Eti wewe ni Mjasiriamali ? | Sheikh Salim Barahiyan
Ni kipindi cha Al Jawaabul Kaafy {Jawabu lenye kutosheleza} kinachoruka hewani Mubarashara kupitia Channel yetu ya KZread na Radio Ihsaan Fm, 102.1 Kila siku ya Jumatano kuanzia saa 03:30 usiku hadi saa 05:00 usiku.
Namba za kuuliza maswali ni +255 773 277 444
Пікірлер: 35
Shukran
ALLAH akuhifadh shekh wetu salim barahiyani
Huwezi kusoma hadith hata kichwani juu ya kuigopa kukosea... Allahu mustaan.
Bila shaka Watu wataulizwa Yale waliosema
Unakula pesa kupitia mugongo wa dini acha kupotosha mwana wa barahiyani
Sinikweli lakini mwana wa barahiyani jibu kwa usijifananishe na mtume ww ni mpenda mali ilo alinaa Shaka
Kweli ww businessman wala sio sheikh wa dini! Liko wazi na tutazidi kuweka wazi to everyone insha’Allah.
SHEIKH GAN MAEMULIZA MASWALI NA WAKATI YEYE DHULMA MKUBWA . KILA KONA WATU WAMZUNGUMZA YEYE KWA DHULMA ANAIFANYA YEYE GENGE LAKE. LAKIN KILA KITU KINA MWISHO
Nendeni barabara ya 8 kazika hizo pesa mukazichukue
Kwa nini barahiyan usinyenyekee ukaukubali usalafi? Ukaachana na uhizb? Je huogopi kufia ktk uhizb?
Atuambie milioni Mia mbili alizipeleka wap kama yeye hafanyi dini ndio kitega uchumi
Kwan kufanya biyashar kwa masheh aifai mbona nyinyi masalaf mnafanya biyashar acheni utoto wenu
Talafi nyinyi sio wa2 wasunna nyinyi niwatumishi wamayahud alaf nyinyi niwatu wamasilah2
MAWAHABI HAMNA ADABU KILA WAHABI ANAJUA KULIKO MWENZAKE HAMUHESHIMIANI