Ni ipi tofauti kati ya salafiya na Answari sunnah:Sheikh Kassimu Mafuta-Allah amuhifadhi
Жүктеу.....
Пікірлер: 29
@ahmadmzoa74 Жыл бұрын
Acheni kuzitakasa nafsi mtakaseni ALLAH SUBHANAHU WATAALA Peķee .Tuache Daawa za kibishoo tufanye Daawa kiucha za kiùchaMungu.
@tarish0012 жыл бұрын
Mola amhifadhi Sheikh ul Islam Abuu Fadhl Mafuta.
@abuuaminah5655
Жыл бұрын
Mafuta Ni Sheikh Islam ama Ni Zee la Mipasho,🤣🤣🤣
@Menino938
Жыл бұрын
Usifanye ghuluwu sheikh kassim anamchangu mkubwa lkn usimpeleke uko
@abrahamansaidi8631
Жыл бұрын
Kwaiyo sio muislamu?
@allykalaile-ek3zg Жыл бұрын
mashaallah allah amhifadhi shekh kassim mafuta hifdhahu llah
@abbaspaziaog2188
11 ай бұрын
ALLAH amuongoze jadidah lakupepea Qasimu mafuta yataa kwa uongo wake ..na amswamehe kwa chuki zake ALLAHUMA Amini
@abubakarabdurahman74152 жыл бұрын
Assalaam alykum!! Mimi napenda kuchukua nafasi ya kumnasihi huyu ndugu yangu aliendika comment mwanzo kabisa kua sheikh abul fadhli ni shaykhul islaam!! Haya maneno ni ya ghuluu yaan kuchupa mipaka kwa kassimu mafuta huyu ni sheikh na anajitihada ya kulingania daawa km walivo masheikh wetu wabora wengine km sheikh wetu mlezi sheikh mujahid na wengine!! Lkn hana manzila ya kuitwa eti ni sheikhul islaam
@ahmadmzoa74
Жыл бұрын
Mche MOLA wako. Yeye ni binadam na anakosea kama wakoseavyo wengine. Kuna mambo mengi atakiwa kuzingatia. Attarghib wattarhiib. Ajirekebishe kwa ajili ya ALLAH SUBHANAHU WATAALA.
@abrahamansaidi8631
Жыл бұрын
Amekosea nini?
@thulaniduku3218 Жыл бұрын
Funga kinya wewe mafuta kwa kuwadanganya ummah Aifayi muislamu kushirikiana na makafiri dhidi ya mwislamu Soma vitabu vya Sheikh Muhammad ibn Abdul Wahab rahimahullah
@azizaj776Ай бұрын
Hakuna tafauti kati ya Dawaa Salafia na Dawaa Answari Sunna WOTE Ramona na WOTE wafuasi wa IBNU TIMMIYA NA MOHAMMED ABU WAHABI ambao WOTE ni FINARIY JAHANAM - AMEEN 🤲🤲🤲🤲
@ObAH
21 сағат бұрын
Ittaqillah akhy
@SUNNAH0001 Жыл бұрын
Ukweli kuhusu Qaasim mafuta na watu wake.👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/ameGwZtudrTWnJs.html
@abuuaminah5655 Жыл бұрын
Usalafiya ni project ya mayahudi.
@East_Africa_120
Жыл бұрын
Ulikuepo nao hao mayahud wakati wanaandaa iyo project au unaleta habari za kila wa kala
@mwanju3981
4 ай бұрын
Ukiona muslamu anaungana mmarekani ni myahidi wa wazi wazi...marekani iko kwa aajili ya mayahudi @@East_Africa_120
@user-nl1ou9ow2l23 күн бұрын
Shekhe,akiacha uhizbiya,hali yake ya mwanzo itarejea.hivyo answar Sunnah ni hizbi na yeye shekhe ni hizbi.hivyo sijaona kama unautofauti nao.
