushahidi mbali na hapo wanamkejeli
@mikekhalifaali7510
Ай бұрын
@@abubakaromar6101 sasa ndio unaongea nini? Hivi kuna miezi mingapi duniani? Mwezi ni mmoja tu ukitokea China sisi tunafuata sio huo upuuz wenu
@abubakaromar6101
Ай бұрын
@@mikekhalifaali7510 mwezi ni mmoja lkni haukai sehemu moja na kama mwezi ni mmoja wataka pale popote ukionekana watu wafwate na Swala nayo ni nguzo kubwa ktk Ibada zote kwa nini tusiswali time moja? Alafu hapa usidanganye watu eti ukionekana China mutafwata toka lini Saudia wakafwata mwezi wa Inchi nyengine hata si mbali miaka mi nne tu iliyopita hapa Oman waliona mbele ya Saudia na Saudia wakakata kufwata na ni Inchi jirani itakuwa China Iko mwisho wa ulimwengu
@abubakaromar6101
Ай бұрын
@@mikekhalifaali7510 nyinyi taabu yenu hamutaki kupiga goti kusoma mwataka ushabiki mukiona shekhe ana hamasa mwaona huyo ndio shekhe, hata hao maulamaa Saudia pia hawataki inchi nyengine ziwafwate nyinyi munalazimisha. Alafu nyinyi haya mas'ala ya mwezi mwafwatilia kwa kuangalia kwa kuingia Ramadani na Eidi mbili, mwezi unaangaliwa kwa mambo mengi moja wapo Mke alofiwa na Mumewe lile EDA lake ataanza kwa kuangalia Saudia au pale inchi yuko alipofiwa na Mumewe. Kapige goti kwa mwalimu akusomeshe sio kusikiliza mashekhe wa hamasa mitandaoni
@abdullali1789Ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu,afya Bora,hikma na busara.(Ameen).
@maarufumustwapha3055Ай бұрын
Elmu yangu ni ndogo Sana lakini nimegundua bachu nimurongo Sana
@abubakarswaleh5667Ай бұрын
Allah akuhifadhi Sheikh Izzudin kwa elimu hii. Allah akujaze kheri nyingi
@JamalAli-tz6pjАй бұрын
Huu bachu ataka apate supu kolekole kwanza ndio aje tumfundishe nahau na swarfa
@AbdulkadirAbdulraisАй бұрын
MashaaAllah❤❤❤❤
@user-vq2du7dv7rАй бұрын
❤MIMI NINAKUKUBALI SANA SHEKH WANGU
@giltaemi4017
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@binaamour318
Ай бұрын
Mmi nilisema bacho na ustadh said cio size yke aache Mambo kuparamia mashekh k umri k elimu !
@ummusalim1991Ай бұрын
Amiiiin Yaa Rabbbb Alaamiiin 🤲
@jeulihb8532Ай бұрын
Jazaka allah Kher ❤❤
@abdullah-eq3ltАй бұрын
shekh wangu wasikuumize kichwa hao mawahabi
@swalehmohamedwaziri7499Ай бұрын
Dini lazima uwe na inswaf sio unatumia ujanja kusudi lake liwe Elmu ni amana si unafanya utakavo kama nyamaza au sema sijui
@QuranShortDawah_GlobalАй бұрын
May Allah make ease for us reach yawm Arafah... 🤲🤲🤲
@bennymochiwa4800Ай бұрын
Mwenyezi Mungu atuongoze maana kila Arafa lazma tupishane misimamo
@Ustnaaman001Ай бұрын
Assalam alaykum afundishwe maskini bachu mjinga hajui lolote zuuuuuzu wallai hajui kweli kabsaa sio eti ujanja yaani hajuuuuii ni zuuuuuuzu bumbumbum wallai pite na hataki kwenda kusoma sasa
@alisalum890826 күн бұрын
Mohammad Bachu Unauporomosha Uwahabi tokeahapo hauna mashiko
@ashrafkhamis1051Ай бұрын
Thanks sheikh izu din
@Ustnaaman001Ай бұрын
Alhamdulillah mashekhe zetu wamesoma hawabambanyi ila sasa tuje kwao mawahabi wengi wao hawana lolote madebe matupuuuu ust izzzu Deen Asante sana tusichoke kumfundisha uyu kinyago amekuja kuchafua mazingira Kisha ndio ujue wengi wao wooote wajinga mawahabi wenzake hawamwambii wanamwangalia tu shekhe Lao shekhe la mapite😂😂
@amina2044amin-zv2ghАй бұрын
Amen amen 🕋🤲🤲 💙💙💙
@jimjam-xg7rvАй бұрын
Maa Shaa ALLAH 💚💚💚
@AshishaNNSАй бұрын
Huyu bacho ataka kutoa watu kwenye twaa ya Allah angeachwa tuu, tuko katika miezi mitukufu angepuuziwa ingekua bora. Ama ajibiwe hii miezi mitikufu ikiisha.
@isaack100
Ай бұрын
Kama amemkimbia ustadh said ambayo ni mwanafunzi,atawezana hapa?
@abzzfontalbo4952Ай бұрын
Allahu aalam ana la adhri
@fakifaki1760
Ай бұрын
Pole sana sheh
@suuahmed71Ай бұрын
Iko Idi ya 28 ya Mr Chief Kadhi. Si mara hii ameiruka tarehe 29 akafuata Suudia mawahabi wakawa tarehe 1 Dhulhijja. So tarehe 29 imekula kwetu
@ummusalim1991
Ай бұрын
😂
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Na hii ni Sheria Gani alotumia chief kadhi ya kuruka tarekh 29dhulqaada hadi tarehe 1 dhulhijja na mtume s.a.w. amesema mwezi ni hivivna hivi yaani ni 29 au 30 imepokewa hadithi na bukhari na Muslim riwaya ya ibnu Umar r.a. Sasa chief kadhi vimekuwaje Tena Sasa tushike ya mtume s.a.w. ama tushike yako jamanini huu ni upotoshaji ulio dhahir Wallahu aalam wabillahi taufiq
@eshasaid3258Ай бұрын
Mashaallah ❤❤❤❤❤❤amini❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@SafiaHaji-fo3slАй бұрын
nyny mashekhe msiwe kama wanawake kaz yenu kupeana mipasho
@JabirBakar-ys8dwАй бұрын
Ww bwana fiqhi Alhamdulillah
@anwarsaddat4063Ай бұрын
Nairobi ❤Nairobi ❤inshaAllah monday al huda south B
@user-tc9mf9om2bАй бұрын
Shekh mwezi ni MOJA dunia ni moja arafu MBONA muda sawa saudia na Africa mashariki
@abiabi9353
Ай бұрын
Kama ni hivyo mbona hatuanzi kufunga na kufuturu mda sawa na saudi Arabia
@OmariMangale
Ай бұрын
Mungu alimwambia mtume watakuuliza kuhusu (miezi) hivyo mungu ajui kua mwezi ni mmoja?.....usijisemee tu
@abubakaromar6101
Ай бұрын
user-tc9mf9om2b nakuuliza kama muda ni sawa na Swala nayo kwa nini isiwe ya kimataifa kuswaliwe muda mmoja? Tafakari
@spycley6127
Ай бұрын
Na kwanini mwezi ukiliwa saudia wao wanasali but africa mashariki hawaswali na mwezi unakua upo kawaida? Tafakari.
@mikekhalifaali7510
Ай бұрын
@@abiabi9353sasa katika kufunga na nyakati za swala kunaangaliwa jua au mwezi? Hebu tumia akili bana, utajuaje kwamba ni Fajr, au Dhuhur au wakti mwingine unazingatia jua sio mwezi
@waleedahmed6530Ай бұрын
Shukran ustadh naomba uniangalilie kuhusu kuomba maiti na maulidi katika kitabu hicho hicho cha sheikh utheymen...utanijibu inshaAllah
@taurehassan7399
Ай бұрын
Kwn alojuzisha kuomba maiti ni Nan?na kuhusu maulid sheikh wko kakubali
@waleedahmed6530
Ай бұрын
@@taurehassan7399 taratibu sheikh ni swali nimeuliza na nimemuuliza sheikh izzudeen sasa sioni dharura ya kunijibu wewe ambaye sie izudin
@nurdinmfamau3493
Ай бұрын
Nawe Haupo MOLA Akurahamu.
