TAZAMA: SHARIF MUHAMMAD HASHIM ALIVYOMVAA KASSIM MAFUTA MBELE YA MUDIRI SHEKH SAMIRI SADIQ..........

Comment
Like
Share
Subscribe

Пікірлер: 90

  • @jamalishoo3802
    @jamalishoo38027 ай бұрын

    Maa shaa Allah

  • @salimakida95
    @salimakida957 ай бұрын

    Asante sayid muhamad hashim

  • @Mofaiz_11
    @Mofaiz_117 ай бұрын

    mashaallah maneno mazito sana shekhe wangu

  • @IddDafo
    @IddDafoАй бұрын

    Shekh wap vidonge vyao

  • @GharibAli-po6fp
    @GharibAli-po6fp7 ай бұрын

    Unasema hekima sio dini, msikilize Allah, ومن يءت الحكمة فقد أوتي خيرا كثيرا

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    7 ай бұрын

    Aya inasema, aliopewa hekima kapewa kheri (sio kapewa dini), au wewe umetafsiri vipi?

  • @noorululaatv8973

    @noorululaatv8973

    7 ай бұрын

    WAHABI NI VICHAA WALLAH

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    7 ай бұрын

    ​@@noorululaatv8973masufi ni wazimu wakutupwa tena

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52417 ай бұрын

    We shekh gani umeshindwa na beberu Huna ata ndevu moja

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    7 ай бұрын

    Kwasababu yeye sio beberu.

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    5 ай бұрын

    Kwani suna ni nderevu pekee yake

  • @abuuabdirrahmaan4132
    @abuuabdirrahmaan41327 ай бұрын

    IMEKUUMA SANA KUONA MASHEIKH ZETU KUPATA QABULI NA KULINDWA

  • @sadambakari2579

    @sadambakari2579

    7 ай бұрын

    Kasomeshwa wap huyo umfatae

  • @abuunajat1164
    @abuunajat11647 ай бұрын

    Umeweza kumaliza mb zawatu njecheweyeee...! Pumba tupuuu

  • @user-zr2pn5uv8b
    @user-zr2pn5uv8b7 ай бұрын

    mzee rudi katika Haki Allah atakupenda

  • @salumhassanallymkurdistan7006

    @salumhassanallymkurdistan7006

    7 ай бұрын

    MAWAHABI TAWI LA MAYAHUDI

  • @Zainabnoor0087-ze
    @Zainabnoor0087-ze6 ай бұрын

    Matapeli wa dini kazi kukazia nasaba😮

  • @mawazoit8070
    @mawazoit80706 ай бұрын

    Allahu Akbar, ninapenda kuskiliza hoja za kielimu Ili kujifunza. Na hapa nliamini Kuna darsa kubwa kumbe ni hadith sawa na zile za alfu lelaulela

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    5 ай бұрын

    Mana hadithi ni nn tuambie tafadhali

  • @abdulysheky1057

    @abdulysheky1057

    5 ай бұрын

    Stori

  • @abdulysheky1057

    @abdulysheky1057

    5 ай бұрын

    Stori

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    5 ай бұрын

    Na hio hadithi si zimetoka kwa mtume s a w ila nyinyi mawahabi wapotoshaji mwamsingizia mtume s a w hata hadithi hamuna tawhed tatu mumezitoa mtume s a w hajafundisha wala maswahaba hawajafundisha sasa mumezitoa wapi kama nyinyi si wanafik

  • @samorajama8833
    @samorajama88337 ай бұрын

    HAULI HAKUNA KATIKA UISLAAM NI UZUSHI

  • @Manimajura

    @Manimajura

    7 ай бұрын

    😅😅😅😅 dahh ebu someni kwanza kabla ya kupinga mambo

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    7 ай бұрын

    Kwani HAULI maana yake kwa kiswahili nini? 😂. Ndio ndio hujui kiarabu ukaona na weye useme pia! 😀

