Siku ya Arafa ni Lini :: Ust. Mbarak Ahmed Awes

Пікірлер: 70

  • @salmaswalehomar9719
    @salmaswalehomar97193 жыл бұрын

    Hapo shekhe umenimaliza kwa kufutwa kuwailimisha washinda Allah akuweke akupe umriii mrefuu naafiya nanguvoo yakuitumikiya diniii 🤲❤💯

  • @mohamedabubakar9852
    @mohamedabubakar98523 жыл бұрын

    Mashallah Tabarakallah...Umefafanua kwa Uwazi..uwamuzi ni wetu sisi...Shukran Habib ALLAH akuhifadhi...Ameen

  • @khamisijuma3167
    @khamisijuma31673 жыл бұрын

    Sheikh uko vizuri umetuzindua Allah akujaze elimu zaidi

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis72455 жыл бұрын

    Siachi kukuombea dua shekh wangu kwa utulivu ninaopata kupitia darsa zako Alla akulipe Jannah

  • @zubeirahmad219
    @zubeirahmad2195 жыл бұрын

    Yaani Wallahi kama utaamua kumsikiliza huyu Sheikh,basiii wallaahi hauhitaji hoja yoyoote wala kubisha maana kiila kitu kikowaaazi kabisaaaa

  • @adamnssirisiri9338
    @adamnssirisiri93385 жыл бұрын

    Mashallah umenisomesha Alhamdullah

  • @abdallaramadhan3850
    @abdallaramadhan38504 жыл бұрын

    Mashaa Allah tumekuelewa vizur sana,Allah akulipe kheiyr na fauza fiyl dunniya wal akheyr.

  • @abdulnadhiffakizubeir6185
    @abdulnadhiffakizubeir61853 жыл бұрын

    Asant Sana maalim umefafanua vzr Allah akujaalie kila la kheri

  • @hakimtamimi26
    @hakimtamimi265 жыл бұрын

    Jazaka Allah kheir ustadh

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis72455 жыл бұрын

    Baaraka LLAHU fiiku Allah atakulipeni kwa juhudi zenu zakuelimisha Umma uliozingirwa. na utata huu ulioingizwa kwa makusudi. ktk jamii za waislam

  • @zulfasultan8948
    @zulfasultan89483 жыл бұрын

    Shukulani Jazeera shehe Alihadullilah kwa kunisomesha

  • @abdullahiiddi4109
    @abdullahiiddi41093 жыл бұрын

    Allah akujaalie afya yenye kheri tuzidi kunufaika katika Mafundisho na. Makumbusho mazuri kabisa sheikh. Allah atuezeshe kufwata maamrisho.

  • @ramadhanimakange9766
    @ramadhanimakange97663 жыл бұрын

    Kaka uko vizuri sana Allah akuzidishie Ilmu yako.

  • @hajigahimbare579
    @hajigahimbare5795 жыл бұрын

    بارك اللّه فيك يا حبيب👏

  • @mpondamedia2416
    @mpondamedia24163 жыл бұрын

    jazaaka rrahmaani khayra shaikh Mbarak Ahmed Awes

  • @kasimuayoub6666
    @kasimuayoub66665 жыл бұрын

    Allah akubariki Allah akulinde na husda wallahi faida imepatikana....Allah akulipe kheri. Ila nataka faida kuhusu Siku mbili alizowakuta nazo bwana mtume watu wa madina wakisherehekea ni zipi

  • @swalehalhabshy6575
    @swalehalhabshy65755 жыл бұрын

    Ahsaaantaa habiby mbarak ....jazakallahu kheeiyrr

  • @abdulqahirhassan3003
    @abdulqahirhassan30033 жыл бұрын

    Kilichobaki ni sisi kufata tu.,, INSHAALLAH kila kitu kimeelezewa vizur

  • @salumidd7536
    @salumidd75364 жыл бұрын

    shukran shekh Wabishi wapo toka enzi ya mtume ten wabishi sio sas hiv zimebaki copy zao tu kwa ufupi umeeleweka san

  • @binabeid7322
    @binabeid73225 жыл бұрын

    Masha Allah umenitowa kizan sheikh mwenyezimungu akulipe kila la kheir

  • @salamakhamis8092
    @salamakhamis80923 жыл бұрын

    Allah akuhifadhi Yaa Sheykh

  • @mussaally2369
    @mussaally23695 жыл бұрын

    maashaa'allah nampenda sana masomo yake yapo makini sana ALLAH amlipe jannah

  • @AhlusunnahWalJamaa

    @AhlusunnahWalJamaa

    5 жыл бұрын

    Amin

  • @abuibra
    @abuibra5 жыл бұрын

    AZAKALLAH KHEIRAN,ALLAH AKUZIDISHIE KILA LA KHERI KHUTBA ULIO TOA IMETOA SHAKA KATIKA NAFSI ZA MA’MILIONI YA WAISLAMU SHUKRAN YA SHAIKH.

