NI NANI BARAHIYANI || MJUE SALIM BARAHIYANI KWA UFUPI

Sheikh Abul Fadhl Kassim Mafuta حفظه الله ورعاه

Пікірлер: 95

  • @salehmussa9371
    @salehmussa93712 жыл бұрын

    Wallah Mtume SAW hakufundisha haya mambo, mashekhe mnawapoteza waislam, kwanamna mnavogombana wenyewe kwa wenyewe.

  • @user-kc4fv6cf8l

    @user-kc4fv6cf8l

    11 ай бұрын

    Hawakutani mawahabi wawili ila mmoja atamkufurisha mwenzake . Si hivyo tu bali muwahabi imefika kiwango cha kujikufurisha nafsi yake

  • @NamulyaWanamulya
    @NamulyaWanamulya5 ай бұрын

    Shekh salim anafaidika sana na anavuna swawabu nyingi sana kutoka kwako mana kila wakati ni kumzalilisha tu

  • @ibnmulika4480
    @ibnmulika44802 жыл бұрын

    Huyo sheikh mafuta anajiona anajuwa Sana na anajiona yeye ndo Kama anamiliki pepo vile.

  • @jamalbahdela524
    @jamalbahdela5242 жыл бұрын

    Mawahabi vp mshadhulumiana au?

  • @aminaosman3315
    @aminaosman331523 күн бұрын

    ,Ansar hakuna suna ñi zulma tupu warejeshe haki za yatima WA marehem said janjira wakamfuñgulia kesi mjane kwa haki yake wakashinda kwa zulma hakuna asiyejua lakini Allah kajiharamishia dhulma Allah atawahumu inshaallah

  • @abuuahmadiddi9444
    @abuuahmadiddi94442 жыл бұрын

    Alhamdulillah

  • @user-dn3jh6oz8s
    @user-dn3jh6oz8s6 ай бұрын

    Allah atukubainisheni uovu wenu nyote kitu kimoja maslahi tuu

  • @omarimamboleo6990
    @omarimamboleo69902 жыл бұрын

    nyote mpo kwenye miradi msiwadanganye watu

  • @nadiakarata8984

    @nadiakarata8984

    2 жыл бұрын

    Miradi gani shekh wangu

  • @abuuqatada9791

    @abuuqatada9791

    2 жыл бұрын

    @@nadiakarata8984 una hoja gan kuwa masalafy Wana miradi Yao binafc

  • @user-kc4fv6cf8l

    @user-kc4fv6cf8l

    11 ай бұрын

    Wote walipwa na saudia kufaraqisha waisilam

  • @arafatsaid920

    @arafatsaid920

    7 ай бұрын

    Allah akusameh​@@user-kc4fv6cf8l

  • @athumanisese5580
    @athumanisese55802 жыл бұрын

    Wew sheikh mafuta mnachofanya sio sahihi.

  • @allybungumo9092

    @allybungumo9092

    8 ай бұрын

    Yeye shehe salim alichofanya ni sahihi?

  • @user-ec9md6cp4c
    @user-ec9md6cp4c10 ай бұрын

    Assalam alaikum nawausia waislamu waache maneno makali dhidi ya masheikh zetu,awe anaradd au anaradiwa,hayo maneno yatakuja kuangamiza watu fii naari jahannam.bora mkae kimya t ikiwa hamjui hakki ni ipi

  • @omarimamboleo6990
    @omarimamboleo69902 жыл бұрын

    masalafi kusemana miskitini ndiyo usalafi wenyewe au ndiyo sunna ya bwana mtume s a w

  • @othumanmcharo9045
    @othumanmcharo9045 Жыл бұрын

    Kwani huko siyo kusengenya?

  • @ibrahimpesa30
    @ibrahimpesa302 жыл бұрын

    Baarakallahu fiik akhuna Abul fadhwil

  • @uledihassan6065
    @uledihassan60652 жыл бұрын

    Huu ni ujinga mkubwa alionao mafuta Muda wote ni kutukana masheikh

  • @athumanimcharo5904
    @athumanimcharo59042 жыл бұрын

    Watu WA madufu unarad mawahabi wenzako unawarad we wataka nn

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52412 жыл бұрын

    Katika dhambi ambayo itakuganda mpaka mbele ya allah ni Kuugawa umma ambao mtume umma huu ameunganisha kwa tabu sana

