RADDI KWA SHIA GOLO | 4 | KATI YA IBNU TAYMIYYAHNA SUYUTWIY NANI KAFIRI || Muhammad Bachu

Ойындар

Пікірлер: 160

  • @cammackmarck
    @cammackmarck2 ай бұрын

    Allah akulipe kheir sheikh muhammad bachu shia golo ata haeleweki

  • @SaidAbdallah-sm1ft
    @SaidAbdallah-sm1ft2 ай бұрын

    Mashallah mashallah mashallah akhy Muhammad bacho sisi masalaf kwahili tunakuunga mkono Asante sana kwa kumtetea shekhe ibin taimiyyah juu ya huyu kijana aliye mkufurisha Akhy nendanae kimasuwali Zaid bila shaka ameshaanza kushindwa hoja na hii ndio hakii (الحق يعلو ولا يعلى عليه)

  • @muhibbualii4580

    @muhibbualii4580

    Ай бұрын

    Yaani mnashangilia kutetewa Mungu kijana 😂😂enyewe mawahabi mna matatizo

  • @SaidAbdallah-sm1ft

    @SaidAbdallah-sm1ft

    Ай бұрын

    @@muhibbualii4580 wewe ni jahili hujui hata Muhammad bacho anazingumza nini

  • @SaidAbdallah-sm1ft

    @SaidAbdallah-sm1ft

    Ай бұрын

    @@muhibbualii4580 Muhammad bacho hatetei kua Allah ni kijana ebu FUWATILIA uwelewe usikurupuke ndugu yangu huwenda ukajakujua baadae

  • @muhibbualii4580

    @muhibbualii4580

    Ай бұрын

    @@SaidAbdallah-sm1ft Ahaadeeth zenu ni wazi kabisa kutetea fikra ya Ibn taymiya ni kutetea manhaj potofu

  • @SaidAbdallah-sm1ft

    @SaidAbdallah-sm1ft

    Ай бұрын

    @@muhibbualii4580 wewe haujaelea mbona huyo shia kakimbia

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide50232 ай бұрын

    Sheikh Muhammad bachu Allah akulinde na Mahasidi na Adui na hila zao zote. Sisi tunakupenda kwa ajili ya Allah na tanakufaatilia hatua kwa hatua kutoka Msumbiji Nampula Ahmad. Huyo shia amepagawa kwa Kweli baada ya kushindwa hoja wallahi. Allah amuongoze

  • @ramadhansaid778
    @ramadhansaid7782 ай бұрын

    Alhamdulilah namuomba ALLAH amuhifadhi Sheikh MOHAMMED BACHU tuzidi kustafid nawe

  • @user-kc4fv6cf8l

    @user-kc4fv6cf8l

    2 ай бұрын

    Namuomba allah auhifadhi uma wa kisilam na watu wa fitna kama hawa

  • @ibnukhatwib2969
    @ibnukhatwib29692 ай бұрын

    Baarakallahu feek Sheikh, waambie kama mimi niseme,Namuona Sheikh Nassor Bachu wakati nakuangalia....huenda Namuona kwa sifa yake flani ulionayo vile vile,hio hakanushi kua wewe sio Sheikh Muhammad Bachu wala haitokua vengine kwa muono wangu bali dhati itabaki katika Hali Yake tusioijua kwamba Allah Yuko nà ndoto zetu hazitoathiri Dhati yakee wala haitoswadikisha ndoto zetu.

  • @user-jo1pd1fk1w
    @user-jo1pd1fk1w2 ай бұрын

    Mashaanllah mashaanllah barakanllahu fiiika anllaha akuhifadhi na akiepuahe na kila Shari dunia na akhera

  • @user-zf3fz5lf4m
    @user-zf3fz5lf4m2 ай бұрын

    Mungu akuzidishie elimu tena na tena tunufaike hapa duniani na kesho akhera.

