HATIMAE BABA KIRUWASHA ATIMIZA AHADI YAKE

Пікірлер: 277

  • @WaziriShabani-ie3nh
    @WaziriShabani-ie3nh2 ай бұрын

    Mimi binafsi shekh bachu nimemuelewa bila kigugumiz

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash21282 ай бұрын

    Mm nimekupenda shekh kwakukubali shekh bachu yale aliyoyasema simaneno yake bali nimaneno ya mashekh masha Allah nimekupenda bure mzee kwakukubali ukweli. ngoja tumsubiri bachu ajekumaliza kazi

  • @muhammadmbaraka4515

    @muhammadmbaraka4515

    2 ай бұрын

    Huyu Shekh Hana kibri MAA SHAA ALLAAH.. ikimjia haqi anaifuata tofauti na baadhi ya mashekh wengine

  • @mfalmenajjash2128

    @mfalmenajjash2128

    2 ай бұрын

    @@muhammadmbaraka4515 swadakta anajielewa wallah

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk53622 ай бұрын

    Mm katika hili jambo nimemuelewa zaidi sheikh BACHU nasiamamia hapo. Kumtumia jini nirahisi zaidi kumtoa MTU ktk tawaqal kwa Allah na ndio njia rahisi yakuzama ktk shirki bila kujua au kwa kujua hasaaa Wallah aalam

  • @allythabiti8150

    @allythabiti8150

    2 ай бұрын

    Exactly.

  • @dulividuli5237

    @dulividuli5237

    2 ай бұрын

    Upo sahihi kabisaa

  • @musarashid-xw1qm

    @musarashid-xw1qm

    2 ай бұрын

    Pamoja

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9i2 ай бұрын

    As-salam alaykum warahmatullah wabarakatu vip hali zenu vipenz vya Allah. Aya tupo tunackiliza

  • @hamisisaidi9525

    @hamisisaidi9525

    2 ай бұрын

    Waleykum salam warahmatullah wabaraktul

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9i2 ай бұрын

    Baba kiriwasha kumbe wale wanao tumia chuma ulete kumbe Ni jini. Subhana Allah ,,,, Yarrab tuhifadhi waja wako na utulinde na hasad na husda na vitimbi vya kiduniya. ,,, amiiiiiin

  • @jumafaki2891

    @jumafaki2891

    2 ай бұрын

    chuma ulete si jini Wacha kuwazulia watakuja kukushtaki mbele ya mungu

  • @jabirinyoni823
    @jabirinyoni8232 ай бұрын

    Mashallah, ilmu ni bahari, usilolijua ni sawa na usiku wa giza, nimekuelewa sana babu kiluwasha, nimemuelewa mohamedi bachu kila mmoja kwa anachojua yuko vizuri. Hizi ilmu zipo isipokuwa hatuzijui tuu. Allah atujalie elimu zenye manufaa fiduniya wal akhera

  • @ommymo

    @ommymo

    2 ай бұрын

    Ameen,hainahaja ya kubishana , kila mtu katika hawa ukiangalia kunakitu kimoja muhimu,wamekigusia, KAMA KUMTUMIA KWANJIA YA HALALI NA WASILA ITAKAYO TUMIKA KUMFIKIA YEYE BASI NI HALAL YAFAA, KAMA MAMBO NIYA HARAMU NA NJIA ITAKAYO TUMIKA NI YA HARAMU BASI NIHARAM,

  • @ommymo

    @ommymo

    2 ай бұрын

    Alafu wengi ktk watu wanaenda kulingana na fikra na akilizao, kwakuwa hajazowea hilo basi yye anaona hata sheria imekataza, Kwaivo mtu azingatie, kama madhara ni mengi kuliko faida kwake haifai kutumia, kama faida nyingi na njia atakayoitumia niya halal basi yajuzu, asiambiwe ni shirki

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan182 ай бұрын

    Mashaallaa Allah bariq mwenyenzi mungu akujaze maarifa zaidi na afya njema ili uzidi kutupa elimu, mwenye akili timamu amekuelewa na yule mbugila mbugila hatokuelewa kwa ubishi wa asili yake.

  • @suleimansuleiman7947
    @suleimansuleiman7947Ай бұрын

    Ma shaa Allaah, Allaah akupe wewe na sisi mwisho mwema , Wew ni sheikh wa kwanza kukuona hauna kibri katika elimu hasa yakumujua Allaah, Sheikh bachu kamalize kazi ili watu waelewe zaidi....Allaah awahifadhi masheikh wetu wenye kusimama katika haki tena bila kuws na vibri

  • @hassanjr5318
    @hassanjr53182 ай бұрын

    Eti kuna mwanamke ana swahibu jinn Kitendo cha jinn kukaa ndani ya mwili wa mwanadamu tayari ameshakufuru Iblis ana njia nyingi sana za kumpoteza mwanadamu Allah atuongoze na kutupa mwisho Mwendo

  • @chinguilechinguile1501

    @chinguilechinguile1501

    2 ай бұрын

    Mimi pia najua hivyo.Kitendo cha jinn kukaa kwenye mwili wa mwanadamu anakuwa ameshakufuru. Lugha nyepesi ni kwamba hakuna jinn mwema anayefungamana na wanadamu,majini wema wote wanaishi ulimwengu wao wakimuabudu Allah S.A

