Al-Hatimy Amrekebisha Khatibu wa Vetenary Kwa Kusema "Mtume Muhammad S.A.W Hanufaishi wala Hadhuru".

La Haula Wala Kuwwata Illa Billah! Leo kwatokea Mtu tena Katika Madaa'i na kutowa matamshi yasio na Heshima wala Adabu Juu ya Mtume Muhammad S.A.W Bila ya Kujali, tena akiwa Juu ya Mimbari ya Mtume Muhammad S.A.W.

Пікірлер: 120

  • @ismailchilonga2878
    @ismailchilonga28784 жыл бұрын

    Kishki napenda ila Huyu sheikh yupo sawa hana makosa yupo sahihi kabisa mwenyezi mungu amzidishie imani

  • @aishamalaki1352
    @aishamalaki13526 жыл бұрын

    ALHAMDULILLAH ALLAH akujaalie Sheikh Hatimy maisha marefu yenye kheri ili uwasomeshe nawengine zaidi maana haoulio wasomesha wameanza kusoma sasa INSHAALLAH ALLAH atawabadilisha wajuwe vizuri dini yao

  • @ramadhanwilbard4685
    @ramadhanwilbard46854 жыл бұрын

    Mimi nadhani Shekh Kishiki alitaka kutuambia ya kwamba Mwenyezi mungu ndiye namba 1 na kila kiumbe kinamsujudia yeye tu na Mtume wetu Mohamedi naye katoka kwake na sisi tunamuheshimu katika imani yetu ya Uislamu Mtume wetu lakini hatumsujudii kama mwenyezi mungu mm kwangu naona Kishiki yuko sawa!

  • @tiffahbby3697
    @tiffahbby36975 жыл бұрын

    SubuanaAllah,, AstaghfiruAllah AstaghfiruAllah ewe mollah wetu tusamehee na utuweke ktk njia iliyo ya kheir

  • @binmwerionlinetv1256
    @binmwerionlinetv12564 жыл бұрын

    Wallah elimu ni bahari allah atunufaishe kwa elimu za maulamaa wetu

  • @abdulsanz7885
    @abdulsanz78855 жыл бұрын

    uyu kishki atatuponza... asante Al Hatim kwa kumkosoa kiakili... Kishki usiwe na Kibri... Kafiri mwenyew hawez kusema ati Mtume hanufaishi wala hadhuru ww umepata wap jeur hii

  • @nganzirashidi1463
    @nganzirashidi14636 жыл бұрын

    Huyu Sheikh mm nimemuelewa na ninamkubali sana

  • @jaafaralsadiqchannel1906
    @jaafaralsadiqchannel19068 жыл бұрын

    احسن الله علينا و على المسلمين. و لنعلم ان هذه امتنا امة واحدة فرويدكم رويدكم

  • @semenimtoka1121
    @semenimtoka11214 жыл бұрын

    Wallah shekh unaelimu kubwa sanaa lkn msipende kurekebshqn mtandaon mungu akuhifadh al hatimy

  • @hassanowgennogenno5740
    @hassanowgennogenno57405 жыл бұрын

    tunaomba masheikhe wetu wa ahlusunna watembee kote kufahamisha wengi waliopotezwa .wallahi wengi hawafahamu dini

  • @ustazzaghawiyustazzaghawiy7246
    @ustazzaghawiyustazzaghawiy72466 жыл бұрын

    ALLAAH AKUHIFADHI NA SHARI ZA MAHAASIDI

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.71854 жыл бұрын

    Alhatimi your right.May Allah bless you.

  • @swafiamohammed1708
    @swafiamohammed17085 жыл бұрын

    Allah akukuhifadhi Sheikh Al hadi

  • @AhlusunnahWalJamaa

    @AhlusunnahWalJamaa

    5 жыл бұрын

    Ameen

  • @burhanhaji769
    @burhanhaji7696 жыл бұрын

    "Na wala hatukuwatuma katka mitume (tuliowatuma), ispokuwa in lugha ya watu wake ili kuweza kuwabainishia(Haki)....QUR-AN 14:3, kwa mujib wa aya hii, imamu WA veterani yupo sahihi kutoa khutba kwa lugha ya watu anaowafikishia ujumbe.

  • @rahmaabid447
    @rahmaabid4474 жыл бұрын

    Mbona unapenda kumkosoa mwenzako....Au unataka umaarufu...

