Upungufu wa ilmu ya Muhammad Bachu kwenye funga ya arafa

Пікірлер: 268

  • @salehothman6144
    @salehothman61449 ай бұрын

    Mwalimu by proffessional ,Sheikh Izzuddin Allah akuhifadhi!

  • @suleimanjabiri729

    @suleimanjabiri729

    9 ай бұрын

    Acha ushabiki wewe....wote ni wanachuoni...huku kugombana sio dini ni kuupotosha Ummah..

  • @KassimEdrisa-dd7zh
    @KassimEdrisa-dd7zh24 күн бұрын

    Allah akusamehe Izzu ddin na Makhalafi wenzako

  • @imranbanda3963
    @imranbanda39639 ай бұрын

    Sh izzuddin may Allah bless you

  • @user-po7vu1uf2u
    @user-po7vu1uf2u8 ай бұрын

    Shekhe wangu bachu nakumisi sana tena nakupenda Allah Akuhifadhi

  • @AyubuBaruty-of5js

    @AyubuBaruty-of5js

    7 ай бұрын

    Mpend sabab anakupotosha

  • @user-ns4lc3yg2c

    @user-ns4lc3yg2c

    Ай бұрын

    ​@@AyubuBaruty-of5jsmfate yule ambae hakupotoshi

  • @AliSalim-yu4mo

    @AliSalim-yu4mo

    Ай бұрын

    Nyie Maghulafi si wazima munahitaji mupimwe akili!sasa huyu anazungumza nini!

  • @user-ns4lc3yg2c

    @user-ns4lc3yg2c

    Ай бұрын

    @@AliSalim-yu4mo ww kama humuelewi si lazima kumskiliza

  • @AliSalim-yu4mo

    @AliSalim-yu4mo

    Ай бұрын

    @@user-ns4lc3yg2c America muhadhara ili watu wasikilize!sasa ikiwa amefanya hivyo aseme lililo Sawa sio utashi wake na kupotosha maana halisi ya dini!kama ana hadithi akawaeleze wajukuu wake sio ktk hadhara!wachenzi ushabiki usio na tija dini sio ushindani wa vyama vya siasa wala mchezo wa mpira

  • @hassanakida149
    @hassanakida149Ай бұрын

    Mashekh wengine tuongezeeni uelewa na hawa mashekh allah awakunjulie upeo ktk maslahi ya dining hii

  • @OmarOmar-zh3rq
    @OmarOmar-zh3rq13 күн бұрын

    MashAllah mtoto wa Bachu.

  • @user-jh3bs3kb2k
    @user-jh3bs3kb2k8 ай бұрын

    Mohd machu atumwa na mayahudi Aache ujinga arudishe haki ya palastin

  • @user-uk1fg6ki7o
    @user-uk1fg6ki7o9 ай бұрын

    Allah awe pmoj na waislm wote waliokua hawajapotok Kam bachu lkn pia aache kula pesa ALLAH anamuon na adhab zake ni Kal kuliko uongo wake

  • @catchall9364
    @catchall93649 ай бұрын

    Bwana mdogo hata tukijaalia uko sawa katika kukosoa lakini jifunze kuwa na utaratibu mzuri wa kiadabu na heshima na unyenyekevu, si nyinyi ndo huwa kila kitu mnasema Mtume SAW hakufanya, basi hata namna ya kukosoa Mtume SAW hakufanya kwa utaratibu wako huo wa kuwakejeri wapinzani wake.. Kwa hiyo ndio Bid'a yenyewe sasa..