  • @Its_me_hanseif
    @Its_me_hanseif2 ай бұрын

    حفظك الله ورعاك يا ابو كروش

  • @officialbabakiruwasha

    @officialbabakiruwasha

    2 ай бұрын

    Amiin

  • @shawwalmsati3405
    @shawwalmsati34052 ай бұрын

    SHEIKH HAWATAKUELEWA KWA SABABU ULIYOYASEMA NI YA KIELIMU NA SI YA KIFIKRA

  • @hawa6052
    @hawa60522 ай бұрын

    Jamani mimi nazingatia qala llahu wa Rasul hayo mengine mmm sitaki kujua

  • @user-wl3qj2fx8u

    @user-wl3qj2fx8u

    2 ай бұрын

    Utazifahamu hizo aya au hadithi kama hujapewa tafsiri yake Mbona mkikwamas mnakua waongo?

  • @IbraFareed

    @IbraFareed

    2 ай бұрын

    @@user-wl3qj2fx8usheikh umenifurahisha Umeongea maneno mazuri

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    2 ай бұрын

    Kwel kabisaa

  • @AllyHussein-so1hr
    @AllyHussein-so1hr2 ай бұрын

    Allah S.W. ndiye kutegemewa, kuombwa na kuelekewa kwa kila hitajio kwa waja wema. Kumhitajia jinni ni kukata tamaa na rehma za Allah na kukosa subra.

  • @isackwaite-uf1zy
    @isackwaite-uf1zy2 ай бұрын

    MashaAllah

  • @maarufumustwapha3055
    @maarufumustwapha30552 ай бұрын

    Baba kiruwasha nimekuelewa Sana tena mno ndugu yako ktk imani

  • @selewenger8323
    @selewenger8323Ай бұрын

    Shekh, barakallah, mi naomba njia SAHIHI ya kumwita jini na kumtumia, Mana kumbe huu umaskini tynautak mwenyew

  • @salummussa-ms6nb
    @salummussa-ms6nb2 ай бұрын

    Baba kiruwasha unafeli

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs2 ай бұрын

    Huwa nakuskilizaga kweny mambo y familia endelea na zile mada ;am hiii mada kwkwel naomb tu uachane nayo mwalim wangu

  • @user-qe9pd9zk8v
    @user-qe9pd9zk8v2 ай бұрын

    Kutoka kwa Hafswa bint Omari bin Khattwabi- Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao- Kutoka kwa Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake- Amesema: "Atakayemuendea mpiga ramli akamuuliza kuhusu lolote, akamsadikisha, haitokubaliwa kwake swala yoyote siku arobaini". Sahihi - Imepokelewa na Imamu Muslim

  • @yusuphsuphian8521

    @yusuphsuphian8521

    2 ай бұрын

    shekhe usilazi mishe kumpa nguvu mshili kina

  • @yusuphsuphian8521

    @yusuphsuphian8521

    2 ай бұрын

    shekhe unampa nguvu mtu ili aendee kupotea

  • @yusuphsuphian8521

    @yusuphsuphian8521

    2 ай бұрын

    naku tumia nyota

  • @yusuphsuphian8521

    @yusuphsuphian8521

    2 ай бұрын

    mshili kina kaanae mbali

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed61452 ай бұрын

    SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA SAIDINA MUHAMMADIN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM Barakallahu Feek

  • @hasanisaidishabani3879
    @hasanisaidishabani38792 ай бұрын

    Mashallah nimepata faida

  • @MahadBedui
    @MahadBedui2 ай бұрын

    Ww py nimgonjwaa

  • @sabihiathumani6612
    @sabihiathumani66122 ай бұрын

    Madhara ni mengi HAIFAI KABISA na baadhi ya wanaofanya hayo mambo hawajasoma dini vya kutosha. Tafadhalini sana huu mlango msiufungue ni fitina kubwa watu watapotea.

  • @user-oo1fs7lp6d
    @user-oo1fs7lp6d2 ай бұрын

    Mm binafsi nmekuelewa jaman kama hamuna elimu na uwelewa wenu mdogo msijibu jamani

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo2 ай бұрын

    Baba kiruwasha kazoea kuongea usiku akiongea mchana anapoteza confiance

  • @SaidShemkieti

    @SaidShemkieti

    2 ай бұрын

    Mada anayoizungumzq imemzidi umri ndomana anashindwa kuwa na cofidence

  • @omaryngole6450

    @omaryngole6450

    2 ай бұрын

    Ama

  • @mussakantumba9914

    @mussakantumba9914

    Ай бұрын

    Yeyote anae amini kuwa kutumia jini inafaa basi huyo ni Mshirikina tu ikiwa binadamu tu yaliyojificha mioyoni mwao hatuyajui je itakuwaje kwa majini viumbe ambavyo hatuvioni? Huyo Baba Kiruwasha ni Mshirikina tu hana jipya.

