Topic:Qowlul Haq, Abul Fadhwil Qasim Mafuta Ni Muongo Sana - By Sheikh Abuu Ismail Ibrahim. Mwanza

Пікірлер: 51

  • @ismaailabuughariyb313
    @ismaailabuughariyb3136 ай бұрын

    Allah akupe subra ndugu yangu,hao masalafi wapya achana nao,we baki kwenye haqi tu

  • @twahaabrahman-ev8co
    @twahaabrahman-ev8co10 ай бұрын

    Allah amlinde Sheik'h QASSIM MAFUTA

  • @ilhamhaji8650

    @ilhamhaji8650

    3 ай бұрын

    Amiin

  • @husseinihassani3541
    @husseinihassani35418 ай бұрын

    Innaalillaahi wainnaailayhi raajiuun kumbe ni kweli haya makundi yanayozuka ni wawakilishi wa mmarekani

  • @user-ls3yu3oz4whgfxzzz

    @user-ls3yu3oz4whgfxzzz

    7 ай бұрын

    Ndio hata wao hawajielewi wanatumiwa kama rimoti wajinga watupu wallah

  • @shebyabdallah5854
    @shebyabdallah58548 ай бұрын

    ALLAH amlipe Abuu ismuil Kasimu mafuta siye ameleta fitna Huyu mafuta ni mnafik sipo Pamoja

  • @user-ls3yu3oz4whgfxzzz

    @user-ls3yu3oz4whgfxzzz

    7 ай бұрын

    Allah awaongoze

  • @user-fm8dz1bt8l
    @user-fm8dz1bt8l5 ай бұрын

    Kassim mafuta na abuu ismaiil kuweni kitu kimoja dini yende mbele mucwape nguvu makafir nyote muna lengo zuri anaekosea itumike njia nzuri ya kukutana sio mitandaoni.shukran

  • @mshambaused3840
    @mshambaused38409 ай бұрын

    Ni mtu mbaya sasa shekh yule Allah atafichua mnafiq

  • @user-cd5sq1dz4u
    @user-cd5sq1dz4u Жыл бұрын

    Allah amuongoze jahhil mafuta ameua fikra ya din kwa vijana tz

  • @mussabendera1751

    @mussabendera1751

    11 ай бұрын

    Ameua fikra za ugaidi dini sio ugaidi wala maandamano

  • @abdallahmoussa614

    @abdallahmoussa614

    11 ай бұрын

    uyu jamaa kama anasira ukweli unauma kila siku Allah akuongoze

  • @user-ls3yu3oz4whgfxzzz
    @user-ls3yu3oz4whgfxzzz7 ай бұрын

    Mnajua ukagiri kwa sabbu na nyinyi hamjui mnachokifuata

  • @user-cd5sq1dz4u
    @user-cd5sq1dz4u11 ай бұрын

    Raddi radi allah amzidishie unafiki qasim mafuta mpaka sku ya mwisho

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me11 ай бұрын

    لا یرث المٶمن الکافر

  • @mohamedmussa7258
    @mohamedmussa725811 ай бұрын

    Abuu Ismaiyl kapoteza vijana wengi sana Mwanza,, ukhawaarij mbaya sana. Huu muhadhara wake alijibiwa na Sheikh Abulfadhil hakujibu tena. Kupata majibu ya huu muhadhara nenda firqatunnaajia-masheikh mbalimbali-abulfadhwil-Raddi kwa Abuu Ismaily

  • @aliandrew3537

    @aliandrew3537

    10 ай бұрын

    Jisomee mwenyewe suratul TAUBAH NA BAQARA wewe mwenyewe hii ndo shida yetu hatusomi twaskiza masheikh, ALLAH KASEMA "MSIWAITE WALIO UWAWA KWA AJILI YA MWENYEZI MUNGU KAMA MAITI ILA WAPO HAI" Waona ni kauli ndogo hiyoooo ongeza Na akili yako

  • @user-cd5sq1dz4u

    @user-cd5sq1dz4u

    10 ай бұрын

    Hakujibu alifungwa angejibia jela ???

  • @sharifumussa6846

    @sharifumussa6846

    9 ай бұрын

    Angejbu vp ili hali kashakamatwa na kuwekwa jela

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    2 ай бұрын

    Mafuta ameleta fina kubwa na kuvuruga waislamu hapa tz ni muongo xana anachuki na watu nimuongo kweli kweli

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374 Жыл бұрын

    Ni kweli Abu Ismail kasoma lakini baada ya kuacha haqq na kujiunga na majambazi tu elimu yote ikapukutika.

  • @JumaShaban-ec9ki

    @JumaShaban-ec9ki

    Жыл бұрын

    Acha unafiq

  • @ibnayub2374

    @ibnayub2374

    Жыл бұрын

    @@JumaShaban-ec9ki kama hutaki basi baki na akili yako hiyo hiyo, lakn huo ndio ukweli elimu alikua nayo Ila kitendo cha kuacha haqq tu akabakia Jina tu na makelele mtandaoni.