@jumanasoro89032 жыл бұрын
Huna kitu wewe
@kassimualli16002 жыл бұрын
Nyie wavuruga dini mbona mnaficha sura zenu washenzi wakubwa nyie
@abjalinajuma6942
2 жыл бұрын
Kwa misingi ya manhaj picha ni haramu
@user-bp6fb6wo5u
Жыл бұрын
Na yako tutumie kaka.
@wajawemaonlineTV Жыл бұрын
UNYA NYA SAJI UNAO FANYWA NA WASHIA KWA MABINTI WA KIISLAM KWA KUFARADHISHA NDO.... kzread.info/dash/bejne/p3WqtNizhNyvnbw.html *MZUNGU MZAJI SHEIKH ABDUL RAUF AL MUNAAWIY*
@muhammadmochenje14092 жыл бұрын
Shkh kassim mafuta hivi na kutetea saudi Arabia 🇸🇦 kutaka msaada kwa wamarekani 🇺🇸,kumpiga Sadam hussein mbona hiyo Saudi Arabia 🇸🇦 haitaki msaada 🇺🇸 kuwasaidia wapalestina,ambao hawa wapalestina wanadhulumiwa na Israeli 🇮🇱?hata useme nini Saudi Arabia 🇸🇦 na baadhi ya wafalme wao ni vibaraka vya mwamerika hilo liko wazi.
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Wewe ushafanya Nini tuone Kama mfano? Pili kipi ni Bora kibla ya Kwanza au al Kaaba?,
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Marekani wanashirikiana na Saudia kwenye Nini?, 1. Diyni?(Daawa) 2. Biashara 3. Security 4. All of the above?
@abuuaminah5655
Жыл бұрын
Salafiy nii project ya mayahudi. Kafiri au asieswali kwao Hana tatizo,lakini shida Yao ni kwa waumini wa kiislamu. Usalafi ni kuvuruga waislamu na uislamu.
@user-bp6fb6wo5u
Жыл бұрын
@@abuuaminah5655 chunga unachokisema kaka, sababu aya na hadith ndio twawasikia wakisema! Ikiwa jambo huna ilmu nalo bora kuliwacha tu, sababu ukiulizwa siku ya kiama ulieleze hilo kwa ushahidi wallahi huna hoja ila chuki tu ulizobeba.
Пікірлер: 29
Acheni kuzitakasa nafsi mtakaseni ALLAH SUBHANAHU WATAALA Peķee .Tuache Daawa za kibishoo tufanye Daawa kiucha za kiùchaMungu.
Mola amhifadhi Sheikh ul Islam Abuu Fadhl Mafuta.
@abuuaminah5655
Жыл бұрын
Mafuta Ni Sheikh Islam ama Ni Zee la Mipasho,🤣🤣🤣
@Menino938
Жыл бұрын
Usifanye ghuluwu sheikh kassim anamchangu mkubwa lkn usimpeleke uko
@abrahamansaidi8631
Жыл бұрын
Kwaiyo sio muislamu?
mashaallah allah amhifadhi shekh kassim mafuta hifdhahu llah
@abbaspaziaog2188
11 ай бұрын
ALLAH amuongoze jadidah lakupepea Qasimu mafuta yataa kwa uongo wake ..na amswamehe kwa chuki zake ALLAHUMA Amini
Assalaam alykum!! Mimi napenda kuchukua nafasi ya kumnasihi huyu ndugu yangu aliendika comment mwanzo kabisa kua sheikh abul fadhli ni shaykhul islaam!! Haya maneno ni ya ghuluu yaan kuchupa mipaka kwa kassimu mafuta huyu ni sheikh na anajitihada ya kulingania daawa km walivo masheikh wetu wabora wengine km sheikh wetu mlezi sheikh mujahid na wengine!! Lkn hana manzila ya kuitwa eti ni sheikhul islaam
@ahmadmzoa74
Жыл бұрын
Mche MOLA wako. Yeye ni binadam na anakosea kama wakoseavyo wengine. Kuna mambo mengi atakiwa kuzingatia. Attarghib wattarhiib. Ajirekebishe kwa ajili ya ALLAH SUBHANAHU WATAALA.
