Sheikh Barahiyan aulizwa swali kwanini wanamradd Kishki - Kipindi cha Al Jawaabul Kaafy 13.02.2019
Жүктеу.....
Пікірлер: 40
@wk35605 жыл бұрын
Sahihi sahihi Sahihi!!! Shekhe ujue matumizi ya hilo neno “kisahihi”. Usiseme tu.
@relaxmedia49345 жыл бұрын
Sheikh barahiyan upo vzur xana Allah akupe umr mref uzd kutufahamixa napenda xana muungane na kassm mafuta ajl ya Allah
@zaitunimuhammad85463 жыл бұрын
Allh akuongze ww uliye waita ahlu sunna mawahabi mama hauelew unach kisema , shekhe kuwa na Subra allh atakulipa. Inxhllh
@fatumaramadhanmashaallahal99665 жыл бұрын
Shukran wajazaka llahu heri sasa kama sisi waislam tunapingana na waislam hamuoni kuwa mnawapa nguvu makafiri waone waislam hawana maana
@swahibal-karama1455 жыл бұрын
MAKHAWARIJI NI WEWE SHEIKH BARIHIYAN NI NYINYI MAWAHABI NDIO WATU WA BIDAA MSIZUNGUSHE ZUNGUSHE MKAJITIA MOTONI....HALAFU IYO HADITHI HUIJUI UNAISOMA SIVYO HUNA MPANGO BANAAA.
@hamisjuma85245 жыл бұрын
MashaAllah
@saidisalum20514 жыл бұрын
Kunachizi mmoja anauliza kwamba heti kwanini sisi waaislam hatuelewani huyu hjaelewa nazani nikwasababu ya uvivu wakusoma waislam tunaelewana ispokua atakaetoka katika mafundisho ya mtume akazusha ibada anazojua yeye kwa maslahi ya tumbo lake hatutomfuata itakua kajitenga mwenyewe na sio kwamba waislam hatuelewani sawa
@salamakhamis72454 жыл бұрын
Mhh dini imepata wacha Mungu
@salehaljadidi82063 жыл бұрын
Huyu ni Kiongozi wa Al Qaida Tanzania. Anajulikana mpaka Marekani.
@zanzibaronlytv3470 Жыл бұрын
boss ondoa ivin sina ktk hospitals au pharmacy zako, ili masalafy (ansar sunna) izidi kutangazwa
Shukran Sheikh ila hapo kwenye uwalii sjaelewa vzr kat ya kaka wa wa Dada na watoto wa Dada kuwa watoto ndo wanaofaa kuwa mawalii?
@swahibal-karama1455 жыл бұрын
HUNA KITU BANAA.
@salumrashidabdullashmely25584 жыл бұрын
Barahayawany
@swahibal-karama1455 жыл бұрын
Sheikh NAKUONA WAZI KUWA ELIMU YAKO NI CHANGA....TAWASSULI INAKUSUMBUA UPO KIWAHABI ZAIDI MAANA HUTAJI AHLI SUNNAH WAL JAMAA UNATAJA TU PEKEE...MASHEIKH WA KIWAHABI TU.
@ur4meAnwar5 жыл бұрын
جاء في حديث أن رسول الله ﷺ قال: "من كفر مسلمًا فقد كفر" Mtume wa Allah amesema mwenye kumkufurisha Muislamu yeye amekafiri.
@hasanalihasani32365 жыл бұрын
Hao hao mnao waita mawahabi wamepigwa vita saana lakini bado Allah amewapa nguvu hadi sasa wamekuwa ni chachu ya maendeleo ya waislamu Tanzania pia kuutambua uislamu sahihi
@swahibal-karama1455 жыл бұрын
LAKIN NYINYI MAWAHABI HOJA ZENU ZA AWALI ILIKUWA KILA KITU MTUME HAJAFANYA MLIKUWA MNADAI SHIRKI...
@rajabumzuwanda75055 жыл бұрын
Itafika mahala mtafahamu2 haifai kumkufurisha kila aliyetamka shahada mbili
Пікірлер: 40
Sahihi sahihi Sahihi!!! Shekhe ujue matumizi ya hilo neno “kisahihi”. Usiseme tu.
Sheikh barahiyan upo vzur xana Allah akupe umr mref uzd kutufahamixa napenda xana muungane na kassm mafuta ajl ya Allah
Allh akuongze ww uliye waita ahlu sunna mawahabi mama hauelew unach kisema , shekhe kuwa na Subra allh atakulipa. Inxhllh
Shukran wajazaka llahu heri sasa kama sisi waislam tunapingana na waislam hamuoni kuwa mnawapa nguvu makafiri waone waislam hawana maana
MAKHAWARIJI NI WEWE SHEIKH BARIHIYAN NI NYINYI MAWAHABI NDIO WATU WA BIDAA MSIZUNGUSHE ZUNGUSHE MKAJITIA MOTONI....HALAFU IYO HADITHI HUIJUI UNAISOMA SIVYO HUNA MPANGO BANAAA.
MashaAllah
Kunachizi mmoja anauliza kwamba heti kwanini sisi waaislam hatuelewani huyu hjaelewa nazani nikwasababu ya uvivu wakusoma waislam tunaelewana ispokua atakaetoka katika mafundisho ya mtume akazusha ibada anazojua yeye kwa maslahi ya tumbo lake hatutomfuata itakua kajitenga mwenyewe na sio kwamba waislam hatuelewani sawa
Mhh dini imepata wacha Mungu
Huyu ni Kiongozi wa Al Qaida Tanzania. Anajulikana mpaka Marekani.
boss ondoa ivin sina ktk hospitals au pharmacy zako, ili masalafy (ansar sunna) izidi kutangazwa
Mawahabi mmesilimisha wakristo wapi ktk kupigania uislam lamda chokochoko
@okey
Shukran Sheikh ila hapo kwenye uwalii sjaelewa vzr kat ya kaka wa wa Dada na watoto wa Dada kuwa watoto ndo wanaofaa kuwa mawalii?
HUNA KITU BANAA.
Barahayawany
Sheikh NAKUONA WAZI KUWA ELIMU YAKO NI CHANGA....TAWASSULI INAKUSUMBUA UPO KIWAHABI ZAIDI MAANA HUTAJI AHLI SUNNAH WAL JAMAA UNATAJA TU PEKEE...MASHEIKH WA KIWAHABI TU.
جاء في حديث أن رسول الله ﷺ قال: "من كفر مسلمًا فقد كفر" Mtume wa Allah amesema mwenye kumkufurisha Muislamu yeye amekafiri.
Hao hao mnao waita mawahabi wamepigwa vita saana lakini bado Allah amewapa nguvu hadi sasa wamekuwa ni chachu ya maendeleo ya waislamu Tanzania pia kuutambua uislamu sahihi
LAKIN NYINYI MAWAHABI HOJA ZENU ZA AWALI ILIKUWA KILA KITU MTUME HAJAFANYA MLIKUWA MNADAI SHIRKI...
Itafika mahala mtafahamu2 haifai kumkufurisha kila aliyetamka shahada mbili