Пікірлер

  • @kulthumkimaro9668
    @kulthumkimaro9668Сағат бұрын

    Na je kwa wanawake ambao tumeswali nyumban magharib na tukaa kwenye mswsala mpaka isha Je wanaandikiwa wapo ndani ya swala?

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i3 сағат бұрын

    Huyo anamakosa usiikurubie huyo nimzinifu Sheria inasemaje 😂

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht
    @ARNOLDKARISA-fs3ht3 сағат бұрын

    balaa saana ya mugokaa

  • @yahyaibrahim2570
    @yahyaibrahim257011 сағат бұрын

    YAHYA AHMED IBRAHiIM war na SOMALILAND TUGU TAFASHA WACHOKOZL AND MASHOGA.

  • @zawadimzee8770
    @zawadimzee877019 сағат бұрын

    Asalam alaikum hamjambo huko nyote ni na penda video zako Allah a kupe maisha marefu inshaallah❤

  • @halimaramadhan2000
    @halimaramadhan200021 сағат бұрын

    Maa shaa Allah TabarakahAllah ❤

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rvКүн бұрын

    MASHA ALLAH 💚💚💚

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258Күн бұрын

    Duwa nakuombeya lnshaalla utafaulu❤❤❤❤❤❤❤ameen ameen❤❤❤❤❤❤

  • @user-sk7ir2nv1z
    @user-sk7ir2nv1z2 күн бұрын

    Allahuma Amyiina 🙏

  • @yahyaibrahim2570
    @yahyaibrahim25702 күн бұрын

    Ya Allah iam asking every Muslim to read kunut every mosque masjid Haram and Madina munawa All masjid. Ya hu ya kafir. MOYA sos MOYA sos MOYA sos MOYA sos MOYA sos MOYA sos MOYA sos MOYA sos MOYA sos MOYA sos MOYA sos MOYA sos MOYA sos MOYA sos MOYA sos MOYA sos MOYA sos trust no one else except your.

  • @sahamkuzi2669
    @sahamkuzi26692 күн бұрын

    Asalam aleikhum shukran sana kwakutuelimisha je tunaponda majani kisha step ya pili nivipi?Ramah Ali

  • @yahyaibrahim2570
    @yahyaibrahim25702 күн бұрын

    Mahakama stop full stop

  • @user-bb8bq3vg2d
    @user-bb8bq3vg2d3 күн бұрын

    Inshaallah

  • @AnkallyPandu
    @AnkallyPandu3 күн бұрын

    Hivi kuna mimba ya haramu, vitendo au kitendo cha haramu, kama ya kharamu na mtoto atakaezaliwa nae atakua haramu au, naomba ufafanuzi sheikhe vipi kitu cha kharamu kinafaa kuingia msikitini au

  • @user-dg8dt5bg7q
    @user-dg8dt5bg7q3 күн бұрын

    Mashallah jazaka LLAHU kheir ust, izzudin yaani walitumikia jina lako kama lilivo ndivo ufanyavo mashallah!!

  • @MayasaMakame
    @MayasaMakame4 күн бұрын

    Naomb jibu

  • @MayasaMakame
    @MayasaMakame4 күн бұрын

    Asalamu alykoum shehe mm nna swali langu niliolewa ndoa ya mwanzo niliolewa na binamu na nikaishi nae miaka sita ikatokea sitofaham tukaachan nikaa miaka miwili ujane na sasa katokea mme mwengin lkn na yy pia ni binam na tunapendan san lkn tatiz lip kwa wazee hawatak kuniozesha nikiwambia wananiambia nikaolew mahakaman vp hukum yak ni ipi na mm nishachoka ujane na wala sitak kuzin

  • @user-vd5ws1ij9b
    @user-vd5ws1ij9b4 күн бұрын

    Sheikh wangu hizo vitu za fitna wala sio za dawah da’wah ni إن أجري إلا علي الله nenda masokoni mabarabarani vitotoroni fanya da’wah kama wenzenu watu wa tabliighi

  • @imranhassan9994
    @imranhassan99944 күн бұрын

    Assalaam Aleikum... Hii Comment yako ulioitoa hapa umeituma kwa kutumia chombo gani mkononi mwako kama pia sio chombo cha bid'a... Ya'ani wewe harufu ya nyama inakukera wakati hapo ulipo unaila na mifupa yake???

  • @NassoroJuma-zg9nx
    @NassoroJuma-zg9nx3 күн бұрын

    Anasema mtume (saw) kuwa watendeeni watu kulingana na vyeo vyao. Na huyu unae muambia hivyo ni mwanachuoni ni vizuri kumheshimu kama huna nyamaza huenda pepo yako umepewa mkononi ndiyo maana unatokwa na kibri na sio hekima.

  • @SakinaSakinat-qd9rs
    @SakinaSakinat-qd9rsКүн бұрын

    @@imranhassan9994🤣🤣 swadakta Hajui kuna wengine twafaidika kupitia humu humu

  • @TheKameme
    @TheKameme5 күн бұрын

    Asalaam aleikum wa Rahamatullahi wa Barakatuh. Ustadh ombi lako ni nzuri sana. Ninakumbalina na wale wanaoshauri utoe nambari ya Mpesa tuchangie kwa sababu wengine hatuna uweza wa kununua kifaa hata kimoja lakini kama wasemavyo - haba na haba hujaza kibaba - mchango utaijaza hazina ya kuweza kuzinunua hizo vifaa. Ni ushauri ama ono langu lakini.

  • @imaraimara4975
    @imaraimara49755 күн бұрын

    Ustadh naomba uweke number ya MPESA tuweze kuchanga, mwenye mia, mia tano, elfu, shukran.