  • @suleimanbilal3327

    @suleimanbilal3327

    9 ай бұрын

    ni kweli habiby,masheikh wa kianswar hawajafu hawajafundishwa adabu ya kielimu

  • @abdulkipengele

    @abdulkipengele

    Ай бұрын

    Mashaallah hapo nmeelewa siku ni mwez 9 kwa kalenda ya mwez nilipo Mimi nasio kuangalia st Makkah wamesimama Arafa au laah hapo nmeelewa shekhe jazakllah khaila🎉

  • @AliSalim-yu4mo

    @AliSalim-yu4mo

    Ай бұрын

    Nadhani Mtume (saw)hujamsoma vizuri au hujamsoma kabisa!yy alikuwa mkali pale anapolizungumzia Jambo la dini linapovurugwa Kwa makusudi!na si yeye Tu ha Maswahaba wake

  • @AliSalim-yu4mo

    @AliSalim-yu4mo

    Ай бұрын

    @@abdulkipengelehuo ni uzushi!na hata hicho kisimamo kiwe mwezi Tisa lkn hakuna hoja hata moja ambayo umesema Mtume alisema watu wafunge mwezi Tisa!yy alisema tufunge Siku ya kisimamo cha Arafa Kwa wale wasiokwenda hijja ili waungane na wenzako walioko ktk hicho kisimamo ili nao wapate fadhila ya siku hiyo muhimu ktk maisha yetu ambayo inapatikana mara moja Kwa mwaka

  • @marialumbanga
    @marialumbangaАй бұрын

    Masha allah bachu allah azid kukupa pumzi uwafafanulie wasio elewa allah akbar

  • @josephbwire1232
    @josephbwire1232Ай бұрын

    Sheikh muhammad Allah akuhifadh

  • @saidjuma1025
    @saidjuma10258 ай бұрын

    bachu ebu fwata misingi kama aliokuwa nayo babako.utapotea sheikh.your days are numbered bachu

  • @idriskinye1190
    @idriskinye11909 ай бұрын

    Bachu ALLAH akuhifadhi

  • @zainabshariff114
    @zainabshariff1149 ай бұрын

    Allah amusamehe mutoto wa bachu ajui anacho kisema

  • @user-hk4je2yr3q

    @user-hk4je2yr3q

    5 ай бұрын

    Ww acha kutuna sheikh kwani huyu mwali wa dhefe nibora kuliko bachu duuuuh😊

  • @SoudShuraim

    @SoudShuraim

    12 күн бұрын

    Bachu kichwa izudin hamna kitu,

  • @zainabusadi6469
    @zainabusadi64698 ай бұрын

    Mawahabi mlicho kisoma ni hasira hamna elimu hata kidogo kwanza hamna hekima mnacho jua ni kuropoka tu..!

  • @KassimEdrisa-dd7zh

    @KassimEdrisa-dd7zh

    24 күн бұрын

    Wewe una elimi gani

  • @suleimanamour1839
    @suleimanamour18393 ай бұрын

    Mashaallah

  • @isaack100
    @isaack10012 күн бұрын

    Binafsi nlikuwa nampenda sana bhachu lakini kwa clip alipuulizwa wamerekani wajapani watapataje kufunga siku mahujjaji wako arafa kwasababu wakiamka marekani uwanja mahujaj hawapo?wallah bhachu alijibu kuwa nchi zingine Allah hajawapa fadhila hizo!jamani Allah anaweza wadhulumu watu flani maisha kwasipate fadhila hzo za arafa na akawapa wengine

  • @kitosio
    @kitosio24 күн бұрын

    Sh. Nuzdin Pametajwa Siku na siku NI masaa 24.

  • @kitosio
    @kitosio24 күн бұрын

    Hoja ya kila Nchi ina mwezi wake ni Msiba. Maana ikhtilaaf ya matwaalii Nchi Moja zatofautiana zaidi ya masaa Tisa na baadhi ya Nchi hata mwezi hawauoni hata iwe mwezi 6 mwindamo seize mwezi 29 au 30

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad78449 ай бұрын

    Kelele mbona kua mpole.Mwangalie Sheikh Mwenzako anavho sema kwa upole.Hiyo ni dalili tosha maneno yako ni urongo

  • @salimmuhsin9907
    @salimmuhsin990710 ай бұрын

    Umeuona au umepewa taarifa

  • @AbdulMashanga
    @AbdulMashangaАй бұрын

    Ningefulai kama viongozi wa pande mbili mkaitana mkaelekezana vizuri tuna matatizo mengi hamuyawezi mnabaki kulumbana kwenye mitandao mnazingua sana mnajizalilisha niaibu muislamu na muisilamu mnalumbana tunakwenda wapi itaneni mzungumze.

