CHANZO CHA UGOMVI WA QASSIM MAFUTA NA SHEIKH SALIM BARAHIYANI
Жүктеу.....
Пікірлер: 26
@asmaaahmed48622 жыл бұрын
Allah awalipe wenye kusimamisha sunna na kila ukipata mitihani basi ujue ulinganizi wako uko effective mkamilifu ni Allah
@jumaothman94492 жыл бұрын
Dah! Naona huruma sana. musipo kuwa makini nyinyi wenye elimu juhudi zenu huwenda zikawa ni kuambukia patupu Allah awahifadhi na hilo, kuweni makini na ibada zenu
@muslimmassoud26732 жыл бұрын
Wallah barahyani anabeba dhimma mbele ya Allah kumsingizia sheikh wetu uongo
@abbaspaziaog2188
4 күн бұрын
Uongo gang. Akhy
@Mr21619832 жыл бұрын
Inasikitisha sana kuona chuki na uhasama umeenea miongoni mwa viongozi wa kiislam.. Sheikh Barahiayan wakati anaeleza mgogoro huu anataja kuitwa kwa Sheikh Othman Maalim kuzungumza na waislam Tanga ni katika makosa yaliyofanywa na watu wake.. Innalillahi wainna ilaihi raajioon.. Ni Allah pekee ndio anamjua alie Bora na aliyeongoka.. wacheni kujiona bora
@harounmuhadith64912 жыл бұрын
sheikh Mohammed eee! masufi ndo kina nani😂😂
@husseinabubakar9292 жыл бұрын
shekhe anajitahidi kujitetea..hahaa
@muhammadmjara67762 жыл бұрын
nakile kitabu ulichu andika kuwatowa mashekhe wasuna katika suna vp ikoje hiyo mana nakitabu ushaandika vp
@zedon2047
2 жыл бұрын
Wewe umekisoma hicho kitabu?
@abbaspaziaog2188
4 күн бұрын
@@zedon2047akisome. Wapi
@ahmednurmohamed43372 жыл бұрын
Muhamad bacho na barahiyan ni saw tu nyote ni mafasiqi na wazushi wakubwa nyie lkn kumbuken mtakuja kulizwa
@abbaspaziaog2188
4 күн бұрын
Naww pia akhy utakuja. Kuulizwa
@ahmednurmohamed43372 жыл бұрын
Kwanza liulizeni sheikh lenu zile 200 ziko wapi?
@muslimmassoud2673
2 жыл бұрын
Hhhhh jibu atalitolea wp akhy na yeye mwizi
@muhammadmjara6776
2 жыл бұрын
hilo halotojibika naile riba aliyo dai
@muslimmassoud2673
2 жыл бұрын
@@muhammadmjara6776 KBC akhy
@zedon2047
2 жыл бұрын
Tungeanza kumuuliza Mafuta kwanza zile pesa alizowatapeli watu wa Moshi kazipeleka wapi
@muslimmassoud2673
2 жыл бұрын
@@zedon2047 hhhhh ukirejea mihadhara ya sheikh kassim aliomradd barahyan utajion uhalisia wa ayo mmbo
Пікірлер: 26
Allah awalipe wenye kusimamisha sunna na kila ukipata mitihani basi ujue ulinganizi wako uko effective mkamilifu ni Allah
Dah! Naona huruma sana. musipo kuwa makini nyinyi wenye elimu juhudi zenu huwenda zikawa ni kuambukia patupu Allah awahifadhi na hilo, kuweni makini na ibada zenu
Wallah barahyani anabeba dhimma mbele ya Allah kumsingizia sheikh wetu uongo
@abbaspaziaog2188
4 күн бұрын
Uongo gang. Akhy
Inasikitisha sana kuona chuki na uhasama umeenea miongoni mwa viongozi wa kiislam.. Sheikh Barahiayan wakati anaeleza mgogoro huu anataja kuitwa kwa Sheikh Othman Maalim kuzungumza na waislam Tanga ni katika makosa yaliyofanywa na watu wake.. Innalillahi wainna ilaihi raajioon.. Ni Allah pekee ndio anamjua alie Bora na aliyeongoka.. wacheni kujiona bora
sheikh Mohammed eee! masufi ndo kina nani😂😂
shekhe anajitahidi kujitetea..hahaa
nakile kitabu ulichu andika kuwatowa mashekhe wasuna katika suna vp ikoje hiyo mana nakitabu ushaandika vp
@zedon2047
2 жыл бұрын
Wewe umekisoma hicho kitabu?
@abbaspaziaog2188
4 күн бұрын
@@zedon2047akisome. Wapi
Muhamad bacho na barahiyan ni saw tu nyote ni mafasiqi na wazushi wakubwa nyie lkn kumbuken mtakuja kulizwa
@abbaspaziaog2188
4 күн бұрын
Naww pia akhy utakuja. Kuulizwa
Kwanza liulizeni sheikh lenu zile 200 ziko wapi?
@muslimmassoud2673
2 жыл бұрын
Hhhhh jibu atalitolea wp akhy na yeye mwizi
@muhammadmjara6776
2 жыл бұрын
hilo halotojibika naile riba aliyo dai
@muslimmassoud2673
2 жыл бұрын
@@muhammadmjara6776 KBC akhy
@zedon2047
2 жыл бұрын
Tungeanza kumuuliza Mafuta kwanza zile pesa alizowatapeli watu wa Moshi kazipeleka wapi
@muslimmassoud2673
2 жыл бұрын
@@zedon2047 hhhhh ukirejea mihadhara ya sheikh kassim aliomradd barahyan utajion uhalisia wa ayo mmbo