  • @khatwibutv9091
    @khatwibutv90912 жыл бұрын

    Allah akulipe Bora ya jazaa

  • @hamadamaani2516
    @hamadamaani25165 жыл бұрын

    الله يبارك فيك شيخنا الجليل

  • @khamisyasin3276
    @khamisyasin32765 жыл бұрын

    Mashaallah jambo liko wazi kabisa

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan14003 жыл бұрын

    Asante sheikh, na ya mwaka huu pia ni Jumatano

  • @yusarjunkhanna4100

    @yusarjunkhanna4100

    3 жыл бұрын

    Dalili za idd ziko wazii, kwahvyo wa jumatano pia ni siku ya Pili ya idd hakuna nenoo

  • @francinensavyimana5601
    @francinensavyimana56014 жыл бұрын

    Ulipo kabisa sahihi sheikh

  • @inabikorwaneema8815
    @inabikorwaneema88155 жыл бұрын

    Barak'Allahu fiiQ

  • @kubraislam7524
    @kubraislam75243 жыл бұрын

    Mashaallah,shekh

  • @jiongezeemaarifa1496
    @jiongezeemaarifa14965 жыл бұрын

    ماشاء الله

  • @mwalimameir4305
    @mwalimameir43053 жыл бұрын

    Wewe ni msomi wa wasomi.

  • @rashidkadui9950
    @rashidkadui99505 жыл бұрын

    Allaah ukulipe shekhe

  • @mustafakiluagianabakiejama9648
    @mustafakiluagianabakiejama96485 жыл бұрын

    Hongela Shekhe wetuu

  • @zubeirahmad219
    @zubeirahmad2195 жыл бұрын

    Nampenda sana huyu Sheikh Mbarak Ahmed Awes

  • @lelaallububa5739
    @lelaallububa57395 жыл бұрын

    Jazak lah khaira

  • @hassansaidy3827
    @hassansaidy38275 жыл бұрын

    hawa mawahabi huwa hawana hadabu hupendasana kumezeshwa kuliko kusoma shekh umeeleweka

  • @amirybeka9602
    @amirybeka96025 жыл бұрын

    shukran sheikh mbarak

  • @ummulkheir8321
    @ummulkheir83215 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @hudishehdadi7790
    @hudishehdadi77905 жыл бұрын

    Allah baarik

  • @nassirabrahman4126
    @nassirabrahman41265 жыл бұрын

    Mashallah

  • @mwanahamisjuma3361
    @mwanahamisjuma33615 жыл бұрын

    Nashkur sheikh kwa kutuelimisha mana kuna redio huku tanga nimeskia inasema lazima tufange sawa na watu wa Makkah na jmos haifai kufunga nashkur sana Allah akulipe

  • @khashimhashim3739
    @khashimhashim37393 жыл бұрын

    Clear

  • @samiasadiki2928
    @samiasadiki29283 жыл бұрын

    Yeye anatoa ufafanuzi kazi iko kichwani kwako ukitaka fuata maelezo yake Kama hutaki umfuate unae muamini yote sawa tu.

  • @mohameddhussein6164
    @mohameddhussein61645 жыл бұрын

    Sasa shekhee iyi swaumu iliitwaje kabla ibada ya hajji kuwepo

  • @junaytadarwesh4708
    @junaytadarwesh47085 жыл бұрын

    Well said. Asiyefahamu hapo basi tena. Tumejichanganya na hili neno Arafa. Arafa ni tarekh 9 mfungo 3. Sahih kabisa.

  • @mohamedbadru8005
    @mohamedbadru80055 жыл бұрын

    Shekh umeeleweka saana sema ubishi wa mwanadam uko pale pale vijana humu wengi hawajasoma wanataka waende na usasa mpaka kwenye masuala ya Dini hata mitume waliwaambia watu wao ukweli ila bado wakaendelea kuwapinga mpaka wakakutwa na maangamizi Allah akulipe kheri uendelee kutuelimisha

  • @masoudsalim4745
    @masoudsalim47455 жыл бұрын

    mashaAllah ALLAHU Barik

  • @twalibalihamza280
    @twalibalihamza2804 жыл бұрын

    Sasa hawa mawahabi mbna wanapotosha watu haya mambo yakowaziiiiiii

  • @jokhasaid8666
    @jokhasaid86665 жыл бұрын

    Watu siku hizi wanajichanganya wenyewe. Kila nchi kuna kadhi/muft mafrudh watu wafate mufti wa nchi yao.