  • @HidayaYusuf
    @HidayaYusuf6 күн бұрын

    Allah akubariki ustadh wangu na akupe umri mrefu ameen

  • @munamuna781
    @munamuna7816 күн бұрын

    Picha iko mbali

  • @SakinaSakinat-qd9rs
    @SakinaSakinat-qd9rs7 күн бұрын

    Lakini sheikh wajua ungeeka number yako tuchange pesa wallah watu watajitokeza wengi na kuchangia hata zikipta hazina shida sheikh usiogope hilo la kuchangiwa hela

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv7 күн бұрын

    INSHA ALLAH tuta faulu kwa uwezo wake ALLAH .

  • @swalehfarid5466
    @swalehfarid54667 күн бұрын

    Sheikh Ungeulizia Bei Vitu Vyote Alafu Tukachanga Hela,Natamani Ningeweza Kusaidia Vyote Hivo Ila Hali Hazirushusu,Angalau Tuchangie Tulichonacho Yupo Tayari Kama Wanafunzi Wako

  • @Aunty254
    @Aunty2547 күн бұрын

    In sha Allah yote Allah atakufanyia wepesi upate equipment zote.,Kenya na ushuru nyingi hizi equipment ni ghali sana naskia Dubai bei Ina afadhali…

  • @mohagurey2214
    @mohagurey22147 күн бұрын

    Sheikh wangu nakupenda kwa ajili ya Allah na nakuomba ujitoe mas'ala ya bid'a kama maulidi na watu kuenda kutafuta msaada kwa makaburi. Qiyama mungu atakuuliza

  • @aminaaidarus2387
    @aminaaidarus23876 күн бұрын

    Wampenda vipi kama mtu afanya mambo ya bidaa na maulidi. Hana haja ya kupendwa na mtu kama wewe Wenye pendo za urongo. Tuachie wenyewe tumpendaye li llahi, tujaribu njia ya kutatua.

  • @mohagurey2214
    @mohagurey22146 күн бұрын

    @@aminaaidarus2387 wewe utampoteza zaidi

  • @muniraramadhan9097
    @muniraramadhan90977 күн бұрын

    ALLAH ATAKUJALIA MAMBO YAKO YAWE MEPESI BIIDHINILLAH

  • @halimaramadhan2000
    @halimaramadhan20007 күн бұрын

    Allah afanye wepesi vipatikane vyote yaa Rabb 🤲

  • @user-ev7zm6bt7o
    @user-ev7zm6bt7o7 күн бұрын

    Inshaallah

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py7 күн бұрын

    Inshaallah Mola atasimama na wewe na hitajio lako litatimia na mola atakulipa kwa Niya yako inshaallah.

  • @Chammy-eq7yn
    @Chammy-eq7yn6 күн бұрын

    Amiin Thumma Amiin

  • @barkebahesmy1257
    @barkebahesmy12577 күн бұрын

    Ishalha utafaulu

  • @hasani-mq6ei
    @hasani-mq6ei8 күн бұрын

    Hirizi ni shirki sheikh unawapotosha kwa Nini ifikie huko hii kutoamini Allah

  • @Aishaa-s4w
    @Aishaa-s4w11 күн бұрын

    Je yafaakunga ndoa ikiea uko mbali na mke au mbali na mume

  • @mariamnjiku5045
    @mariamnjiku504511 күн бұрын

    Assalam Aleykum,,naomba hizo dua za usiku wa Ashuraa. Shukran

  • @abdhulkareemmabichwaa4pf107
    @abdhulkareemmabichwaa4pf10711 күн бұрын

    Na jeeh mtoto umemzaa nje ya ndoa kisha umuoe mama huyo bado mtoto atakuwa sio halali kwa baba huyo au mwanaume huyo

  • @abdhulkareemmabichwaa4pf107
    @abdhulkareemmabichwaa4pf10711 күн бұрын

    Je mtoto mamake akimuachisha mtoto kunyonya kabla hajamaliza miaka miwili malipo yake ni nni Ustadhi

  • @abdhulkareemmabichwaa4pf107
    @abdhulkareemmabichwaa4pf10711 күн бұрын

    MashaAllah

  • @ibrahimsudi5967
    @ibrahimsudi596712 күн бұрын

    Maasha Allah tunashkuru sheikh

  • @user-wc4ub3go9e
    @user-wc4ub3go9e12 күн бұрын

    Mashallah tabaraka Allah kwa elimu hiyo hatuchoki kukufatilia kila siku twakupeda kwa ajili ya Allah

  • @user-qo7wm7ej2c
    @user-qo7wm7ej2c13 күн бұрын

    Ameen yaraab sote Jamil Islamic

  • @user-kv3uq7rp4r
    @user-kv3uq7rp4r14 күн бұрын

    Kuna sura za kusoma ktk hyo swala ,,mbona haujafafanua vzur

  • @user-qj7jl9yp1h
    @user-qj7jl9yp1h14 күн бұрын

    In shaa Allah

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv14 күн бұрын

    Maa Shaa ALLAH 💚

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv14 күн бұрын

    Maa Shaa ALLAH 💚

  • @halimamuketi6738
    @halimamuketi673815 күн бұрын

    JazakaAllahu kheir

  • @SahiyaSuleiman
    @SahiyaSuleiman16 күн бұрын

    A .alyk kwani manii ya mwanmkee hutoka vip?

  • @abdulrahimsaid7864
    @abdulrahimsaid786417 күн бұрын

    Maashaallah

  • @mozakhalfansaid7246
    @mozakhalfansaid724618 күн бұрын

    Subhana Allah, kweli siyo rahisi wanaume kuomba msamaha, hatahakikukosea

  • @halimamuketi6738
    @halimamuketi673818 күн бұрын

    SubhanaAllah wabihamdihi