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja88372 ай бұрын

    Hii madauiache inatuchafula dini yetu chaguenimoja mue waganga au masheikh toka zamani wapo masheikh nawaganga I'ma mkufuri I'ma muwe waalimu, mtachanganya wasiojua kutumia majini niushirikina, Kama sio shiriki wekekeni majini tuyaone nasisi hadharani

  • @mwechizumbabaraka3273
    @mwechizumbabaraka32732 ай бұрын

    Sheikh SALUM MSABAHA Yuko wap jaman aje a2ambie ukwel 16:10

  • @KhamisDaud-nz3rc
    @KhamisDaud-nz3rc2 ай бұрын

    Mimi namuusia Mzee wetu baba kiruasha akamsikilize tene Muhammad bachu vzr inawezekana hakumuelewa

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo2 ай бұрын

    Hasbiyallaahu waniimalwakiil

  • @user-es4uf6gj7u

    @user-es4uf6gj7u

    2 ай бұрын

    Kama itatoka moyoni hiyo basi hakuhaja yajini wala mtu kila kitu kitakuja wenyewe kwajia anayo I juwa yeye mola

  • @HakizimanaJeandieu-dy7cx
    @HakizimanaJeandieu-dy7cx2 ай бұрын

    Shukran shekh

  • @hamishassan6784
    @hamishassan67842 ай бұрын

    The Reality of Jinn in the Qur'an and Sunnah - Dr. Yasir Qadhi

  • @MuhammadMuhammad-gr2qv
    @MuhammadMuhammad-gr2qv2 ай бұрын

    WAPIGA RAMLI IMEWATACHI SANA KUAMBIWA NI HARAM.. WALIKUWA WAMEJIFICHA LAKINI SAHII WANAJITOKEZA MMOJA MMOJA KUTETEA SHIRK ZAO... SHUKRAN SHEIKH MUHAMMAD BACHU

  • @user-zs6qg7ql1i
    @user-zs6qg7ql1iАй бұрын

    MAwahab shekh wenu pia hamumuamin hv ungekuw kumtumia jini haifai nabii sleman ataenda motion vitu vipo wazi ikiw haifai ht mskiti wa bautul makdis waliujenga Majin kw hio haifai kusaliw ni kusoma tu

  • @sadih5333

    @sadih5333

    Ай бұрын

    Nimakosa makubwa sisi kuongelea na kujifananisha na Nabii wa Allah Suleiman yeye ni mfalme pia ni Mtume alikua pia anawasiliana na wanyama na viumbe wengine Malaika na Majini , sasa kwa hayo machache si sahihi kupigia mfano na kujilinga Nisha nae, Allah atupe ufahamu mwema.

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa48002 ай бұрын

    Achana na Majini ww Mzee, mtegemee Mola wako

  • @SelemanAmir-ze8zz
    @SelemanAmir-ze8zz2 ай бұрын

    Allah ukuhifadhi shekh huyo bachu anajua utafungua watu ukweli wataujua yeye kaja kujiweka ujuaji zaidi bila uchanganuz Kama hivo tukanufaika navyo rad hazijengi tunabomoa jaman tutumiane dhana mzur bila jazba kitu wanakijua hawataki kifahamike uzur

  • @AbuuKhafswa

    @AbuuKhafswa

    2 ай бұрын

    Wewe uliecoment kumtupia lawama bachu yakuwa amekuja kujifanya mjuaji sio kwei chukua kauliyake baba kuluwasha mimi natumia kitabu na yeye bachu sio manenoyake anatumia kitabu namwenyewe kasema amepata faida kubwa kwa bachu

  • @idrisaabkar3760

    @idrisaabkar3760

    2 ай бұрын

    Acha kujizima data

  • @kylesmeight4837

    @kylesmeight4837

    2 ай бұрын

    Sw Sheikh Nenda kwa mganga

  • @athumanimbarukulimbungaathuman
    @athumanimbarukulimbungaathuman2 ай бұрын

    Sheikh unatupaka mafuta

  • @AbasiChigo
    @AbasiChigo2 ай бұрын

    Unajivunjia heshima yako unachotetea hakipo bora ukae kimya ujifunze kwa bachu anaeleweka

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah12052 ай бұрын

    Kiliwasha tufahamishe jinsi ya kumpata huyo jini mwema ili tumtumie kwa wema

  • @user-wl3qj2fx8u

    @user-wl3qj2fx8u

    2 ай бұрын

    HUENDA AKAWA HANA HIYO ELIMU ILA YEYE KAZUNGUMZIA SHERIA YA KUA INASWIHI KUMTUMIA JINI

  • @NassirMansour-zx2jd

    @NassirMansour-zx2jd

    2 ай бұрын

    Hapo sasa

  • @azizihassan1613
    @azizihassan16132 ай бұрын

    10:55

  • @alhadajjmohammedsmith9042
    @alhadajjmohammedsmith9042Ай бұрын

    Mtume aliusia kwamba Wana wa Zuoni watakuja iharibu Dini/Watauharibu Uislamu na ndo hayo/ahaya yanayotokea Sasa (Ishara/Daluli) Mwisho wa Dunia umekaribia.. Mtume aliposema anawakhofia Wana wa Zuoni watakuja iharibu Dini, Mtume hakuwataja Kwa Majina yao hao Wana wa Zuoni na Wala hakutaja Maeneo/MaTaifa watakayotokea/walipo(Wanapoishi) hao Wana wa Zuoni ni Tz, Kenya, ZNZ, Saudia nk.🙌

  • @twahamuhoro1656
    @twahamuhoro1656Ай бұрын

    Hahaha dini ni dalili kwenye hili babu kiruwasha ana dalili zilizoshiba...