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin32432 ай бұрын

    ربنا يسعدك ويفرح قلبك يارب ويبارك في عمرك

  • @SaidAbdalla-gl2dp
    @SaidAbdalla-gl2dp2 ай бұрын

    Sheikh mahammad tunakufuatilia sana na tunaelimika sana Allah akubarik ila na huku pemba tunatamani sana ipatikane siku uje kwenye miskiti yetu ya kisunna.Allah alijaalie hilo lifanikiwe

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh31772 ай бұрын

    Maashaa Allah sheikh Muhammad umewapiga na kitu kizito kichwan. Ivi mm sielei awa wanachagua maisha ya dunia kuliko maisha ya milele Allah awaongoze na atujaalie sisi wengine atuthibitishe ktk dini hii 🤲🏽

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs2 ай бұрын

    Maaashaaallah bachu Allah akuzidishie mema zaid

  • @binhussein4411
    @binhussein44112 ай бұрын

    SHEIKH MOHAMMAD TWAELWA SANA HIYO POINT UNACHOKIONA USINGZINI SIO REAL. NA ASIETAKA KUELEWA ALLAH KAWAPIGA KUFULI NDANI YA NYOYO ZAO @mohmmad nassor bachu

  • @user-ug8hc4yh5k
    @user-ug8hc4yh5k2 ай бұрын

    Shukran sana sheikh wetu Muhammad bacho Asili ya nguruwe zote za Kishia ni kukimbia mada Nguruwe Iyo ya Kishia isikutowa kwenye mada Kama ilivyo anza Iyo nguruwe la Kishia kukutowa kwenye mada

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin32432 ай бұрын

    Jazaaka Allaahu khayran

  • @binhussein4411
    @binhussein44112 ай бұрын

    Wallahy alivyoshundwa kujibu hoja huyu Shafii ilikua nasubiri sana Toka jana umjibu..tuelimike zaidi wallhy..Sheikh bachu wanufaisha watu wengi wengi sanaaaa wallhy..twakupa moyo uzidi kuendelea na Daawa yake Allah

  • @user412
    @user4122 ай бұрын

    Waislamu tuacheni ushabiki. Tukae chini tusome. Wanawazuoni wamefanya kazi kubwa sana katika kuisimamisha, dini. Nasi tufanye Jitihada katika kusoma ili tuweke athari katika dini hiii. Allah atuoneshe njia ya haki ili tuweze kuifata. Amiin 🤲

  • @mohagurey2214
    @mohagurey22142 ай бұрын

    Mashallah

  • @salimtz6
    @salimtz62 ай бұрын

    Masha-allah sheikh wangu

  • @SelemaneArabeArabe-wd8fb
    @SelemaneArabeArabe-wd8fb2 ай бұрын

    Chekh bachu nakupenda sana Kwa ajili ya Allah, Allah akupe unmur mrefu ili tufaidike Niko nampula Mozambique.

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin32432 ай бұрын

    اللّهُــــــــــم آمين يَـــــــــارَب العَالَمِيــــــــــن

  • @AliJabal-fx8pd
    @AliJabal-fx8pd2 ай бұрын

    بارك الله في علمك اخ محمد

  • @rahmahsaidomar9111
    @rahmahsaidomar91112 ай бұрын

    BarakaAllah sheikh kwa kutuelimisha. Walaakin maoni yangu usingebishana na hawa kuwapa umaarufu. Kuna watu wengi imani dhaifu watapata kuchanganikiwa kisha ndio watoroke dini kabisa. Wale haja yao ni kutatanisha dini. Tumekuelewa sheikh mwache usiendeleze. Kuna mengi yenye kutufunza haya maneno yana shubuhaat na watu wanapotea. Heri umebainisha na uiachie hapo. Allah atuongoze sote.

  • @mohammedhassan8922
    @mohammedhassan89222 ай бұрын

    Wafunsishe mashia golo

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot2 ай бұрын

    Shekhe Muhammad Bachu kwa hivi ulivyo watu wa bidaa watakufanyia hila za kila aina, lkn usirudi nyuma, kumbuka hapa karibu tu mihna alio pitia baba yako ambae mimi nili ijua Sunnah na bidaa, Tawheed na shirki, kupitia yeye, Allaah Mtukufu amrahamu Shekhe wetu Mlezi wetu, washirikina na wazushia walimfanyia madhila yakila aina. Nahii ndio njia ya Maulamaa , Mashaayikh na Madu'aat wa Haqqi wote. Kwaio Shekh Muhammad simama imara hivyohivyo na Allaah Alie juu ya Arshi yake atakutia nguvu, na wale wanao kutamania mabaya, udhalilifu, Allaah atakulinda na shari zao, nao siku ktk masiku watakuja kutambua nafasi yako na hadhi yako. Subra inahitajika.