@abdiabdu7179
Ай бұрын
Ime kuchoma 😆
@AbuuAnuwar-ip7dr
Ай бұрын
Unaumia ukiwa wapi Akhy? 😜😜
@MuhammadMuhammad-gr2qvАй бұрын
KAMA NI MAMBO YAKUFUNGUA KWA TIME MOJA HATA KENYA PIA HATUFUNGUI KWA TIME MOJA. WALIOKO NAIROBI NA PANDE ZA BARA HAWAFUNGUI TIME MOJA NA MOMBASA. HATA LAMU PIA HAWAFUNGUI TIME MOJA NA MOMBASA SIO SAUDIA TU. USTADH POLE POLE ...
@abiabi9353
Ай бұрын
Kwahiyo hoja yako nini
@abuuaisha6110
Ай бұрын
@@abiabi9353Hoja ni kuwa mombasa wasifunge kwa mwezi wa lamu na Nairobi wasifunge kwa mwezi wa mombasa
@@abubakaromar6101 ustadhi anaposema hatufai kufuta MAKAH sababu time ya kufungua pia HATUFUNGUI time moja na wao ... Jiulize hapa Kenya watu wafungua time moja? Na mbona MWEZi unapoonekana LAMU hamuwaambii watu WA Nairobi wasifunge sababu wao kule hawajuona na time zao zakufungua NI TOFAUTI na za lamu... Mijitu ya matwari AKILI ZENU zipo kwenye Ngoma Tu hiyo ndio shida yenu
@jumanjenga7682Ай бұрын
Masha Allah Ustaz
@user-du2fy5sd5uАй бұрын
Shukran jazzilla
@allyhamza9969Ай бұрын
muhimu kila sheikh aheshimu rai ya mwenzake.swali langu ni hilo; kwa mujibu wa hadithi inasem3kana Allah hushuka siku ya kisimamo cha arafa kusamehe watu waliojikurubisha kwake.sasa arafa hii ni siku ya tarehe ama siku ya kitendo cha arafa?
@HassanHassan-pk8or
Ай бұрын
Mungu husamehe mahujaji wote walio simama arafa wakiondoka wamekua weupe kama siku waliozaliwa mm na ww ni dhambi za miaka miwili Tu kama tutafunga siku ya arafa kwa muandamo wetu wa nchi yetu pale tulipo
@arafatally3723
Ай бұрын
NAMI nakuuliza wale walio arafa hufunga kama wale ambao hawako Hajj?
@abdukhan4718
Ай бұрын
Tukizungumzia ARAFA sehemu katika uislamu . Basi haipatikani sehemu hiyo popote ispokua Makkah. Tukizungumzia ARAFA. ni siku. Basi ni mwezi 9 mfunguo 3. Sasa watu hawafungi Sehemu Itwayo ARAFA. Bali watu wanafunga Mwezi 9 mfunguo 3. Allah atusamehe makosa yetu na atuingize peponi kwa Rehma zake
@AbdallaJabal-jj1sm
Ай бұрын
👍👍👍👍👍
@canoksancomprehensivelearn7182Ай бұрын
Wanaokomment hapa yaonyesha wengi wanafuata ushabiki na sio elimu maanalazima usimkashif mtu anakosea sana Izzuddin na anakosea sana Bachu na kilicho muhinu ni kusikiza dalili pande mbili zot bila ushabiki maananukipitiwa na arafa hasara yako mwenyewe na ushabiki ila.ukifanyankielimu Allah atakuongoza ujue haki sio akili wala swarfu wala nahau hata mashia wamepitia nahau naswarfa na hizo mantik na mapote yote kuna watu wa nahauna swarfa na mantwiq lakin Allah humuongoza amtakaye nankumuacha amtakaye apotee hasa akifuata tamaa ya mwili wake na cheo au hishma yake na leo dunia kila mtu anataka aheshimiwe na dini imekuwa kama kisingizio.
@khamisqassim5332Ай бұрын
Asalam Aleykum Warahmatullah hbib, Mm nko Bahrain na adhan hku ya swalatul fajr ni saa tisa na dkika kumi na saba asbuhi hao wnaofata saudia ama inchi zhuku gulf waamke wswali hyo time asbuhi
@user-qm4qd8yk2x
Ай бұрын
mtume amesema tufunge SIKU ya arafa hakusema tufunge wakati watu wako arafa Sasa siku ili ikamilike lazima iwe na masaa 24 sio 12 kwanza kabisa kabla sijaanza hisabu kama Bahrain time yenu ni tofauti na Kenya basi Saudi na Kenya time ni moja inafaa twende pamoja sasa tuende kwenye hisabu ili siku iwe siku inakuwa na masaa 24 kwa mfano Saudi wakianza arafa asubuhi mpaka jioni hayo ni masaa kumi nambili kwa hivyo siku yenye masaa ishirini na inne bado haijaisha ikifika jioni huko saudi Sasa ule upande mwingine wadunia nao unabadilika unakuwa mchana kwaoo wanamalizia Yale masaa mengine 12 ikifika usiku wao masaa ishirini na inne yatakuwa yameisha sawa na alivyo sema mtume fungeni SIKU ya arafa. mpaka hapa utaona arafa ni moja duniani japo Saudi watatangulia na wengine wanafeata baadae lakini siku hiyohiyo ya arafa yaani siku hiyohiyo ya ibada ya arafa 1:50
@ismailabdalla7953Ай бұрын
Kwani wewe utamweza mohamed bachu?
@Ustnaaman001
Ай бұрын
Usimwite Mohammad bachu uyo ni shekhe la mazùzu
@adamhashim3352
Ай бұрын
Kijasho kilimtoka kiti kikalowa kwa said😅
@abdulsalum2852Ай бұрын
Sasa uo mfano hutokea kwenye sehemu za nchi moja uku Tanzania kuna pahali wafungua saa 12:30 lakini sehemu ingine wafungua saa 7;50 kwaiyo nahuku mwezi uo tofauti na ni nchi moja
@AlykhamisameAmeАй бұрын
Mashallah sheikh wetu
@TRIPLE.3RsАй бұрын
Yau nisba...3baadiiiii
@user-ke8km1tv9iАй бұрын
Sheikh Bachu, je tukiuona mwezi wa dhulhija mbele ya saudia hukmu itakuaje?
@madhuru2554Ай бұрын
Hakuna kitu kama hiyo, Arafah ni moja na watu wanhimizwa kufuata pale watu wanapofanya ibada ya Arafah nyiye mufunge siku ya ijumapili halafu museme ni Arafah haiwezekani mgala muue na haki umpe.
@MuislamuАй бұрын
Sawa sawa mufti
@sharifsayyidalmahdalАй бұрын
Ashabul twaruqa wakijitetea msipoteze watu ,
@hometownke.9658Ай бұрын
Hakuna wasomi kenya amry ya matlahi hakuna kwa tukio la sehemu linalofanyika hadhir ambalo lafanyika na mahujaji sio mwezi wa ramadhani
@hometownke.9658
Ай бұрын
Siku ya tukio ni moja sio kila sehemu na siku yake communications ya zamani sio sasa sote twaona arafa ikifanyika
@SirlemNasirАй бұрын
KUMEKUCHA TENA.... HAMUINI MIEZI YA VURUGU, ILA MUANDAMO WA RAMADAN, SHAWAL NA DHUL HIJJAH
@abiabi9353
Ай бұрын
Mawahabi ndo wenye vurugu hutuchanganyia siasa saudi Arabia na dini
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Hizi ni hesabu zetu kila siku munapotulete tafauti yakutaka tufuate saudia ndio maana tunakua wakati.
@MdUsman-nz6sdАй бұрын
Ukisikia aliekula nyama ya nduguye ndio hapo kwanini asimwiote mwenyewe akamuambia kuliko kumsengenya
@khairatsaid-zu3hdАй бұрын
Na jee yaumul hajjil akbar itakua lini?