  • @rukiasalim1834
    @rukiasalim18347 жыл бұрын

    Kuwa na Elim ni raha sana

  • @mohamedseph9379
    @mohamedseph93796 жыл бұрын

    Sheikh Al - Hatimy achana na babu wa vetinari ss tunamjuwa kama mfanya biashara tu

  • @AhmedMohamed-hc6pp
    @AhmedMohamed-hc6pp8 жыл бұрын

    Subhan'Allah! what a beautiful reply. I hope you may reply to more of such sheiks INSH'ALLAH

  • @jumasalum5769
    @jumasalum57694 жыл бұрын

    Dah! Sheikh wangu #Al_Khatimy hiv nifanye nn ili nipate kuonana na wew live me niko Mwanza Tanzania Sheikh maana naham sana ya kukuona

  • @shekhally5741
    @shekhally57413 жыл бұрын

    Maashaallh! Allh akujaalie kheri na ziada ktk elimu yako inshaallah.

  • @osmanhazard6103

    @osmanhazard6103

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @rachelevarist70
    @rachelevarist704 жыл бұрын

    Mimi napenda mauridi sana maana yametutoa mbali yametujenga kushkamana yalituonganisha kiukweli mtu anayepinga mauridi huyo ana ajenda yake

  • @mbaroukznz2331
    @mbaroukznz23315 жыл бұрын

    Sheikh kishiki soma kwanza hayo maneno sio ya nahau fikiria kwanza kabla kuropoka . uwahabi utakuponza.

  • @alhajrialhajri4026
    @alhajrialhajri40263 жыл бұрын

    Kama kishki kakosea kamkosowe mwenyewe mkiwa wawili sio mitandaoni hii tabia haifae kwa mashekh kama nyinyi

  • @yusufumpepo5836
    @yusufumpepo58365 жыл бұрын

    tatizo hupinga vitu bila kuvielewa katika branch zote lugha ya kiarabu.

  • @user-tl2jz5wg2p
    @user-tl2jz5wg2p5 жыл бұрын

    قال تعالى:فماذا بعد الحق إلا الضلالة..سورة يونس

  • @asiaissa976
    @asiaissa9763 жыл бұрын

    صلى الله عليه وسلم

  • @salehpandu2250
    @salehpandu22503 жыл бұрын

    Salam amakweli kuwa mwarabu sio kujua tafsiri ya kur - ani imedhihirika kishk hanahamu tuwe makini nae

  • @omaryhaytham6567
    @omaryhaytham65677 жыл бұрын

    kishk amefeli sana hapo awezi kutoa mfano dhalili km huo..... msiba huu

  • @kijeshiabdalla6316
    @kijeshiabdalla63163 жыл бұрын

    Kupitia haya, hivyo waislam tunapaswa kutafuta elimu popote pale ili kuufahamu vizuri uislamu.

  • @UNO-xt7we
    @UNO-xt7we4 жыл бұрын

    يُؤْتِي الْحِكْمَةَ مَن يَشَاءُ ۚ وَمَن يُؤْتَ الْحِكْمَةَ فَقَدْ أُوتِيَ خَيْرًا كَثِيرًا ۗ وَمَا يَذَّكَّرُ إِلَّا أُولُو الْأَلْبَابِ (269)

  • @maryamoman5926
    @maryamoman59265 жыл бұрын

    Aallah akuhifadhi nudin

  • @KO-gi3gp
    @KO-gi3gp2 жыл бұрын

    آللهم افضل سلام عليه ♥️🤲🏽

  • @rc4370
    @rc43704 жыл бұрын

    Inshaa lah waislam kumbukeni kujenga hospitali na vyuo vya Kati ufundi na vyuo vikuu

  • @mohamadbakar7203
    @mohamadbakar72033 жыл бұрын

    mashalaa

  • @sulimounsulimoun699
    @sulimounsulimoun6998 жыл бұрын

    Mgema akisifiliwa tembo huitilia maji Ndivyo kisshki

  • @medymtoro7403
    @medymtoro74033 жыл бұрын

    Naaaaam shekhe umezungumza ki ilmu

  • @tiffahbby3697
    @tiffahbby36975 жыл бұрын

    Asallama Allayku Sheikh Alhatimy naomba namba yko kakangu

  • @abdulhalimmohamed3643
    @abdulhalimmohamed36436 жыл бұрын

    Kishki ıkiwa Allah subhanahu wataalaa na malaikat wake wameswalia mtu sallAllahu alayhi wasallam je sisi tunaweza kumpandisha deraja kuu zaidi?