  • @JumaShaban-ec9ki

    @JumaShaban-ec9ki

    Жыл бұрын

    @@ibnayub2374 Huna hoja kijana sema tumewazoea mashekhe dunia tu

  • @user-cd5sq1dz4u

    @user-cd5sq1dz4u

    11 ай бұрын

    Haqqi unaipima wewe usie na elimu kwavle mshabiki wa uyo fbi mweusi du kiama kipo Karibu elimu ya din inazd kupotea

  • @ibnayub2374

    @ibnayub2374

    11 ай бұрын

    @@user-cd5sq1dz4u mimi sijaipima haqq baada ya kuacha haqq aliambiwa na wale walio KUA na ujuzi mfano wake na alikata akabakia na upotevu wake katika manhaj, ujinga wangu ni nafuu kuliko wako Ambao hauja faham Bado kuhusu upotevu wake.

  • @nasirdinmohammed8741
    @nasirdinmohammed874111 ай бұрын

    😂😂😂 yupo huyu jahli muraqab

  • @user-cd5sq1dz4u
    @user-cd5sq1dz4u11 ай бұрын

    Salafi wa daamaj wote wapumbavu saana

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u11 ай бұрын

    HII CLIP IMENISIKITISHA SANA MUMEONDOKA KUTUTUKANA MASUFI SAIVI MNATUKANANA WENYEWE KWA WENYEWE MAWAHABI MTIHANI NA MSIBA MKUBWA HUU WAISLAM WENYEWE KWA WENYEWE TUNAGOMBANA SALAFI SUFI TABLIGH NA WENGINE MTIHANI HUU

  • @ABUUJAAFAR92

    @ABUUJAAFAR92

    11 ай бұрын

    Sio wenyewe kwa wenyewe,,,Bali Ni masalafi na makhawaarij,,,,,kwahio Kuna tofauti,,

  • @user-th1ok3wq3f
    @user-th1ok3wq3f11 ай бұрын

    Wewe ndokatika watu waliesababisha mpaka Jovi Leo mazambiki amani imetoeka kwa sababu ya watu kama WW mpombavu nkubwa kwaza WW unapata faida gani acha kutuharibiya vijana wetu

  • @aliandrew3537

    @aliandrew3537

    10 ай бұрын

    Mpumbavu ni wewe unaejiandikia bila elm yeyote unatumia akili yako sio kitaab quran

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374 Жыл бұрын

    Halka ni kitu gani? Au anakusudia halaqa? 😂

  • @mubarakaibrahim5715

    @mubarakaibrahim5715

    Жыл бұрын

    Unamuuliza nani sasa kaka

  • @ibnayub2374

    @ibnayub2374

    Жыл бұрын

    @@mubarakaibrahim5715 ungejibu tu hata wew, haikuwa na haja kureply kwa kuuliza tena swali

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u11 ай бұрын

    MAWAHABI NDO KAZI YENU KUKUFURUSHANA NA KUTIANA MOTONI KILA MTU ANAJUA YEYE JIFUNZENI UCHAAMUNGU MUKIFIKIA DARAJA ZA UCHAAMUNGU HAMTAFANYA HIVI JIFUNZENI UCHAAMUNGU U

  • @azizaj776
    @azizaj776 Жыл бұрын

    Hii kweli tena KWELI KABISA hiiiii IMEENDA IMEENDA KABISA MAFUTA NI MNAFIK MZANDI MOTO WA JAHANAM UNAMHUSU 💯 kwa 💯 ✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅

  • @abdallahmoussa614

    @abdallahmoussa614

    11 ай бұрын

    kwaiyo una elimu ya siri kuwa

  • @abdulshaban5428

    @abdulshaban5428

    11 ай бұрын

    Duuh!!Allah akuongoze wewe uliyesema maneno hayo, , ,

  • @abdallahmoussa614

    @abdallahmoussa614

    11 ай бұрын

    @@abdulshaban5428 aamiin soote

  • @ABUUJAAFAR92

    @ABUUJAAFAR92

    11 ай бұрын

    Allah amuhifadhi sheikh wetu qasim mafuta,,,Wallahi qasim mafuta Ni sheikh mwenye maarifa na ilmu kubwa na ss tumefaidika sana na kupitia yeye tumefahamu daawa salafiya daawa ya haki ambayo tulikuwa hatujaijua watu wa east afrika ,,,,tulikuwa tumepotezwa na kina rogo na Abuu Ismail na daawa yao potofu ya kikhawaarij,,,,labda wewe uwe humfahamu sheikh qaasim,,,lkn ukimfahamu utajua ni mwanachuoni ,,,Allah akuongoze ufahamu haqq

  • @abdallahmoussa614

    @abdallahmoussa614

    11 ай бұрын

    @@ABUUJAAFAR92 mm namfatiliya saana Sheikh Qassim mafuta Allah amuhifadhi kupitiya yye watu tumefaidika mengi japo tuko mbali nae ila iko siku tutakutana nae na Muomb Allah aweze kutukutanisha nae in shaa Allah

  • @user-cd5sq1dz4u
    @user-cd5sq1dz4u11 ай бұрын

    Salafi mmeua fikra ya dini mme endekeza fedheha hamjitambui

Келесі