MADAI YA SHIA, SHK, QASSIM MAFUTA,

#manhajsalafi #salafi #salafiyah #live #allah #muhammad #salafiy #muslim #muslimah #markaz #markazpongwe #markazpongwetanga #tanzania #tanzanianmusic #tanzaniayetu #azamtv #azammedia #azammarket #simbasc #yangasc #tra #markaz #markazpongwe #markangelcomedy #markazmombasa #markazomar #markazomarbinkhatwab #markazomaribnulkhatwab #markazomaribnulkhatwabdsm #daurahyamoshi #markazimamshafi ##imamshafi #tazara #flyover #mandonga #mtukazi #mwakinyo #kidukachi #tabata #wemasepetu #bongo #darasa #diamond #dangote #diamondplatnumz #zuchu #zuchusukari #mbosso #mbossokhan #lavalava #posta #postabank #kigamboni #moto #fire #modewj #azizki #aziziki #azizkikusajiliwasimba #morisson #mkudesimba #mkude #mkudesekulu #jeje #mkojani #nagwa #ngomanagwa #ugaigai #comedy #tegeta #nyuki #bagamoyo #bongohiphop #bongotricks #bongo5 #bongo24 #mungu #mkemwema #mzeewakofia #makoko #makochi #babalevo #mwijaku #vunjambavu #vunjabei #fredvunjabei #dejandragojevic #kichuya #mayele #gongowazi #soka #football #ahmedally #carantine #entertainment #wemakelegends #wema #magufuli #hapakazitu #kaziiendelee #ikulumawasiliano #royar #johari #kanumba #elizabethmichael #lulu #jb #misuko #sinza #tandale #uswahilini #kariakoo #kariakooderby #azamfc #simbatv #yangaleo #yangatv #fastjet #clouds #wasafitv #wasafi #wasafifm #wasafimedia #wasafifestival2019 #marhabanyaramadhan #yaara #coconut #kenya #kenyanews #tanzal2419 #tanzanianyoutuber #tanzaniaprisons #polisi #polisiindonesia #kakakupinipin #africa #zanzibar #zanzibarbeach #zanzibartours #tarangire #mbugani #mikumikudance #jahazi #jahazimoderntaarab #mwanza #nyegenyege #nyegezi #arusha #arushatours #arushahvlogs #arushatanzania #arushandmama #namangan #kondoa #dodomafm #dodomajiji #dodomatv #dodoma #dodomaishakuwanoma #dodomakwanza #dodomajijifc #magomeni #magomenikagera #manzese #tiptopaudio #mwenge #bungelatanzania #bungelamaisha #uchawi #musa #nabiimusa #firauni #magari #gerezani #karume #pemba #mafia #cocobeach #mikadi #mbagala #mbagalazakhem #zakhem #zakiem #ccm #cutebaby #press #sisinisoka #burudanikwawote #hakikanizakwetu #sinemazetu #jela #jb #uislamu #beautiful

Пікірлер: 18

  • @sautikuu212
    @sautikuu21211 ай бұрын

    Hapo kwa Umar ibn khatwab kumuoa mjukuu wa mtume naona kama haijakaa sawa, Aliy alikuwa mdogo sana kuwa na mtoto wa kuolewa na Umar.

  • @khamisabdillah8221
    @khamisabdillah8221 Жыл бұрын

    Allah akuhifadh sheykh Qassim mafuta bin Uthmaan

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    aaamiyyn inshaallah

  • @MohamedAli-sf6hq
    @MohamedAli-sf6hq Жыл бұрын

    Masheikh wetu, tangazeni uislam tuache kukashifiana wenyewe kwa wenyewe

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    haki lazima isewmwe hawa mashia wanapotosha watu hasa hasa wale wasiousoma uislamu

  • @omarsuleiman2944

    @omarsuleiman2944

    Жыл бұрын

    Njia moja kutangaza uislam ni kufichua maovu ya watu wa bidaa, makhawarij, mashia, masufi nk

  • @swalhashuaibu

    @swalhashuaibu

    Жыл бұрын

    Kama huku ni kukashifiyana basi acatu awakashifu mashia sio wa islam hao ni makafiri

  • @IjumaaIjumaa

    @IjumaaIjumaa

    11 ай бұрын

    Dini ya kiislam Ina kitabu na sunna na inakataza uzushi mtume mohamad see kakataza kuomboleza na kujipiga kujichana mashia SI waislam

  • @aishakaisi1758
    @aishakaisi17586 ай бұрын

    hapa hamna shekh hivi hajui kuwa binti wa mtume bi fatma alikufaje, hivi hajui kuwa bi fatma alikufa huku akiwa haelewani na abuubakari na umar na hadith zipo

  • @aishakaisi1758
    @aishakaisi17586 ай бұрын

    elimu za salafi ni ndogo sana

  • @aishakaisi1758
    @aishakaisi17586 ай бұрын

    hakukuwa na ndoa hiyo ummul kurthum bint abuubakar ndio alieolewa na umar

  • @aishakaisi1758
    @aishakaisi17586 ай бұрын

    immam ali hakuwahi kupigana vita hata siku moja baada ya kufariki mtume , mpaka alivyokuwa khalifa

  • @aishakaisi1758
    @aishakaisi17586 ай бұрын

    masuni kazi yao ni kuficha yaliofanyika baada ya mtume kufariki

  • @aishakaisi1758
    @aishakaisi17586 ай бұрын

    hakuna ughalifa unaletwa kwa kigezo cha watu kukaa shura , ughalifa unachaguliwa na allah

  • @aishakaisi1758
    @aishakaisi17586 ай бұрын

    alitoa muda gani kiapo cha utii hilo ndio swali, maana kiapo cha utii kilikuwa baada ya mtume kufariki yeye alitoa siku gani baada ya kufariki mtume?

  • @abuurauzwat1006
    @abuurauzwat1006 Жыл бұрын

    Wee acha ujinga mtu anatetea heshma za maswahaba mashia wanawatukana wee ndo unaona nikukashifiana ukosio ? Kaa kimya kama huna la kusema au shia Wewe?

  • @Hud_hud_Salafiy

    @Hud_hud_Salafiy

    Жыл бұрын

    Mwambie ukweli aache hiyo tabia

  • @swalhashuaibu

    @swalhashuaibu

    Жыл бұрын

    Utakuta lijishia likubwa hio 😅

Келесі