  • @mugabekazimiriam6693
    @mugabekazimiriam66933 жыл бұрын

    shekh mimi kwa maoni yangu mimi huyu kishki ni muwahab wale mashekh ambao wanakuja kuuvunja uislam sababu wote wanakuja na sauti yao

  • @tajireco
    @tajireco5 жыл бұрын

    Naomba kujua jina la kasida iliyopo kwenye CD ya majibu anayotoa sheikh Alhady

  • @maryamoman5926
    @maryamoman59265 жыл бұрын

    Subhanaallah

  • @asiamsellem9562
    @asiamsellem95627 жыл бұрын

    kama mtume ananufaisha kwann asimnufaishe ami yke na yy mwnyw kwni alikua akishinda na njaa baadhi ya C ku.na kudhuru mbona hakuweza kuwadhuru waliokua wakimkera na kukusidia hadi kumuua. nani mwny uezo huo thn actumie uwezo wake

  • @alimaalima6016
    @alimaalima60166 жыл бұрын

    Subhana Allah

  • @twaibungwira8843
    @twaibungwira88436 жыл бұрын

    Bismillah rahman rahim,Hivi waislam tunaenda wapi mbona kila kukicha ni kukosoana tu ,Yaani waislam wa zama hizi baada ya kuungana ili kuusambaratisha ukafili,wao wanafitiniana wenyewe kwa wenyewe,Jamani waislam tuungane siyo kufehezesheana haifai tumwogope mungu,mambo ya kuwahusia waumini yako mengi nyinyi mmeacha kuamrishana kazi kupondana tu,waislam tuwe kitu kimoja kama mtu amekosea zipo taratibu siyo tuchafuane mitandaoni sio vyema hivyo

  • @zainabudave1799
    @zainabudave17994 жыл бұрын

    ALLAHU AKBARU

  • @asiaissa976
    @asiaissa9763 жыл бұрын

    وعليكم السلام ورحمةالله وبركاته

  • @nccmndnd8065
    @nccmndnd80657 жыл бұрын

    kweli yako

  • @rachelevarist70
    @rachelevarist704 жыл бұрын

    Kishk usitake kilakitu unakijua sio vizuri usilazimishe watu wote tuwe wahabia sio siri wahabia nawachukia sana mmekuja kutuvurugia dini

  • @slamecktz
    @slamecktz8 жыл бұрын

    Shekh AL-Hatimy Mwenyezi Mungu akuongezee umri mrefu na akuongezee hekima uendeleee kuitangaza dini ya haki ya Mwenyezi Mungu.

  • @mugabekazimiriam6693
    @mugabekazimiriam66933 жыл бұрын

    mazuri mazuri yaku laghaii watou na vuarabu vingi sana basi sisi ma amuma tukisikia viarabu vingi basi tuna sema huyo ni shekh mkuuu kbs

  • @bdulkadirmahsen1826
    @bdulkadirmahsen18268 жыл бұрын

    kishki mbona hujui kupima maji na unga wafananisha mtume mtukufu na rais wa tanzania

  • @mannuhussein1601

    @mannuhussein1601

    8 жыл бұрын

    😠

  • @fetysukafetysuka9056
    @fetysukafetysuka90563 жыл бұрын

    Shekhe Allah akuongoz maana wewe huna unalolijua zaidi yakukosoa wenzio

  • @noffelsalim830
    @noffelsalim8302 жыл бұрын

    Kishki anapotosha tu

  • @RekhaRekha-es8br
    @RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын

    MASHA LLAH shekh wetu

  • @bintshariffmuhammad620
    @bintshariffmuhammad6203 жыл бұрын

    ALLAHUMMA SWALI WASALIM ALAYH

  • @chrisbrown9657
    @chrisbrown96574 жыл бұрын

    Nam sheh Sisi tuko comoro wahabi wanatuharibia mambo mengi

  • @abdulrahmanbakar5416
    @abdulrahmanbakar54168 жыл бұрын

    dah kusoma ni muhimu sanaa

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v4 жыл бұрын

    Kishki uko sawa kabisa

  • @seifpandu9051
    @seifpandu90516 жыл бұрын

    Lau wakusanyike watu wote ili wakunufaishe mpaka mtume awemo hawatakunufaisha isipokuwa alilolipanga Allah na wakikaa kukudhuru pia hawatakudhuru ila alilolipanga Allah. Naona kama hapa pana shirki mtume hajuwi kinachoendelea duniani kafa kama waliokufa wengine