  • @mkubwamasoud2776
    @mkubwamasoud27767 ай бұрын

    Huyo sheikh na Maswahaba nani zaidi

  • @salimakida95

    @salimakida95

    7 ай бұрын

    Wewe zaid

  • @issarashidiferuziferuzi9201
    @issarashidiferuziferuzi92017 ай бұрын

    Kuwa na hekima ndefu sio dini sheikh mnapata madhambi

  • @AbuwNibras926
    @AbuwNibras9267 ай бұрын

    Mzee muongo uyuu

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    5 ай бұрын

    Sema ww mkweli tukusikie mawahabi wapotoshaji tu na matusi ndio mwajuwa

  • @saidramadhan4516
    @saidramadhan45167 ай бұрын

    Hebu amkeni nyinyi masheikh wetu ALLAH AWAPE UFAHAMU MSHIKAMANE KWA PMJ MUHESHIMIENE MUELEWANE KTK KILA JAMBO.Huu mwendo mnaoenda siooooo!!

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    5 ай бұрын

    Mwendo aendao kasim mafuta wakutukana wanazuoni ndio sawa muogope Allah

  • @abdulysheky1057

    @abdulysheky1057

    5 ай бұрын

    Kuwalingania watu kushikamana na suna kumbe nayo ni matusi?

  • @jamalishoo3802
    @jamalishoo38027 ай бұрын

    Mawahabi mavi yamewabana wanahangaika tu

  • @abuunutsamuonlinetv2703

    @abuunutsamuonlinetv2703

    7 ай бұрын

    Achaa bangi wewe sisi hatukati viuno na kuimba ngonjera kama unahoja unawasilisha mezani sio kulopoka

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    7 ай бұрын

    @@abuunutsamuonlinetv2703 hoja lete wewe mpingaji maana sisi tumetuliaa twasonga mbele. Mie nikikupa hoja wewe huwezi kujibu. Kama uaweza. Lete maana ya BIDA'A KILUGHA NA KISHERIA?. anza kujibu hapo tuanze kazi ikiwa wewe mwanaume kweli.

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    7 ай бұрын

    Bora na sie tumebanwa nyie mmejunyea hasa mnanuka na waganga wote ni nyie had makafir wanatuchukia masufi hamna kitu 😂

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    7 ай бұрын

    @@saidimkwinzu9106 HAKUNA MTUME YOYOTE WALA MWANACHUONI YOYOTE HALAFU AWE SIO MGANGA. SASA WEWE SI MGANGA KWASABABU MUNGU HAKUJIBU DUA SASA UMGANGE NANI MWENZANGU 😂, KUOMBA DUA UKAJIBIWA HUJUI. MTUME SAW ALIPELEKEWA ZAWADI MAMBO MATATU 1) MALI 2) MWANAMKE 3)MGANGA. MTUME SAW AKACHUKUWA MALI NA MWANAMKE, KISHA YULE MGANGA AKAMFUNDISHA TIBA ARUDI KWAO AKASAIDIE KWASABABU SISI WAISLAMU WENYEWE WAGANGA HATUHITAJI MGANGA. Au hiko kusa huijui?. Halafu mlivyokuwa wanafiki nyie MAWAHABI ndio wa kwanza kuenda kwa hao waganga mkizidiwa kisha kwa ujinga wenu mkubwa mkisema (MAMBO MENGINE SHIRKI LAZMA) YAANI mnamfanya Allah sw mambo mengine yeye hayawezi mpaka mumshiriki yaani kufru na matusi kwa Allah sw haswaaaa mnaona mfanye. Afazali sufi anafanya tiba kwa kuamini kuwa Allah sw ndio anaejibu kwa elimu alizotufunza. Kwshio sufi anajua sio shirki tiba na hapa siongelei washirikina (makafiri) wala wanaokwanga na kutoa watu vikoa (wachawi). Mie naongea waganga kama ulivyosema wewe.

