MAFUTA - Waimize WAISILAAM kuingia katika UISILAMU كافة hakuna SHAHADA ya kuingia katika USALAFI - acha kuropoka ropoka
@majidiabdi424
3 ай бұрын
Eti wasiokua MASALAFI wameigeuza Biashara - wakati anachangisha Na anawatoza Wanafunzi Ada Wakati Hakuna Mtume alie Toza Waisilamu ADA - MAFUTA jangalie Makosa yako yakiwemo Kudumizha ulipaji WAKO wa RIBA ( BIMA )
@RuqaiyyahJumaa
22 күн бұрын
Allah akuhifadhi shekhe wetu❤
@user-lo6ds5kd1x4 ай бұрын
Wewe nikama wao
@RamaKimbeu-tw4po4 ай бұрын
JAMBO HILI NI KUBWA SABABU LINAGAWA
@AjsProSigns Жыл бұрын
MUNASOMA MAJINA YA VITABU VYA WANAZUONI VIWAPE TAZKIYAH. ILI MKITUKANA IONEKANE NI DINI... KAELIMISHENI BILA KUMTAJA BARAHIYANI KWA DINI NI BARAHIYANI TU?
@stoic_guild10 күн бұрын
Mnajiita Salafy halaf mnafanya editing za Uongo😳😳 kwny hyo thumbnail hayo machozi mloweka kwa Barahiyani ni ya Kweli au mnafurahisha nafsi zenu kwa Uongo. Ama kwel ninyi ni pandikizi la wayahudi kwny Uislamu.
@nasriramadhani39802 жыл бұрын
Amuiwezi dawa salafia
@MuhammedFoum-kr5kc9 ай бұрын
Antaa mukamalu😅😅😅😅😅 kila sheikh unamkosoaa au huna kaz hua mshez w😅😅😅
@bacteria5184 Жыл бұрын
Kwani madrasa za sheikh barahiyan haifundishi dini
@lilianmakwati5228 Жыл бұрын
Ivi ni kwa nini waislamu kwa waislamu wanapigana vita kila uchao?
@karimdaud3993 Жыл бұрын
Ndugu zangu na mashehe zetu . Tukumbusheni DINI YETU sio kila siku kukosoana mnakua kama mmetumwa na wasio kuwa waislam . Mtume s.a.w Hakua salafi wala sufi wala salafi jadiidu wala walaaa wala . SIO MAWAIDHA hayo . SOMESHENI ELIMU KAMA HAMNA VIREJESHENI VYOMBO VYETU . tushachoka tushachoka Tushachoka
@HuyuHapa-xl7lr Жыл бұрын
Asalamu alaikum warahmatullah wabarakatuh, wacheni kumfuja shekh wetu kassim mafutta tunampenda sana allah amhifadhi
@bigmanfish63462 ай бұрын
Endeaneni mupeane nasaha kwa njia njema na sio kufedheheshana mitandaoni. Sasa radi zenu mwatupa sisi ama nyie?? Acheni tabia hizo tangazeni dini tupate faida hatutaki radi zenu
@bacteria5184 Жыл бұрын
Je masheee ni wa saudia tu ama misri,Mauritania,Syria,sudan mbna hakuna salafiya kutoka saudia
@pavillioncry52412 жыл бұрын
Haya teambie ww mafua Hizbi salfii ni wepi kama sio majadida
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Ukisha taja jadida Hilo linafahamika Kuwa ktk misingi ya mahizib baada ya Ile mitatu 1.Uongo 2.Khiyana 3.Talbisat Unaongezeka 4.Kuwapagaza watu wa Sunnah jina "Jadida" na huu ni usulubu wa watu wa jahiliya kuwaita watu wa Haq Kuwa wemekuja na njia mpya, pili ni usulubu wa Masufi kuwapagaza ahlu Sunnah laqab ya "Wahabi"
@jakuabdull34 Жыл бұрын
barahiyani alichokipanda ndicho atakacho kivuna amevunjia heshima masheikh wengi huyo mwache nae apewe haki yake ya kisheria na wenziwe.