  • @mussamsuya8595

    @mussamsuya8595

    2 жыл бұрын

    Kalale

  • @user-kc4fv6cf8l

    @user-kc4fv6cf8l

    11 ай бұрын

    Hawakutani mawahabi wawili ila mmoja atamkufurisha mwenzake . Si hivyo tu bali muwahabi imefika kiwango cha kujikufurisha nafsi yake

  • @jamalbahdela524
    @jamalbahdela5242 жыл бұрын

    Hela za Saudia gawaneni vizuri mawahabi, mtaja toana roho bureee

  • @nadiakarata8984

    @nadiakarata8984

    2 жыл бұрын

    Sivyo unavyodhani shekh. Pesa ni za umini wao wala sio saudi. Mana huna ushahidi ni wivu tu

  • @abdulnaseerabdulhakeem9302

    @abdulnaseerabdulhakeem9302

    2 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52412 жыл бұрын

    Hiii yani wewe ndo peke yako mchamungu Wengine wote wamepoteaaa Kaz kusema watu tuuuuuuu

  • @nadiakarata8984

    @nadiakarata8984

    2 жыл бұрын

    Ndivyo alivyo

  • @abuuqatada9791

    @abuuqatada9791

    2 жыл бұрын

    Wote ao Ila wew umeamuwa kumzungumzia yeye tu lkn waangalie uyo barahiyani mwenyewe , Muhammad bachu ,Abuu iddi na wwngine halafuone Kam nao hawawasemi watu au nndo umechaguwa kumtaja yey tu sheikh Qassim

  • @user-kc4fv6cf8l

    @user-kc4fv6cf8l

    11 ай бұрын

    ​@@abuuqatada9791 Mawahabi tu ndio wenye tabia ya kupapura watu . Mzee idi yeye hurejesha hujma tu

  • @user-kc4fv6cf8l

    @user-kc4fv6cf8l

    11 ай бұрын

    Hawakutani mawahabi wawili ila mmoja atamkufurisha mwenzake . Si hivyo tu bali muwahabi imefika kiwango cha kujikufurisha nafsi yake

  • @dullahkidofaiter5465
    @dullahkidofaiter54652 жыл бұрын

    Mnasumbuka na mnafiqi huyu kasimu mafuta namchukia kwa ajiri ya allah bora allah amfushe analeta fitina kubwa ktk umma

  • @mussamsuya8595

    @mussamsuya8595

    2 жыл бұрын

    Itakurud mwenyew endapo utakua umesema uongo

  • @hemedahmed3094

    @hemedahmed3094

    2 жыл бұрын

    @@mussamsuya8595 iqr'aa

  • @swaleheally9814

    @swaleheally9814

    2 жыл бұрын

    ALLAH AMUHIFADHI SHEKH ABUL FADHLI QAASIM MAFUTA QAASIM

  • @user-lb2lx5bq6e

    @user-lb2lx5bq6e

    2 жыл бұрын

    Matatizo yao ni kuwa wanapenda kujikweza sana , kila m1 kati yao anajua kuliko mwngn , hawaishi kujibizana Haielekei kusema huu nduo mfumo alikuwa akiufata Mtume , maswahaba na watu wema waliopita .

  • @khamisjuma8813
    @khamisjuma88132 жыл бұрын

    Na si misikiti hiyo tu, ila mpk Masjid Farouk wa huku Mkele Znz pia wameupora kwa sababu ulikuwa ni Msikiti wa Jumuiya Ya Uamsho Na Mihadhara, baada ya vurugu zile wakaupora msikiti ule. Waliobakia walikuja pale kuudai msikiti wao lkn wakadinda. Hii kama hujui wewe uliza.

  • @mohamedsalim972
    @mohamedsalim9722 жыл бұрын

    Nyninyi mnao jifanya mashekhe kaziyenu kuupoteza umma shauriyenu

  • @MustafaSilima

    @MustafaSilima

    Жыл бұрын

    We hujui maana kufanikisha uma nyamaza uczidishe manano ambayo hayana maana

  • @khamisjuma3657
    @khamisjuma36572 жыл бұрын

    kama kwenu bado nyumbani dawa inazidi kusonga mbele ALHAMDULILLAH, ALLAH atuthibitishe sisi na vizazi vyetu,QURAN na SUNNA kwa ufahamu wa wema waliotangulia,kwa hapa tulipofikia ALHAMDULILLAH ,tunamuomba ALLAH ailinde

  • @user-kc4fv6cf8l

    @user-kc4fv6cf8l

    11 ай бұрын

    Hiyi ndio akbar bidaa kuambatanisha qurani na sunah kwa ufahamu wa salaf

  • @user-kc4fv6cf8l

    @user-kc4fv6cf8l

    11 ай бұрын

    Hiyi ndio akbar bidaa kuambatanisha qurani na sunah kwa ufahamu wa salaf

  • @bombo45
    @bombo452 жыл бұрын

    Mwendelezo pls

  • @Abutwaibah001
    @Abutwaibah0017 ай бұрын

    HASAAD KITU KIBAYA SANA, NYOYO ZENU ZIME JAA HASAAD WALA HAMUNA USALAFY NDANI YAKE.