  • @user-zg8fy2tp1h
    @user-zg8fy2tp1h9 ай бұрын

    Mawahabi mbona mnakuwa na hasira someni msitafute umaarufu kwenye midea

  • @SelemaniMajengo-fg7nv
    @SelemaniMajengo-fg7nvАй бұрын

    Ninyi wanazuoni hii ni ikhlafa na nyote mko sahihi; hivyo yeyote kati yenye atakayekazia hoja yake na kuidhoofisha hoja ya mwenzake atakuwa hana ilmu kubwa. Haya Nambo yamebainishwa wazi kwenye qur an kuwa mambo ya miaka na tarehe ni kwa ajili ya watu na matukio yao. Miaka ya akhera haina mahusiano ya moja kwa moja na miaka ya kidunia. Hunched Allah Subhaanahu wa Taala.

  • @HawaOmary-fb6wo
    @HawaOmary-fb6wo10 ай бұрын

    HUYU BACHU huwa anavuta bangi a

  • @yunusramadhan2546

    @yunusramadhan2546

    9 ай бұрын

    Kweli huwa anavutishwa na mamako choon tena

  • @suleimanjabiri729

    @suleimanjabiri729

    9 ай бұрын

    Kama anavuta bangi wewe utakuw muuza bangi.....acha Shub-ha na ushabiki katika dini.... tafuta wanachuoni ukasome

  • @saadkhamis511
    @saadkhamis5119 ай бұрын

    Mashaallah sheikh

  • @MohamedAli-lj2zl
    @MohamedAli-lj2zlАй бұрын

    Sema sijuiiy

  • @user-fw6qd1mh4y
    @user-fw6qd1mh4y8 ай бұрын

    nyie mnao sema bacho hajasoma hamjui km baba yke alikua nimwalim?bachu Allah akuhifadh maan umewatetemesha w2 wazima hlf ww mtot nampka waseme😊

  • @gozbethedwinlupogo1018

    @gozbethedwinlupogo1018

    5 ай бұрын

    Ww uliesoma tuambie

  • @abdulsaid1721
    @abdulsaid17219 ай бұрын

    Bachu hakuna kuwaona haya wasomeshe. Mpaka. Waelimike.

  • @AmCool_

    @AmCool_

    9 ай бұрын

    Kwenye Dini hakuna ushabiki

  • @rashidsuleiman9253

    @rashidsuleiman9253

    9 ай бұрын

    Atawasomesha wajinga wenziwe

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    3 ай бұрын

    Asomeshe kupitia kuropoka?

  • @hamidaawadh9024

    @hamidaawadh9024

    Ай бұрын

    ​@@rashidsuleiman9253huo ni mtazamo wako

  • @aminabakar9248
    @aminabakar9248Ай бұрын

    Wew bachu nd wa kwanza kumpata uyo mwatima😂😂😂

  • @AliKhamis-zm1ki
    @AliKhamis-zm1ki9 ай бұрын

    Saud saiv tunasali isha sa 1 :5 je dunia nzima inafaa kufata sheikh upo sahihi Allah atuhifadh mana kuna watu saiv wanatumia dini kama ushindane na mapambano wanasoma kwaajil ya challenge

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj10 ай бұрын

    Istaghfifullah ana maanisha Nini arafa kuifananisha na majina ya Wana wake?waislaamu huyu kijana tumwangalie Kwa jicho la tatu atapotosha uma.marhemu babaako alikuja mstaarabu lkn yy amekuwa fedhuli.

