Huu ndio Ushahidi wa ARAFA Moja katika Vitabu hivii!!. Sh. Nurdin Kishki.
Omar Bakari Almasi online tv
Жүктеу.....
Пікірлер: 194
@salumbahria76432 жыл бұрын
Kwa Mantiki Hiyo Inakuwa Haina Haja Ya Kutazama Mwezi Sisi Tulipo Njee Ya Mecca Tusubiri Tu Mwezi Ukiwa Unaandama Mecca Then Sisi Tufaate Uko
@hamadatahir93072 жыл бұрын
HAKUNA MWANDAMO MMOJA DUNIANI KOTE NI KWAMBA WEWE KISHKI HUJAMFAHAMU HUYO ABUU HANIFAH WALA IMAAM MAALIK WALA IMAAM AHMAD. USIPOTOSHE WATU KISHKI KWA KUTAKA KUNDI.
@uiavajiwgav54412 жыл бұрын
Lakushangaza sikuyakusherekea siku yawamama amasiku yaukimwi duniani hawasemi marekani sahii niusiku wote wana sherekea kama nijumamosi wote jumamosi ila siku ya arafa ndio hawataki kuwa pamoja
@shahazadrahma21 күн бұрын
Huyu anajua kusema,ila apishana na kaka yake,huyu mwehu,sasa kama unajua ikhtilafu ipo sasa povu la nini,
@sefuriyembe786421 күн бұрын
Sh.Kishki jifunze jiografia, saudia wakiwa arafa, wakati wa dhuhuri China wanasali magharibi !! Unapoteza watu.😅😅
@thulaniduku32182 жыл бұрын
Kwanini wanasema Arafat ziko mbili ijuma zisiwe mbili?
@shalihamadi532221 күн бұрын
Umeongea maneno mengi lakini ueleweki tuambie mtume alifunga harafa kwa kufuata maujaji waliokuwa macka au kabla ya kushushwa hija watu hawakufunga harafa ndio mambo ya kutueleza
@user-zs6qg7ql1i21 күн бұрын
Kishki kw swali la mwezi umepotosha watu maan Australia america na china hio arafa hawatoipata mpk kiama
usilazimishe jambo lenye ikhtilafu kua katika qauli moja kua muadilifu hiyo sio ilimu ni uhizbi na wape haki qauli ya jamhuri kuhusu mwezi ni iopi tembea na hiyo afwan
@Saimugwaotv4 жыл бұрын
Asante babu namuona shekh nikiwa ktk mji wa Mina mashaalah hongera sana ..na umeikata vizuri saaana
Yaani mpaka nalia jinsi watu wanavyotupoteza ktk dini ahsante shekhe kishki Allah akuifadhi
@KhadiaAli21 күн бұрын
MashaAllah sh kiski ,MWENYEZIMUNGU akubarick kwa mawaidha yako uzidi kutupa elimu ,tunakupenda sana
@AbuuAyman-nq6xk21 күн бұрын
Kishki una sauti Kali na ufasaha mkubwa wa lugha ya kiwahili tatizo ni tanaqudh tu katika maneno yko ebu karudi ujiskize maongezi yko Allah atakuonyesha haki akuafikie kuifata
@MteleShadia-lc6gi21 күн бұрын
Mashallah mtaalam wetuu wa dunia ,,Allah akuepushe na watuu wenye ftna juu yakoo
@JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN14 күн бұрын
Haipendezi Sana na sipendezewi Sana na unavyfoka muelewane Msiwapotoshe waumini Kishki badilika
@IssaRamadhan-r1o14 күн бұрын
ربنا انا اطعنا سادتنا وكبراءنا فاضلون السبيلا
@rahmahty70262 жыл бұрын
Mashallah. Allahumma Allah atusadikishe ktk twaa yake atudumishe ktk dini yake. Amiin
Пікірлер: 194
Kwa Mantiki Hiyo Inakuwa Haina Haja Ya Kutazama Mwezi Sisi Tulipo Njee Ya Mecca Tusubiri Tu Mwezi Ukiwa Unaandama Mecca Then Sisi Tufaate Uko
HAKUNA MWANDAMO MMOJA DUNIANI KOTE NI KWAMBA WEWE KISHKI HUJAMFAHAMU HUYO ABUU HANIFAH WALA IMAAM MAALIK WALA IMAAM AHMAD. USIPOTOSHE WATU KISHKI KWA KUTAKA KUNDI.
Lakushangaza sikuyakusherekea siku yawamama amasiku yaukimwi duniani hawasemi marekani sahii niusiku wote wana sherekea kama nijumamosi wote jumamosi ila siku ya arafa ndio hawataki kuwa pamoja
Huyu anajua kusema,ila apishana na kaka yake,huyu mwehu,sasa kama unajua ikhtilafu ipo sasa povu la nini,
Sh.Kishki jifunze jiografia, saudia wakiwa arafa, wakati wa dhuhuri China wanasali magharibi !! Unapoteza watu.😅😅
Kwanini wanasema Arafat ziko mbili ijuma zisiwe mbili?
Umeongea maneno mengi lakini ueleweki tuambie mtume alifunga harafa kwa kufuata maujaji waliokuwa macka au kabla ya kushushwa hija watu hawakufunga harafa ndio mambo ya kutueleza
Kishki kw swali la mwezi umepotosha watu maan Australia america na china hio arafa hawatoipata mpk kiama
Sijawai kujuta kusikiliza mawaitha yako kishk tatizo waislamu tumeitia dini akili.
usilazimishe jambo lenye ikhtilafu kua katika qauli moja kua muadilifu hiyo sio ilimu ni uhizbi na wape haki qauli ya jamhuri kuhusu mwezi ni iopi tembea na hiyo afwan
Asante babu namuona shekh nikiwa ktk mji wa Mina mashaalah hongera sana ..na umeikata vizuri saaana
Asante ustadh wangu kishki jazakallahu khairaljaazaai
Yaani mpaka nalia jinsi watu wanavyotupoteza ktk dini ahsante shekhe kishki Allah akuifadhi
MashaAllah sh kiski ,MWENYEZIMUNGU akubarick kwa mawaidha yako uzidi kutupa elimu ,tunakupenda sana
Kishki una sauti Kali na ufasaha mkubwa wa lugha ya kiwahili tatizo ni tanaqudh tu katika maneno yko ebu karudi ujiskize maongezi yko Allah atakuonyesha haki akuafikie kuifata
Mashallah mtaalam wetuu wa dunia ,,Allah akuepushe na watuu wenye ftna juu yakoo
Haipendezi Sana na sipendezewi Sana na unavyfoka muelewane Msiwapotoshe waumini Kishki badilika
ربنا انا اطعنا سادتنا وكبراءنا فاضلون السبيلا
Mashallah. Allahumma Allah atusadikishe ktk twaa yake atudumishe ktk dini yake. Amiin
ALLAH AKUBAARIK SHEKH KWA KUZIDI KUTUPA MWANGA