Eti wewe ni Mjasiriamali ? | Sheikh Salim Barahiyan

Ni kipindi cha Al Jawaabul Kaafy {Jawabu lenye kutosheleza} kinachoruka hewani Mubarashara kupitia Channel yetu ya KZread na Radio Ihsaan Fm, 102.1 Kila siku ya Jumatano kuanzia saa 03:30 usiku hadi saa 05:00 usiku.
Namba za kuuliza maswali ni +255 773 277 444

Пікірлер: 35

  • @user-tl2ks4fl4h
    @user-tl2ks4fl4h

    Shukran

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188

    ALLAH akuhifadh shekh wetu salim barahiyani

  • @adamh1751
    @adamh1751

    Huwezi kusoma hadith hata kichwani juu ya kuigopa kukosea... Allahu mustaan.

  • @twahaally7251
    @twahaally7251

    Bila shaka Watu wataulizwa Yale waliosema

  • @abuuiqrimah1125
    @abuuiqrimah1125

    Unakula pesa kupitia mugongo wa dini acha kupotosha mwana wa barahiyani

  • @abuuiqrimah1125
    @abuuiqrimah1125

    Sinikweli lakini mwana wa barahiyani jibu kwa usijifananishe na mtume ww ni mpenda mali ilo alinaa Shaka

  • @adamh1751
    @adamh1751

    Kweli ww businessman wala sio sheikh wa dini! Liko wazi na tutazidi kuweka wazi to everyone insha’Allah.

  • @mohamedally6992
    @mohamedally6992

    SHEIKH GAN MAEMULIZA MASWALI NA WAKATI YEYE DHULMA MKUBWA . KILA KONA WATU WAMZUNGUMZA YEYE KWA DHULMA ANAIFANYA YEYE GENGE LAKE. LAKIN KILA KITU KINA MWISHO

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064

    Nendeni barabara ya 8 kazika hizo pesa mukazichukue

  • @abusumayyah3112
    @abusumayyah3112

    Kwa nini barahiyan usinyenyekee ukaukubali usalafi? Ukaachana na uhizb? Je huogopi kufia ktk uhizb?

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan3902

    Atuambie milioni Mia mbili alizipeleka wap kama yeye hafanyi dini ndio kitega uchumi

  • @user-sf3jq7wo5e
    @user-sf3jq7wo5e

    Kwan kufanya biyashar kwa masheh aifai mbona nyinyi masalaf mnafanya biyashar acheni utoto wenu

  • @user-sf3jq7wo5e
    @user-sf3jq7wo5e

    Talafi nyinyi sio wa2 wasunna nyinyi niwatumishi wamayahud alaf nyinyi niwatu wamasilah2

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u

    MAWAHABI HAMNA ADABU KILA WAHABI ANAJUA KULIKO MWENZAKE HAMUHESHIMIANI

Келесі