  • @user-kc4fv6cf8l
    @user-kc4fv6cf8l11 ай бұрын

    Masalafi ni kama manyani kwenye shamba , wakipatana hula mazao na wakigombana hufuja mazao. Hawana faida kwenye hali yoyote

  • @allybungumo9092

    @allybungumo9092

    8 ай бұрын

    Wamjua shkh barahiyan wewe shehe?

  • @nassorsalum9110
    @nassorsalum91102 жыл бұрын

    mwalimu lakn usisahau fadhila. maana ndie aliekulea huyoooo

  • @abulabbaas6689

    @abulabbaas6689

    2 жыл бұрын

    Lete Ushahidi Wa Maneno Yako Wapi kalelewa Sheikh Kassim Mafuta Na Mudiyru *BARAHIYANI*

  • @user-kc4fv6cf8l

    @user-kc4fv6cf8l

    11 ай бұрын

    ​@@abulabbaas6689 Bali alikuwa ni mwanafunzi wa barahayani khasa . Hata mukikataa hicho kitu kinajulikana . Lakini Hawakutani mawahabi wawili ila mmoja atamkufurisha mwenzake . Si hivyo tu bali muwahabi imefika kiwango cha kujikufurisha nafsi yake

  • @omarabdul4686
    @omarabdul46862 жыл бұрын

    Aloo weye kunkalia kusem wa2 tuu wasbiri wa2 waongee upat uwasem je wewe umekamilik sheikh Wang Kama mwenzio kakosea mfate sio uanike aibu zake

  • @abuuhazmimakamealy7208

    @abuuhazmimakamealy7208

    2 жыл бұрын

    Vipi akh kwani huyo barahiyaani kawafuata aoanaowaita masalafiyah jadida?

  • @NamulyaWanamulya
    @NamulyaWanamulya5 ай бұрын

    Umri wa shekh Salim ni kama mzazi wako ilikupasa uumpe heshima kama mzazi: una mema Gani ya kumlipa kwa machafu unayomsema Na kumzalilisha !!!!!

  • @imranijuma6955
    @imranijuma69552 жыл бұрын

    SHEKH KASIM NAKUKUBALI LKN UNAKOSEA BANA UNATAKA USIKILIZWE WW TUUUU NA WW UNAKOSEA KWANI VP

  • @abuuqatada9791

    @abuuqatada9791

    2 жыл бұрын

    Kukosea Kam Kukosea Sheikh Qassim hatoacha kukosea maan kukosea ni moja Kati ya sifa za kibinaadam Ila kuhusu kutaka kusikilizwa basi alitakalo yey ndilo la sahihi maana anayoyasema yey kwa HAKIKA ni HAQQI na yey hutaka waislam wasisikilize yasiyikuwa ya HAQQ , lkn pia unawez unaweza kubainisha wapi Sheikh Qassim alipokosea ktka gurdumu la DAAWA ?

  • @user-kc4fv6cf8l

    @user-kc4fv6cf8l

    11 ай бұрын

    ​@@abuuqatada9791 Mafuta na mwalimu wake barahayanibwote ni wapotofu . Mungu awaepushe waisilam na upotofu wao

  • @OmariirigoHoseniomari
    @OmariirigoHoseniomari3 ай бұрын

    Hauna akili ndo mana hautoelew

  • @mohammedjuma5595
    @mohammedjuma55952 жыл бұрын

    Ww kassim mafuta huna usheikh bora daimond n harmonize n alikiba wana umuhimu kama wwe ngedere unae ukimbilia moto

  • @khamissaid9586

    @khamissaid9586

    2 жыл бұрын

    Dah Allah akuongoze

  • @Ahmed-yp2si

    @Ahmed-yp2si

    2 жыл бұрын

    KUWATUKANA WATU PASI NA HAKI NI KATIKA MADHAMBI MAKUMBWA,MTUME صلا الله عليه وسلم AMESEMA"KUMTUKANA MUISLAM NI DHAMBI NZITO NA KUMUUA NI UKAFIRI" kwa hivyo fanya Tawba ndugu yangu na unaposema sema na watu kwa kwa uzuri,الله Tuongoze njia iliyonyooka