  • @maawymuhammad6779

    @maawymuhammad6779

    10 ай бұрын

    Kweli

  • @user-xn5je7uv3e

    @user-xn5je7uv3e

    9 ай бұрын

    Mukiambiwa ukweli mwasema mwapotolewa ukweli unauma

  • @user-xn5je7uv3e

    @user-xn5je7uv3e

    9 ай бұрын

    ifikie wakati muujue ukwel

  • @mikidadiyusufu5666
    @mikidadiyusufu5666Ай бұрын

    Aaaaaaaa masikini jamani Mtoto wa bashuww mweupe kabisa

  • @hosinali8164
    @hosinali81649 ай бұрын

    Wewe bachu Simtu mzuri

  • @suleimanjabiri729

    @suleimanjabiri729

    9 ай бұрын

    Mtu mzuri utakuwa wewe.....acha ushabiki wa dini....ummah unapotoka kwa ushabiki wenu huo

  • @hassaniddihassan9085

    @hassaniddihassan9085

    9 ай бұрын

    @@suleimanjabiri729 umma mnaupotoa nyinyi kwa elimu zenu ndogo mnaft fikra zenu

  • @AthumanRajabu-pg4of

    @AthumanRajabu-pg4of

    3 ай бұрын

    Msikilize huyu shekhe ata hay kwani hija hufanyka maka au tz

  • @AthumanRajabu-pg4of

    @AthumanRajabu-pg4of

    3 ай бұрын

    Wewe unajinasibasha na shafii lakini una at chembechembe za imamu shafii

  • @mwinyiashaka
    @mwinyiashaka9 ай бұрын

    Duh.

  • @sikandarsuleimanTV
    @sikandarsuleimanTV9 ай бұрын

    Huyu mtoto wa bachoo hana adabu kabisa yaani anatilisha hasira mpaka MTU unatamani umweke sawa kwanza kumchapa kibao au bakora maana hana adabu wala Nidhamu ya kuongea na elimu pia bado sana lakini yeye hataki kusoma wala wanaomfuata pia, someni dini ni kusoma na sio kufuata MTU Fulani kama huyu mtoto wa bachoo na mfano wake

  • @AhmadAbdallah-pp3ij
    @AhmadAbdallah-pp3ij9 ай бұрын

    Kwan Bachu una shida gani ww? c urud ten madrasa ukasom ten

  • @Hamedmutta
    @Hamedmutta2 ай бұрын

    Muhammad Bachu ajue kuwa uislaam mwenyezimungu aliapa kuulinda. Yeye ataangamia yeye uislaam utabaki.

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty97789 ай бұрын

    Alhaj yaumul arafat, sasa sie wa huku hatuhijii et waloambiwa watu wa Arafat, na ufaham wale walokuwepo uko hawafungi tunofunga ni sie tu

  • @IbrahimNtirenganya
    @IbrahimNtirenganyaАй бұрын

    Nyinyi ni wapingzani waliongombeya ulimwengu unawajuwa Allah awaongowe

  • @AbausAhmad
    @AbausAhmadАй бұрын

    Bachu njoo nikufundishe n aibu hyo nafkiri nilikuwekea namba Yangu unitafute Kwa Fani yeyote utakayo kufundishwa

  • @user-dg8dt5bg7q
    @user-dg8dt5bg7qАй бұрын

    Tatizo bachu we kelele tuu!! Huna ilimu bro!!! Ibn hutheimi pia amekataa hayo maneno yako bachu hebu Kaa chini usome!!!

  • @user-bg6ph3jt5j
    @user-bg6ph3jt5j17 күн бұрын

    Nasiku na sahaa zapishana

  • @SafiniaChande
    @SafiniaChandeАй бұрын

    Kweli hatambulikani

  • @user-qq2mx8hd4d
    @user-qq2mx8hd4d9 ай бұрын

    Hi Uganda Kampala

  • @user-ns4lc3yg2c

    @user-ns4lc3yg2c

    Ай бұрын

    Tanzania

  • @AthumanMohamed-xq1qe
    @AthumanMohamed-xq1qeАй бұрын

    Mtoto wa bachu kasome alafu ulewe elimu

  • @abdulsaid1721
    @abdulsaid17219 ай бұрын

    Mimi. Naona. Watuwengi. Wanafikiri. Dini. Ni. Mazoeya. Au mazoea. Kasomeni. Hatawakiiyona. Haki. Hawaitaki kwSababu. Ya. Mambo. Alioyazoea. Mwashehe wengi wa. Kenya. Inabidi. Watoke. Nje. Wakasome kwa. Mashehe. Tofauti. Ili. Wajue. Tafauti Walivyo ya zoea. Huuni. Mtihani kwenu bachu. Wasomeshe. Mpaka. Waelimike.