@user-uy8en4fj6rАй бұрын
Shekhe izudin wewe ni m2 mkubwa achana na huyo kijana mkorofy akizungumza hazipaty maneno anayakoroga 2 yarabbi sitara
😂😂😂 nashangaa na yule aliekuwa mufti wa misri duktoor Ali Gomaa nae ni wahabi?
@abdurashidinasorodini
Ай бұрын
makhurafi mnashida nyie😢
@jabirhussein4180
Ай бұрын
Kwahiyo yule kasoma ibara za shk uthaymeen? Lkn bachu,kishki,bahero... wote wamebambanya fatwa hiyo hiyo kutaka kuwachanganya waislamu
@jabirhussein4180
Ай бұрын
Duktuur ali Gomaa hakusoma fatwa ya uthaymeen yale ni maoni yake kama alivyo ona chief qadhi wa kenya lkn sio sheria isemavyo
@abdullahmasakata170
Ай бұрын
Love you my love shekh
@warshysaid8564Ай бұрын
Mtume s.a.w kasema tufunge tukiuona sasa kwa tafsir yko sheikh ina maana asieuona asifunge sasa mwaweza kuwa sehemu moja lkn wengine wakauona wengine wasiune kwahiyo wasio uona wasifungee? Je sheikh unaweza kutuonesha ktk hiyo hadithi ya Mtume s.a.w masafa ya kufunga pamoja ?
@uiavajiwgav5441Ай бұрын
Acheni kukosesha watu fadhla yasiku yaarafa hakuna sehemu yoyote mtume amesema tarhe ame sema siku yakisimamo cha arafa amatu ambieni muna arafa yenu mambrui ama riadha habari yakufuturu nyinyi lamu ama malindi hamufungui sawa nakisumu jamani musiikose arafa eti watu washa ondoka arafa wako mina kisha utu ambie leo niarafa taratibuni
@abuuaisha6110Ай бұрын
16:18 Kwa kauli hiyo basi tulioko mombasa tusifunge kwa mwezi wa Lamu kwa sababu twatafautiana kufunga na kufuturu
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Kwani hiyo Saudi Arabia nayo pia inatafautianamiji katika kufunga na kufunga mfano wakati wa winter Dammam wanafunguwa saum saa kumi na Moja kasoro na Riyadh ni saa kumi na Moja kamili ilhali makka ni saa kumi na Moja na nusu na Madina ni saa kumi na mbili kasoro na miji yote hayo yako suudia jee wasemaje kwa hili ama waona Kenya peke yake kuwa na inswaf Wacha taasub zako hino ni dini
@RukaiyaKhamis-ig2udАй бұрын
MashaAllah sheikh Izudin ukifa huwozi
@Mofaiz_11
Күн бұрын
hahahah
@husseinjeilan4681Ай бұрын
Hahaha hamuezi kubali ukweli mukiambiwa masufi
@salemaliy1963Ай бұрын
Je sis tukitangulia hio hijja hawatofanya watatufata sisi huku mwezi wetu
@fakifaki1760Ай бұрын
Wanaambiwa nani wakiuona wafunge waisilamu wa wakiristo
@wardam.7959Ай бұрын
Mbona hamna sauti😢
@ummusalim1991
Ай бұрын
Sauti mbna iko sawa, Labda kwako tu
@alisaadmohammed
Ай бұрын
Angalia simu yako
@HassanWato-er5bb
Ай бұрын
Simu haina loudspeaker
@alesryyusuf267Ай бұрын
Assalamu alaykum, huyo bachu atwambie vipi ilikuwa zamani kabla ya simu na tv watu walikuwa wanajuwaje, kama leo arafa makkah
@abdiabdu7179Ай бұрын
Uki mskiza bachu aji funga funga haji elewi unless uwe huna akili ndio uta ona ana ma point
@mikekhalifaali7510
Ай бұрын
Huna akili kweli ndio maana unaona hana point. Huyu Izudin ndio anasema nini sasa?
@SalumKeyaАй бұрын
Arafa ni moja tyu
@SaleheKhamisАй бұрын
Bachu nikama ndacha
@sheeqassim6274Ай бұрын
Bachu hajielewi yeye hujiweka kifua mbele
@osmanmanbile9327Ай бұрын
Sis kama ahlu sunah walcamaj ahlu quruq sufiyah. Hatujali porojo ya mawahbii wahabii someni dini wacheni kutafuta umarufu😂
@elbattawy2864Ай бұрын
bachu anajulikana kichwani hana kitu tulimuona kwenye mjadala wa maulid alikwama balagha haipo kichwani, Tunawashkuru masheikh wa Kenya jamaa akienda mchomo hawalazi damu wanamuanika hadharani
@mohcreative
Ай бұрын
Pumba 🥴
@user-dl1mg2qf4nАй бұрын
Kuna mambo wala hayahitaji elimu kubwa, Arafa ndio Hijja yenyewe kabisa Ila funga ni yetu tusiokuwa Arafa je inakuwaje hapa uchanganye vitu hivi😢?
@user-ke8km1tv9iАй бұрын
تسلم لسانك يا شيخ عزالدين
@mohammedshikanda7706Ай бұрын
Tunafunga arafah ama tunafunga tarehe tisa?
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Tunafunga mwezi 9dhul hijja
@athmanabdallah-9063Ай бұрын
Swali langu ni hili je iko inchi duniani ilioshinda inchi ingine kwa siku nzimaa???
@abdukhan4718
Ай бұрын
Hakuna nchi iliopishana kwa masaa 24.... Ila zipo nchimi tulopishana kwa masaa 7, hadi 14..... Kwaiyo akili kichwani mwako. Mfano Sun Francisco,(14hrs) na UK..(7hrs). Kama itakua nikekosea na ww unaweza kuangalia na kujiridhisha
@salimjawas8123Ай бұрын
Haya mambo hayawezi kwisha, kila mtu afwate team yake. Kama wewe ni Man U utabakia Man U. Kama wewe ni Arsenal ni Arsenal, haiwezekani nyote mushabikie team moja. Hope mushaelewa
@AbdallaJabal-jj1sm
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@AbuuAnuwar-ip7drАй бұрын
Masalafy uchwara Hawa tangu wameanzisha haya madhehebu yao kelele haziishi mitandaoni namitaani namaneno yakejeli kwawenzao
@dawud6065
Ай бұрын
Akhy Manhaj Salaf sio madh-hab hii ni Manhaj
@ZuwenaSaid-ig2lvАй бұрын
Ndio sisi tumeambiwa tufunge mwezi tisa hatujaambiwa tufunge arafa
@Shuu.A
Ай бұрын
Wanaikosa arafah
@abiabi9353
Ай бұрын
@@Shuu.Amawahabi ndivyo wanavyodanganyana
@abuunufaysah5328
Ай бұрын
Mmeambiwa na nani?
@salemaliy1963Ай бұрын
Hili kapu la madhehebu .mawahabi ni potofu
@awadhally1052
Ай бұрын
Nyie masufi ni majitu majinga sijapata kuona
@AbdulAzizSuleiman-cj9jgАй бұрын
Kwahy sheikh kea Sisi Tanzania huk Zanzibar tushafutari kigoma wao bado VP hapa wao wafuate mwezi wa nchi gani
@rizikilukali1558
Ай бұрын
Wafuate mwezi wa nchi waliowafikiana nayo. Alishafafanua hiyo kwa mifano ya Tanzania na Kenya
@rizikilukali1558
Ай бұрын
Wafuate mwezi wa nchi waliowafikiana nayo. Alishafafanua hiyo kwa mifano ya Tanzania na Kenya
@khamisali5942Ай бұрын
Dogo saiv ana ziara ya kidaawa akirudi tu mbona utaelewa sheikh izzudiyn wala usiwe na wasiwasi INSHAALLAH
@IzudinAlwyDin
Ай бұрын
nitafrahi nikieleweshwa nakuomba muombe akubaali kukaa mm na yy anieleweshe . na mola atakubarikie . na mm natamani sana nipewe ilimu yakufaham haki zaidi . shukran
@khamisali5942
Ай бұрын
@@IzudinAlwyDin tusubiri arudi halaf yyy mwenyew ataamua kukuelewesha kama ulivofanya we au kukaa chini we na yy mukaeleweshana ila me niseme tu sisi sote tunatafuta haqq kwaiyo tusiwekeane hassad sisi ni ndugu katika uislam
@IzudinAlwyDin
Ай бұрын
@@khamisali5942 Nafrahi kuskia hivyo na nataka ujue mm na yy ni marafiki sana na twaongea vizuri hatuna chuki wala kinyongo kabisa namuhishim sana . ila haya nimambo ya kiilimu ni muhim kuiimishana ki ustarabu na kiadabu na kutovunjiyana hishima . na urafiki na undugu utabaki palepale .