@LumolaSteven
Жыл бұрын
Sahihi
@lilianmakwati5228
Жыл бұрын
Poleni sana kwa kazi ya fitina mnayoifanya
@user-yj5on8cz3e4 ай бұрын
Allah, hawaongoe kassimu mafuta na kundi lako ongereni kwa kuwaletea watu,usalafi mpya kama wema waliotangulia wangekuja na man hajji yenu mpya ya usalafi,uislamu usinge fika mbali,si tunasema Allah atatuadhibu kwa majina mnayoita mahizbi,Ila atatuhukumu kwa matendo yetu kiukweli kiundi chenu,mmekifanya ni chama kilichozuka baina ya salafi wa kweli na kuwarubuni watu kwa usalafi mpya mpo karibu na kupatia lakini ni hamna tofauti na vikundi vyengine mmetupa mipaka mpaka wale wanaolingania sunna mmewatia katika bidaa Allah awaongoe kwakweli na anawaona dhulma mnazowafanyia watu,nahuo mwenendo so wa masafi bali mpo fitna tuu,salafi hawakutoana katika njia ya allah.leteni nukta hata moja inayowafanya muwatoe watu katika sunna wameharifu Jambo gani la wema waliotangulia kiitikadi na tahuwidi so kupiga kelele tuu
@mdoekibai5063 Жыл бұрын
Wee kweli mafta yataa yani huelewki laamakana lah walaajihata laa
@abuumansour6307
7 ай бұрын
Yaani vile ambavyo hujaelewa wewe ndiyo ukajaalia kwamba mazungumzo hayaeleweki. Hii ni akili ya wapi Ustadhi? Ilifaa ukosoe ulichoona kina dosari na siyo kutumia lugha nyepesi isiyo na qima kudogosha kitu kikubwa. Lakini jitahidi kufuatilia vizuri mambo hususani zinapojitokeza fitan na migogoro na umuombe msaada kwa Allaah kuijua haki na siyo maneno ya kishabiki na kutetea kusiko na faida yaa hayyaaka llaah. Allaah atuongoze sisi na ninyi katika njia ya sawa. Tunamuomba Allaah afya na salama.
@karimdaud3993 Жыл бұрын
Na wewe usiwe mnyinga mzee tafuta ELIMU NA TOA ELIMU tafuta BIHUSNIL HATIMA
@faidamuhamed3011 Жыл бұрын
Kalma imeeleweka lkn shk asingetumia swigha ya kumuita kua ni (mjasiliamali dhaalim) hii sijapenda binafs ama suala la kutofautiana kati shkh nani alikua na msimamogani hii ni maarufu Haina shida
@amerwelder7786
Жыл бұрын
Yaani iyo ndo sifa Yao wanajion wao hawanamakosa na pia wao wamekamilika
@MohamedAbdallahSaid11 ай бұрын
Katika Uislamu ikhtilaf zimekueka .Vijana wasome uislamu vizuri kabla kufuata radd za ulamaa. Hapo utajua walioongoka na waliopotoka. Muangalie Sheikh lugha yake na matamshi yake itakupa ishara aliongoka na aliepinda. Kadhalika vijana wajue mwisho sote mpaka hao Masheikh wanafanyiana majadala au malumbano tutakwenda pekee kwa Allah kuhukumiwa .
@abdallahally8422 жыл бұрын
Mna maradhi ya akhlaq na kibri
@abuuabuu4831
Жыл бұрын
Watu wa Tanga kwa mipasho hamjambo
@allymahaba3425 Жыл бұрын
Nyie Mawahhabi hamna jipya zaidi ya kubishana kila siku. Mnausaidia nini Uislam kwa da'waa zenu za kiWahhabi? Mtalumbana mpaka mnaingia kaburi. Rudini kwa Mtume (SAW). Mnawatukuza mno hao masheikh wenu wa kiWahhabi kuliko Mtume (SAW). Hata kunukuu Hadith za Mtume mnaona shida. Wewe unanukuu rai za maulamaa wa Kiwahhabi tu!!!! Hao maulamaa wenu Uthaymin, Ibn Taymiya, Ibn Baaz na wengineo bado sio mitume. Mkitukuza rai zao mnazipuuza Hadith za Mtume wetu. Tumuogope Allah. Tutakutana nae Siku ya Kiama.
