SHK, QASIM MAFUTA ALIVYOPELEKWA JELA NCHINI SAUDIA - INASIKITISHA SANA - MARKAZ OMARI BIN KHATWAB

hapa sheikh wetu alikuwa akielezea na kutaka tuhma za ndugu barahiyani katika kumtuhumu kwake katika kufungwa jela nchini saidia arahia

Пікірлер: 108

  • @RamadhanOmar-ow1ki
    @RamadhanOmar-ow1ki Жыл бұрын

    Kwa kweli mnachosha na mambo yenu hivi Mtume angekuwa hivyo dini ingesimama kweli kwa aina ya masheikh kama nyinyi mnatukera sana mmekosa kazi kazi kukosoana tu sijui sijui Salafia jadida ,sijui Salafia qadim mpaka mwisho mtajiuta nyinyi ndo masalifia hakuna cha Salafia jadida wala nni ssi wote ni waislamu ambao tunafuata maamrisho ya Allah kwa kupitia Mtume Muhammed S .A.W na waislamu wote wanafuata maswahaba na ma maimamu baada ya maswahaba.Acheni mipasho katika.mambo ya dini mnatukera.

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Duuh

  • @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm

    @AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm

    Жыл бұрын

    kasome acha makasiriko

  • @malak-lz6kx

    @malak-lz6kx

    9 ай бұрын

    ​@@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lmhabar ndio hyo

  • @omarsirleem7105

    @omarsirleem7105

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂 ushajibiwa duuuuh!!! ​@@Hud_hud_Salafiy

  • @imranjuma1197

    @imranjuma1197

    5 ай бұрын

    👏👏👏

  • @user-qv6ww4qj4u
    @user-qv6ww4qj4u5 ай бұрын

    Allah akuhifadhi shekh wetu

  • @BilaliIbrahimu

    @BilaliIbrahimu

    4 ай бұрын

    Yarabi mjaalie shehe we2 mwisho mwema

  • @meriamumeriamu9015
    @meriamumeriamu9015 Жыл бұрын

    Allah akuhifadhi

  • @HasfatyBaechou
    @HasfatyBaechou2 ай бұрын

    Allah akuhifadh ❤

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    2 ай бұрын

    Amiiyn

  • @khalfansharji-ez7pg
    @khalfansharji-ez7pg Жыл бұрын

    MASHAALLAH Ulipo ukweli uongo hujitenga Sasa ni zama mmalizane mawahabi na miuongo yenu na mi Bida yenu iwe kweupe

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    UNADALILI YAHILO UULISEMALO

  • @ppandenassoro6666
    @ppandenassoro6666 Жыл бұрын

    Alhamdulillaahi, Umeelekwa vyema Allah Akuhifadhi.Mahizbi wanashida wametafuta uchochoro umeuziba kwa kusema haqq.

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Amiyyn Allah atuongoze katika haki mpaka itakapo tujia yakin

  • @cholomonmedia2199

    @cholomonmedia2199

    Жыл бұрын

    Mafuta anatafuta chochoro hoja za kitabu amezijibu Wapi?

  • @khaalidcheo5383

    @khaalidcheo5383

    Жыл бұрын

    ​@@cholomonmedia2199 kweri wewe macho yako chongo.

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    2 ай бұрын

    Mafuta uongo kweli ninyi ni majadida urongo mtupu

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    2 ай бұрын

    Mafuta toka akasome yemeni na mdogo ake walivyorudi tz wameleta fitna kubwa na kuvuruga umoja wa sunnah kaleta fitna kweli kweli akaanza kupiga vita ansari sunnah, tz na kuwatowa katika ahlsunna na kuwasingizia mambo mengi ambayo hayana dalili na kujiona yey pekee ndo salafi na kikundi chake kama dini yake vile tunawauliza wanaojinasibisha na huo usalafi wema walotangulia ndo waliishi hivyo katika uislamu wao walitoana katika sunna na mwenendo wa mtume ikiwa mtu kakosea jambo dogo unaruksa gani ww kumtoa katika man haji na mwenendo wa mtume sasa hawa kina mafuta ndo wamekuja na usalafi wa aina hii wakiambiwa wamekuja na fikra mpya za usalafi wanakanusha hamna wakati tunaona matendo yenu yako mbali na usalafi usalafi ndo kutaja aibu za mwislamu mwenzio itaqi laa muogopeni allah enyi watu

  • @abukassim5645
    @abukassim5645 Жыл бұрын

    BarakaLlahu fik sheikh kwa kusema ukweli na uendelee hivo hivo.Allah akuhifadhi

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Amiiyn inshallah na wewe pia ndugu yangu katika iman

  • @amiryfastfood5399
    @amiryfastfood5399 Жыл бұрын

    Allah akuhifadh shekih wetu

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Aaamiyyn

  • @Abuu-Ayman148

    @Abuu-Ayman148

    Жыл бұрын

    اللهم آمين

  • @issaally7928
    @issaally7928 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Ok

  • @saidimadzumba2266

    @saidimadzumba2266

    Жыл бұрын

    Too much Noise for little things,back bitting,opression,selfupgrading and defamation! Muslims are Brothers! This should be avoided!