@khamisali5942
Ай бұрын
@@IzudinAlwyDin nashkur sheikh Izzudiyn kwa kutext na we namuomba Allah atupe elimu tuijue haqq na tufanye ibada vile mwenyew anavoridhia INSHAALLAH
@giltaemi4017Ай бұрын
Kwahiyo vipofu wote Swaumu kwao si lazima kwasababu hawauoni huo mwezi. Hivi mnamuelewa lakini huyu jamaaa
@OmariMangale
Ай бұрын
Kua na akili kipofu haoni k2 chochote c mwezi pekee atauonaje mwezi
@user-nh2wt4yd7wАй бұрын
Arafa ni moja
@taurehassan7399
Ай бұрын
Alokwambia arafa ni mia ni Nan?
@user-nh2wt4yd7w
Ай бұрын
@@taurehassan7399 utajuwa wewe lakini arafa moja hayo ya Mia wayajuwa wewe
@osmanmanbile9327
Ай бұрын
😂😂😂 mwambiye huyu jitu la mawahbii@@taurehassan7399
@samxx411
Ай бұрын
Mbona kipindi cha corona hija ilikuwa haikufanyika na kufunga tulifunga hamkufata makka
@aboujanomarion6121
Ай бұрын
Akili mbovu hizo
@hassanmohamedabdalla4108Ай бұрын
قـال الشيخ سليمان بن عبدالله رحمه الله : " وقد بين النبي صلى الله عليه و سلم بقوله : " وحده لا شريك له " تنبيهآ على أن الإنسان قد يقولها و هو مشرك ، كاليهود و المنافقين و عباد القبور ، فإنهم لما رأوا أن النبي قد دعا قومه إلى قول " لا اله إلا الله " ظنوا أنما دعاهم إلى النطق بها فقط . وهذا جهل عظيم . وهو إنما دعاهم إليها ليقولوها ويعملوا بمعناها ويتركوا عبادة غير الله . ولهذا قالوا : ﴿ أئنا لتاركوا آلهتنا لشاعر مجنون ﴾ [الصافات: 36] وقالوا : ﴿وأجعل الآلهة إلها واحدا ﴾ [ص: ٥]. فلهذا أبوا عن النطق بها. وإلا فلو قالوها وبقوا على عبادة اللات والعزى ومناة لم يكونوا مسلمين ، و لقاتلهم حتى يخلعوا الأنداد و يتركوا عبادتها ويعبدوا الله وحده لا شريك له ، وهذا أمر معلوم بالاضطرار من الكتاب والسنة والإجماع ." اهـ. - [ تيسير العـزيـز الـحميد شرح كتاب التوحيد ص ٥٦ ] و قال أيضا : " قوله " من شهد أن لا اله إلا الله " أي : من تكلم بهذه الكلمة عارفاً لمعناها عاملاً بمقتضاها باطناً و ظاهراً ، كما دل عليه قوله :﴿ فاعلم أنه لا اله إلا الله ﴾ [محمد: ١٩]. و قوله : ﴿ إلا من شهد بالحق وهم يعلمون ﴾ [الزخرف: ٨٦] . أما النطق بها من غير معرفة لمعناها ولا عمل بمقتضاها ، فإن ذلك غير نافع بالإجماع . وفي الحديث ما يدل على ذلك وهو قـوله : "من شهد "إذ كيف يشهد وهو لا يعلم، ومجرد النطق بشيء لا يسمى شهادة به." - [ تيسير العـزيـز الـحميد شرح كتاب التوحيد ٥١ ] وقال أيضا : " و لا ريب أنه لو قالها أحد من المشركين و نطق أيضاً بشهادة أن محمداً رسول الله ، و لم يعرف معنى الإله و معنى الرسول وصلى وصام وحج ولا يدري ما ذلك إلا أنه رأى الناس يفعلونه ، فتابعهم ، ولم يفعل شيئاً من الشرك فإنه لا يشك أحد من عدم إسلامه ، وقد أفتى بذلك فقهاء المغرب كلهم في أول القرن الحادي عشر، أو قبله في شخص كان كذلك كما ذكره صاحب " الدر الثمين في شرح المرشد المعين " من المالكية ، ثم قال شارحه : و هذا الذي أفتوا به جلي في غاية الجلاء لا يمكن أن يختلف فيه اثنان . انتهى - [ تيسير العـزيـز الـحميد شرح كتاب التوحيد ص ٥٨ ] .
@abdulkhalfan8586Ай бұрын
MPELEKENI BACHU KWA NGUVU MAMBRUI AKASOMESHEE NA USTADH SAID
@saidimkwinzu9106
Ай бұрын
Huyo saidi mkata viuno😂😂
@mwanakheri2880
Ай бұрын
Hataki sababu mbishi
@TreasureMagumbaАй бұрын
Swali la ufahamu ni kwamba, wewe unawaangalia mahujaji wakienda kusimama mlima arafati sasa je wale mahujaji wamefuata vigezo gani kutekeleza ibada ya kupanda mlima arafati??? Akili za kuzaliwa tu hata sio lazima usome saaana
@mohagurey2214Ай бұрын
Eti tunaweza tangulia Saudia siku mbili 😂😂😂😂
@HamduMasud-xw6qc
Ай бұрын
Amenukuu kitabu sikiliza vizuri
@abdiabdu7179
Ай бұрын
Ibn theymia ndio alio sema si yeye
@mohagurey2214
Ай бұрын
@@abdiabdu7179 ya Sufi usipoteze fadhila ya yaumul arafa kwa kudanganywa na watu
@user-en8qs2yp2nАй бұрын
Hakuna ukweli hapo
@taurehassan7399
Ай бұрын
Utabaki hvyohvyo hta ukiiona Haki upinge
@user-en8qs2yp2n
Ай бұрын
@@taurehassan7399 ukweli uko wapi mungu anashuka mchana siku mahujaji wanasimama arafa
Пікірлер: 349
MashAllah sheikh Izudin ni mtu wa mana kabisa mwenyezi MUNGU akujalie afya njema na maisha marefu Amiin🤲🤲🤲🤲
Masha Allah ustadh wangu Allah akujaze kher inn Sha Allah 🤲
In shaa ALLAH na Arafa yetu ni tarehe 9 of Dhulhijja which is on Sunday. MUNGU atufikishe kwa salama atutaqabalie funga zetu. Amin
@ummusalim1991
Ай бұрын
Amiiiin Yaa Rabbbb
@user-vq2du7dv7r
Ай бұрын
AAMIN
@mohagurey2214
Ай бұрын
Hebu jisikiza eti arafa yetu? Kuna kuna arafa gani huku ? Akili umepeleka wapi brother
@abiabi9353
Ай бұрын
@@mohagurey2214wewe wahabi mwehu hata ukielezwa huelewi. Hapa hatuzungumzi arafa mahali.arafa mahali inawahusu mahujaji tu.hapa tynazungumza arafa siku
@mohagurey2214
Ай бұрын
@@abiabi9353 wewe shia unajiingiza story haikuhusu, ama unajipendekeza masufi ndugu zenu
Aslm alkum walahamatullah wabarakatuh ya sheikh yahi ayo mabo yahitaji hakili yakuzaliwa sio kwenda shule allah akulipe mema kukutuelewesha
Maneno yalijawa hekma Shukran sheikh Ikiwa n wa kuelewa ataelewa Sio kukimbilia kwenye mitandao na kujifanya yuajua na kumbe ni kina haulai
Sayyid izzu ddiin huyo kijana tuachie sisi tutamueka sawa tu....wala ww usijipe tabu sheikh wetu...huyo ni mtoto sana kwako
Maasha'Allah Shekhe wetu, tunakuenzi. Ila tambua huyo kijana hana elimu, usijishushe daraja yake.
