Sheikh Suleyman Kilemile (SEHEMU YA PILI)

Ойын-сауық

Пікірлер: 168

  • @mrafm7285
    @mrafm72854 жыл бұрын

    Mashaallah ukweli ambao hauna shaka Allah akurehem

  • @salamapwepwe8857
    @salamapwepwe88572 жыл бұрын

    Alhamdullillah, Allah amerehem Shekhar huyu na amngarishie qabri yske

  • @bijojawas6581
    @bijojawas65815 жыл бұрын

    Sheeee bwana uwelewi na uweleweki. Unasema duniani kote siku ni moja. Then eid sio siku moja daaaaah.

  • @humudmarhoon8044
    @humudmarhoon80445 жыл бұрын

    Huyu shekhe inataka uwe na elimu kidogo ndio.umuelewe Mashaa Allah jembe sana hili.ktk ilmu

  • @hemedirisasi3344

    @hemedirisasi3344

    5 жыл бұрын

    Hongera sheikh kwa kuweka wazi ufafanuzi

  • @ummatchannel4300
    @ummatchannel43005 жыл бұрын

    Sheikh umenikunaaaa sanaaaaa. Allah akupe kheir nyingi.

  • @muhamedkarugendo7320
    @muhamedkarugendo73205 жыл бұрын

    Mungu akuripe kunamashekhe jina uisiramu wareo sio wajana mashekhe mfateni mwendo wa kiremire

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh2034 жыл бұрын

    Shekh suleiman ALLAHU YARAHMU

  • @abubakarnabahani4994
    @abubakarnabahani49945 жыл бұрын

    وما يعقلها إلا العالمون

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora66245 жыл бұрын

    SHEIKH ANATAKIWA AWE KAMA HUYU..ANAELEWEKA SIO ULE UJUAJI

  • @rashidmohamed1949
    @rashidmohamed19495 жыл бұрын

    Allah akulipe khr. Amin umefundisha vyema

  • @sasangham8281
    @sasangham82815 жыл бұрын

    Masha’Allah kazi nzuri Babdeo!

  • @abdulkadirbakhawar8896

    @abdulkadirbakhawar8896

    5 жыл бұрын

    Umefafanua shekhe sio yule anaeonea choyo shule za watu na taasisi za watu

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g5 жыл бұрын

    ARAFA ISHAKUWA SIYO MOJA KUMBE !!! TWENDENI TU TUTAFIKA PAZURI IN SHAA ALLAH

  • @azizauledi4108
    @azizauledi41085 жыл бұрын

    Inshaa Allah sheikh Allah akupe subra ndio hali ya ulimwengu ilipo fikia masheikh mnatafautiana majahilia wanashangilia na kutoa lugha chafu na ili hali hawana elimu yyt msiba kwa kweli waislam wengi mbumbumbu .Allah atuhurumie.

  • @othmanluheya2677
    @othmanluheya26775 жыл бұрын

    Shekh hata mimi nipo China nimefunga jumamos na kuswali jumapili na tumepishana masaa sita to na katika dunia hakuna nchi tuliopishana masaa 24 hata moja na kubadilika law siku ni baada ya masaa 24

  • @jamalbahdela524
    @jamalbahdela5245 жыл бұрын

    Hebu kwanza kaeni mawahabi , mjipange upya na si aibu kurudi ktk mstari maana kwanza wenyewe kw wenyewe mnatofautiana hivi hamna shekhe nyinyi kila mmoja msemaji, kishki kasema, mohamad issa mara kilemili na wote mnatofautiana lkn maashaallah Al allama sheikh Muhammad Idd kasimama kwny dalili kila mkija mnadunda , wote watatu mmechemka. Kaaeni mtafakari na mkumbuke akhera.

  • @akiikilongo5691

    @akiikilongo5691

    4 жыл бұрын

    Inalillah Wainalillah Rajiun,shekhe fanya Istighfari

  • @abuuhamzafadhil5755
    @abuuhamzafadhil57555 жыл бұрын

    Dini hii kama unachunga mbuzi wengi hatujasoma kazi yetu kulaumu mara huyu kasema hivi mara huyu hivi, kitugani hakijaeleweka mnafanya dini ngumu kama mayahudi sheikh kilemile kasoma na ana ufahamu mkubwa sana kama kateleza ni binaadam hakuna mkamilifu lazime tujifunze adabu ndugu zangu tuache ushabiki kama hujafamu ulize ufahamishwe acheni mambo ya vijiweni

