SHEKH BACHU USITAFSIRI UTAKAVO

Пікірлер: 349

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972Ай бұрын

    MashAllah sheikh Izudin ni mtu wa mana kabisa mwenyezi MUNGU akujalie afya njema na maisha marefu Amiin🤲🤲🤲🤲

  • @MistersalohSaid
    @MistersalohSaidАй бұрын

    Masha Allah ustadh wangu Allah akujaze kher inn Sha Allah 🤲

  • @suuahmed71
    @suuahmed71Ай бұрын

    In shaa ALLAH na Arafa yetu ni tarehe 9 of Dhulhijja which is on Sunday. MUNGU atufikishe kwa salama atutaqabalie funga zetu. Amin

  • @ummusalim1991

    @ummusalim1991

    Ай бұрын

    Amiiiin Yaa Rabbbb

  • @user-vq2du7dv7r

    @user-vq2du7dv7r

    Ай бұрын

    AAMIN

  • @mohagurey2214

    @mohagurey2214

    Ай бұрын

    Hebu jisikiza eti arafa yetu? Kuna kuna arafa gani huku ? Akili umepeleka wapi brother

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    Ай бұрын

    ​@@mohagurey2214wewe wahabi mwehu hata ukielezwa huelewi. Hapa hatuzungumzi arafa mahali.arafa mahali inawahusu mahujaji tu.hapa tynazungumza arafa siku

  • @mohagurey2214

    @mohagurey2214

    Ай бұрын

    @@abiabi9353 wewe shia unajiingiza story haikuhusu, ama unajipendekeza masufi ndugu zenu

  • @ismagatarama1285
    @ismagatarama1285Ай бұрын

    Aslm alkum walahamatullah wabarakatuh ya sheikh yahi ayo mabo yahitaji hakili yakuzaliwa sio kwenda shule allah akulipe mema kukutuelewesha

  • @ibraa1157
    @ibraa1157Ай бұрын

    Maneno yalijawa hekma Shukran sheikh Ikiwa n wa kuelewa ataelewa Sio kukimbilia kwenye mitandao na kujifanya yuajua na kumbe ni kina haulai

  • @waladulikhlaas7870
    @waladulikhlaas7870Ай бұрын

    Sayyid izzu ddiin huyo kijana tuachie sisi tutamueka sawa tu....wala ww usijipe tabu sheikh wetu...huyo ni mtoto sana kwako

  • @yussufmwinyi4604
    @yussufmwinyi4604Ай бұрын

    Maasha'Allah Shekhe wetu, tunakuenzi. Ila tambua huyo kijana hana elimu, usijishushe daraja yake.

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahirАй бұрын

    Mohammed Bacho kwa sisi Wazanzibari tunamfahamu vizuri ni kijana ambae hajasoma na wala hakutaka kusoma na wala hataki kusoma.

  • @suleimanahmadaali5989

    @suleimanahmadaali5989

    Ай бұрын

    Sema kwa mimi mzanzibar sio sisi wazanzibar jisemee nafsi yako usiwasemee watu wengine

  • @habibmayike7463

    @habibmayike7463

    Ай бұрын

    @@suleimanahmadaali5989ww tu na mazuzu wenzako munamkubali bachu

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    Ай бұрын

    ​@@suleimanahmadaali5989majority ya wazanzibar wanajua bachu hamna kitu

  • @nadyasalim7956

    @nadyasalim7956

    Ай бұрын

    hahahahaaa

  • @salumsimai642

    @salumsimai642

    Ай бұрын

    Usijitukuze nafsi yako Allah ndie anemjua mbora msidhhfishane nyny kwa nyny mbona Kila mtu amuona mwenziwe hajui na kujiona yy ndo mjuzi hiii ni sifa ya shetani

  • @abubakaromar6101
    @abubakaromar6101Ай бұрын

    Assalamu Aalykum Waramatullahi Wabarakatu. Alhamdulillah MashaAllaha MashaAllaha Sheikh wetu Izzudin Ahmad Alawy Mwenye Ezi Mungu akuzidishie ufafanuzi uko waziwazi na wakufahamika kirahisi kabisa na kama mtu hajafahamu huyo ana gonjwa la akili yatakiwa akaangaliwe upungufu wa akili. Bachu waitwa na Sheikh Izzudin akufundishe namna ya kusoma Ibara na kutafsiri na uvae kibinda usije ukakojoa kama kule kwenye mjadala na Ustadh Said Omar Ashirazy

  • @abdallahshariff2983
    @abdallahshariff2983Ай бұрын

    Hakika,umeeleza haya maswali kwa upana na uzuri.

  • @MahmoudMwacharo
    @MahmoudMwacharoАй бұрын

    Alhamdulillah..shukran jazeelah sheikh

  • @zulfaabdulrahman
    @zulfaabdulrahmanАй бұрын

    Allah... Allah... mungu akuweke nlkuwa live jana nlkupata loud n clear...