  • @user-fg4fv3tx2p
    @user-fg4fv3tx2p11 ай бұрын

    Masha Allah sheikh ALLAH akulipe kheri, usibabaishwe na hizo comment za mahizib na masufi.

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    11 ай бұрын

    aaamiyn inshallah

  • @NenemiaEzekia-nn5ym
    @NenemiaEzekia-nn5ym Жыл бұрын

    Asalam alykum shekh Wang Allah akuhifaz

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    aaaminah inshallah

  • @AjsProSigns
    @AjsProSigns Жыл бұрын

    Naomba kuuliza Je kitabu kiliomba kujibiwa? Kitabu kimeeleza sifa za hao watu. Sikutegemea mngekisifia kwahiyo ni sawaaau

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    SIJAELEWA SWALI FAFANUA VZR

  • @mohamedswalehe4442
    @mohamedswalehe4442 Жыл бұрын

    Kumbe mwajijua muwaongo hiyo ndio athari zenu kwasasa zinawashambulia wenyewe

  • @user-ve2ok3xj1z
    @user-ve2ok3xj1z Жыл бұрын

    Sema haki sheikh acha ujanja

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Duh mtihani

  • @salumkhamis-tp4cp
    @salumkhamis-tp4cp2 ай бұрын

    Allah atuongoze tuijue haq tuache kulumbana

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    2 ай бұрын

    Amiiyn

  • @BilaliIbrahimu
    @BilaliIbrahimu4 ай бұрын

    Kasim

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e2 ай бұрын

    Mafuta acha chuki na kutaja aibu za mwenzio ww una aibu zako kibao na mtume anasema mwenye kutaja aibu za mwenzie nae akumbuke kwani na aibu zake.

  • @user-cd5sq1dz4u
    @user-cd5sq1dz4u Жыл бұрын

    Mifelia Kaz saana Bora mtu wa maulid kulikon vijisalafi dharau kibri

  • @habarinamatukio6148

    @habarinamatukio6148

    3 ай бұрын

    Allah akuongoze wewe jahili

  • @abdallahsiraji9919
    @abdallahsiraji9919 Жыл бұрын

    Assalam alaykum warahmatullah wabarakaatuh...Mcheni Allah ukweli wa Kumcha.Hakika Allah anashuhudia Nia na nafsi zenu. Kila kukicha daawa zenu ni zq kuwagawa na kuleta kufarikiana ktk uislam Mnabandikana Majina na Chuki waisla kwa waislam jila uchao mara Masufi ,Majadida na n.k haya Mtayajibu mbele za Allah....Mnachukia baadhi ya waislam na kuwapiga mapande, Wa'ataswimuu bi hablillahi jamiaa.........Hii Aya myaifanyia kazi lini?????????

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Kuna watu wamepinda na wanawapotez watu Kama vile mashia nao pia waachwe tushikamane nao katika kamba ya Allah au

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Dini ni bayana na sio kuogopana

  • @karimdaud3993

    @karimdaud3993

    11 ай бұрын

    Ndugu zangu na mashehe zetu . Tukumbusheni DINI YETU sio kila siku kukosoana mnakua kama mmetumwa na wasio kuwa waislam . Mtume s.a.w Hakua salafi wala sufi wala salafi jadiidu wala walaaa wala . SIO MAWAIDHA hayo . SOMESHENI ELIMU KAMA HAMNA VIREJESHENI VYOMBO VYETU . tushachoka tushachoka Tushachoka

  • @husseinazizi1275
    @husseinazizi1275 Жыл бұрын

    Huyu alieandika ni mpuuzi

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Ni Mimi ndiye nimeandika hapo kwani tatizo lipo wapi na upuuzi wangu ni upi

