MAITI YA MTUME ILIVYO OSHWA, SHK, QASSIM MAFUTA,

#manhajsalafi #salafi #salafiyah #live #allah #muhammad #salafiy #muslim #muslimah #markaz #markazpongwe #markazpongwetanga #tanzania #tanzanianmusic #tanzaniayetu #azamtv #azammedia #azammarket #simbasc #yangasc #tra #markaz #markazpongwe #markangelcomedy #markazmombasa #markazomar #markazomarbinkhatwab #markazomaribnulkhatwab #markazomaribnulkhatwabdsm #daurahyamoshi #markazimamshafi ##imamshafi #tazara #flyover #mandonga #mtukazi #mwakinyo #kidukachi #tabata #wemasepetu #bongo #darasa #diamond #dangote #diamondplatnumz #zuchu #zuchusukari #mbosso #mbossokhan #lavalava #posta #postabank #kigamboni #moto #fire #modewj #azizki #aziziki #azizkikusajiliwasimba #morisson #mkudesimba #mkude #mkudesekulu #jeje #mkojani #nagwa #ngomanagwa #ugaigai #comedy #tegeta #nyuki #bagamoyo #bongohiphop #bongotricks #bongo5 #bongo24 #mungu #mkemwema #mzeewakofia #makoko #makochi #babalevo #mwijaku #vunjambavu #vunjabei #fredvunjabei #dejandragojevic #kichuya #mayele #gongowazi #soka #football #ahmedally #carantine #entertainment #wemakelegends #wema #magufuli #hapakazitu #kaziiendelee #ikulumawasiliano #royar #johari #kanumba #elizabethmichael #lulu #jb #misuko #sinza #tandale #uswahilini #kariakoo #kariakooderby #azamfc #simbatv #yangaleo #yangatv #fastjet #clouds #wasafitv #wasafi #wasafifm #wasafimedia #wasafifestival2019 #marhabanyaramadhan #yaara #coconut #kenya #kenyanews #tanzal2419 #tanzanianyoutuber #tanzaniaprisons #polisi #polisiindonesia #kakakupinipin #africa #zanzibar #zanzibarbeach #zanzibartours #tarangire #mbugani #mikumikudance #jahazi #jahazimoderntaarab #mwanza #nyegenyege #nyegezi #arusha #arushatours #arushahvlogs #arushatanzania #arushandmama #namangan #kondoa #dodomafm #dodomajiji #dodomatv #dodoma #dodomaishakuwanoma #dodomakwanza #dodomajijifc

Пікірлер: 57

  • @iddrisakhamis8455
    @iddrisakhamis8455 Жыл бұрын

    Mashaallah allah akuhifadh

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Amiyn

  • @shamsuddin4582
    @shamsuddin4582 Жыл бұрын

    Jazakallah

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Aaamiyyn waiyakah Yaa akhy

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Жыл бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh wetu

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Aminah inashallah Allah atuongoze zote katika haki

  • @bakarihote
    @bakarihote3 ай бұрын

    Allah amhifadhi shekhe

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    3 ай бұрын

    Amiiyn

  • @user-gc3ec9wx6z

    @user-gc3ec9wx6z

    Ай бұрын

    He nyinyi haswa

  • @aminirashid2833
    @aminirashid2833 Жыл бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh kassim pamoja na familia yako

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Aamiyn waiyakah Yaa akhy

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Жыл бұрын

    Jee yafaa kumuita Mtume saw ni maiti?. Jawabu. i Wala msiseme walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa wamekufa, bali wako hai, lakini nyinyi hamtambui. 154 Al-Baqara *Bofya hapa kutazama surah nzima

  • @ismailbuchwa398
    @ismailbuchwa398 Жыл бұрын

    allah akulipeni kheri kwa jitihada zenu za kusamba kheri na faida za kidini na ukafanyiyeni wepesi katika harakati zenu za kila siku barakallahu fiikum

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Amiiyn tunashukiru Sana ndugu yetu katika iman

  • @hashimiddi4789
    @hashimiddi4789 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @habibabuunasruu5683
    @habibabuunasruu5683 Жыл бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh wetu mlezi 🎤