  • @SuleimanOmar-lv5eo
    @SuleimanOmar-lv5eo28 күн бұрын

    Hueleweki sheikh toa point plz

  • @alikirobo141
    @alikirobo1415 жыл бұрын

    Mohd idi keshatuelimisha.sheikh unafarakanisha mfuate mufti wako

  • @alsamr554

    @alsamr554

    5 жыл бұрын

    Kiremile ni halimu kuliko mufti

  • @abdoulfeiysal5705

    @abdoulfeiysal5705

    5 жыл бұрын

    Ali kirobo poteza muda wako ukasome dini usimfate mtu yaumuli kiyama wote watakuruka

  • @hijazhija316

    @hijazhija316

    4 жыл бұрын

    Kirobo

  • @aminamodi8927
    @aminamodi89275 жыл бұрын

    SHEKH SULEYMAN KILEMILE NAKUOMBA BABA TWENDE NA DATA NAONA HAPO UMESHIKA MAKARATASI HATUJUI MANENO HAYO UMEYATOA KATIKA KITABU KIPI SHEKH MOHD IDD YEYE ALIKUA NA VITABU 3 AKITOA DATA PLEASE USITUCHANGANYE TUKAWA KAMA KONDOO WALOPOTEA

  • @twaariqahmad7249

    @twaariqahmad7249

    5 жыл бұрын

    Wew hukumfuatilia tangu ile part ya kwanza Vitabu kataja huko Wenye misimamo yenu mckurupuke angalia hoja cyo ngariba n mimi niwe ngariba

  • @madarakamarumbo6102

    @madarakamarumbo6102

    5 жыл бұрын

    Fuatilia part 1 kataja vitabu

  • @ngwalimahingika4873

    @ngwalimahingika4873

    4 жыл бұрын

    Kina wengine hujifanya haoni haliyakua wanaona hujifanya hawasikii kumbe wanasikia kwahiyo hatushangai nahiyo comment yako

  • @muhidinali8180
    @muhidinali81805 жыл бұрын

    ولوعلم الله فيهم خيرا لأسمعهم ولوأسمعهم لتولو وهم معرضون

  • @japharytwaha8552
    @japharytwaha85525 жыл бұрын

    Shegh umesoma vizuri umetutoa kimasomaso kwa wasio kuwa waislamu ndio maana huwa wanaaema Sisi eti hatukusoma sasa sheghe umeonyesha kuwa waislamu tumesoma

  • @abdulmamboya4561
    @abdulmamboya45614 жыл бұрын

    shekhe faswaha sana lugha uliyotumia

  • @mrsalam1094
    @mrsalam10943 жыл бұрын

    Saa mm sielewi maana kuna mwigine anasema arafa ni moja dunia kote na nipale mahujaji wako kweye viwaja vaya arafa hapo dio mtihani upo mm nimemuelewa saana maana yule aliye sema arafa inaswuhi pele watu wame simama n yy akauluza nje wale ambao mahujaji wamesima kwao wao niuck mulewe kiswahili

  • @nyanyambuli7163
    @nyanyambuli71635 жыл бұрын

    ALLAH AKBAR MASHEIKH WAKE HAWAKUA RADHI KATIKA YEYE KULITOLEA UFAGANUZI KWA ANAVYOTAKA YEYE NDIO MAANA KILA AKIZUNGUKA ANARUDI PALE PALE KWENYE 9 NASI KUWAANGALIA MAHUJAJI KUPITIA BBC DIRA YA DUNI AU DW AMA REDIO AMERIKA NAWALA SI CCTV KAMA WATOAVYO DALILI MASALAFI(MAWAHABI).

  • @yassinmmbwera9273

    @yassinmmbwera9273

    5 жыл бұрын

    Hivi hawa Masheikh wetu kuna anayetoa Fatwa kwa Ufahamu wake. Jibu hapana.. fatwah zao wote ktk vitabu vitabu vitukufu Pamoja na vya Maimam wetu, Imam Shafii, Imam Malik na kadhalika hakuna anayejitungia.