  • @AliMohamed-gv7nw

    @AliMohamed-gv7nw

    2 жыл бұрын

    Dah Allah akusameh naakuongoze maneno mabaya sana uliyo sema hatakama humkubali

  • @mussamsuya8595

    @mussamsuya8595

    2 жыл бұрын

    Unaropoka ovyo kalale

  • @user-kc4fv6cf8l

    @user-kc4fv6cf8l

    11 ай бұрын

    Hawakutani mawahabi wawili ila mmoja atamkufurisha mwenzake . Si hivyo tu bali muwahabi imefika kiwango cha kujikufurisha nafsi yake

  • @saidmacheni-bp4cp
    @saidmacheni-bp4cp Жыл бұрын

    Inawezekana huyu Qasim anaitikadi na chembechembe za uyahudi.

  • @Zainabnoor0087-ze
    @Zainabnoor0087-ze4 ай бұрын

    Hana jipya huyu kijukuu cha tamta jadidah,kpnd sheikh barahiyan anatetea Sunnah ww ulikua waimba qasida qasida

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Жыл бұрын

    Tunapata faida gani kusikiliza upuuzi kama huu kutoka kwa mwehu kama huyu??uwahabi ni uvundo wa mwisho ktk dini wallaahi

  • @allymahaba3425
    @allymahaba3425 Жыл бұрын

    Je ndio Uislam huo kusemana mitandaoni? Nyie mnalipwa mishahara kuutukanisha Uislam? Hili ni balaa kubwa. Sub-haanallah. Hivi mnadhani Waislam wanahitaji kusikiliza ujinga wenu huu?

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Жыл бұрын

    Umevamia apo mafuta uwo msikiti sio wako acha uwongo

  • @nureinimohamed449
    @nureinimohamed4499 ай бұрын

    Wananchi mweni wangalifu mambo na matendo ya ugaidi. Huyu mtu anatowa mawaidha lazima aseme ubaya na maovu ya ugaidi

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Жыл бұрын

    Fanyeni Daawa acheni ķuzitakasa nafsì zenu. Tuwaona vizuuùuuři.Sisi sio matutusa.

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Жыл бұрын

    Hakuna salafi ni kujidanganya tu ni pote la mawahabi na uwahabi ni shida kazi yao ni kujikweza na kujifanya wao ni Watu wa peponi wenziwao ni wa motoni utafikiria hiyo pepo ni ya mjamba wao, mimi nahic Salum Baraiyan na Kassim mafuta wana mambo yao binafs kwani wote wanajifanya masalafi tena wanajitukuza sasa inakuaje kupigana vijembe

  • @user-kc4fv6cf8l

    @user-kc4fv6cf8l

    11 ай бұрын

    Hawakutani mawahabi wawili ila mmoja atamkufurisha mwenzake . Si hivyo tu bali muwahabi imefika kiwango cha kujikufurisha nafsi yake

  • @saidifadhel9706
    @saidifadhel97062 жыл бұрын

    Utafikiri wamekutana watu wenye dini mbili tofauti, huyu muislam na mwengine myahudi. Eti ndio hawa walioambiwa kuwa waislamu ni ndugu, si juwi udugu wao hawa umeendea wapi. Tena wanadai kuwa ni masheikh hawa, eti ndio wana madaaris wanafundisha. Sasa huku sio kuufarakisha umma huku??? Kila mmoja akiwa hafikirii kwa anacho kifanya madhara yake ni makubwa sana. Mcheni Allah huko siko na masalafi hawakuwa hivyo.

  • @ahmedabry293

    @ahmedabry293

    Жыл бұрын

    Wallah mpaka aibu yani masheikh kukaa kusemana yani cjui tumefika wapi huku.. Imekuwa ni mipasho tu dah

  • @user-kc4fv6cf8l

    @user-kc4fv6cf8l

    11 ай бұрын

    Hawakutani mawahabi wawili ila mmoja atamkufurisha mwenzake . Si hivyo tu bali muwahabi imefika kiwango cha kujikufurisha nafsi yake