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa68172 ай бұрын

    Hakuna aya wala hadithi inayoelezea kufanya hayo. Kwa nilivyoelewa kwamba kutunia majini wema kytafaa kwa dharura n sii iwe kawaida. Mtume swallahu alyhi wassllam ndio aliwasomesha na sio kuwatumia. Na ruhisa hiyo itabaki kwa maulamaa waliobobea elimu. Sio mashekhe wasasa wamitandaoni, Na hili jambo sio muhimu muhimu. Hebu watu wakasime yaliokiwa y muhimu yamejaa, tusikimbilie majini.

  • @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd
    @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd2 ай бұрын

    Mi nataka kusikia kasema HABIBY MUHAMMAD S.A.W .... sio mashekh ambao hata hadith za mtume wa allah haziwajui wanakazi ya kupoteza umma tu hamna lengine....

  • @jumangozi2720
    @jumangozi27202 ай бұрын

    Alafu umejikita zaidi kwenye hukmu mubahu mubahu maulamaa wanasema itafaa kumtumia kwaajili ya da'awa kwa wenzie kwa vile tunaitakidi kwenye vikao vyetu vya kielimu wanakuepo sio kumtuma kwenye haja atakuludishia vipi majibu na yeye mpaka akae kwenye mwili wa mtu ndio aongee na huo ni uasi aruhisiwi kuingia mwilini kwa mtu

  • @abdallahhuseinkabale7534

    @abdallahhuseinkabale7534

    2 ай бұрын

    Point ya msingi kabisa..haya watatudishiaje majibu kuwa dawa imefika..kifupi hao viumbe wapo kwenye himaya nyingine tuu..abgalia kipindi mtume swallahalywasam alipoenda pamoja na yule swahaba alimcholea duara asitoke hapo.kisha mtume akaanza kuwasomea ...kwa ile khofu ya yule swahaba ilibakia akidogo atoke.na mtume akameambia raiti angejaribu kutoka njee ya hiyo sehem angeungua..sasa unasemaje kuwatumia hao viumbe kimchezo mchezo...mie nahisi ni kukataa tamaa kukubali uwezo wa mwenyezi mungu....au kama kipindi cha nabii suleiman kipindi alipo taka kile kiti cha malikia. Kuonyesha mwanadam ni bora aliketa kile kiti...kwahiyo wasiwape shavu hayo majini hakika hiko tuendako inaweza kua hatari zaidi

  • @mussakantumba9914

    @mussakantumba9914

    Ай бұрын

    Ni washirikina hao wanaosema inafaa kuwatumia majini.

  • @user-mg6hn6os6y
    @user-mg6hn6os6y2 ай бұрын

    HAKUNA kutumia majini.MTUME MUHAMMAD hajafundisha.

  • @matendondambwe9527
    @matendondambwe95272 ай бұрын

    Shee kilowasha je qur Ani inazungumziaje kuhusu matumizi ya majini baina ya Bina damu na majini

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z2 ай бұрын

    shekh baba kiluwasha tumekuelewa...ila bachu awez kukuacha kamwe😊😊

  • @abubakarshaban6118
    @abubakarshaban61182 ай бұрын

    Mbona husomi kiarabu unatitafsria tu juu juu... Mambo gani hayo...

  • @nasramusaro
    @nasramusaro2 ай бұрын

    Baba kiruwasha umenikera binafs ungetuambia. Faida ni kubwa au hasara ni kubwa?

  • @MussaYusuf-fd8je
    @MussaYusuf-fd8jeАй бұрын

    Kwani huyu BACHU hamumuelewi amaa mbona kashaafafanua yote lakin bado mnaleta mambo mengine,

  • @ramagwama
    @ramagwama2 ай бұрын

    Sheikh Bachu kaeleza kiufasaha kabla hujajishulisha kumtumia jini unatazama faida na hasara zke ambapo akasema kutumia jini atakuplka ktk shirk moja kwa moja ajil ya maagano yko kati yake vilevile ao majini utawatambuaje kua uyu mwema na uyu mbaya ilhal hatuna uwezo wa mitume kuwatambua vyma.

  • @allymbarouk5362

    @allymbarouk5362

    2 ай бұрын

    Hakika

  • @jumaa052

    @jumaa052

    2 ай бұрын

    Nabii Suleiman Ali Fanya shiriki juu ya majin ? Nauliza nataka tu kujua 🙏

  • @allymbarouk5362

    @allymbarouk5362

    2 ай бұрын

    @@jumaa052 huyo ni mtume wa Allah, Allah aliwaandaa mitume wake wawe vigezo na walimuabudu Allah kwa yaqini ya kweli wala hawakumshirikisha na chochote ktk viumbe wake.