  • @shosiabdalla6880

    @shosiabdalla6880

    4 жыл бұрын

    Vitabu vyote vya fiqihi vyasema arafa ni siku ya tisa ya mwezi wa dhulhijja wala havisemi ni wuqufu arafah hayo alosema sheikh kilemile hayana maandishi nakama yana maandishi ni kitabu gani

  • @aishamalaki116
    @aishamalaki1165 жыл бұрын

    Hawa walio tangulia kwa masaa wanaanza kufunga mchana kwa hiyo swaumu yao inaanza kufungwa mchana? Hali yakuwa swaum tunavyoelewa inakufungwa kabla ya alfajir kuingia! Shekh tuweke sawa hapo! Halafu na maswali yangu nakuuliza kabla ya teknolojia kuja wewe kilemile ulikuwa unafunga vipi? Na sunna hassa kufunga kwa teknolojia au kama alivyo funga MTUME WETU MUHAMMAD ( SWA)?

  • @abdoulfeiysal5705

    @abdoulfeiysal5705

    5 жыл бұрын

    Wewe nitafute mimi mwanafunzi wa shekh nitakujibu hupaswi kujibiwa na shekh

  • @akiikilongo5691

    @akiikilongo5691

    4 жыл бұрын

    Bibi Aisha kwa Elimu yang dogo issue hapa iko hivi dunia yetu aliombele zaidi na yule wa mwisho hawajatofautiana kwa saa 24 mfano wakwanza saa tano usiku alafu arafa ikaingia makka means asubuhi yake lazima afunge arafa au aswali IDD Insha Allah ,ALLAH (S.W) NDIO ANAYEJUA ZAIDI

  • @adamjutto5849

    @adamjutto5849

    2 жыл бұрын

    mtume alipoulizwa una funga j tatu kwa ajili ganii,alisema ninafunga kwa sbbu ndo siku nliyozaliwa,kwa hyo tujaalie mtume alizaliwa mchana,ili upate malipo lamza uanze kufunga mchana?

  • @kanoa645
    @kanoa6455 жыл бұрын

    Swaddacta shekh Kilemile umenipa raha maana watu hapo ndo wanapopata tabu kwa sababu ya kutotulia na kuelimishwa kuhusu mzunguko wa dunia na sayari. Dunia haina siku mbili ila tunapishsna tu.

  • @muhidinali8180
    @muhidinali81805 жыл бұрын

    juma katema kasome fiqhul islami wa adillatuhu jawabu utaipata kama huna elim juma nyamaza suleiman kilemile amesoma kwa sheikh mohamedi ayubu kisha akasoma makkah

  • @salumkomba7682
    @salumkomba76825 жыл бұрын

    Sheikh wangu sijakuelewa kabisa

  • @sabraham5308

    @sabraham5308

    5 жыл бұрын

    Allahu akbar haki itakuja kwa uwezo wa Allah,Mungu ni mmoja,umma ni mmoja dunia moja,watu ndio tunaotofatuana,Allah akulinde na maadui wa dini yake,kuna wengine hawalipendi hili,kwa maslahi yao,yanayotokana na sababu zao tafauti.

  • @deluxermahyono5290

    @deluxermahyono5290

    5 жыл бұрын

    Na huwezi kumuelewa ikiwa km unamsimamo wa kutojifunza

  • @amirmbuyu5733

    @amirmbuyu5733

    5 жыл бұрын

    Kaa kando Wala hautamuelewa ila kwa rehma za Allah

  • @sabraham5308

    @sabraham5308

    5 жыл бұрын

    @@amirmbuyu5733 Ni sawa kabisa unayoyasema,kama hujamuelewa kaa kando.

  • @mohamedkilemile3058

    @mohamedkilemile3058

    5 жыл бұрын

    Kumuelewa huyu sheikh unatakiwa uwe na education base, kiwango cha chini kabisa uwe na Thanawi, kwa sababu huyu anaongea level ya University, nimeishi nae miaka mingi kabla sijaja ughaibuni nipo Montreal.

  • @mussamalugu1793
    @mussamalugu17935 жыл бұрын

    Basi na sisi iddi imetufikia juma tatu

  • @manswabalbaghdady6957
    @manswabalbaghdady69575 жыл бұрын

    Huyu sheikh nasikitika mane no alosema audio ingine ni tafauti sasa ajitetea maskini mzeee amejichanganya

  • @saidameir5679
    @saidameir56795 жыл бұрын

    wanakuitikia tu sheikh,hawajakufahamu!