  • @ameirameir4349

    @ameirameir4349

    2 ай бұрын

    Sadakta

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    2 ай бұрын

    Mawahabi mna shida kweli

  • @bafaaabuu
    @bafaaabuu2 ай бұрын

    Mashaallah zidi kutupa elimu ndungu yetu

  • @tumerbakhressa8598
    @tumerbakhressa85982 ай бұрын

    JazakaAllahu khayral jazaa Sh Muhammad Bachu, umeshamjibu huyu Shia sura yake ni kinyago asili

  • @badrudinsalum3139
    @badrudinsalum31392 ай бұрын

    Barakallahu fiyka

  • @JumbiSecondary
    @JumbiSecondary2 ай бұрын

    Laysa kamithlihi shay-un

  • @user-uj2ym8ku8p

    @user-uj2ym8ku8p

    2 ай бұрын

    وهو السميع البصير

  • @user-yu9gy6dg3g
    @user-yu9gy6dg3g2 ай бұрын

    Kwani mashia wanamkubali ibnu abbas (R A)

  • @eddieeddie2755
    @eddieeddie27558 күн бұрын

    Ushia ni ukafiri .

  • @Abuu-lr5bz
    @Abuu-lr5bz2 ай бұрын

    ikiwa mashia wanamtukana mtume swallallahu alaihi wasallamu na maswahaba wake watamuacha nani baada yao hao ndio mashia washirikina waabudu watu badala ya Mungu wa wawatu

  • @ameirameir4349
    @ameirameir43492 ай бұрын

    Allah akupe afya na siha Muhammad Bachu uendele kusafisha uchafu wa mashia

  • @ameirameir4349

    @ameirameir4349

    2 ай бұрын

    Shukran

  • @user-kc4fv6cf8l

    @user-kc4fv6cf8l

    2 ай бұрын

    Mungu atuepushe na maruwaibidhwa kama hawa

  • @NassirSaidmassoud
    @NassirSaidmassoud2 ай бұрын

    Wakome wanaosema kwamba natuk ana bachu uwu ni ujinga

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest6462 ай бұрын

    Mnapingana ninyi kwa niyinyi

  • @MkindiRama-lp6hy
    @MkindiRama-lp6hy2 ай бұрын

    Sheikh ndoto ya manabii ni wahyi

  • @user-lp3gi5wd4e
    @user-lp3gi5wd4e2 ай бұрын

    Nyie MAWAHABI na SHIA wacheni kujadili ujinga!!,ALLAH hana mfano,Allha hana vinywele wala vilivyojikunja wala hana mfano.

  • @binfarhan879

    @binfarhan879

    2 ай бұрын

    Ww hayakuhusu Aya yaache tu Sisi wenyewe tunafaham kinachosemwa!

  • @user-zj6uz6dt9j
    @user-zj6uz6dt9j2 ай бұрын

    Huyo shia hana ajualo kwaiy haina hja ya kujadiliana naye , yy hataki kufahamu anataka ushindani.. Tunakuelewa akhy bachu allah akulipe kheri nyingi .

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    2 ай бұрын

    Du huu ni mtihani kweli wa mawahabi

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u2 ай бұрын

    Bachu UKITOKA NENDA KWA SHEKHE DIWANI ANASEMA UWAHABI NI TAWI LA UKATOLIKI TENA KESHATOA CLIP NYINGI SANA.

  • @user-fb6cs6vf5e
    @user-fb6cs6vf5e2 ай бұрын

    Tatizo bachu unamaneno mengi,anachosema sheik shafi kuwahadirhi hii ni uongo mtume hawezikuota kitukamahicho,

  • @khalidabas252
    @khalidabas2522 ай бұрын

    TOKOMEZA USHIA

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    2 ай бұрын

    Du huu ni mtihani mkubwa kwa mawahabi

  • @khalidabas252

    @khalidabas252

    2 ай бұрын

    Utaelewa tu. Ushia hapa hauna nafasi

  • @NassirSaidmassoud
    @NassirSaidmassoud2 ай бұрын

    Bachu uwezi kutetea ukafiri wa ibn teymia pili mungu wenu nikinyago pili suyutwi ninani nimtume

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    2 ай бұрын

    😂😂😂 nyie wete ndo shia golo Akili kisoda mjanitoa Akili manakwepa MADA mnatoka nje ya mada hamsikilizi mnacomment bila kusikiloza 😂😂 ALLAH akuongoze

  • @HumeidKimazi01

    @HumeidKimazi01

    2 ай бұрын

    Huwezi jua Sututwi ni nani kwa kuwa wewe si Ahlul Sunna wewe ni Shia

  • @SugowFarah-up3db

    @SugowFarah-up3db

    2 ай бұрын

    ​@@saidimkwinzu9106Tunasubiri ajibu swali je Suyuth naye ni kafiri😁 Na kama sio kafiri imekuaje Ibn Taimiya awe kafiri na Suyuth asiwe kafiri ilihali wote wawili msimamo wao katika hadith hiyo ni sawa sawa😁😁😁