  • @Bombwejr18

    @Bombwejr18

    Ай бұрын

    ​@@jumaa052Nabii suleiman alipewa uwezo wa kuishi majini kabisa na kuwatumikisha ndo uwezo alipewa na pia mitume na manabii wana uwezo binafsi vp mm na ww mtihani sheikh iman zetu ndogo lazima tuingie kwenye shirk

  • @idrisamnyamisikhalifa4348
    @idrisamnyamisikhalifa4348Ай бұрын

    Dah umenitoa chozi ostadhi sio wote wenye kukubali

  • @jumankumilwa4139
    @jumankumilwa41392 ай бұрын

    NAAM MWAMBA UPO SAWA

  • @husseinbwandu
    @husseinbwandu2 ай бұрын

    Allah awazidishie kheri na baraka baba kiruwasha na sheikh bachu mnawakilisha hekima katika jamii yetu. Binafsi nimependa hili suala lilivyohitimishwa, kwamba ni vyema kupima madhara na faida ya kumtumia jinni kabla ya kuchukua hatua hiyo. Asanteni sana kwa i'lmu.😊

  • @officialbabakiruwasha

    @officialbabakiruwasha

    2 ай бұрын

    Afuan

  • @muhsinkimaro4283
    @muhsinkimaro42832 ай бұрын

    Bado hamjatushawish, watu wa tanga na zanzibar mnayaamin sana majin, baadh ya watu lkn nieleweke vzr

  • @user-mg6hn6os6y
    @user-mg6hn6os6y2 ай бұрын

    Je Mtume ametufundisha kutumia majini?

  • @azizihassan1613
    @azizihassan16132 ай бұрын

    Kwani Allah na Mtume Muhammad s.a.w wanasemaje ktk quran na sunna? (HUO NDO MSIMAMO SAHIHI, NJE YA HAPO NI KUJITIA UJINGA)

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e2 ай бұрын

    Arafu maneno ya shekhe matupu bila kuegemeza na dalili huwezi patia imamu shafi mwenyew alisema , ilipo aya ya quruani na hadithi ndo madhebu yangu yalipo mkiona maneno yanaenda patupu yatupeni mbali shikene dalili kwa mtume sasa ww mwenzio alisoma maneno akaegemeza na dalil ww wasoma matupu ya wanazuoni bila kuegemeza dalili

  • @KitasaWaaction-gm9zr
    @KitasaWaaction-gm9zr2 ай бұрын

    Majini wanaulimwengu wao na wanaadam wanaulimwengu wao wewe usaidiwe na jinni kwani Allah hatoshi?

  • @kanobayirelambert8400
    @kanobayirelambert84002 ай бұрын

    Mie napita kidogo!

  • @SaidShemkieti
    @SaidShemkieti2 ай бұрын

    Tunaomba namba yako basi

  • @husseinshehuna68
    @husseinshehuna682 ай бұрын

    Shekh Mohammed Bachu hajasema haifai kuwatumia lakini kuwatumia Kuna madhara mengi ... Na kitu hata kama kina maslah madhara yakiwa mengi kinaachwa maalim... Iwe tunatosheka na dalili... Na tumuelewe mtu kile anachokisema... Unarudia Yale aliyoyasema... Lakini je hujui hayo madhara Mzee wetu... والله المستعان

  • @user-es4uf6gj7u

    @user-es4uf6gj7u

    2 ай бұрын

    Tuwache kuyumia majini

  • @husseinshehuna68

    @husseinshehuna68

    2 ай бұрын

    @@user-es4uf6gj7u Hakika sio jambo zuri... Lina madhara mengi sana

  • @jumaa052

    @jumaa052

    2 ай бұрын

    Samahan naomba kuuliza nabii Suleiman Ali Fanya shiriki juu ya kutumia majin ?

  • @aljalilatiba9873
    @aljalilatiba98732 ай бұрын

    SASA LEO HII MAJINI YANATUMIWA KWA SHIRKI

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl2 ай бұрын

    Kwahiyo naww unajini wako ambae unampa mawaidhs ilinae akawape mawaidha wwnzie?

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima72952 ай бұрын

    Nyie ndio mnaitukanisha dini ya Mungu inasibishwe na majini

  • @salehrashid-fx9rq

    @salehrashid-fx9rq

    2 ай бұрын

    Saihihi. Cjui hawana la kufanya ktk uislamu. Mbona❤ kuna mambo mengi saana wailamu wanafaa kufundishwa

  • @user-wl3qj2fx8u

    @user-wl3qj2fx8u

    2 ай бұрын

    sasa yeye au IBUN TAIMIA?

  • @SelemanAmir-ze8zz

    @SelemanAmir-ze8zz

    2 ай бұрын

    Naomba msaada wa ufaham ivi Kuna makatazo ya kupinga kauli ya mashekhe ambayo Ni rai au ufafanuz wao na sio Aya ya qur an

  • @user13375

    @user13375

    2 ай бұрын

    ​@@SelemanAmir-ze8zzukipinga watakuroga😂😂😂

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr2 ай бұрын

    Tatizo huwezi jua jini yupi mwema yupi mbaya nikujiepusha nayo tu hatuna imani ya kumzibiti asitukufurishe

  • @AbdillahAlly-fl4vh

    @AbdillahAlly-fl4vh

    2 ай бұрын

    Wew ndio hujui wanajulikana km tunavyowajua binadamu muhimu elimu tu

  • @MkutiNandaja-rz3nk

    @MkutiNandaja-rz3nk

    2 ай бұрын

    Tafuta elimu ndugu Kila kitu kipo duniani ww na elimu yako soma sana

  • @jumafaki2891

    @jumafaki2891

    2 ай бұрын

    kwani ukimleta fundi kwako wajua kama ni mwizi au jambazi au n,k Kwa Nini umpe kazi yako

  • @HamisMagambo-gw6ti

    @HamisMagambo-gw6ti

    2 ай бұрын

    Elimu tu

  • @user-es4uf6gj7u

    @user-es4uf6gj7u

    2 ай бұрын

    Hakika watu sasahivi wengiwao wana penda shari kuliko kheri kwa nini jlazkmishe jini wakati njia zingine zipo zakufanya kila kiyu ilk kujiepusha nao

  • @user-es4uf6gj7u
    @user-es4uf6gj7u2 ай бұрын

    Njia ambazo hazina shaka hatuzifati kwa nini tulazimishe kwanjia zenye mashaka ??kwanini nauliza kwanini njia salama zipo hazina shaka hata kidogo lakini kwanini tutumie njia zenye mazonge kwann??