Mohammed Bacho kwa sisi Wazanzibari tunamfahamu vizuri ni kijana ambae hajasoma na wala hakutaka kusoma na wala hataki kusoma.
@suleimanahmadaali5989
Ай бұрын
Sema kwa mimi mzanzibar sio sisi wazanzibar jisemee nafsi yako usiwasemee watu wengine
@habibmayike7463
Ай бұрын
@@suleimanahmadaali5989ww tu na mazuzu wenzako munamkubali bachu
@abiabi9353
Ай бұрын
@@suleimanahmadaali5989majority ya wazanzibar wanajua bachu hamna kitu
@nadyasalim7956
Ай бұрын
hahahahaaa
@salumsimai642
Ай бұрын
Usijitukuze nafsi yako Allah ndie anemjua mbora msidhhfishane nyny kwa nyny mbona Kila mtu amuona mwenziwe hajui na kujiona yy ndo mjuzi hiii ni sifa ya shetani
Assalamu Aalykum Waramatullahi Wabarakatu. Alhamdulillah MashaAllaha MashaAllaha Sheikh wetu Izzudin Ahmad Alawy Mwenye Ezi Mungu akuzidishie ufafanuzi uko waziwazi na wakufahamika kirahisi kabisa na kama mtu hajafahamu huyo ana gonjwa la akili yatakiwa akaangaliwe upungufu wa akili. Bachu waitwa na Sheikh Izzudin akufundishe namna ya kusoma Ibara na kutafsiri na uvae kibinda usije ukakojoa kama kule kwenye mjadala na Ustadh Said Omar Ashirazy
Hakika,umeeleza haya maswali kwa upana na uzuri.
Alhamdulillah..shukran jazeelah sheikh
Allah... Allah... mungu akuweke nlkuwa live jana nlkupata loud n clear...
Hawa ndo masheikh wa kutegemewa Sio porojo tu...Allah akuhifadhi
Kweli hakika sayyid izu din somo la Fiqihi c mchezo la msingi zaidi ni azifahamu kufasiri ibara katika ya somo la fiqihi
SHEIKH IZUDIN USIPOTEZEE WAKATI WAKO KWA KUMUOMBA BACHU MUFANYE MUNAQASHA UTAJISHUKISHA HADHII YAKO WAACHIYE HIYO KAZI WANAFUNZI WA USTADH SAID WAMPE DOSI NYENGINE
@sleemhamoud4394
Ай бұрын
Bachu hanna kitu kwanza kusoma haku soma yule achanani nae anataka views ktk chanal yake ndio maana kafukuzwa zanzibar yupo kwa mashoga zake tanga na Mombasa kenya
Masha Allah Sheikh izzudin alwy ❤
Haha Bachu khabari hiyo Munaqasha Izzadeen akutaka muchambuwe kifiqh
@mwanakheri2880
Ай бұрын
Hamuwezi Izuddin hata kidogo
Mawahabbi walidhani hatunavyo Vitabu vya mashekhe wao na hatuvijuwi kumbe tunavyooo na tunavifahamu zaidi kuliko wao maaana wao hawasomeshwi bali wavisoma wenyewe tuu
@samxx411
Ай бұрын
Msianze fitna kwa jambo dogo waislam, tusigombane wala kutofautiana kwa tofauti ndogo, sote ni wamoja japo mimi na wewe tuna msimamo mmoja
@abdiabdu7179
Ай бұрын
@@samxx411sasa ya nini Bach adanganye
@Ustnaaman001
Ай бұрын
Hahah kwelii
Hawa masufi watapotesa umma sana izzu diin gopa mwenyezi mungu, diini sio fikra pali nikufuata sheria...
@abubakaromar6101
Ай бұрын
kahiyemohammed8556 mwambie huyo mwalimu wako bichwa koko asojua kusoma Ibara vizuri na kutafsiri kama kweli ya wezekana mwezi uwe wa kimataifa na Swala nayo kwa nini isiwe ya kimataifa na Swala ndio nguzo kubwa ktk Ibada zote tiyeni akili
@abdab8466
Ай бұрын
@@abubakaromar6101wanashanganza Sana hawa,ustadhan anampa refence kila Aina na ushahidi mbali na hapo wanamkejeli
@mikekhalifaali7510
Ай бұрын
@@abubakaromar6101 sasa ndio unaongea nini? Hivi kuna miezi mingapi duniani? Mwezi ni mmoja tu ukitokea China sisi tunafuata sio huo upuuz wenu
@abubakaromar6101
Ай бұрын
@@mikekhalifaali7510 mwezi ni mmoja lkni haukai sehemu moja na kama mwezi ni mmoja wataka pale popote ukionekana watu wafwate na Swala nayo ni nguzo kubwa ktk Ibada zote kwa nini tusiswali time moja? Alafu hapa usidanganye watu eti ukionekana China mutafwata toka lini Saudia wakafwata mwezi wa Inchi nyengine hata si mbali miaka mi nne tu iliyopita hapa Oman waliona mbele ya Saudia na Saudia wakakata kufwata na ni Inchi jirani itakuwa China Iko mwisho wa ulimwengu
@abubakaromar6101
Ай бұрын
@@mikekhalifaali7510 nyinyi taabu yenu hamutaki kupiga goti kusoma mwataka ushabiki mukiona shekhe ana hamasa mwaona huyo ndio shekhe, hata hao maulamaa Saudia pia hawataki inchi nyengine ziwafwate nyinyi munalazimisha. Alafu nyinyi haya mas'ala ya mwezi mwafwatilia kwa kuangalia kwa kuingia Ramadani na Eidi mbili, mwezi unaangaliwa kwa mambo mengi moja wapo Mke alofiwa na Mumewe lile EDA lake ataanza kwa kuangalia Saudia au pale inchi yuko alipofiwa na Mumewe. Kapige goti kwa mwalimu akusomeshe sio kusikiliza mashekhe wa hamasa mitandaoni
Mungu akupe maisha marefu,afya Bora,hikma na busara.(Ameen).
Elmu yangu ni ndogo Sana lakini nimegundua bachu nimurongo Sana
Allah akuhifadhi Sheikh Izzudin kwa elimu hii. Allah akujaze kheri nyingi
Huu bachu ataka apate supu kolekole kwanza ndio aje tumfundishe nahau na swarfa
MashaaAllah❤❤❤❤
❤MIMI NINAKUKUBALI SANA SHEKH WANGU
@giltaemi4017
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@binaamour318
Ай бұрын
Mmi nilisema bacho na ustadh said cio size yke aache Mambo kuparamia mashekh k umri k elimu !
Amiiiin Yaa Rabbbb Alaamiiin 🤲
Jazaka allah Kher ❤❤
shekh wangu wasikuumize kichwa hao mawahabi
Dini lazima uwe na inswaf sio unatumia ujanja kusudi lake liwe Elmu ni amana si unafanya utakavo kama nyamaza au sema sijui
May Allah make ease for us reach yawm Arafah... 🤲🤲🤲
Mwenyezi Mungu atuongoze maana kila Arafa lazma tupishane misimamo
Assalam alaykum afundishwe maskini bachu mjinga hajui lolote zuuuuuzu wallai hajui kweli kabsaa sio eti ujanja yaani hajuuuuii ni zuuuuuuzu bumbumbum wallai pite na hataki kwenda kusoma sasa
Mohammad Bachu Unauporomosha Uwahabi tokeahapo hauna mashiko
Thanks sheikh izu din
Alhamdulillah mashekhe zetu wamesoma hawabambanyi ila sasa tuje kwao mawahabi wengi wao hawana lolote madebe matupuuuu ust izzzu Deen Asante sana tusichoke kumfundisha uyu kinyago amekuja kuchafua mazingira Kisha ndio ujue wengi wao wooote wajinga mawahabi wenzake hawamwambii wanamwangalia tu shekhe Lao shekhe la mapite😂😂
Amen amen 🕋🤲🤲 💙💙💙
Maa Shaa ALLAH 💚💚💚
Huyu bacho ataka kutoa watu kwenye twaa ya Allah angeachwa tuu, tuko katika miezi mitukufu angepuuziwa ingekua bora. Ama ajibiwe hii miezi mitikufu ikiisha.