  • @husseinazizi1275

    @husseinazizi1275

    Жыл бұрын

    Maandishi na maneno yapo tufauti uoni tatzo

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    @@husseinazizi1275 Mimi sijauona ttz ndio Mana niandika hivyo na ujue Mimi ni miongoni Mwa wanafunzi niliyepitia na kusoma kwa sheik markazi pongwe sio kwamba ni mtu wa vichochoroni niliuekurupuka ndugu nimeandika kitu ambacho sheikh amekisimulia na hakusema amezuliwa na kitu ambacho kimetokea wakati akitafuta elimu katika nchi ya saidia Rabia Sasa ebu nielezee tatizo uliloliona ndugu

  • @husseinazizi1275

    @husseinazizi1275

    Жыл бұрын

    @@Hud_hud_Salafiy Afwan Akhy

  • @karimdaud3993

    @karimdaud3993

    11 ай бұрын

    Si mpuuzi kila siku kutukanana tu mpaka misiki mnanyanganyiana

  • @kassimbitogwa6992
    @kassimbitogwa6992 Жыл бұрын

    Mzungumzieni na muhammad bachu muone moto😂

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Mbona alishazungumziwa tayari na audio yake tulishaipost muda mrefu sana

  • @mzeejumbe900

    @mzeejumbe900

    Жыл бұрын

    hebu tupostie hiyo ya bachu

  • @kassimbitogwa6992

    @kassimbitogwa6992

    Жыл бұрын

    @@Hud_hud_Salafiy na si kawajibu tena mbona mpo kimya

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    2 ай бұрын

    Hawa majambazi tuu kujidai usalafi kumbe hamna lolote lile salafi wa kweli hawakuwa na moyo na urongo kama kina mafuta

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Жыл бұрын

    Acheni malumbano nendeni muka fundishe dini ya mungu vijijini

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Sawa tutalifanyia kazi hilo

  • @Zainabnoor0087-ze
    @Zainabnoor0087-ze Жыл бұрын

    Uwage na aleast na shukran kwa barahiyan aliekulea uliopotako ktk usufi tamta)

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Subuhana llah

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah9 ай бұрын

    Nyote mawahabi mutajuana eti wanajiita masalafi hata Salim Baraiyan anakutaja na wewe kwa ubaya nyote ni pote moja la mawahabi Allah anawafedhehesha mmoja baada ya mwengine kila mmoja kati yenu Ana madhaifu yake na kati yenu hakuna salafi ni jina tu mumejipachika wala halitawasaidia nyote ni chungu kimoja, Salafi ni waja wema waliotangulia jee nyie mumo

  • @abubakarhussein2186
    @abubakarhussein2186 Жыл бұрын

    MBONA KICHWA CHA HABARI NI TOFAUTI NA KINACHOZUNGUMZWA HUMO NDANI??

  • @abdallajuma0587

    @abdallajuma0587

    Жыл бұрын

    Wewe khawarij au hujaskiliza mpka mwisho ukaona

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Ebu sikiza mpaka mwisho ndio utajua kipi kimezungumzwa humu ndani

  • @hawakiza6067

    @hawakiza6067

    Жыл бұрын

    @@abdallajuma0587 nini mana ya khawarij

  • @abdallajuma0587

    @abdallajuma0587

    Жыл бұрын

    Njooni katika markazi zetu za Ahlusunna utajuwa maana yake

  • @abubakarhussein2186

    @abubakarhussein2186

    Жыл бұрын

    @@abdallajuma0587 wewe hizb salaf, markaz zenu okoteni wanafunzi hukooo muwakaririshe matamanio ya nafsi zenu mm bado cjaona kuwa mna hoja wala dall za kutosha katika mambo mnayoyadai. Bado yatabaki kuwa madai tuu bila hoja wala dalili kwetu hatuyackilizi

  • @cholomonmedia2199
    @cholomonmedia2199 Жыл бұрын

    Wee mafuta mche Allah unasema umejibu hoja za kile kitabu ebu twambie umejibu kwenye muhadhara gani? Mihadhara yote ulikuwa unazungumzia habari za milioni 200 tu hakuna hoja uliojibu na hata muhadhara huu hakuna hoja ya msingi uliojibu acha uongo mafuta.

  • @saidchina8552
    @saidchina8552 Жыл бұрын

    Hauna hekim Shekhe kuwen na ikhilaswi jamanin

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    IKHILASWI ILI NA HESHIMA IPI UNATAKA AWE NAYO MAANA HAPA YUPO KATIKA KUBAINISHA HAKI NA BATILI

  • @user-cd5sq1dz4u
    @user-cd5sq1dz4u Жыл бұрын

    Salafi Hawa ni watu wa bidaa kujiona mwema kwa kuwadharAulisha wengne manhaj ya ufofolo mtume s a w hakufundisha hayo

  • @shabanishabani2981
    @shabanishabani2981 Жыл бұрын

    Shekh kua na hekima ktk da'awa

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Hekma ipi unayoitaka wewe awe nayo

  • @shabraniamirimohamedi9036

    @shabraniamirimohamedi9036

    Жыл бұрын

    unahitaji hekma ipi maalim

  • @saidimadzumba2266

    @saidimadzumba2266

    Жыл бұрын

    Naona Show off! Sheikh Mada za ujadida zimesinya! Elimisha watu sikilasiku kuongea watu tu! Hakuna Hekima hapo!