@skjjsj1889 Жыл бұрын
Yaani badala ya kulingania dini watu hawajui dini kazi yako malumbano nn Matokeo ya kulimbana
Nahiyo ni kweli kabisa,,, Sheik Mukbil mwanzo amekuwa ni Mushia,, Sheikh Mukbil wasema maneno ya Salaf ( mashekh walio tangulia katika KArni mema ) maneno yao si Hhoja كلام السلف ليس حجة
@alijabu62262 жыл бұрын
yaan ww kassim mafuta unakosea wapi ww shekh mzimaaa ww baada uelimishe ww kazi yako ni kulumbana tuuuuuu . au unataka unekane unajuaaaaa acha kibriiiii
@alijabu6226
2 жыл бұрын
unajita swlfi swleh unajiswlihishaje wkat bado upo dunianiii ww
@muhamadyusufu6663
2 жыл бұрын
Mche allah
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Huelewi maskini, Allah akuuongoze biidhinih
@mhrmahir3410
2 жыл бұрын
Kwan akisema huyo salim barahiyan na wengine mbon mnakua kimya hamsem kuambia acheni ivo nanyi bali tuaona mkishangiria maneno yazumzwayo na masahasim wake huyu shekh Lakin mtu akisemwa yeye atakiwa atulie kimya asijibu akae ivo ivo hata km jambo linaayhir Kwel jaman hii ni haqq hem jaribun kulinganusha ikiwa kwel mnataka haq jamaa
@abuuabuu4831
Жыл бұрын
Huyu amefubdishwa kutuletea taharuki Tanzania
@allymnzava381811 ай бұрын
Kibri kimekujaaa wewe sheikh
@majidiabdi4243 ай бұрын
MAFUTA unatapatapa -Hakuna Mtume alie tumwa Na USALAFI wala hakuna Aya wala HADIITH za kisafi - Na Hakuna Mlango katika Milango 8 ya JANNAH wa MASALAFI - Acha kuimiza WAISILAAM kujiunga Na CHAMA chako cha kisalafi - USALAFI si katika Dini yake ALLAH WETU Mlezi
@FatumaNuru-g9z
Ай бұрын
Hakuna mtume Ansari
@khamissalum9285 Жыл бұрын
Masalafi wasasa woteeeeee niwaroho wa madaraka tuuuu
Пікірлер: 82
Wewe sheikh unajiona ni mtukufu sana. Badala ya kufundisha waumini dini kazi yako ni raddi kwa masheikh.
Pambaneni miwahabi nyie kuna siku waisilamu watasalimika kama zamani INSHAALLAH.
Unapotize nguvu nyingi kupambana na mashekh wenzako kuliko kupambana na maadui wa waislam
Somesheni mashoga na wasagaji acheni malumbano
بارك الله فيك يا شيخنا الفاضل
ALLAAH AKUHIFADHI SHEIKH QASIM MAFUTA. MAHIZBI WAMEFILISIKA KIHOJA.
@majidiabdi424
3 ай бұрын
MAFUTA - Waimize WAISILAAM kuingia katika UISILAMU كافة hakuna SHAHADA ya kuingia katika USALAFI - acha kuropoka ropoka
@majidiabdi424
3 ай бұрын
Eti wasiokua MASALAFI wameigeuza Biashara - wakati anachangisha Na anawatoza Wanafunzi Ada Wakati Hakuna Mtume alie Toza Waisilamu ADA - MAFUTA jangalie Makosa yako yakiwemo Kudumizha ulipaji WAKO wa RIBA ( BIMA )
@RuqaiyyahJumaa
22 күн бұрын
Allah akuhifadhi shekhe wetu❤
Wewe nikama wao
JAMBO HILI NI KUBWA SABABU LINAGAWA
MUNASOMA MAJINA YA VITABU VYA WANAZUONI VIWAPE TAZKIYAH. ILI MKITUKANA IONEKANE NI DINI... KAELIMISHENI BILA KUMTAJA BARAHIYANI KWA DINI NI BARAHIYANI TU?