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s2 ай бұрын

    Mtu ana kesi anadaiwa kweli anatumia jini kuharibu kesi..mty anataka mtoto wa watu amzini anatumia jini.mtu anataka kumdhuru mtu kwa dhulma anatumia jini...ndo hivi alikusudia sule...

  • @user-ie7ey2uz3c
    @user-ie7ey2uz3c2 ай бұрын

    shehe jamiiyetu haizingatiidini wanaishi kama hawanadini je huu mlango mkiufungua watu watakua ktk haligani jambo likiwa lìnamashaka nibora kuachana nalo mtt wabacho ameeleza vizuri mimi ushauri wangu endelea namada zako zandoa huatunazielewa ila hiimada hatukuelewi

  • @neemafatu471
    @neemafatu4712 ай бұрын

    Kama ndivyo basi Sawa. Ila kufanya hivyo, ni kama kucheza pembezoni mwa moto. Ni hatari ni bora kuacha naona.

  • @yusuphsuphian8521
    @yusuphsuphian85212 ай бұрын

    baba kilwasha kumbe unaumga mkono anae tafuta pesa kwaku tumia majini

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs2 ай бұрын

    Mwalim hii mada ungeacha tu sheikh maan Moto wa raddi hutauweza

  • @MkutiNandaja-rz3nk

    @MkutiNandaja-rz3nk

    2 ай бұрын

    Moto wa radi ndio Nini yeye anazungumza Kitabu nini moto wa raddi

  • @SelemanAmir-ze8zz

    @SelemanAmir-ze8zz

    2 ай бұрын

    Upambanuz wa Kona use Waz raddi hazisumbui Ila haki owe mbele Kwanza tusiogopane din ya Allah tunyooshane kwa uzuri

  • @habajuashesema

    @habajuashesema

    Ай бұрын

    Toeni vitabuvinav yopingana na ibn uthaimin na ibn TAIMIYYAH ktk hili.Mwenzenu kaja na vitab nyi mwaja na maneno matupu

  • @omaar5693
    @omaar56932 ай бұрын

    15:16 kama amesema inafaa nae amekosea kuna.mambo mashekhe hawajui lakini sisi wengene tumeishi.katika familia.ambazo tunakuta wazee wanafanya mambo hatujui asli yake... mfano: kuna mda tunaogopa tusipo chinja kinaweza kutokea chochote... ndio hayo munayo ungia mkono... jini mwema yupo na mbaya yupo,,, lakini.hayo kwetu ni.Ghaib.... utasaidiana.na.jinii vile uthaimin alivyo elekeza lakini tujuwe jinn karne inaisha yeye bado ni kijana lakini wewe ushasahauliwa lakini kuna mitego alisha weka kuwakamata kizazi chako...

  • @ibramussa1762
    @ibramussa17622 ай бұрын

    BAADHI ya Watanga wamelelewa kwenye familia zinawaganga matambiko , hivyo zikija mada zenye utata kama hizi zamajini lazima waziunge mkono.( Zingatia neno BAADHI)

  • @IbraFareed

    @IbraFareed

    2 ай бұрын

    Sheikh sijui ulifikiria unachoongea Unanasibisha MIJI NA AKILI HII INAONEKANA HUNA UELEWA TENA MCHACHE SANAH SIKILIZA SHEIKH ANATUMIA MANENO YA WANAZUONI SASA TANGA NA MAJINI YANAHUSIANA NINI SHEIKH DO YOU LISTEN TO YOURSELF

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv38462 ай бұрын

    Sheikh hujafaham kauli za wanachuoni vizuri, hao wezako wanawatumia hao viumbe kwa ushirikina.

  • @shafiismaily9223
    @shafiismaily92232 ай бұрын

    Msijiingize kwenye vitu vyenye kutia shaka!?

  • @user-xh9gj2wd6o
    @user-xh9gj2wd6o2 ай бұрын

    Ndg yetu Baba Kiliwasha kwanza muogope Allaah pili huna elimu ya kumjua huyu jini ni mwema au mbaya tatu ili jini akutumikie lazima pawepo badala ya kumpa jini na badala yenyewe haiwi ila ni jambo la haramu tuu nne maneno ya mwanachuoni yeyote sio qur an wala hadithi tunaweza tuukaachana nayo na hatupati dhambi

  • @yusuphsuphian8521
    @yusuphsuphian85212 ай бұрын

    makafili wana sema uislam nidini yawa fuga majini jee sawa baba kilwa sha

  • @yusuphsuphian8521
    @yusuphsuphian85212 ай бұрын

    mimi nime kuelewa bachu katika kuliongelea hili

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi73772 ай бұрын

    Shekh wangu sikiliza vizuri Umeambiwa kutumia Majini kuna faida chache kuliko madhara, kama madhara n mengi shekh İbn Tamiyyah anamaliza kusema sio vizuri Kuacha ni HAULA zaidi 1- majini wabaya 2- majini wazıri lkn aina zote hiz wanakupelekea kwenye Ushirikina ! Sikiliza vizurii shekh nahic utaelewe vizuri biidhin kariimu