@isaack100
Ай бұрын
Kama amemkimbia ustadh said ambayo ni mwanafunzi,atawezana hapa?
Allahu aalam ana la adhri
@fakifaki1760
Ай бұрын
Pole sana sheh
Iko Idi ya 28 ya Mr Chief Kadhi. Si mara hii ameiruka tarehe 29 akafuata Suudia mawahabi wakawa tarehe 1 Dhulhijja. So tarehe 29 imekula kwetu
@ummusalim1991
Ай бұрын
😂
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Na hii ni Sheria Gani alotumia chief kadhi ya kuruka tarekh 29dhulqaada hadi tarehe 1 dhulhijja na mtume s.a.w. amesema mwezi ni hivivna hivi yaani ni 29 au 30 imepokewa hadithi na bukhari na Muslim riwaya ya ibnu Umar r.a. Sasa chief kadhi vimekuwaje Tena Sasa tushike ya mtume s.a.w. ama tushike yako jamanini huu ni upotoshaji ulio dhahir Wallahu aalam wabillahi taufiq
Mashaallah ❤❤❤❤❤❤amini❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
nyny mashekhe msiwe kama wanawake kaz yenu kupeana mipasho
Ww bwana fiqhi Alhamdulillah
Nairobi ❤Nairobi ❤inshaAllah monday al huda south B
Shekh mwezi ni MOJA dunia ni moja arafu MBONA muda sawa saudia na Africa mashariki
@abiabi9353
Ай бұрын
Kama ni hivyo mbona hatuanzi kufunga na kufuturu mda sawa na saudi Arabia
@OmariMangale
Ай бұрын
Mungu alimwambia mtume watakuuliza kuhusu (miezi) hivyo mungu ajui kua mwezi ni mmoja?.....usijisemee tu
@abubakaromar6101
Ай бұрын
user-tc9mf9om2b nakuuliza kama muda ni sawa na Swala nayo kwa nini isiwe ya kimataifa kuswaliwe muda mmoja? Tafakari
@spycley6127
Ай бұрын
Na kwanini mwezi ukiliwa saudia wao wanasali but africa mashariki hawaswali na mwezi unakua upo kawaida? Tafakari.
@mikekhalifaali7510
Ай бұрын
@@abiabi9353sasa katika kufunga na nyakati za swala kunaangaliwa jua au mwezi? Hebu tumia akili bana, utajuaje kwamba ni Fajr, au Dhuhur au wakti mwingine unazingatia jua sio mwezi
Shukran ustadh naomba uniangalilie kuhusu kuomba maiti na maulidi katika kitabu hicho hicho cha sheikh utheymen...utanijibu inshaAllah
@taurehassan7399
Ай бұрын
Kwn alojuzisha kuomba maiti ni Nan?na kuhusu maulid sheikh wko kakubali
@waleedahmed6530
Ай бұрын
@@taurehassan7399 taratibu sheikh ni swali nimeuliza na nimemuuliza sheikh izzudeen sasa sioni dharura ya kunijibu wewe ambaye sie izudin
@nurdinmfamau3493
Ай бұрын
Nawe Haupo MOLA Akurahamu.
@abdiabdu7179
Ай бұрын
Ime kuchoma 😆
@AbuuAnuwar-ip7dr
Ай бұрын
Unaumia ukiwa wapi Akhy? 😜😜
KAMA NI MAMBO YAKUFUNGUA KWA TIME MOJA HATA KENYA PIA HATUFUNGUI KWA TIME MOJA. WALIOKO NAIROBI NA PANDE ZA BARA HAWAFUNGUI TIME MOJA NA MOMBASA. HATA LAMU PIA HAWAFUNGUI TIME MOJA NA MOMBASA SIO SAUDIA TU. USTADH POLE POLE ...
@abiabi9353
Ай бұрын
Kwahiyo hoja yako nini
@abuuaisha6110
Ай бұрын
@@abiabi9353Hoja ni kuwa mombasa wasifunge kwa mwezi wa lamu na Nairobi wasifunge kwa mwezi wa mombasa
@abubakaromar6101
Ай бұрын
😂😂😂 hoja yake mimi naona ameuliza swali kisha akajijibu mwenyewe 😂😂😂
@MuhammadMuhammad-gr2qv
Ай бұрын
@@abubakaromar6101 ustadhi anaposema hatufai kufuta MAKAH sababu time ya kufungua pia HATUFUNGUI time moja na wao ... Jiulize hapa Kenya watu wafungua time moja? Na mbona MWEZi unapoonekana LAMU hamuwaambii watu WA Nairobi wasifunge sababu wao kule hawajuona na time zao zakufungua NI TOFAUTI na za lamu... Mijitu ya matwari AKILI ZENU zipo kwenye Ngoma Tu hiyo ndio shida yenu
Masha Allah Ustaz
Shukran jazzilla
muhimu kila sheikh aheshimu rai ya mwenzake.swali langu ni hilo; kwa mujibu wa hadithi inasem3kana Allah hushuka siku ya kisimamo cha arafa kusamehe watu waliojikurubisha kwake.sasa arafa hii ni siku ya tarehe ama siku ya kitendo cha arafa?
@HassanHassan-pk8or
Ай бұрын
Mungu husamehe mahujaji wote walio simama arafa wakiondoka wamekua weupe kama siku waliozaliwa mm na ww ni dhambi za miaka miwili Tu kama tutafunga siku ya arafa kwa muandamo wetu wa nchi yetu pale tulipo
@arafatally3723
Ай бұрын
NAMI nakuuliza wale walio arafa hufunga kama wale ambao hawako Hajj?
@abdukhan4718
Ай бұрын
Tukizungumzia ARAFA sehemu katika uislamu . Basi haipatikani sehemu hiyo popote ispokua Makkah. Tukizungumzia ARAFA. ni siku. Basi ni mwezi 9 mfunguo 3. Sasa watu hawafungi Sehemu Itwayo ARAFA. Bali watu wanafunga Mwezi 9 mfunguo 3. Allah atusamehe makosa yetu na atuingize peponi kwa Rehma zake
@AbdallaJabal-jj1sm
Ай бұрын
👍👍👍👍👍
Wanaokomment hapa yaonyesha wengi wanafuata ushabiki na sio elimu maanalazima usimkashif mtu anakosea sana Izzuddin na anakosea sana Bachu na kilicho muhinu ni kusikiza dalili pande mbili zot bila ushabiki maananukipitiwa na arafa hasara yako mwenyewe na ushabiki ila.ukifanyankielimu Allah atakuongoza ujue haki sio akili wala swarfu wala nahau hata mashia wamepitia nahau naswarfa na hizo mantik na mapote yote kuna watu wa nahauna swarfa na mantwiq lakin Allah humuongoza amtakaye nankumuacha amtakaye apotee hasa akifuata tamaa ya mwili wake na cheo au hishma yake na leo dunia kila mtu anataka aheshimiwe na dini imekuwa kama kisingizio.
Asalam Aleykum Warahmatullah hbib, Mm nko Bahrain na adhan hku ya swalatul fajr ni saa tisa na dkika kumi na saba asbuhi hao wnaofata saudia ama inchi zhuku gulf waamke wswali hyo time asbuhi
@user-qm4qd8yk2x
Ай бұрын
mtume amesema tufunge SIKU ya arafa hakusema tufunge wakati watu wako arafa Sasa siku ili ikamilike lazima iwe na masaa 24 sio 12 kwanza kabisa kabla sijaanza hisabu kama Bahrain time yenu ni tofauti na Kenya basi Saudi na Kenya time ni moja inafaa twende pamoja sasa tuende kwenye hisabu ili siku iwe siku inakuwa na masaa 24 kwa mfano Saudi wakianza arafa asubuhi mpaka jioni hayo ni masaa kumi nambili kwa hivyo siku yenye masaa ishirini na inne bado haijaisha ikifika jioni huko saudi Sasa ule upande mwingine wadunia nao unabadilika unakuwa mchana kwaoo wanamalizia Yale masaa mengine 12 ikifika usiku wao masaa ishirini na inne yatakuwa yameisha sawa na alivyo sema mtume fungeni SIKU ya arafa. mpaka hapa utaona arafa ni moja duniani japo Saudi watatangulia na wengine wanafeata baadae lakini siku hiyohiyo ya arafa yaani siku hiyohiyo ya ibada ya arafa 1:50
Kwani wewe utamweza mohamed bachu?