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    9 ай бұрын

    SWALI LA ARAFA MOJA?! Kipindi cha kuanzia kwa Mtume (S.A.W) mpaka kwa makhalifa wote wanne waislam ktk miji ya mbali na Makkah kwa mfano Sham, Madina na kadhalika kote duniani walikuwa wakifunga arafa kwa siku moja? ikiwa wote hawakufunga siku moja na walifata tarehe za muandamo wa mwezi wa maeneo ya miji yao, swali wale wa miji ya mbali ambao hawakufunga sawa na siku ya arafa pale Makkah je walikuwa hawana funga na arafa yao ilikuwa Batwil?!

  • @user-xn3kz4mc4v
    @user-xn3kz4mc4v9 ай бұрын

    😂😂 sema sijui tu bachu

  • @abubakarhassan6935
    @abubakarhassan69359 ай бұрын

    Shekh Muhammad bachu anapotoa mawaidha hebu atoe kwa pole pole na makini watu wamuelewe anayo yatoa sio kupiga kelele mpaka unao yasema hayashikiki wala kutoelewesha mtu,,,

  • @RahiaHamisi
    @RahiaHamisi23 күн бұрын

    Kabisa yani

  • @sefuriyembe7864
    @sefuriyembe7864Ай бұрын

    Huyu bachu ndo mbumbumbu kweli kweli, Kisha ni mjinga hajijui !!!😅😅

  • @dullahbatuf9223
    @dullahbatuf9223Ай бұрын

    Sheikh bachu nakuelewa saw wakiondosha uboshi na kukusikiliza watakuelewa

  • @mikidadiyusufu5666
    @mikidadiyusufu5666Ай бұрын

    Mtoto wa bashuww mweupe kabisa Hana jipya mwehuw 22

  • @nadeemadams-mr3bs
    @nadeemadams-mr3bsАй бұрын

    Muhammad Bucha need to learn more Ilm Fiqh

  • @mikidadiyusufu5666
    @mikidadiyusufu5666Ай бұрын

    Aaaaaaa masikini jamani mbona Mtoto wa bashu hanakitu mtpu kabisa

  • @Hamedmutta
    @Hamedmutta2 ай бұрын

    Muhammad Bachu ni kichaa

  • @NuwayraHamidu

    @NuwayraHamidu

    2 ай бұрын

    Astaghafirullah

  • @amohammed3390
    @amohammed33909 ай бұрын

    Kusema ukweli hakutaki elimu kubwa Kama anachokisema ni sahihi

  • @user-hp5ep5jd2n
    @user-hp5ep5jd2n9 ай бұрын

    Bachu mvaa vikuku

  • @user-hk4je2yr3q

    @user-hk4je2yr3q

    5 ай бұрын

    Ww acha hivyoo

  • @AbdallahMnyiwe-he2zu
    @AbdallahMnyiwe-he2zu9 ай бұрын

    Huyu naye elimu ndogo

  • @Africa822
    @Africa8229 ай бұрын

    Ivi munajua kua SOUD ARABIA NA TANZANIA HATUNA TOFAUT ATA MASAA 2

  • @user-ns4lc3yg2c

    @user-ns4lc3yg2c

    Ай бұрын

    kuna baadhi wanabisha tu hawajui hata tukovipi kimajirana na Saudia

  • @AliKhamis-zm1ki
    @AliKhamis-zm1ki9 ай бұрын

    Mm naishi saud saudi wanafata calendar sio kuangalia mwezi

  • @mohamedmwatuwano5526
    @mohamedmwatuwano5526Ай бұрын

    Nyinyi masheikh, tangu Mtume wetu aondoke duniani, jambo hili bado lina utata baadhi yenu? Nawaomba mtayarishe kongamano mjadiliane mpaka mtupe msimamo mmoja. Hizi video haitoshi. Kutaneni mjadiliane.