  • @shawwalmsati3405

    @shawwalmsati3405

    2 ай бұрын

    Kwani hao vigogo walioruhusu hawajui hayo madhara wala faida hizo ispokuwa BACHU tu

  • @SaeedMohammad-sw7jq

    @SaeedMohammad-sw7jq

    2 ай бұрын

    ​@@shawwalmsati3405ila baba Kirwasha katoa vitabu vi2 vya sheikh Uthaymin kimoja chakubali kutumia majini wema na kingine kinakataa kwa kuhofia mahsad yatakayotokea kwa kuwatumia majini. Tanbihi, ikiwa kichwa chako ni kizuri kufikiria basi yatosha kujiweka mbali katika kuwatumia viumbe hawa.

  • @hawa6052
    @hawa60522 ай бұрын

    BABA Kirwasha acha hiyo Mada tafadhali

  • @user-wl3qj2fx8u

    @user-wl3qj2fx8u

    2 ай бұрын

    HAHAHAHA

  • @HemedSerious
    @HemedSerious2 ай бұрын

    Kwa alicho zungumza sheikh ni haki bachu anapenda ushindani wa kijinga tu

  • @MateusPaulino-cf8hf
    @MateusPaulino-cf8hfАй бұрын

    Nyie watanzania mko busy kwa kupotosha uma wakiskam kwa ajili ya maslah yenu

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s2 ай бұрын

    Baba kiwasha kauli ya ulamaa ikiwa haina mashiko tunaiwacha tunashika dalili... وقال ابن أبي حاتم : حدثنا أبي ، حدثنا فروة بن المغراء الكندي ، حدثنا القاسم بن مالك - يعني المزني - عن عبد الرحمن بن إسحاق عن أبيه ، عن كردم بن أبي السائب الأنصاري قال : خرجت مع أبي من المدينة في حاجة ، وذلك أول ما ذكر رسول الله صلى الله عليه وسلم بمكة ، فآوانا المبيت إلى راعي غنم ، فلما انتصف الليل جاء ذئب فأخذ حملا من الغنم ، فوثب الراعي فقال : يا عامر الوادي ، جارك ، فنادى مناد لا نراه ، يقول : يا سرحان ، أرسله ، فأتى الحمل يشتد حتى دخل في الغنم لم تصبه كدمة . وأنزل الله تعالى على رسوله بمكة ( وأنه كان رجال من الإنس يعوذون برجال من الجن فزادوهم رهقا )

  • @maarufumustwapha3055
    @maarufumustwapha30552 ай бұрын

    TUnapiga kelele tutamjuaje jini mwema hamulizi binadamu mwema mtamjuaje kwani wema unakulikana na ubaya unakulikana

  • @user-ie7ey2uz3c
    @user-ie7ey2uz3c2 ай бұрын

    nawausia waisilamu tuachane najambo hili tumfateni mtt wabacho ilitusalimike

  • @jumaahmadi
    @jumaahmadi2 ай бұрын

    😅 aslam alekum akh mm nilivyo muelewa shekh bach ni kwamba yafaa kutumia majini wema kwa mamb ya kher ila tu ayo majini kuyatumia ninjia moja wapo wa kukupelekea ktk ushilikina

  • @salehrashid-fx9rq

    @salehrashid-fx9rq

    2 ай бұрын

    Sahihi na kwakweli ndio ilivyo atakutumikia wee mpaka kushazoea baadae atataka umtii analolitaka

  • @SelemanAmir-ze8zz

    @SelemanAmir-ze8zz

    2 ай бұрын

    Kama kuwatumia Ni njia ya kuelekea ktk ushirikina vip ifae Tena kwanin isiwekwe Waz kuwa haifai kabisa kuepuka mashaka hayo Tung kwa hao mashekh wakubwa

  • @mwechengo6156
    @mwechengo61562 ай бұрын

    wenzenu wanapigwa Gaza upande unapigwa upande unakula maisha sasa wakiisha wa suruali fup msizani msiokua na ndevu utabaki salama

  • @rashidyahya99
    @rashidyahya992 ай бұрын

    Mi naona INGEKUWA VYEMA wayape MAJINI mic yajitete yenyewe!!!? au mnasemaje msio waelewa kama mimi!!!!

  • @selemanealmasse6276

    @selemanealmasse6276

    2 ай бұрын

    😂😂😂

  • @ahmadabdallah6641
    @ahmadabdallah66412 ай бұрын

    Asalam Alaykum. Nimethibitisha kuna Maruhani Waumin Wacha Mungu sana tena hawakiuki Amri za Allah na hawataki mchezo na dini na wanasaidia kwa tiba. Wanatumia Quraan na Uwezo Wao Waliipewa na Allah kusaidia kwa tiba na wala hataki kafara ya aina yoyote.

