MAITI YA MTUME ILIVYO OSHWA, SHK, QASSIM MAFUTA,
#manhajsalafi #salafi #salafiyah #live #allah #muhammad #salafiy #muslim #muslimah #markaz #markazpongwe #markazpongwetanga #tanzania #tanzanianmusic #tanzaniayetu #azamtv #azammedia #azammarket #simbasc #yangasc #tra #markaz #markazpongwe #markangelcomedy #markazmombasa #markazomar #markazomarbinkhatwab #markazomaribnulkhatwab #markazomaribnulkhatwabdsm #daurahyamoshi #markazimamshafi ##imamshafi #tazara #flyover #mandonga #mtukazi #mwakinyo #kidukachi #tabata #wemasepetu #bongo #darasa #diamond #dangote #diamondplatnumz #zuchu #zuchusukari #mbosso #mbossokhan #lavalava #posta #postabank #kigamboni #moto #fire #modewj #azizki #aziziki #azizkikusajiliwasimba #morisson #mkudesimba #mkude #mkudesekulu #jeje #mkojani #nagwa #ngomanagwa #ugaigai #comedy #tegeta #nyuki #bagamoyo #bongohiphop #bongotricks #bongo5 #bongo24 #mungu #mkemwema #mzeewakofia #makoko #makochi #babalevo #mwijaku #vunjambavu #vunjabei #fredvunjabei #dejandragojevic #kichuya #mayele #gongowazi #soka #football #ahmedally #carantine #entertainment #wemakelegends #wema #magufuli #hapakazitu #kaziiendelee #ikulumawasiliano #royar #johari #kanumba #elizabethmichael #lulu #jb #misuko #sinza #tandale #uswahilini #kariakoo #kariakooderby #azamfc #simbatv #yangaleo #yangatv #fastjet #clouds #wasafitv #wasafi #wasafifm #wasafimedia #wasafifestival2019 #marhabanyaramadhan #yaara #coconut #kenya #kenyanews #tanzal2419 #tanzanianyoutuber #tanzaniaprisons #polisi #polisiindonesia #kakakupinipin #africa #zanzibar #zanzibarbeach #zanzibartours #tarangire #mbugani #mikumikudance #jahazi #jahazimoderntaarab #mwanza #nyegenyege #nyegezi #arusha #arushatours #arushahvlogs #arushatanzania #arushandmama #namangan #kondoa #dodomafm #dodomajiji #dodomatv #dodoma #dodomaishakuwanoma #dodomakwanza #dodomajijifc
Пікірлер: 57
Mashaallah allah akuhifadh
@Hud_hud_Salafiy
Жыл бұрын
Amiyn
Jazakallah
@Hud_hud_Salafiy
Жыл бұрын
Aaamiyyn waiyakah Yaa akhy
Allah akuhifadhi sheikh wetu
@Hud_hud_Salafiy
Жыл бұрын
Aminah inashallah Allah atuongoze zote katika haki
Allah amhifadhi shekhe
@Hud_hud_Salafiy
3 ай бұрын
Amiiyn
@user-gc3ec9wx6z
Ай бұрын
He nyinyi haswa
Allah akuhifadhi sheikh kassim pamoja na familia yako
@Hud_hud_Salafiy
Жыл бұрын
Aamiyn waiyakah Yaa akhy
@hilalkhalfan1452
Жыл бұрын
Jee yafaa kumuita Mtume saw ni maiti?. Jawabu. i Wala msiseme walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa wamekufa, bali wako hai, lakini nyinyi hamtambui. 154 Al-Baqara *Bofya hapa kutazama surah nzima
allah akulipeni kheri kwa jitihada zenu za kusamba kheri na faida za kidini na ukafanyiyeni wepesi katika harakati zenu za kila siku barakallahu fiikum
@Hud_hud_Salafiy
Жыл бұрын
Amiiyn tunashukiru Sana ndugu yetu katika iman
Mashallah
Allah akuhifadhi sheikh wetu mlezi 🎤
@Hud_hud_Salafiy
Жыл бұрын
Amiiyn inshallah
@hilalkhalfan1452
Жыл бұрын
Jee yafaa kumuita Mtume saw ni maiti, jawabu. i Wala msiseme walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa wamekufa, bali wako hai, lakini nyinyi hamtambui. 154 Al-Baqara *Bofya hapa kutazama surah nzima
Allah akuzindishie
@Hud_hud_Salafiy
Жыл бұрын
Amiyyn inshallah
Alhamdullilah allah ametujaalia kheri nyingi tuna pata faida kubwa Sana allah awahifadhi mashekhe zetu
@Hud_hud_Salafiy
11 ай бұрын
Amiiyn inshallah
Baraka Allah fik Sheikh
@Hud_hud_Salafiy
Жыл бұрын
Amiiyn waiyakah Yaa akhy
ALAAH akupe kila lakheri Sheikh wangu mpenzi hiyo nidiyo zawadi ila dua
@Hud_hud_Salafiy
Жыл бұрын
ammmiyn
asalam alaykum warahmatullah wabaraktuh nilikua naomba ndugu kama ungelikua una weka mihadhara ya sheikh qassim na masheikh wengi mwanzo mpaka mwisho kwa utaratibu wa mfwatano ili kurahisisha kufwatilia darsa za ma sheikh na kuzipata faida za muendelezo
@Hud_hud_Salafiy
Жыл бұрын
Nenda kwenye playlist kwenye chaneli yangu hii utapata muendelezo wote ndugu katika Imani
Kweli mafuta ni mpotofu wa history ya uislam,ila ukweli upo wazi huwezi kuuficha ww
@user-gc3ec9wx6z
Ай бұрын
Hhhhhh umeona eee uyu mpotoshji tu hajuwi kitu mafuta huyu
We ni kichwa na kwa kweli elmu unayo shekh
@Hud_hud_Salafiy
2 жыл бұрын
Mashallah
@abuunajat4450
Жыл бұрын
Sema mashaallah
@hilalkhalfan1452
Жыл бұрын
Jee yafaa kumuita Mtume saw ni maiti, jawabu. i Wala msiseme walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa wamekufa, bali wako hai, lakini nyinyi hamtambui. 154 Al-Baqara *Bofya hapa kutazama surah nzima
@user-xn5jj3zg3w
3 ай бұрын
ukisema waliokufa ktk njia ya Allah Inakua Amekufa ktk jambo lipi ili Aesabiwe amekufa ktk njia ya Allah?