  • @ibrahimkhamis-jk8qf
    @ibrahimkhamis-jk8qfАй бұрын

    Hawa ndo masheikh wa kutegemewa Sio porojo tu...Allah akuhifadhi

  • @ashrafkhamis1051
    @ashrafkhamis1051Ай бұрын

    Kweli hakika sayyid izu din somo la Fiqihi c mchezo la msingi zaidi ni azifahamu kufasiri ibara katika ya somo la fiqihi

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586Ай бұрын

    SHEIKH IZUDIN USIPOTEZEE WAKATI WAKO KWA KUMUOMBA BACHU MUFANYE MUNAQASHA UTAJISHUKISHA HADHII YAKO WAACHIYE HIYO KAZI WANAFUNZI WA USTADH SAID WAMPE DOSI NYENGINE

  • @sleemhamoud4394

    @sleemhamoud4394

    Ай бұрын

    Bachu hanna kitu kwanza kusoma haku soma yule achanani nae anataka views ktk chanal yake ndio maana kafukuzwa zanzibar yupo kwa mashoga zake tanga na Mombasa kenya

  • @hamzahamu6011
    @hamzahamu6011Ай бұрын

    Masha Allah Sheikh izzudin alwy ❤

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647Ай бұрын

    Haha Bachu khabari hiyo Munaqasha Izzadeen akutaka muchambuwe kifiqh

  • @mwanakheri2880

    @mwanakheri2880

    Ай бұрын

    Hamuwezi Izuddin hata kidogo

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahirАй бұрын

    Mawahabbi walidhani hatunavyo Vitabu vya mashekhe wao na hatuvijuwi kumbe tunavyooo na tunavifahamu zaidi kuliko wao maaana wao hawasomeshwi bali wavisoma wenyewe tuu

  • @samxx411

    @samxx411

    Ай бұрын

    Msianze fitna kwa jambo dogo waislam, tusigombane wala kutofautiana kwa tofauti ndogo, sote ni wamoja japo mimi na wewe tuna msimamo mmoja

  • @abdiabdu7179

    @abdiabdu7179

    Ай бұрын

    @@samxx411sasa ya nini Bach adanganye

  • @Ustnaaman001

    @Ustnaaman001

    Ай бұрын

    Hahah kwelii

  • @kahiyemohammed8556
    @kahiyemohammed8556Ай бұрын

    Hawa masufi watapotesa umma sana izzu diin gopa mwenyezi mungu, diini sio fikra pali nikufuata sheria...

  • @abubakaromar6101

    @abubakaromar6101

    Ай бұрын

    kahiyemohammed8556 mwambie huyo mwalimu wako bichwa koko asojua kusoma Ibara vizuri na kutafsiri kama kweli ya wezekana mwezi uwe wa kimataifa na Swala nayo kwa nini isiwe ya kimataifa na Swala ndio nguzo kubwa ktk Ibada zote tiyeni akili

  • @abdab8466

    @abdab8466

    Ай бұрын

    ​@@abubakaromar6101wanashanganza Sana hawa,ustadhan anampa refence kila Aina na ushahidi mbali na hapo wanamkejeli

  • @mikekhalifaali7510

    @mikekhalifaali7510

    Ай бұрын

    ​@@abubakaromar6101 sasa ndio unaongea nini? Hivi kuna miezi mingapi duniani? Mwezi ni mmoja tu ukitokea China sisi tunafuata sio huo upuuz wenu

  • @abubakaromar6101

    @abubakaromar6101

    Ай бұрын

    @@mikekhalifaali7510 mwezi ni mmoja lkni haukai sehemu moja na kama mwezi ni mmoja wataka pale popote ukionekana watu wafwate na Swala nayo ni nguzo kubwa ktk Ibada zote kwa nini tusiswali time moja? Alafu hapa usidanganye watu eti ukionekana China mutafwata toka lini Saudia wakafwata mwezi wa Inchi nyengine hata si mbali miaka mi nne tu iliyopita hapa Oman waliona mbele ya Saudia na Saudia wakakata kufwata na ni Inchi jirani itakuwa China Iko mwisho wa ulimwengu

  • @abubakaromar6101

    @abubakaromar6101

    Ай бұрын

    @@mikekhalifaali7510 nyinyi taabu yenu hamutaki kupiga goti kusoma mwataka ushabiki mukiona shekhe ana hamasa mwaona huyo ndio shekhe, hata hao maulamaa Saudia pia hawataki inchi nyengine ziwafwate nyinyi munalazimisha. Alafu nyinyi haya mas'ala ya mwezi mwafwatilia kwa kuangalia kwa kuingia Ramadani na Eidi mbili, mwezi unaangaliwa kwa mambo mengi moja wapo Mke alofiwa na Mumewe lile EDA lake ataanza kwa kuangalia Saudia au pale inchi yuko alipofiwa na Mumewe. Kapige goti kwa mwalimu akusomeshe sio kusikiliza mashekhe wa hamasa mitandaoni

  • @abdullali1789
    @abdullali1789Ай бұрын

    Mungu akupe maisha marefu,afya Bora,hikma na busara.(Ameen).

  • @maarufumustwapha3055
    @maarufumustwapha3055Ай бұрын

    Elmu yangu ni ndogo Sana lakini nimegundua bachu nimurongo Sana

  • @abubakarswaleh5667
    @abubakarswaleh5667Ай бұрын

    Allah akuhifadhi Sheikh Izzudin kwa elimu hii. Allah akujaze kheri nyingi

  • @JamalAli-tz6pj
    @JamalAli-tz6pjАй бұрын

    Huu bachu ataka apate supu kolekole kwanza ndio aje tumfundishe nahau na swarfa

  • @AbdulkadirAbdulrais
    @AbdulkadirAbdulraisАй бұрын

    MashaaAllah❤❤❤❤

  • @user-vq2du7dv7r
    @user-vq2du7dv7rАй бұрын

    ❤MIMI NINAKUKUBALI SANA SHEKH WANGU

  • @giltaemi4017

    @giltaemi4017

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @binaamour318

    @binaamour318

    Ай бұрын

    Mmi nilisema bacho na ustadh said cio size yke aache Mambo kuparamia mashekh k umri k elimu !