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    2 ай бұрын

    Lini Mtume Muhammad SAW alitumia maruhani katika tiba

  • @BuruhaniKitomozi-gb7fb

    @BuruhaniKitomozi-gb7fb

    2 ай бұрын

    Wanakujajekwako nifahamishendugu unakutanajenao kamaunapandishahawafai

  • @SelemanAmir-ze8zz

    @SelemanAmir-ze8zz

    2 ай бұрын

    Kama izi elimu zipo ziwekwe Waz mapito yake kuwapata majini wema isifichwe kuepuka dhana ya ubaya ikifichwa bac Kuna shida hapo

  • @mohcreative

    @mohcreative

    2 ай бұрын

    ​​​@@SelemanAmir-ze8zz Ndugu yangu una mengi ya kujifunza katika Uislamu ambayo yatakupa faida na kukupelekea uwe mja wa peponi. Achana na hamasa ya kutaka mafanikio kupitia majini na kutaka kuwafahamu saaana. Amini utapotea njia uwe umekula hasara Duniani na Akhera

  • @SelemanAmir-ze8zz

    @SelemanAmir-ze8zz

    2 ай бұрын

    @@mohcreative Allah ukuzidishie hujakosea dunia inameng sio yote yanatuhusu kiyapata mengne yanawenyewe

  • @radjabumwamedi8641
    @radjabumwamedi8641Ай бұрын

    Mm naon uyu sheikh maskio yake ayaskie sisi tuna mfata mtu Muhammad sww ajiuliz kwanz km mtu Muhammad aliwatumie majini? Tujuw km ni suna ama ni faradh kutumia jini?

  • @Aymanland
    @Aymanland2 ай бұрын

    Sheikh unayumba na unawayumbisha wanao kufuatilia achana na mada hii iko mbali na upeo Sheikh wangu na sio aibu kutojua yote katika dini huna haja ya kuminyana masheikh pia wanakosea usishikilie ibun taymiyah tu yule ni mwanachuon mkubwa mchamungu mwenye elim kubwa lakini anaeeza kosea pia katika kauli zake au akaeleweka vibaya kwa wanao soma fatuwa zake kikubwa tujue haifai kutumia jini kwani allah ametutofautisha kimaumbile na kila kundi tunatakiwa kumuabudu Allah na sio kwa kazi hiyo wanayo fanya Washirkina, sheikh unataka kuziporomosha mada zako watu wa TAWHIID waache kuzisikiliza hebu achana nayo hayo turudishe kwenye mambo ya familia Tufaidike. Uko unako enda unaenda kutufanya tukatae na mada zako je mada zako zikipotezewa kwa tatizo lako ndio umepata faida.

  • @elbattawy2864
    @elbattawy28642 ай бұрын

    Baba Kiriwasha ameelewa somo kutoka bachu, lakini nadhan shida ipo kwamba sisi binaadam wa sasa hatuna ubavu wa kumjua jini mwema 100% ili tutimize hiyo mubaha, Mitume ndio walikuwa na upeo huo, nashkuru kwamba masuala ya mapete ya bahati ya Dr Sule umemuachia mwenyewe Dr Sule umejiweka mbali na ushirikina, wewe umekuja na kitu mubaha tu, tumekuelewa

  • @KessyMwinchum
    @KessyMwinchum2 ай бұрын

    Kwa ufupi ww Shekh haueleweki

  • @ayububakari9942
    @ayububakari99422 ай бұрын

    Baba kiruwasha ungezungumzia mapenzi UTAWAPA KICK WASHIRIKINA..

  • @galeebkhan0138
    @galeebkhan01382 ай бұрын

    Mubaha Ndio Nn?

  • @agrolive4027

    @agrolive4027

    2 ай бұрын

    Mubaha maana yake halali

  • @rajabumbendenga5480
    @rajabumbendenga54802 ай бұрын

    MANHAJ SALAF NDIO MAPITO SAHIHI YA KUENDEA UISLAM WETU HUTOKAA KUSIKIA VITU VYA KITOTO KAMA HIVI KWENYE SOCIAL NETWORK. HUWA MAREJEO NI QURAN NA SUNNAH KWA UFAHAMU WA SALAF KINYUMECHO MTABURUZWA NA MAKANJANJA WA MJINI MPAKA BAAS

  • @sharifuburuhani1969

    @sharifuburuhani1969

    2 ай бұрын

    Sheikh Ibn Taymiyyah siyo SHEIKH wa KISALAFI?

  • @gigiman5465
    @gigiman54652 ай бұрын

    Msiba mkubwa na Africa umasikini tunao sana yaani watu kutukia majini na si technologia kisa dalali ktk mijitabu eti shekh ul Islam kasema ! na si Allah.

  • @makameally1962
    @makameally19622 ай бұрын

    Nimegundua KITu bachu kwao wao Ibny Taymiya humfanya kama ni mtume na akitelezaa wao Shekh wao Huwa hawakubali kuwa kakosea Ibny Taymiya Kazungumzia kuhusu kasema ina faa lakini Wao kwao hawathibishi Wao wanapindisha maneno na kusema ya kwamba wao wanaangalia athar

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    2 ай бұрын

    Kitu ambacho hukijui huyu sheikh uthaymeen na bin taimiya wote ni wanachuoni wetu wa kisalafi kwaiyo hujui unachokizungumza ww

  • @makameally1962

    @makameally1962

    2 ай бұрын

    @@saidimkwinzu9106 Ww hao wamethibisha wenyewe

  • @jumangozi2720
    @jumangozi27202 ай бұрын

    Au sasa utuambie kwamba binaadam anaweza kumsikia jinni

Келесі