  • @binfarhan879

    @binfarhan879

    2 ай бұрын

    We unaonekana upo kwenye upinzani ila kama utamsikiliza vzr Shekhe Bachu utamuelewa nn tofauti ya Ibn Tayymia na Imamu Shuyut ambapo Ibn Tayymia tunasema ni WA Mahabi Yy Kafir je Imamu Suyut ambae anafuatwa na watu wanaojiita ahli Sunna( Ghurafi) yy atakua na nn? Hilo ndio linalofafanuliwa ww Shia.

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    2 ай бұрын

    @@SugowFarah-up3db atakuja kubwabwaja huyu shafii na mashia wengine ni watu wa hovyo tu wachafuzi wa dini nishawahi kufanya majadiliano na shia mmoja Yuko Iran mwaka juzi ni watu wapotovu sana Kwa kweli wanataka kuangusha suna na niwaongo sanaa

  • @Abuushawkan
    @Abuushawkan2 ай бұрын

    Huyu shia golo alijifinya kwenye mgongo wa twariiqa sasa atateseka sana labda amuombe mzeee jalala kama ataweza kupamba na mtoto wa simba kihojo na kielim

  • @muhibbualii4580
    @muhibbualii45802 ай бұрын

    Mungu kijana mwenye nyele koto mungemleta aichezee taifa stars yetu huenda tukashinda world-cup

  • @CytneSikilo

    @CytneSikilo

    Ай бұрын

    Kufuru hizo, ukiwa umejaaliwa uelewa mdogo mshukuru Allah baki kuwa msikilizaji bila kuchangia chochote

  • @muhibbualii4580

    @muhibbualii4580

    Ай бұрын

    @@CytneSikilo kuna kufru zaidi ya kuwa na mungu kijana kwa mwislamu kuamini hivi kuna tofauti gani na wenye kuamini kuna Mungu aliotumwa kwa kuokoa dhambi zao

  • @user-zf3fz5lf4m
    @user-zf3fz5lf4m2 ай бұрын

    Sisi tunajua Shafi hawezi kujibu maswali ya sheikh Muhammad Bachu. ndiyo maana Shafi anakwenda akirudi hana chochote.

  • @ramygichero1016
    @ramygichero10162 ай бұрын

    Hamna kitu ambacho hakija jibiwa mbona kila kitu Shafii amekijibu vizuri

  • @user-ed1cf9nq5w
    @user-ed1cf9nq5w26 күн бұрын

    Mwambie huyo khabiith anapomjeruhi bn Taymiyyah kuwa ni muongo atowe na ushahidi wa kielimu juu ya uwongo wake. Vinginevyo akae chini ajifunze ilmul jarh watta'diil na misingi tegemezi katika kumjeruhi majruuh

  • @abuumaryam1922
    @abuumaryam19222 ай бұрын

    Jaman nauliza Shia golo manaake nini?

  • @JabirBakar-ys8dw
    @JabirBakar-ys8dw2 ай бұрын

    Swuyutwiy kwa hiyo huo ndio uthibitisho wa kwamba mungu ana sura ya kijana bachu hata mm sijaona ulichojibu

  • @CytneSikilo

    @CytneSikilo

    Ай бұрын

    Kufuru hizo, ukiwa umejaaliwa uelewa mdogo mshukuru Allah baki kuwa msikilizaji bila kuchangia chochote

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs2 ай бұрын

    Jamani tuzidishe kumuombea mhammadi bachu maan anafany kazi kubw saan

  • @abdulomari4932

    @abdulomari4932

    2 ай бұрын

    Kazi gani

  • @SugowFarah-up3db

    @SugowFarah-up3db

    2 ай бұрын

    Kusafisha taka taka za mashia golo na kuwalingania kwenye Dini sahihi ya kiislamu ​@@abdulomari4932

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    2 ай бұрын

    @@abdulomari4932 ya kuwafukunyua watu wapotevu kama wewe hapo jishia

  • @user-kc4fv6cf8l

    @user-kc4fv6cf8l

    2 ай бұрын

    Ni hakika anafanya kazi kubwa sana ya kufaraqanisha na kuwatia waisilam kwenye fitna na kuwafanyisha mwisho waisilam wauwane na wartad

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    2 ай бұрын

    @@user-kc4fv6cf8l kwaiyo msiambiwe haki Yani hapa Kila shia mpotevu lazma akasirikr Kwa nondo hizi

  • @user-xi4le1hp4y
    @user-xi4le1hp4y2 ай бұрын

    Hapo anasemaje shafii .huyo ashaaira, anakubali kwamba ameparamia mwendo kasi kwa mbele tena ikiwa imefeli breki?