  • @ummusalim1991
    @ummusalim1991Ай бұрын

    Amiiiin Yaa Rabbbb Alaamiiin 🤲

  • @jeulihb8532
    @jeulihb8532Ай бұрын

    Jazaka allah Kher ❤❤

  • @abdullah-eq3lt
    @abdullah-eq3ltАй бұрын

    shekh wangu wasikuumize kichwa hao mawahabi

  • @swalehmohamedwaziri7499
    @swalehmohamedwaziri7499Ай бұрын

    Dini lazima uwe na inswaf sio unatumia ujanja kusudi lake liwe Elmu ni amana si unafanya utakavo kama nyamaza au sema sijui

  • @QuranShortDawah_Global
    @QuranShortDawah_GlobalАй бұрын

    May Allah make ease for us reach yawm Arafah... 🤲🤲🤲

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800Ай бұрын

    Mwenyezi Mungu atuongoze maana kila Arafa lazma tupishane misimamo

  • @Ustnaaman001
    @Ustnaaman001Ай бұрын

    Assalam alaykum afundishwe maskini bachu mjinga hajui lolote zuuuuuzu wallai hajui kweli kabsaa sio eti ujanja yaani hajuuuuii ni zuuuuuuzu bumbumbum wallai pite na hataki kwenda kusoma sasa

  • @alisalum8908
    @alisalum890826 күн бұрын

    Mohammad Bachu Unauporomosha Uwahabi tokeahapo hauna mashiko

  • @ashrafkhamis1051
    @ashrafkhamis1051Ай бұрын

    Thanks sheikh izu din

  • @Ustnaaman001
    @Ustnaaman001Ай бұрын

    Alhamdulillah mashekhe zetu wamesoma hawabambanyi ila sasa tuje kwao mawahabi wengi wao hawana lolote madebe matupuuuu ust izzzu Deen Asante sana tusichoke kumfundisha uyu kinyago amekuja kuchafua mazingira Kisha ndio ujue wengi wao wooote wajinga mawahabi wenzake hawamwambii wanamwangalia tu shekhe Lao shekhe la mapite😂😂

  • @amina2044amin-zv2gh
    @amina2044amin-zv2ghАй бұрын

    Amen amen 🕋🤲🤲 💙💙💙

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rvАй бұрын

    Maa Shaa ALLAH 💚💚💚

  • @AshishaNNS
    @AshishaNNSАй бұрын

    Huyu bacho ataka kutoa watu kwenye twaa ya Allah angeachwa tuu, tuko katika miezi mitukufu angepuuziwa ingekua bora. Ama ajibiwe hii miezi mitikufu ikiisha.

  • @isaack100

    @isaack100

    Ай бұрын

    Kama amemkimbia ustadh said ambayo ni mwanafunzi,atawezana hapa?

  • @abzzfontalbo4952
    @abzzfontalbo4952Ай бұрын

    Allahu aalam ana la adhri

  • @fakifaki1760

    @fakifaki1760

    Ай бұрын

    Pole sana sheh

  • @suuahmed71
    @suuahmed71Ай бұрын

    Iko Idi ya 28 ya Mr Chief Kadhi. Si mara hii ameiruka tarehe 29 akafuata Suudia mawahabi wakawa tarehe 1 Dhulhijja. So tarehe 29 imekula kwetu

  • @ummusalim1991

    @ummusalim1991

    Ай бұрын

    😂

  • @user-qm2of7vd3k

    @user-qm2of7vd3k

    Ай бұрын

    Na hii ni Sheria Gani alotumia chief kadhi ya kuruka tarekh 29dhulqaada hadi tarehe 1 dhulhijja na mtume s.a.w. amesema mwezi ni hivivna hivi yaani ni 29 au 30 imepokewa hadithi na bukhari na Muslim riwaya ya ibnu Umar r.a. Sasa chief kadhi vimekuwaje Tena Sasa tushike ya mtume s.a.w. ama tushike yako jamanini huu ni upotoshaji ulio dhahir Wallahu aalam wabillahi taufiq

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258Ай бұрын

    Mashaallah ❤❤❤❤❤❤amini❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SafiaHaji-fo3sl
    @SafiaHaji-fo3slАй бұрын

    nyny mashekhe msiwe kama wanawake kaz yenu kupeana mipasho

  • @JabirBakar-ys8dw
    @JabirBakar-ys8dwАй бұрын

    Ww bwana fiqhi Alhamdulillah

  • @anwarsaddat4063
    @anwarsaddat4063Ай бұрын

    Nairobi ❤Nairobi ❤inshaAllah monday al huda south B

  • @user-tc9mf9om2b
    @user-tc9mf9om2bАй бұрын

    Shekh mwezi ni MOJA dunia ni moja arafu MBONA muda sawa saudia na Africa mashariki

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    Ай бұрын

    Kama ni hivyo mbona hatuanzi kufunga na kufuturu mda sawa na saudi Arabia

  • @OmariMangale

    @OmariMangale

    Ай бұрын

    Mungu alimwambia mtume watakuuliza kuhusu (miezi) hivyo mungu ajui kua mwezi ni mmoja?.....usijisemee tu

  • @abubakaromar6101

    @abubakaromar6101

    Ай бұрын

    user-tc9mf9om2b nakuuliza kama muda ni sawa na Swala nayo kwa nini isiwe ya kimataifa kuswaliwe muda mmoja? Tafakari

  • @spycley6127

    @spycley6127

    Ай бұрын

    Na kwanini mwezi ukiliwa saudia wao wanasali but africa mashariki hawaswali na mwezi unakua upo kawaida? Tafakari.