@Ustnaaman001
Ай бұрын
Usimwite Mohammad bachu uyo ni shekhe la mazùzu
@adamhashim3352
Ай бұрын
Kijasho kilimtoka kiti kikalowa kwa said😅
Sasa uo mfano hutokea kwenye sehemu za nchi moja uku Tanzania kuna pahali wafungua saa 12:30 lakini sehemu ingine wafungua saa 7;50 kwaiyo nahuku mwezi uo tofauti na ni nchi moja
Mashallah sheikh wetu
Yau nisba...3baadiiiii
Sheikh Bachu, je tukiuona mwezi wa dhulhija mbele ya saudia hukmu itakuaje?
Hakuna kitu kama hiyo, Arafah ni moja na watu wanhimizwa kufuata pale watu wanapofanya ibada ya Arafah nyiye mufunge siku ya ijumapili halafu museme ni Arafah haiwezekani mgala muue na haki umpe.
Sawa sawa mufti
Ashabul twaruqa wakijitetea msipoteze watu ,
Hakuna wasomi kenya amry ya matlahi hakuna kwa tukio la sehemu linalofanyika hadhir ambalo lafanyika na mahujaji sio mwezi wa ramadhani
@hometownke.9658
Ай бұрын
Siku ya tukio ni moja sio kila sehemu na siku yake communications ya zamani sio sasa sote twaona arafa ikifanyika
KUMEKUCHA TENA.... HAMUINI MIEZI YA VURUGU, ILA MUANDAMO WA RAMADAN, SHAWAL NA DHUL HIJJAH
@abiabi9353
Ай бұрын
Mawahabi ndo wenye vurugu hutuchanganyia siasa saudi Arabia na dini
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Hizi ni hesabu zetu kila siku munapotulete tafauti yakutaka tufuate saudia ndio maana tunakua wakati.
Ukisikia aliekula nyama ya nduguye ndio hapo kwanini asimwiote mwenyewe akamuambia kuliko kumsengenya
Na jee yaumul hajjil akbar itakua lini?
Shekhe izudin wewe ni m2 mkubwa achana na huyo kijana mkorofy akizungumza hazipaty maneno anayakoroga 2 yarabbi sitara
Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh
🤔🤔🤔🤔🤔😂😂😂 bachu kayakanyaga mpka katajwa na jina
Mawahabi wakilitaka jambo lao hua hawajali kupotosha wala kusema uongo
@muhammadkarama9996
Ай бұрын
😂😂😂 nashangaa na yule aliekuwa mufti wa misri duktoor Ali Gomaa nae ni wahabi?
@abdurashidinasorodini
Ай бұрын
makhurafi mnashida nyie😢
@jabirhussein4180
Ай бұрын
Kwahiyo yule kasoma ibara za shk uthaymeen? Lkn bachu,kishki,bahero... wote wamebambanya fatwa hiyo hiyo kutaka kuwachanganya waislamu
@jabirhussein4180
Ай бұрын
Duktuur ali Gomaa hakusoma fatwa ya uthaymeen yale ni maoni yake kama alivyo ona chief qadhi wa kenya lkn sio sheria isemavyo
@abdullahmasakata170
Ай бұрын
Love you my love shekh
Mtume s.a.w kasema tufunge tukiuona sasa kwa tafsir yko sheikh ina maana asieuona asifunge sasa mwaweza kuwa sehemu moja lkn wengine wakauona wengine wasiune kwahiyo wasio uona wasifungee? Je sheikh unaweza kutuonesha ktk hiyo hadithi ya Mtume s.a.w masafa ya kufunga pamoja ?
Acheni kukosesha watu fadhla yasiku yaarafa hakuna sehemu yoyote mtume amesema tarhe ame sema siku yakisimamo cha arafa amatu ambieni muna arafa yenu mambrui ama riadha habari yakufuturu nyinyi lamu ama malindi hamufungui sawa nakisumu jamani musiikose arafa eti watu washa ondoka arafa wako mina kisha utu ambie leo niarafa taratibuni
16:18 Kwa kauli hiyo basi tulioko mombasa tusifunge kwa mwezi wa Lamu kwa sababu twatafautiana kufunga na kufuturu
@user-qm2of7vd3k
Ай бұрын
Kwani hiyo Saudi Arabia nayo pia inatafautianamiji katika kufunga na kufunga mfano wakati wa winter Dammam wanafunguwa saum saa kumi na Moja kasoro na Riyadh ni saa kumi na Moja kamili ilhali makka ni saa kumi na Moja na nusu na Madina ni saa kumi na mbili kasoro na miji yote hayo yako suudia jee wasemaje kwa hili ama waona Kenya peke yake kuwa na inswaf Wacha taasub zako hino ni dini
MashaAllah sheikh Izudin ukifa huwozi
@Mofaiz_11
Күн бұрын
hahahah
Hahaha hamuezi kubali ukweli mukiambiwa masufi
Je sis tukitangulia hio hijja hawatofanya watatufata sisi huku mwezi wetu
Wanaambiwa nani wakiuona wafunge waisilamu wa wakiristo
Mbona hamna sauti😢
@ummusalim1991
Ай бұрын
Sauti mbna iko sawa, Labda kwako tu
@alisaadmohammed
Ай бұрын
Angalia simu yako
@HassanWato-er5bb
Ай бұрын
Simu haina loudspeaker
Assalamu alaykum, huyo bachu atwambie vipi ilikuwa zamani kabla ya simu na tv watu walikuwa wanajuwaje, kama leo arafa makkah
Uki mskiza bachu aji funga funga haji elewi unless uwe huna akili ndio uta ona ana ma point
@mikekhalifaali7510
Ай бұрын
Huna akili kweli ndio maana unaona hana point. Huyu Izudin ndio anasema nini sasa?
Arafa ni moja tyu
Bachu nikama ndacha
Bachu hajielewi yeye hujiweka kifua mbele
Sis kama ahlu sunah walcamaj ahlu quruq sufiyah. Hatujali porojo ya mawahbii wahabii someni dini wacheni kutafuta umarufu😂
bachu anajulikana kichwani hana kitu tulimuona kwenye mjadala wa maulid alikwama balagha haipo kichwani, Tunawashkuru masheikh wa Kenya jamaa akienda mchomo hawalazi damu wanamuanika hadharani
@mohcreative
Ай бұрын
Pumba 🥴
Kuna mambo wala hayahitaji elimu kubwa, Arafa ndio Hijja yenyewe kabisa Ila funga ni yetu tusiokuwa Arafa je inakuwaje hapa uchanganye vitu hivi😢?
تسلم لسانك يا شيخ عزالدين
Tunafunga arafah ama tunafunga tarehe tisa?
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Tunafunga mwezi 9dhul hijja
Swali langu ni hili je iko inchi duniani ilioshinda inchi ingine kwa siku nzimaa???