@abrahamansaidi8631
Жыл бұрын
Amekosea nini?
Funga kinya wewe mafuta kwa kuwadanganya ummah Aifayi muislamu kushirikiana na makafiri dhidi ya mwislamu Soma vitabu vya Sheikh Muhammad ibn Abdul Wahab rahimahullah
Hakuna tafauti kati ya Dawaa Salafia na Dawaa Answari Sunna WOTE Ramona na WOTE wafuasi wa IBNU TIMMIYA NA MOHAMMED ABU WAHABI ambao WOTE ni FINARIY JAHANAM - AMEEN 🤲🤲🤲🤲
@ObAH
21 сағат бұрын
Ittaqillah akhy
Ukweli kuhusu Qaasim mafuta na watu wake.👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/ameGwZtudrTWnJs.html
Usalafiya ni project ya mayahudi.
@East_Africa_120
Жыл бұрын
Ulikuepo nao hao mayahud wakati wanaandaa iyo project au unaleta habari za kila wa kala
@mwanju3981
4 ай бұрын
Ukiona muslamu anaungana mmarekani ni myahidi wa wazi wazi...marekani iko kwa aajili ya mayahudi @@East_Africa_120
Shekhe,akiacha uhizbiya,hali yake ya mwanzo itarejea.hivyo answar Sunnah ni hizbi na yeye shekhe ni hizbi.hivyo sijaona kama unautofauti nao.
Huna kitu wewe
Nyie wavuruga dini mbona mnaficha sura zenu washenzi wakubwa nyie
@abjalinajuma6942
2 жыл бұрын
Kwa misingi ya manhaj picha ni haramu
@user-bp6fb6wo5u
Жыл бұрын
Na yako tutumie kaka.
UNYA NYA SAJI UNAO FANYWA NA WASHIA KWA MABINTI WA KIISLAM KWA KUFARADHISHA NDO.... kzread.info/dash/bejne/p3WqtNizhNyvnbw.html *MZUNGU MZAJI SHEIKH ABDUL RAUF AL MUNAAWIY*
Shkh kassim mafuta hivi na kutetea saudi Arabia 🇸🇦 kutaka msaada kwa wamarekani 🇺🇸,kumpiga Sadam hussein mbona hiyo Saudi Arabia 🇸🇦 haitaki msaada 🇺🇸 kuwasaidia wapalestina,ambao hawa wapalestina wanadhulumiwa na Israeli 🇮🇱?hata useme nini Saudi Arabia 🇸🇦 na baadhi ya wafalme wao ni vibaraka vya mwamerika hilo liko wazi.
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Wewe ushafanya Nini tuone Kama mfano? Pili kipi ni Bora kibla ya Kwanza au al Kaaba?,
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Marekani wanashirikiana na Saudia kwenye Nini?, 1. Diyni?(Daawa) 2. Biashara 3. Security 4. All of the above?
@abuuaminah5655
Жыл бұрын
Salafiy nii project ya mayahudi. Kafiri au asieswali kwao Hana tatizo,lakini shida Yao ni kwa waumini wa kiislamu. Usalafi ni kuvuruga waislamu na uislamu.
@user-bp6fb6wo5u
Жыл бұрын
@@abuuaminah5655 chunga unachokisema kaka, sababu aya na hadith ndio twawasikia wakisema! Ikiwa jambo huna ilmu nalo bora kuliwacha tu, sababu ukiulizwa siku ya kiama ulieleze hilo kwa ushahidi wallahi huna hoja ila chuki tu ulizobeba.
@abrahamansaidi8631
Жыл бұрын
Uzuri wa uislamu ni kuachana na yasiyokuhusu