  • @mohagurey2214
    @mohagurey22143 жыл бұрын

    The heading looks nice but there is nothing he corrects but just make a comedy

  • @minaminaa1669
    @minaminaa16696 жыл бұрын

    MashaAllah kwa elimu yako

  • @swafiamohammed1708
    @swafiamohammed17085 жыл бұрын

    Astaghfirullaaah! Kishk salaaaala yaonekana una chuki na mtumi wetu Muhammad SALALLAHU ALAYHI WASALLAM mpk wamlinganisha na raisi? Ati Mtume hadhuru wala hanufaishi! Inna lillah wa inna ilayhi rajiun

  • @lolooman9170
    @lolooman91704 жыл бұрын

    Mtume Muhamad kapata wahay kwa Allah na yeye anamtegemea Allah jalajalal

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi93132 жыл бұрын

    Kishk akasome asipotoshe watu

  • @abdulkarim7856
    @abdulkarim78567 жыл бұрын

    طيب: العلم اولي من مواقف

  • @ismailiidarusi132
    @ismailiidarusi1325 жыл бұрын

    nimesoma zote ila comment ya asia mselem ndiyo kaongea kweli

  • @yassiralbajun5065
    @yassiralbajun50654 жыл бұрын

    Husda sio jambo zuri hata kidogo

  • @bashmargasalmy225
    @bashmargasalmy2258 жыл бұрын

    kishki sifa tuu mmh hatari Subhallah

  • @saidbakhlaaofficialchannel3950
    @saidbakhlaaofficialchannel39503 жыл бұрын

    Hiko kishehe kishki kina matatizo ya ubongo.

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079

    @nooraallahuakibarumwenyeez3079

    3 жыл бұрын

    Hhhhhhh

  • @eliasamudiki9794
    @eliasamudiki97947 жыл бұрын

    kishki rudi kasome brother.tabu yenu mnaabudu mishahara

  • @thabitikioza6727
    @thabitikioza67274 жыл бұрын

    Kama yupo serious akutane na wahusika ana kwa ana wafanye mdahalo

  • @docdicha1131
    @docdicha11314 жыл бұрын

    Iman yangu ktk Islam mwanzo wake ni maisha tu ya mtume (S. A. W). Watu hawaelewi point kubwa ktk jambo hili vijana wangapi wame dhurika na wasanii? Na wangapi wame pata Imaan kutokana na watu wema? Allah atulinde sote.

  • @saidzainabomar1650
    @saidzainabomar16502 жыл бұрын

    TAKBIR

  • @alhabibismail3031
    @alhabibismail30314 жыл бұрын

    Alafu sioni haja ya kukusoana huku, uislamu hauna sfa izi..tujarbu kufanya vtu vnavyoleta umoja kuliko kutukosanisha Inshallah

  • @mfaumeatimwanga9227
    @mfaumeatimwanga92275 жыл бұрын

    sijuwi kama unahabari kama huku mitaani yamepungua kiasi kikubwa. watu hawana mpango nayo.pole sana shekhe

  • @abuuabdulrahmanhafidh8443
    @abuuabdulrahmanhafidh84438 жыл бұрын

    qul inni laa amliku dhwarran wala rashada

  • @haleemasulthan4894
    @haleemasulthan48944 жыл бұрын

    Kishik yupo sahii sana

  • @kenyanforever260
    @kenyanforever2605 жыл бұрын

    Allah awastiri mashekhe nyote wawili bali watu hawarekebishani kwa mavideo Hio ni riyaa. Kama kweli mnataka kurekebishana ni muitane mupange cha rekebishana sio kwa mavideo...