  • @user-xn5je7uv3e
    @user-xn5je7uv3e9 ай бұрын

    mtoto wa bachu uko sawa sana walio wengi hawakuelewi unapoelimisha mambumbumbu

  • @suleimanbilal3327

    @suleimanbilal3327

    9 ай бұрын

    wewe na bachu wenu ndiyo mambumbumbu hamzifaham hadith

  • @user-xn5je7uv3e

    @user-xn5je7uv3e

    9 ай бұрын

    @@suleimanbilal3327 ww unazifahamu lkn mnazusha mambo ya kipuuzi ktk dini

  • @user-xn5je7uv3e

    @user-xn5je7uv3e

    9 ай бұрын

    @@suleimanbilal3327 hii dini imeshakamilika haihitaji niongeza

  • @AbdallahShekhan-qx3kp

    @AbdallahShekhan-qx3kp

    Ай бұрын

    Labda mnamuelewa ninyi wapotevu mtu mwenye akili timamu hawezi kumsikiliza mvuta bangi huyu

  • @mwavamwambarkissensi7586
    @mwavamwambarkissensi75869 ай бұрын

    Naona nilicho kielewa hapa bachu yupo sahihi kabisa inamaana mwalimu mwezi ukionekana Dubai atufungi jamani kweli dah bachu yupo sahihi kabisaaaaaa maana Dunia ni moja tu tunatofautiana masaa tu.

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5lАй бұрын

    WEWE UNAEJIFANYA MSOMI SANA MBONA KILA SIKU UNAOTOSHA NA MAMBO CHUNGU NZIMAYA B' DAA???

  • @Africa822
    @Africa8229 ай бұрын

    Bachu anawapa Waisilamu changamoto, hakatai Maulid yeye anakata wale wanaokata viuno kwenye Maulid😅

  • @abubakarahmed3010
    @abubakarahmed30109 ай бұрын

    Namwambiya hoyo fidhuli bachu kuzungumza kuna adabuyake wewe umeandikiwa katasini unasoma kisha wataka kushindana na wasomi. Nailimu siyo kuwa wajuwa kataba meandika qaraa amesoma ukajiyona tayari wewe nimsomi nenda kasome Kisa uje ushindane nawasomi

  • @ibrahimabdallah1643
    @ibrahimabdallah1643Ай бұрын

    Kasome MTUME ALIFUNGA ARAFA kabla ya kufaradhishwa HIJA je alikua Hana Arafa toto jinga Sana UWAHAB unawatafuna Sana

  • @AliSalim-yu4mo

    @AliSalim-yu4mo

    Ай бұрын

    Yaani Kwa kweli nyie Masufi muna shida kweli kweli!ktk suala hili la Funga ya Arafa Mtume ameisemea nini tufanye siku ya Mahujaji wakiwa ktk kisimamo cha Arafa!wacheni ushabiki!NENDA kaangalie ktk Kitabu cha Ibn MAJAH,TIRMIDHII,ABU DAUD NA HATA KTK RIADHATUL SWALIHINA" hivi vyo kaangalie ktk mlango wa "BABU SIYAMII"ili uone vp maelekezo ya Mtume(saw)

  • @user-mw6nv4vc1x
    @user-mw6nv4vc1xАй бұрын

    Amefukuzwa Zanzibar haruhusiwi kufanya daawa ndio mawahabi wa Kenya wamempokea asitirike Zanzibar amepigwa marufuku kutoa khutba ya aina yyte mahali popote tosheka na Hilo tu kuwa mtu amefukuzwa kwao

  • @user-kx4wd5vb4j
    @user-kx4wd5vb4j9 ай бұрын

    Kuna point zengine za Bachu zinamashiko sana.

  • @abualwi2442
    @abualwi24429 ай бұрын

    Bachu elimu yako iko chini bado yatakikana usome zaidi kabla ya kumkosoa mwenzako bila elimu

  • @AbdallahShekhan-qx3kp
    @AbdallahShekhan-qx3kpАй бұрын

    Huyu Bachu ni kichaa na anakula ngada namuuuliza Arafa ni kufunga au kusimama vilima vya Arafa mpumbavu wee hapa watu wafunga sunat l hajj ambayo inafungwa mwezi 9 siyo kusimama Arafa nenda kasome utalaaniwa na Allah kwa uongo wenu Mawahaab

