CHANZO CHA UGOMVI WA QASSIM MAFUTA NA SHEIKH SALIM BARAHIYANI

Пікірлер: 26

  • @asmaaahmed4862
    @asmaaahmed48622 жыл бұрын

    Allah awalipe wenye kusimamisha sunna na kila ukipata mitihani basi ujue ulinganizi wako uko effective mkamilifu ni Allah

  • @jumaothman9449
    @jumaothman94492 жыл бұрын

    Dah! Naona huruma sana. musipo kuwa makini nyinyi wenye elimu juhudi zenu huwenda zikawa ni kuambukia patupu Allah awahifadhi na hilo, kuweni makini na ibada zenu

  • @muslimmassoud2673
    @muslimmassoud26732 жыл бұрын

    Wallah barahyani anabeba dhimma mbele ya Allah kumsingizia sheikh wetu uongo

  • @abbaspaziaog2188

    @abbaspaziaog2188

    4 күн бұрын

    Uongo gang. Akhy

  • @Mr2161983
    @Mr21619832 жыл бұрын

    Inasikitisha sana kuona chuki na uhasama umeenea miongoni mwa viongozi wa kiislam.. Sheikh Barahiayan wakati anaeleza mgogoro huu anataja kuitwa kwa Sheikh Othman Maalim kuzungumza na waislam Tanga ni katika makosa yaliyofanywa na watu wake.. Innalillahi wainna ilaihi raajioon.. Ni Allah pekee ndio anamjua alie Bora na aliyeongoka.. wacheni kujiona bora

  • @harounmuhadith6491
    @harounmuhadith64912 жыл бұрын

    sheikh Mohammed eee! masufi ndo kina nani😂😂

  • @husseinabubakar929
    @husseinabubakar9292 жыл бұрын

    shekhe anajitahidi kujitetea..hahaa

  • @muhammadmjara6776
    @muhammadmjara67762 жыл бұрын

    nakile kitabu ulichu andika kuwatowa mashekhe wasuna katika suna vp ikoje hiyo mana nakitabu ushaandika vp

  • @zedon2047

    @zedon2047

    2 жыл бұрын

    Wewe umekisoma hicho kitabu?

  • @abbaspaziaog2188

    @abbaspaziaog2188

    4 күн бұрын

    ​@@zedon2047akisome. Wapi

  • @ahmednurmohamed4337
    @ahmednurmohamed43372 жыл бұрын

    Muhamad bacho na barahiyan ni saw tu nyote ni mafasiqi na wazushi wakubwa nyie lkn kumbuken mtakuja kulizwa

  • @abbaspaziaog2188

    @abbaspaziaog2188

    4 күн бұрын

    Naww pia akhy utakuja. Kuulizwa

  • @ahmednurmohamed4337
    @ahmednurmohamed43372 жыл бұрын

    Kwanza liulizeni sheikh lenu zile 200 ziko wapi?

  • @muslimmassoud2673

    @muslimmassoud2673

    2 жыл бұрын

    Hhhhh jibu atalitolea wp akhy na yeye mwizi

  • @muhammadmjara6776

    @muhammadmjara6776

    2 жыл бұрын

    hilo halotojibika naile riba aliyo dai

  • @muslimmassoud2673

    @muslimmassoud2673

    2 жыл бұрын

    @@muhammadmjara6776 KBC akhy

  • @zedon2047

    @zedon2047

    2 жыл бұрын

    Tungeanza kumuuliza Mafuta kwanza zile pesa alizowatapeli watu wa Moshi kazipeleka wapi

  • @muslimmassoud2673

    @muslimmassoud2673

    2 жыл бұрын

    @@zedon2047 hhhhh ukirejea mihadhara ya sheikh kassim aliomradd barahyan utajion uhalisia wa ayo mmbo