  • @mbishambisha7374

    @mbishambisha7374

    5 жыл бұрын

    ربما وقع یوم التاسع فی یوم الثامن بسبب المطالع لان الله علق بالحلال احکاما کثیرا کالصیام والحج

  • @jumakatema6348
    @jumakatema63485 жыл бұрын

    sahihi kabisa shekhe siku ya arafa ni mwezi tisa. bila kujali wamesimama au laa. maana kama kufunga mpaka wasimame arafa je likitokea tatizo huko ktk viwanja vya arafa mahujaji wakashindwa kusimama hakutakuwa na funga?jibu ni hapana

  • @abdoulfeiysal5705

    @abdoulfeiysal5705

    5 жыл бұрын

    Jibu si hapana likitokezea tatizo ikawa hawakusimama arafaa itakuwa hakuna kufunga ya arafa na wala hakuna hijja mana al hajuu arafaa

  • @hamisally5850
    @hamisally58505 жыл бұрын

    Ligi hizo sasa tusubiri atakaechukua kombe tu, maana masheikh hawataki kukaa chini na kuekekezana wanakimbilia kwenye tv na kutoleana maneno tu,

  • @nurdinhemed6
    @nurdinhemed65 жыл бұрын

    Maneno mazur shekh kilemile....lkn yapo ktk kitabu gani?? Yule Muhammad IDD katoa dalili ktk vitabu sichini yavitano pale...sasa hapa kwa shekh kilemile naona kashika karatas tu namaneno matupu

  • @abuuashyam8417
    @abuuashyam84175 жыл бұрын

    Kinachomchanganya abuu iddi nikua anataka wote lazima waanze kufunga alfajiri

  • @yassinmmbwera9273

    @yassinmmbwera9273

    5 жыл бұрын

    Sijakuelewa

  • @junhanbabu1218
    @junhanbabu12185 жыл бұрын

    Hakika shekhe wewe unaelimisha,kabisa asiekuelewa huyo mkaidi tu

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz71584 жыл бұрын

    Kuondoa mzozo huu ni kufuata muandamo wa makka kwa mwezi wa mfunguo tatu bas na kwa miezi mengine fuateni miandamo ya nchi zenu

  • @mutomubaya
    @mutomubaya5 жыл бұрын

    Tujifunze kwa Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam. Kuwaita Ma Sheikh, Wapotoshaji ni matusi au la? ikiwa ni matusi aliyetamka akumbushwe, ubaya wa kutokwa na matusi kwa Waislamu na hasa hawa ambao wanaidhihirisha haki, kwamba kuna kauli mbili za maulamaa. Kwa nini tunaona maovu yanafanyika kisha tunanyamaa?

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis72455 жыл бұрын

    Tobaaa Shekh sijakuelewa. naona unawavuruga tu hao ulio ungana nao kwa Arafa ya Makka hawakubali kwamba arafa inazungumka wanasema ni moja tu

  • @nawawisaalim7173
    @nawawisaalim71735 жыл бұрын

    Mbona hueleweki unacho kuzungumza sasa

  • @jabirhussein4180

    @jabirhussein4180

    5 жыл бұрын

    hahahah

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    5 жыл бұрын

    Wewe ndio huelewi, sisi tunamuelewa sana!!!

  • @xalamlutfih6014

    @xalamlutfih6014

    5 жыл бұрын

    Huelewi nini

  • @alsamr554

    @alsamr554

    5 жыл бұрын

    Tuliza akili utamuelewa ila ukileta ushabiki huwezi kuelewa

  • @maalimrajabu1634
    @maalimrajabu16345 жыл бұрын

    Sheikh wajichanganya mwenyewe mbona

  • @mutomubaya

    @mutomubaya

    5 жыл бұрын

    Eleza Sheikh anajichanganya ki vipi?

  • @yassinmmbwera9273

    @yassinmmbwera9273

    5 жыл бұрын

    Hivi hawa Masheikh wetu kuna anayetoa Fatwa kwa Ufahamu wake. Jibu hapana.. fatwah zao wote ktk vitabu vitabu vitukufu Pamoja na vya Maimam wetu, Imam Shafii, Imam Malik na kadhalika hakuna anayejitungia.

  • @abdukherykhamis73
    @abdukherykhamis735 жыл бұрын

    Huyu shekhe mm nina wasiwasi Nae, miaka ilopita alisema Hakuna khilafa kwenye arafa,dunia nzima imekubaliana kufata tarekhe YA makka, Leo Anakuja anasema anakubali swala hili la Arafa Lina likhalafa, Sasa na Hii ya Leo Anakuja kivyengine anakubali Hakuna afara mojaa,Sasa tumshikilie Wapi, yatupaswa tusome waislam, kwahili mm Ninashaka na Huyu. Hasimami kwenye hoja, nikigeugeu. Haeleweki.