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official2 ай бұрын

    😂😂saiv shafii shia golo maji yamemfika kooni😂😂

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u2 ай бұрын

    MAALIM HIYO NDOTO INA MAANA GANI??

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs2 ай бұрын

    Ushia kwishaaaaaa habar yake ndowamwbaki kina goli sjui golo Hilo jin

  • @rashidhasni2112
    @rashidhasni21122 ай бұрын

    Bachu tafuta sifa za mashia wanavyomsifia Allah anzia na hilo kwanza alafu ndio umjibu

  • @hassanmohamedlaizer569
    @hassanmohamedlaizer5692 ай бұрын

    Yani shafii bora anyamaze huyu sheikh wanamuongezea followers tu😂😂 wakijua wanamrudisha nyuma

  • @juanmadata5212

    @juanmadata5212

    2 ай бұрын

    Sio kumuongezea followers shafii hana hoja anafanya mambo kimirengo!!

  • @khalidtechnology367
    @khalidtechnology3672 ай бұрын

    Tupo pamoja

  • @zainabonlinetv2210
    @zainabonlinetv22102 ай бұрын

    Hawezi kujibu lazima akwepe huyo shafi wenu

  • @KhalfanMassoud

    @KhalfanMassoud

    2 ай бұрын

    Kweli

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e2 ай бұрын

    Shia Hawa makafiri na haifai kushilikina nao kwa Jambo lolote nguruwe wa motoni wale

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e2 ай бұрын

    Mijitu inamkufurisha hadi mtume na swahaba zake watamuacha mtu salama hawa we kama mtume wamemtukana matusi makubwa watashindwa hilo mbona kunaakubwa na machafu walomsingizia mtume mi ushauli wangu wapuuzeni tu hao Sabu Shia so dhehebu Ni dini kama dini zingine za makafiri tuu.iyahudi ukristo mama jusi so dhehebu hilo ushauli wangu shekhe bachu achana na mikafiri hiyo

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa65502 ай бұрын

    Shia golo haelewi bhana anajibaraguza tu

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u2 ай бұрын

    NAOMBA NIWAULIZE MAWAHABI HII HADITHI SAHIHI?? AU NDO MAWAHABI MNATUMIA HADITHI DHAIFU KTK TAUHID ILA WAKITUMIA WENGINE KTK HISTORIA INAKUWA SHIDA??

  • @hilalalhabsi2047

    @hilalalhabsi2047

    2 ай бұрын

    Mawahabi watujibu " jee hii hadithi wanaoiamini mawahabi ni sahihi au laaaa?!. Nabiy Yusuf kaota watu. Hili suala la Mungu ndio tunauliza. Haihusiani ndoto za kibinaadamu

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl2 ай бұрын

    Laazima wachanganyikiwe makafili wa kishia kwani kwasababu wabajuaukweri wote nibasitu ukafiliumewazidi

  • @dauddavid6837
    @dauddavid68372 ай бұрын

    Huyu bwananishat kweli

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs2 ай бұрын

    Mashia watakimbia mwaka huuu salaleeeeeee

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    2 ай бұрын

    Du kwa mtazamo huu mawahabi mmekula hasara

  • @user-lp3gi5wd4e
    @user-lp3gi5wd4e2 ай бұрын

    Mnapoelekea nikwenye Shirk,wacheni kujadili mambo ambayo hayana uwasilia maneno tu yawatu.ALLAH hana mfano wowote Qur an imeshasema.Hayo maelezo yenu eti nikakijana kana nywele zimejikunja keupe!!,Subhanallah. ALLAH HANA MFANO,wacheni ujinga nahayo mavitabu yenu.

  • @binfarhan879

    @binfarhan879

    2 ай бұрын

    Shekhe Bachu amekuja kueka sawa ili watu wasije hifadh kua Ibn Taymia ni Kafir kama huyu Shia anavyodai na Lau asingali yasema haya Wala hili lisingalitokea. Kwasabab Maghurafi wengi wangekuja kuamin kua Ibn Taymia ni Kafir. Kwaio hapa amekuja kusawazisha maneno mabaya ya Shafii tu.