  • @mikekhalifaali7510

    @mikekhalifaali7510

    Ай бұрын

    ​@@abiabi9353sasa katika kufunga na nyakati za swala kunaangaliwa jua au mwezi? Hebu tumia akili bana, utajuaje kwamba ni Fajr, au Dhuhur au wakti mwingine unazingatia jua sio mwezi

  • @waleedahmed6530
    @waleedahmed6530Ай бұрын

    Shukran ustadh naomba uniangalilie kuhusu kuomba maiti na maulidi katika kitabu hicho hicho cha sheikh utheymen...utanijibu inshaAllah

  • @taurehassan7399

    @taurehassan7399

    Ай бұрын

    Kwn alojuzisha kuomba maiti ni Nan?na kuhusu maulid sheikh wko kakubali

  • @waleedahmed6530

    @waleedahmed6530

    Ай бұрын

    @@taurehassan7399 taratibu sheikh ni swali nimeuliza na nimemuuliza sheikh izzudeen sasa sioni dharura ya kunijibu wewe ambaye sie izudin

  • @nurdinmfamau3493

    @nurdinmfamau3493

    Ай бұрын

    Nawe Haupo MOLA Akurahamu.

  • @abdiabdu7179

    @abdiabdu7179

    Ай бұрын

    Ime kuchoma 😆

  • @AbuuAnuwar-ip7dr

    @AbuuAnuwar-ip7dr

    Ай бұрын

    Unaumia ukiwa wapi Akhy? 😜😜

  • @MuhammadMuhammad-gr2qv
    @MuhammadMuhammad-gr2qvАй бұрын

    KAMA NI MAMBO YAKUFUNGUA KWA TIME MOJA HATA KENYA PIA HATUFUNGUI KWA TIME MOJA. WALIOKO NAIROBI NA PANDE ZA BARA HAWAFUNGUI TIME MOJA NA MOMBASA. HATA LAMU PIA HAWAFUNGUI TIME MOJA NA MOMBASA SIO SAUDIA TU. USTADH POLE POLE ...

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    Ай бұрын

    Kwahiyo hoja yako nini

  • @abuuaisha6110

    @abuuaisha6110

    Ай бұрын

    ​@@abiabi9353Hoja ni kuwa mombasa wasifunge kwa mwezi wa lamu na Nairobi wasifunge kwa mwezi wa mombasa

  • @abubakaromar6101

    @abubakaromar6101

    Ай бұрын

    😂😂😂 hoja yake mimi naona ameuliza swali kisha akajijibu mwenyewe 😂😂😂

  • @MuhammadMuhammad-gr2qv

    @MuhammadMuhammad-gr2qv

    Ай бұрын

    @@abubakaromar6101 ustadhi anaposema hatufai kufuta MAKAH sababu time ya kufungua pia HATUFUNGUI time moja na wao ... Jiulize hapa Kenya watu wafungua time moja? Na mbona MWEZi unapoonekana LAMU hamuwaambii watu WA Nairobi wasifunge sababu wao kule hawajuona na time zao zakufungua NI TOFAUTI na za lamu... Mijitu ya matwari AKILI ZENU zipo kwenye Ngoma Tu hiyo ndio shida yenu

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682Ай бұрын

    Masha Allah Ustaz

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5uАй бұрын

    Shukran jazzilla

  • @allyhamza9969
    @allyhamza9969Ай бұрын

    muhimu kila sheikh aheshimu rai ya mwenzake.swali langu ni hilo; kwa mujibu wa hadithi inasem3kana Allah hushuka siku ya kisimamo cha arafa kusamehe watu waliojikurubisha kwake.sasa arafa hii ni siku ya tarehe ama siku ya kitendo cha arafa?

  • @HassanHassan-pk8or

    @HassanHassan-pk8or

    Ай бұрын

    Mungu husamehe mahujaji wote walio simama arafa wakiondoka wamekua weupe kama siku waliozaliwa mm na ww ni dhambi za miaka miwili Tu kama tutafunga siku ya arafa kwa muandamo wetu wa nchi yetu pale tulipo

  • @arafatally3723

    @arafatally3723

    Ай бұрын

    NAMI nakuuliza wale walio arafa hufunga kama wale ambao hawako Hajj?

  • @abdukhan4718

    @abdukhan4718

    Ай бұрын

    Tukizungumzia ARAFA sehemu katika uislamu . Basi haipatikani sehemu hiyo popote ispokua Makkah. Tukizungumzia ARAFA. ni siku. Basi ni mwezi 9 mfunguo 3. Sasa watu hawafungi Sehemu Itwayo ARAFA. Bali watu wanafunga Mwezi 9 mfunguo 3. Allah atusamehe makosa yetu na atuingize peponi kwa Rehma zake

  • @AbdallaJabal-jj1sm

    @AbdallaJabal-jj1sm

    Ай бұрын

    👍👍👍👍👍

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn7182Ай бұрын

    Wanaokomment hapa yaonyesha wengi wanafuata ushabiki na sio elimu maanalazima usimkashif mtu anakosea sana Izzuddin na anakosea sana Bachu na kilicho muhinu ni kusikiza dalili pande mbili zot bila ushabiki maananukipitiwa na arafa hasara yako mwenyewe na ushabiki ila.ukifanyankielimu Allah atakuongoza ujue haki sio akili wala swarfu wala nahau hata mashia wamepitia nahau naswarfa na hizo mantik na mapote yote kuna watu wa nahauna swarfa na mantwiq lakin Allah humuongoza amtakaye nankumuacha amtakaye apotee hasa akifuata tamaa ya mwili wake na cheo au hishma yake na leo dunia kila mtu anataka aheshimiwe na dini imekuwa kama kisingizio.