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba83779 ай бұрын

    huyu bachu Hana elimu ndiomana hata hekima nabusala kakosa pia

  • @salmjamal2137
    @salmjamal21379 ай бұрын

    Mwezi wa Kenya na Arabuni kuna tafauti ya masaa mangapi ki ukweli mashekh wengi naona wanachuki tu na arabuni tu mara ngapi tumefungishwa Ramadhani makosa makosa tumeweka lazima tuone mwezi wetu kenya siku ya pili tukiangalia mwezi siku ya pili mwezi wakaa mpka saa mbili iliyobakia hapa kila mtu na akili yake Allah atuhifahdhi

  • @jelluzrahiim6474

    @jelluzrahiim6474

    8 ай бұрын

    Qiyaama Mtume Wetu Muhammad PBUH Alisema Kitasimama Lini..!??

  • @FatumaMwaduga

    @FatumaMwaduga

    Ай бұрын

    Kodin cku inabadilisha saa 1 uck jaman Hivyo km Saudis ukichomza mwezi saa 12na nusu sisi kwetu bado ck haijabadilka hivyo huwezi kuangalia mwezi saa2 ucku kwa hivyo tutaangalia mwezi kesho yange magharibi , hayo ni makazi yangu bianchi lakin

  • @norobertmakulu7131

    @norobertmakulu7131

    Ай бұрын

    mwenyiezimungu alijua kua kunawatu watajifanya wajuaji nandio maana yeye alisha ondoa utata kuhusumwezi na funga akasema yakwake yeye fungeni mtakapo uona mwezi na fungueni mtakapo uona mwezi endapo hali yahewa itakua sababu yakushindwa kuonekana inamaana utakapo kuja kuuona ww lazima utakua mkubwa lisikupeshaka jambohilo hata robo maana mwenye funga yake ndie aliesema ww ukatae wenani kumbuka tumeambiwa tunapo itilafiana turudi kwenye kitabu kitukufu quraan tupate hukumu ya hilo jambo maana hapondipo panapo patikana majibu yenye uhakika nduguyangu

  • @HamadialiAnasi-nd9py
    @HamadialiAnasi-nd9pyАй бұрын

    Hivi ilipozuiwa hija kilikuwepo kisimamo cha arafa? Watu walifunga siku gani

  • @swalehahmad8947
    @swalehahmad8947Ай бұрын

    Mtoto kwa kila kitu

  • @user-on1vh9nf9k
    @user-on1vh9nf9k10 ай бұрын

    Acha ujinga wewe bachu soma ujue maana

  • @abdulsaid1721

    @abdulsaid1721

    9 ай бұрын

    Bachu. Hakuna kuwaonea haya hao. Wasomeshe. Mpaka. Waelewe. Waache. Walioyazoea

  • @user-zf7ft8eg1x
    @user-zf7ft8eg1x9 ай бұрын

    Ww Muhammed acha kujifanya sana kwakuwa una elimu unajifanya kwakuwa babaako alikuwa shk mkubwa wako waliosoma kuliko ww acha kujionesha ww unapenda sifa t huna mawadha yyote hemu jitafakari ww

  • @ShabanHassan-qv2xf
    @ShabanHassan-qv2xf2 ай бұрын

    Tusome kwanza jamani tusitwalii kiarabu tu

  • @Filamumaridhawa
    @Filamumaridhawa8 ай бұрын

    Bana kila mtu awe na msimamo tu wa imaniyake

  • @ZidiniZidini
    @ZidiniZidiniАй бұрын

    siku ya arafa

  • @AllyAbdallah-tn5xb
    @AllyAbdallah-tn5xbАй бұрын

    Bachu Ata mimi namuweza.. Eti tunafuata kule.. Je siku ikitokea hawapo Je hufungi na utakua huna iidi?