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Amiiyn inshallah

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Жыл бұрын

    Jee yafaa kumuita Mtume saw ni maiti, jawabu. i Wala msiseme walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa wamekufa, bali wako hai, lakini nyinyi hamtambui. 154 Al-Baqara *Bofya hapa kutazama surah nzima

  • @abuhamzakisai8007
    @abuhamzakisai8007 Жыл бұрын

    Allah akuzindishie

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Amiyyn inshallah

  • @nurdinjafari1520
    @nurdinjafari152011 ай бұрын

    Alhamdullilah allah ametujaalia kheri nyingi tuna pata faida kubwa Sana allah awahifadhi mashekhe zetu

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    11 ай бұрын

    Amiiyn inshallah

  • @salimawadh2556
    @salimawadh2556 Жыл бұрын

    Baraka Allah fik Sheikh

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Amiiyn waiyakah Yaa akhy

  • @abukassim5645
    @abukassim5645 Жыл бұрын

    ALAAH akupe kila lakheri Sheikh wangu mpenzi hiyo nidiyo zawadi ila dua

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    ammmiyn

  • @ismailbuchwa398
    @ismailbuchwa398 Жыл бұрын

    asalam alaykum warahmatullah wabaraktuh nilikua naomba ndugu kama ungelikua una weka mihadhara ya sheikh qassim na masheikh wengi mwanzo mpaka mwisho kwa utaratibu wa mfwatano ili kurahisisha kufwatilia darsa za ma sheikh na kuzipata faida za muendelezo

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Nenda kwenye playlist kwenye chaneli yangu hii utapata muendelezo wote ndugu katika Imani

  • @alshamsitz3961
    @alshamsitz3961 Жыл бұрын

    Kweli mafuta ni mpotofu wa history ya uislam,ila ukweli upo wazi huwezi kuuficha ww

  • @user-gc3ec9wx6z

    @user-gc3ec9wx6z

    Ай бұрын

    Hhhhhh umeona eee uyu mpotoshji tu hajuwi kitu mafuta huyu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52412 жыл бұрын

    We ni kichwa na kwa kweli elmu unayo shekh

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    2 жыл бұрын

    Mashallah

  • @abuunajat4450

    @abuunajat4450

    Жыл бұрын

    Sema mashaallah

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Жыл бұрын

    Jee yafaa kumuita Mtume saw ni maiti, jawabu. i Wala msiseme walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa wamekufa, bali wako hai, lakini nyinyi hamtambui. 154 Al-Baqara *Bofya hapa kutazama surah nzima

  • @user-xn5jj3zg3w

    @user-xn5jj3zg3w

    3 ай бұрын

    ukisema waliokufa ktk njia ya Allah Inakua Amekufa ktk jambo lipi ili Aesabiwe amekufa ktk njia ya Allah?

  • @ismailbuchwa398
    @ismailbuchwa398 Жыл бұрын

    nataraji itakua bora zaidi kuliko kuweka vipande vipande inakosekana faida ilio timia katika darsa lengo la darsa ni kuelimisha na elimu inahitaji ufwatiliaji wa mwanafunzi kwa mwalimu mwanzo wa muqaddima hadi mwisho tamamti ya darasa

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Sawa ndugu tutalifanyia kazi

  • @maundumwingizi8027
    @maundumwingizi80278 ай бұрын

    Mwanzo umesema, baada ya Abubakar (ra) kuwahutubia watu kule msikiti, waislamu wote walimridhia (hakuna hata mmoja aliyempinga). Halafu huki mwisho unasema wako Waislamu wachache (kama wawili watatu hivi) wali-taakhar. Tuchukue lipi hapo sheikh wangu?