  • @khamisqassim5332
    @khamisqassim5332Ай бұрын

    Asalam Aleykum Warahmatullah hbib, Mm nko Bahrain na adhan hku ya swalatul fajr ni saa tisa na dkika kumi na saba asbuhi hao wnaofata saudia ama inchi zhuku gulf waamke wswali hyo time asbuhi

  • @user-qm4qd8yk2x

    @user-qm4qd8yk2x

    Ай бұрын

    mtume amesema tufunge SIKU ya arafa hakusema tufunge wakati watu wako arafa Sasa siku ili ikamilike lazima iwe na masaa 24 sio 12 kwanza kabisa kabla sijaanza hisabu kama Bahrain time yenu ni tofauti na Kenya basi Saudi na Kenya time ni moja inafaa twende pamoja sasa tuende kwenye hisabu ili siku iwe siku inakuwa na masaa 24 kwa mfano Saudi wakianza arafa asubuhi mpaka jioni hayo ni masaa kumi nambili kwa hivyo siku yenye masaa ishirini na inne bado haijaisha ikifika jioni huko saudi Sasa ule upande mwingine wadunia nao unabadilika unakuwa mchana kwaoo wanamalizia Yale masaa mengine 12 ikifika usiku wao masaa ishirini na inne yatakuwa yameisha sawa na alivyo sema mtume fungeni SIKU ya arafa. mpaka hapa utaona arafa ni moja duniani japo Saudi watatangulia na wengine wanafeata baadae lakini siku hiyohiyo ya arafa yaani siku hiyohiyo ya ibada ya arafa 1:50

  • @ismailabdalla7953
    @ismailabdalla7953Ай бұрын

    Kwani wewe utamweza mohamed bachu?

  • @Ustnaaman001

    @Ustnaaman001

    Ай бұрын

    Usimwite Mohammad bachu uyo ni shekhe la mazùzu

  • @adamhashim3352

    @adamhashim3352

    Ай бұрын

    Kijasho kilimtoka kiti kikalowa kwa said😅

  • @abdulsalum2852
    @abdulsalum2852Ай бұрын

    Sasa uo mfano hutokea kwenye sehemu za nchi moja uku Tanzania kuna pahali wafungua saa 12:30 lakini sehemu ingine wafungua saa 7;50 kwaiyo nahuku mwezi uo tofauti na ni nchi moja

  • @AlykhamisameAme
    @AlykhamisameAmeАй бұрын

    Mashallah sheikh wetu

  • @TRIPLE.3Rs
    @TRIPLE.3RsАй бұрын

    Yau nisba...3baadiiiii

  • @user-ke8km1tv9i
    @user-ke8km1tv9iАй бұрын

    Sheikh Bachu, je tukiuona mwezi wa dhulhija mbele ya saudia hukmu itakuaje?

  • @madhuru2554
    @madhuru2554Ай бұрын

    Hakuna kitu kama hiyo, Arafah ni moja na watu wanhimizwa kufuata pale watu wanapofanya ibada ya Arafah nyiye mufunge siku ya ijumapili halafu museme ni Arafah haiwezekani mgala muue na haki umpe.

  • @Muislamu
    @MuislamuАй бұрын

    Sawa sawa mufti

  • @sharifsayyidalmahdal
    @sharifsayyidalmahdalАй бұрын

    Ashabul twaruqa wakijitetea msipoteze watu ,

  • @hometownke.9658
    @hometownke.9658Ай бұрын

    Hakuna wasomi kenya amry ya matlahi hakuna kwa tukio la sehemu linalofanyika hadhir ambalo lafanyika na mahujaji sio mwezi wa ramadhani

  • @hometownke.9658

    @hometownke.9658

    Ай бұрын

    Siku ya tukio ni moja sio kila sehemu na siku yake communications ya zamani sio sasa sote twaona arafa ikifanyika

  • @SirlemNasir
    @SirlemNasirАй бұрын

    KUMEKUCHA TENA.... HAMUINI MIEZI YA VURUGU, ILA MUANDAMO WA RAMADAN, SHAWAL NA DHUL HIJJAH

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    Ай бұрын

    Mawahabi ndo wenye vurugu hutuchanganyia siasa saudi Arabia na dini

  • @IsmailJuma-zb5ni

    @IsmailJuma-zb5ni

    Ай бұрын

    Hizi ni hesabu zetu kila siku munapotulete tafauti yakutaka tufuate saudia ndio maana tunakua wakati.

  • @MdUsman-nz6sd
    @MdUsman-nz6sdАй бұрын

    Ukisikia aliekula nyama ya nduguye ndio hapo kwanini asimwiote mwenyewe akamuambia kuliko kumsengenya

  • @khairatsaid-zu3hd
    @khairatsaid-zu3hdАй бұрын

    Na jee yaumul hajjil akbar itakua lini?

  • @user-uy8en4fj6r
    @user-uy8en4fj6rАй бұрын

    Shekhe izudin wewe ni m2 mkubwa achana na huyo kijana mkorofy akizungumza hazipaty maneno anayakoroga 2 yarabbi sitara

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623Ай бұрын

    Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh

  • @Husna34562.
    @Husna34562.Ай бұрын

    🤔🤔🤔🤔🤔😂😂😂 bachu kayakanyaga mpka katajwa na jina

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein4180Ай бұрын

    Mawahabi wakilitaka jambo lao hua hawajali kupotosha wala kusema uongo

  • @muhammadkarama9996

    @muhammadkarama9996

    Ай бұрын

    😂😂😂 nashangaa na yule aliekuwa mufti wa misri duktoor Ali Gomaa nae ni wahabi?