  • @user-bg6ph3jt5j
    @user-bg6ph3jt5j17 күн бұрын

    Naaam nimefaidika sn ila ni kweli cheikh kwanini mda wasala Maka atusali

  • @khamisomar889
    @khamisomar889Ай бұрын

    Kwahiyo majina ya mwajuma na fatuma hayaana maana kwa mujibu wa bachu, basi mtume alikosea kumwita mwanawe fatuma

  • @Hamedmutta
    @Hamedmutta2 ай бұрын

    Muhammad Bachu audio shule badge kinda

  • @AbdallahShekhan-qx3kp
    @AbdallahShekhan-qx3kpАй бұрын

    Asilimia kubwa ya Mawahaabu ni walevi na ndio maana wanapotoa mihadhara lazima watumie lugha chafu

  • @mwavamwambarkissensi7586
    @mwavamwambarkissensi75869 ай бұрын

    Dah nidi yetu waliyo na elimu ndiyo wanao tupotosha sisi tusiye na elimu pia Mimi huwa nashangaa Sana babishano haya huwa ayaishi milele Hadi mwisho wa Dunia kama vile kwenye mfungo wapo wanao Anza na wanao wai kufunguwa na kusali iddi Sasa sijui huwa najiuliza hii Dunia kwa sisi waislam IPO mala mbili tunapotezana Sana ndiyo maana malumbano ayaishi kwa dini yetu.

  • @yahyaayoub4999

    @yahyaayoub4999

    9 ай бұрын

    Hayawezi kuisha kwa sababu kuna watu wametumwa kuja kuvuruga Uislamu, hao ni makafiri waliojificha ndani ya Uislamu na wengine tukiona wapo sahihi. Arafa vitabu vyote vinasema ni mwezi 9, havijasema Makka watasimama Araffa. Wewe kwako mwezi tisa ni siku gani? Hiyo ndiyo siku ya Arafa kwako popote ulipo

  • @mikidadiyusufu5666
    @mikidadiyusufu5666Ай бұрын

    Mtoto wa bacho mwehuw wakala wa mayahudi

  • @HemedSerious
    @HemedSerious3 ай бұрын

    Bachu acha ufedhuli

  • @user-dr9wz4nn1k
    @user-dr9wz4nn1k13 күн бұрын

    Mbona mwezi ukionekana saudia na hapa tukiona mwezi huwa ni mwezi ya siku mbili

  • @user-et9vf2ro2k
    @user-et9vf2ro2k3 күн бұрын

    Kwani mtumiii alikua lamuuu ata ahusishe si alikua makka izu unajizonga

  • @AthumanRajabu-pg4of
    @AthumanRajabu-pg4of3 ай бұрын

    Acheni ushabik kinana anajua kwani mnataka tue naidi yetu fikihi ndo Nini acha kuwadanganya watu Dunia saivi aina siri

  • @sharifnassor4417
    @sharifnassor4417Ай бұрын

    Shekh kisimamo cha Arafa kinafanyika mwezi ngapi?

  • @user-ou1dh2sb2t
    @user-ou1dh2sb2t9 ай бұрын

    Huyu ni shetan

  • @KomoraMohamed
    @KomoraMohamedАй бұрын

    Hatufati saudia bachu ww kma wafata fata usilazimisha wa2

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362Ай бұрын

    Bachu anazunguka zunguka tu hapo Kwa msaada wa usanii wake wakuongea, kwenye hoja anapivwa bao

  • @alyamuhammad1172
    @alyamuhammad11729 ай бұрын

    Si bachu ni bachoo hajui hata anasema nn yy nimapaka nimwajuma akapimwe akili huyu hako sawa

  • @suleimanjabiri729

    @suleimanjabiri729

    9 ай бұрын

    Huo ndo uislamu tulokuwa nao sie....kugombana na ushabiki mwingi wakati yapo mambo muhimu ya kuelekeza ummah katik khairat....tuache ushabiki wa dini

  • @user-zb6zk1mr5t
    @user-zb6zk1mr5t5 ай бұрын

    Bach soma fiikhi wacha kuhukumia ibada kwa lugha ya kiarab

  • @user-kf2mu6is8l
    @user-kf2mu6is8l4 ай бұрын

    Bachu chukua somo hilo

  • @rahimumustafa587
    @rahimumustafa587Ай бұрын

    We mzee kama huna elimu usiwe unaongea kwenye mitandano

Келесі