@abdukhan4718
Ай бұрын
Hakuna nchi iliopishana kwa masaa 24.... Ila zipo nchimi tulopishana kwa masaa 7, hadi 14..... Kwaiyo akili kichwani mwako. Mfano Sun Francisco,(14hrs) na UK..(7hrs). Kama itakua nikekosea na ww unaweza kuangalia na kujiridhisha
Haya mambo hayawezi kwisha, kila mtu afwate team yake. Kama wewe ni Man U utabakia Man U. Kama wewe ni Arsenal ni Arsenal, haiwezekani nyote mushabikie team moja. Hope mushaelewa
@AbdallaJabal-jj1sm
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
Masalafy uchwara Hawa tangu wameanzisha haya madhehebu yao kelele haziishi mitandaoni namitaani namaneno yakejeli kwawenzao
@dawud6065
Ай бұрын
Akhy Manhaj Salaf sio madh-hab hii ni Manhaj
Ndio sisi tumeambiwa tufunge mwezi tisa hatujaambiwa tufunge arafa
@Shuu.A
Ай бұрын
Wanaikosa arafah
@abiabi9353
Ай бұрын
@@Shuu.Amawahabi ndivyo wanavyodanganyana
@abuunufaysah5328
Ай бұрын
Mmeambiwa na nani?
Hili kapu la madhehebu .mawahabi ni potofu
@awadhally1052
Ай бұрын
Nyie masufi ni majitu majinga sijapata kuona
Kwahy sheikh kea Sisi Tanzania huk Zanzibar tushafutari kigoma wao bado VP hapa wao wafuate mwezi wa nchi gani
@rizikilukali1558
Ай бұрын
Wafuate mwezi wa nchi waliowafikiana nayo. Alishafafanua hiyo kwa mifano ya Tanzania na Kenya
@rizikilukali1558
Ай бұрын
Wafuate mwezi wa nchi waliowafikiana nayo. Alishafafanua hiyo kwa mifano ya Tanzania na Kenya
Dogo saiv ana ziara ya kidaawa akirudi tu mbona utaelewa sheikh izzudiyn wala usiwe na wasiwasi INSHAALLAH
@IzudinAlwyDin
Ай бұрын
nitafrahi nikieleweshwa nakuomba muombe akubaali kukaa mm na yy anieleweshe . na mola atakubarikie . na mm natamani sana nipewe ilimu yakufaham haki zaidi . shukran
@khamisali5942
Ай бұрын
@@IzudinAlwyDin tusubiri arudi halaf yyy mwenyew ataamua kukuelewesha kama ulivofanya we au kukaa chini we na yy mukaeleweshana ila me niseme tu sisi sote tunatafuta haqq kwaiyo tusiwekeane hassad sisi ni ndugu katika uislam
@IzudinAlwyDin
Ай бұрын
@@khamisali5942 Nafrahi kuskia hivyo na nataka ujue mm na yy ni marafiki sana na twaongea vizuri hatuna chuki wala kinyongo kabisa namuhishim sana . ila haya nimambo ya kiilimu ni muhim kuiimishana ki ustarabu na kiadabu na kutovunjiyana hishima . na urafiki na undugu utabaki palepale .
@khamisali5942
Ай бұрын
@@IzudinAlwyDin nashkur sheikh Izzudiyn kwa kutext na we namuomba Allah atupe elimu tuijue haqq na tufanye ibada vile mwenyew anavoridhia INSHAALLAH
Kwahiyo vipofu wote Swaumu kwao si lazima kwasababu hawauoni huo mwezi. Hivi mnamuelewa lakini huyu jamaaa
@OmariMangale
Ай бұрын
Kua na akili kipofu haoni k2 chochote c mwezi pekee atauonaje mwezi
Arafa ni moja
@taurehassan7399
Ай бұрын
Alokwambia arafa ni mia ni Nan?
@user-nh2wt4yd7w
Ай бұрын
@@taurehassan7399 utajuwa wewe lakini arafa moja hayo ya Mia wayajuwa wewe
@osmanmanbile9327
Ай бұрын
😂😂😂 mwambiye huyu jitu la mawahbii@@taurehassan7399
@samxx411
Ай бұрын
Mbona kipindi cha corona hija ilikuwa haikufanyika na kufunga tulifunga hamkufata makka
@aboujanomarion6121
Ай бұрын
Akili mbovu hizo
قـال الشيخ سليمان بن عبدالله رحمه الله : " وقد بين النبي صلى الله عليه و سلم بقوله : " وحده لا شريك له " تنبيهآ على أن الإنسان قد يقولها و هو مشرك ، كاليهود و المنافقين و عباد القبور ، فإنهم لما رأوا أن النبي قد دعا قومه إلى قول " لا اله إلا الله " ظنوا أنما دعاهم إلى النطق بها فقط . وهذا جهل عظيم . وهو إنما دعاهم إليها ليقولوها ويعملوا بمعناها ويتركوا عبادة غير الله . ولهذا قالوا : ﴿ أئنا لتاركوا آلهتنا لشاعر مجنون ﴾ [الصافات: 36] وقالوا : ﴿وأجعل الآلهة إلها واحدا ﴾ [ص: ٥]. فلهذا أبوا عن النطق بها. وإلا فلو قالوها وبقوا على عبادة اللات والعزى ومناة لم يكونوا مسلمين ، و لقاتلهم حتى يخلعوا الأنداد و يتركوا عبادتها ويعبدوا الله وحده لا شريك له ، وهذا أمر معلوم بالاضطرار من الكتاب والسنة والإجماع ." اهـ. - [ تيسير العـزيـز الـحميد شرح كتاب التوحيد ص ٥٦ ] و قال أيضا : " قوله " من شهد أن لا اله إلا الله " أي : من تكلم بهذه الكلمة عارفاً لمعناها عاملاً بمقتضاها باطناً و ظاهراً ، كما دل عليه قوله :﴿ فاعلم أنه لا اله إلا الله ﴾ [محمد: ١٩]. و قوله : ﴿ إلا من شهد بالحق وهم يعلمون ﴾ [الزخرف: ٨٦] . أما النطق بها من غير معرفة لمعناها ولا عمل بمقتضاها ، فإن ذلك غير نافع بالإجماع . وفي الحديث ما يدل على ذلك وهو قـوله : "من شهد "إذ كيف يشهد وهو لا يعلم، ومجرد النطق بشيء لا يسمى شهادة به." - [ تيسير العـزيـز الـحميد شرح كتاب التوحيد ٥١ ] وقال أيضا : " و لا ريب أنه لو قالها أحد من المشركين و نطق أيضاً بشهادة أن محمداً رسول الله ، و لم يعرف معنى الإله و معنى الرسول وصلى وصام وحج ولا يدري ما ذلك إلا أنه رأى الناس يفعلونه ، فتابعهم ، ولم يفعل شيئاً من الشرك فإنه لا يشك أحد من عدم إسلامه ، وقد أفتى بذلك فقهاء المغرب كلهم في أول القرن الحادي عشر، أو قبله في شخص كان كذلك كما ذكره صاحب " الدر الثمين في شرح المرشد المعين " من المالكية ، ثم قال شارحه : و هذا الذي أفتوا به جلي في غاية الجلاء لا يمكن أن يختلف فيه اثنان . انتهى - [ تيسير العـزيـز الـحميد شرح كتاب التوحيد ص ٥٨ ] .
MPELEKENI BACHU KWA NGUVU MAMBRUI AKASOMESHEE NA USTADH SAID
@saidimkwinzu9106
Ай бұрын
Huyo saidi mkata viuno😂😂
@mwanakheri2880
Ай бұрын
Hataki sababu mbishi
Swali la ufahamu ni kwamba, wewe unawaangalia mahujaji wakienda kusimama mlima arafati sasa je wale mahujaji wamefuata vigezo gani kutekeleza ibada ya kupanda mlima arafati??? Akili za kuzaliwa tu hata sio lazima usome saaana
Eti tunaweza tangulia Saudia siku mbili 😂😂😂😂
@HamduMasud-xw6qc
Ай бұрын
Amenukuu kitabu sikiliza vizuri
@abdiabdu7179
Ай бұрын
Ibn theymia ndio alio sema si yeye
@mohagurey2214
Ай бұрын
@@abdiabdu7179 ya Sufi usipoteze fadhila ya yaumul arafa kwa kudanganywa na watu
Hakuna ukweli hapo
@taurehassan7399
Ай бұрын
Utabaki hvyohvyo hta ukiiona Haki upinge
@user-en8qs2yp2n
Ай бұрын
@@taurehassan7399 ukweli uko wapi mungu anashuka mchana siku mahujaji wanasimama arafa