  • @abdurashidinasorodini

    @abdurashidinasorodini

    Ай бұрын

    makhurafi mnashida nyie😢

  • @jabirhussein4180

    @jabirhussein4180

    Ай бұрын

    Kwahiyo yule kasoma ibara za shk uthaymeen? Lkn bachu,kishki,bahero... wote wamebambanya fatwa hiyo hiyo kutaka kuwachanganya waislamu

  • @jabirhussein4180

    @jabirhussein4180

    Ай бұрын

    Duktuur ali Gomaa hakusoma fatwa ya uthaymeen yale ni maoni yake kama alivyo ona chief qadhi wa kenya lkn sio sheria isemavyo

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    Ай бұрын

    Love you my love shekh

  • @warshysaid8564
    @warshysaid8564Ай бұрын

    Mtume s.a.w kasema tufunge tukiuona sasa kwa tafsir yko sheikh ina maana asieuona asifunge sasa mwaweza kuwa sehemu moja lkn wengine wakauona wengine wasiune kwahiyo wasio uona wasifungee? Je sheikh unaweza kutuonesha ktk hiyo hadithi ya Mtume s.a.w masafa ya kufunga pamoja ?

  • @uiavajiwgav5441
    @uiavajiwgav5441Ай бұрын

    Acheni kukosesha watu fadhla yasiku yaarafa hakuna sehemu yoyote mtume amesema tarhe ame sema siku yakisimamo cha arafa amatu ambieni muna arafa yenu mambrui ama riadha habari yakufuturu nyinyi lamu ama malindi hamufungui sawa nakisumu jamani musiikose arafa eti watu washa ondoka arafa wako mina kisha utu ambie leo niarafa taratibuni

  • @abuuaisha6110
    @abuuaisha6110Ай бұрын

    16:18 Kwa kauli hiyo basi tulioko mombasa tusifunge kwa mwezi wa Lamu kwa sababu twatafautiana kufunga na kufuturu

  • @user-qm2of7vd3k

    @user-qm2of7vd3k

    Ай бұрын

    Kwani hiyo Saudi Arabia nayo pia inatafautianamiji katika kufunga na kufunga mfano wakati wa winter Dammam wanafunguwa saum saa kumi na Moja kasoro na Riyadh ni saa kumi na Moja kamili ilhali makka ni saa kumi na Moja na nusu na Madina ni saa kumi na mbili kasoro na miji yote hayo yako suudia jee wasemaje kwa hili ama waona Kenya peke yake kuwa na inswaf Wacha taasub zako hino ni dini

  • @RukaiyaKhamis-ig2ud
    @RukaiyaKhamis-ig2udАй бұрын

    MashaAllah sheikh Izudin ukifa huwozi

  • @Mofaiz_11

    @Mofaiz_11

    Күн бұрын

    hahahah

  • @husseinjeilan4681
    @husseinjeilan4681Ай бұрын

    Hahaha hamuezi kubali ukweli mukiambiwa masufi

  • @salemaliy1963
    @salemaliy1963Ай бұрын

    Je sis tukitangulia hio hijja hawatofanya watatufata sisi huku mwezi wetu

  • @fakifaki1760
    @fakifaki1760Ай бұрын

    Wanaambiwa nani wakiuona wafunge waisilamu wa wakiristo

  • @wardam.7959
    @wardam.7959Ай бұрын

    Mbona hamna sauti😢

  • @ummusalim1991

    @ummusalim1991

    Ай бұрын

    Sauti mbna iko sawa, Labda kwako tu

  • @alisaadmohammed

    @alisaadmohammed

    Ай бұрын

    Angalia simu yako

  • @HassanWato-er5bb

    @HassanWato-er5bb

    Ай бұрын

    Simu haina loudspeaker

  • @alesryyusuf267
    @alesryyusuf267Ай бұрын

    Assalamu alaykum, huyo bachu atwambie vipi ilikuwa zamani kabla ya simu na tv watu walikuwa wanajuwaje, kama leo arafa makkah

  • @abdiabdu7179
    @abdiabdu7179Ай бұрын

    Uki mskiza bachu aji funga funga haji elewi unless uwe huna akili ndio uta ona ana ma point

  • @mikekhalifaali7510

    @mikekhalifaali7510

    Ай бұрын

    Huna akili kweli ndio maana unaona hana point. Huyu Izudin ndio anasema nini sasa?

  • @SalumKeya
    @SalumKeyaАй бұрын

    Arafa ni moja tyu

  • @SaleheKhamis
    @SaleheKhamisАй бұрын

    Bachu nikama ndacha

  • @sheeqassim6274
    @sheeqassim6274Ай бұрын

    Bachu hajielewi yeye hujiweka kifua mbele

  • @osmanmanbile9327
    @osmanmanbile9327Ай бұрын

    Sis kama ahlu sunah walcamaj ahlu quruq sufiyah. Hatujali porojo ya mawahbii wahabii someni dini wacheni kutafuta umarufu😂

  • @elbattawy2864
    @elbattawy2864Ай бұрын

    bachu anajulikana kichwani hana kitu tulimuona kwenye mjadala wa maulid alikwama balagha haipo kichwani, Tunawashkuru masheikh wa Kenya jamaa akienda mchomo hawalazi damu wanamuanika hadharani

  • @mohcreative

    @mohcreative

    Ай бұрын

    Pumba 🥴

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4nАй бұрын

    Kuna mambo wala hayahitaji elimu kubwa, Arafa ndio Hijja yenyewe kabisa Ila funga ni yetu tusiokuwa Arafa je inakuwaje hapa uchanganye vitu hivi😢?

