No video

RADDI YA 05. HOJA ZILIZO MSHINDA YUSUF DIWANI MKUFURISHAJI

#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo

Пікірлер: 37

  • @user-ug8hc4yh5k
    @user-ug8hc4yh5kАй бұрын

    Mganga wa kienyeji mpiga vipande Yusuf diwani ana ivyo vitabu Yusuf diwani ni mjinga atabaki kuwa mjinga ivyo ivyo Yusuf diwani amefunga comment Kwasababu ana hakika anacho ongeya Sheikh wetu is haq na sisi tuko south Afrika tunakupata 100/100

  • @MashangoHamissi
    @MashangoHamissiАй бұрын

    Hajui hyuuu

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gsАй бұрын

    Maaashaaallah

  • @JumaAlly-fn6eu
    @JumaAlly-fn6euАй бұрын

    Wafundidhe shekh

  • @ayyamirubba5226
    @ayyamirubba5226Ай бұрын

    HAwa masufi ni wagonjwa wa ujinga na wnahoma ya upumbavu...

  • @khalfankilua
    @khalfankiluaАй бұрын

    Sheikh hivyo vitabu ulivyo vitaja Diwani hana ndiyo maana amekimbilia kwenye Bibilia huyu niwale wa mpe huyo

  • @KASSIMFUNDSIMU

    @KASSIMFUNDSIMU

    Ай бұрын

    Mpe mic

  • @JumaAlly-fn6eu
    @JumaAlly-fn6euАй бұрын

    Kataja kaangalie

  • @MashangoHamissi
    @MashangoHamissiАй бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4bАй бұрын

    Hao masufi ilim wanao niyakichawi uache kujisumbua

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    Ай бұрын

    Mpk wakae sawa apa akimbii mtu tunataka hojja hakki ya Allah itabaki juu sisi hatuachi makhurafii wapoteze dini ya allah tutadili nao nukta kwa nukta

  • @tumainizaidu7095
    @tumainizaidu7095Ай бұрын

    kuelewa dalili ni shida kwenu

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377Ай бұрын

    Diwan n mganga Hapa dhrkh kasoms bitab vıp chını ya 5 kuonesha tawheed 3 Haya diwani 1- lete vitab 3 tu binavyosema uwahab n tawi la katolik 2- Njo ma hoja kuwa hivi vitabu havijasema hivi ( au haun????)😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-xi4le1hp4y
    @user-xi4le1hp4yАй бұрын

    Diwani uko wapi? angalia hoja zako zlivyo bomolewa,jenga tena,na usitutoe kwenye hoja.na uangalie vitabu vyoote ulivyo agiziwa halafu ujibu

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205Ай бұрын

    Masufi / diwani hawataki kusoma kisha wanataka ushehe wapi

  • @MashangoHamissi

    @MashangoHamissi

    Ай бұрын

    Uyo mzee wenu hajui saan na nimsanii saaan daaah

  • @RashidiAljazary
    @RashidiAljazaryАй бұрын

    Daaah nimejikta nacheka kwanguvu 😂😂😂..رب العالمين ndio rububiyah ....aisee hata nyinyi ansar sunnah hamuoni kua huyu mzee anawaibisha mana .....ushaur tafutn shekh mzur anaejua hoja ila huyu hana hoja anasoma tu na hajui anacho soma

  • @user-ug8hc4yh5k

    @user-ug8hc4yh5k

    Ай бұрын

    Wewe mjini mpotofu Mtu wa bidah kaa hiyo hivyo na bidah zako

  • @hassanrangambo8007
    @hassanrangambo8007Ай бұрын

    Duuu mi sijakuelewa diwani kataka alipo semamungu twhd 3 au mtume au swahaba wewe umeleta mawazo tafsri za watu wengine tuambie basi wamepita njia ipi hadi wakapata

  • @BilaliIloko

    @BilaliIloko

    Ай бұрын

    Katafute nguzo za swala kwenye quraani au haditthi kama utazipata, turudi ndugu zangu kwenye vitabu tusome Allah akuhifadhi akhy baraka llahu fyka

  • @BilaliIloko

    @BilaliIloko

    Ай бұрын

    Hizi ni istillah,yaani mambo ambayo wanavyuoni wameyatohoa(chambua au kunyambua) kutoka kweny quraani na sunna

  • @user-rf3mg3bh9j
    @user-rf3mg3bh9jАй бұрын

    Taja vitabu hivyo tufanye marejeo mbona km stori TU za mtaani

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    Ай бұрын

    Haki ya Allah itabaki kuwa juu japo makhurafi mtachukia

  • @SaidMadai
    @SaidMadaiАй бұрын

    Naona uyu mzee kweli m2pu mn hangiii namna yakuuwelezea umma utatu w vigawanyo zaidi y kudapia huku n huku pasipo n udhibit w mada husika je wp chimbuko lake 2eleze

  • @MashangoHamissi

    @MashangoHamissi

    Ай бұрын

    Uyu mzee hajui nimweupeee kama shuka la maruhaniii

  • @kasimubangu1875

    @kasimubangu1875

    Ай бұрын

    ​@@MashangoHamissinyie wote hamjielewi na mmebema imani kwa upofu ndomana mwasema nimtupu mcheni Allah

  • @BilaliIloko

    @BilaliIloko

    Ай бұрын

    Nadhani pia wengi mnasikiliza kwa upofu ,wafu nimeambiwa hizo ni istilahati,yaani mambo ambayo yamechambuliwa kutoka kwenu quran na sunna. Mfano nguzo za swala ,masharti ya swala,masharti ya funga na mengineyo

  • @darajanida
    @darajanidaАй бұрын

    sasa hizo aya salaf swalih wakuziona mbona hawakugawa tauhidi tuombien itakadi hii inatoka wapi katika uislamu haipo kabisa

  • @KassimuSheshunda-yn7hm

    @KassimuSheshunda-yn7hm

    Ай бұрын

    Sikiliza kisha ndio u comment

  • @darajanida

    @darajanida

    Ай бұрын

    @@KassimuSheshunda-yn7hm wewe ulie sikiliza tuwambie ni swahaba gani tabii gan au tabiitabiina aliegawa tauhidi

  • @MgazaMhina

    @MgazaMhina

    Ай бұрын

    ​@@darajanidaAnza video zilizopita ndio uje hii utapata kujua vyote

  • @darajanida

    @darajanida

    Ай бұрын

    @@MgazaMhina nyinyi si mumesikiliza tuwambien nani kagawa taugid katika karne tatu bora hamma.semeni tujue

  • @kasimubangu1875

    @kasimubangu1875

    Ай бұрын

    ​@@darajanidautakuwa nikipofu,nikiziwi hauwezi kuelewa

Келесі