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    5 ай бұрын

    ​@@abuunutsamuonlinetv2703mezani hata kusoma hamujuwi mawahabi wapotoshaji tu

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl6 ай бұрын

    Acha uongo na polojo

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    5 ай бұрын

    Uwongo upi hemu sema ww ukweli tukusikize kama ww nimkweli ama ni upotofu

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga7896 ай бұрын

    Hao kina maftaa si ndio waalimu zao hawa mnao wakataa kusoma ni kufahamu sio ubishi mawahabi ufaham ni mdogo kwa walio wengi wao wanafata akili zao

  • @saadayoub7179
    @saadayoub71797 ай бұрын

    Mbona anamuita Samir kavu kavu kwani sio sheikh ?

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan14527 ай бұрын

    Kwahio faradhi uwe na ndevu ukubwa gani ili usipate dhambi!?. Pili. Kuna wanawake wanaota ndevu jee wafaa watoe khutba msikiti mwenu mawahabi?

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    7 ай бұрын

    Ushasema wanawake mtume Swalla llaahu alayhi wasallama amesema punguzen mashurubu muache ndevu nyie mnanyoa vyote manakua weupeeee hiyo ni sunna ya nan

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    7 ай бұрын

    @@saidimkwinzu9106 Mtume saw aliposema tupunguze sharubu na tuache ndevu ujue kwanza hii ni sunna na haina tawkiid. Na lapili. Mekuuliza swali ungelijibu. Jee Mtume saw amesema tupunguze sharubu zibakie urefu gani na ndevu tuziwache mpaka urefu gani?. Kama Mtume saw hakuweka kiasi basi wewe usiwaekee watu kiasi. Kuna maswahaba walikuwa wana videvu kidoocho tu kama kisa ya swahaba aliokuwa akitia udhu na malaika wanafurahikia. Hakugombwa kwa kuwa ndevu zake ni nduchu. Wewe kama nani ugombe watu. Na aliponyoa ndevu hakuambiwa kakufuru ila tu Mtume saw ndio akampa kisa alichokuwa akicheka juu yake, hakuambiwa kakufuru wala kapata dhambi. Akiwa Mtume saw hakusema hivyo wala hakumuingiza motoni, JEE NYIE MAWAHABI NA SUNNA ZENU ZA NDEVU NA KUKATA KANZU NA KUVAA KIPUPUTA HUKU ROHO ZENU CHAFU NA IBADA HAMFANYI NATEGEMEA PEPO GANI?

  • @KASSIMFUNDSIMU

    @KASSIMFUNDSIMU

    7 ай бұрын

    Kazi ya watu wa bidaa ni kuchukua mifano isio endana na kukwezana

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    7 ай бұрын

    @@KASSIMFUNDSIMU hata wewe unafanya BIDA'A lakini bahati mbaya hujui maana ya BIDA'A

  • @jumaa052

    @jumaa052

    7 ай бұрын

    @@saidimkwinzu9106 alhabib kwani kunyoa ndevu zote ni dhambi

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro37647 ай бұрын

    ENYI MASUFI NI MITIHANI KWA BID'A MNAZITETEA NA KUZIFANYA NI IBADA! YALE MTUME ALIYOYUACHIA NYIE MMEACHANA NAYO!!

  • @sadambakari2579

    @sadambakari2579

    7 ай бұрын

    Kasome acha kukosoa kwa mahaba yako

  • @samorajama8833
    @samorajama88337 ай бұрын

    Sasa mtu akiongea maneno ya kujiaminisha na moto asiokolewe Acheni maha na jahannam Sheikh Samir Atakiwa ataraajaa

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u7 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂 kuna mambo mengine ni kucheka tu, wewe mzee kidevu kama embe mwanzo kafuate sunna ya ndevu... kisha uongee mbele ya waume!!! Tuna ndevu zetu waume wewe unasema nini mbele yetu!!! Alafu wazee wa mkahawa kaa uskilize wasomi wacha kelele!!! Makhurafi mnaweka wazee wa mkahawani waongeee 😂😂😂😂😂😂...

