Ni ipi tofauti kati ya salafiya na Answari sunnah:Sheikh Kassimu Mafuta-Allah amuhifadhi

Пікірлер: 29

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Жыл бұрын

    Acheni kuzitakasa nafsi mtakaseni ALLAH SUBHANAHU WATAALA Peķee .Tuache Daawa za kibishoo tufanye Daawa kiucha za kiùchaMungu.

  • @tarish001
    @tarish0012 жыл бұрын

    Mola amhifadhi Sheikh ul Islam Abuu Fadhl Mafuta.

  • @abuuaminah5655

    @abuuaminah5655

    Жыл бұрын

    Mafuta Ni Sheikh Islam ama Ni Zee la Mipasho,🤣🤣🤣

  • @Menino938

    @Menino938

    Жыл бұрын

    Usifanye ghuluwu sheikh kassim anamchangu mkubwa lkn usimpeleke uko

  • @abrahamansaidi8631

    @abrahamansaidi8631

    Жыл бұрын

    Kwaiyo sio muislamu?

  • @allykalaile-ek3zg
    @allykalaile-ek3zg Жыл бұрын

    mashaallah allah amhifadhi shekh kassim mafuta hifdhahu llah

  • @abbaspaziaog2188

    @abbaspaziaog2188

    11 ай бұрын

    ALLAH amuongoze jadidah lakupepea Qasimu mafuta yataa kwa uongo wake ..na amswamehe kwa chuki zake ALLAHUMA Amini

  • @abubakarabdurahman7415
    @abubakarabdurahman74152 жыл бұрын

    Assalaam alykum!! Mimi napenda kuchukua nafasi ya kumnasihi huyu ndugu yangu aliendika comment mwanzo kabisa kua sheikh abul fadhli ni shaykhul islaam!! Haya maneno ni ya ghuluu yaan kuchupa mipaka kwa kassimu mafuta huyu ni sheikh na anajitihada ya kulingania daawa km walivo masheikh wetu wabora wengine km sheikh wetu mlezi sheikh mujahid na wengine!! Lkn hana manzila ya kuitwa eti ni sheikhul islaam

  • @ahmadmzoa74

    @ahmadmzoa74

    Жыл бұрын

    Mche MOLA wako. Yeye ni binadam na anakosea kama wakoseavyo wengine. Kuna mambo mengi atakiwa kuzingatia. Attarghib wattarhiib. Ajirekebishe kwa ajili ya ALLAH SUBHANAHU WATAALA.

  • @abrahamansaidi8631

    @abrahamansaidi8631

    Жыл бұрын

    Amekosea nini?

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku3218 Жыл бұрын

    Funga kinya wewe mafuta kwa kuwadanganya ummah Aifayi muislamu kushirikiana na makafiri dhidi ya mwislamu Soma vitabu vya Sheikh Muhammad ibn Abdul Wahab rahimahullah

  • @azizaj776
    @azizaj776Ай бұрын

    Hakuna tafauti kati ya Dawaa Salafia na Dawaa Answari Sunna WOTE Ramona na WOTE wafuasi wa IBNU TIMMIYA NA MOHAMMED ABU WAHABI ambao WOTE ni FINARIY JAHANAM - AMEEN 🤲🤲🤲🤲

  • @ObAH

    @ObAH

    21 сағат бұрын

    Ittaqillah akhy

  • @SUNNAH0001
    @SUNNAH0001 Жыл бұрын

    Ukweli kuhusu Qaasim mafuta na watu wake.👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/ameGwZtudrTWnJs.html

  • @abuuaminah5655
    @abuuaminah5655 Жыл бұрын

    Usalafiya ni project ya mayahudi.

  • @East_Africa_120

    @East_Africa_120

    Жыл бұрын

    Ulikuepo nao hao mayahud wakati wanaandaa iyo project au unaleta habari za kila wa kala

  • @mwanju3981

    @mwanju3981

    4 ай бұрын

    Ukiona muslamu anaungana mmarekani ni myahidi wa wazi wazi...marekani iko kwa aajili ya mayahudi ​@@East_Africa_120

  • @user-nl1ou9ow2l
    @user-nl1ou9ow2l23 күн бұрын

    Shekhe,akiacha uhizbiya,hali yake ya mwanzo itarejea.hivyo answar Sunnah ni hizbi na yeye shekhe ni hizbi.hivyo sijaona kama unautofauti nao.

  • @jumanasoro8903
    @jumanasoro89032 жыл бұрын

    Huna kitu wewe

  • @kassimualli1600
    @kassimualli16002 жыл бұрын

    Nyie wavuruga dini mbona mnaficha sura zenu washenzi wakubwa nyie

  • @abjalinajuma6942

    @abjalinajuma6942

    2 жыл бұрын

    Kwa misingi ya manhaj picha ni haramu

  • @user-bp6fb6wo5u

    @user-bp6fb6wo5u

    Жыл бұрын

    Na yako tutumie kaka.

  • @wajawemaonlineTV
    @wajawemaonlineTV Жыл бұрын

    UNYA NYA SAJI UNAO FANYWA NA WASHIA KWA MABINTI WA KIISLAM KWA KUFARADHISHA NDO.... kzread.info/dash/bejne/p3WqtNizhNyvnbw.html *MZUNGU MZAJI SHEIKH ABDUL RAUF AL MUNAAWIY*

  • @muhammadmochenje1409
    @muhammadmochenje14092 жыл бұрын

    Shkh kassim mafuta hivi na kutetea saudi Arabia 🇸🇦 kutaka msaada kwa wamarekani 🇺🇸,kumpiga Sadam hussein mbona hiyo Saudi Arabia 🇸🇦 haitaki msaada 🇺🇸 kuwasaidia wapalestina,ambao hawa wapalestina wanadhulumiwa na Israeli 🇮🇱?hata useme nini Saudi Arabia 🇸🇦 na baadhi ya wafalme wao ni vibaraka vya mwamerika hilo liko wazi.

  • @abuushaymaatz

    @abuushaymaatz

    2 жыл бұрын

    Wewe ushafanya Nini tuone Kama mfano? Pili kipi ni Bora kibla ya Kwanza au al Kaaba?,

  • @abuushaymaatz

    @abuushaymaatz

    2 жыл бұрын

    Marekani wanashirikiana na Saudia kwenye Nini?, 1. Diyni?(Daawa) 2. Biashara 3. Security 4. All of the above?

  • @abuuaminah5655

    @abuuaminah5655

    Жыл бұрын

    Salafiy nii project ya mayahudi. Kafiri au asieswali kwao Hana tatizo,lakini shida Yao ni kwa waumini wa kiislamu. Usalafi ni kuvuruga waislamu na uislamu.

  • @user-bp6fb6wo5u

    @user-bp6fb6wo5u

    Жыл бұрын

    @@abuuaminah5655 chunga unachokisema kaka, sababu aya na hadith ndio twawasikia wakisema! Ikiwa jambo huna ilmu nalo bora kuliwacha tu, sababu ukiulizwa siku ya kiama ulieleze hilo kwa ushahidi wallahi huna hoja ila chuki tu ulizobeba.

  • @abrahamansaidi8631

    @abrahamansaidi8631

    Жыл бұрын

    Uzuri wa uislamu ni kuachana na yasiyokuhusu

Келесі