  • @user-ke8km1tv9i
    @user-ke8km1tv9iАй бұрын

    تسلم لسانك يا شيخ عزالدين

  • @mohammedshikanda7706
    @mohammedshikanda7706Ай бұрын

    Tunafunga arafah ama tunafunga tarehe tisa?

  • @IsmailJuma-zb5ni

    @IsmailJuma-zb5ni

    Ай бұрын

    Tunafunga mwezi 9dhul hijja

  • @athmanabdallah-9063
    @athmanabdallah-9063Ай бұрын

    Swali langu ni hili je iko inchi duniani ilioshinda inchi ingine kwa siku nzimaa???

  • @abdukhan4718

    @abdukhan4718

    Ай бұрын

    Hakuna nchi iliopishana kwa masaa 24.... Ila zipo nchimi tulopishana kwa masaa 7, hadi 14..... Kwaiyo akili kichwani mwako. Mfano Sun Francisco,(14hrs) na UK..(7hrs). Kama itakua nikekosea na ww unaweza kuangalia na kujiridhisha

  • @salimjawas8123
    @salimjawas8123Ай бұрын

    Haya mambo hayawezi kwisha, kila mtu afwate team yake. Kama wewe ni Man U utabakia Man U. Kama wewe ni Arsenal ni Arsenal, haiwezekani nyote mushabikie team moja. Hope mushaelewa

  • @AbdallaJabal-jj1sm

    @AbdallaJabal-jj1sm

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @AbuuAnuwar-ip7dr
    @AbuuAnuwar-ip7drАй бұрын

    Masalafy uchwara Hawa tangu wameanzisha haya madhehebu yao kelele haziishi mitandaoni namitaani namaneno yakejeli kwawenzao

  • @dawud6065

    @dawud6065

    Ай бұрын

    Akhy Manhaj Salaf sio madh-hab hii ni Manhaj

  • @ZuwenaSaid-ig2lv
    @ZuwenaSaid-ig2lvАй бұрын

    Ndio sisi tumeambiwa tufunge mwezi tisa hatujaambiwa tufunge arafa

  • @Shuu.A

    @Shuu.A

    Ай бұрын

    Wanaikosa arafah

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    Ай бұрын

    ​@@Shuu.Amawahabi ndivyo wanavyodanganyana

  • @abuunufaysah5328

    @abuunufaysah5328

    Ай бұрын

    Mmeambiwa na nani?

  • @salemaliy1963
    @salemaliy1963Ай бұрын

    Hili kapu la madhehebu .mawahabi ni potofu

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    Ай бұрын

    Nyie masufi ni majitu majinga sijapata kuona

  • @AbdulAzizSuleiman-cj9jg
    @AbdulAzizSuleiman-cj9jgАй бұрын

    Kwahy sheikh kea Sisi Tanzania huk Zanzibar tushafutari kigoma wao bado VP hapa wao wafuate mwezi wa nchi gani

  • @rizikilukali1558

    @rizikilukali1558

    Ай бұрын

    Wafuate mwezi wa nchi waliowafikiana nayo. Alishafafanua hiyo kwa mifano ya Tanzania na Kenya

  • @rizikilukali1558

    @rizikilukali1558

    Ай бұрын

    Wafuate mwezi wa nchi waliowafikiana nayo. Alishafafanua hiyo kwa mifano ya Tanzania na Kenya

  • @khamisali5942
    @khamisali5942Ай бұрын

    Dogo saiv ana ziara ya kidaawa akirudi tu mbona utaelewa sheikh izzudiyn wala usiwe na wasiwasi INSHAALLAH

  • @IzudinAlwyDin

    @IzudinAlwyDin

    Ай бұрын

    nitafrahi nikieleweshwa nakuomba muombe akubaali kukaa mm na yy anieleweshe . na mola atakubarikie . na mm natamani sana nipewe ilimu yakufaham haki zaidi . shukran

  • @khamisali5942

    @khamisali5942

    Ай бұрын

    @@IzudinAlwyDin tusubiri arudi halaf yyy mwenyew ataamua kukuelewesha kama ulivofanya we au kukaa chini we na yy mukaeleweshana ila me niseme tu sisi sote tunatafuta haqq kwaiyo tusiwekeane hassad sisi ni ndugu katika uislam

  • @IzudinAlwyDin

    @IzudinAlwyDin

    Ай бұрын

    @@khamisali5942 Nafrahi kuskia hivyo na nataka ujue mm na yy ni marafiki sana na twaongea vizuri hatuna chuki wala kinyongo kabisa namuhishim sana . ila haya nimambo ya kiilimu ni muhim kuiimishana ki ustarabu na kiadabu na kutovunjiyana hishima . na urafiki na undugu utabaki palepale .

  • @khamisali5942

    @khamisali5942

    Ай бұрын

    @@IzudinAlwyDin nashkur sheikh Izzudiyn kwa kutext na we namuomba Allah atupe elimu tuijue haqq na tufanye ibada vile mwenyew anavoridhia INSHAALLAH

  • @giltaemi4017
    @giltaemi4017Ай бұрын

    Kwahiyo vipofu wote Swaumu kwao si lazima kwasababu hawauoni huo mwezi. Hivi mnamuelewa lakini huyu jamaaa

  • @OmariMangale

    @OmariMangale

    Ай бұрын

    Kua na akili kipofu haoni k2 chochote c mwezi pekee atauonaje mwezi

  • @user-nh2wt4yd7w
    @user-nh2wt4yd7wАй бұрын

    Arafa ni moja

  • @taurehassan7399

    @taurehassan7399

    Ай бұрын

    Alokwambia arafa ni mia ni Nan?