  • @tanzaniaonmzamiloon8627

    @tanzaniaonmzamiloon8627

    7 ай бұрын

    Ndo mlivyo fundishwa mtu kama Hana ndevu hajafuata sunna

  • @hafidhseif1686

    @hafidhseif1686

    7 ай бұрын

    Sasa Ndevu Ndio Dini Hata Mayahudi Wanafuga Madevu Saa hii Kama Kufuga Ndevu Ni Kwenda Kinyume Nao Saa Hii Wazayun Wanafuga Madevu Sasa Tufanyaje? Someni Enyi Mawahabi Acheni Kubebeshwa km walokole

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    7 ай бұрын

    @@hafidhseif1686 hata mwanamke anaeota ndevu anafaa kutoa khutba msikiti wa mawahabi kwasababu mawahabi wanaitakidi kuwa tofauti ya mwanamme na mwanamke ni kuota ndevu 😁. Kwahio mwanamke mwenye ndevu kwa mawahabi huwa anaoa na haki zake kama mwanamme. Kwao asioota ndevu hawezi kusalisha wanamuona mwanamke. 😁. Yaani hio ndio Qur-an yao na sunna yao, mtihani kweli kweli

  • @user-bp6fb6wo5u

    @user-bp6fb6wo5u

    7 ай бұрын

    Waume wakiongea kaa kimya kidevu taa wewe 😂😂😂😂😂 waume simba tukiongea unakaa pembeni...​@hafidhseif1686

  • @user-bp6fb6wo5u

    @user-bp6fb6wo5u

    7 ай бұрын

    ​@@tanzaniaonmzamiloon8627 weee nenda kamsome mtume swalla llahu aleihi wasallam ujue alikuwa vipi sura yake! Sio mnacheza chakacha mbele ya waume na kidevu embe na waume wanakutizama.... ndio mana mambrui huku kumejaa watu wa ajabu sababu ya mambo hayo!!! Na waume wakiongea mnakaa kimya nyinyi... simba wakinguruma mnakaa kimyaaa....

  • @allycomm1553
    @allycomm15537 ай бұрын

    WEWE unahoja za kujibizana na qasimu mafuta!!?

  • @hafidhseif1686

    @hafidhseif1686

    7 ай бұрын

    Sasa Mafuta Ndo Nani hahahah Aisee Kawaroga Mpaka Hamuoni Kitu Mafuta Km Kipofu Alieona Mwezi? 👂 Mwambie Atowe Rukhsa Watu Wataka Kuja Pongwe Huu Mwezi Wa Tatu Sasa Hataki Kutoa Rukhsa

  • @ramadhanmbwana5718

    @ramadhanmbwana5718

    7 ай бұрын

    Shekh kasimu mafuta ni mtu anahoja za kielimu mashaallah Pata faida kupitima maneno yake na ufafanuzi wake wa kielimu katika links nitakayo ituma

  • @ramadhanmbwana5718

    @ramadhanmbwana5718

    7 ай бұрын

    HAPO UKISIKILIZA NDIO UTAMJUA NI NANI MASHAALLAH KAWEKA WAZI SANA MAMBO KIELIMU

  • @Ahmadasshii-raazy8888

    @Ahmadasshii-raazy8888

    7 ай бұрын

    ​@@hafidhseif1686Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, habiib afwan naomba nifahamishe vizuri, sheikh sameir ALLAH amuhifadhi anataka kwenda pongwe kwa niqaash lkin wao ndo wanakataa sio? Naomba nisaidie kufaham sayyidy WALLAH ntafurahi sana mana mawahabi wanamuona kama ndo hakuna zaidi yake

  • @jamalishoo3802

    @jamalishoo3802

    7 ай бұрын

    Kasimu mafuta ni kasuku tu kama kasuku wengine

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran99337 ай бұрын

    Mi cjamuelewa huyu mzee naona achekesha 2, kweli dini imeingiliwa hata swala ya safari pia huijui mpaka watu waswali jamaaa. Acha kuchekesha mzee utakujakuulizwa kesho mbele ya Allah.

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    7 ай бұрын

    Siku zote nyny tu ndio mnajua dini hio ndio shida yenu, mnachofaham chengine ni kuongeza maneno na kupotosha

Келесі