  • @user-gc3ec9wx6z

    @user-gc3ec9wx6z

    Ай бұрын

    Hajuwi kitu mtu uyu

  • @AzizAziz-le1pj
    @AzizAziz-le1pj Жыл бұрын

    Wewe Acha uongo Mtume ameswaliwa na kuzikwa na maswahaba wasiozidi 10 , Sayyidna Abubakar RA na Omar RA walikuwa SAQIFA baanusaida kumchagua KHALIFA baada ya Mtume hawakushiriki live katika Kumuosha kumswalia hadi kumzika MTUME ,Mafuta Acha uongo pepo YA Mola kwako MTIHANI KWA UONGO WAKO

  • @abdallahmoussa614

    @abdallahmoussa614

    Жыл бұрын

    sasa umekosowa nini apo

  • @official_Yssalia

    @official_Yssalia

    Жыл бұрын

    Naomba nikuulize ivi IMAAN za maswahaba kwa Allah ni sawa na Mimi na wewe? Na kama wangekua wanafiq Mtume sw hakuweza kulijua Ilo? Na kama amelijua Ilo kwanini alikubali kuswalishwa na mnafiq! Pia kwanini Mtume alisema anaindoka akiwa amecha dini imekamilika does it mean hakuweza kujua kama Kuna tatizo kuubwa limemzuka?!? So many questions ukitaka kufafanua jambo hili kwa kutumia akili Yako timam... Allah akuongoze

  • @JimkanaKitambulio
    @JimkanaKitambulioАй бұрын

    Masuni mna Kaz kwer Ali akumpa Bai sawa kwa sababu ya madai ya Fatima yapi mbon uyataji unaficha ukwer

  • @isaackmlayy6228
    @isaackmlayy6228 Жыл бұрын

    Kumbuka mtume alivyofariki maswahaba wangi walikuja kuwa walevi mbona hili amsemii hii dini aijitambui

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    We una uhakika na hizo kauli unazozisema

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Жыл бұрын

    Waliacha ulevi kabla Mtume saw kufariki kama alivyoacha yedu ulevi kabla hajaokolewa na Allah sw akapaishwa mbinguni

  • @official_Yssalia

    @official_Yssalia

    Жыл бұрын

    He's qafir! No questions about that 😂

  • @fatmadamasi6880
    @fatmadamasi6880 Жыл бұрын

    Na kesho mbele ya allah ukaseme hivyo hivyo unaficha historia wakati ipo wazi mtume s. a. w ameondoka kila kitu alikiweka wazi vitabu vinavyoaminika wameandika ww unajitafuna meno

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    2 ай бұрын

    Ww ni mshia nini nini? Maana mashia ndo maadui wa mtume afu ndo wakwanza kujifanya mmevaa vazi la kummpenda mtume kumbe mmeficha ukafiri na kumtukana matusi mtume na swahaba zake

  • @alshamsitz3961
    @alshamsitz3961 Жыл бұрын

    Siamini kama sheikh mkubwa kama ww unapotosha na una unatohoa baadhi ya mambo ya sakifa yaliyojiri hapo

  • @abdallahmoussa614

    @abdallahmoussa614

    Жыл бұрын

    we ni mshia au...

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 Жыл бұрын

    Huyu jamaa anazungumza pumba tu.Hajui chochote kuhusu historia ya kiislam. Hizo anavyozungumza sivyo jambo lilivyo kwenda

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Haya ebu zungumza wewe ilivyokuwa

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    Жыл бұрын

    @@Hud_hud_Salafiy ukweli nikwamba Abubakar na Omar hawakumzika mtume kwasababu walikuwa wanapigania madaraka zaidi.ukinipa ushahidi kuwa Abubakar na Omar walimzika mtume,yani walihudhuria mazishini nitakupa laki moja

  • @jaykinho8234

    @jaykinho8234

    Жыл бұрын

    Hakuna mwenye tamaa na hela yako sisi twaitaka pepo ya allah

  • @abiabi9353

    @abiabi9353

    Жыл бұрын

    @@jaykinho8234 Huwezi kuipata pepo kwa ujinga na propaganda

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Жыл бұрын

    Jee yafaa kumuita Mtume saw ni maiti, jawabu. i Wala msiseme walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa wamekufa, bali wako hai, lakini nyinyi hamtambui. 154 Al-Baqara *Bofya hapa kutazama surah nzima

Келесі