  • @user-kc4fv6cf8l

    @user-kc4fv6cf8l

    11 ай бұрын

    فمن اوتي الحكمة فقد اوتي خيرا كثيرا Masalafi wanauaduwi na hekma na akili

  • @abulabbaas6689

    @abulabbaas6689

    10 ай бұрын

    @saidifadhel9706 وَقَالَ مُحَمَّدٌ : سَمِعْتُ عَلِيَّ بْنَ شَقِيقٍ يَقُولُ : سَمِعْتُ عَبْدَ اللَّهِ بْنَ الْمُبَارَكِ يَقُولُ عَلَى رُءُوسِ النَّاسِ : دَعُوا حَدِيثَ عَمْرِو بْنِ ثَابِتٍ، فَإِنَّهُ كَانَ يَسُبُّ السَّلَفَ. Masalaf walikua hivo

  • @nureinimohamed449
    @nureinimohamed4499 ай бұрын

    Kumjua yeye si umuhimu wanchi na manachi. Lazima yeye apambane na matendo ya ugaidi ndo atakuwa mtu wa kuaminika.

  • @nadiakarata8984
    @nadiakarata89842 жыл бұрын

    Shekh wa halua huyo

  • @Abutwaibah001
    @Abutwaibah0017 ай бұрын

    SHEIKH SALIM TWAMJUA KWA KHERI WALA HUNA HAJA KUTUJULISHA NA UPOTEVU WENU HIZBU IBLIS KWA VAAZI LA USALAFY.

  • @allymahaba3425
    @allymahaba3425 Жыл бұрын

    Sikiliza da'waa salafia hiyo!!! Eti malumbano hayo wanayatangaza mitandaoni jamani!!! Hao wote ni Mawahhabi sio Waislam wengine!!! Yaani Kassim na Barahyani. Wanatukanana. Wote wako kwenye misheni za kugombania hela hapo. Yaani wamedhulumiana!!! Hapo tena hakuna dini ni kutukanana tuuu!!!

  • @othumanmcharo9045
    @othumanmcharo9045 Жыл бұрын

    Nyote mwagania ugali tuh hakuna anayejua kesho atakuwa wap

  • @omarimamboleo6990
    @omarimamboleo69902 жыл бұрын

    huku kutaja watu ndio usalafi poleni sani masalafi wakarne ya 15 hijiriyyah

  • @mussamsuya8595

    @mussamsuya8595

    2 жыл бұрын

    Kalale

  • @musashelufumo3532

    @musashelufumo3532

    2 жыл бұрын

    Nikheri kubainisha shekhe

  • @hamisiselemanishekhmtupawa3176

    @hamisiselemanishekhmtupawa3176

    2 жыл бұрын

    Sisi tunomfwata mtume hattukani mtu mtajua wenyewe mnaojiona mkokwenye hak

  • @maulidilikata8005

    @maulidilikata8005

    2 жыл бұрын

    Maashaallah shaykhu abulfadhli allah akupe mwisho mwema na awaongoze ktk haki wale wasiojua umuhimu wako ktk uislam tanzania amani hii tuliyonayo asbabu ni wewe na maduat wenzio wa kisalaf

  • @issasuleiman8309

    @issasuleiman8309

    2 жыл бұрын

    Ninawasiwasi na elimu yako

  • @hashimsaid5546
    @hashimsaid55462 жыл бұрын

    Huyu sheikh sijui huwa ana matatizo gani barahiyani hajawahi kumtaja yeye kwa jina Ila yeye anamtaha kila wakati

  • @farhannurkey

    @farhannurkey

    2 жыл бұрын

    wewe umemskiza huyo barahiyani au unaropokwa..wewe ndio una matatizo kaangalie video zake kenge wewe

  • @ahmedhusseinshnoor1210

    @ahmedhusseinshnoor1210

    2 жыл бұрын

    Hashim said : Wewe Ni mrongo saana Ama Ni jaahil , hujuwi kitu afadali ufunge hiyo mdhomo . Barahiyani ashamtaja jina laake mara nyingi . Na pia nataka ujuwe Si lazima attajwe jina laake , cha muhimu ni kuilinda dini yetu dhidi ahlul bidah Na ahlul baatil .. huyu jamaa barahiyaan anachanganya watu wengi kwa hivyo ndugu yetu abu fadhl Ni waajib kumradh publicly..

  • @saidmacheni-bp4cp

    @saidmacheni-bp4cp

    Жыл бұрын

    Sheikh mwenye adabu za uislam na adabu za kijamii hawezi kutoa maneno hayo nilioyasikia either anachembechembe za uyahudi au elimu yake Haina ufahamu.

Келесі