  • @mbossowcb1915
    @mbossowcb19154 жыл бұрын

    Kishk hana ilim ndio sababu kila aongealo anakosolewa

  • @abuuabdulrahmanhafidh8443
    @abuuabdulrahmanhafidh84438 жыл бұрын

    sheikh kishki allah amhifadhi na aelewe na aikubali manhaj iliyosalimika na bidaa na shirki

  • @thabitikioza6727
    @thabitikioza67274 жыл бұрын

    Msidhani kama anabishana na shk ana kwa ana bali yeye na cd

  • @amohamed6948
    @amohamed69488 жыл бұрын

    Alhamdulillah Sh Kishki amesharekebishwa katika kuwakufurisha wengi wanaopenda kuisoma wasila Shafi. Kwa hivyo ilo baki aje mbele ya mimbar aombe msamaha siye nyie.. Ikiwa hawezi basi asiengilie mambo ya mizozo kwani yaonekana ya kuwa Shaikh Al Hady hayupo tayari kumuacha apumuwe. Wapenzi wa Kishki nothing personal. Take it easy and see where truth lies,

  • @mohammedhamad9392
    @mohammedhamad93924 жыл бұрын

    Swadakata

  • @abusufyan2952
    @abusufyan29524 жыл бұрын

    Munashindana ama

  • @jabirimabada3967
    @jabirimabada39676 жыл бұрын

    Nakuomba nakuomba kishki kasome upya maana huna lolote nisauti tuu kinanda

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes3 жыл бұрын

    Kwa upande wa maurid shekhe Kishk yuko sahihi. Kuna qasda haramu kabisa na nmewahi kuskia kwa mashekhe pakstan, ndomana wengine awapendi kabisa madufu yenu ni mangoma huwezi msherekea Muhammad aliyakua hata sunna ya ndevu mtu hana wanaimba qasda za vijembe nawana dancing hakika ni bidaa kubwa na maaswiya.

  • @mohammedhamad9392
    @mohammedhamad93924 жыл бұрын

    Mapambano nani zaid Mie nixhamjua astaghfllah

  • @alishariff8657
    @alishariff86575 жыл бұрын

    Kishki ni celebrity sio sheikh hata kua bahati mbaya.

  • @sharifmuadham2454
    @sharifmuadham24546 жыл бұрын

    wehunslolote. unaonekana km.unaupinzani.na (kishki

  • @alikaisaak3771
    @alikaisaak37716 жыл бұрын

    Never judge someone in public if u see ur correct tell him in private not public

  • @awadhhadi446
    @awadhhadi4464 жыл бұрын

    Huyu kishki anajifanya ana ilmu sana kumbe hana k2

  • @madarakambegu4977
    @madarakambegu49775 жыл бұрын

    shekh umesoma lakini elim yako hauna elim nayo waislam wanarekebishana sio kukosoana mitandaoni

  • @khadijahussein692
    @khadijahussein6926 жыл бұрын

    Acha izo shekh mbona unakata hiyo CD, sababu kitu najua mm ni kuwa Sheikh Nurdin anapoanza khutba lazima amsifu Nabii Mohammad (S. A. W) kwa sifa zinazo stahiki acha kusema hivo

  • @twayibmood7319
    @twayibmood73194 жыл бұрын

    Kishki yupo sawa sawa Anae weza kuzuru na kunufaisha ni mmoja tu Allah s w

  • @Platnumz11
    @Platnumz114 жыл бұрын

    Jamani mtume hawezi kuzuru ila ni Allah tu

  • @salehkhamis9978
    @salehkhamis99785 жыл бұрын

    sheikh kishki upo sawa endelea kuelimisha jamii

  • @user-tl2jz5wg2p
    @user-tl2jz5wg2p5 жыл бұрын

    من أحدث في أمرنا هذا ماليس منه فهورد

  • @OmarOmar-jh8sq
    @OmarOmar-jh8sq5 жыл бұрын

    Zako n chuki tu na kishki wala si kitu nyingine ju ata kama ingekua io kukosoa lkn ungetumia lugha ambayo yaonyesha kukosoa lkn ww watumia kejeli ,,,,,Hakika ya Allah ndie hakimu mkuu kati ya wewe na huyo kishki na walimwengu woote kwa ujumla na kila mmoja Allah anamjua nia yake vyema

  • @omaryhaytham6567
    @omaryhaytham65677 жыл бұрын

    kishk km mashia vile

  • @husseinkazungu5101
    @husseinkazungu51018 жыл бұрын

    huyo kishki akasome kwanza

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    8 жыл бұрын

    +kishki,tafadhali usichafue uislam kama ulipewa dollar za American uje uchafue uislam,muogope MUNGU,muogope MUNGU,muogope MUNGU,muogope MUNGU

  • @user-qs9rn2je4c

    @user-qs9rn2je4c

    6 жыл бұрын

    Hussein Kazungu źma