  • @husseinally1318
    @husseinally13183 жыл бұрын

    Sheikh nina ombi naomba unifahamishe vizuri kwa kupitia qur-aan tukufu yani nataka kuijua hii aya ktka quraan tukufu inyoeielezea hii arafa na swaum ya arafa. Mana ukisema ufuate madhehebu utajikuta kuna mtihani wa kubadilika leo huku kesho huku na ni mtihani mkubwa huu tulionao wa mizozano. Allah atujaalie tuwe ni kuiepuka mizozano hio

  • @husseinally1318

    @husseinally1318

    3 жыл бұрын

    Tuwe ni miongoni mwa wanaoiepuka mizozano hio

  • @yassinmmbwera9273
    @yassinmmbwera92735 жыл бұрын

    Hivi hawa Masheikh wetu kuna anayetoa Fatwa kwa Ufahamu wake. Jibu hapana.. fatwah zao wote ktk vitabu vitabu vitukufu Pamoja na vya Maimam wetu, Imam Shafii, Imam Malik na kadhalika hakuna anayejitungia.

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar37384 жыл бұрын

    Shekhe wewe Ni Fundi.

  • @yassinmkubwayassin688
    @yassinmkubwayassin6885 жыл бұрын

    Haijawahi kutokea... tokea kuumbwa kwa Dunia nchi mbili zilizo kuwa katika ukanda mmoja wa Dunia yaani Latitude moja, Alfajiri ya nchi mbili hizi ni sawasawa, Adhuhuri huwa wakati mmoja, Laasiri, Insha, nchi mbili hizi hazitafautiani...na ikiwa nchi moja ni Jumatatu na nyengine huwa Jumatatu iwe nchi hizi mbili zina tafautiana ki,matalii haiwezekani kabisa.

  • @ustzsele66
    @ustzsele663 жыл бұрын

    Mpelekeni kwa sheikh Abdallah Humeyd aksome .Mana apotezaweng

  • @jaffarmguwa5566
    @jaffarmguwa55665 жыл бұрын

    Msituletee khabari za masheikh na khitilaaf.... Mwandamo ni mmoja na udhuru Wa kila mtu kufunga kivyake umekwisha .... Ka ma mtume amefunga na kufunga kwa kupewa habari sisi nanai mpaka tusifunge.... Siasa NDIO zinazoharibu uislam.....

  • @mussashaaban3136
    @mussashaaban31365 жыл бұрын

    Hao kwasababu wako nyuma ya masaa Mwenyezi Mungu atawalipa wala hawatakosa fadhila za siku ya Arafa, kwa sisi ambao hatujatofautiana hata saa moja ni wajibu kufunga pale mahujaji wanapokua kwenye viwanja vya Arafa

  • @harunhassan5237
    @harunhassan52375 жыл бұрын

    Sheikh hao watu washam na madina je mpaka leo wafunga mbalimbali

  • @111simplifier3
    @111simplifier35 жыл бұрын

    kielimu sheikh bdo hajaeleza kitu daaah ijapokuwa ni bngwa kwa watu wasiokuw na upeo wa kielimu

  • @yahpinfo16
    @yahpinfo165 жыл бұрын

    Shekh katika dunia hii hakuna nchi inayo pishana na mecca kwa siku wote tupo ndani ya msaa 24 nchi iliyo pishana sana ni masaa 9 hii kauli yoko kuwa wao wapo katika siku nyingine haina mashiko

  • @harunhassan5237
    @harunhassan52375 жыл бұрын

    Na kama suudia akupangia hajj na huko kwenu tarehe haiko sawa na muandamo ya mwezi sasa hajj yako iko sawa ukienda,maana suudia wameona mwanzo na wewe kwenu kabla kusafiri hamujauona mwezi

  • @ziadazidi2658
    @ziadazidi26585 жыл бұрын

    Sheilh hauna hoja unababaika tu

  • @yahpinfo16
    @yahpinfo165 жыл бұрын

    Pili una nukuu mashekh na maulamaa wanao pendekeza kufunga kila mtu kulingana na mwezi wa kwao je ni wanazuoni wate duniani wana unga mkono kila mtu kufunga kulingana na mwezi wa kwao na kama wapo kwanini hutoi hoja zao watu wazipime unaonekana una upande wako ndiyo unajaribu kuelekeza watu huko kwani mpaka unaona watu wana fuata mwezi ama arafa ya mecca juma kuna wanazuani wamejenga hoja zikaeleweka kama wewe ulivyo waelewa wakwako

  • @deluxermahyono5290
    @deluxermahyono52905 жыл бұрын

    Kwani miezi iko mingapi duniani? Kwahiyo arafa ni nini? Ila mnatuchanganya sana jamani. Inamaana arafa ni siku ya 9 na co kisimamo cha arafa? Sasa ww hauko Tokyo mbona! Ni sawa na kusema ww ni myahudi mweusi. Mfano unaotoa mbona haiingii kwa akili.

  • @hanzunimgogoro5722
    @hanzunimgogoro57225 жыл бұрын

    Mashallah

  • @hanzwala9704
    @hanzwala97043 жыл бұрын

    Mashaallah

Келесі