  • @abdulhamidnjovu6031

    @abdulhamidnjovu6031

    5 жыл бұрын

    kwa wenzetu siku ina jumla ya saa 24, ambapo siku inaishia saa 6 za usiku, na siku mpya huanza baada ya hapo. Kwetu Waislamu siku ina saa zinazoshabihiana na hao wenzetu?.

  • @issaisandeko6217

    @issaisandeko6217

    2 жыл бұрын

    Weee ndo hujataka kuelewa anachozungumza

  • @saidnyonzo850
    @saidnyonzo8505 жыл бұрын

    NASHUKURU KWA KUKUKUINGIA MALAIKA NA KUKUTAMKISHA HOJA ZIMEKUISHIA UNGANA NA ABUU IDD MWENYE MASIKIO NA ASIKIE ASIETUMIA AKILI SHAURI YAKE KWAN ATAADHIBIWA

  • @khalfanally9266

    @khalfanally9266

    5 жыл бұрын

    akili yak fupi unamjua vizur shkh kilemile ww

  • @parasuminazi4403
    @parasuminazi44035 жыл бұрын

    Shekh naona unatafautiana namwenzako shekh mohd issa yeye anasema arafa siokabisa mwezitisa kwahio tuendeleeni kutuelimisha than mm nashauri wahabiya nyote kaeni chini than mutoejawabu mojatuu ili tupate kujifunzakutokakwenu nasihuenda tukawanjia iliyosawa lnshaallah

  • @centralzonetvtanzania7313
    @centralzonetvtanzania73135 жыл бұрын

    99999999999999999999999999999 ulazima wa kuipata 999999999999999999 ulazima wa kuipata 9999999999

  • @theworldandcraziestguys2729

    @theworldandcraziestguys2729

    5 жыл бұрын

    Kakaa vp mbn unang'ang'ania 9 tu

  • @hijazhija316

    @hijazhija316

    4 жыл бұрын

    Ushirikina?

  • @centralzonetvtanzania7313
    @centralzonetvtanzania73135 жыл бұрын

    jamani 9 imetiliwa mkazo jamani 9999999999999999999999999999999999999999999999999999999999

  • @theworldandcraziestguys2729

    @theworldandcraziestguys2729

    5 жыл бұрын

    9 ya nini

  • @centralzonetvtanzania7313

    @centralzonetvtanzania7313

    5 жыл бұрын

    @@theworldandcraziestguys2729 Nimemnukuu sheikh wenu alivokua anaongea msikilize tena vzuri

  • @theworldandcraziestguys2729

    @theworldandcraziestguys2729

    5 жыл бұрын

    @@centralzonetvtanzania7313 ndo ameyataja hayo Matisa tisa kama ulivyoyaandika...???!!! Mche Mola wako

  • @centralzonetvtanzania7313

    @centralzonetvtanzania7313

    5 жыл бұрын

    @@theworldandcraziestguys2729 Lkn ktk mazungumzo yake na vitabu alivonukuu yaonyesha tar 9 imetiliwa mkazo sana vinginevyo nirudie tena kuitazama video hii biidhini llahi

  • @theworldandcraziestguys2729

    @theworldandcraziestguys2729

    5 жыл бұрын

    @@centralzonetvtanzania7313 itakuwa kheri...rejea clip zote inshaallah

  • @abujamalaalghammawiy7470
    @abujamalaalghammawiy74705 жыл бұрын

    Hahahahahahah hahahahahaha shehe Mara Anasema Arafa ni moja Mara hatusemi ni mojaaaaaa yaani sheikh hatumpati kabisa

  • @maulidmnukwa3171

    @maulidmnukwa3171

    5 жыл бұрын

    Anasema arafa si moja kwa maana watatofautiana masaa ya kufunga na wala sio siku

  • @abujamalaalghammawiy7470

    @abujamalaalghammawiy7470

    5 жыл бұрын

    @@maulidmnukwa3171 na hakuna anayesema wanatofautiana siku, maana yeye mwenyewe kakariri hicho kitabu chake kinasema Arafa ni 9Dhulhijja, na kila mtu anafunga hiyo hiyo tarehe

  • @maulidmnukwa3171

    @maulidmnukwa3171

    5 жыл бұрын

    @@abujamalaalghammawiy7470 al akhy umemuelewa uzuri kweli mzungumzaji na sehemu ya mwanzo ya msimamo wa mazungumzo yake ulieleweka kweli

  • @allymnzava3818

    @allymnzava3818

    5 жыл бұрын

    Ana maanisha muda ambao wanaanza kusimama Arafa sio kuwa nchi zote zitakuwa kwenye muda huo huo ila ile siku ya Arafa kila pembe ya duni itaidiriki. Haitapita siku ya Arafa bali kila nchi itaipata.