  • @user-go3bk6wr8u
    @user-go3bk6wr8u2 ай бұрын

    Hii mijitu ya bidaa sijwi inataka nini msana haki wanaikataa na hawajuwi hata kusom

  • @user-do1pq2uu1c
    @user-do1pq2uu1c2 ай бұрын

    Huna lolote ulilomjibu shekh shafi huwezi ukatetea jambo alilolisema ibn taimiyya likawa linapingana na quran ati ndoumeilimisha yaani tuikanushe qulhua llahu kwa mapenzi yenu na ibn taimiyya? Kasomeni acheni upuuzi ibn taimiyya hawezi kua juu ya quran halafu watu wasibainishiwe au nyie mnaona sawa allah kufananishwa nakijana barobaro mwenye nywele vipilipili huu si ukaafir dhahir? Hakuna chandoto wala nini kuweni makini msiwe majuha

  • @HumeidKimazi01

    @HumeidKimazi01

    2 ай бұрын

    Kwani Ibn Taymiyyah ndio katunga hiyo hadithi?Hiyo hadithi imepokelewa kutoka kwa mtume na Swahaba kwa hiyo wewe wajua zaidi kuliko Ibn Abbas aliyesimulia ? Soma wewe

  • @user-do1pq2uu1c

    @user-do1pq2uu1c

    2 ай бұрын

    @HumeidKimazi01 hakuna hadith itakayoweza kuikhalif quran iwe sawa hata kama mtamsingizia ibn abbas r a ni bure tu nahao kina ibnu abbas unaowataja katika hii hadithi hawakuelezea kama ibn taimiyya alivyoeleza imefanana baadhi ya maelezo lakini hawakusema habari za ubarobaro au nywele za kipilipili

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6op2 ай бұрын

    Shia goro halijielewi anatafuya pakutokea nandivyo walivyo watu wa bidaah na mashia wanashindwa kujibu hoja wanaleta fujo

  • @abdallamassoud53
    @abdallamassoud532 ай бұрын

    Kibur ni hatar, unamwitajee jina ambalo yeye halitak

  • @KhalfanMassoud

    @KhalfanMassoud

    2 ай бұрын

    Kwani yy anamuitaje

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog21882 ай бұрын

    NiQAQSH na mjinga kama huyo shia golo. Haufai. Mimi siwashauri. Yatawakuta yalowakuta kwa. Kwa. Dj saidy mandege itawakuta majibu. Ya shubha

  • @abbaspaziaog2188

    @abbaspaziaog2188

    2 ай бұрын

    Huyu yatakiwa umtandikie. Kwa mbali. Tu .

  • @user-xi4le1hp4y
    @user-xi4le1hp4y2 ай бұрын

    Huyu shafii hajui kwamba jambo hili lipo kielimu, na lishajadiliwa na wanazuoni tangu karne na makarne na hadithi ni swahihi, leo yeye anaona ajabu,na ahlu sunna wal jamaa ndio aqiida ya kwamba tunamuamini mtume swalallahu alaihi wa salamu katika nususi zilizo thibiti,.wewe shafii hujui ukimkufurisha muisilamu huenda wewe ndio kafiri?

  • @dauddavid6837
    @dauddavid68372 ай бұрын

    Weebwan mwenyezimung kashasema hafanani nakitu chochote inakuwaje ibn taiyymiya anasema mtumekak

  • @dauddavid6837

    @dauddavid6837

    2 ай бұрын

    Kamuona mungu katika mfano wamtu hizo hadithi za israailiyaat namtume kasema itakapo mijieni hadithi na ikanasibishwa kwangu basi ipimeni katika quraan ikiwa haipingan naqran basi ichukueni lakini ikipingana nakitabu cha mungu basi ipigeni عرض الجدارyani ipigeni ukutani yani msiichukue

  • @dauddavid6837

    @dauddavid6837

    2 ай бұрын

    Kamuona mungu katika mfano wamtu hizo hadithi za israailiyaat namtume kasema itakapo mijieni hadithi na ikanasibishwa kwangu basi ipimeni katika quraan ikiwa haipingan naqran basi ichukueni lakini ikipingana nakitabu cha mungu basi ipigeni عرض الجدارyani ipigeni ukutani yani msiichukue

  • @HumeidKimazi01

    @HumeidKimazi01

    2 ай бұрын

    @@dauddavid6837wewe unajua dini kuliko Ibn Abas?