Mnajiita Salafy halaf mnafanya editing za Uongo😳😳 kwny hyo thumbnail hayo machozi mloweka kwa Barahiyani ni ya Kweli au mnafurahisha nafsi zenu kwa Uongo. Ama kwel ninyi ni pandikizi la wayahudi kwny Uislamu.
Amuiwezi dawa salafia
Antaa mukamalu😅😅😅😅😅 kila sheikh unamkosoaa au huna kaz hua mshez w😅😅😅
Kwani madrasa za sheikh barahiyan haifundishi dini
Ivi ni kwa nini waislamu kwa waislamu wanapigana vita kila uchao?
Ndugu zangu na mashehe zetu . Tukumbusheni DINI YETU sio kila siku kukosoana mnakua kama mmetumwa na wasio kuwa waislam . Mtume s.a.w Hakua salafi wala sufi wala salafi jadiidu wala walaaa wala . SIO MAWAIDHA hayo . SOMESHENI ELIMU KAMA HAMNA VIREJESHENI VYOMBO VYETU . tushachoka tushachoka Tushachoka
Asalamu alaikum warahmatullah wabarakatuh, wacheni kumfuja shekh wetu kassim mafutta tunampenda sana allah amhifadhi
Endeaneni mupeane nasaha kwa njia njema na sio kufedheheshana mitandaoni. Sasa radi zenu mwatupa sisi ama nyie?? Acheni tabia hizo tangazeni dini tupate faida hatutaki radi zenu
Je masheee ni wa saudia tu ama misri,Mauritania,Syria,sudan mbna hakuna salafiya kutoka saudia
Haya teambie ww mafua Hizbi salfii ni wepi kama sio majadida
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Ukisha taja jadida Hilo linafahamika Kuwa ktk misingi ya mahizib baada ya Ile mitatu 1.Uongo 2.Khiyana 3.Talbisat Unaongezeka 4.Kuwapagaza watu wa Sunnah jina "Jadida" na huu ni usulubu wa watu wa jahiliya kuwaita watu wa Haq Kuwa wemekuja na njia mpya, pili ni usulubu wa Masufi kuwapagaza ahlu Sunnah laqab ya "Wahabi"
barahiyani alichokipanda ndicho atakacho kivuna amevunjia heshima masheikh wengi huyo mwache nae apewe haki yake ya kisheria na wenziwe.
@LumolaSteven
Жыл бұрын
Sahihi
@lilianmakwati5228
Жыл бұрын
Poleni sana kwa kazi ya fitina mnayoifanya
Allah, hawaongoe kassimu mafuta na kundi lako ongereni kwa kuwaletea watu,usalafi mpya kama wema waliotangulia wangekuja na man hajji yenu mpya ya usalafi,uislamu usinge fika mbali,si tunasema Allah atatuadhibu kwa majina mnayoita mahizbi,Ila atatuhukumu kwa matendo yetu kiukweli kiundi chenu,mmekifanya ni chama kilichozuka baina ya salafi wa kweli na kuwarubuni watu kwa usalafi mpya mpo karibu na kupatia lakini ni hamna tofauti na vikundi vyengine mmetupa mipaka mpaka wale wanaolingania sunna mmewatia katika bidaa Allah awaongoe kwakweli na anawaona dhulma mnazowafanyia watu,nahuo mwenendo so wa masafi bali mpo fitna tuu,salafi hawakutoana katika njia ya allah.leteni nukta hata moja inayowafanya muwatoe watu katika sunna wameharifu Jambo gani la wema waliotangulia kiitikadi na tahuwidi so kupiga kelele tuu
Wee kweli mafta yataa yani huelewki laamakana lah walaajihata laa
@abuumansour6307
7 ай бұрын
Yaani vile ambavyo hujaelewa wewe ndiyo ukajaalia kwamba mazungumzo hayaeleweki. Hii ni akili ya wapi Ustadhi? Ilifaa ukosoe ulichoona kina dosari na siyo kutumia lugha nyepesi isiyo na qima kudogosha kitu kikubwa. Lakini jitahidi kufuatilia vizuri mambo hususani zinapojitokeza fitan na migogoro na umuombe msaada kwa Allaah kuijua haki na siyo maneno ya kishabiki na kutetea kusiko na faida yaa hayyaaka llaah. Allaah atuongoze sisi na ninyi katika njia ya sawa. Tunamuomba Allaah afya na salama.