  • @chifuismail6959

    @chifuismail6959

    Жыл бұрын

    Hekma ni kuweka wazi mambo ya dini

  • @RashidJuma-uh8sv
    @RashidJuma-uh8sv6 ай бұрын

    Hivi mashekh nisaidieni mtume (s.a.w) alikua madhehebu gani?

  • @sheikhBabuu-nq3bx
    @sheikhBabuu-nq3bx6 ай бұрын

    Mashia wanatushambulia, nanyi badala ya kuangalia watu wanahuisha vipi sunnah,mnaleta Fitna Za Maslahi Mnatumia Elimu mlonayo kujifichia Maslahi yenu Achene Fitna linganieni Dini, Mnatumia masaa kusemana mnatupa Mifano gani,milioni 200 kila wakati wataja lingania Dina

  • @user-gc3ec9wx6z
    @user-gc3ec9wx6zАй бұрын

    Katka mtu wa kuwa hafai kufatwa ni mtu huyu ana jiona yy ni mbora hali ya kuwa mbora ana mjuwa mwenyez mungu mnafki sana mtu huyu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Жыл бұрын

    We vp wanawachuoni wenu kwani umemilikishwa wale We jadida tu Ata usemeje

  • @abdallajuma0587

    @abdallajuma0587

    Жыл бұрын

    Nyie makhawariji muna shida sana nini maan ya jadida hamujuw ata kiarabu

  • @abdallajuma0587

    @abdallajuma0587

    Жыл бұрын

    Waanzilishi wa hili jina la jadida ni makhawariji wa zama hizi ukiwemo wewe miongoni mwao

  • @abdallajuma0587

    @abdallajuma0587

    Жыл бұрын

    Ukimuona mtu atumia hili jina LA jadida basi uyo ni hizbi na ana chembe za ukhawariji

  • @selemanimartin1081

    @selemanimartin1081

    Жыл бұрын

    Pavillion: Kwani Jadida ni nini? Weka wazi ulilo nalo moyoni.

  • @ahmadnonela3215

    @ahmadnonela3215

    Жыл бұрын

    Majambazi wa kiwahibi wameanza kugombana wenyewe kwa wenyewe Nahiyo nidhambi ya matunda ya najdi

  • @Zainabnoor0087-ze
    @Zainabnoor0087-ze3 ай бұрын

    Kumbe mlitiwa hatiani kwa uhalifu hamna jipya wahalifu

  • @Zainabnoor0087-ze
    @Zainabnoor0087-ze3 ай бұрын

    Jamaa alponda sana miasasa mwanzo mwanzo, kumbe baada ya kuona kua ni mshiko jamaa kasajili na yy muasasi taasisi lkn kina answar muslim youth centre ni hizb!? wao ni sawa, majadida hamna jipya nyie

  • @Zainabnoor0087-ze
    @Zainabnoor0087-ze3 ай бұрын

    Jadidah huna hoja

  • @imranjuma1197
    @imranjuma11975 ай бұрын

    Huu ni ujinga wa wazi kila mtu anatetea taasisi yake😂 Hata wewe Mafutaa unapewa pesa nyingi toka Saudia ili kueneza Usalafi🚮 Wewe Mafutaa ni Yahudi ulio someshwa saudia

  • @salehaljadidi8206
    @salehaljadidi82067 ай бұрын

    Dawa yako, walikosea kukuachia bora wangekukata shingo kabisa

  • @RashidJuma-uh8sv
    @RashidJuma-uh8sv6 ай бұрын

    Hivi mashekh nisaidieni mtume (s.a.w) alikua madhehebu gani?

  • @RashidJuma-uh8sv
    @RashidJuma-uh8sv6 ай бұрын

    Shikamaneni Katika kamba (dini) moja Wala msifarikiane

  • @RashidJuma-uh8sv
    @RashidJuma-uh8sv6 ай бұрын

    Hivi mashekh nisaidieni mtume (s.a.w) alikua madhehebu gani?

  • @Awes396

    @Awes396

    12 күн бұрын

    Good question