  • @dauddavid6837

    @dauddavid6837

    2 ай бұрын

    @@HumeidKimazi01 ndugu yangu hadithi yoyote ambayo itapingana nakitabu chamungu haikubaliwi k7b kitabu chamungu ndo mizan yamwisho yakuzipimahadithi zamtume

  • @khalidabas252

    @khalidabas252

    2 ай бұрын

    Anasema Ibn taymia ni kafiri, imam suyuti, imam ghazal na imam ahmad wao watakuaje?

  • @abiabi9353
    @abiabi93532 ай бұрын

    Yani bachu na mawahabi wenzake ni vichwa mchunga hawaelewi kabisa.Ishu si kwamba ibn taymiyah anasema kuwa hiyo hadith ni ndoto au si ndoto ,ishu ni kwamba hiyo hadith ni ya uwongo inayo pingana n Quran. Haiwezekani kumuona Allah aidha kwa macho wala usingizi kwasasa mungu haonekani kwa macho wala usingizini kwasababu huwezi kujenga taswira yakitu k8sicho na mfano wala akili haiwezi kujenga taswira yake. Ukikiona kitu usingizini maanake umejenga taswira yaki kiakili. Nahili haliwezijani kwa Allah kwasababu mwenyewe kwenye Quran amesema " latudrikul absar". Labda bachu atwambie maana ya aya hii. Pili hadith hii ya bachu inapingana na hadith nyengine ya mtume ambapo mtume amesema tukimuona yeye ndotoni basi ni yeye kweli. Kwahiyo maana ni ileile kuwa kama tukimuona Allah ndotoni ni yeye kweli.na hili haliwezekani. Pia bachu amedanganya alipo linganisha hadith hii ya uwongo n ndoto ya nabii yusuf. Inajulikana ndoto yanabii Yusuf ilikuwa na tafsiri ya majazi kuwa nyota na mwezi zina msujudia yusuf maanake na bii yusuf atakuwa kiongozi juu ya ndugu zake. Sasa nataka bachu atape tafsiri ya majazi ya hadith hii ya uongo. Bila Shaka hana tafsiri ya majazi.maanake kilichokusudiwa ni hakika kuwa mtume kamuona mungu.na hili sikweli kwasababu Mungu haonekani. Pia tunataka bachu atueleza nini hikma ya mtume kutupa hadith ambayo haiyionyeshi ukweli kitu kilivyo na pia haina tfsiri yakimajazi.ni mtume alitaka tujifunze kwa hadithi hii ya uwongo.Au mtume alijisemeya tu.na hili haliwezekani kwa mtume. Pia bachu ni muongo alipo linganisha kauli ya suyuti na kafiri ibn taymiyah. Imama Suyuti ameifafanua vizuri hiyo hadith kwa kusema kumuona mungu ndotoni haimaanishi kuwa yeye. Lakini ibn taymiyah hakutoa ufafanuzi huo. Na kama bachu anao ufafanuzi hui wa ibn taymiyah autoe namuahidi zawadi shilling laki moja.ibn taymiyah anaamini kumuona mungu ndotoni ndiyo yeye.ndiyo maana tukasema ibn taymiyah ni kafiri kwa amini mungu anasura yakitoto kidogo chenye rasta.kwahiyo bachu bado hajaweza kutetea ukafiri wa ibn taymiyah.

  • @khalidabas252

    @khalidabas252

    2 ай бұрын

    Ishu ni kwamba ibn taymia kafiri kwa hoja iyo? Imam suyuti na imam Ghazali watakua nani?

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    2 ай бұрын

    @@khalidabas252 Ndiyo ibn taymiyah atakuwa kafiri na Imam suyuti na Ghazali si makafiri kwasababu. Imam suyuti haamini kuwa kumuona Allah kwenye ndoto ni yeye ndo maana akaitolea ufafanuzi hadith hiyo.lakini ibn taymiyah anaamini kumuona Allah kwenye ndoto ni yeye ndo maana hakutoa ufafanuzi. Na nakupa challenge nipe ushahidi wapi ibn taymiyah kasema kumuona Allah kwenye ndoto si yeye. Kwahiyo kuamini anavyo amini ibn taymiyah ni ukafiri

  • @khalidabas252

    @khalidabas252

    2 ай бұрын

    Hiv ww unakua unasikiliza au unakimbilia kuandika magazeti tu. Hebu rejea tena kuisiliza raddi no 2.