  • @abujamalaalghammawiy7470

    @abujamalaalghammawiy7470

    5 жыл бұрын

    @@allymnzava3818 ndiomaana Allah aliikilisha dini hii tangu zamani, na dini ni nyepesi wala sio nzito. Kadri mashaka yanavyozidi katika dini ndio watu watajitia taabuni bure. Sasa mtu hana TV, wala redio wala simu, kama ilivyokuwa zamani, sijui alifahamu vipi siku ya watu kusimama huko Arafa na yeye akafunga sunna

  • @muhsinsalum8009
    @muhsinsalum80092 жыл бұрын

    Nimeelewa kua: kumbe ARAFA haijulikani ni lini. Hivo twatakiwa kubahatisha. Hata ukiona mwezi muandamo wewe FUNGA tu kwa kububia maana kipimo cha mwezi muandamo hakifanyi kazi tena. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mirajisalum7084
    @mirajisalum70845 жыл бұрын

    Shekh huelewi hata unasema nn

  • @yassinmmbwera9273

    @yassinmmbwera9273

    5 жыл бұрын

    Hivi hawa Masheikh wetu kuna anayetoa Fatwa kwa Ufahamu wake. Jibu hapana.. fatwah zao wote ktk vitabu vitabu vitukufu Pamoja na vya Maimam wetu, Imam Shafii, Imam Malik na kadhalika hakuna anayejitungia.

  • @jadujadunga7823
    @jadujadunga78235 жыл бұрын

    ili jambo liwe zuri kutaneni wote mashehe USO kwa USO kiufupi hujui kujielezea shekhe uongo dhambi

  • @khamisoothman5294

    @khamisoothman5294

    5 жыл бұрын

    Jadu Jadunga acha ujinga wewe unakosoa na huelewi acha ushabiki hewa

  • @machaliakulima76

    @machaliakulima76

    5 жыл бұрын

    KILEMILE UNAPINDAPIDA ULIMI KUHUSU DUNIA KUZUNGUKA WASIOJUA UNAWABURURA

  • @twaariqahmad7249

    @twaariqahmad7249

    5 жыл бұрын

    Huoni hata jina lake ni jadu Dini hyo ataijua wap Hawa ndo wa kusswali tu idi mpka idi

  • @allisekondo4951
    @allisekondo49515 жыл бұрын

    Tatizo la mashekhewetu munayo yasema baada ya muda munayapinga wenyewe,Mara munatwambia ARAFA hainakhilafu Leo munatwambia ARAFA Inakhilafu,sasa tushike lipi?

  • @theworldandcraziestguys2729

    @theworldandcraziestguys2729

    5 жыл бұрын

    SOMENIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII HAMTOCHANGANYWA NA MTU YEYOTE....DINI YENU IWE NI KITU CHA KUKIPA KIPAUMBELE KULIKO MAMBO YOOTE MYAJUAYO NDUGU ZANGUNI بارك الله فيكم وجزاكم الله خيرا

  • @twaariqahmad7249

    @twaariqahmad7249

    5 жыл бұрын

    Haujaelewa ndugu N hv funga ya arafa haina khilaf ndugu Shida watu wanaipata pale kweny kisimamo cha arafa

  • @yahkiwera3611

    @yahkiwera3611

    5 жыл бұрын

    Usidanganye watu shekh kilemile muogope mungu kwahiyoshekh wako alikosea miakayotee? Taja vitabu kwahayo unayo yasema tajavitabu shekh

  • @yahkiwera3611

    @yahkiwera3611

    5 жыл бұрын

    Hebu msikilizeni shekh anavyo jichanganya Mara nimoja2 Mara kilam2 atafunga2 msikilize kwamakini Abu Maryam nasenkondo nawakubali

  • @theworldandcraziestguys2729

    @theworldandcraziestguys2729

    5 жыл бұрын

    @@yahkiwera3611 nyingi ndo wale SHEIKH akinywa pombe unaambiwa ni useme SHEIKH kanywa MAZIWA...Lakn akinywa asiekuwa SHEIKH basi yeye ndo kanywa pombe ambayo Kwa SHEIKH wako sio haram kwa mwingine ndio haram...إنا لله وإنا إليه راجعون

