WANAANZA KUFUNGA KABLA Y RAMADHAN KUINGIA N KUFUNGUA KABLA Y RAMADHAN KUISHA"MWEZI W KIMATAIFA HAUPO

Пікірлер: 32

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed61454 ай бұрын

    SUBHANALLAH ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM Barakallahu Feek

  • @YunusiAthuman-ep5mc
    @YunusiAthuman-ep5mc5 ай бұрын

    Shekh muogope allah

  • @mohdomar6760
    @mohdomar67605 ай бұрын

    Mashallah tunashkuru sheikh tunafaidika kwa kweli

  • @hassanomary9825
    @hassanomary98254 ай бұрын

    Umesema U Islam hautegemei mawasiliano kisha unasema ikikaribia Ramadhani tufungue radio station tumsikilize Mufti vp hili la 📻 sio mawasiliano? Swali langu

  • @hassanomary9825
    @hassanomary98254 ай бұрын

    Umesema U Islam hautegemei mawasiliano kisha unasema ikikaribia Ramadhani tufungue radio station tumsikilize Mufti vp hili la 📻 sio mawasiliano swali langu

  • @salmahanai
    @salmahanai4 ай бұрын

    Shukran shekh darsa nzuri sana Allah akulipe

  • @IsmailKamana
    @IsmailKamana4 ай бұрын

    😂Allahu akupe umri mrefu ili uzidi kuuelimisha umma, unaeleweka sana shekh mashallah, wemekosa hoja wamebaki wanatukana kuonesha malezi waliopewa na walezi wao

  • @salehrashid-fx9rq
    @salehrashid-fx9rq4 ай бұрын

    Hili ni tapeli achaneni nalo. Hawa ni wanafiq wakubwa

  • @user-jk7sm1dl7p
    @user-jk7sm1dl7p5 ай бұрын

    Wewe sufi acha kufanyia iyana ndevu Ata ukinyowa ndevu waonekana mze ata ukinyowa ndevu Mnyowa ndevu sio muadilifu Hata kuwa shahidi wa ndio ufai kwa mujibu wa mtume Muhammad s.a.w

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    5 ай бұрын

    😅😅😅😅masufi wana shida hakki

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz71584 ай бұрын

    Zee la maokoto kwanza vp ilo picha apo huuzi??

  • @AliAbas-cy3hn
    @AliAbas-cy3hn5 ай бұрын

    Muogope Allah muongo

  • @karutomdee3107
    @karutomdee31074 ай бұрын

    Mwenzi umeandaa jumapili Jumatatu watu wako kwenye swamu ww huna kitu unachojua umeva mapete Deci huna hata ukitiauzuu haiswihh

  • @user-yv2mx1vq3w
    @user-yv2mx1vq3w4 ай бұрын

    Hata kisayansi 3:30 (kimaumbile) haiwezekani kamwe. Inatudhalilisha Waislamu kama watu wasio na elimu sahihi ya secular, hali ya kuwa Uislamu ndio uliopeleka elimu zote Ulaya na kutawala miaka 800 kuanzia Karne ya 7.

  • @user-jb3ep8ep5d
    @user-jb3ep8ep5d4 ай бұрын

    Kuna mashekhe na wengine ni madarueshitu hawana hata elimu ila wanajiita mashekhe soma baba usipotoshe umma

  • @user-fj6fo4wk8j
    @user-fj6fo4wk8j4 ай бұрын

    Ww na maimamu walio tiletea dini Nan wa kumfuwata mbn mwatuchanganya ww na imamu maalik hanag hambali

  • @hajimasoud7210
    @hajimasoud72104 ай бұрын

    Hivi uchoki kibweka mbona huwazungumzii wanaowatukana maswahaba mbona huwazungumzii wanaowatukana wakeze mtume wewe ni mbwa Koko anayebweka

  • @akbarosman3892
    @akbarosman38925 ай бұрын

    Hili li zee halina hekma, wacha ujinga kapotoshe wazee wenzako vijana sasa hivi wanatafuta elmu wee bado umebaki na kunyoa kidevu 😅😅😅😅😅

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    5 ай бұрын

    😅😅😅yaani had8 hatulii ana dukuduku hadi ataka kupasua kioo cha anayemwilika ahah, kwani ulimwengu si ni mmoja hata America nimepata message nyingi wananiambia Tomorrow Monday in shaa Allaah we're starting the first day of ramadan Alhamdulillaah ,the moon has been announced from Saudi Arabia and qatar and for the ulama and how the prophet tought us if the moon sighted any part of the world we must do it

  • @mohdomar6760

    @mohdomar6760

    5 ай бұрын

    Acha ujinga...jitambue kwanza

  • @user-su7np6sn7s
    @user-su7np6sn7s5 ай бұрын

    Sasa kama mwezi umetangazwa marekani na sisi huku tumelala tunakoroma sasa tukiamka tunatakiwa tufunge pia au mpaka mwezi utangazwe Suudia ndo sisi tufunge?

  • @shuaibsaid515

    @shuaibsaid515

    4 ай бұрын

    Sasa marekani hata mbali, saudia, qatar time ni sawa na kenya sasa hapo vp? 😂

  • @habibasalim3092
    @habibasalim30925 ай бұрын

    Mtume alisema mwezi ukitangazwa popote pale na mtu wa uhakika watu waanze ibada ima ya sawm au ya kufungua, yenye dah anangojea aambiwe oman umetoka ndio afunge haha😂

  • @suleimanabdillah7490

    @suleimanabdillah7490

    4 ай бұрын

    Bali hata humuhumu nchini unaonekanwa kigoma Mtwara haujaonekana Je nawa mtwara waungoje mpaka wauone

  • @abuuahmad524
    @abuuahmad5244 ай бұрын

    Mm nashangaa mtu yupo Tanzania ila anafata mwezi ulio onekana saudia ama Qatar ama Oman ila hafati adhana ikiadhiniwa saudia akasali anafata swaum tu ww upo tz kwa nn hufati mwezi wa tz ? Hivi inaingia akilini hili ? Mtu afate pale alipo

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    4 ай бұрын

    Kwaiyo ugate Adhana ya saudia au swala ya saudia Kwan we na saudia tofaut yenu ni ipi kwenye masaa

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx4 ай бұрын

    Akili huna kidevu kma shoga

  • @IsmailKamana

    @IsmailKamana

    4 ай бұрын

    Allahu hata acha kukulipa kwa kumtukana shekh

  • @habibasalim3092
    @habibasalim30925 ай бұрын

    Muogope Allaah baba unaejiita shekhe ,na umesome tu munu humu, wazungu walosilimu wamekushinda kimasomo wana ilmu kukushinda baba

  • @haddysophiasson7530

    @haddysophiasson7530

    5 ай бұрын

    Wewe unaongea ujinga gani?

  • @user-kf2mu6is8l

    @user-kf2mu6is8l

    4 ай бұрын

    Kiboko yao huyo wakilala wanamuota

  • @user-kf2mu6is8l

    @user-kf2mu6is8l

    4 ай бұрын

    Hàya mjibuni kwa hoja

Келесі