nataraji itakua bora zaidi kuliko kuweka vipande vipande inakosekana faida ilio timia katika darsa lengo la darsa ni kuelimisha na elimu inahitaji ufwatiliaji wa mwanafunzi kwa mwalimu mwanzo wa muqaddima hadi mwisho tamamti ya darasa
@Hud_hud_Salafiy
Жыл бұрын
Sawa ndugu tutalifanyia kazi
Mwanzo umesema, baada ya Abubakar (ra) kuwahutubia watu kule msikiti, waislamu wote walimridhia (hakuna hata mmoja aliyempinga). Halafu huki mwisho unasema wako Waislamu wachache (kama wawili watatu hivi) wali-taakhar. Tuchukue lipi hapo sheikh wangu?
@user-gc3ec9wx6z
Ай бұрын
Hajuwi kitu mtu uyu
Wewe Acha uongo Mtume ameswaliwa na kuzikwa na maswahaba wasiozidi 10 , Sayyidna Abubakar RA na Omar RA walikuwa SAQIFA baanusaida kumchagua KHALIFA baada ya Mtume hawakushiriki live katika Kumuosha kumswalia hadi kumzika MTUME ,Mafuta Acha uongo pepo YA Mola kwako MTIHANI KWA UONGO WAKO
@abdallahmoussa614
Жыл бұрын
sasa umekosowa nini apo
@official_Yssalia
Жыл бұрын
Naomba nikuulize ivi IMAAN za maswahaba kwa Allah ni sawa na Mimi na wewe? Na kama wangekua wanafiq Mtume sw hakuweza kulijua Ilo? Na kama amelijua Ilo kwanini alikubali kuswalishwa na mnafiq! Pia kwanini Mtume alisema anaindoka akiwa amecha dini imekamilika does it mean hakuweza kujua kama Kuna tatizo kuubwa limemzuka?!? So many questions ukitaka kufafanua jambo hili kwa kutumia akili Yako timam... Allah akuongoze
Masuni mna Kaz kwer Ali akumpa Bai sawa kwa sababu ya madai ya Fatima yapi mbon uyataji unaficha ukwer
Kumbuka mtume alivyofariki maswahaba wangi walikuja kuwa walevi mbona hili amsemii hii dini aijitambui
@Hud_hud_Salafiy
Жыл бұрын
We una uhakika na hizo kauli unazozisema
@hilalkhalfan1452
Жыл бұрын
Waliacha ulevi kabla Mtume saw kufariki kama alivyoacha yedu ulevi kabla hajaokolewa na Allah sw akapaishwa mbinguni
@official_Yssalia
Жыл бұрын
He's qafir! No questions about that 😂
Na kesho mbele ya allah ukaseme hivyo hivyo unaficha historia wakati ipo wazi mtume s. a. w ameondoka kila kitu alikiweka wazi vitabu vinavyoaminika wameandika ww unajitafuna meno
@user-yj5on8cz3e
2 ай бұрын
Ww ni mshia nini nini? Maana mashia ndo maadui wa mtume afu ndo wakwanza kujifanya mmevaa vazi la kummpenda mtume kumbe mmeficha ukafiri na kumtukana matusi mtume na swahaba zake
Siamini kama sheikh mkubwa kama ww unapotosha na una unatohoa baadhi ya mambo ya sakifa yaliyojiri hapo
@abdallahmoussa614
Жыл бұрын
we ni mshia au...
Huyu jamaa anazungumza pumba tu.Hajui chochote kuhusu historia ya kiislam. Hizo anavyozungumza sivyo jambo lilivyo kwenda
@Hud_hud_Salafiy
Жыл бұрын
Haya ebu zungumza wewe ilivyokuwa
@abiabi9353
Жыл бұрын
@@Hud_hud_Salafiy ukweli nikwamba Abubakar na Omar hawakumzika mtume kwasababu walikuwa wanapigania madaraka zaidi.ukinipa ushahidi kuwa Abubakar na Omar walimzika mtume,yani walihudhuria mazishini nitakupa laki moja
@jaykinho8234
Жыл бұрын
Hakuna mwenye tamaa na hela yako sisi twaitaka pepo ya allah
@abiabi9353
Жыл бұрын
@@jaykinho8234 Huwezi kuipata pepo kwa ujinga na propaganda
@hilalkhalfan1452
Жыл бұрын
Jee yafaa kumuita Mtume saw ni maiti, jawabu. i Wala msiseme walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa wamekufa, bali wako hai, lakini nyinyi hamtambui. 154 Al-Baqara *Bofya hapa kutazama surah nzima