  • @muhidinali8180
    @muhidinali81805 жыл бұрын

    wwe saidi yoza acha upumbavu hakuna hoja itakayo pindua hadithi ya mtume nakama unajua lugha ya kiarabu msikilize khatwibu wa msikiti mtukufu wa makka alioitoa siku ya ijumaa kama una akili utzingatia kama kundila wele sheikh kannena basi hatuna ulazima wakukulazimisha kufuwata hadithi yamtume maana utakua umeingia ktka udhuru kisheria

  • @twaariqahmad7249

    @twaariqahmad7249

    5 жыл бұрын

    Tatizo watu hawaelewi ndugu Hawaunganish hadith ya mtume na majira jinsi yalivyo Watu hesabu inawashinda hata ya masaa na wakat n za shule ya mcng hizi

  • @muhidinali8180
    @muhidinali81805 жыл бұрын

    Aisha malaki nyamaza huu siukumbi wataarabu wala rusharoho funga yoyote inaaza alfajiri na taizo lenu mnatumia akili za ki scullery siku inaanza baada jua kuzama na sio sa6

  • @hamynas

    @hamynas

    5 жыл бұрын

    sheikh kasema vizuri hapo kuwa ikiwa kama arafa haijaanza wewe umetanguliza subiri ianze itakufikia...ndiyo maana dada kauliza hapo jee wanaanza vipi kufunga siku hiyo ilihali umesema watafunga baada ya arafa?

  • @7elwababe
    @7elwababe5 жыл бұрын

    Sasa ataipata vipi kama siku inaenda? Saudi siku I naenda na nchi nyingine pia siku inaenda. Hueleweki.

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    5 жыл бұрын

    Wewe ndio huelewi, sisi tumemuelewa sana!!!

  • @hijazhija316

    @hijazhija316

    4 жыл бұрын

    Check your brain

  • @akiikilongo5691

    @akiikilongo5691

    4 жыл бұрын

    Allah akupe upeo wa kuelewa mambo Inshaallah

  • @muhidinali8180
    @muhidinali81805 жыл бұрын

    siku ni mojatu mtume s a w anasema ولاتقوم الساعة الا في يوم الجمعة hakitosimama qiyama ila siku ya ijumaa siku ya kiyama itakua mojatu dunia nzima

  • @mroojnr.2756

    @mroojnr.2756

    5 жыл бұрын

    Sheikh Mohamed Idd qiyama yake itakuwa Jumamosi na wapuuzi wenzake

  • @shuhaidaomar3347

    @shuhaidaomar3347

    4 жыл бұрын

    yashangaza sana mtu badala aingie na naswaha wezako wakuelewe wanza ate wapuzi wake

  • @aliyhassan9113

    @aliyhassan9113

    4 жыл бұрын

    @@mroojnr.2756 assalaam aleykum. Shekhe Maulidi usiseme wapunzi tambua Mashekhe wanatuhimiza adabu ya khitilafu kuwa kila mmoja aheshimu msimamo wa mwnzk sio kuitana wapuuzi hpo ni kwl tutakuwa tumeheshimu adabu khitilafu

  • @mroojnr.2756

    @mroojnr.2756

    4 жыл бұрын

    @@aliyhassan9113 walaykumu salaam sheikh Ally, kwanini yeye hakuheshimu msimamo wa mwenzake, kamkosea adabu mwenzake hivyo kuitwa mpuuzi kunamfaa haswa. Narudia tena Mohamed Idd hana adabu ya ikhitlafu. Masheikh wana ikhitilafiana maswala mengi ya kielimu lakini hawaambiani kauli kama alizompa mwenzake yeye. Bado mimi binafsi msimamo wangu naendelea kumpuuza tu.