Na wewe usiwe mnyinga mzee tafuta ELIMU NA TOA ELIMU tafuta BIHUSNIL HATIMA
Kalma imeeleweka lkn shk asingetumia swigha ya kumuita kua ni (mjasiliamali dhaalim) hii sijapenda binafs ama suala la kutofautiana kati shkh nani alikua na msimamogani hii ni maarufu Haina shida
@amerwelder7786
Жыл бұрын
Yaani iyo ndo sifa Yao wanajion wao hawanamakosa na pia wao wamekamilika
Katika Uislamu ikhtilaf zimekueka .Vijana wasome uislamu vizuri kabla kufuata radd za ulamaa. Hapo utajua walioongoka na waliopotoka. Muangalie Sheikh lugha yake na matamshi yake itakupa ishara aliongoka na aliepinda. Kadhalika vijana wajue mwisho sote mpaka hao Masheikh wanafanyiana majadala au malumbano tutakwenda pekee kwa Allah kuhukumiwa .
Mna maradhi ya akhlaq na kibri
@abuuabuu4831
Жыл бұрын
Watu wa Tanga kwa mipasho hamjambo
Nyie Mawahhabi hamna jipya zaidi ya kubishana kila siku. Mnausaidia nini Uislam kwa da'waa zenu za kiWahhabi? Mtalumbana mpaka mnaingia kaburi. Rudini kwa Mtume (SAW). Mnawatukuza mno hao masheikh wenu wa kiWahhabi kuliko Mtume (SAW). Hata kunukuu Hadith za Mtume mnaona shida. Wewe unanukuu rai za maulamaa wa Kiwahhabi tu!!!! Hao maulamaa wenu Uthaymin, Ibn Taymiya, Ibn Baaz na wengineo bado sio mitume. Mkitukuza rai zao mnazipuuza Hadith za Mtume wetu. Tumuogope Allah. Tutakutana nae Siku ya Kiama.
Yaani badala ya kulingania dini watu hawajui dini kazi yako malumbano nn Matokeo ya kulimbana
Nyinyi otemlituma sms mkaekimya mlezi wetu kasimu mafuta
Nahiyo ni kweli kabisa,,, Sheik Mukbil mwanzo amekuwa ni Mushia,, Sheikh Mukbil wasema maneno ya Salaf ( mashekh walio tangulia katika KArni mema ) maneno yao si Hhoja كلام السلف ليس حجة
yaan ww kassim mafuta unakosea wapi ww shekh mzimaaa ww baada uelimishe ww kazi yako ni kulumbana tuuuuuu . au unataka unekane unajuaaaaa acha kibriiiii
@alijabu6226
2 жыл бұрын
unajita swlfi swleh unajiswlihishaje wkat bado upo dunianiii ww
@muhamadyusufu6663
2 жыл бұрын
Mche allah
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Huelewi maskini, Allah akuuongoze biidhinih
@mhrmahir3410
2 жыл бұрын
Kwan akisema huyo salim barahiyan na wengine mbon mnakua kimya hamsem kuambia acheni ivo nanyi bali tuaona mkishangiria maneno yazumzwayo na masahasim wake huyu shekh Lakin mtu akisemwa yeye atakiwa atulie kimya asijibu akae ivo ivo hata km jambo linaayhir Kwel jaman hii ni haqq hem jaribun kulinganusha ikiwa kwel mnataka haq jamaa
@abuuabuu4831
Жыл бұрын
Huyu amefubdishwa kutuletea taharuki Tanzania
Kibri kimekujaaa wewe sheikh
MAFUTA unatapatapa -Hakuna Mtume alie tumwa Na USALAFI wala hakuna Aya wala HADIITH za kisafi - Na Hakuna Mlango katika Milango 8 ya JANNAH wa MASALAFI - Acha kuimiza WAISILAAM kujiunga Na CHAMA chako cha kisalafi - USALAFI si katika Dini yake ALLAH WETU Mlezi
@FatumaNuru-g9z
Ай бұрын
Hakuna mtume Ansari
Masalafi wasasa woteeeeee niwaroho wa madaraka tuuuu