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    2 ай бұрын

    @@khalidabas252 Haha wewe wahabi ndo inaonekana Hujasikiliza. Nimesikiliza zote hakuna hata clip moja bachu alivyoweza kuonyesha kuwa ibn taymiyah anaamini kumuona Allah kwenye ndoto ni tofauti na uhalisia. Wewe kama umesikiliza ukasikia nambie 1.ni clip namba gani na dakika ya ngapi 2.pia taja kitabu cha ibn taymiyah bachu alichotumia na ukurasa wake.

  • @NassirSaidmassoud
    @NassirSaidmassoud2 ай бұрын

    Muhabi wewe au mjinga wewe shafi kasema kwamba hadithi hizo nizauwongo kazitunga ibn taymia na wenzake hajabu suyutwi leo ni Shia?Muhammed wewe nimuhongo

  • @YahyaYahya-vp2pp

    @YahyaYahya-vp2pp

    2 ай бұрын

    😂😂 shindano imekuingia naona

  • @dauddavid6837

    @dauddavid6837

    2 ай бұрын

    Yani hawa mawahabi kilamtu anaye bainisha uovuwao wanasema nimshia mashia wakiingia katika uwanja huo mtakimbian wote

  • @YahyaYahya-vp2pp

    @YahyaYahya-vp2pp

    2 ай бұрын

    @@dauddavid6837 haahaa hiyo dp tako shajieleza huna ujualo ktk hii dini

  • @dauddavid6837

    @dauddavid6837

    2 ай бұрын

    @@YahyaYahya-vp2pp daa yani unaona kila mwenye jina lakikiristo wajua nimkiristo nikuulize kitabugani cha aqida na fiqih umesoma au nawewe niwale wamihemko tu

  • @hamadali3231

    @hamadali3231

    2 ай бұрын

    Wenzake wapi ?

  • @NassirSaidmassoud
    @NassirSaidmassoud2 ай бұрын

    Wewe muhammedi nikikaragosi cha mayaudi m mungu anamfano pumbavu mnaswara wewe

  • @NassirSaidmassoud
    @NassirSaidmassoud2 ай бұрын

    Muhammed bachu wewe wewe dini yako nimshahara ni mtumishi wa mayaudi unadini

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs2 ай бұрын

    Maaashaaallah bachu Allah akuzidishie mema zaid

  • @SaidAbdallah-sm1ft
    @SaidAbdallah-sm1ft2 ай бұрын

    Mashallah mashallah mashallah akhy Muhammad bacho sisi masalaf kwahili tunakuunga mkono Asante sana kwa kumtetea shekhe ibin taimiyyah juu ya huyu kijana aliye mkufurisha Akhy nendanae kimasuwali Zaid bila shaka ameshaanza kushindwa hoja na hii ndio hakii (الحق يعلو ولا يعلى عليه)

  • @dawud6065

    @dawud6065

    2 ай бұрын

    Sisi " Masalaf" tunakuunga mkono kwa hili.. bi maana Sheikh bachu hajinasibishi na Manhaj Salaf au nimekuelewa makosa?

  • @SaidAbdallah-sm1ft

    @SaidAbdallah-sm1ft

    2 ай бұрын

    @@dawud6065 kuna kipindi alikhalifu na kuwa RADD masalaf na kuwatetea watu wamatamanio

  • @user-ug8hc4yh5k

    @user-ug8hc4yh5k

    2 ай бұрын

    Lakini nyinyi masalafiya jadidah mko na matatizo sheikh Muhammad bacho na doctor Islam na sheikh salimu barahiyani munawaita kuwa ni watu wa bidah Nyinyi masalafiya hamna uwadilifu kabisa

  • @ABUUJAAFAR92

    @ABUUJAAFAR92

    2 ай бұрын

    ​@@dawud6065Bachu anapenda sana usalafi lkn tatizo lake ameshikana na mahizbiy na kuwaacha masalafy,,,Sasa hii ndio shida yake yani kwa masalafy ataka na kwa mahizbiy yupo...hio team yake ni yeye tu pekee anaejinasbisha na usalafi ...

  • @ABUUJAAFAR92

    @ABUUJAAFAR92

    2 ай бұрын

    ​@@user-ug8hc4yh5khawajaitwa watu wa bidaa Bali wameitwa mahizbiy,,,,alafu na wewe mbona wawaita masalafiya jadida? Masalafy wa ukweli ni kina nani Sasa?

Келесі