  • @aliyhassan9113

    @aliyhassan9113

    4 жыл бұрын

    @@mroojnr.2756 Shekhe Maulidi unajua unapo amiliana na mtu alokukosea pngn kwa kukwita jina baya hupaswi na yy mmrejeshee kwa kumwita jina baya bali msifu kwa kumpa sifa nzr ht ktk dini tumeambiwa hlo

  • @salumrashidabdullashmely2558
    @salumrashidabdullashmely25585 жыл бұрын

    Shida ya mashekhe wengi wa TZ mnashindwa kuvumilia njaa zenu, hivyo mnazungumza kuwafurahisha wanaowafadhili vijisent,

  • @hijazhija316

    @hijazhija316

    4 жыл бұрын

    Tubu

  • @yassinmmbwera9273
    @yassinmmbwera92735 жыл бұрын

    Hivi hawa Masheikh wetu kuna anayetoa Fatwa kwa Ufahamu wake. Jibu hapana.. fatwah zao wote ktk vitabu vitabu vitukufu Pamoja na vya Maimam wetu, Imam Shafii, Imam Malik na kadhalika hakuna anayejitungia.

  • @almasymusa6736
    @almasymusa67365 жыл бұрын

    Kwani mufti na shekhe mkuu wa tanzania ni ktk makhawaarij mpaka nyinyi hamtaki kumfuata mwawafundisha nini waleoko nyuma yenu ktk kuwatwii viongozii.? Mfuate mufti asema nini tupate kufaulu mustuchanganye mufti atosha kutuongoza na jop lake

  • @abdulgadiradnan5028
    @abdulgadiradnan50285 жыл бұрын

    Huyu jamaa naona haelewi hata anacho kizungumza,. Kwanza kajichanganya kwa kusema:ARAFA NI SIKU NZIMA na huu ni upotoshaji. Kisha kajichanganya tena kwa kusema : Lakini ibada ya arafa inaanza baada ya zawaal. Sasa hapa ndio kajichanganya kwa kua kachanganyikiwa sasa ikiwa kisimamo ni kuanzia baada ya zawal kwa wale walio tangulia kwa masaa tisa kwa mfano jee wataanza kufunga usiku ndio waipate hiyo arafa !!???. Hahaha. Sheikh umekosa hoja mungu akurudishie akili yako

  • @abuuhamzafadhil5755

    @abuuhamzafadhil5755

    5 жыл бұрын

    Abdulgadir Adnan tuelimishe wewe

  • @jumanob1129

    @jumanob1129

    5 жыл бұрын

    Allah mjaalie huyo Shekh akajifunze, ili atuelimishe mambo yaliyo sawa,

  • @hadadsaid8246

    @hadadsaid8246

    2 жыл бұрын

    Hujui ni nani huyo na kiwango cha Elimu alichonacho

  • @hadadsaid8246

    @hadadsaid8246

    2 жыл бұрын

    Huyo sio sheikh wa copy and past ndugu yangu

  • @imamushafiiforgoodislamict5420

    @imamushafiiforgoodislamict5420

    Жыл бұрын

    Mungu akusamehe unamradi mwanachuoni ambae hao unaowaona wewe wamesoma wanahiitaji elimu yake ili wasomeshwe, hivi unamjua huyo mwanachuoni au unaropoka t ndugu yangu, Huyo,habaatishi vitu vyake ujuwe.

  • @mroojnr.2756
    @mroojnr.27565 жыл бұрын

    Sheikh ana akili timamu sana, hii ndio hoja aliyosimamia nayo wala hatukani mtu lakini kuna sheikh mmoja mpumbavu sana hana elimu wala hana adabu anakashifu watu sana channel ten kana kwamba ana elimu sana kumbe hana lolote analinda maslahi ya tumbo lake tu. Yeye azungumze hoja zake asikashfu watu na watu watajibu hoja pila bila kukashifu halafu waumini sisi tutachambua hoja ipi ina nguvu kwa dalili za kisheria. Sio atulazimishe upumbavu wake.

  • @shosiabdalla6880

    @shosiabdalla6880

    4 жыл бұрын

    Sheikh ismail tumia lugha ya hikma acha matuzi hiyo si manhaj ya mtume s.a.w

  • @nawawisaalim7173
    @nawawisaalim71735 жыл бұрын

    Mbona hueleweki unacho kuzungumza sasa

  • @allymnzava3818

    @allymnzava3818

    5 жыл бұрын

    Kama unasikiliza kishabiki huwezi kumuelewa

  • @junhanbabu1218

    @junhanbabu1218

    5 жыл бұрын

    Wewe fuata yuleunayemuelewa, Sawa ndugu

  • @yasiniselemani3917

    @yasiniselemani3917

    4 жыл бұрын

    dah huyu shekhe mm nilikua namkubali sana ila kwahili kajizunguka akumbuke hii ni dunia tu itaisha mbele nikugumu jaman

Келесі