  • @user-nh2wt4yd7w

    @user-nh2wt4yd7w

    Ай бұрын

    @@taurehassan7399 utajuwa wewe lakini arafa moja hayo ya Mia wayajuwa wewe

  • @osmanmanbile9327

    @osmanmanbile9327

    Ай бұрын

    😂😂😂 mwambiye huyu jitu la mawahbii​@@taurehassan7399

  • @samxx411

    @samxx411

    Ай бұрын

    Mbona kipindi cha corona hija ilikuwa haikufanyika na kufunga tulifunga hamkufata makka

  • @aboujanomarion6121

    @aboujanomarion6121

    Ай бұрын

    Akili mbovu hizo

  • @hassanmohamedabdalla4108
    @hassanmohamedabdalla4108Ай бұрын

    قـال الشيخ سليمان بن عبدالله رحمه الله : " وقد بين النبي صلى الله عليه و سلم بقوله : " وحده لا شريك له " تنبيهآ على أن الإنسان قد يقولها و هو مشرك ، كاليهود و المنافقين و عباد القبور ، فإنهم لما رأوا أن النبي قد دعا قومه إلى قول " لا اله إلا الله " ظنوا أنما دعاهم إلى النطق بها فقط . وهذا جهل عظيم . وهو إنما دعاهم إليها ليقولوها ويعملوا بمعناها ويتركوا عبادة غير الله . ولهذا قالوا : ﴿ أئنا لتاركوا آلهتنا لشاعر مجنون ﴾ [الصافات: 36] وقالوا : ﴿وأجعل الآلهة إلها واحدا ﴾ [ص: ٥]. فلهذا أبوا عن النطق بها. وإلا فلو قالوها وبقوا على عبادة اللات والعزى ومناة لم يكونوا مسلمين ، و لقاتلهم حتى يخلعوا الأنداد و يتركوا عبادتها ويعبدوا الله وحده لا شريك له ، وهذا أمر معلوم بالاضطرار من الكتاب والسنة والإجماع ." اهـ. - [ تيسير العـزيـز الـحميد شرح كتاب التوحيد ص ٥٦ ] و قال أيضا : " قوله " من شهد أن لا اله إلا الله " أي : من تكلم بهذه الكلمة عارفاً لمعناها عاملاً بمقتضاها باطناً و ظاهراً ، كما دل عليه قوله :﴿ فاعلم أنه لا اله إلا الله ﴾ [محمد: ١٩]. و قوله : ﴿ إلا من شهد بالحق وهم يعلمون ﴾ [الزخرف: ٨٦] . أما النطق بها من غير معرفة لمعناها ولا عمل بمقتضاها ، فإن ذلك غير نافع بالإجماع . وفي الحديث ما يدل على ذلك وهو قـوله : "من شهد "إذ كيف يشهد وهو لا يعلم، ومجرد النطق بشيء لا يسمى شهادة به." - [ تيسير العـزيـز الـحميد شرح كتاب التوحيد ٥١ ] وقال أيضا : " و لا ريب أنه لو قالها أحد من المشركين و نطق أيضاً بشهادة أن محمداً رسول الله ، و لم يعرف معنى الإله و معنى الرسول وصلى وصام وحج ولا يدري ما ذلك إلا أنه رأى الناس يفعلونه ، فتابعهم ، ولم يفعل شيئاً من الشرك فإنه لا يشك أحد من عدم إسلامه ، وقد أفتى بذلك فقهاء المغرب كلهم في أول القرن الحادي عشر، أو قبله في شخص كان كذلك كما ذكره صاحب " الدر الثمين في شرح المرشد المعين " من المالكية ، ثم قال شارحه : و هذا الذي أفتوا به جلي في غاية الجلاء لا يمكن أن يختلف فيه اثنان . انتهى - [ تيسير العـزيـز الـحميد شرح كتاب التوحيد ص ٥٨ ] .

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586Ай бұрын

    MPELEKENI BACHU KWA NGUVU MAMBRUI AKASOMESHEE NA USTADH SAID

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    Ай бұрын

    Huyo saidi mkata viuno😂😂

  • @mwanakheri2880

    @mwanakheri2880

    Ай бұрын

    Hataki sababu mbishi

  • @TreasureMagumba
    @TreasureMagumbaАй бұрын

    Swali la ufahamu ni kwamba, wewe unawaangalia mahujaji wakienda kusimama mlima arafati sasa je wale mahujaji wamefuata vigezo gani kutekeleza ibada ya kupanda mlima arafati??? Akili za kuzaliwa tu hata sio lazima usome saaana

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214Ай бұрын

    Eti tunaweza tangulia Saudia siku mbili 😂😂😂😂

  • @HamduMasud-xw6qc

    @HamduMasud-xw6qc

    Ай бұрын

    Amenukuu kitabu sikiliza vizuri

  • @abdiabdu7179

    @abdiabdu7179

    Ай бұрын

    Ibn theymia ndio alio sema si yeye

  • @mohagurey2214

    @mohagurey2214

    Ай бұрын

    @@abdiabdu7179 ya Sufi usipoteze fadhila ya yaumul arafa kwa kudanganywa na watu

  • @user-en8qs2yp2n
    @user-en8qs2yp2nАй бұрын

    Hakuna ukweli hapo

  • @taurehassan7399

    @taurehassan7399

    Ай бұрын

    Utabaki hvyohvyo hta ukiiona Haki upinge

  • @user-en8qs2yp2n

    @user-en8qs2yp2n

    Ай бұрын

    @@taurehassan7399 ukweli uko wapi mungu anashuka mchana siku mahujaji wanasimama arafa